Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

USIJARIBU KUMTONGOZA HUYU MWANAMKE - SIMULIZI YA KWELI YENYE KUSISIMUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 авг 2023
  • nawaomba wanaume hasa wanaoishi na wake huku wakiwa na watoto wa nje ya ndoa, upendo usizidi kipimo kiasi cha kujenga chuki kati ya mama na mtoto. Mwisho nilimshukuru Mungu kunikutanisha tena na familia yangu ambayo sikuwaza kuna siku nitakutana nayo tena.

Комментарии • 235

  • @omanoman8700
    @omanoman8700 11 месяцев назад +18

    Kwakweli hii sio simulizi ni kisa chenye ukweli kabisa asante anko jay na muandishi kwani haya ni maisha ya watu tunayo ishi❤❤❤

  • @getrayakoyi9185
    @getrayakoyi9185 10 месяцев назад +2

    Ndugu zangu tuombeane Kila wakati atujui ya kesho huyu Binti Jehova amurehemu Kwa kweli ni ngumu na inauma sana pole sana Binti pokea amani Kwa jina la yesu kristo usikate Tama songa mbele Kwa Imani mungu alikujua tangia tumboni mwa mama Yako🙏🥀🌹❤️🙏🕊️

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 11 месяцев назад +67

    Hi wapendwa?leo wa 1 naomba link zenu ❤ ata 10 Yan ahsante AnkoJay Acha ni 🪑🎧 nii join

    • @japhetaverin-ou9rp
      @japhetaverin-ou9rp 11 месяцев назад +5

      Hongera🎉❤

    • @girukwishakaclaudine5374
      @girukwishakaclaudine5374 11 месяцев назад +3

      Ankojay Mungu wetu wambi akuzidie kipaji chako zaidi pamoja na Ally mbetu ❤

    • @rizmwMwriz-mf2cu
      @rizmwMwriz-mf2cu 11 месяцев назад +2

      Aamin Shukran za dhati ziwafikie ntoye team Anko J,,,,,ongera sana Ali Mbeto Mungu azdi kukupa furaha na uzma

    • @user-sj9rt4fy9d
      @user-sj9rt4fy9d 11 месяцев назад

      ​@@girukwishakaclaudine5374Q

    • @IreneMwenda-nl2hu
      @IreneMwenda-nl2hu 11 месяцев назад +3

      Kiukweli mijitu mizima ila akili zakitto badala msikilize stort then mtoe maoni kamanzur mbaya au imekufundisha nn ila mpobize wakwanz mm wanyoko mnatukela san kuwen bhn sasa itakuwa aina haj yamaoni

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 11 месяцев назад +8

    Nimechelewa tena daah kwa kweli ANKOJAY tunajifunza mengi sana mungu hawabariki woote APEWE MAUA YAKE ALLY MBETU🌹🌹🌹

    • @rizmwMwriz-mf2cu
      @rizmwMwriz-mf2cu 11 месяцев назад

      🌹🌷🌺napokee kwa dhati

    • @shadyasalum192
      @shadyasalum192 11 месяцев назад

      @@rizmwMwriz-mf2cu shukraan 🌹🌹🌹

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 11 месяцев назад +2

    Pole Sana Dada shatani Hana huruma kabisa na mafanigio ya mtu lakini mungu ni mwema siku zote shatani ni muwaji baba wa uongo.

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 10 месяцев назад +1

    Anko Jay asanti sana kwa hii simulizi ya leo. Inahuzunisha na pia ina mafundisho makubwa kumbe unaweza ukao au ukaolewa na mtu wa nuksi. Inaogopesha🇰🇪

  • @violetmulya
    @violetmulya 11 месяцев назад +14

    Since I have arrived late, let me just send love to everyone here, feel loved ❤❤ ankojay and all story writer's we really appreciate your love 🙏🙏🙏❤️❤️❤️ because we have learned so many things through the story you bring each and every day and we are still learning more, thanks so much may almighty God bless the work of your hands ❤️

