DAH INASIKITISHA - SIMULIZI MPYA YA KUSISIMUA - EH MUNGU NISAMEHE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2023
  • Kwa majina Naitwa hamadi juma ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wawili Mimi na mdogo wangu wa kike aliyeitwa hasma juma nilibaatika kupata malezi ya wazazi wangu wawili kwa miaka 16 apo baba angu alipata kazi jijini dar es Salam kabla baba ajaondoka na kutuacha na mama tulikuwa na maisha ya kawaida tu sio ya shida Wala ya raha baba angu alikuwa ni fundi welding alikuwa akifanya kazi kwenye viwanda ndipo alipoipata kazi ya kwenda kujenga kiwanda jijin dar akuwa na jinsi akatuacha Mimi na mama angu pamoja na mdogo wangu hasma.Miezi mitatu ya mwanzo baba alikuwa tukiwasiliana nae na alikuwa anatuma maitaji yote ya nyumbani ila gafla simu ya baba aikuwa hewani na aikupatikana Tena tulifanya juhudi zote za kupata mawasiliano nae ila ilishindikana hata
    ndungu zake kina baba wadogo na mashangazi jitihada ziligonga mwamba apo maisha yakaanza kuwa magumu nyumbani kwani majukumu ya kutulea yalibaki kwa mama amabae alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Maisha yalibadilika Sana ilimbidi mama atafute vibarua kwenye mashamba ya watu ili aweze kutusomesha kutulisha na maitaji mengine.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 202

  • @LispaKadzoKalu
    @LispaKadzoKalu 8 месяцев назад +8

    Yani mkasa huu umenipa nguvu mpya ya kusugua choo cha mwarabu bora nile jasho langu na pia asante ankoo mapesa 🎉🎉🎉

  • @saidhassan8080
    @saidhassan8080 9 месяцев назад +18

    Waakwanzaa jmn mb'n sipati like za kutosha wadau 🎉🎉

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 9 месяцев назад +11

    Huwa tunapitisha hukumu kwa watu bila huruma mara nyingi Mungu tusamehe sana

  • @LyidiaSilayo
    @LyidiaSilayo 9 месяцев назад +4

    Weweeee I like it anko jay penda sana wewe jmn ❤❤❤

  • @Asiaabdull
    @Asiaabdull 8 месяцев назад +3

    Yaan kwa mkasa huu umezidi kunipa nguvu na juhudi yakuwasafishia wazungu choon nakuwatandikia vitanda nile jasho langu but sikwakudhulumu roho za watu mungu niepushie na tamaa zakidunia Amina 🙏, anko Jay tunashkuru kwa simulizi yenye mafunzo

    • @OnesmoMwipopo-co8dr
      @OnesmoMwipopo-co8dr 8 месяцев назад +2

      Kwel kwel kabsa

    • @Asiaabdull
      @Asiaabdull 8 месяцев назад

      @@OnesmoMwipopo-co8dr inasikitisha san jaman tutosheke na kidog alichotupa Allah

  • @DeboraMwasweba-ij4qf
    @DeboraMwasweba-ij4qf 9 месяцев назад +4

    Senkyu anko j mapesa ❤❤❤

  • @AnnaMukhwana-pf4qr
    @AnnaMukhwana-pf4qr 8 месяцев назад +2

    Asante sana ..yaani nitaishi kumtegemea Mungu kwa mahitaji yangu

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 8 месяцев назад +4

    Jameni turizike na tunacho pata tuache taamaa na kupend a makubwa ambayo Allah hakutuajalia ,imeniuma sana , shukran Ankojay kwa kisa hichi chenye mafunzo

  • @catherinekadima
    @catherinekadima 8 месяцев назад +2

    Pole mungu ailaze mahali pema peponi

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 8 месяцев назад +2

    Asante anko Jay japo roho imeniuma na kukosa raha hadi mda huu

  • @MaseleSimba-kh2cd
    @MaseleSimba-kh2cd 8 месяцев назад +8

    Simulizi za namna hii we jamaa unatisha sana hongera sana na mungu akubaliki kwakuendelea kutuelimisha vijana tunao pambana na tuendele kupambana kwa jasho bila tamaa

