Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

UTAJIRI WA DAMU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2022

Комментарии • 107

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 2 года назад +2

    Tamaa ni mbaya sana tumombe Mungu atatupa vyote tunavyo vihitaji

  • @latifaalsh5421
    @latifaalsh5421 2 года назад +5

    Ama kweli utajiri ni siri kubwa San daah hizi tamaa Allah atuepushe nazo🤲

    • @WachajiWaForo
      @WachajiWaForo 2 года назад

      Allahuma amiin yarabil alamin. matajiri wengi hawana salama. Ila MMUNGU atusaidie na atunusuru nayo amiin

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Mtegemee m,mwenyezi mungu
    Acha tamaa jitume mwenyewe fanya kazi kwa bidii, jiwekee malengo na kuridhika unachokipata

  • @japhydejerry2908
    @japhydejerry2908 2 года назад +1

    Simulizi nzuri sana una sauti ya usimuliaji lakini tatizo moja unanyamaza sana

  • @reginadaud2879
    @reginadaud2879 2 года назад +4

    Dah tamaa hiz mungu atu epushe 🙏🙏 asante kwa kutu fikishia ujumbe

  • @SarahSarah-je6rg
    @SarahSarah-je6rg 2 года назад +1

    Nakupenda sana anko j

  • @davidezekiel9786
    @davidezekiel9786 2 года назад +3

    Upo vzr lakini boresha kidogo usimuliaji unakaa kimya Sana ndio unaendelea

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 года назад +4

    Nimecheka wallah huku mwisho Adelina 😂😂😂😂

  • @abuuvesso7974
    @abuuvesso7974 2 года назад +1

    Dah simuliz znanimalizia band aisee

  • @franciscassian
    @franciscassian 8 месяцев назад +1

    Duuh chizi tena😂😂😂

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 2 года назад +1

    Nakubali anko j kongole

  • @janethedward5381
    @janethedward5381 2 года назад +4

    AFADHALI MANA UMASIKINI SI POA... NILITAKA KWENDA KWA MGANGA ZIDI NIPATE MALI LAKINI SIMULIZI HII IMENIFUNZA SANA MUNGU AKUBARIKI

  • @franciscassian
    @franciscassian 8 месяцев назад +1

    Ndio kawa demu😂😂😂

  • @user-jf1hn3qs4n
    @user-jf1hn3qs4n 5 месяцев назад

    Nice ❤ anko j

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 2 года назад

    😲😲 pole sana ulikua naroho asante msimulizi

  • @fainesimathiasi179
    @fainesimathiasi179 2 года назад +1

    😀😀😀😀😀😀😀😀et ndugu zangu walinigeuza mbwa😃😃😃😃😃😃

  • @vero756
    @vero756 2 года назад +5

    Ila kweli sai matajiri wengi hawana amani wa moyo na wengi wao wanaishi kumezq tuh dawa😒Mungu atuondolee tamaa na ushawishi,atupe hela na situme tukawa na kijeri na tukamsahau Mungu 🙏asante Anko j🤝🤝🤝hizi zifikie Beatrice

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 2 года назад +1

      Nikweli matajiri wengi hawana amani nishida tupu
      Bora uwe maskini ila uwe naimani yamoyo

    • @vero756
      @vero756 2 года назад

      @@priscillahsirya6544 umeona eeh

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 2 года назад +1

      @@vero756 yah hiyosisiri tena wanapesa ila shidazimezidi
      Aaah bora umaskini unaamani ya moyo

    • @vero756
      @vero756 2 года назад

      @@priscillahsirya6544 kweli yaani juu ukiagalia most of time humeza tuh madawa yaani shida juu ya shida tunastahili kulidhika na hicho kidogo mungu hutupa,tena pesa nyingi za nn wakati hujui kesho yko?

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 2 года назад

      @@vero756 niivo achatushkuru kwakile tulicho nacho tamaa mbaya

  • @janethedward5381
    @janethedward5381 2 года назад +1

    Unasauti nzureee sana tatizo una stak stak

  • @user-lx3bs3iq8t
    @user-lx3bs3iq8t 8 дней назад

    Bora nog masikin kulik utumwa wa shetan

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua 5 месяцев назад

    Khaa 😂😂😂😂 ndungu tena kukubadilisha mbwa

  • @samirarabani2347
    @samirarabani2347 2 года назад +2

    Kwaiyo saiv unaitwa dada adelina shetani shkamoo😂😂😂pole sana kaka acha tu dunia hii

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 2 года назад +1

    Adelina tena😂😂😂😂😂😂😂duuh pole sana🥺

  • @user-mi9vh1dd7v
    @user-mi9vh1dd7v 11 месяцев назад

    Eeeh Ankojay hii imeenda😁😁😁

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 5 месяцев назад

    Asante studio

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 2 года назад

    Mmmmh Kali maiti eti ufanye naye mapenzi,

  • @dicksonrashid7729
    @dicksonrashid7729 2 года назад +1

    Naikubali usimuliaji huu💖💖🙏🙏

  • @bxhryxhbn4812
    @bxhryxhbn4812 2 года назад

    Anko j hii story 🔥🔥🔥 nakukubal sana

  • @saidisalumu351
    @saidisalumu351 2 года назад +1

    Nawafutia kupitia abudi fm na tandi

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi7553 10 месяцев назад

    KWAKWELI TAMAA MBAYA 😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-gs3ix5bp6l
    @user-gs3ix5bp6l Год назад

    dah sina usemi but nilipenda

  • @Adonai810
    @Adonai810 2 года назад +9

    AMAZING ANKO!!ANKO.🔥🔥🔥👏👏👏VERY SAD THOUGH..SO SAD.

