SIMULIZI FUPI: MAPITO YA FLORA, By Anko Jay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 мар 2023
  • Matatizo tumeumbiwa binadamu, mda mwingine wengi ukata tamaa kabisa kwa fikra za kwamba wao ndio wenye manyanyaso na mateso tu.
    Karibu usikilize simulizi Hii upate kujifunza
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 145

  • @jamlihbashir2660
    @jamlihbashir2660 Год назад +5

    Inatufundisha usimtendee mwenzako mabaya.hujui wewe mungu amekupangia nn baadae.tuweni makini na mioyo yetu

  • @user-sp9tq8mq6q
    @user-sp9tq8mq6q 7 месяцев назад +3

    maripo ni hapa hapa dunia mbinguni ni maesabu tuu tupendane sana Sisi binadamu km mungu wetu anavyoo tupenda sisi ❤

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +17

    Siku zoote binadamu ndiyo wanaoturudisha nyuma kimaisha kumuomba mungu na yatapita 🥰🥰🥰🥰

  • @satwanthoogan6429
    @satwanthoogan6429 Год назад +6

    Simulizi nzuri sanaaa!❤ pia inasikitisha..😢 Anko j naipenda sauti yako,👌🏻 unasimulia vizuri! Mimi mshabik wako kutoka Zanzibar..👍🏻😉 tuko pamoja Sanaaa!!

  • @jumannemassegesse7270
    @jumannemassegesse7270 Год назад +3

    Anko jay wake weweeee Sasa hivi ni bandika nandua uwiiiii ,❤️❤️❤️❤️❤️

  • @DorcasMuomba-gd3sw
    @DorcasMuomba-gd3sw 4 месяца назад +2

    Mungu ndiye mtetezi wawenye shida (maana wanadamu wanafurahia kuteseka kwa wengine ( Mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humuponya nahayo yote
    Dunia simbaya ila binadamu wabaya (alie mtetea mama ANAH nahata leo angali natenda

  • @user-wq8qd1ny3t
    @user-wq8qd1ny3t 3 дня назад

    Pole sana dada yangu

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +5

    Hi Anko Jay? asante Mungu akuzidie hafya Jemma Anko Jay tuna ❣️
    Haa maneno nikama Mimi 🤦😢

  • @judithkithukaj3753
    @judithkithukaj3753 Год назад +7

    Nimefika Wa kwanza Leo hureee always waiting for notification❤❤❤lots of love from kenya

  • @mishelygodlisten1171
    @mishelygodlisten1171 Год назад +2

    Haya maisha haya Mungu atutie nguvu kwel ila yote yanawezekan

  • @KelvinSamola-sl4ps
    @KelvinSamola-sl4ps 2 месяца назад +1

    Hongera xna kaka nimejifunza kitu

  • @julianakatava937
    @julianakatava937 Год назад +2

    Kweli damu ninzito kuliko maji simulizi nzuri Sana🥰🥰❤️❤️❤️

  • @dianamboya7203
    @dianamboya7203 11 месяцев назад +2

    Ankojay hii nistory inahusu maisha yangu dah

  • @MuzdatHashim
    @MuzdatHashim Месяц назад

    Pole sana mpendwa

  • @sheilanaliaka
    @sheilanaliaka Год назад +4

    Simulizi nzuri lakini inasikitisha kujua binadamu tuna roho ngumu sana

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +2

    We ukiamua kufanya uovu wako Mungu anakuvutia pumzi muda mrefu ili utubu,na ukizidi tu bila kubadilika,hicho kipigo utakachopewa utajua hujui

  • @SheilaApondi-dn5lh
    @SheilaApondi-dn5lh 2 месяца назад

    Flora amepitia mengi tena nimvumilivu sana na ana moyo, mungu pia hakumuacha

  • @AnnetSikoi
    @AnnetSikoi 2 месяца назад

    Duuh amakweli dunia hadaa ulimwengu shujaa mwanadamu hana hiyana wala huruma hakika simulizi huwa fumbo... Nlipokuwa nasikiliza najaribu kutafuta je haya mambo yapo kwetu kweli au ndo hadithi tu ila duuh hakuna hadithi isiyo na mfano... Salute anko jay