    • @Syviahalex
      @Syviahalex 11 месяцев назад +1

      Thanks dia

    • @violetmulya
      @violetmulya 11 месяцев назад

      @@Syviahalex always welcome habibi

    • @Syviahalex
      @Syviahalex 11 месяцев назад

      Say hae to waiguru😂

    • @violetmulya
      @violetmulya 11 месяцев назад +1

      @@Syviahalex maafi mushkila benat

    • @user-wm8zr4bo4c
      @user-wm8zr4bo4c 11 месяцев назад

      Jmn dada ❤❤

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u 5 месяцев назад +1

    Daah pole sana tuangaliehe na wanaume wakuolewa nao sio sili ,🙏

  • @fransiscafransisca3883
    @fransiscafransisca3883 11 месяцев назад +4

    Hiii wapenzi wa anko jay simulizi ❤❤❤🎉🎉nawapenda pamoja sana

  • @elizabethfrank271
    @elizabethfrank271 11 месяцев назад +5

    Bac Leo nimechelewa kidogo Ila naombeni like zenu tafadhali 😂😂😂

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 11 месяцев назад +2

    Asante sana anko Jay zidi kubarikiwa sana Jabali wetu King 👑,umenikumbusha hilo neno mume wetu nilikuwa nalipenda kukometi hadi nikasutwa na baby love,na Alex ❤❤❤❤🎉🎉 congratulations 👏👏👍 my dear good job tunaisubiri kigongo kingine mungu atujalie uzima daima twakupenda sana

  • @user-ho7vw6or8h
    @user-ho7vw6or8h 9 месяцев назад +2

    Anko j mungu akupe maisha marefu yenye aman na furaha❤❤❤❤❤❤❤

  • @patriciakyalo3454
    @patriciakyalo3454 11 месяцев назад +2

    Ever late 47 what a wonderful day God has granted us wana ankol jay simulizi na pia Mungu akubariki anko jay na ally betu

    • @Syviahalex
      @Syviahalex 11 месяцев назад

      Usijali dia

    • @patriciakyalo3454
      @patriciakyalo3454 11 месяцев назад

      Dear huwa nahisi vibaya nikichelewa 😃😃🥺

    • @Syviahalex
      @Syviahalex 11 месяцев назад

      Tuko wengi, pia mm huwa nachelewa, samtimes

    • @patriciakyalo3454
      @patriciakyalo3454 11 месяцев назад

      insha'Allah dear bora tupate funzo kwa kila simulizi

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 11 месяцев назад +1

    DR.AMBE NA ANKOJAY .HAMJAMBO 😊 LEO NIMECHELEWA ILA HAPAJAHARIBIKA JAMBO .WACHA NIENJOY MIE

  • @elizabethmuhati8758
    @elizabethmuhati8758 3 месяца назад

    Pole bint Mungu akusaidie tafuta maombi ya nguvu.

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 11 месяцев назад +2

    Haya mambo yapo kwel mungu atustiri mtihani wallah pole sana

  • @brillianodhiambo
    @brillianodhiambo 10 месяцев назад +1

    Listing from Kenya but sielewi nano "EDA" naomba maana ya eda tafadhali...the story is so sad..Shukrani sana Uncle Jay kwa simulizi

    • @MwanatumuJumaa-rj4fg
      @MwanatumuJumaa-rj4fg 8 месяцев назад

      Kwa mujibu wa dini ya kiislamu unapofiwa na mume wako kuna likizo unafaa kukaa kwa mda.wa miezi3 na siku 10 bila kujishughulisha na jambo lolote la ki mahusiano including makeups baada ya hapo kuna maombi utafanyika then unakuwa free na maisha yako

  • @nashaldy1804
    @nashaldy1804 11 месяцев назад

    Duh! Hini risto nlikuwa nikiipita kila nikiiona kumbe nzuri hvi.thnx anko j

  • @user-it5ej8eq6m
    @user-it5ej8eq6m 11 месяцев назад

    😊😊😊 usema kibuyu uka nikumbusha babaangu asema wajuwa vile vibuyu vya waganga huwa wakausha majongoo watia na makaa kisha mtu yuwapewa anywe nikacheka sana mungu amrehemu babaangu thanks anko j

  • @violetmulya
    @violetmulya 11 месяцев назад +2

    Duh, watoto wa watu hua wanayapitia mengi kwa kweli, ila tuamini tw mungu yupo wachawi sio wazee

