Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SIMULIZI YA KWELI: HIKI KIJIJI NI BALAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2023
  • Si wajinga waliosema tembea uone na kutembea sana si kuchoka bali kuyajua mengi ya dunia. Mwanzo wa maisha yangu nilikuwa mbishi wa kukubali jambo.

Комментарии • 400

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein Год назад +72

    Anko jay haya masimulizi ndo yenyewe 🙌 ukisikiliza usiku HATA kuwasha taa unakua unaogopa 😂

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +16

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah.. poa poa.. nitazileta kwa sana tu

    • @priscillahsirya6544
      @priscillahsirya6544 Год назад +3

      ​@@ankojay_zilete sanaa mana zina sisimua zaidi😂❤❤❤❤❤

    • @mwapendosultan887
      @mwapendosultan887 Год назад +6

      anko mambo yangu aya uku naogopa

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr Год назад +5

      ​@@ankojay_yabidi nimtafute Ally mbetu nimpe yangu ya ukweli kabisa
      Maana ukiwa hujarogwa huwezi amini uchawi daah

    • @directozombi69
      @directozombi69 Год назад +2

      😂😂😂😂

  • @saidiamisiwilondja3999
    @saidiamisiwilondja3999 Год назад +23

    Mungu awaha😢ibishe wote wachawi wote kwajumla mungu ni mkubwa milele amina

    • @user-og5ck9ze7g
      @user-og5ck9ze7g 2 месяца назад

      Siku nyemgine andika jina la MUNGU kwa herufi kubwa coz ni jina kubwa kipenzi

  • @saidaibrahim3808
    @saidaibrahim3808 Год назад +35

    Duh😢inahuzunisha na inatisha balaa😭😭Allah awadhalilishe wachawi wote waliotuzunguka amiin🤲

  • @aishahassan-cl2zf
    @aishahassan-cl2zf Год назад +23

    Wapo mafundi wengi lakn kaka Jay wewe ni Zaid ya fundi mahana akuna funzo utakalo toa na mtuy asijifunze am proud of you Uncle JAy good bless Ur💫💫💫💫)))

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 9 месяцев назад +29

    Hakika Dunia inamambo mengi😢,mengi ya kuhuzunisha na yakufurahisha,kama wewe ndiyo kwanza unaangalia simlizi hii gonga like ili tuende sawa❤❤❤❤

  • @ZombieZombiekille-wf6mo
    @ZombieZombiekille-wf6mo 10 месяцев назад +5

    Mashaallah akika mungu nimuweza wayote Ashkuliwe kwakila jambo

  • @user-oi6uu9xh4s
    @user-oi6uu9xh4s 11 месяцев назад +13

    Napenda simulizi za kutisha Ila uez Amin Mimi n muoga sana ila kubwa zaid naamin mungu kuliko kitu chochote,cha kushangaza ni bora nickize audio kuliko video yani MIMI NI MUOGA NNAE PENDA VITU VYA KUTISHA 😊😊 shoutout kwa watu wanao tuekea izi audio 🙈

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +6

    Haa hata mimi sihamini mungu ni Mkuu kuliko wanadumu wote duniani kuokolewa huko ni mungu kwa kweli. Sifa ni zake shatani hameshitwe na kazi zake za kuharimbu watu wa mungu

  • @graceamran326
    @graceamran326 Год назад +6

    Jamani simlizi hi tamu kwelikweli ngoja niirudie mana mpaka nililala nimeamka bado nakuta haijaisha ila sema nini kaka wewe unasauti nzuri tena yakubembeleza mtu ubarikiwe❤❤❤❤❤

  • @user-ny2tm3ks1p
    @user-ny2tm3ks1p 10 месяцев назад +2

    Pole sana anko kama hauja. Mpokea yesu kuwa mwokozi wa maisha Yako hiyo vita hauta ishida maana anaye weza kukupigani ni mungu peke yake