    • @ankojay_
      @ankojay_  8 месяцев назад +1

      Ahsante sana ndugu 🔥👍

    • @OnesmoMwipopo-co8dr
      @OnesmoMwipopo-co8dr 8 месяцев назад +1

      Ncccc

    • @rehemajuma56
      @rehemajuma56 7 месяцев назад

      Ankojay tunahitaji story za namna hii maana tunajifunza sanaaa anko🙏🙏​@@ankojay_

  • @gladyssamba8370
    @gladyssamba8370 9 месяцев назад +3

    Simulizi nzuri sana imeifunza mengi...mungu wetu ni mungu wahuruma natumai hata kakangu kwa yale amepitiya mungu atamsamehe tujifunze kuomba mungu atatupa maana kwake kunakila kitu ,thank sana ankol jay kwa simulizi nzuri sana tunakupenda ❤❤❤❤❤❤

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov 9 месяцев назад +2

    😢mmmmh mbn 🎉🎉🎉Asante Anko j Mungu wetu n mwenye kusamehe kwa kila jambo

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f 9 месяцев назад +4

    Jamani wa tisa tabarak Allah

  • @OnesmoMwipopo-co8dr
    @OnesmoMwipopo-co8dr 8 месяцев назад +4

    Mungu tusaidie sana na haya maisha, maana yanamambo mengi sana yakuhuzunisha na kujifunza

  • @zainabamir1431
    @zainabamir1431 9 месяцев назад +4

    Nimechelewa sana leo thank anko🎉🎉❤❤

  • @Syviahalex
    @Syviahalex 9 месяцев назад +3

    I miss simulizi alot, i was away but am back tena kwa mpigo, mambo anko..

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 8 месяцев назад +5

    EEh Mungu nisamehe😢😢 simulizi hii nifuzo kubwa jameni 😔 ahsante AnkoJay 🙏

  • @user-wq7nl3pc1j
    @user-wq7nl3pc1j 8 месяцев назад +1

    🎉asante sana anko jay😅😊😮🎉😂

  • @apolinaryrosemery-nl9ym
    @apolinaryrosemery-nl9ym 8 месяцев назад +3

    Napenda sana ichi kimlio ukitumiA kwenye simuliz

  • @haleemahhamisi2534
    @haleemahhamisi2534 9 месяцев назад +3

    Vyenye nlikuwa nimeboeka nkisubiria until forever Kwa hamu🎉🎉🎉Asante Kwa kigogo kipya❤❤🪑🎧

  • @user-od7px8hq5h
    @user-od7px8hq5h 8 месяцев назад +2

    Mobisko hongera zako me ni muandishi Hila Kwa hii story imenitoa machozi ongera zako mtunzi mwenzangu

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg 8 месяцев назад +2

    Wow. Afadhali umetukumbuka leo Anko j

  • @erickdeogratias7718
    @erickdeogratias7718 8 месяцев назад +2

    Daaah.mungu atusamehe san sisi wakosefu.tamaa mbaya sana jamn.🙏🙏🙏🙌🙌

  • @OnesmoMwipopo-co8dr
    @OnesmoMwipopo-co8dr 8 месяцев назад +2

    Mungu atusaidie sana sana na haya maisha

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 7 месяцев назад +1

    Mwenyezi Mungu atuepushe na tamaa na mitihani kama kama hii InshaAllah 🤲

  • @Rsilk192
    @Rsilk192 8 месяцев назад +1

    Nimejifunza mengi Asante

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 8 месяцев назад +2

    Shukurani san ❤❤❤❤🎉

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 8 месяцев назад +2

    Nice story na tumejifunza kitu wale wenye tamaa watakuwa wangalifu sana congratulations my love wetu ankooooo

