Pole sana kwa yote yaliokukuta ni sehemu ya maisha na hongera sana Fred kwakuanza maisha mapya yenye upendo na amani. Asante sana anko Jay kwa simulizi tamu yenye mafunzo....Happy New Year
Anko Habari za kazi na Ubarikiwe kwa kazi zako. Hakika hiyo ni karama yako. Lkn ninaomba nikuulize kitu hivi unaposimulia unakuwa peke yako, simulizi unasoma au unakuwa umekalili maandishi ya mtunzi. Kinachonishangaza kwenye simulizi yoyote unakuwa na wahusika wengi kwenye story watoto, vijana, wazee, wanawake, wanaume Je hizo sauti zote unaigiza au wanakuwepo wahusika km siyo unasauti ngapi, una tabia ngapi una hisia ngapi na una jinsia ngapi? Maswali ni mengi nimeuliza kunijibu utanipa nafasi ya kuuliza ki2 kingine😮😮😮
@@Pretty22750 not only seeing him I want to take him fully by the way I don't trust photos coz of filters mingi and you seems jealous ama ni wako?? 🤣🤣🤣🤣
@@hellenodhiambo4342 omg mm wala sina issue na yy wala ata nk mbali sana,,, then jitume tz purposely ama um DM mtapatana dear,,,mm hupenda tu simulizi tu 🤣🤣🤣🤣
Handsome wetu Anko jay katusimulia kifunguwa mwaka tuna enjoy hii sauti ukuisikiliza vizuri unatamani kurundia simulizi marambili ❤ ❤❤❤❤
Fred thank you for good story
HAPPY NEW YEAR💝Wana simulizi mix One LOVE.💛❤💚.
Heri yamwaka mpya wapendwa Wa simulizi mix ♥️♥️♥️
Asante simulizi mix kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo amakweli hakuna urafiki wa pesa jamani
Anko jay mwenyewe happy new year vipenzi wa simulizi mix like zenu kwa 2023🥰🥰🥰
Anko jay wangu❤️❤️❤️
Happy new year wapendwa wa simulizi mix🥰🥰🥰🎉🎊
Hoyo ndo pesa Bwana ilimuuza Bwana Yesu Kristo
Mambo anko Jay mungu akupe maisha marefu 🤲❤️
Jamani tamu sana nimejufuza musemehe bure vile Fred alimusameheya shangazi good hurt❤❤❤❤
Pole sana kwa yote yaliokukuta ni sehemu ya maisha na hongera sana Fred kwakuanza maisha mapya yenye upendo na amani. Asante sana anko Jay kwa simulizi tamu yenye mafunzo....Happy New Year
Anko Habari za kazi na Ubarikiwe kwa kazi zako. Hakika hiyo ni karama yako. Lkn ninaomba nikuulize kitu hivi unaposimulia unakuwa peke yako, simulizi unasoma au unakuwa umekalili maandishi ya mtunzi. Kinachonishangaza kwenye simulizi yoyote unakuwa na wahusika wengi kwenye story watoto, vijana, wazee, wanawake, wanaume Je hizo sauti zote unaigiza au wanakuwepo wahusika km siyo unasauti ngapi, una tabia ngapi una hisia ngapi na una jinsia ngapi? Maswali ni mengi nimeuliza kunijibu utanipa nafasi ya kuuliza ki2 kingine😮😮😮
Anko jay heri ya mwaka mpya king wa simulizi
Jaman kibao cha kufungulia mwaka ANKO JAY mwenyew simuliz mix ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mmmhhh...! Fred weweeeeee
Kaz kz thanks Smix pamoja sana I'm no.1
Amazing story
Asante sana kwa smulizi nzuri
Happy new year simulizi mix ❤️❤️❤️
Hello 👋👋 everyone and happy New year my only one and loved one ???wish you all the best for the year 2023 and the blessing year
Heri ya mwaka mpya Ank J
Sija ona mtu mjinga kama huyu kijana katika hii dunia
,waoo
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo
Nimekuwa mtu wa 7 🤔ila wacha nisikilize kwanza nitarudi tena baadae,,,HAPPY NEW YEAR TO ALL SIMULIZI MIX FAMILY,,MUNGU awalinde nyote
Anko j anapenda kujisifia
Wa pili Leo ❤
Anko Jay kama Hujaoa njoo nipo single
Nice music good melody
Ongera sana anko jay ❤
Heri yamwakampya wanafamilia wenzangu wa simulizi mix
Gonga likes tukisonga ya happy 2023
Sasa Abdul na zwena mnaendaje kanisani
Ivi huyo kijana ni mjinga kiasi gani hakuna katika hii dunia
BEST WAY TO START 2023 🔥🔥🔥AMAZING STORY ANKO JAY
Nipo pia
Huo ndio ugonjwa ulio mume wangu
Waooo siku zote huwa baada ya dhiki faraja ila pole sana ndo maisha asante Anko Jay na Mungu awabariki wote smix 👌❤
Haha!! Jina nimelipenda, Rosemary! Na mir makupenda sana anko Jay❤😅
Anko j 😍😍
Asante heri ya mwaka mpya.wapendwa wa simulizi mix pia na Anko J
Happy New year anko jay
Saff
Happy new year wadau
Anko Jay baba wa masifa natamani nikuone 🤣🤣🤣🤣
Enda insta utamuona kama shida nikumuona tu 🤣🤣🤣ahaa
@@Pretty22750 not only seeing him I want to take him fully by the way I don't trust photos coz of filters mingi and you seems jealous ama ni wako?? 🤣🤣🤣🤣
@@hellenodhiambo4342 omg mm wala sina issue na yy wala ata nk mbali sana,,, then jitume tz purposely ama um DM mtapatana dear,,,mm hupenda tu simulizi tu 🤣🤣🤣🤣
@@Pretty22750 🤣🤣🤣🤣relax muaya
@@hellenodhiambo4342 nime relax,,,wajua nn mm nimeshang'atwa na joka hivyo nimekaa kwa kutulia nimewachia wenye mapenzi waendeleze
nmeingoja sana anko jay happy new year🥰🥰😘
Happy new year uncle j ahsante kwA burdan
Anko j kwa mara nyengne asnt smix
Ank j fanya tukuone
Kheriya mwaka mpya guys
Woow thanks anko jay
Happy New year anko j
Happy new year
Happy new year 🎆🎊 guys ❤
❤❤
ULIKUA NA PESA KWANN HAUKUMPELEKA HOSPITAL ANKO WAKO
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💕✔️
Heri ya mwaka mpya wanafamilia wa simulizi mix
Asate sana simlizi mix ako j
❤️
Yani nilikua nawaza nakujiuliza mbona anko j haleti mambo mara paaaa kitu kimeletwa nipo hapa nimetulia nasikiliza
Yaani hii story inaudhi jamani kama kuna wajinga ndio huyu kijana lo
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
🥰❤
😍😍😍
❤️❤️❤️
❤❤