SIMULIZI FUPI: NIACHE NILIE, By Anko Jay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 260

  • @JanethMgunya
    @JanethMgunya 4 месяца назад +7

    Daaaaah ivi kweli binadam anaeza kupitia magumu hivi😢😢😢 Sister Emmy hata kufika hpo Ni Mungu endelea kumtumaini Mwenyezi Mungu utapata ukombozi Nasisi tunakuombea Yesu akuku mbuke

  • @MourineJebetkibor-vk9ti
    @MourineJebetkibor-vk9ti 8 месяцев назад +10

    Nimelia tangu tulipoanza kusikiliza simulizi hii lakini ningependa kukuambia Emmy wakati wa mungu aijulikani lakini wakati utafika mwisho na kukata tamaa hapo ndipo mungu anachukua nafasi yake ya uponyaji naamini ipo siku na utafurahi tena

    • @TusasemeSeme
      @TusasemeSeme Месяц назад +1

      Emiliana mungu anamajibu yamaswali Yako usimwache mungu atakusaidia

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 Год назад +3

    Pole sana Emmy na pole sana mtoto mzuri Deo kwa moyo mkuu ulionao Tena wa kipekee. Ushauri wangu Esta na Deo fungeni safari mkiwa na babu na shangazi Eunice mwende hadi kwa baba Emmy na huyo mkewe mkawambie watoe huo uchawi waliomwekea mtoto huyo

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 9 месяцев назад +1

    Ooooyi pole sana dada na yalio kukuta mama wakambo si mama

  • @zaynushzeinab7839
    @zaynushzeinab7839 Год назад +1

    Mashaallah dada Emmiey alikua akisali sana....mapastar wamefanya kazi yao vilio.......wameangaika huku na huku kwa waganga ila bdo sehemu moja hawajaenda hao nako ni kwa mwalimu wa visomo vya kitabu cha Quran......lla kutokana na imani yao hao sijuwe kama atasingatia mana kama ni ugonjwa wagulika ila kifo tu ndicho hakiaguliki.......kwanza kumuamini Allah na mtume wke Mohammed (S.A.W) pili kufungu na kutoa sadaka kwa watoto pekee kulingana na uwezo wako iwe mwezi mara moja au wiki changuo lako......sadaka nzuri Zaid ni kitu cheupe......na kusala saa nane usiku ndio mda mzuri zaid kumlilia Allah shida zako kwa hayo machache mengi amuone mwalimu wa visomo dada.

  • @SalinaSherono
    @SalinaSherono 26 дней назад +1

    Emmy mungu atatenda siku itafika utakua sawa 😢😢jipe moyo tu

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +19

    Anko jay mwenyewe🥰🥰🥰 simulizi tamuu sasa punguza kidogo kilio nasisi huku wasikilizaji tunaliaga anko maana simazi nzitoo😭

  • @TeklaGoyayi-ux5fu
    @TeklaGoyayi-ux5fu Год назад +6

    Pole Sana Emiliana kwa ushauri wng usikate tamaa Ipo ck Mungu atakuponya na nakushauri Nenda na kwa kuhani Musa Dar kimara temboni watu wengi wanaombewa wanapona na wewe utapona usivunjike moyo

  • @ShaonaNdangalo
    @ShaonaNdangalo 10 месяцев назад

    Pole sana TU Mungu yupo anakuhona usijali dada Mungu anampago na wewe najuwa utapona tu Mungu yupo🙏🙏🙏😥😥

  • @deborahngoliga
    @deborahngoliga 9 месяцев назад +2

    Mtangulize mungu mbele waganga Ni waongo mwombe mungu akutakase Na akuzingire kwa damu ya yesu... Na adui zako watapoteana na kila wakikutafuta wakaone Giza na utelezii.

