DAH INASIKITISHA - SIMULIZI MPYA YA KUSISIMUA - EH MUNGU NISAMEHE
HTML-код
- Опубликовано: 17 окт 2023
- Kwa majina Naitwa hamadi juma ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto wawili Mimi na mdogo wangu wa kike aliyeitwa hasma juma nilibaatika kupata malezi ya wazazi wangu wawili kwa miaka 16 apo baba angu alipata kazi jijini dar es Salam kabla baba ajaondoka na kutuacha na mama tulikuwa na maisha ya kawaida tu sio ya shida Wala ya raha baba angu alikuwa ni fundi welding alikuwa akifanya kazi kwenye viwanda ndipo alipoipata kazi ya kwenda kujenga kiwanda jijin dar akuwa na jinsi akatuacha Mimi na mama angu pamoja na mdogo wangu hasma.Miezi mitatu ya mwanzo baba alikuwa tukiwasiliana nae na alikuwa anatuma maitaji yote ya nyumbani ila gafla simu ya baba aikuwa hewani na aikupatikana Tena tulifanya juhudi zote za kupata mawasiliano nae ila ilishindikana hata
ndungu zake kina baba wadogo na mashangazi jitihada ziligonga mwamba apo maisha yakaanza kuwa magumu nyumbani kwani majukumu ya kutulea yalibaki kwa mama amabae alikuwa ni mama wa nyumbani tu. Maisha yalibadilika Sana ilimbidi mama atafute vibarua kwenye mashamba ya watu ili aweze kutusomesha kutulisha na maitaji mengine. Развлечения
Yani mkasa huu umenipa nguvu mpya ya kusugua choo cha mwarabu bora nile jasho langu na pia asante ankoo mapesa 🎉🎉🎉
Acha tusugue dear
😂😂😂😂😂
Waakwanzaa jmn mb'n sipati like za kutosha wadau 🎉🎉
Huwa tunapitisha hukumu kwa watu bila huruma mara nyingi Mungu tusamehe sana
Amen
Amen 🙏🙏
Weweeee I like it anko jay penda sana wewe jmn ❤❤❤
Yaan kwa mkasa huu umezidi kunipa nguvu na juhudi yakuwasafishia wazungu choon nakuwatandikia vitanda nile jasho langu but sikwakudhulumu roho za watu mungu niepushie na tamaa zakidunia Amina 🙏, anko Jay tunashkuru kwa simulizi yenye mafunzo
Kwel kwel kabsa
@@OnesmoMwipopo-co8dr inasikitisha san jaman tutosheke na kidog alichotupa Allah
Senkyu anko j mapesa ❤❤❤
Asante sana ..yaani nitaishi kumtegemea Mungu kwa mahitaji yangu
Jameni turizike na tunacho pata tuache taamaa na kupend a makubwa ambayo Allah hakutuajalia ,imeniuma sana , shukran Ankojay kwa kisa hichi chenye mafunzo
Kabsa kbsa
Pole mungu ailaze mahali pema peponi
Asante anko Jay japo roho imeniuma na kukosa raha hadi mda huu
Simulizi za namna hii we jamaa unatisha sana hongera sana na mungu akubaliki kwakuendelea kutuelimisha vijana tunao pambana na tuendele kupambana kwa jasho bila tamaa
Ahsante sana ndugu 🔥👍
Ncccc
Ankojay tunahitaji story za namna hii maana tunajifunza sanaaa anko🙏🙏@@ankojay_
Simulizi nzuri sana imeifunza mengi...mungu wetu ni mungu wahuruma natumai hata kakangu kwa yale amepitiya mungu atamsamehe tujifunze kuomba mungu atatupa maana kwake kunakila kitu ,thank sana ankol jay kwa simulizi nzuri sana tunakupenda ❤❤❤❤❤❤
😢mmmmh mbn 🎉🎉🎉Asante Anko j Mungu wetu n mwenye kusamehe kwa kila jambo
Jamani wa tisa tabarak Allah
Mungu tusaidie sana na haya maisha, maana yanamambo mengi sana yakuhuzunisha na kujifunza
Nimechelewa sana leo thank anko🎉🎉❤❤
I miss simulizi alot, i was away but am back tena kwa mpigo, mambo anko..
