Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MKE WA BABA: SIMULIZI FUPI, By Ankojay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2023

Комментарии • 200

  • @ankojay_
    @ankojay_  Год назад +25

    Hii ni FULL yani MWANZO MWISHO, hii HAINA PART 2

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 Год назад +1

      Hhhhhhhhhhh apo sawa ww ngoja coment za kisifiwa

    • @leahmajaliwa6575
      @leahmajaliwa6575 Год назад +3

      Jamani nyie amjamaliza tu? Njooni huku tulalamike watupe ata moja ya usiku tuone kama tutaota ndoto nzuri sio kwakurudia marudio huku acha nisonge na chizi fresh kwa raha zangu

    • @mwanaally4972
      @mwanaally4972 Год назад +1

      Ank me naitaka rehema wa tanga part 2 nailipiaje Ili niipate

    • @swabrarashidi1082
      @swabrarashidi1082 Год назад +1

      @@leahmajaliwa6575 hhhhhhhhhh

    • @nsabimanaesperance600
      @nsabimanaesperance600 Год назад +1

      Ankojay vip mbona hivo

  • @esthermibaleo1900
    @esthermibaleo1900 Год назад +7

    Huuuum. Ohhhh l had seen this Simulizi so many days ago, but I didn't want to listen to this story because of the name of this story but today it have teach me so many things that I will never ever forget in my life. Thank you so much Musimuliaji huuuum.

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 3 месяца назад +2

    Nime jifunza sana
    Asanti sana sana kwa hii simulizi.lasna ni mbaya sana.

  • @ivantrust9620
    @ivantrust9620 Год назад +2

    Baba Anko J, asante kwa kuachilia similizi hii imetufunza mengi peace ✌️

  • @clariskatana7715
    @clariskatana7715 Год назад +2

    Asante sana ankojay simulizi tamu lakini sisi wanawake tupunguze ujinga jamani

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +1

    Shatani Hana baba Hana mama yeye ni muhuwaji na ni mwezi hanaarembu watu wa mungu pole Sana kaka

  • @judyauko8134
    @judyauko8134 Год назад +3

    Kwa kweli hii simulizi inaniuma sana hasa mauaji ya wale watoto watatu na mama yao. Asante Anko J .
    Anti J nawakilisha 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂

  • @user-pj1vo8eq7g
    @user-pj1vo8eq7g 4 месяца назад +2

    hadi na lia jamn ananikumbucha babangu leo iyi niko ya tima wa baba na ichi kwa chida 😭😭

    • @mporipori99
      @mporipori99 3 месяца назад

      Pole mrembo usiishi kwa shida sisi tupo nduguzako 😊❤

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Год назад +1

    Asante mr anko jay kwasimulizi nzuri nayenye mafunzo amakweli laana nimbaya

  • @user-zk7qh2tx7p
    @user-zk7qh2tx7p Год назад +1

    Mmmh kweliii uyoo mama dah ni atri ila kaka uko n simulizi nzuriii jmniiii dahhhhh

  • @janety1933
    @janety1933 Год назад +2

    Hii dunia Ina mambo mengi sana Mungu utusamehe na utujalie mwisho mwema

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +2

    Ahsante sana Anko jay 😊😊 kwa kibao kimpya naenjoy mwenyewe

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +2

    Lo! Kwa kweli dunia n mapito,,,

  • @BijouxKikwindi
    @BijouxKikwindi Год назад +1

    asatesana anko tumejufuza mabomegikwegnye hi simulizi yako nizuri 1:56:59 sana mungu akubariki sana kwasimulizi zuri 🙏🙏🙏🥰🥰

  • @rehemakaunda5648
    @rehemakaunda5648 Год назад +2

    Asante sana ankojay . Mkasa huu una fundisho kubwa sana

  • @janety1933
    @janety1933 Год назад +1

    Hivi kweli kabisa meshaki anapoteza mguu na mkono

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +1

    Anko Jay wewe msai kweli kweli umeamua rehema wa tanga ndo ni pesa wewe anko mapesa mmbaya sawa lakini ndo maamuzi yako tuko poa na yote unayopangia pamoja twakupenda ivyo ivyo tena sana daima mungu akubariki sana

