Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

INASIKITISHA, BINTI ALIEFANYA MAPENZI NA MSUKULE, SIMULIZI YA KWELI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2023
  • Kwa jina naitwa Stella. Ni mtoto wa pili na mwisho kuzaliwa katika familia yetu. Kwa sasa ninapokusimulia mkasa huu nina umri wa miaka ishirini na saba.

Комментарии • 140

  • @violetmulya
    @violetmulya Год назад +14

    Inasikitisha sana ni vyema unapoambiwa Jambo na watu zaidi ya mmoja usipuuze, na pia unapo Kodi chumba mtangulize mungu maana haujui kimejengwa kwa njia gani ama aliye tangulia humo alikua MTU wa Aina gani, maombi muhimu nashukuru alipata kuokolewa mwishiwe,

    • @yohanamagehematictok
      @yohanamagehematictok Год назад +1

      Kabisa dadangu

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Год назад

      Eee kabis mm nae yalinikut ila mm sijuw walishidw vipi mwenzang mpk leo sijuw mzim ama amekufa nyumb za kupang Dar sitosahau

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Год назад

      Eee kabis mm nae yalinikut ila mm sijuw walishidw vipi mwenzang mpk leo sijuw mzim ama amekufa nyumb za kupang Dar sitosahau

    • @violetmulya
      @violetmulya Год назад

      @@aminatanzanya7475 vyumba tunavyopanga ni mungu tw ndo hutufunika mama, pole sana uyo mwingine pia kama bado yupo hai mungu atamuonekania wakati wake ikifika🙏🙏🙏🙏

  • @patriciakyalo3454
    @patriciakyalo3454 Год назад +12

    Wakumi 😢 leo Kwa hili Acha nisikize saa

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Год назад +3

    Hey guys anko jay anatukosha na simulizi anko jay asante mwenyez mungu akulind ❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏 thnk you so much ank jay

  • @user-ij1yh2ur8v
    @user-ij1yh2ur8v 7 месяцев назад +2

    Duuu pole saana ster😢😢 Dunia adaa ulimwengu shunjaaa huy mama mweny nyumba hafiz kabisaq ila hukum yake ipo😢😢

  • @franciscassian
    @franciscassian 11 месяцев назад +2

    Mungu akubariki anko jay kwa simulizi nzuri tena zenye mafunzo 🙏

  • @asharamadhan9573
    @asharamadhan9573 Год назад +6

    Wakwanza Leo jaman❤❤❤❤❤

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Год назад +2

    Pole Dada majaribu ni sehemu yamaish mwamin Mungu katk kila jambo

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +4

    Anko jay asante kwa kibao hiki achanikae mkao wakula sasa

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +3

    Congratulations 👏👏👏 tunashukuru sana anko Jay kwa kazi nzuri japo umechelewa kidogo kutusimilia, bado twakupenda tena sana tuko pamoja na wewe mungu akubariki sana

    • @fatimafoaani2263
      @fatimafoaani2263 Год назад

      Jamani naomba niulize vp dada yetu Lisa mwana mbona kimya ivo au kaenda livu si kwa ubaya tumemiss sana ndo mana

    • @DeboraMwasweba-ij4qf
      @DeboraMwasweba-ij4qf Год назад

      0

    • @zuhurashaif3165
      @zuhurashaif3165 10 месяцев назад

      Kwani we Stellar hukuwa na wazazi ama ndugu zako ukawaeleza hata kwa njia ya simu au hukuwa ukiwatembelea na kuwaeleza kuwa uko kwenye majanga namna hiyo!?, Inashangaza, ulazimishwe kuishi kwenye nyumba ya kupanga yenye mambo ya ajabu namna hiyo Kama vile huna ndugu!?, Ndio maana sometime story Kama hizi inakuwa ngumu kuaminika.basi hukuwa na akili nzuri may be urirukwa na akili.

  • @user-ps1sj8mx7e
    @user-ps1sj8mx7e 9 месяцев назад +2

    anko jay piya asante iyo nimafundisha kwe tu

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +3

    😢😢leo tunasikiliza mambo na msukule ..sai nimetulia naeza kusikiliza simulizi kwa umakini ,,Ahsante Anko jay na juma hiza kwa simulizi yetu nzuri

  • @elvisboniface9665
    @elvisboniface9665 Год назад +3

    Moto umewakaa 🔥🔥

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 Год назад +3

    Mungu ni Mukubwa

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 11 месяцев назад +6

    Hivi kwani hawa wachawi wana power gani kiasi cha kushindana na mungu,wakati wao wameumbwa na Mungu pia.mungu tusaidie waja wako sisi tusiojua uchawi tunaonewa sana hapa duniani.

