NILIVYOSAFIRI NA JINI KUTOA DAR MPAKA MOSHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 ноя 2023
  • Jina langu naitwa Halima Mohamed Mgaza, nilizaliwa mwaka 1995 katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Moshi mjini. Wakati nikiwa natafakari hayo mabadiliko ya ulimwengu juu yangu nikajikuta naangukia katika jaribu la
    kipekee, jaribu ambalo hata familia yangu ililazimika kusimama mbali nami na kufanya subra kimaamuzi iwapo wasogee ama wakimbie moja kwa moja.
    Narejea kulitambulisha jina langu mpenzi msomaji wa mkasa huu.
    Naitwa Halima Mohamed Mgaza. Tafadhali nakusihi sana ujifunze na kuchukua tahadhari kwa yale yaliyonitokea.
    ‪@ankojay_‬
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 265

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 8 месяцев назад +24

    Naipenda sana sauti ya msimulizi, kuna watu wamejaaliwa na sauti zao. 16.11.23.

  • @user-yl4zp5qd7t
    @user-yl4zp5qd7t 8 месяцев назад +24

    Hata wa mwisho hua anapewa Like na 🎉🎉🎉🎉 yake nipozeni jp kidogo kwa like

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 8 месяцев назад +19

    Simulizi tamu ila unapoota ndoto jaribu kuzikemea na kujiombea ili yasikupate kama yaliyompata huyo halima mungu simama nasi yarrab 😢😢😢😢😢😢

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 8 месяцев назад +11

    Subhanallah mwenyezimungu atulinde yarrab kuna mambo ya kutisha duniani 😢😢😢😢

  • @roseraymond4954
    @roseraymond4954 8 месяцев назад +10

    Mimi wa Kwanza naombeni hizo like nihangaike nazo😂

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂vip na ww ni shaghara 😂😂

  • @user-pr1uy3sh3o
    @user-pr1uy3sh3o 8 месяцев назад +8

    Anko j..sauti yako nzuri ndio yanifanya niwe nakuskiza kila mda nakupenda sana

    • @ankojay_
      @ankojay_  8 месяцев назад +2

      Nawapenda pia 😍

  • @user-ed1zb8lw2j
    @user-ed1zb8lw2j 8 месяцев назад +7

    Nimelipenda sana simulizi kabla hata aijaisha imebidi nicoment

  • @aliyhassan6715
    @aliyhassan6715 8 месяцев назад +7

    Eeee mambo hy jin tena ndan ya buss like jaman leo wa kwanza ❤❤❤

  • @user-wk7og1wb1o
    @user-wk7og1wb1o 8 месяцев назад +10

    Wakwanz Leo jamn like hat 5 zinatoxh ❤❤

  • @evarahma9409
    @evarahma9409 8 месяцев назад +5

    👍👍asnte kwa simuliz zuri❤❤

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga2745 8 месяцев назад +6

    Wow,naomba likes zenu wapendwa,kazi nzuri sana Anko jay,

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 8 месяцев назад +10

    Hata nusu saa haijafika watu wamecomment hatr bs tijuana kwenye like ❤❤

  • @user-oe7qe9es6k
    @user-oe7qe9es6k 8 месяцев назад +5

    Nimejitaidi leo asante ❤❤❤🎉🎉

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 8 месяцев назад +5

    Anko jay simulizi nzuri

  • @violetmulya
    @violetmulya 8 месяцев назад +6

    Ankojay you are one in a million Yani ujua kusimulia Ady unakera, ni ankojay tw ambaye hua nasikia faraja pindi nisikiapo sauti yake❤❤❤❤

    • @ankojay_
      @ankojay_  8 месяцев назад +3

      ❤🎉 Enjoy

  • @violetmulya
    @violetmulya 8 месяцев назад +4

    Wakati mwingine mungu hutuletea ndoto ila tunapuuza ety ni ndoto tw, yafaa tujifunze ukiota ndoto mbaya amka na ukemee hiyo ndo na hai watu hukuonekania kwenye ndoto ni mungu anakufungua macho ili uwajue wabaya wako na ujue jinsi ya kuepuka, kama bado hayajakukumba, tuwe makini sana na ndoto zingine

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 8 месяцев назад

      Maskini ndiyo huwa wanaota ndoto za ajabu tu,sisi matajiri kwanza huo muda wa kuota hatuna.Maskini wamewekeza kwenye mapenzi,ngono na ushirikina.Hata ukimwi umeletewa maskini tu ili uwapunguze