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +8

    Nakukubali sana msimuliaji mahiri na maarufu mr.jay mapesa❤ ,haya twendeni nalo wasikilizaji wenzangu

  • @NeneteMurumbi
    @NeneteMurumbi Год назад

    Pole sana dada Emy, shauri langu niku weka tu imani yako kwa Yesu atakuponya

  • @matibayajumah5327
    @matibayajumah5327 5 месяцев назад

    Mimi ushuri wagu amtafutea shkhe asumani maicko anapatikana bugruni ruzani tafazairi mungu atamsaidiya asumani wareku

  • @FettyMsala
    @FettyMsala 19 дней назад

    Emmy naenda hata kwa mposa mbona anaponya watu wengi ucikate tamaa mungu yupo na walio kufanyia hyo mungu anawaona one day wabaki na aibu

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Год назад +3

    Pole Sana mpendwa wangu muombe mungu kila siku inshallaha hatakuponya japo kuwa mambo ulivyo fanyiwa ni makubwa Sana na mume wako ni mtu Zaid ya utu hila mama yako na baba yako ni mashetani Sana mueshemu Sana mume wako kwa kujitoa kuishi na ww akika yy anaupendo wadhati kabisa omba mungu ushikilikina walio kufanya ni mbaya Sana hila mungu ndio kila kitu pole Sana utapona

  • @KarlosiKarlosi
    @KarlosiKarlosi Месяц назад

    Emyi mungu atakusaidia ma'am Mungu hachelewi na wala hashindwi

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Yangu pole kama kanisa ilishindwa aende msitin mungu ni wetu sote

  • @kizahalfan6341
    @kizahalfan6341 Год назад +1

    Mungu yupo atakupa njia bt inauma sanaaaa jmn uchawi upo

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Год назад

    Pole xn Emiliana mi qwa ushauri wangu ni uendelee kuomba mungu ipo ck atakuponya kua na imani yoote yanawezekana 🙏

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 9 месяцев назад +5

    Anko jay unafanya silali na simuliza zako ❤❤❤😮😮😮😮 🇰🇪

    • @MaSI-p5o
      @MaSI-p5o Месяц назад

      Emmy mm kwa jina n masi nimkaaji wa kenya mombasa,nataka nikwambie,hakuna kinga inayo ambatana jina la baba jina n mamatu .kitabu kitakatifu ambacho kinawwza kukuponya ww ni quran ambacho mganga atataja jina la mama yako nakufatia maelezo ya kitabu k8takatifu emny mama yangu utapona hakuna ugonjwa ambao ulipandwa kwako tu hizo ninguvu za giza na gizani zitarudi.Halafu kuna daktari kwajina ni homeloveyy ni m usa yyanat8bu magoniwa mbalimbali kuhusu hayo ulio yataja anayo hos kubwa sana malindi gongo na tiba zake sio gali hivo.Anatumia miti shamba namadawaya hospitalini dada huenda ukapona .ukitaka maelezo kamili nitafute fb kwa jina ni masi sirya nitakupa maelezo ya kina zaidi

  • @cynthiamasinzi3900
    @cynthiamasinzi3900 Год назад

    With God everything is possible ni vile hujakutana na mtumishi wa mungu mwenye upako wa kiwango cha juu zaidi ya maadui wako.

  • @HolyMfilinge
    @HolyMfilinge Месяц назад

    Ooh Mungu wangu pole sana jamanii

  • @DorcasMuomba-gd3sw
    @DorcasMuomba-gd3sw 6 месяцев назад

    Mungu ndie muweza aliye mponya yule mtu waukoma nawewe utavuka (kina mwanzo kinamwisho

  • @Penina-e5j
    @Penina-e5j 2 месяца назад

    Pole sana emyi muomby mngu muamini mngu u

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 Год назад

    Pole mway nataman ungekuwa karib nikufariji mungu akuponye dear 🤲🤲🤲🤲❤❤❤

  • @HamidaJuma-e3o
    @HamidaJuma-e3o Год назад

    Pata similizu nzur toka kwa anko j mim ni mwana family wako nawapenda san❤❤❤

  • @hildanyigo8057
    @hildanyigo8057 Год назад

    Pole sana dada angu endelea kutegemea mungu wakati wa mungu haujafika ukifika utapona kwani yeye huja Kwa wakati sahihi

