NILIVYOSAFIRI NA JINI KUTOA DAR MPAKA MOSHI
HTML-код
- Опубликовано: 7 ноя 2023
- Jina langu naitwa Halima Mohamed Mgaza, nilizaliwa mwaka 1995 katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Moshi mjini. Wakati nikiwa natafakari hayo mabadiliko ya ulimwengu juu yangu nikajikuta naangukia katika jaribu la
kipekee, jaribu ambalo hata familia yangu ililazimika kusimama mbali nami na kufanya subra kimaamuzi iwapo wasogee ama wakimbie moja kwa moja.
Narejea kulitambulisha jina langu mpenzi msomaji wa mkasa huu.
Naitwa Halima Mohamed Mgaza. Tafadhali nakusihi sana ujifunze na kuchukua tahadhari kwa yale yaliyonitokea.
@ankojay_ Развлечения
Naipenda sana sauti ya msimulizi, kuna watu wamejaaliwa na sauti zao. 16.11.23.
Hata wa mwisho hua anapewa Like na 🎉🎉🎉🎉 yake nipozeni jp kidogo kwa like
Hakuna nga wa misho😂
Mimi wa pili
Simulizi tamu ila unapoota ndoto jaribu kuzikemea na kujiombea ili yasikupate kama yaliyompata huyo halima mungu simama nasi yarrab 😢😢😢😢😢😢
Subhanallah mwenyezimungu atulinde yarrab kuna mambo ya kutisha duniani 😢😢😢😢
Mimi wa Kwanza naombeni hizo like nihangaike nazo😂
😂😂😂😂😂😂😂vip na ww ni shaghara 😂😂
Anko j..sauti yako nzuri ndio yanifanya niwe nakuskiza kila mda nakupenda sana
Nawapenda pia 😍
Nimelipenda sana simulizi kabla hata aijaisha imebidi nicoment
Eeee mambo hy jin tena ndan ya buss like jaman leo wa kwanza ❤❤❤
Wakwanz Leo jamn like hat 5 zinatoxh ❤❤
👍👍asnte kwa simuliz zuri❤❤
Wow,naomba likes zenu wapendwa,kazi nzuri sana Anko jay,
Hata nusu saa haijafika watu wamecomment hatr bs tijuana kwenye like ❤❤
Nimejitaidi leo asante ❤❤❤🎉🎉
Anko jay simulizi nzuri
Ankojay you are one in a million Yani ujua kusimulia Ady unakera, ni ankojay tw ambaye hua nasikia faraja pindi nisikiapo sauti yake❤❤❤❤
❤🎉 Enjoy
Wakati mwingine mungu hutuletea ndoto ila tunapuuza ety ni ndoto tw, yafaa tujifunze ukiota ndoto mbaya amka na ukemee hiyo ndo na hai watu hukuonekania kwenye ndoto ni mungu anakufungua macho ili uwajue wabaya wako na ujue jinsi ya kuepuka, kama bado hayajakukumba, tuwe makini sana na ndoto zingine
Maskini ndiyo huwa wanaota ndoto za ajabu tu,sisi matajiri kwanza huo muda wa kuota hatuna.Maskini wamewekeza kwenye mapenzi,ngono na ushirikina.Hata ukimwi umeletewa maskini tu ili uwapunguze
Ahsante sana kwa simulizi
Mwenyezi mungu atulinde na majini😢😢😢😢
Anko jay umetishaaaaaaaaaaaaa
Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉 likes zang please
Asante kaka nakuelewa sana
😊😊ninavyo jua kukesha atimaye juma hiza Leo ametukumbuka Asante anko jay Kwa sauti nzuri
Hatimae mmetukumbuka wa kilimanjaro❤❤❤❤❤❤❤❤ishisana anko jay unapepoyako chauongo wangu😊😊😊😊😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
Pole sana Halima Kwa yote, anko npo ngangari Sana kwa simuliz ya X achilia mambo banaa
Daah pole sana halima yapo hya tunayaona❤❤
I like your voice❤
❤❤❤💐💐💐💐💐💐💐 nimeipenda na ina mafunzo mazuri sana pia honger mtangazaj maan umejaliwa sauti moja bomb ana hata umenikosh jaman
Good job 👍❤❤❤🎉🎉🎉 mungu azidi kukubariki kila wakati usicheko kutupa vitu moto moto
Una sauti nzuri sanaaaaaaaa anko j mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tele
Yani anko unajua kubalansi sauti yako kilasekta unaiweza mpataka nahisi nipo na mtu ananipigisha stori asante nainjoi
Nisimulizi nzuri na yenye mafunzo Ahsante sana Anko Jay na mwandishi Juma Hiza! Ni kisa chenye mafunzo hasa Imani kwani si kila king'aacho ni dhahabu Ahsante
Asante anko jay kwa kitu kipya🎉🎉🎉
Inasikitisha sana japo duniani sote ni wapita njia hutujuwi ya Kesho, thank you so much Ankojay
Mamaaa ndonaamka jamani😂😂 sijachelewa sanaa anko jay asante kwa kitu kipya❤❤❤❤
Zuri sana ina kafunzo
Pole san dada halim mungu akulinde pamoj na mwanao
Mashallah anko Jay maana kila siku unamapya barka rafiki Allah akubariki sana
Watu wanalala humu ndani jmn duu ❤❤❤
😂😂😂😂
Asante Ankojay 🙏🙏❤❤❤ big up kwa kazi nzuri
❤❤❤❤🎉🎉🎉asante sana ankojey 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Simulizi tamu sanaa.17.11.23.