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn 9 месяцев назад +2

    Wow amazing

  • @evacharles8881
    @evacharles8881 9 месяцев назад +3

    Thanks anko jay

  • @mrsalma6299
    @mrsalma6299 8 месяцев назад +3

    Hakika simulizi hii ni funzo tosha tujifunze kurizika na kidogo japo tu cha halali kule kuwa na utajiri na Amani huna 🥺🥺🥺 Ahmed mwisho wake ka ivo kaambulia kifo daaah inauma kweli 🥺🥺🥺😌

  • @nadrasalum6039
    @nadrasalum6039 9 месяцев назад +4

    Asante sana Anko j jana mmetuamulia ww na bro Lucas lumbas tumefurahi na hata hivyo sijachelewa sio wa mwanzo wala wa mwisho 😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @rizmwMwriz-mf2cu
    @rizmwMwriz-mf2cu 8 месяцев назад +1

    Anko J mapesa,,,,asante kwa smlz acha niende nayo nnjue yalo jiri

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 8 месяцев назад +3

    Kuna mtu kwa familia na yeye tunamshuku kweli maana na yeye hawezi kusaidia mtu yeyote bora akununulie chakula ama kitu ila sio pesa😢😢😢😢😢eee mwenyezi Mungu ninkuomba unipe moyo wakuridhik na unachonipa🙏🙏🙏🙏

    • @hassnakhamis3489
      @hassnakhamis3489 4 месяца назад

      Jamn yupo kama mtot wa ba mkubwa angu huruhusiwi kwenda bila taarifaaaa jamn mtohani walah 😢😥 acha walah

  • @EvelyneNifasha-zc6jr
    @EvelyneNifasha-zc6jr 8 месяцев назад +2

    😭😭😭😭😭jmn jmn hiii Dunia inamengi ehhhh mwenyezi Mungu naomba Uwe n'as sikuzote zamaisha

  • @Holiness-to3wp
    @Holiness-to3wp 8 месяцев назад +2

    Waaa hii simliz inahuzunisha sana janani daa

  • @user-hv7ob7ts3y
    @user-hv7ob7ts3y 9 месяцев назад +3

    Jaman jaman🎉

  • @joyellie5089
    @joyellie5089 8 месяцев назад +2

    Ndugu Hamid juma MUNGU ailaze roho yako pema peponi na hata mimi apa nakusadia kuomba MUNGU akusamehe

  • @Holiness-to3wp
    @Holiness-to3wp 8 месяцев назад +2

    Heri nife maskini Niishi maisha ya raha kuliko niwe tajiri niishi maisha ya shida jamani pesa ni sabini ya roho❤❤❤❤u ankojay

  • @SofiaKhamis-pp5bt
    @SofiaKhamis-pp5bt 9 месяцев назад +3

    Wow nimewahi leo❤❤❤

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 9 месяцев назад +4

    Wakwanza like zangu wapendwa

  • @anjelinandambuki-fi4ip
    @anjelinandambuki-fi4ip 9 месяцев назад +2

    Tupo dear ❤❤❤

  • @saadamohammed7431
    @saadamohammed7431 9 месяцев назад +2

    Fundisho zuri mashalla kwa binaadam hongera ancojay ❤❤❤❤

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 8 месяцев назад +2

    pole hamad 😭😭yote ayo umeyafanya kwasababu ya mateso uliyo yapata utotoni kwa sababu ya umaskini

  • @user-yg9et7mp7i
    @user-yg9et7mp7i 8 месяцев назад +2

    Asante sana Anko mapesa all ❤❤

  • @salmasasha
    @salmasasha 9 месяцев назад +11

    Top 20 today, thanks anko mapesa❤❤

  • @anawiliam-eb4kb
    @anawiliam-eb4kb 9 месяцев назад +3

    Na mimi wa kwanza leo ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-sp9tq8mq6q
    @user-sp9tq8mq6q 8 месяцев назад +2

    simulizi hii ni ya kusisimua maisha yanasili kubwa sana kwny maisha yetu sisi binadamu tusitamani mali ya mtu mwengine maana uwezi kujua sili ya uyo mtu aliyo fanikiwa ni nini