  • @user-vl1ts1eh8s
    @user-vl1ts1eh8s 2 месяца назад

    Duuuh pole sana jamn hapo nimejifuza kitu ktk hii simulizi

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 11 месяцев назад +2

    Asante sanaa ankojay kwa simulizi hii bomba kweli kweli kweli 🔥🔥♥️🔥😂

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 11 месяцев назад

    Ankojay na tumu yako hongera mm sitaki ukemweza. Ali mbetu shikamoo na mpendwa Sana shaka ww umezidi noma na nusu jamani shikamoo baba nawapenda mnooooooo

  • @gladyssamba8370
    @gladyssamba8370 11 месяцев назад +2

    Ankol jay mungu akubariki sana...kila jambo lina mwisho wake simulizi nzuri sana imenifunza sana ❤❤❤

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 11 месяцев назад +1

    Asante anko Jay kwa simulizi nzuri

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 11 месяцев назад +1

    Anko jay simulizi mzuri kweli mbwana ujafa ujaumbika asante sana ❤❤❤❤

  • @user-ut3wd5vd7q
    @user-ut3wd5vd7q 11 месяцев назад +2

    Nimefurahia mungu haachi walio wake

  • @hawrashabani2102
    @hawrashabani2102 11 месяцев назад +1

    Wow thank you inko je napenda sana simulizi zako shukrani

  • @khadijaali9861
    @khadijaali9861 11 месяцев назад +2

    Pole dadangu .mungu akuzidishie uvumilivu

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 11 месяцев назад +4

    Thank you Anko Jay God bless for everyday lessons 🥰🥰🥰🥰😍😍😍

  • @LindaRobson-qn1br
    @LindaRobson-qn1br 11 месяцев назад

    Jaman kwa Anko tunainjoi duuuh Asant Anko tunakupend kun mda nawaz bila we ingekuwaj man kun mda upo boad ila kwa ank unajukut unainjoi tuuuuu💝💝💝💝💝

  • @sadikituji-rd5od
    @sadikituji-rd5od 11 месяцев назад

    Sawa Asante natamani simulizi zote usimulie wewe nakuelewa mno Ila wengine mmmmh

  • @RehemaJuma-xl2xx
    @RehemaJuma-xl2xx 11 месяцев назад +1

    Leo nimewahi asante anko jay mwenyezi mungu awajalie umri mrefu

  • @isabellachizi4346
    @isabellachizi4346 11 месяцев назад +2

    Let but I can't stop listening you anko j❤❤❤❤❤

  • @olyoly9992
    @olyoly9992 11 месяцев назад

    Waah hii simliz ni nzito sana duu kweli uchawi upo asante anko jay kwa hii simliz

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 11 месяцев назад

    He pole da Mariam Asante Anko j na Ally mbetu lna mafunzo pia nzuri

  • @zainabjordan5659
    @zainabjordan5659 11 месяцев назад +3

    A sad story 💔 but we learn a lot, God bless you

  • @user-yn7wk4re9z
    @user-yn7wk4re9z 10 дней назад

    haya mamb yapo mimi mwezenu naolewa mwaka sifik nachika bila sababu za msing nishafikisha doa 4 had sasa nnahof yakuolewa tena kila siku naachwa mm😢

  • @MarimGodifrey
    @MarimGodifrey Месяц назад

    Pole sana

  • @user-ip6hb1nq2u
    @user-ip6hb1nq2u 11 месяцев назад +1

    Nimependa simulizi jamani Ako nakupenda sana lve story❤❤❤

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 11 месяцев назад +2

    Mwanzo wa matamshi Yako Anko Jey Asante upo sahibi, let's enjoy the story ndio nirudi tena❤

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 11 месяцев назад

    Anko jay mwenyewe, golden voice 🥰🥰🥰

  • @user-tv6ii7pc4z
    @user-tv6ii7pc4z 5 месяцев назад

    Jamani ni nzuri sana japo inaumiza sana😭😭😭😭

  • @sahhgdsag4949
    @sahhgdsag4949 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤ safi saaana qnko tunakifuza pia

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 11 месяцев назад +1

    Nakubaliana na hii simulizi kua ni sya kweli.kwetu kenya kwa jamii ya wakikuyu , we call them red thigh""kiero gitune'""jirani alikua na huu mkosi,kila mwanaume anayempenda na kupanga ndoa anakufa...sasa je Anko jay kuna suluhu kwa hili‽????????

