😭😭😭😭Duh jamn Leo nimepitwa sana mh maskin mie cjuw wangap au wa mwisho kabisa ila ANKO JAY kama kawaida yang baadae cha nikusikilize vizur ❤️❤️❤️like kidg tu nitakuachia
Nimechelewa jmn 🤔kawaida marafiki wa kike ni wanafiki...siri zako za kimahusiano afadhali ubaki nazo mwenyewe na mpenzi wako, , Ahsatum Anko jay ...tunafarijika sana
Yalinikuta hayo ya best friend kunisaliti na jamaa wangu Ama kweli usaliti nimbaya sana Kuanzia hiyosiku siamini tena marafiki wa kike sai ninamarafiki wakiume tuu
Waooo asante ank j kwa simuliz tam nasaut za kuvutia
Hongera anko jay Kwa simulizi mzuri tamu yenye kuvutia
Tunasubili namba 2 anko jay shukraan jazzilaah kwa kweli tamuuu 🥰🥰🥰🥰🥰
😭😭😭😭Duh jamn Leo nimepitwa sana mh maskin mie cjuw wangap au wa mwisho kabisa ila ANKO JAY kama kawaida yang baadae cha nikusikilize vizur ❤️❤️❤️like kidg tu nitakuachia
Anko jey mwenyewe Asante San kwasimulizi nzuri napia mtuletee maendelezo y simulizi hii tamuu mnoo
Nimechelewa jmn 🤔kawaida marafiki wa kike ni wanafiki...siri zako za kimahusiano afadhali ubaki nazo mwenyewe na mpenzi wako, , Ahsatum Anko jay ...tunafarijika sana
Like 10 kwa simuliz mix na 5 kwa anko j
nimesahau.kama.nimetekws😃😃😃😃
@@hamidaala2832 😂😂
@@hamidaala2832 😂😂😂😂😂 Jamanii
Wow Love anko jay 🍾🥂🌹❤️💋
Nilikuwa nime kumiss sana yaan kitu kipia 🔥🔥😍😍
Mashallaa nzuri sana jamani 🥰🥰🥰😘😘💯
Duuuh hii kitu kumoyo hasa ubarkiwe mtunzi na msimuliaji nawapenda sana simulizi mix
Anko J simulizi mix nzuri sana 😍😍😍mpaka unatia hamasa ya kupata mpenzi kama huyo
Umeonae
@@zahrababygarl1568 ndio dear
Supu ya samaki sato jaman mie naipenda sana
Chucrani sana simulizi mix tuko pamoja ❤❤❤❤👌👌👌👌🙏
Briana we kiboko hizi story zako unazipatia yan tamu balaa na msimulz sas ndio anazid kuinogesh😂❤❤ nitakoment ten siwez vumialia😅😅
🔥🔥🔥 Brianna upo nondo sana.... keep it up dear 🥰.... msimuliaj big up🤛
Umasikini huu tunasikiliza tukimaliza nakoment tena anko jay asante kwa simulizi tamuuu simulizi mix like zenu🥰🥰🥰🥰🥰
He majanga umasikini mtihani yani hongera pleti kwa ujasiri wako. Asante Anko J kwa simulizi nzuri
Ako Jay simulizi zko zabamba sana ♥️♥️ nimeipenda sana
Asante sana anko jay tunakupata vizuri
Yaani,Anko Jay weweee hizi simulizi unazijulia hadi raha hapa Kenya mambo moto kabisaa cz of smix
Jamani nasubili sehem ya pili me
Acha niskilize huu umaskini ulimfanya nn huyu mdada
Kiukweli napenda sana unavo simulia nikisikiliza sauti yako mwenzio hoi😂😂😂😂unajitahidi sana blo
Umasikini.jamani
Anko j unapenda kujisifia wewe jmn kaaaa
Anko jay malizia simulizi yetu kabla hatujakuteka😳
Anko J nakubali kazi Yako Mungu akutangulie.
Waooooow is amazing
Daaah simuliz nzuri xaan tunaisubiria hiyo part 2 kiukwel 🔥🔥🔥
Hongera Dana kwako akoo jei Kwa simulzi tam Kansas
Jamani me nilikumic sana Yani Brianna ulipotea jamani 🥰🥰🥰🥰
Asante san anko j kwa simulizi nzur
Anko jay wewe jamani wacha sifaa baba l don't know may be your handsome guy 👍👍👍👍🙏👍,❤️❤️❤️
WOW🔥🔥🔥THIS MY KIND OF STORIES. 👏👏👏 WONDERFUL ANKO JAY.