Simliz nzur san❤❤❤❤❤
Anko jay mm l like your voice
❤❤🎉🎉anko j asante Kwa kigogo kipya hatimae Leo nimetimba kwenye simulizi 😊😊
Love Anko ❤
wakwanza jamani Asante sana anko jay ❤❤
Excellent work uncle
ᴸᵉᵒᵒ ⁿⁱᵖᵒ ʳᵃᵈᵃ ʷᵉˡᶜᵒᵐᵉ ᵃⁿᵏᵒ ⁿⁱᵖᵒ ⁿᵃʷᵉ ᵐᵖᵃᵏᵃ basi❤❤❤❤
Waooo ❤❤❤🥀🥀🥀💐💐💐
🎉Nice
Wa 37 leo nimewahi❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉 sweet voice 😍 🎉🎉
shukrani anko j
Nzuri sana❤
Nzuriii
Anko jay pamoja na madamu rissa hongera kwa simulizi nzr penda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asate ankojay❤❤❤🎉🎉allah akubariki
Waaaah nimepata leo furaha kumbwa❤❤
Nice voice unakiti chako mbinguni yaan munguabarki kipaji chako🎉❤❤
Anko jay simulizi nzuli sana
Umetishana anko j kwa simulizi kali
🎉🎉🎉 Asante ank jay
Wakwaanza 🎉🎉❤❤
🎉umetisha sana🎉🎉
Nmechelewa❤❤❤❤❤❤
Nimechekewa kindogo ila na enjoy Anko j thanks 🎉🙏🙏 ❤❤❤❤
Nili kumiss we anko ❤❤
❤❤❤kozizuri sn ninapenda kazi yako❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Simulizi zako zote alizowahi kusimulia wewe tangu upo simulizi mix mpaka uku zote nimesikiliza ila Lissa imenishinda kwakweli😢
Story zako nazipenda sana from oman hilo bas sasa😂😂😂
Kweli Dunia is have many megic 😮
Cjachelewa sana ❤❤❤
Nilisafiri na jini ndani ya bass, inashitua na kuogopesha ila nasikiliza😊😅😂
Nzur sana🎉🎉
Msimulizi sauti yako tamu kweli kweli . Hongera dogo.
Mungu wangu jamani 😭💔😭 pole kaka angu
Nimejitahidi Ku wahi Siku ya leo❤❤❤❤❤🎉🎉
Shukran Anko Jay❤❤❤
Asante sana mabrukiii 👍
Kazi safi😊😊😊
Anko jay nakupnda mpk nakuiga xauty nyumbani wananicheka nikiongea nawaongelra xauty Yako🙈🙈🙈😘
Simulizi ni pambe kwani tujifuze tunapo safari kuwa makini sio wote ni habiliya unaweza kuyatimba kam dada angu g
hapo na pia usiwe walaini Sana kukubali kwenye siku mbili mchunguze kidogo kwani Dunia hii jamani Kuma mambo mengi mnooooooo pole Sana dada halima mlee mtoto wako uwezi kujua sawa eshima kwako mwandishi na Ankojay pamoja sana
Thank you Ankojay🥰🥰🥰kaka juma napenda story zako 🥰🥰🥰
Kweli upo vizuri katika simulizi hongera pia mtunzi.
jamani ata mm naongopa kuongeya na mtu kwa gari nimejifuza sana simulizi hii ina urumisha
Anko kazi zako n safi sana❤❤saba ❤
Vyenyee unaweza zibadilisha hizo Sauti Sasa yaani ...siku Moja tusimulie ya kirikuu na sauti ya karaba
Nipo ndani ya ankojay simlizi 😊
Kunawatu hamulali n'a kufayilia Anko j muko Sawa kabisa
Napenda sauti yako nzuri kaka mungu akubariki sana
Nzuri sana😘💌
Nimewahii leo wakwanza nipeni likeszenu
@@ywydhhd7941mmi ni shaghara my😊
Pole xana he imeniuma sana kama mwanamke mwezio
Kwakweli mwanzo inafurahisha lakini mwisho inasikitisha kwakweli ❤❤❤
Love you Ankojay❤❤
You sound so good like Jamal wa The Story Book although a bit dramatic
Ankojay umebarikiwa saut tam sana mash aalwaa naipenda hatar
Pole sana dadangu nakuombea mema
Asante sana🙏🙏
Anko j anapenda xn simlizi zako nasikiliza kutoka kenya
Ahsante sana
@@ankojay_ part 2 plz
Ahsante ancojay kwa hii simulizi love story 🥰🥰🥰🥰
Bado tuko pamoja Anko Jay.