Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SIMULIZI YA KUSISIMUA: JAMAA ALIPATA DEMU MAKABURINI USIKU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июл 2023
  • Kwa jina naitwa Hassan; Hassan Rahim. Ni mzaliwa wa Kijiji cha Lutindi kilichopo Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Maisha ya utoto pamoja na elimu ya msingi, nilivipata huko na hata ukubwa wangu kiasi niliujua nikiwa bado Lutindi.

Комментарии • 239

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Год назад +9

    Shukran sana anko Jay shukran pia Mwandishi wetu Juma cha muhimu ni kumtegemea ALLah Alietukuka, kufanya Adhkar kwa wingi asubuhi na jioni na pia kuswali sana na kuwacha zinaa

  • @lizlesley9847
    @lizlesley9847 Год назад +16

    Wow...kila uchao tunaburudishwa na simulizi kali zaidi thanks uncle J plus your team ❤

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +9

    Hongara sana kaka hasani kwa kumurudiye mungu wa binguni na duniani shatani Hana nguvu kuliko mungu. Halihakusha kutoka binguni

  • @KhalfanHabibu
    @KhalfanHabibu 11 месяцев назад +3

    daaa sijui kama nsemeje,simulizi hii imenikumbusha mbali kuhusu maisha nilio ya pitia,uncle j Allah akujalie Kila lakheri katika maisha ya hapa duniani na kesho akhera nimejifunza mengi kupitia darasa lako❤.

  • @puritydhahabu4464
    @puritydhahabu4464 Год назад +58

    Wakwanza jamanii😅😅😅😅😅😅 Leo nko na Raha anko nipe like zangu mana hata siamini kama nimekuja wakwanza aki

  • @user-dw4ve4xp3x
    @user-dw4ve4xp3x 6 месяцев назад +3

    Sauti yako nzuri sana… yan simulz zako nasklzaga tu usku…. ❤ Sauti imetuliaa yan mtu anaweza Aka imagine how the story is going on

  • @cadeaualiza
    @cadeaualiza Месяц назад +1

    Yeeee ankojay unanitiya uwoga 😢unajuwa na mimi nikienda chuo huwa napitiya kaburini kwa sababu ni njiya ya karibu saaana,yatakuja kunikuta na mimi mungu wangu weeee😢😢😢

  • @yussrasimba1379
    @yussrasimba1379 Год назад +7

    Ank j dah ulituliza kwanza ulete usiku or sisi tulosema lete usiku aisee tukaisikiliza usiku niliota bwan niliweweseka hadi kushituk usiku huuuii 😅😅 nipeni like zangu kwa wale tulosikiliz usiku afu tuka wewesek 😅

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +6

    Present as always...hii nayo inakaa kutisha but pia itaelimisha..thing to do and not to do.thanks Anko❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 11 месяцев назад +5

    Asante kwa simulizi nzuri sana, na naipenda sana sauti yako.

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +3

    Ni vyema kumtumainia Mungu tu. Shukran Mr jay na mwandishi

  • @rinahkaudencia2730
    @rinahkaudencia2730 Год назад +3

    Congrats anko jay simulizi nzuri sana nimeipenda na pia nimechigunza mengi sana kubitia hio simulizi hongereni smx Kwa kutuburudiaha🥰🌹🌹

  • @NiddalNiddal-eo9yp
    @NiddalNiddal-eo9yp 7 месяцев назад +2

    Aaaaaa hii story ni ya kutisha sna mm cha msingi kumuweka mungu mbele

  • @FatumaHamisi-sr6yj
    @FatumaHamisi-sr6yj 6 месяцев назад +3

    Hiii simulizi nimecheka sana kweli Hassan ni muoga

  • @user-br4hg9tb5c
    @user-br4hg9tb5c 11 месяцев назад +4

    Kidumee kimelipua mamisile 💣😂😂😂🙆🏿‍♂️🤦🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Mabomuu ya hewa safii 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nancynancy4362
      @nancynancy4362 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fareedmohd9195
    @fareedmohd9195 9 месяцев назад +3

    Kaka hongera sana ila nimecheka kwa sauti kubwa sana baada ya kupiga simu namba ya Judi ikapokewa na zima moto
    😂😂😂

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +6

    😂😂😂😂😂😂 Anko jay leo umeniumiza mbavu sana ..nilidhani hii simulizi niyakutisha kumbe lahasha 😂😂😂😂hassan limekukuta jambo baba..Anko jay na juma hiza kunyweni soda naja kulipa