  • @rayanriyadh829
    @rayanriyadh829 2 месяца назад

    Hakuna anaejuwa maisha ya mutu mungu tu pole sana Emiliane merci sana anko Jay kwa simulizi😭🙏

  • @julietadija8906
    @julietadija8906 12 дней назад

    Mungu atakutetea but kwa yule alie Fanya hayo watayalipia kwa garama kubwa mungu hatakuwacha

  • @KanadeMrangu
    @KanadeMrangu 10 месяцев назад

    Aende Kwenye maombi pole sana dada emiliana❤❤❤❤

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +5

    Yan sijuwi niseme 😢😭
    Anko Jay asante
    Mimi kwaushahuli Wangu aandelee kuomba sana Mungu atamponya 🙏😢😭

  • @TeddyCharles-rw8vk
    @TeddyCharles-rw8vk 2 месяца назад

    Pole sana da Emmy nimejikuta nalia t

  • @damarisabdueli3604
    @damarisabdueli3604 Год назад

    😢😢😢 inauma sana jamani baba ako mzazi kukufanyia ubaya kiasi kikubwa hiki😢😢..pole dear Emmy na imani ipo siku moja Mungu aliye kuumba atakuponya kaa katika neno lake la uzima achana na waganga 😢😢na imani jibu liko kwa Mungu... imeniuma sana natamani nipate namba ya simuata nitoe chochote nilibalikiwa na Mungu 😢😢najua kitakusaidia kwa chochote ❤😢😢

  • @KarlyDylern
    @KarlyDylern 6 месяцев назад +1

    Bhc Anko jay....story imekupa taab saan ya kuihadithia kiuhalisia asee

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад

    Malipo ni hapa Duniani hukitenda mbaya hunajitendea mwenye husikate tamaa mungu hatakupoye haniwe mtu hamutegameye mwenawe damu

  • @tudamwasyeba9986
    @tudamwasyeba9986 Год назад +2

    Usiende kwenye maombi tu bila kujifunza neno la Mungu ukiwaunaudhulia ibada Mungu atakufungua tu na kukazana na maombi utapona tu

    • @rosadastan8599
      @rosadastan8599 Год назад

      Ni kwel,Kwanza Pole sana emmy,Cha kukushauri endelea kuweka tumain kwa MUNGU tu usichanganye usiwe vuguvugu,Na zaid ya yote taman kujifunza Kumjua Mungu naneno lake ili tumain lako na iman yako ikuponye,Amin ipo siku utafurahi kwa kupokea uponyajiMungu hawez kukuach ukataabik wakat umemtumain yy ipo wakt wako dada🙏

  • @NuruMalela-xu7ky
    @NuruMalela-xu7ky Год назад +1

    Wew kaka sauti yako me hoi Ila story inaumiza sana anko jay nmelia kuna watu wanapitia shida

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Год назад

    Inahuzunisha pole sana bi dada emmy uskate tamaa mungu yupo endelea kumuomba utapona

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 Год назад

    Trust in God everything is possible to him Daniel alisema tunajua Mungu wetu atatuokoa n ikiwa atatuokoa bado atabaki kuwa Mungu.. n mwaminifu

  • @patiencembekelu240
    @patiencembekelu240 Год назад +1

    Eeeeh,pole Emiliana hayo ni mapito.lakini nilikua nasema hivi njoo Kenya umuone mtumishi wa Mungu pastor Ezekiel Odero atakuhudumia na kwa uwezo wa Mungu utapona kabisa na uwe na imani kabisa kwamba Mungu anaponya.iam sorry for all what you have gone through,i pray healing be ur portion in Jesus mighty name dadaa

  • @RukiaSalum-n4m
    @RukiaSalum-n4m 17 дней назад

    Endelea kumuamini bwana yesu utafunguliea tu mungu hachoki akili zake hazichunguziki unapo choka ndipo anakuponya hakuna neno gumu kwake

  • @neutybebz3187
    @neutybebz3187 Год назад +1

    Inaumiza sana hii n dunia na sisi sote n wapitaji❤

  • @jasminetarimo6952
    @jasminetarimo6952 Год назад +1

    Daaah anko jay tumeumia sisi kama wana familia natamani ningemjua nimuunganishe kwa postar Ezekiel wa Kenya naamini angepona 😢😢😢