  • @SheilaApondi-dn5lh
    @SheilaApondi-dn5lh 2 месяца назад

    Mim binafsi napenda simulizi zako anko j na tena hua najifunza mambo mengi. Mungu akubariki! Kenya

  • @user-sx4me9gz7h
    @user-sx4me9gz7h Год назад +1

    anko j nakupnd had najiogpa nakukubal had kero❤❤❤❤❤

  • @MuzdatHashim
    @MuzdatHashim Месяц назад

    Heee mtihan kwa kweli jmn watu wana roho ngumu

  • @AngelAgusitine
    @AngelAgusitine 3 месяца назад +1

    😢😢😢😢😢 ilabina damu si tunalohoo mbaya sana pole sana dada

  • @user-fg1rk5et4p
    @user-fg1rk5et4p 4 месяца назад

    Asante sna kka kwa simulizi nimejifuza mambo mengisna

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 Год назад +2

    Pole sana Flora kwa mitihani

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Amina lnshaalha Anko 🤲🏾 nafurahia sana simulizi zamo nasauti yako
    Hasa simulizi za mapenzi

  • @reginarichard3349
    @reginarichard3349 Месяц назад

    Jamani sisi wanadamu😭😭 pole sana kwa yote Ancle ubarikiwe sana

  • @lailalaila9114
    @lailalaila9114 Год назад +1

    Nimejifunza vingi sana Jamn daah msione Watu wanavaa mashela kumbe wanakua wamepiia mengi sana 😢😢😢😢😢

  • @user-yd8fk7xz3e
    @user-yd8fk7xz3e 5 месяцев назад

    👍👍🌹🌹❤️❤️ ni mungu TU ndiyo ana lipa maovu

  • @Adonai810
    @Adonai810 Год назад +5

    AMAZING ANKO JAY 🎉🎉

    • @ankojay_
      @ankojay_  5 месяцев назад

      REALY I MISS YOU

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Год назад +1

    Shukuran sana anko j kwa smlz nzur ❤❤

  • @saumukambi8562
    @saumukambi8562 Год назад +1

    Wa 3 mapopo hatulaliiii
    Tupo Anko j❤

  • @soldd-xz5ue
    @soldd-xz5ue 6 месяцев назад

    Asante Sana Kaka ANKO JAY nakupenda Sana na MUNGU AZIDI KUKUBARIKI

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +3

    Hakika msaada wa wanadamu ni Mungu peke yake

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

      Kweli kbs mpendwa

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

      Hongera sana dada kila simuliz aliyosimulia anko j nilizosikiliza nimeona coment zako

  • @mwanamisiabdalla5551
    @mwanamisiabdalla5551 Год назад +1

    Much love anko j kipenzi cha wote❤

  • @sammy-b6281
    @sammy-b6281 Год назад +2

    I always said that:ANKO J
    He’s the beast hunter
    And (G.O.A.T(🐐) just imagine I’m from 🇺🇸 but I have my time to hear that story and I feel better when I’m driving home from work.
    To be honest I wish could have a conversation with you ANKO J
    Because I got a lot story from here and is very sadly painful love story off discrimination against black peoples 😢😢

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      Thank you so Much.. 🙏 i appriciate

  • @ZainabuAbassi
    @ZainabuAbassi 2 месяца назад

    Nimeumia sana 😢😢😢

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +1

    Your always the best be blessed and keep it up we learn more from your stories we're together with you much love 💕🥰

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      Thank you so much 🤗

  • @user-ye4gk4we3u
    @user-ye4gk4we3u 7 месяцев назад +1

    Inasikitisha saana

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Год назад

    Anko Jay asante kwa simulizi nzuri

  • @annociatenyandwi6251
    @annociatenyandwi6251 Год назад

    Tuko na Anko jay bampa to bampa twende nalo ❤❤

  • @user-zh5kw2tw9r
    @user-zh5kw2tw9r 8 месяцев назад +1

    Jamani

  • @victoriangasa
    @victoriangasa 11 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏😊

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

    Kazi za anko j hazina mbambambaaaa

  • @annakinyi218
    @annakinyi218 Год назад +1

    Love you anko jay

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +1

    Asate sana ako j

  • @fjggoxfh9502
    @fjggoxfh9502 Год назад

    Ankojay kwakwel ansante kamafunzo mazuli unaendelea kutufundisha jamn mungu akubarik

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

    Daa,alipata fedheha kubwa maskini,pole sana

  • @emmaonalloh5515
    @emmaonalloh5515 Год назад +2

    Asante Anko

  • @shantellekwamboka7444
    @shantellekwamboka7444 Год назад +1

    Mungu ndiye huukumu

  • @sheilachebet-zc5cp
    @sheilachebet-zc5cp Год назад +1

    much love anko jay

  • @user-qj9lj7qy1r
    @user-qj9lj7qy1r Год назад

    Asante anko jay kwasimliz nzur

  • @user-lx3bs3iq8t
    @user-lx3bs3iq8t 8 месяцев назад

    Binadam ndvy walivy ila ank Jay una sauti nzur napenda smuliz zako yaan nikisikiliza nyingne Sion rah

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +1

    Kweli dunia sio mbaya ila binadamu wabaya sana

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 4 месяца назад

    Mim shabiki yako anko j toka A town,Arusha moja

  • @giserahenerico5185
    @giserahenerico5185 Год назад

    Aiseee Mungu amtupi mja wake dada flora Mungu watu kama hao uo wanatuniwa maraika

  • @lineline-yt2wy
    @lineline-yt2wy Год назад

    We anko naipenda

  • @user-hh1vz2ft8k
    @user-hh1vz2ft8k 8 месяцев назад

    Pore Sana Dada yangu

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад

    Uoaji wa kutegemea mawazo ya ndugu ni kukosa ukomavu wa akili na mapenzi ya kufikiria kuwa kuzaa ni lazima na siyo majaliwa ya Mungu ni uchuro

  • @AbelinJoselini
    @AbelinJoselini 5 месяцев назад

    Dah Anko jay weee ako kavoic nakaelewaga nakunikumbusha kule kamedia ketu saa tano usiku lakin ndoo ivo bhana siwapatagi hewani sikuiz ila kawambie nimewamiss sana kilanga wao apa moro

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Год назад

    Pamoja Anko jay

  • @giserahenerico5185
    @giserahenerico5185 Год назад

    Ankojay ✍️✍️✍️💪💪💪

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад

    Asante anko J Mungu akusimamie ❤❤

  • @MaryMary-kq3nh
    @MaryMary-kq3nh Год назад

    Pole sana flora

  • @asiamodriq2933
    @asiamodriq2933 Год назад +2

    Asante 🌹

  • @laweluagustino6703
    @laweluagustino6703 11 месяцев назад +1

    😍😍😍

  • @riziki-tp7pj
    @riziki-tp7pj 3 месяца назад

    ❤❤❤

  • @AngelMongi-pc1ed
    @AngelMongi-pc1ed 3 месяца назад

    Mateso ya mwenye haki ni mengi lakin Bwana humwokoa katika yote

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Год назад +1

    Asante sana my brother from another mother

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 Год назад

    Safi sana

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Год назад +1

    👏👏

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 Год назад +3

    Binadamu wabaya sana jamani 🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺

  • @giselemauwa4477
    @giselemauwa4477 4 месяца назад

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr 7 месяцев назад

    Fantastic story😂😂😂😂

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Год назад

    Waaah!!huyu mwana mke Lucy hana maana kabsa lkn pamja na yote frank alfanya makosa kumfukuza mkew kisa ni mtoto kuzaa ni maajaliwa yake Mungu angemvumilia yote yasingetokea hayo

  • @safiyabenda9535
    @safiyabenda9535 Год назад +1

    Thank you 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Год назад

    Amina ❤

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +2

    Nisikilize kwanza 🦻🌹

  • @aseaaaa5812
    @aseaaaa5812 Год назад

    Shukrani san❤❤❤❤

  • @patiencembekelu240
    @patiencembekelu240 Год назад

    Pole sana dada FLORA umepitia magumu lakini mwisho ukapata raha,kiukweli tusilipe baya .lesson to learn all of us.