  • @mercykhalayi
    @mercykhalayi Год назад +2

    Wow khongera Sana anko J nowadays unatuelewesha Sana na hizi simuliz zaa kichiwi❤❤❤

  • @nooraahmed6948
    @nooraahmed6948 11 месяцев назад +1

    Asante kwa simulizi ila mimi napenda kusikiliza lakini kichwa kinaniuma alafu naota ndoto zajabu

  • @salmakivega3981
    @salmakivega3981 Год назад +6

    Much love kwa anko jay na mwandishi Juma Hiza ❤❤

  • @habibanasoro9024
    @habibanasoro9024 Год назад +3

    Pole kaka hassani ❤

  • @DestinysChild-nn7ug
    @DestinysChild-nn7ug 3 месяца назад

    Napenda sana uncle jay simulizi uishi maisha mareeefuu ❤❤❤uncle

  • @franciscassian
    @franciscassian 9 месяцев назад +3

    Huyo Mariamu atakuwa jini sio bure😂😂😂

  • @hessaalharthi7462
    @hessaalharthi7462 Год назад +4

    Waaaauuu ankojay nipe yako basi hiyo lake nakupenda bure babaa❤❤🎉🎉🎉

  • @LindaRobson-qn1br
    @LindaRobson-qn1br Год назад +1

    Thanks ank simuliz nzuli sana💙💚💙💚💙💛💚

  • @user-mf4bc8sf5f
    @user-mf4bc8sf5f 5 месяцев назад +1

    YAÀAAA RABB ❤❤❤ KAKA KARIM WEWE NI MWANAUME HODARI KABISAÀA 😂❤❤❤

  • @editha8630
    @editha8630 11 месяцев назад +1

    Anko jay,,, Hongera sana unajua kusimulia simulizi kila sehemu unaongea kama inavyotakiwa penye huruma unatia huruma,kweny huzuni unafanya kam ilivyo,,,kweli Mungu amegawa vipaji mbalimbali

  • @AdrianoWakara
    @AdrianoWakara День назад

    Congratulations much but kuna vitu flanii hivii unakuwa unavipotezea mfano ulisema yupo kwenye mbuyu lakini yule mshkaji wake akulizangatia 2 jamaa kavunja simu balii mshkaji hakulizingatia kabisa na kulichukulia easy na kulipotezea .but big up brother🔥🔥🤝🤝🤝🤝

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi7553 Год назад +11

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉 ankojay 17k subscribers ❤❤❤❤❤❤

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +2

      Thank you so much 😀

    • @estherimbotsi7553
      @estherimbotsi7553 Год назад +1

      ​@@ankojay_you're welcome 😊😊😊😊😊

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад +1

    anko jey sahii watuletea vitu mfululizo tunaenjoy asante sana ankojy ❤😂😂😂

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +4

    Thank youuuuuuu so much 💞❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-mf4bc8sf5f
    @user-mf4bc8sf5f 5 месяцев назад +1

    YAAANI STORY YAKO NZURI SANAAAAA 😂😂😂😂😂😂IMEISHA SAFI SANAAAA 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @mariayombayomba1606
    @mariayombayomba1606 4 месяца назад +1

    Fundisho zuri sana

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Год назад +2

    Ohoo active subscribers kitu chetu Cha kutisha tisha😂 Sasa twende kaziiiii🎉🎉🎉🎉

  • @RahmaSaeed-kt1dc
    @RahmaSaeed-kt1dc 9 месяцев назад +1

    Asante uncle j❤

  • @tabiasalum3381
    @tabiasalum3381 Год назад +1

    Kwa kwel simuriz atari sana❤❤

  • @JaydenKariuki
    @JaydenKariuki 7 месяцев назад +1

    Daah kaka hongera

  • @YusuphKawalika-dj9kr
    @YusuphKawalika-dj9kr 7 месяцев назад +1

    Umetisha

  • @IracokeJoanfaustim-bp4qj
    @IracokeJoanfaustim-bp4qj 8 месяцев назад +1

    vizuri sana ancojei

  • @GraceDavid-nq4zc
    @GraceDavid-nq4zc 3 месяца назад

    Anko j jaman tuletee bint mina na jin mahaba tunaisubilia kwa amu ❤❤❤❤❤ nakupenda sana

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip Год назад +2

    ❤❤❤❤ tulikua tunaingojea

  • @user-ym8jb3lw5f
    @user-ym8jb3lw5f 6 месяцев назад +1

    Kaz nzuri 🎉🎉🎉 kaka 🎉🎉🎉

  • @user-br4hg9tb5c
    @user-br4hg9tb5c 11 месяцев назад +4

    I need more from you anko j.....😂😂😂 U are the best of the best.....🥰 Best in east,south,north and west 💋💋😘😘👍

  • @ffed1876
    @ffed1876 Год назад +2

    Asante sana ila rudi kwa imani yako kaka umuabudu Mola wako kwani hakuna dini ya haki km sio uislamu.