  • @user-ux7ns3nb9p
    @user-ux7ns3nb9p Год назад +15

    Ubarikiwe kaka jay ziwe nyingi za aina hii ili kuwapa imani ya mungu wenye imani habaaa

  • @asima411
    @asima411 Год назад +10

    Asante sana nimeanza mwanzo hadi ni mwisho ni simulizi ya kutisha tena ya kuogopesha

  • @annajustin1945
    @annajustin1945 Год назад +16

    Ahsante Sana MUNGU wa Mbinguni..kumbe wachawi ni waoga wa kulipwa kisasi.. Natamani kisasi kiwe Cha MUNGU.

  • @user-dy5ni2ol5w
    @user-dy5ni2ol5w Год назад +17

    WA jiandae kwa wote walio jifanya kuwa wao ni miungu watu WA jiandae kwa hiyo siku tutakayo ssimamisshwa mbele ya ALLAH kujibu mashtaka

  • @MtumishiSamwel
    @MtumishiSamwel 3 месяца назад +1

    Ukiwa na mungu ndani yako unayawezo yote yanawezekana unapiga , unafyeka, unaponda, kwa damu ya yesu,,,,,,, sema wachawi,,,,,,, wapigweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwa damu ya yesu

  • @malikyashekale8199
    @malikyashekale8199 Год назад +2

    Weee kwa kweli nahemea juu juu kwa mkasa ulio kupata,pole sn, Mwenyezi Mungu aunusuru umma wake

  • @BijouxKikwindi
    @BijouxKikwindi Год назад +8

    asatesana anko wangu mungu akubariki sana kwasimulizi zuri yenye mafuzo mazuri akikakunawatu wazuriduniani hasahasa kama Bibi magologo

  • @graceamran326
    @graceamran326 Год назад +8

    Msemaji kunywa chochote naja kulipa sauti tamu mpaka nasikia kama nachokonolewa sikio nasikia raha mpaka akili inasinzi❤❤❤❤❤

  • @winifridatairo6660
    @winifridatairo6660 Год назад +9

    Aisee sauti hii ni ya moto kweli kweli,,mpaka unahisi anakubembelezaa
    🥰🥰🥰

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +7

    Waaah.. nimechelewa jana nilikua kwa safari.Saudi arabia niko kwenyu sasa.TENDA WEMA NENDA ZAKO..KIJANA ALIDHANI ANAMSAIDIA BIBI MZEE AKIDHANI HANA UWEZO..KUMBE NDIO ATAKAE KUMWOKOA KATIKS KIFO.lakini inaogopesha

  • @ajabburundi6043
    @ajabburundi6043 11 месяцев назад +2

    Simulizi za kusisimua kabisa hongera sana kwa kazi nzuri

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 Год назад +9

    Nazipenda simulizi za haina hii coz zinaongeza imani kwa Mungu, plz ziwe nyingi za aina hii ili tujifunze zaid 🙏🙏

  • @user-xv2zk9jt4v
    @user-xv2zk9jt4v 9 месяцев назад +2

    Duh mwnyzmng tlind na walimwng wabaya inshallah

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +8

    Binadamu tumekosa utu,, imani na huruma hadi unachukua adhabu ambayo ni mungu pekee ndio mwenye kuitoa kwa Binadamu ,,munaifanya nyie ...wachawi mtakufa vifo vibaya sana😢😢

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 Год назад +8

    daaah kwa mala ya kwanza anko umekuja kiutofatuti kabisa hongera sana ❤😊

  • @fransiscafransisca3883
    @fransiscafransisca3883 Год назад +4

    Waooohh anko jay mie Leo wa kwanza ngoja nisikilize simulizi nzuri naamini sana kazi yako