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 8 месяцев назад +4

    Ahsante sana kwa simulizi

  • @user-ho7vw6or8h
    @user-ho7vw6or8h 8 месяцев назад +11

    Mwenyezi mungu atulinde na majini😢😢😢😢

    • @EpimackChami
      @EpimackChami 8 месяцев назад

      Anko jay umetishaaaaaaaaaaaaa

  • @lindazawadi732
    @lindazawadi732 8 месяцев назад +5

    Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉 likes zang please

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en 8 месяцев назад +4

    Asante kaka nakuelewa sana

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 8 месяцев назад +4

    😊😊ninavyo jua kukesha atimaye juma hiza Leo ametukumbuka Asante anko jay Kwa sauti nzuri

  • @user-ui6rf8yx7s
    @user-ui6rf8yx7s 8 месяцев назад +5

    Hatimae mmetukumbuka wa kilimanjaro❤❤❤❤❤❤❤❤ishisana anko jay unapepoyako chauongo wangu😊😊😊😊😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂

  • @user-yv9sz1jn5n
    @user-yv9sz1jn5n 8 месяцев назад +3

    Pole sana Halima Kwa yote, anko npo ngangari Sana kwa simuliz ya X achilia mambo banaa

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u 8 месяцев назад +3

    Daah pole sana halima yapo hya tunayaona❤❤

  • @user-ll4tm2bk3s
    @user-ll4tm2bk3s 7 месяцев назад +9

    I like your voice❤

  • @dullasaid1027
    @dullasaid1027 7 месяцев назад +2

    ❤❤❤💐💐💐💐💐💐💐 nimeipenda na ina mafunzo mazuri sana pia honger mtangazaj maan umejaliwa sauti moja bomb ana hata umenikosh jaman

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 8 месяцев назад +4

    Good job 👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati usicheko kutupa vitu moto moto

  • @maryamhabibu2405
    @maryamhabibu2405 7 месяцев назад +3

    Una sauti nzuri sanaaaaaaaa anko j mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tele

  • @fatumahaji-ei5hk
    @fatumahaji-ei5hk 8 месяцев назад +4

    Yani anko unajua kubalansi sauti yako kilasekta unaiweza mpataka nahisi nipo na mtu ananipigisha stori asante nainjoi

  • @user-yl4zp5qd7t
    @user-yl4zp5qd7t 8 месяцев назад +7

    Nisimulizi nzuri na yenye mafunzo Ahsante sana Anko Jay na mwandishi Juma Hiza! Ni kisa chenye mafunzo hasa Imani kwani si kila king'aacho ni dhahabu Ahsante

  • @yusrambodze3804
    @yusrambodze3804 8 месяцев назад +3

    Asante anko jay kwa kitu kipya🎉🎉🎉

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 8 месяцев назад +12

    Inasikitisha sana japo duniani sote ni wapita njia hutujuwi ya Kesho, thank you so much Ankojay

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 8 месяцев назад +4

    Mamaaa ndonaamka jamani😂😂 sijachelewa sanaa anko jay asante kwa kitu kipya❤❤❤❤

  • @user-mm6ht5bx7d
    @user-mm6ht5bx7d 7 месяцев назад +3

    Zuri sana ina kafunzo

  • @AnelithaMakonya-cy7gn
    @AnelithaMakonya-cy7gn 7 месяцев назад +3

    Pole san dada halim mungu akulinde pamoj na mwanao

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f 8 месяцев назад +2

    Mashallah anko Jay maana kila siku unamapya barka rafiki Allah akubariki sana

  • @LyidiaSilayo
    @LyidiaSilayo 8 месяцев назад +7

    Watu wanalala humu ndani jmn duu ❤❤❤

  • @peninahmmbone4648
    @peninahmmbone4648 8 месяцев назад +3

    Asante Ankojay 🙏🙏❤❤❤ big up kwa kazi nzuri

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 8 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉asante sana ankojey 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 7 месяцев назад +3

    Simulizi tamu sanaa.17.11.23.