EEh Mungu nisamehe😢😢 simulizi hii nifuzo kubwa jameni 😔 ahsante AnkoJay 🙏
🎉asante sana anko jay😅😊😮🎉😂
Napenda sana ichi kimlio ukitumiA kwenye simuliz
Vyenye nlikuwa nimeboeka nkisubiria until forever Kwa hamu🎉🎉🎉Asante Kwa kigogo kipya❤❤🪑🎧
Mobisko hongera zako me ni muandishi Hila Kwa hii story imenitoa machozi ongera zako mtunzi mwenzangu
Wow. Afadhali umetukumbuka leo Anko j
Daaah.mungu atusamehe san sisi wakosefu.tamaa mbaya sana jamn.🙏🙏🙏🙌🙌
Mungu atusaidie sana sana na haya maisha
Mwenyezi Mungu atuepushe na tamaa na mitihani kama kama hii InshaAllah 🤲
Nimejifunza mengi Asante
Shukurani san ❤❤❤❤🎉
Nice story na tumejifunza kitu wale wenye tamaa watakuwa wangalifu sana congratulations my love wetu ankooooo
Wow amazing
Thanks anko jay
Hakika simulizi hii ni funzo tosha tujifunze kurizika na kidogo japo tu cha halali kule kuwa na utajiri na Amani huna 🥺🥺🥺 Ahmed mwisho wake ka ivo kaambulia kifo daaah inauma kweli 🥺🥺🥺😌
Asante sana Anko j jana mmetuamulia ww na bro Lucas lumbas tumefurahi na hata hivyo sijachelewa sio wa mwanzo wala wa mwisho 😂😂😂❤❤❤❤❤
Anko J mapesa,,,,asante kwa smlz acha niende nayo nnjue yalo jiri
Kuna mtu kwa familia na yeye tunamshuku kweli maana na yeye hawezi kusaidia mtu yeyote bora akununulie chakula ama kitu ila sio pesa😢😢😢😢😢eee mwenyezi Mungu ninkuomba unipe moyo wakuridhik na unachonipa🙏🙏🙏🙏
Jamn yupo kama mtot wa ba mkubwa angu huruhusiwi kwenda bila taarifaaaa jamn mtohani walah 😢😥 acha walah
😭😭😭😭😭jmn jmn hiii Dunia inamengi ehhhh mwenyezi Mungu naomba Uwe n'as sikuzote zamaisha
Waaa hii simliz inahuzunisha sana janani daa
Jaman jaman🎉
Ndugu Hamid juma MUNGU ailaze roho yako pema peponi na hata mimi apa nakusadia kuomba MUNGU akusamehe
Heri nife maskini Niishi maisha ya raha kuliko niwe tajiri niishi maisha ya shida jamani pesa ni sabini ya roho❤❤❤❤u ankojay
Wow nimewahi leo❤❤❤
Wakwanza like zangu wapendwa
Tupo dear ❤❤❤
Fundisho zuri mashalla kwa binaadam hongera ancojay ❤❤❤❤
pole hamad 😭😭yote ayo umeyafanya kwasababu ya mateso uliyo yapata utotoni kwa sababu ya umaskini
Asante sana Anko mapesa all ❤❤
Top 20 today, thanks anko mapesa❤❤
Na mimi wa kwanza leo ❤❤❤❤❤❤❤
simulizi hii ni ya kusisimua maisha yanasili kubwa sana kwny maisha yetu sisi binadamu tusitamani mali ya mtu mwengine maana uwezi kujua sili ya uyo mtu aliyo fanikiwa ni nini
Hatimai tumepatatei ahsante anko Jay simulizi ❤❤❤❤😂😂😂
Pesa za majini hizo😂😂 zina mashiriti kuto saidia family..mungu tupe riziki zilizo za halali
Amiin
Sijachelewa sana antiii😂😂😂😂
Sawa Kaka mlikuwa likizo nn sio Kwa jana kusubiri mpaka basi