  • @Mopao17
    @Mopao17 Год назад +1

    Hi Anko j najisikia kwenye ubora wako

  • @maryammaryam5503
    @maryammaryam5503 Год назад +2

    🙏🧎‍♀️jamani binadamu sisi daaa😭

  • @clariskatana7715
    @clariskatana7715 Год назад +1

    Silucy alikua mgonjwa wa ukimwi vp huyo bwana

  • @Lorryap
    @Lorryap Год назад +2

    Wallah mimi l don’t like people 💔😤😭anymore

  • @joykatakana1099
    @joykatakana1099 Год назад +1

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏God is good all the time

  • @MmNm-ww1xw
    @MmNm-ww1xw 7 месяцев назад

    Anko pls lisa alvine part8

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +1

    ❤❤❤❤

  • @dashuushu6883
    @dashuushu6883 Год назад

    Nice

  • @shanikiwele3111
    @shanikiwele3111 Год назад +2

    Hello

  • @MuzdatHashim
    @MuzdatHashim Месяц назад

    Mhh mm nahs uyo frank ndo hana uwezo wa kupata mtoto

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 7 месяцев назад

    😍😍😍😍

  • @ghanimajongo7817
    @ghanimajongo7817 Год назад +1

    Asalm alaikum nembo za kujua hii simuliz za ank jei au Mt mwengine Zina tuchangany mawaz yangu iwe na nembo moj tujue tukifungua na tukion nembo hiii tudanlod nyenginevy inakua hatujui

  • @user-ho7vw6or8h
    @user-ho7vw6or8h 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @amunaamuna5281
    @amunaamuna5281 Год назад

    ❤❤

  • @lucisolomon8537
    @lucisolomon8537 10 месяцев назад

    Hii story jamani imeungwa ungwa sana.. vipandw vyake vingine ata havisound real😂 any way…..

  • @GisellKamikazi-hv1lj
    @GisellKamikazi-hv1lj Год назад

    😘😘😘😘😘😘

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Год назад +1

    😭😭😭

  • @GisellKamikazi-hv1lj
    @GisellKamikazi-hv1lj Год назад

    Jaman kwanini wanawake hatupendani😭😭

  • @AishaAisha-yz3ns
    @AishaAisha-yz3ns Год назад +2

    Kwani akojei kule umetoka au ma'ana siioni nembo ya simulizi Mx apo

    • @victoriajulius5239
      @victoriajulius5239 Год назад +3

      Ukwel ni kwamba tumeajiriwa lkn kila mtu Anandoto za kujiajir kila mtu anamipang ya kutumikia kitu chake I think anko amekua sas ni mda wa yeye kujiajir our God bless this boy

    • @lovenesshadson3559
      @lovenesshadson3559 Год назад +2

      Safiii Sana naaya ndio maendeleo tunayoyatakaa sisi vipenzii vyako anko jay piga kazii

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      @@victoriajulius5239 TRUE

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      @@lovenesshadson3559 Ahsante sana

  • @fatumaleontina7083
    @fatumaleontina7083 5 месяцев назад

    Sasa mumewako hakupata ukimwi kutoka kwa lisi?

  • @ROSEROBERTROBART
    @ROSEROBERTROBART 10 месяцев назад

    😂😂hee kwa mara ya kwanza kusikia simulizi iliojaa uongo,tokea lini mtu akafanyiwa oparation akawa discharge kwa siku hio ,then huyo dada mtu ata kama anachumba kimoja na mumewe haiwezekani amwache aende gest peke yake😂 bila kujua dadake amefikaje huko