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 9 месяцев назад +2

    Hatimai tumepatatei ahsante anko Jay simulizi ❤❤❤❤😂😂😂

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 9 месяцев назад +5

    Pesa za majini hizo😂😂 zina mashiriti kuto saidia family..mungu tupe riziki zilizo za halali

  • @Dasoor-tt3vf4dj8i
    @Dasoor-tt3vf4dj8i 9 месяцев назад +4

    Sijachelewa sana antiii😂😂😂😂

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en 9 месяцев назад +3

    Sawa Kaka mlikuwa likizo nn sio Kwa jana kusubiri mpaka basi

  • @user-wc7md9nu4v
    @user-wc7md9nu4v 9 месяцев назад +2

    Thx anko j❤❤❤❤❤

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 8 месяцев назад +1

    Tunajifuza ili kwesho yasitukute tuweze kuyaepuka.shukrani

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 9 месяцев назад +3

    Thanks Mr jay kwa simulizi mpya

  • @nuriatqueen5575
    @nuriatqueen5575 9 месяцев назад +4

    Wa tatu❤❤❤

  • @yusrambodze3804
    @yusrambodze3804 9 месяцев назад +3

    Better late than never🎉🎉🎉

  • @ZainHassan-sy5gs
    @ZainHassan-sy5gs 8 месяцев назад +2

    Daaah bora nifee masikini ila so kwautajiri kama hivi 😢😢😢

  • @kevenkeven7381
    @kevenkeven7381 9 месяцев назад +5

    Ankojay mapesa naomba ata like 5

  • @OnesmoMwipopo-co8dr
    @OnesmoMwipopo-co8dr 8 месяцев назад +3

    Katika maisha tujalbu kushukuru kwa kidogo tulchopata kulko kutaka mambo makubwa wakati hatuna uwezo

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 8 месяцев назад +2

    Jmn Lucas ako wapi??? I miss his voice😍, Thank you Anko Jay

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 9 месяцев назад +2

    😮asante sana ❤❤❤💐💐💐

  • @jamilarimo5546
    @jamilarimo5546 9 месяцев назад +5

    Wow thanks anko jay kwa simulizinzuri. Nipenilikes zenu

  • @DorcasMuomba-gd3sw
    @DorcasMuomba-gd3sw 3 месяца назад

    Ee Mungu utusaidie haya maisha sio mazuri (maana dunia hii ni bahara)bora hata nimushukuru Mungu kwahivi nilivyo maana heri umaskini kuliko mali isiyo halali

  • @saudaamohammed8743
    @saudaamohammed8743 8 месяцев назад +2

    Story nzuri inafundisha❤❤❤❤❤

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc 9 месяцев назад +3

    Thanks anko jay kwa simulizi za kuelimisha na kutufundisha allah akuweke uzidi kutupa burudani

  • @violachelangat7411
    @violachelangat7411 8 месяцев назад +4

    Leo nimepata majibu mengi sana kupitia hii simulizi,

  • @AishaNanzua
    @AishaNanzua 8 месяцев назад +4

    Heri ningangane na warabu 😢😢

    • @BahatiJacob-tf2iv
      @BahatiJacob-tf2iv 7 месяцев назад

      Uko wap mway unipe na mie connection ya waarabu

  • @Jasmeni-ns9dg
    @Jasmeni-ns9dg 9 месяцев назад +4

    Nimewahi na mm 😂😂

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 8 месяцев назад +2

    Inauma Sana pole 😭😭😭

  • @MeryChristopher
    @MeryChristopher 8 месяцев назад +1

    Yaan watu bhana baada mtu aseme amejifunza nini ana comment et "leo wa kwanza nipeni like zangu"