    • @mudydimoso6559
      @mudydimoso6559 6 месяцев назад

      Pole sana kwa kuteseka,uchawi upo ila unakutesa kutokana na umani yako ilivyo,kama imani yako inakuwa thabiti hayo mateso utayasikia kwa wenzio kama tunavyoyasikia sisi

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +3

    Ni kweli kabisa nimepitia huko na bado nipo kwenye mapambano ni Mungu tuu ndio msaada wangu inauma sana ai😢😢😢

    • @Zikomowiliam4096
      @Zikomowiliam4096 Год назад

      Pole 🥺

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr Год назад

      @@Zikomowiliam4096 ahsante but kudra yashinda jitihada kikubwa imani

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr Год назад

      Wallah nilisahau jina langu kabisaa yaan km move ya kinaigeria ujue

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +2

    Ngoja 2one 2naishia wap na hil pcha la kutisha ❤❤❤

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +5

    Hafadhali ankojay maana hapa niliboeka hapa bila simulizi hii simulizi sasaivi nasikiliza usiku nitaogopa 😄😄

    • @mwapendosultan887
      @mwapendosultan887 Год назад +1

      shoga ndio nimeanza apa

    • @shadyasalum192
      @shadyasalum192 Год назад

      ​@@mwapendosultan887mieemiee ndiyo nasikiliza muda huu jana sikuweza halafu na lala pekeyangu😂😂😂

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI
    @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI 9 месяцев назад +2

    Kaali

  • @user-ul8id3ex6u
    @user-ul8id3ex6u 10 месяцев назад +1

    Nataman kujua mimba ilikuwaje....na kuhus misukule ilifunguliwa au .....but yapo meng ya kujifunza ..tunakushukr anko jay kwa kaz. Nzur

  • @linnamapunda2275
    @linnamapunda2275 Год назад +1

    Jaman mbn hii ni bongo move sema hii ni mama mwenye nyumba na bongo move ni baba mwenye nyumba huku umetumia jina la stera kule limetumika jina la eliza ila story n hiyo hiyo

  • @BijouxKikwindi
    @BijouxKikwindi Год назад +2

    asatesana anko nimejifuza vigi kwenye hi simulizi yako mungu akubariki sana kwasimulizi hi zuri tunatakiwa tujifuzekabisa🙏🙏

  • @sumaiyairakoze1454
    @sumaiyairakoze1454 Год назад +6

    Wakwanza

  • @user-zm2fi4vu9o
    @user-zm2fi4vu9o 10 месяцев назад +1

    En tout cas neema ya Mungu iko ju Yako zingatiya Mungu daima

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Год назад +2

    Wachawi mbinguni mtafika kuchelewa sana lkn huezi kushindana na Mungu palipo Mungu kuna usalama halafu sio buni nimeogopa nikafikiri niyakubuni kumbe true sty loo pole mwaya yasikie kwamtuu tuu ila yasikufikie

  • @user-lw8yn5lg7f
    @user-lw8yn5lg7f 8 месяцев назад +1

    pole Sana kipenzi 😢😢😢😢

  • @user-ps1sj8mx7e
    @user-ps1sj8mx7e 9 месяцев назад +1

    dada pole sana. ila mungu hawezi kuacha

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 Год назад +1

    Pole sana dada sitela

  • @fatmasalumally
    @fatmasalumally 10 месяцев назад +1

    Hongera uncle jay😊

  • @christinesifaruwa
    @christinesifaruwa Год назад +1

    Weee pole sna dada ila Mungu ni mwema sana na inatupasa kwimwita yy Kila wakati mahali popote ili atuangazie

  • @user-qx4bj2vc2p
    @user-qx4bj2vc2p 10 месяцев назад +1

    Saluti anko JJ

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Год назад +5

    Anko jay naomba hizi simulizi zenye KUTISHA uwe unazrusha usiku 😂❤ mida ya SAA mbili+

  • @user-rp7dc6ht1v
    @user-rp7dc6ht1v 10 месяцев назад +1

    😂jaman pole sans

  • @Syviahalex
    @Syviahalex Год назад +2

    Better late than never,acha nitoe strees za warabu sasa😂

  • @jawahirkahinmadar1459
    @jawahirkahinmadar1459 Год назад +3

    Onko jay huyo binty hana wazazi au ndugu 😂😂

    • @gladnesskajela7263
      @gladnesskajela7263 Год назад

      Nashangaa kuhangaika kote huko alishindwaje kurudi kwa wazazi? Kama alikua na uwezo wa kwenda kazini ama kweny mizunguko mingine why not home?