  • @user-lx3bs3iq8t
    @user-lx3bs3iq8t 8 месяцев назад +3

    Simliz nzur san❤❤❤❤❤

  • @jacklynmwarabu8211
    @jacklynmwarabu8211 8 месяцев назад +2

    Anko jay mm l like your voice

  • @haleemahhamisi2534
    @haleemahhamisi2534 8 месяцев назад +3

    ❤❤🎉🎉anko j asante Kwa kigogo kipya hatimae Leo nimetimba kwenye simulizi 😊😊

  • @user-dm4so1xd5t
    @user-dm4so1xd5t 8 месяцев назад +3

    Love Anko ❤

  • @judikadzo8712
    @judikadzo8712 8 месяцев назад +2

    wakwanza jamani Asante sana anko jay ❤❤

  • @emmanuelmachibya2034
    @emmanuelmachibya2034 7 месяцев назад +1

    Excellent work uncle

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry947 8 месяцев назад +4

    ᴸᵉᵒᵒ ⁿⁱᵖᵒ ʳᵃᵈᵃ ʷᵉˡᶜᵒᵐᵉ ᵃⁿᵏᵒ ⁿⁱᵖᵒ ⁿᵃʷᵉ ᵐᵖᵃᵏᵃ basi❤❤❤❤

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 8 месяцев назад +2

    Waooo ❤❤❤🥀🥀🥀💐💐💐

  • @everlynmbondo-yh1rm
    @everlynmbondo-yh1rm 8 месяцев назад +2

    🎉Nice

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip 8 месяцев назад +6

    Wa 37 leo nimewahi❤❤❤❤❤

  • @MoshiMoshi-qy8dq
    @MoshiMoshi-qy8dq 8 месяцев назад +10

    🎉🎉🎉 sweet voice 😍 🎉🎉

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc 8 месяцев назад +2

    shukrani anko j

  • @user-xv5fw6uk8p
    @user-xv5fw6uk8p 7 месяцев назад +2

    Nzuri sana❤

  • @terimberekenny
    @terimberekenny 8 месяцев назад +2

    Nzuriii

  • @MwasityTz
    @MwasityTz 3 месяца назад

    Anko jay pamoja na madamu rissa hongera kwa simulizi nzr penda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @omerrashed9080
    @omerrashed9080 8 месяцев назад +1

    Asate ankojay❤❤❤🎉🎉allah akubariki

  • @user-fq7wf9mu6l
    @user-fq7wf9mu6l 8 месяцев назад +1

    Waaaah nimepata leo furaha kumbwa❤❤

  • @shamymongola5758
    @shamymongola5758 7 месяцев назад

    Nice voice unakiti chako mbinguni yaan munguabarki kipaji chako🎉❤❤

  • @user-sj3be6hn8b
    @user-sj3be6hn8b 2 месяца назад

    Anko jay simulizi nzuli sana

  • @DanielyAmbrosy
    @DanielyAmbrosy Месяц назад

    Umetishana anko j kwa simulizi kali

  • @Mziwandaa
    @Mziwandaa 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉 Asante ank jay

  • @saidhassan8080
    @saidhassan8080 8 месяцев назад +2

    Wakwaanza 🎉🎉❤❤

  • @user-ox1ii6cp2t
    @user-ox1ii6cp2t 8 месяцев назад +2

    🎉umetisha sana🎉🎉

  • @RubySamuel-rt8ln
    @RubySamuel-rt8ln 8 месяцев назад +2

    Nmechelewa❤❤❤❤❤❤

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 8 месяцев назад +1

    Nimechekewa kindogo ila na enjoy Anko j thanks 🎉🙏🙏 ❤❤❤❤

  • @AshaAbedi-nw9xd
    @AshaAbedi-nw9xd 8 месяцев назад +1

    Nili kumiss we anko ❤❤

  • @user-km5or2zn7t
    @user-km5or2zn7t 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤kozizuri sn ninapenda kazi yako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @anawiliam-eb4kb
    @anawiliam-eb4kb Месяц назад +1

    Simulizi zako zote alizowahi kusimulia wewe tangu upo simulizi mix mpaka uku zote nimesikiliza ila Lissa imenishinda kwakweli😢

  • @user-uu3si6dx9b
    @user-uu3si6dx9b 8 месяцев назад +5

    Story zako nazipenda sana from oman hilo bas sasa😂😂😂

  • @Ilham-rc3zm
    @Ilham-rc3zm 5 месяцев назад +1

    Kweli Dunia is have many megic 😮

  • @zawadtwahirusuleyman1392
    @zawadtwahirusuleyman1392 8 месяцев назад +2

    Cjachelewa sana ❤❤❤

  • @CARVERY653
    @CARVERY653 8 месяцев назад +4

    Nilisafiri na jini ndani ya bass, inashitua na kuogopesha ila nasikiliza😊😅😂

  • @user-xn3fd8cf2n
    @user-xn3fd8cf2n 7 месяцев назад +1

    Nzur sana🎉🎉

  • @user-ix2ld7ly8r
    @user-ix2ld7ly8r 7 месяцев назад

    Msimulizi sauti yako tamu kweli kweli . Hongera dogo.