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 9 месяцев назад +2

    😮😭😭😭 it's too much

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 8 месяцев назад +2

    😢😢😢😢Tamaa nibaya sana asate sana ako Jay ubalikiwe sana

  • @MOBISKOSTORIES
    @MOBISKOSTORIES 9 месяцев назад +2

    Nice

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 9 месяцев назад +3

    Mh,inaumiza 😢😢

  • @user-yk6dg4kl3s
    @user-yk6dg4kl3s 5 месяцев назад +5

    Yan familia ya anko jay ni wachoyo knoama awatak ata kunipa like

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f 9 месяцев назад +1

    Hii simulizi inanitowa machozi

  • @FlorensN-xy2fk
    @FlorensN-xy2fk 9 месяцев назад +4

    ❤❤❤ 😮😮

  • @user-ip6hb1nq2u
    @user-ip6hb1nq2u 8 месяцев назад +2

    wamwisho lakini hii simulizi inanitowa 😭😭😭😭😭😭nasijafika katikati jamani

  • @jokhajj
    @jokhajj 8 месяцев назад +2

    Tama mbele mauti nyuma aise😢😢

  • @user-si6rf5wv8g
    @user-si6rf5wv8g 9 месяцев назад +3

    ❤❤❤

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en 8 месяцев назад +2

    Yani mpaka naogopa kusikiliza hii simulizi inaogopesha sana jana

  • @stellahrobert5
    @stellahrobert5 9 месяцев назад +2

    Jamani anko j

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 9 месяцев назад +4

    Asante kwa simulizi tamu ❤

  • @HawaMansur
    @HawaMansur 8 месяцев назад

    Mungu tusaidie na haya maisha

  • @zainabjordan5659
    @zainabjordan5659 9 месяцев назад +3

    Sad story 💔😭

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 5 месяцев назад

    Mungu nisaidiye nibaki maskini parka mwisho wauhai wangu nalia mimi jamani

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 8 месяцев назад +2

    Jmn Ahmed si Bora angebakia tu kuwa kibaka tu afe tu mwenyewe sasa mali za nn hizi za shida?😢😢😢 this is more than pain

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 9 месяцев назад +2

    Huyu mume wa Hellena atatenda dhambi za kuua kila siku kwaajili ya huyo mkewe mwenye tabia mbaya

  • @shaklamwai7868
    @shaklamwai7868 9 месяцев назад +1

    Wa kwanza Leo ❤❤❤❤

  • @saudalwelo4437
    @saudalwelo4437 8 месяцев назад +2

    Anko tunataka story za malove love tumemiss jamani

  • @user-kw4wn7rj1h
    @user-kw4wn7rj1h 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 8 месяцев назад +2

    Aiseeh nibaki ni na umaskin na nipambane tu huku ugaibuni lkn sio pesa za nguvu za giza Tena kuuwa watu niwapendao😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeh ntapigana kwa Hali na Mali nipate riziki ya halali 😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @mwapendosultan887
      @mwapendosultan887 8 месяцев назад

      bola matusi ya mwarabu lakini mwisho wa mwenzi pesa inaingia kuliko utajiri 😢😢mwenye mateso na sio halali

    • @zuenahz5514
      @zuenahz5514 8 месяцев назад

      @@mwapendosultan887 haswaaaaaaaaaa Tena pesa yenye baraka ya mungu

  • @user-tz4cr4lz8q
    @user-tz4cr4lz8q 6 месяцев назад +1

    😢😢😢 daaaah nimeliya sna

  • @ImeldaKadogoo
    @ImeldaKadogoo 6 месяцев назад

    Duuu Ahmed uliyatimba mungu akusamehe😊

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 8 месяцев назад +2

    🙏🙏🙏🙏

  • @user-qq4zi2ri6l
    @user-qq4zi2ri6l 9 месяцев назад +2

    Wajameni mambo zenu gayz

  • @user-yd2el9mn2g
    @user-yd2el9mn2g 8 месяцев назад

    Yani hiii na daraja Ra salenda nazipenda sana sio poa Jaman

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 7 месяцев назад

    Fundisho kubwa kwa wale wanaopenda mambo makubwa big up Anko