Thx anko j❤❤❤❤❤
Tunajifuza ili kwesho yasitukute tuweze kuyaepuka.shukrani
Amen
Thanks Mr jay kwa simulizi mpya
Wa tatu❤❤❤
Better late than never🎉🎉🎉
Daaah bora nifee masikini ila so kwautajiri kama hivi 😢😢😢
Ankojay mapesa naomba ata like 5
Katika maisha tujalbu kushukuru kwa kidogo tulchopata kulko kutaka mambo makubwa wakati hatuna uwezo
Jmn Lucas ako wapi??? I miss his voice😍, Thank you Anko Jay
😮asante sana ❤❤❤💐💐💐
Wow thanks anko jay kwa simulizinzuri. Nipenilikes zenu
Ee Mungu utusaidie haya maisha sio mazuri (maana dunia hii ni bahara)bora hata nimushukuru Mungu kwahivi nilivyo maana heri umaskini kuliko mali isiyo halali
Story nzuri inafundisha❤❤❤❤❤
Thanks anko jay kwa simulizi za kuelimisha na kutufundisha allah akuweke uzidi kutupa burudani
Leo nimepata majibu mengi sana kupitia hii simulizi,
Yapi hayo tuambie
Heri ningangane na warabu 😢😢
Uko wap mway unipe na mie connection ya waarabu
Nimewahi na mm 😂😂
Inauma Sana pole 😭😭😭
Yaan watu bhana baada mtu aseme amejifunza nini ana comment et "leo wa kwanza nipeni like zangu"
Nime fraiya comment yako asante
😮😭😭😭 it's too much
😢😢😢😢Tamaa nibaya sana asate sana ako Jay ubalikiwe sana
Nice
Mh,inaumiza 😢😢
Yan familia ya anko jay ni wachoyo knoama awatak ata kunipa like
Hii simulizi inanitowa machozi
❤❤❤ 😮😮
wamwisho lakini hii simulizi inanitowa 😭😭😭😭😭😭nasijafika katikati jamani
Tama mbele mauti nyuma aise😢😢
❤❤❤
Yani mpaka naogopa kusikiliza hii simulizi inaogopesha sana jana
Jamani anko j
Asante kwa simulizi tamu ❤
Mungu tusaidie na haya maisha
Sad story 💔😭
Mungu nisaidiye nibaki maskini parka mwisho wauhai wangu nalia mimi jamani
Jmn Ahmed si Bora angebakia tu kuwa kibaka tu afe tu mwenyewe sasa mali za nn hizi za shida?😢😢😢 this is more than pain
Huyu mume wa Hellena atatenda dhambi za kuua kila siku kwaajili ya huyo mkewe mwenye tabia mbaya
Wa kwanza Leo ❤❤❤❤
Anko tunataka story za malove love tumemiss jamani
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Aiseeh nibaki ni na umaskin na nipambane tu huku ugaibuni lkn sio pesa za nguvu za giza Tena kuuwa watu niwapendao😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeh ntapigana kwa Hali na Mali nipate riziki ya halali 😭😭😭😭😭😭😭😭
bola matusi ya mwarabu lakini mwisho wa mwenzi pesa inaingia kuliko utajiri 😢😢mwenye mateso na sio halali
@@mwapendosultan887 haswaaaaaaaaaa Tena pesa yenye baraka ya mungu
😢😢😢 daaaah nimeliya sna
Duuu Ahmed uliyatimba mungu akusamehe😊
🙏🙏🙏🙏
Wajameni mambo zenu gayz
Yani hiii na daraja Ra salenda nazipenda sana sio poa Jaman
Fundisho kubwa kwa wale wanaopenda mambo makubwa big up Anko