RUSHWA YA WACHAWI
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Wengi huamini rushwa hufanyika sehemu zenye huduma muhimu za kijamii ambazo humfanya mtu apate huduma haraka. Lakini nina imani watu walikuwa hawajui kuna rushwa nyingine inayopelekea mtu kufa au kuteseka kutokana wachawi waliomroga humpa mganga wakijua ana uwezo wa kumponesha mtu wao.
Jamani anko j 😊 ivi usha lamba asali halafu ukapewa chai haina sukari. tumetoka kwa X halafu rushw.....😮
Hata mm nimewah leo jaman naomben like zenu wapendwa na anko Jay chukaa maua yako f 💐 🎉🎉❤❤❤
Yani wamemuandama kweli uchawi wanafanya wao alafu wanamsingizia mtoto khaa yapo haya tunayaona mitaani mwetu mungu atamsaidia nauyu nae mjomba anaakili kweli 🇴🇲🇴🇲🇴🇲♥️♥️🌹
Wa mwishoo like zangu😅 Jamaniiiii😂
Anko leta Lisa ama nikuroge pia mimi😅😅😅
Wnatesa sana hawa wachawi
Much love from uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬asalaam aleikum ahsante sana kaka nijifunza mengi kutokana na story zakoo
Ankooooo hii simulizi umetuliza sana akili umeisimulia kwa umakini sana na utulivu wa hali juu sana,niseme asante kwa mda wako uliyotumia kutusimulia niwashukru sana mungu azidi kuwabariki ❤❤❤🎉🎉🎉
Ankojay asant sana kwa hisimlizi ni kweli uchawi upo pokea maua🎉🎉🎉🎉
Safi san Ankojay kwa simulizi zuri❤❤❤😮😮😮😢
Nakubali Sana bro
Nimewah 😂like zenu jaman ,♥️♥️ank jay kaz nzur San tumeanz mwaka na kaz za motooo,🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wow nimewahi was kwanza🎉🎉🎉🎉🎉❤
Sawa Kaka nakuelewa sana asante
Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya,much ❤
Ngoma nzito 🔥🔥🔥👌👌😢😢 daaa kuna uchawi kweli shukran Anko Jay
Wàwoo ankojay nice story
Lisaaaaaaa part 6 tafadhal
Wow kazi nzuri sana anko ❤❤❤
Hivi ndio vitu sasa Anko Jay 🎉🎉🎉🎉yako napenda sana vitu kama hizi maana hua naskia sikua tu 💪💪💪💪
Kazi nzuri sana ankoJay watching from Tanzania 🇹🇿❤❤❤
Wa kwanz kwenye rushwa ya uchawi❤❤❤❤😂
Wow ankojay nice job ❤️ ❤🇰🇪🇰🇪
Angalau leo tumesikia sauti ya ancojay ahsante
Ahsante sama anko kwa kazi safi alafu mwendelezo wa Lissa na hamu nao mnoo ili tuone Alvin akimsaidia lissa kushinda vita
Hongera sana anko jay pamoja na alie andaa simulizi hii
Karibu Uncle jay
Mashaallah leo wa kwanza leki zenu jomon time oman 🇴🇲
Wa kwanza oyoooo😊
Waooo voice peeendwa hewan❤,ilawajemeni Kwan hzo cm zenu mnawekaga kengele au ankoj anawabipugi😂😂 mn duh haya Leo tuko pamoja
Vwooooooo wakwanza Leo maua Yang jmn duh!
Yan leo wa 1 jameni like Zen ❤ Ankojay ahsante Acha ni 🪑🎧 tuinjoi
Jamn Sijachelewa na me
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii tamu,bado tuko pamoya.