  • @GloryMush-e4b
    @GloryMush-e4b 8 месяцев назад

    Sanaa Ila ctaman uamin uganga mamy zid kucmama ktk Iman yako na usiterekee

  • @mariamgathumbi4238
    @mariamgathumbi4238 Год назад

    Pole sana emi baba yako die alie kufanyia hayo yote bola urudi huko warudishe ile damu yako waliochukua sijui walipeleka wapi lakini bila hio damu kurudiswa dadangu utahangaikai sana mahali walieka damu yako dio mamana unatokwa na damu kila sehemu wanatakikana urudi huko huko wakaitoe mahali walipeleka hio damu yako

    • @FunnyClownfish-uc6ye
      @FunnyClownfish-uc6ye 6 месяцев назад

      Damu.. Dada. Uwa nisumu. Uwa. Inauwa tena uwa inauwa kidogo kidogo. Damu ya mwezini😢😢

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Год назад

    😭😭😭yaumiza sana pole sana dada emilina kama ulivyo sema kua siku ipo Mungu atakukumbuka basi weka imani dada na usiache kuomba,tazama yule mwana mke aliyetokwa na damu miaka kumi na miwili alipo weka imani ya kua akishika pindo la yesu atapona akachukua hatua na akalishika pindo la vazi la Yesu chrsto naye akapona kwa hio ww nawe beba iman na uendelee kuomba Mungu atakuponya Kwan lisilo wezekana kwa mwanadam kwa Mungu la wezekana.may the almighty God be apon you

  • @Adonai810
    @Adonai810 Год назад +4

    VERY TOUCHING STORY🔥🔥🔥🔥

  • @FrancoHaulee
    @FrancoHaulee Год назад

    Pol sna dada mung yup atakusaidia tu Bado ankupenda sana

  • @nduwayoecasimon4618
    @nduwayoecasimon4618 Год назад +1

    Achana nayote jiweke mikononi mwa Mungu hata ufe uwe mikononi mwa Mungu...

  • @lovenesshadson3559
    @lovenesshadson3559 Год назад +1

    Mmmh !! Inasikitishaa na kuhuzunishaa emiliana polee Sana MUNGU yupo na wewe 😥😥😥

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 Год назад +1

    Emii pole sana dada dunia n chungu jamani

  • @hasinangina5405
    @hasinangina5405 Год назад +5

    Waaaaa...nimelia kwa sauti jamani ila hakuna zaidi ya ALLAH 😮

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Год назад +2

    Jmn pole sana Mungu akusaidie mi naona na kuishi siku hizi zote ni yale maombi unazidi kuombewa na watu tofauti ushauli wangu endelea kuomba sana ipo siku Mungu atakuponya maana md wake ukifika anatenda ila inatia huruma sana😭😭😭

  • @rukiasalumu8942
    @rukiasalumu8942 Год назад

    Sijuwi niseme nini bint yangu ila neno moja usikate tamaa omba bila kikomo ipo siku yesu atakuponya achana na waganga.nami.nitakuombea.mama.wa.kambo.nishida

  • @nabintuneema907
    @nabintuneema907 8 месяцев назад +1

    Jiwe tu kwa mungu tu ujitowe kwa moyo wote kwake yeye ni mwenye Rehema usi kate tamaa wewe muombe tu sana nakufunga sana kabisa utapona Anayaweza Mungu wetu

  • @emmaonalloh5515
    @emmaonalloh5515 Год назад

    Mbona mnatuzungusha Anko hii pia ni nyinyi simulizi mix

  • @CeciliaChuwa-q2k
    @CeciliaChuwa-q2k Год назад

    Kwakweli ank inasikitisha sana nimelia wee mpka

  • @SanaipeiMish
    @SanaipeiMish Месяц назад

    Aende kwa babake amuombie rathi please labda atamunea huruma na asiachekuomba na sliharibu maombi vile alienda kwa mnganga utapona usife moyo mungu ako me naona mama wa kambo ndio ameharibu babako ipo siku aki nimeshangaa sana pole