  • @user-dc5he7ss6f
    @user-dc5he7ss6f 3 месяца назад

    Nice 🎉🎉🎉🎉

  • @AishaAlly-nr8ln
    @AishaAlly-nr8ln 11 месяцев назад +1

    waooo simlizi nzuri jmn khaaa zimenivutia hatari 😍

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +3

    mambo ni motoo motoo🔥🔥🔥🤣🤣🤣

  • @williamjoseph144
    @williamjoseph144 Год назад +1

    Huyu uncle j anajua kusimulia jmn yan anajua mpaka anakera😂😂😂🙌🙌

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 Год назад +2

    Jamani mm nimechelewa nilikua naisubir kwa ham ila mambo yameingiluana ndio nasikiliza mda huu usiku cjuw nitalala😂😂😂

  • @user-tx7yd4jo2m
    @user-tx7yd4jo2m 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂 ila dah nacheka kama mazuri huku nikiwa nasubiri simulizi ya lisa najipooza na hii

  • @ZainabuYahya-fu1zc
    @ZainabuYahya-fu1zc Год назад +1

    Mmmmh. Inatixh lkn nime like hii simuliz😊

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 Год назад +4

    Jaman Hassan alikua anagongaa mbuyuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Shukran sanaa Ankojay Nimejikuta Nachekaa mbayaa

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Год назад +2

    Hello guys nyng tena thank you anko jay asante kwa kutupnd tunakupnd pia

  • @karanjay-ex9zt
    @karanjay-ex9zt 3 месяца назад +2

    mmmmh cyoo wakina mariamu wakwetu uku buza kaka

  • @angelhairdisgner9544
    @angelhairdisgner9544 11 месяцев назад

    story nzr, asante

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +3

    Anko Jay Simulizi ya Leo imenipa uwoga sanaaaaaa 😢😢😢😢😢😢

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Год назад +1

    Niceee.! 💜❤️💙

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +1

    Ki2 hko ❤❤❤

  • @neutybebz3187
    @neutybebz3187 Год назад +1

    Samahani kaka Jeshi la polisi tukusaidie nini jamani mara zima moto😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉😊😊😊😅🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅

  • @user-hw7pk3qj3x
    @user-hw7pk3qj3x 7 месяцев назад +1

    Pole sana

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +2

    😢😢 kesho na mimi nitalala RUclips iliniwe wa kwanza...wacha nisikilize kwanza hiyo njia ya makaburini iko je..ina miba au mabonde 😂 Ahsante msimuliaji wetu maarufu Mr.Anko jay..bila kumsahau mwandishi wetu mahiri Mr juma hiza😊

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      😂😂😂😂 ulale humu humu ausio

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 Год назад

      @@ankojay_ ndio Anko jay..nasikia uchungu kila siku mimi ni mkia 😒😒sai nataka kukua kichwa 🤣🤣