  • @user-uq6pb7yh6e
    @user-uq6pb7yh6e 8 месяцев назад +1

    Mashaallah allah amuhifadhi dunia kaburini mpka kesho akhera

  • @mohamedathman2619
    @mohamedathman2619 8 месяцев назад +1

    Anko jay pole sana babangu ALLAH atawafungulia Dunia na Akhera. AAMEEEEEN

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +10

    Shukrani zangu za dhati kutoka moyoni mwangu asante sana kwa chakula cha ubongo kunitoa upweke moyoni mwangu good job ubarikiwe sana kaka yetu mzuri mzuri

  • @user-tu4tt4gs8d
    @user-tu4tt4gs8d Год назад +3

    Woooow ni nzur sana na imenifunza sana sana

  • @sukainamusa4651
    @sukainamusa4651 Год назад +7

    Ankojay asante sana kwa simlizi tamu lakini inatisha sana kweli dunia lna mambo

  • @jobuumwambelo2341
    @jobuumwambelo2341 Год назад +6

    Asante hapa Pana shulee kubwaa 🙏🙏🙏🙏

  • @user-kr6lo9vb3v
    @user-kr6lo9vb3v Год назад +10

    Pole sana anko jay nakupenda sana ❤❤❤🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Год назад +2

    Dahhhh simulizi hii nzuri sana sana

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +10

    Sijachelewa sanaa waaoooh asante anko jay kwa kibao hiki kipya❤❤❤❤❤

  • @jacklinekwamboka6245
    @jacklinekwamboka6245 Год назад +3

    Hii fusho limenikumbusa mengi
    Inatusa nimesoma mawili matatu Asant anko parikiwa❤❤❤❤

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Год назад +2

    😅mh!hatari ukisema Mimi nnateseka Na nimeyaona hii imenionyesha kwamba nijuwe Kuna mwenzio ameteseka na ameyaona zaidi hii kiboko Mwenyezi Mungu atunusuru Sisi Na vizazi vyetu Allahumma Amiin Yaa Rabbi

  • @user-tn3eo3th4g
    @user-tn3eo3th4g 5 месяцев назад +1

    Mw/ mungu kakujaalia saut inanifanya niendelee kkusikiliza

  • @user-xu8cq3qu5y
    @user-xu8cq3qu5y 9 месяцев назад +1

    Pole sanaa bro aposasa mnafa kujua mungu ni mkubwa na bila mungu kupenda akuna linalowezekana

  • @intisarjaffar
    @intisarjaffar Год назад +4

    Haya mambo ni yapo mungu atunusuru na atuhifadh jaman allah humma amern yarrab

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 Год назад +7

    Shukran sanaa brother Ankojay ubarikiwee Tunaenjoy siku ya leo Eid Mubarak Wapenzii❤❤

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Год назад +5

    Mungu niwetu sote

  • @hamisingalaa8269
    @hamisingalaa8269 10 месяцев назад +1

    Daah pole sana kaka na sasa umetoboa siri itakuaje na yule mama mzee alie kuokoa baada ya kutoroka ilikuaje hakukufata tena

  • @kinanaomar
    @kinanaomar Год назад +9

    Much love from United States

  • @taharamohd4853
    @taharamohd4853 11 месяцев назад +2

    Da hii simuliz ni mzur sana

  • @user-kl8fl9fi3l
    @user-kl8fl9fi3l Год назад +3

    Mungu tulinde

  • @ashaali2853
    @ashaali2853 Год назад +3

    Hii simulizi Jamani inatisha sana mola wangu tunakuomba sana tunusuru na haya majanga

  • @user-hz5ge1uc5s
    @user-hz5ge1uc5s Год назад +4

    Hii kweli ni stor tamu sana

  • @erastonzogela1405
    @erastonzogela1405 8 месяцев назад +1

    Daaaah! Hii hadithi ni balaaa kwakweli.