    • @lovenesshadson3559
      @lovenesshadson3559 Год назад +4

      Sasa wewe unasema unampenda anko jay uku unataka kamseleleko utaki kumuungisha Sasa unampenda nini Kama anko jay aingizii pesaa au ndio ushabiki maandazii utaki maendeleo ya anko jay unataka vya bulee 😂😂😂hii ni biashara kwaiyo lazima ifanyikee kwa vyovyote

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +2

      Bora umenena

  • @annakinyi218
    @annakinyi218 Год назад +1

    Simulizi tamu sana mke wa mtu sumu Waaah nimekupata jay

  • @dhuhasaid636
    @dhuhasaid636 Год назад +1

    Mhuu mke wa baba tena hay 😊😊😊asant ankojay

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 Год назад +1

    Shukran sana Anko jay Kwa simuliza mzuri kweli kabisa laana hipo kweli nimejifunza sana

  • @mosesmutetu3543
    @mosesmutetu3543 6 месяцев назад +1

    Kwa mara ya kwanza nijifunza kua mke wa m2 sumuuuu nikomaaaaaa

  • @zaynabumfamao6792
    @zaynabumfamao6792 Год назад +1

    ahsante sana anko jay allah afanye wepes inshaallah uzid tuletelea vitu vizur zaid❤❤❤

  • @janety1933
    @janety1933 Год назад +1

    Nimesikiliza simulizi nyingi lakin hii imenigusa sana nyie Dunia inafunza kumbe dhambi inalipwa hapahapa kule Kwa Mungu ni hesabu tyu

  • @user-by3rf1ug4r
    @user-by3rf1ug4r 9 месяцев назад +1

    Pole sana ndugu umeyapitia sana

  • @user-nt1do3vn8x
    @user-nt1do3vn8x 3 месяца назад +1

    Asante ni nzuri Kisha inatupa funzo

  • @fjggoxfh9502
    @fjggoxfh9502 Год назад +1

    Ankojay kweli nimepatafunzo kupitia iyisimulizi imenifunza kilasik kuogopa wazazi😭😭😭😭😭

  • @user-oz1xn3ms8i
    @user-oz1xn3ms8i Год назад +2

    Huyo ndo mwanamke bhan akilitaka kitu halishindwi

  • @isabellachizi4346
    @isabellachizi4346 Год назад +2

    Leo nimewaiii ,😂😂😂😂😂aaaaaah weee rahaaa

  • @ChristianChristianRehema
    @ChristianChristianRehema 4 дня назад

    Pole sana weinaima inaliza😢

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +2

    Aaaa Leo Mimi wa kwanza🪑🪑🪑🎧🎧🎧🇸🇦🇸🇦

  • @mushken65
    @mushken65 Год назад +1

    Ankojay hii simulizi ya tisha naina majonzi ukijiweka kwa viatu za huyu boy. Ina mafundisho eti malipo ni hapa hapa. Tenda mema siku zote 🇰🇪

  • @nasrarajabu4260
    @nasrarajabu4260 Год назад +1

    Jomn meshaki pole 😢kwa changamoto

  • @lovenessyesse9053
    @lovenessyesse9053 Год назад +1

    Duh hakik malipo nihapa hapa dunian Aya asant anko jey kwa hii simulizi kiukweli nimejifunza jmn 🙏🙏

  • @user-ip6hb1nq2u
    @user-ip6hb1nq2u 10 месяцев назад +1

    Makubuwa jamani mateso bila chuki nice story

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Год назад +2

    Daah pole san😢hata kama amefanya makosa ila alikua hatakiw afanyiwe hivyo unyama huo

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua Год назад +3

    Mke wa baba ana nini tena haya twende kazi

  • @garyjavanayuga7255
    @garyjavanayuga7255 Год назад +1

    Hongera anko, I've been following your work back to back. Nairobi we love you.