  • @roznaaa5995
    @roznaaa5995 Год назад +3

    Pole hassan wangu nina mtoto anaitwa hassani

  • @BijouxKikwindi
    @BijouxKikwindi Год назад +1

    asatesana anko simulizi hi zuri asate kwa sauti yako zuri mungu akubariki

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +1

    Ndokuingia sijachelewa sanaaaa ❤❤❤

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад +3

    Wadau mnamakusudi sio kwa kuwahi namna hii, vijicho vyote kwa anko jay🥰🥰🥰😅

  • @ireneirungu4255
    @ireneirungu4255 8 месяцев назад +1

    Uncle nimecheka na ambavyo kijana wa wenyewe anapopatwa na mauzauza

  • @user-hj6vm4bs7s
    @user-hj6vm4bs7s 10 месяцев назад

    Polee sana kaka

  • @user-wk2te9wd4o
    @user-wk2te9wd4o 7 месяцев назад +1

    Nice

  • @MacrinaSalama
    @MacrinaSalama 9 месяцев назад

    Hongera sana anko jay

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +1

    Mm wa mwisho kwenye top ten😂😂😂

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +3

    Jamani wajina wangu zuwena 😭😭😭😭😭

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +3

    ❤❤❤❤,🇸🇦

  • @DahuuAbdi
    @DahuuAbdi Месяц назад

    Eeh yarab 😭 ninapishi njia kubwa ni makaburini 😭

  • @christinekanza5394
    @christinekanza5394 Год назад +1

    Congratulations ankojay ❤❤

  • @siwajarihossein1023
    @siwajarihossein1023 11 месяцев назад +1

    Anko j tuletee part 2 ya jini mahaba

  • @halimaally8285
    @halimaally8285 Год назад +1

    Uncle j tunaomba simuliz za kutisha za kichawi ziwe nyingi please 🙏

  • @ChidyNuhu
    @ChidyNuhu Месяц назад

    Weka kaz anko jay

  • @franciscassian
    @franciscassian 9 месяцев назад +1

    Juu ya mti 😂😂😂

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 Год назад

    😂😂😂😂ulimuowa Mariam thanks ankojey 🙏🙏🙏🇰🇪

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 Год назад +1

    Anko jay! Nakupenda sanaaa,❤ umenichekesha sanaa apo Hassan! Aliporipuwa bomu!!😂🤣👍🏻alivyokuwa anatowa hewa chafu..😅

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Год назад +2

    Tulimis simuliz Kama hizo Anko

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥kilicho nichekesha hapo jamaa kamtukana jini et we bwege nn huyu jamaa noma et

  • @MudathirMohammed-rk5ge
    @MudathirMohammed-rk5ge Год назад +1

    😮

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Месяц назад

    ,kaka wa mimi❤❤❤😂😂

  • @ZombieZombiekille-wf6mo
    @ZombieZombiekille-wf6mo 10 месяцев назад

    Mwanzo skupata kuelewa kama Mamu wenda angelikuwa jini ivyo nilijikuta naumia sana apo kwenye usaliti Ila dooh akika dunia inamambo makubwa sana

  • @PendoNdemanisha-pz3od
    @PendoNdemanisha-pz3od Год назад +2

    Watu mpo chap ghaiiiiii

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn Год назад +1

    Nakupenda sn uncle ubarikiwwe cn na kipaji chako kimarike mwaaaàaaaah

  • @Yusra728
    @Yusra728 7 дней назад

    Lakini wanaume mmezidi kuwa wasaliti, huyu Nini hakuwa na kosa, sema ni kwasababu hakuwa tu binadam

  • @mwajbungoma3635
    @mwajbungoma3635 3 месяца назад

    Nimecheka sn leo wallah😂😂😂

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +1

    Yan ni 🔥🤭😂😂🤣🤣🤣
    Mungu mkubwa kabisa 🙏🙌

  • @mariamkameesee
    @mariamkameesee Год назад +1

    Ii simuliz mwenzenu siisikizi maana najua nita ota 😢😢😅😅

  • @wilkisteradhiambo3072
    @wilkisteradhiambo3072 Год назад +1

    Hapo kwa huduma ya wazima moto na sauti ya jeshi heeee wololo 😂😂😂😂😂

  • @franciscassian
    @franciscassian 9 месяцев назад +1

    Anko j hii simulizi inachekesha 😂😂😂

  • @FatmaMohd-sj7kc
    @FatmaMohd-sj7kc Год назад +3

    Nimechelewa jamani Ina nn njia ya makaburini acha nisikilize Anko miss Abby part ya mwisho vp

  • @InnocentMythicalCreature-uu2eu
    @InnocentMythicalCreature-uu2eu Месяц назад

    Ank jay huna by😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 5 месяцев назад

    To be continued

  • @dayanaamoit6951
    @dayanaamoit6951 Год назад +1

    1:51:12Jamani ni saa sita usiku naskiza huku naangalia huku na huko👻

  • @BethMdoe
    @BethMdoe 4 месяца назад

    Duuh nimechukia jinsi sarah anavyomtumia rodney

  • @nancybendera9011
    @nancybendera9011 Год назад

    😅😅😂😂😂😂😂mmmmmh jamn nimecheka sanaa leooo nimedhani inatisha

  • @violetmulya
    @violetmulya Год назад +2

    Mimi nikiona kaburi kitu cha kwanza kunijia akilini ni ety aliye zikwa humo yuwanitazama, mahali kuna kaburi I say, Ady wa Leo sijawahi zoea Yale ya wazazi wangu sababu tw ya mawazo yangu, sembuse kupita katikati nitazimia mie