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад +7

    pole sana kwamitihani kweli uchawi upo 😢😢

  • @JaydenKariuki
    @JaydenKariuki 7 месяцев назад +1

    Daaah kali sanaa

  • @user-xv2zk9jt4v
    @user-xv2zk9jt4v 9 месяцев назад +1

    One day wale wote wabaya nao watatubu kwa mabaya yao inshallah by mm elitesonetz

  • @user-br4hg9tb5c
    @user-br4hg9tb5c 11 месяцев назад +9

    Stori yenye msisimko kama hii ndo tunazopendaga bhanaaa 💯👍

  • @user-gj1pw9tq6i
    @user-gj1pw9tq6i Год назад +8

    Mungu mwema jamani ❤❤❤❤

  • @user-br4hg9tb5c
    @user-br4hg9tb5c 11 месяцев назад +6

    Anko j pole sana kwa matatizo makubwa yaliyo kukuta.... 😢 Siamini mpka sasa niliyoyasikia hata sasa 🙆🏿‍♂️😪

  • @bakarhamisi6632
    @bakarhamisi6632 11 месяцев назад +1

    Nakukubali kila nikisikia unachokisimlia umetisha sana

  • @kulthumsaif2856
    @kulthumsaif2856 Год назад +5

    Masha Allah

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +6

    Simulizi ya leo imatisha kweli shukran ankoJ ❤❤

  • @user-qr2ww4nl7f
    @user-qr2ww4nl7f 9 месяцев назад +1

    Allah akbar kiukwer wachawi hawatoiona pepo yaallah

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 4 месяца назад

    Simulizi tamu san. Nimeisikiza usiku nikalala bado naendelea Anko. Moto sana 🇰🇪

  • @puritylobun5313
    @puritylobun5313 Год назад +5

    Ali mbetuu hautucheleweshi Kwa simulizi nzuri kweli kweli

  • @FrankAudax
    @FrankAudax Год назад +5

    Much love

  • @babyangele3847
    @babyangele3847 Год назад +6

    Mambo Kama haya napenda Sana Ila nitakucha kuamini Kama haya mambo yapo siku ambayo nitajionea Kwa macho, lakini asante Sana ankojay more love from Uganda au nikuje tz nijione huo uchawi😅

  • @marynaomi
    @marynaomi Год назад +3

    Wow safi sana

  • @marynyamvula5896
    @marynyamvula5896 Год назад +2

    Niko hapa asnte ankojey namtunziwetu alipetu barikiweni saana kwakazi nzuri

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 10 месяцев назад +1

    Daaah Asante mungu 😢😢❤

  • @user-tb8hz9hn8f
    @user-tb8hz9hn8f 5 месяцев назад +1

    Atari sanaa

  • @user-of9oj7um9u
    @user-of9oj7um9u 8 месяцев назад +1

    Nzuri sana anko jey

  • @user-jk4mh3gm1y
    @user-jk4mh3gm1y 10 месяцев назад +1

    Very nice as your story

  • @user-tu9oy3et2s
    @user-tu9oy3et2s Год назад +9

    Much love ❤🎉

  • @matibayajumah5327
    @matibayajumah5327 Месяц назад

    Betu unatisha mungu akujarie mwsho mwema katika iduniya

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Год назад +3

    Hii simulizi nzuri barabara

  • @christinaclemence1237
    @christinaclemence1237 10 месяцев назад +1

    Amaizing 🤗🤗🔥🔥🙌

  • @erickdeogratias7718
    @erickdeogratias7718 Год назад +4

    Kaka nimekubar san simuliz ya leo👍🙏🙌🙌

  • @user-wz4sx7qv3f
    @user-wz4sx7qv3f Год назад +5

    Masha Allah,simulizi nzuri sana

  • @user-ho2hf8bu7q
    @user-ho2hf8bu7q 10 месяцев назад +1

    Pole sana kaka

  • @user-wq9vs6iq9l
    @user-wq9vs6iq9l Год назад +7

    Simulizi tam sana yenye mafunzo pia.