Ako na sauti tamu kama ya ankojey
Asante sana anko jay sasa ubaya n umeajia pahali tamu zaidi sehemu ya pili jamani
Haaa haaa furaha za uswahilini 😂😂😂😂😂🤝
Tunasubili mwendelezo Anko jay
Jaman anko mwendelezo Lin mana story ni tam Jaman Kama Saut yako
Sauti,kweli nitamu😂🙏
Anko kusema kweli wacha kunifanya niwe na wifu
🥰🥰🥰 naipenda zimulizi zako sana, mwenyezi Mungu akuongose kibali 🙏
Tamu jamani tamu mnooo
Can’t wait siwezi comment mpk Tupate muendelezo Anko wetu
Jamn Wewe mdada Brianna uwe unatuletea kila siku simulizi zako ni Nzur mnooo 🤩🤩🔥 dear
Hapo kwa binamu kumeniacha hoi bin taabani.
Duuuh itakuwa aje Sasa anko jay fanya mambo bas
Yalinikuta hayo ya best friend kunisaliti na jamaa wangu
Ama kweli usaliti nimbaya sana
Kuanzia hiyosiku siamini tena marafiki wa kike sai ninamarafiki wakiume tuu
Nzuri Sana ❤️❤️❤️
Hata mimi anko Jay Nalia kwa herufi ndogo na kubwa. I mix them bwana
Sehemu ya pili iwapi jaman😘😘😘
Anko jay olivia amekomaa kama mange kimambe 😁😁😁😁🤣
Wow so amazing
Brianna nakukubali sana Kwa story
Jamni anko tumems Briana stories plz
Nice
Wow is fire🔥🔥
Nakusubiri sana iendelea ako Jay
I am becoming crazy about simulizi mix jamani nisaidieni nita kuwa kicha mm😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂haha
Upo kama mm, nisipo sikiliza nateseka sana😂😂😂
@@Dannny690 wee hacha tu
@@Dannny690 Jmn ama munanicheka mimi🤣🤣🤣🤣🤣maana mwenzenu naona sijielewi😌🤣🤣🤣
@@lilianeerica3318 hatukuchek ni ili vibes tu
Nyie 😁😁😁😁
Nimuno 🔥🎊🎊💖💖
😂😂😂😂😂😂😂😂😂wewe❤❤❤
Zuri sana
Part two please
Anko unatisha🖐🙏💅
I don't believe if they're still men like Ray.
Hii story nzur san anko jay
Pesa weweeee kwa nini lkn😌😌
Wakwanza
At least im the forth one to comment
2 part please
Anko j mwendelezo plz😋
Jamani bado nasikiliza nauliza tu kwa uncle J kuwa hivi wanaume kama Ray wapo?
Ndo maana uwanga sipendag ushoga na penda umwana
Utaacha masifa kweli jei
❤❤❤❤👌👌👌
Wow
Shukurani sana anko,ila usitucheleweshee sana mwendelezo 🙏🙏
❤️❤️❤️
Jaman muendelezo
Shukran
Tusaidiye 2 party 2 please
Asante sana nimependa 🥰🥰🥰
Shukrani
jamn sehemu ya pili ipo api?
Mange tena daa
🤸♂️🤸♂️🤸♂️🙌🙌🥰
Part two jamn🤔
Uwiiiiii ni Nzur sana haki nimecheka 🥰🥰🥰
Imeishia patamu hiyo
Anko jay anasauti ya kimaaaaaa 🙈🙈🙈
Kw kwel uongo zambi saut t anyo
Part 2 iko wapi wapendwa
Umaskini nishida
💋🍾❤️❤️👌
☺️☺️🥰🥳🥳
🔥💃💋
Nime ipenda
Mbona mmeandika fupi itaendelea kweri???
Sehemu ya pili lini
Dah ANKO JAY ADI MACHOZ JAMON UMASKIN KAZ WALLAH
Jamn mbn hadly
❤❤❤❤