  • @ElizabethKitururu
    @ElizabethKitururu 2 месяца назад

    pole sana emmiliyana

  • @QueenElizabethmamy
    @QueenElizabethmamy 2 месяца назад

    Yalishaga nikuta ila mama wa kambo hapana kwakweli ila yote alhamdulillah Mungu ni mwema

  • @elizabethbukelebe138
    @elizabethbukelebe138 8 месяцев назад +1

    Ase dada yangu usikate tamaa unapokata tamaa dipo mungu apoaziya mm ninaimani mwaka huu niwamajibu yako mungu anaeda kukuponye nausimuache mungu ww mpigiye kotitu mungu yuko pamoja na ww mwamini mungu tu domwenye majibu yako

  • @VabraJerome-fy6nf
    @VabraJerome-fy6nf 2 месяца назад

    Ni kweli kumbe mungu amponye emmy😢

  • @matesomoci6376
    @matesomoci6376 Год назад

    Pole sana kweli mwenyezi mungu aku simamiye🙏🙏🙏

    • @beatricesemiti5997
      @beatricesemiti5997 Год назад

      Emi acha kulia mwenye jibu Ni mungu sali omba Sana Amini utapona

  • @InezaSuzanaIdem-wr8zw
    @InezaSuzanaIdem-wr8zw Год назад

    Mungu akukumbuke anapo ponha wengine na wewe akuponha amem

  • @hellenodhiambo4342
    @hellenodhiambo4342 Год назад +7

    Lemmi start by saying sorry for what is happening in your life inauma kujua kwamba your own dad can destroy your life with no sympathy 😢in the name of looking for wealth things that don't last in this world, second you did a mistake by mixing dark and light in the beginning you had your stand by keeping faith with God then ukaacha na kuenda kwa mganga hapo ndio ulikosea and you know very well that you dealing with the power of darkness me personally I would like to advise you to start a fresh in prayers you and your husband should you nite your faith together and pray without questioning God believe in him and in your prayers forgive your enemies usiwaweke kwa moyo wako na uombe and all will go well with you I wish you a quick recovery

  • @abdullahjuma1481
    @abdullahjuma1481 Год назад

    Uncle j we fund sana

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 9 месяцев назад

    deo ni mwanaume bora na mungu ameamua kunileta kwako kwa kipindi iki kigumu sana 😢😢

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Год назад +6

    Ila kosa lilifanyika kutaka lukaa baba yako uyo mama wa kambo ndo mchawi wako lla mungu anamuona

  • @debrahmlay
    @debrahmlay 2 месяца назад

    Sister Emmily usikate tamaa ,,,.we mtafute Mungu ,kwan Mungu hachelewi wala hawahi ,atakujibu kwa wakati sahihi😂

  • @momylaviel
    @momylaviel 9 месяцев назад +4

    Daaah aki nimelia sana kwa nn asiende kwa mwaposa

    • @Irakozelela-f5q
      @Irakozelela-f5q 8 месяцев назад

      Pole sana dada ungejaribu kwa profesa sunguli matembele yapili huwenda atakusaidia

  • @DonathaAfrican
    @DonathaAfrican 4 месяца назад

    Daaah Mungu akupe uponyaji jamani

  • @GraciousMerry-s3r
    @GraciousMerry-s3r 2 месяца назад

    Da hinasikitisha sana koukwel

  • @ElizabethKitururu
    @ElizabethKitururu 2 месяца назад

    Inaumiza sana mungu akusaidie 😭😭😭😭

  • @popod177
    @popod177 Год назад +5

    Hi anko..I love ur narratives..ur voice is so soothing😍

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 6 месяцев назад

    Jupe moyo deo mungu akubaliki dada ACA tu mungu alivyopa Kalibu naanajia yahayo kutokeya wewe vumilia tu kunasiku kila mutu atapewa mutaji wake baba Yako atapewa namamudogo Yako ata pewa mungu hazihakiwi pôle sana deo