  • @RaifaMbarouk-wx1kq
    @RaifaMbarouk-wx1kq Год назад +1

    Mtihan hiii Dunia daaa pol dada sitela 🤲🤲

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Год назад +3

    🤔🤔🤔

  • @GradnessJohn-tg2bb
    @GradnessJohn-tg2bb Год назад +2

    Daaaaaaaah😢😢😢

  • @user-wp4sk2hn1f
    @user-wp4sk2hn1f 5 месяцев назад +1

    Pole sana 😢

  • @mercykhalayi
    @mercykhalayi Год назад +2

    Nimejifunza mengi kwenye hii simlz ya msukule, na ingine ya mahakama ya wachawi, jaman ankojay bamoja na muandish mubarikiwe Sana...yani sio Siri wanimaliza appetite ya simuliz zaa mapenzi duh!

    • @wahidaali4494
      @wahidaali4494 11 месяцев назад

      duh kumbe tupo wengi mm mwenyewe sjaskiliza km miez mi3 😂

    • @user-yl4zp5qd7t
      @user-yl4zp5qd7t 9 месяцев назад

      Mahakama ya wachawi ilibamba!!! Tena naomba anko Jay azame ktk simulizi km hizo na ujasusi na inayofanana na Safar ya Mvuvi Ahsante

  • @jacklinekwamboka6245
    @jacklinekwamboka6245 Год назад +2

    Pole sana sitera😭😭😭😭 mungu ni mkuu kwa yote

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +2

    Hi guys vipi huku hope sijachelewa wadau twende nalo Anko wetuuu😊

  • @mayasamayasa1205
    @mayasamayasa1205 Год назад +1

    Pole stella

  • @user-ey3dr3wg5s
    @user-ey3dr3wg5s Год назад +1

    Thanks anko jay for a sweet story umenifanya niweadicted na simulizi zako

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +2

    Anko Jay Simulizi zako ni nzuri na zinatufunza ila zinatisha usiku hadi naogopa kuzima taa 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @bakarifatuma5004
      @bakarifatuma5004 11 месяцев назад

      Anko jay simuliz zako ni nzuri na zinatufunza zinatisha usiku Hadi naogopa kizima taa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rizmarramadhan1483
    @rizmarramadhan1483 Год назад +3

    ❤❤❤❤❤❤

  • @winifridatairo6660
    @winifridatairo6660 Год назад +1

    Huyu dalali Mbegu ndio walewale,,,,
    Usikute wako chama kimoja na mama mwenye nyumba,
    😥😥😥😥

  • @IreneSilayo-cy1ih
    @IreneSilayo-cy1ih 2 месяца назад

    Pole sana dada

  • @ZombieZombiekille-wf6mo
    @ZombieZombiekille-wf6mo 10 месяцев назад +1

    Ila Sister Alikuwa Slow sana yani akiambiwa kitu namtu mgumu sana kuelewa ata mbaya wake pindi anapo jaribu kumpa onyo alikuwa anashindwa kuelewa nini alikuwa ana maanisha

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +3

    ❤❤❤

  • @IreneSilayo-cy1ih
    @IreneSilayo-cy1ih 2 месяца назад

    Pole sana dada stella

  • @TheleciaMashiku-iu3no
    @TheleciaMashiku-iu3no Год назад +1

    Mmh 😢😢😢😢

  • @husnakamana
    @husnakamana Год назад +3

    🤔🙄❤❤❤

  • @ruthkavai3453
    @ruthkavai3453 Год назад +1

    pona sana sis mambo ni 🔥🔥🔥🔥🙄🙄🤔🤔🥺🥺🥺

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Год назад +1

    Aiii inatisha sana

  • @user-yv2cg9rd4s
    @user-yv2cg9rd4s Год назад +2

    yaani maisha mengine ni MUNGU ayaingilie kati tuu

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 Год назад +2

    To be continued

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад +2

    😢😢😢😢wachawi siwatu mungu atusaidie

  • @winifridatairo6660
    @winifridatairo6660 Год назад +1

    Madalali hawa baadhi si wema kabisaaaa,,,
    Anakupeleka mahali ambapo anajua fika kuwa si pema ili miradi ameshapokea pesa yake hahisi hata hatia moyoni.
    🥺🥺

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +1

    Shukran ❤️❤️🥰

  • @user-cx2ps9vs1v
    @user-cx2ps9vs1v 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 Год назад +1

    Sawa mbona hamukutwambia kama arizara mutoto mugani?