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Год назад +2

    Much love from Qatar

  • @halimahassan1930
    @halimahassan1930 6 месяцев назад +1

    Ndunia inamambo sana ino mungu atuepushe😢😢😢

  • @salumadam154
    @salumadam154 3 месяца назад

    Hayo unayo simulia Broo niyakwer kabisa asiesmini hayajawahi kumtokea Ila Mimi salut kwako kaka

  • @user-yr5un9xv9f
    @user-yr5un9xv9f Год назад +2

    Nakusikiliza nikiwa Kenya Waah anko j pongezi kwa kazi nzuri yani nimesikiliza mpaka machozi yakanitoka simulizi nzuri Sana 😢😢😢

  • @user-xf6nn8me8t
    @user-xf6nn8me8t Год назад +3

    Honger sana ankoj@y❤❤❤❤

  • @user-wq4hh7vp3w
    @user-wq4hh7vp3w 10 месяцев назад +1

    Duniaaa tunapitaaaaa htr kk

  • @nekesaireneritta6754
    @nekesaireneritta6754 Год назад +17

    Is this really a true story?if it's true,then I fear the World and all the strangers we interact with,May the almighty God protect us.

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Год назад +1

      Ni kumuomba MUNGU na kuwa jasiri na kuwafundisha watoto wetu ujasiri Dunia Kuna vituko ukiona kwa macho unashangaa.

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +3

    Amazing story

  • @jastinewilliam4475
    @jastinewilliam4475 9 месяцев назад

    Jamani na hisi kuogopa sana sijui kama nitasinzia leo ila mwenyezi Mungu yu hai atanilinda

  • @NasmaMahmoud-iq6tg
    @NasmaMahmoud-iq6tg 9 месяцев назад +1

    Du noma sana

  • @ChrysensiachristophaNakitundu
    @ChrysensiachristophaNakitundu 7 месяцев назад +1

    Simulizi nzuri

  • @franciscassian
    @franciscassian 9 месяцев назад +2

    Simulizi nzuri 😂😂

  • @user-yn7wk4re9z
    @user-yn7wk4re9z 7 дней назад

    imenitoa machoz

  • @issobeldaniel6051
    @issobeldaniel6051 Год назад +7

    ❤️❤️ more like this please🥰

  • @alexbayingana7879
    @alexbayingana7879 Год назад +14

    This is what we r supposed to be listening not sex stories

  • @user-gj4jy7gy9v
    @user-gj4jy7gy9v Год назад +4

    Asante kwa simulizi zuri
    Ila kuna kipengele sikuelewa chikila alikipataje kile kizizi kilichomdondoka kombo akiwa usingizini ? ❤

  • @fransiscafransisca3883
    @fransiscafransisca3883 Год назад +3

    Asantee Ally mbetu pamoja na msimulizi wetu mahiri anko jey.we Love you asantee kwa sauti nzuri.

  • @user-kr3hn4zo1m
    @user-kr3hn4zo1m 11 месяцев назад +1

    Barikiwa xana kaka..dah.!duniani kuna mambo makubwa mungu atunusuru kwa kweli😢😢

  • @shaklamwai7868
    @shaklamwai7868 Год назад +3

    Ahsante anko jay ❤❤

  • @PilyAlly
    @PilyAlly Месяц назад

    Vituuu aise nikiona simulizi ina jina ally mbetu basi lazima nijiandae kisaikolojia maana uyu baba kwa simulizi zy kuogofya yupo vyee saluti mbetu na msimuliaji wetu mwenye sauti ya kipekee ❤sana

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 11 месяцев назад +5

    Nimeipenda sana hii simulizi, sasa sijui je ni simulizi ya ukweli au ni hadithi? ikiwa kama ni kweli, basi humu duniani kuna mambo ya ajabu sana, na kama ni hadithi basi msimuliaji ana kipaji sana cha usimulizi.

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 Год назад +4

    Stay blessed uncle J

  • @zaytoona2215
    @zaytoona2215 Год назад +1

    Hyo sauty ya bibi sasa anko Jay 😂😂😂😂❤❤❤❤ nakupenda ♥️ 💖 ❤️