  • @HappyMshanga-xx1ob
    @HappyMshanga-xx1ob Год назад +3

    Kumekuchaaa❤

  • @MaryChido-kp9br
    @MaryChido-kp9br Год назад +1

    Hakika hii simuliz imenifundisha anko j mungu akulinde

  • @SabyLove-sb5qb
    @SabyLove-sb5qb 2 месяца назад +1

    Hiyokali huyomwanamke alikua hanahuruma😢😢😢😢😢😢

  • @lucyjohn1342
    @lucyjohn1342 5 месяцев назад +1

    Ok.asante kaka mzuri

  • @user-yk6dg4kl3s
    @user-yk6dg4kl3s 2 месяца назад +1

    Ss jamaniiii uyo mama wa kambo kafanya nn tena

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +1

    Hope this massage will reach to all wababaz ambao wanatabia ya kuoa wasichana wachanga na ilhali wako wanarika wao ambao wanaweza kuzeeshana huko mbele ya safari,, shukran mr Jay i really appreciate your job

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +2

    Uzinzi ni kama ulevi kweli

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Год назад +1

    😢😢😢imesikitisha sana wamelipa makosa na wasiokua na hatia masikini

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +1

    Ahsante Anko Jay ❣️🙏

  • @kaneza932
    @kaneza932 11 месяцев назад +1

    Wawoooooo❤❤❤❤❤

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Dah Meshark bora ungekazsnia tu kuhama

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 Asante anko jey

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Duh Maskini Meshark
    Mke wa baba ako kakuponza

    • @RuwaylaNassor
      @RuwaylaNassor 11 месяцев назад

      Malipo apa apa dunian jmn!!! Akhera esabu tuu

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Год назад +2

    Ako kama alijuwa Maana siwezi kupika simulizi pembeni 😘😘😘😘😘😁😁😁😁

    • @angelfarijala5498
      @angelfarijala5498 Год назад +1

      Kumbe tu wengi jmn 😅😅me siku WI-FI imeisha huwa naumwa kwakukosa simulizi za Akoj

  • @Adonai810
    @Adonai810 Год назад +1

    BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER...INTERESTING STORY ANKO JAY

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 8 месяцев назад +1

    Thanks you Ankojay 😢😢😢

  • @REY_KATUNI1
    @REY_KATUNI1 Год назад +8

    Ukistaajabu ya REHEMA WA TANGA utayaona ya MESHACK😂😂😂😅

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +2

    Kazi zuri mke wa baba kafanyaje 😂😂😂

    • @AbduhKareem-hi7sg
      @AbduhKareem-hi7sg Год назад +1

      🤣🤣🤣 endelea kusikiliza mambo 🔥🔥🔥🔥🔥 🔥🔥

  • @olivabata287
    @olivabata287 Год назад +1

    Uncle J inasikitisha ukovizuriiii

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua Год назад +1

    Jamani hii simulizi imeniliza mpaka nimechoka duuuh hii dunia kweli haina huruma

  • @evelinazaina2455
    @evelinazaina2455 Год назад +1

    Hiii simulizi imenigusa sana😢😭😭😭😭😭

  • @SubiraMustafa-zz1zh
    @SubiraMustafa-zz1zh 8 месяцев назад +1

    Dah imeniuma😢

  • @user-wp4sk2hn1f
    @user-wp4sk2hn1f 3 месяца назад +1

    Pole,sana😢

  • @leahmajaliwa6575
    @leahmajaliwa6575 Год назад +1

    Tunashukur broo Jana tumekoma mpaka basi

  • @sophiebanga9533
    @sophiebanga9533 2 месяца назад

    Nice story kama iyi kitendo inamfukiya mtu yeyote kupendwa na ndugu ama mm ni vizuri kweka ayo wazi si kuweka siri

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад +1

    Jmn hii simulizi yauzunisha 😢😢😢😢

  • @MerissahFlavour
    @MerissahFlavour Год назад +1

    Kaliii

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Год назад +1

    Asanteee saaana anko j kwa mafuzo

  • @suzanaminde281
    @suzanaminde281 4 месяца назад +1

    Kwa Kweli ankojey unatukwaza Bana Alvulisa kaishia wapi?