Halafu anko jay unazingua
Ata uziweke usiku..anko tuko nawewe mbampa to mbampa❤❤❤.we love for free
Lissa tunaomba anko j jaman
Humu ndani kila kitu wakwanza na sisi je? 😂😂ngoja tusikilize ili tujuwe hiyo RUSHWA YA WACHAWI🔥🔥✌️✌️
HHahah kuona hilo neno uchawi tu me nitaskiliza kesho😂
Ata mimi kesho @@zahraseif3330
@@zahraseif3330 ata miee pia nasikiliza kesho kipenzi usiku siwezi halafu chumba cha peke yangu 🤣🤣🤣🤣
@@Shadia544 😆😆😆 tuwe pole mpenz😊
😂😂😂😂
Anko asantee Ila plz tuletee Lisa part 5
Mimi wakwanza ❤mwenyezi Mungu akupe maisha marefu anko jay
Ubarikiwe uncle leo nakesha popo
Ankoo pambeee❤❤❤
Hatimae leo wa kwanza😅😅
Wallah hii story inanihusu me jmn
Uchawi una rushwa pia😂😂😂
😂😂😂😂 na pesa nyingi sana😂😂
Kwakwel
Na Mimi reo jamn
Mmmh 😳 nilijua nimewai duh kumbe watu wanalala you tube😂 aya mliowai chukueni maua yen🎉🎉🎉
Kuhusu wachaw kupewa rushwa naamini jmn hasa kwamitihan nliopitia wachawi mungu anawaona
Mmungu akupe umri mrefu inshalah uncle jay
Wa qwanza leo 😂😂😂😂
Plz Fanya hivyo part 2
Wakwanza leo😂
Mama mkubwa analalamika mwanae haolewi wakati amemfunga yy hata mjomba kamfungia kurudi ulaya jamani uchawi huu yani unaroga nahakuna faida mana kungekuwa nafaida wangejenga magorofa
Dah kila mahali ni rushwa tu isipokuwa mbinguni😊😊😊
Dunia dah familia ni wachawi aki Wacha nibaki na maisha yangu
Simulizi nzuri anko j nakubali sana kaka 😮😊
Haya nimeyapitia ila nashukuru Mungu amenilinda mpaka sasa hii simulizi imenilenga mno😢😢😢😢😢
Ila we anko jay umepigaje apo mbona unataka utuuwe lisa umempeleka wap me leo siku nzima nimekosa had raha kila mda RUclips its pain plzz
Aaaah jaman Kwan nyie mnao Wahi daily hua mwapewa taarifa ndipo anko apost ama vipi 😂😂😂
Wow thanks anko j❤from 🇰🇪🇰🇪 nipen like zenu jamnii😢😢
Nimewah
Lisa please anko j❤❤❤❤
Hii simulizi ni nzuri sema inasehemu kubwa nje ya maada husika
Nilikua najiandaa kulala kwa huzuni kidogo nikupgie anko vp Leo umetusahau😂
Shukurn 🙏 Ankojay wetu ❤️
Jamani tuko pamoja
Tunataka Lisa stori ya uchawi hatutak
Izi nimezingonja sanaa anko j simulizi za mapenzi umeeka sanaa kuliko hizi jaribu ku mix
❤
Uko Kama mm napenda Sana simulizi za maisha
Waa watu wako mbele tayari
Asante sana kwa kazi nzuri, am listening 🎧 from kenya,, ila samahani naweza pata number ya msichana tafadhali??
❤❤❤ much love 😊
Uchawi usiku anko 🥺 na nalala mwenyew kama panga
ʸᵒᵘ ⁿᵒᵗ ᵃ ˡᵒⁿᵉ ˢᵃᵐᵉ here😢
Wakwanzaaaaa
Like zenu wapendwa niko kumsikiliza uncle J
Sasambona kilamtu wakwanza?? Hakuna wa pili wala wa3 uncle J sema ukweli nani wa kwanzaa hehe ee 😆
Asatee anko j vp binti lisa jaman sehem ya 5
Japo nmçhlwa ila nko nanyi bambam
kaka unatisha Sana👍👍👍👍👍🎁
Wakwanza leo
Wachawi Ooo
Umekusudiya tusi lale kwa amani anko unajuwa kabisa hatuwez kosa simliz zako wachaw usiku usiku huu 🤣🤣🤣🙈
Kwakwel atari
Kumbe hivu ndivyo waganga hufanya ili mru aishie mateso,niheri kumtegemea MUNGU kwa yote kwani amtegemeae MUNGU hajawahi shindwa na akishindwa juwa ushindi ukaribu nae
Kumbe kuna rushwa huko 😂
😂😂😂😂wewe bwana
Bro I love you so so so much anko Jay , nakupenda Sana Sana Sana ❤❤ am willington from Kenya
Mimi napenda Sana simulizi zako Tena za maisha huwa najifunza mengi Sana be blessed anko j alfu ujue nakupenda ❤️❤️
Nimeyapitia me jamn 😭😭
Napataje simulizi zako anko j naomba maelezo
Asante San ❤❤❤🎉🎉
Khaaak inamaanna kuwa hata wachawi huwa wanatabia ya kiru kidogo ama toa chai weeeeh kweli nikubaya ila acha niisikilize nijue niwapi kwema basii
Jaman hii simliz inaniusu mm kabsa
Ni Mungu mwenyewe kwenye hi dunia 😢
Wakwanzaaaaa nipeni likes jamanii anko chukua maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Anko Jay mlete binti Lisa
Nimerudi na mie
Wakwanza apa
Wewe ni wakwanza kweli🎉🎉🎉 yake hayo
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with ❤❤❤❤
Lissa ankojay part 5
Ushauri wa mamako ni mzuri,ukute anawajua nduguze kuwa ni wanga ila alishindwa kukufafanulia!
Anko jay Lissa
Nami napenda simlizi za kichawi mana za mapenzi zimetuchosha
Mbn unasema ww mschana na wkt sauti Yako ni ya kiume
Binti lisa lini