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 8 месяцев назад +2

    Mungu wangu jamani 😭💔😭 pole kaka angu

  • @dianandabirorere6365
    @dianandabirorere6365 8 месяцев назад +1

    Nimejitahidi Ku wahi Siku ya leo❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr 8 месяцев назад

    Shukran Anko Jay❤❤❤

  • @user-np8ol7bd4r
    @user-np8ol7bd4r 2 месяца назад

    Asante sana mabrukiii 👍

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 8 месяцев назад +1

    Kazi safi😊😊😊

  • @TwigaofishoOfisho
    @TwigaofishoOfisho 24 дня назад

    Anko jay nakupnda mpk nakuiga xauty nyumbani wananicheka nikiongea nawaongelra xauty Yako🙈🙈🙈😘

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 7 месяцев назад +2

    Simulizi ni pambe kwani tujifuze tunapo safari kuwa makini sio wote ni habiliya unaweza kuyatimba kam dada angu g
    hapo na pia usiwe walaini Sana kukubali kwenye siku mbili mchunguze kidogo kwani Dunia hii jamani Kuma mambo mengi mnooooooo pole Sana dada halima mlee mtoto wako uwezi kujua sawa eshima kwako mwandishi na Ankojay pamoja sana

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 8 месяцев назад +3

    Thank you Ankojay🥰🥰🥰kaka juma napenda story zako 🥰🥰🥰

  • @HassanRamadhani-xn3cg
    @HassanRamadhani-xn3cg 7 месяцев назад

    Kweli upo vizuri katika simulizi hongera pia mtunzi.

  • @user-ip6hb1nq2u
    @user-ip6hb1nq2u 8 месяцев назад +1

    jamani ata mm naongopa kuongeya na mtu kwa gari nimejifuza sana simulizi hii ina urumisha

  • @Ivyagua
    @Ivyagua 8 месяцев назад

    Anko kazi zako n safi sana❤❤saba ❤

  • @agnessmwajojo-gr4ko
    @agnessmwajojo-gr4ko 8 месяцев назад +1

    Vyenyee unaweza zibadilisha hizo Sauti Sasa yaani ...siku Moja tusimulie ya kirikuu na sauti ya karaba

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 8 месяцев назад

    Nipo ndani ya ankojay simlizi 😊

  • @bijouxbigaya2116
    @bijouxbigaya2116 8 месяцев назад +1

    Kunawatu hamulali n'a kufayilia Anko j muko Sawa kabisa

  • @user-mt9qg2br8p
    @user-mt9qg2br8p 6 месяцев назад

    Napenda sauti yako nzuri kaka mungu akubariki sana

  • @user-gn9qf9ie6n
    @user-gn9qf9ie6n 7 месяцев назад

    Nzuri sana😘💌

  • @jamilarimo5546
    @jamilarimo5546 8 месяцев назад +82

    Nimewahii leo wakwanza nipeni likeszenu

    • @asmahassan5661
      @asmahassan5661 7 месяцев назад

      ​@@ywydhhd7941mmi ni shaghara my😊

    • @GraceMathew-ky3by
      @GraceMathew-ky3by 7 месяцев назад +3

      Pole xana he imeniuma sana kama mwanamke mwezio

  • @user-ek7pb1bj1l
    @user-ek7pb1bj1l 7 месяцев назад

    Kwakweli mwanzo inafurahisha lakini mwisho inasikitisha kwakweli ❤❤❤

  • @fatumahassan2636
    @fatumahassan2636 8 месяцев назад +1

    Love you Ankojay❤❤

  • @valerieobanya5172
    @valerieobanya5172 7 месяцев назад

    You sound so good like Jamal wa The Story Book although a bit dramatic

  • @user-gt2wl6ry3z
    @user-gt2wl6ry3z 7 месяцев назад

    Ankojay umebarikiwa saut tam sana mash aalwaa naipenda hatar

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman2619 7 месяцев назад

    Pole sana dadangu nakuombea mema

  • @mariamjumamussa9292
    @mariamjumamussa9292 8 месяцев назад +1

    Asante sana🙏🙏

  • @user-jt6qg2ze4z
    @user-jt6qg2ze4z 8 месяцев назад +2

    Anko j anapenda xn simlizi zako nasikiliza kutoka kenya

  • @saadamohammed7431
    @saadamohammed7431 8 месяцев назад +1

    Ahsante ancojay kwa hii simulizi love story 🥰🥰🥰🥰

  • @MishyYusuph
    @MishyYusuph 8 месяцев назад

    Bado tuko pamoja Anko Jay.