  • @ShariffTwahir
    @ShariffTwahir 2 месяца назад

    Jmn iko sehemu nyeng au

  • @SpecioseNshimirimana-dk6jg
    @SpecioseNshimirimana-dk6jg 4 месяца назад

    Shauri yangu, umusame baba yako na mke wake na wandugu wote hawakuweza kuku saidia, na uache waganga wa chenyeji, pia umuombe Mungu musama wa kweri, utie imani Kwa Yesu, kingine watu wataweza kukuombea ila wewe hauna imani, inakupasa kuwa suja Kwa ule unae muamini, diyo uchawi wuko lakini hautashi Yesu, takasa moyo wako ukiwa wakupona umutikie Bwana Yesu ao ukiwa wakufa wende mahali pema . na samahani Kwa ki Swahili kibovu.

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Год назад

    Thx Ancle j napenda simulizi zako

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 Год назад

    Hooooh my God so sad stroy Emi keep pray one day will come coz Allah is great never gave up girl

  • @doriceindeche5161
    @doriceindeche5161 10 месяцев назад

    Kwakweli mateso yapo duniani, nliwai yaona haya katka familia yangu , watoto wote kuugua cancer , madaktar wa aina tofauti walidhirisha umairi wao, ila mungu ndie anaye jua walio toweka walitoeka nawaliopo wapo ila nashkuru mungu angalau tuna historia mpya😢😢😢

  • @hassinafati3512
    @hassinafati3512 Год назад

    Shukrani anko jay kipenzi 😍sema inasikitisha daah 😢

  • @roseraymond4954
    @roseraymond4954 10 месяцев назад +1

    Anko j simulizi ni ndefu sana jamn kha

  • @FrankLwanzo
    @FrankLwanzo 11 месяцев назад +2

    Napenda story Sana poa ankojay

  • @RehemaHamisi-j7i
    @RehemaHamisi-j7i Год назад

    Ankojay be my love part 4 inatok lin

  • @InezaSuzanaIdem-wr8zw
    @InezaSuzanaIdem-wr8zw Год назад

    inauma sana lakini malipo niapapa duniani uzidi kumuomba mungu usikate tamaha mungu atakuponha na uta umwa tena

  • @halmejo5907
    @halmejo5907 10 месяцев назад

    Jamani nimejikuta nalia tu walai ila hakuna zaidi ya allah😢❤

  • @MerissahFlavour
    @MerissahFlavour Год назад

    Amaizing

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c Год назад

    Mungu atakuponya usichoke endeleya kusali

  • @hawasaid2670
    @hawasaid2670 Год назад

    Pole sana my love 😢😢😢😢😢

  • @nellylewa4457
    @nellylewa4457 8 месяцев назад +1

    Pole sana dada Emily mungu atakusaidia yy ndokila kitu kwetu

  • @ElizabethKitururu
    @ElizabethKitururu 2 месяца назад

    Inahuzunisha sana

  • @HolyMfilinge
    @HolyMfilinge Месяц назад

    Mwee jamanii nimelia sana😢

  • @EstellaZawadi
    @EstellaZawadi 4 месяца назад

    Pole sana kwa yote Mimi cha kukushauri usikate tamaa wewe zidi kumuomba Mungu na uvute subra wakati wa Mungu ukifika uta ponaa

  • @elizabethlucky8200
    @elizabethlucky8200 Год назад

    Thanks a lot Ankojay 0:52

  • @matibayajumah5327
    @matibayajumah5327 5 месяцев назад

    Unatakiwa kumuomba mungu to duwa to samani sana ndenda bugruni rozana mungu dniyo wakumkabizi ayo matatizo nahmini utampona tu kwa uwezo allhaa

  • @slyla2565
    @slyla2565 Год назад

    Amin mungu dadangu mungu yupo

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 7 месяцев назад

    😢😢Hii simulizi imeniliza

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @salmarajabu1626
    @salmarajabu1626 3 месяца назад

    Pole sana mungu ndio kila kitu kwetu

  • @رحيمةتنزانيا
    @رحيمةتنزانيا 4 месяца назад

    Pole mungu yupo na wew kipenzi