  • @kanezalyxa5898
    @kanezalyxa5898 Год назад +1

    asanteeee

  • @christinasinderema3005
    @christinasinderema3005 11 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 Год назад +2

    ikawawaje kalala na msukule ebu twende sasa kusikiliza

  • @user-sx8zf9sf8e
    @user-sx8zf9sf8e Месяц назад

    😢😢😢mmmmh jmn kuna wa2 wanapitia changamoto pole mwaya

  • @user-bh3of7hu6h
    @user-bh3of7hu6h 5 месяцев назад +1

    Mimi namin hayamambo yapo ata mm ilisha nikuta nyumba moja tabata wallah!sinto kuja kusahau

  • @bashiryusuph7109
    @bashiryusuph7109 Год назад +1

    ankojay nimesikiliza story mbili zako , ninacho weza kusema kaza kaka Jamal April ajipange

    • @mckubo2021
      @mckubo2021 Год назад +1

      wew acha kulinganisha chips na makande huyu ni bora ila jamal ni bora zaidi

  • @SharletAziza
    @SharletAziza Год назад +1

    🙏🙏🙏

  • @HappynessRobert-p2z
    @HappynessRobert-p2z Месяц назад

    Daaa pole san dada angu😭😂😂😂

  • @ZainabuAlly-wh7th
    @ZainabuAlly-wh7th Год назад +1

    Duuuuhhhh🥺🥺

  • @minahmtaki7119
    @minahmtaki7119 Год назад +2

    ❤❤❤❤

  • @hamisashabani7884
    @hamisashabani7884 10 месяцев назад +1

    Mmmmmmmmmm had naogopa

  • @tulungetulunge1309
    @tulungetulunge1309 Год назад +1

    Nice story ❤

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      Thanks for watching

  • @winifridatairo6660
    @winifridatairo6660 Год назад +1

    Mmhh!! Si kwa ujasiri huu wa kuuliza sauti ninayo isikia bila kumuona mtu
    😳

  • @PonchaCastro-ho9wr
    @PonchaCastro-ho9wr Год назад +1

    Kaka kaza unajua san saut yasimuliz ipo bro smuliz nikali mnoo aseee

  • @jacklinekwamboka6245
    @jacklinekwamboka6245 Год назад +2

    Msukule ni nini niambie sijui😮😮😮😮😮😮

  • @violetmulya
    @violetmulya Год назад +6

    Better late than never Acha nisikilize simulizi sasa ❤❤❤

  • @user-dc5he7ss6f
    @user-dc5he7ss6f 3 месяца назад

    Nyumba za kupanga nomaa😢😢😢

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi7553 Год назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @michaelwafula1576
    @michaelwafula1576 Год назад +2

    bwana yesu apewe sifa

  • @tabiasalum3381
    @tabiasalum3381 Год назад +1

    Kwa kwel

  • @user-do1ky4oc4i
    @user-do1ky4oc4i Год назад +1

    Part 2

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      Haina part 2, Hii ni Full Story

  • @FaridaRajab-ce7ed
    @FaridaRajab-ce7ed Год назад +1

    jamani🙄🙄🙄🙄🙄🙄😟😟😟

  • @user-mx8dr6zt2g
    @user-mx8dr6zt2g 3 месяца назад

    Ibada jamani vijana

  • @user-se7my5px1y
    @user-se7my5px1y Год назад +1

    Anko jay simulizi ni zuri ila inatisha lo

  • @AMINAMOHAMED-de7gb
    @AMINAMOHAMED-de7gb 7 месяцев назад

    Jamani eeh kubalini uchawi uko Tena kwa herufu kubwa tu.

  • @jawahirkahinmadar1459
    @jawahirkahinmadar1459 Год назад +2

    Katika simumulizi mbovu anko jay 😂😂❤

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Год назад +1

    😢😢

  • @MashaHalfani
    @MashaHalfani 4 месяца назад

    Hii mbona movie yake nishawahi kuiyona inaitwa mchawi kijana

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +1

    Better late than never mungu atusaidia popote tulipo shukran anko jay

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 Год назад +1

    Msukule ni majini ama wale watu walitekwa na kufanywa vizuzu na wachawi kwa ajili ya kufanywa utumwa?

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +3

      Misukulie Ni watu ambao kwa dunia ya kawaida tunajua wamekufa ila katika ulimwengi wa giza ( wachawi ) wanakuwa hawajafa, wanatumikishwa katika mambo mbalimbali

  • @GraceDavid-nq4zc
    @GraceDavid-nq4zc 3 месяца назад

    Anko mbona umetukatisha jaman bint minah party 06 tunaomba muendelezo

  • @user-zm2fi4vu9o
    @user-zm2fi4vu9o 10 месяцев назад +1

    Ulizalaka?

  • @user-mx8dr6zt2g
    @user-mx8dr6zt2g 3 месяца назад

    Alikuwa aswali angekuwa anafznya ibada ni dawa kulala na baibo

  • @sherrykhaly8098
    @sherrykhaly8098 4 месяца назад

    Anatubu vipi akati auliwe kauwa wangapi 🙄

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Год назад +1

    🙏🙏🔥😂🥰

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +2

    🤔🤔🤔🤔 msukule tena

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Год назад +3

    🤔🤔🤔

  • @shaklamwai7868
    @shaklamwai7868 Год назад +1

    ❤❤❤

  • @user-de1dp8lk5m
    @user-de1dp8lk5m 6 месяцев назад +1

    ❤❤