  • @user-tt4vz8rh5k
    @user-tt4vz8rh5k 11 месяцев назад

    Jamani Ankojay watupa kitu roho inapenda yaani big up broo I salute you and your work is amazing. Ali mbetu kongole kwa simulizi hizi za mafunzo na kuvulia kofia kwa uandishi wako mahiri

  • @ColethaMwenda-qd1ck
    @ColethaMwenda-qd1ck 11 месяцев назад +2

    Sijachelewa jamn naomben like na mm😂😂😂😂

  • @vinchystyles1675
    @vinchystyles1675 4 месяца назад +1

    39:28 hahah et islael mtoa roho za wanaume!

  • @FathelaFy-hj4jn
    @FathelaFy-hj4jn 11 месяцев назад

    Asante..ilakuna.kituhuwa.napenda.sana.kufanyia.kazi.kamandoto.nazifatilia.sana.ayipaswi.kuzizalawu

    • @PetyAssenga
      @PetyAssenga 17 дней назад

      Kwani izo nukta za kz gan kwani ujui kutenga maneno☹️🤔

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn 11 месяцев назад +1

    Mungu awabariki sn

  • @issanuru9552
    @issanuru9552 11 месяцев назад +1

    Twende kazi anko jay❤❤❤🎉

  • @GiftyTarimo-zb1ez
    @GiftyTarimo-zb1ez 5 месяцев назад

    Anko j unajua kuximulia vizur xana bro hongera xana

  • @maggiesadock
    @maggiesadock 11 месяцев назад +2

    Duniani kuna mengi kweli 😢❤

  • @florenceakothotieno3673
    @florenceakothotieno3673 11 месяцев назад +5

    Yani wapenda kuchelewa siku hizi my booo😢😢😢

  • @user-je2gk5jb4e
    @user-je2gk5jb4e 11 месяцев назад +1

    Nice job bro🎉🎉🎉1

  • @everlynmbondo-yh1rm
    @everlynmbondo-yh1rm 10 месяцев назад

    Safi sana anko J

  • @user-db5iz4nc6i
    @user-db5iz4nc6i 3 месяца назад

    Nais kugusa life yangu😢😢

  • @tenaaaten8470
    @tenaaaten8470 9 месяцев назад

    I'm lessening from Kenya ❤❤ good story

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 11 месяцев назад

    Aiseeee nimechelewa xn but tuko pamoja ankoj ❤❤😊

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 10 месяцев назад

    😢😢😢Inahuzunish na inafundisha pia.! Asnte Anko Jay 👌🎉🎉

  • @yusrambodze3804
    @yusrambodze3804 11 месяцев назад

    Kheee my zangu jamani munajua Kuwai Kongole Anko Jay mau yako kwa sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-rj9mb4yk6l
    @user-rj9mb4yk6l 8 месяцев назад

    Nice story much love from rock city buzuruga ❤❤❤

  • @aminahassan3588
    @aminahassan3588 11 месяцев назад

    Hiii imeenda asante sn anko wetu

  • @user-il3sd1wo3p
    @user-il3sd1wo3p 11 месяцев назад

    Asante kaka anko jay pamoja na Ali mbetu kwa simuliz nzur ingawa niwamwisho lakin Sina hofu