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Sawa Anko asante😊

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Год назад +9

    Leo wakwanza wanafamilia comment zenu nazisubili Asante Anko jay 🔥🔥

  • @dianabrownie1829
    @dianabrownie1829 Год назад +1

    Daaaaaaah inauma sana jmn😢😢😢😢

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +2

    Anko jay malizia rehema wa tanga

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Год назад +1

    Nimechelewa kidogo Anko ila usiwaze tuko pamoja

  • @salhakristina9434
    @salhakristina9434 Год назад +1

    Shukurani sana ankojay ❤❤❤❤

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +2

    Tusikize mama wa kambo

  • @user-ie3nz3ty2b
    @user-ie3nz3ty2b 2 месяца назад

    jaman wanawake ujinga tuachen mtu kama humpend unamuacha sio kumchanganya baba namtoto uwii umeponzwa mtoto , baba mtumzima kajisitiri akutunze ili ukue half unajiigiza kweny wizi wamapenz bora ugehama nyumbn jaman

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +1

    Kabisaa malipo ni hapa duniani

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Год назад +1

    Japo imeniliza jamani

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +2

    Wa kwanza mie

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Bora ungerudi tu kwa babakama ni adhabu ajupe yeye
    Ni bora kuliko huo ulemavu uliopta Meshark

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +2

    Mhmm,jamani,kama ni malipo yamezidi kiwango,hata kama ni dhambi hayo malipizi yamezidi kiwango

  • @user-ds7fr4pr9m
    @user-ds7fr4pr9m Год назад +1

    Duu inaumiza sana

  • @user-ie3nz3ty2b
    @user-ie3nz3ty2b 2 месяца назад

    hawa wanawake wakuoa uzeen
    nitabu tupuuu

  • @popod177
    @popod177 Год назад +1

    Yani uncle umetubania kabisa rehema sio...

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Год назад +1

    Mwiba wajujitakia huo wala pole hauna

  • @TatuMagubika-kz4nv
    @TatuMagubika-kz4nv Год назад +2

    Nmekuw wa kwanz😚😚

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 Год назад +2

    Wa kwanza leo

  • @LoveKanuya-mv2iw
    @LoveKanuya-mv2iw Год назад +3

    Asante kwa story anko😍😍😍

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Hiyo ndiyo laana yenyewe hiyo

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Nenda kwa baba kamuombe radhi hata akikushikia kisu usiogope nenda tu

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Mwanamke muuaji huyo

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Год назад +1

    Laana huenda kwa vizazi na vizazi

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Subhanallhah dah Meshark

  • @cathrinenjeri3149
    @cathrinenjeri3149 Год назад +1

    Good job Ankojay ❤

  • @shanikiwele3111
    @shanikiwele3111 Год назад +3

    Ankooo morning

  • @khadijashabani6167
    @khadijashabani6167 Год назад +1

    Inamafunzo sana

  • @shaklamwai7868
    @shaklamwai7868 Год назад +1

    One love ❤

  • @sityselemani8887
    @sityselemani8887 Год назад +1

    Kwanza nicheke afu sehemu yapili utubanie😂😂

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      Hiyo ni Full Mwanzo Mwisho, Haina part 2

  • @babyangele3847
    @babyangele3847 Год назад +1

    Thanks Sana ankojay stroy Ni tamu

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Kabisa Meshark
    Ni.laana ambayo haina msamaha

  • @imanwalid6549
    @imanwalid6549 Год назад +1

    Welcome back 🙏

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Damu nzito kuliko maji nennda tu