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад

    Ndio ukome

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад

    Ndio ukome
    Maana ukichamba sana mwisho umeshika mavi

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 2 года назад

    Seems to be more fire ndonaanza kuiskiza
    Pamoja simulizi mix

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад +1

    Hatari kutaka utajiri ambao mungu hajakujalia mwisho wake maumivu ulikuwa mbwa lkn pia hukujifunza bado ukataka kuendelea kuuwa na kutaka utajiri zaidi

  • @aimerytsiery5031
    @aimerytsiery5031 Год назад

    Nashanga mana huu jama anamoyo mgumu

  • @chocolatebby7328
    @chocolatebby7328 2 года назад +1

    Duhh pole san kaka adelina anco j unasimlia vizur ila jaribun kuek mzk kidg itazid kunoga

  • @laylaabdulaziz5247
    @laylaabdulaziz5247 2 года назад

    Story tamu sanaaaa

  • @emmymikaeeli42
    @emmymikaeeli42 2 года назад

    Ahsnte sana ximulizi mix na muximuliaji anko jay

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад +2

    Watanzania wengi wameingia kutaka utajihiri uso kuwa wa halali

  • @SaadaBenadi-pj2bn
    @SaadaBenadi-pj2bn 2 месяца назад

    Upo vizury,ila unakaa kimya mdaa

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +1

    Ndo wenye pesa wana roho mbaya kumbe ni mtihani mpaka kulala na maiti

  • @joycekazungu4003
    @joycekazungu4003 2 года назад +1

    Inahuzunisha Ila nifunzo hakuna utajiri wa mganga usio Kosa kafara

  • @khanifajoy7473
    @khanifajoy7473 2 года назад

    Kuna mahali una kimya sana...unanyamza sana hadi ina sinya...uko na sauti ya kusimulia na ushawishi wa kusikiza

  • @user-yy2qp4tx1h
    @user-yy2qp4tx1h 9 месяцев назад

    Du tamaa izi jaman

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we Год назад +1

    Like kama zote kwa ANKO JAY wetuuuuuuuuu❤️❤️❤️❤️

  • @fatmambarick6778
    @fatmambarick6778 2 года назад

    Asante sana kwa simlizi nzur

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 2 года назад +1

    Tatizo la waganga ni hilotu,kila siku lazima urudi kupewa masharti Mapya

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 года назад

    Yani vitu vingine daaah

  • @hrnrickchaula1257
    @hrnrickchaula1257 2 года назад

    Daah utajiri huu

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 2 года назад

    Asante simulizi mix
    Amakweli tamaa mbele mauti nyuma

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 2 года назад +4

    Bora maisha ya umaskini yenye furaha,kuliko maisha ya utajiri yenye hofu kila siku.

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 года назад +1

    Lo unatisha

  • @uwimanaantoinette6417
    @uwimanaantoinette6417 Год назад

    Ila adelina jamani eti nikifikiria naenda kuwa mama nakuzaa natamani kujiuwa 😂😂😂 kwahiyo sisi wanawake tufanyeje 😂😂

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 2 года назад

    Welcome back anko j

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 года назад

    Unaingiza ushetani na mungu

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад

    So sad anko jay

  • @josphinesagina6909
    @josphinesagina6909 Год назад

    Ghaiii majabu haya .watu wa mungu tusiache kuomba😢

  • @user-vb8ck9tt9o
    @user-vb8ck9tt9o 2 года назад

    duh.nzuri lakini.tamaa mpaka.kumaliza familia.

  • @SamiKher-nq6xt
    @SamiKher-nq6xt Год назад

    😂😂😂

  • @stellajohn5647
    @stellajohn5647 Год назад

    Mdogake alikuwa na akili sana anataka kuwa rubani,angeacha utajiri wa uchawi Ili wadogo zake waje wamsaidie b'dae

  • @majaliwaalfanealfaneclemen757
    @majaliwaalfanealfaneclemen757 2 года назад

    Shukuran kaka

  • @MaryMary-kq3nh
    @MaryMary-kq3nh 2 года назад

    🙏👌💥💥💥

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад

    Ukimaliza ndugu na jamaa hizo mali utakazo pata utatumia nana?

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 2 года назад

    Asate sana simlizi fupi ako j

  • @irenewilfred7767
    @irenewilfred7767 2 года назад

    Nimechek lkn inauma aise

  • @fatematrtr4995
    @fatematrtr4995 2 года назад

    Ahahaaa

  • @deej_dejahk1
    @deej_dejahk1 2 года назад

    Ukweli ama ni hadithi tu sielewi kaka kunazo siri fiche mbona uliambiwa usije ukamwambia yeyote yule mbali watusimulia siri za kwako zote? Upotoshaji mkubwa.

  • @saidisalumu351
    @saidisalumu351 2 года назад

    Yani mimi shabiki wenu mama samia natamani nipate namba yenu ya meseji

  • @swalehzubery5511
    @swalehzubery5511 2 года назад

    Kaka tengeneza group whartsarp

  • @muzdalefaali4975
    @muzdalefaali4975 2 года назад

    jamani

  • @johnnjenga300
    @johnnjenga300 2 года назад

    +974