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 11 месяцев назад

    😊😊atimaye Leo nimewai no 1 asante Ally mbetu na ankojay

  • @nasramgula8870
    @nasramgula8870 11 месяцев назад

    Nakupenda sanaaaaaa Anko Jay jmnii maana unajua kunisisimua n stry zako

  • @jeffykuria2853
    @jeffykuria2853 10 месяцев назад

    Nimejifunza kitu hapa asante

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 11 месяцев назад

    Ndah kweli mtihani pole sana mariam na asate sana ako Jay

  • @jamilarimo5546
    @jamilarimo5546 11 месяцев назад +1

    Nimewahi leo

  • @habibanasoro9024
    @habibanasoro9024 11 месяцев назад +1

    Thank you Anko J pole da😊

  • @FaridaRajab-ce7ed
    @FaridaRajab-ce7ed 11 месяцев назад +2

    jamani nizuri sana japo inaumiza sana😢😢😢😢😢

  • @suzanachambo4206
    @suzanachambo4206 11 месяцев назад

    Nimecheewa mmmmm❤❤❤

  • @user-nl3zk4id7b
    @user-nl3zk4id7b 11 месяцев назад

    Haya mambo ni ya kweli kabisa, tumewahi kuyashuudia

  • @user-hs3ud8rt8x
    @user-hs3ud8rt8x 10 месяцев назад +1

    Imeni sisimu sana 😱

  • @user-fq7wf9mu6l
    @user-fq7wf9mu6l 11 месяцев назад

    Nime wahi leo❤❤

  • @JulesIshimwe-dz6ps
    @JulesIshimwe-dz6ps 10 месяцев назад

    Inasikitisha sana!!!!

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI
    @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI 9 месяцев назад

    Kaali

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 11 месяцев назад

    Asante anko jay hujawahi kosea

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr 11 месяцев назад +1

    Inasikutisha sanaaaaaa😭😭😭

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 11 месяцев назад

    Asante dr Amber

  • @haleemahhamisi2534
    @haleemahhamisi2534 11 месяцев назад

    😂😂 mmbo yametaradadi ❤❤❤acha nijiliwaze n sauti tamu y Anko j 🎉🎉🇸🇦🇸🇦🪑🎧🔥🔥

  • @gladyssamba8370
    @gladyssamba8370 11 месяцев назад +1

    Wa kwanza ni mimi 😂😂❤❤❤❤

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 11 месяцев назад +1

    Amazing story ❤❤❤

  • @jacintahsulubu5602
    @jacintahsulubu5602 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤ wow n tam

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 11 месяцев назад +2

    Dunia ina mapito ya kila aina

  • @user-mf4bc8sf5f
    @user-mf4bc8sf5f 5 месяцев назад

    HELLO ANKO JAY. KWA HAQ WEWE NKISIA SAUTI YAKO NA UMRI WAKO WALA HAVIENDAN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fatmamasoud1398
    @fatmamasoud1398 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤ Asante anko jey

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 11 месяцев назад

    nimewahi bana 😊

  • @jokhajj
    @jokhajj 11 месяцев назад

    Acha tuinjoy😊😊

  • @roseshijedi8744
    @roseshijedi8744 11 месяцев назад

    Pole dada ilaku watu wako nahiyo damu mbaya yakuuwa wanaume hiyo nidamu yako nikali

  • @user-fv5se6iu9r
    @user-fv5se6iu9r 11 месяцев назад

    J❤❤❤jamni nimewahi nipe kopa

  • @user-mg3iv7dd4q
    @user-mg3iv7dd4q 11 месяцев назад

    Nice job

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 11 месяцев назад

    Nimewahi❤❤❤😂😂😂ahsante anko Jay wewe

  • @aminijamali9924
    @aminijamali9924 11 месяцев назад

    Nashukuru sana kwahiyi simulizi kwakwe ninaye nakoishi inchi zakigeni amefuta 4 hivyohivyo hata ukutanenaye huwe uriza swali kwakuhofiya lakini??????? Vinatibiwa nashukuru kwa kutuandariya simuliz yenye mafundisho

  • @imanwalid6549
    @imanwalid6549 11 месяцев назад

    Nice and encouraging story 👍

  • @fatmaathumani7569
    @fatmaathumani7569 11 месяцев назад

    Shukran san

  • @user-kw4wn7rj1h
    @user-kw4wn7rj1h 11 месяцев назад

    Nam leo nimewah

  • @salmasasha
    @salmasasha 11 месяцев назад

    Asante anko jay❤❤❤

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip 11 месяцев назад

    Wakwanza 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sabinamasangwa293
    @sabinamasangwa293 11 месяцев назад

    Pole anko una mafua ee