HUYU MWANAFUNZI MH BALAAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Ushauri wangu kwako Kwa upande wa wanaume.Sisi tumeumbwa na vichwa viwili.Tuna kichwa cha juu na kichwa chini.Sasa kamwe kwenye maisha yako usitumie kichwa cha chini ambacho hakina macho wala ubongo kufanya maamuzi mwisho wake utakuwa mbaya tu.Na kwa upande wa mwanamke jifunze kuridhika na kile ambacho Mungu kakujaalia.

Комментарии • 363