The Story Book: Wanyama Wa Kutisha (DINOSAURS) Season 02 Episode 07

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 825

  • @LilfourEmpire
    @LilfourEmpire Год назад +9

    Professor, tungependa kujua kuhusu dragons . Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @icewebmustatheg.k646
    @icewebmustatheg.k646 3 года назад +14

    Profesa mi ni Martin K. Musita,mwanafunzi chuo cha utangazaji na umekua nguzo ya kunipa motisha wa upekuzi!!I salute you Professor Jamal April

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 4 года назад +96

    I have always been waiting for the story about prehistoric animals, especially the dinosaurs, World's largest reptiles👌
    Love you Prof Jamal🔥😍🙏

    • @ericjames7050
      @ericjames7050 4 года назад +2

      That's geoscience

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 года назад +2

      @@ericjames7050 too general maybe if u talked about biogeography
      However this is purely BIOLOGY even if there is more of Paleontological facts but it mainly talks of ancient REPTILES, which are grouped to class REPTILIA👌🙏
      BUT UR RIGHT MY DEAR 😘

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      _______________________
      [+255 757 945 601]
      _______________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @iglesiaswilliams7161
    @iglesiaswilliams7161 8 месяцев назад +2

    hiki kipindi Huwa na mambo mazito sana...... Jamal, Mungu akuzidishie neema, uzidi kutujuza mambo kama hayo ambayo kamwe hatungeweza kupata kujua

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 4 года назад +125

    💥💥 moja yakipindi cha wasafi tv kinacho stahili tuzo 🙌

  • @ramadhanimwanyumba2955
    @ramadhanimwanyumba2955 4 года назад +13

    You are more than a Professor, thanks for educating us. Big up bro Jamal.

  • @mashotojr4134
    @mashotojr4134 4 года назад +138

    Jamal umekuwa shujaa wetu gonga ,lake hata 20

  • @HamadizoMadizo
    @HamadizoMadizo 4 года назад +6

    Nakukubar sana jamaly ww ni mkali sana mtu mbaya sana mtiga umempoteza Kwenye Ramani ..

  • @faridkibavu2028
    @faridkibavu2028 4 года назад +40

    ⚡️⚡️⚡️ KAZI NZURI PROFFESSOR

  • @paulsamuel3976
    @paulsamuel3976 4 года назад +1

    Toshekeni na jinsi Mungu alivyo tuumba na kutujulisha,
    Shetani kazi yake ni kuteka watu wa Mungu kwa adithi za Uongo je chombo kinacho tengenezwa na wanadamu wenyewe alafu wanategemea iwape majibu

  • @jaymwaijande5506
    @jaymwaijande5506 4 года назад +268

    Jamanii tunaompenda jamali like please at least 100

  • @jumanuru1294
    @jumanuru1294 4 года назад +6

    Weka hata like 20 kwa ajili ya jamal

  • @anwaryshaame5217
    @anwaryshaame5217 4 года назад +78

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

  • @lutindiOthumani-ph5kz
    @lutindiOthumani-ph5kz Год назад +1

    Inaonekana jamal mnyamaaa sanaaa na unamkubali sanaaaaa mwambaaa che Guevara namuonaa hapooo kwa mbaliii mtawala wa dunia

  • @danielkariuki1902
    @danielkariuki1902 2 года назад +2

    I love this man,,Jamal

  • @elishadesela269
    @elishadesela269 4 года назад +127

    Dah mnyonge mnyongen haki yake mpen huyu jamaa ananikosh San .sio mm tu hata ww

    • @modricrushdiy2089
      @modricrushdiy2089 4 года назад +1

      Mi hanikoshi ndugu

    • @joharimadua8342
      @joharimadua8342 4 года назад +4

      Saaana asipokuepo jamal story chungu anahadithia kwa utaratibu kwa makini hatua kwa hatua nampendaa story inashibaaaa

    • @elishadesela269
      @elishadesela269 4 года назад +3

      @@joharimadua8342 nakubal San tuzid kuburudika

    • @haruonmgunda3775
      @haruonmgunda3775 4 года назад +1

      @@modricrushdiy2089 namkubl hy jamaah htr

    • @elishadesela269
      @elishadesela269 4 года назад

      @@modricrushdiy2089 Hain nowmer kaka

  • @kingonlinetv8998
    @kingonlinetv8998 4 года назад +2

    Kiukweli kipindi ulikuwa unaanza mimi nilikuwa sikupenda kutokana na tulikuwa tumemzoea yule mwingine ila Kadri naendelea kukufatilia nimejua wewe ni zaidi ya professional unatisha Sana
    Hongera kaka kwa kutuaminisha uwezo wako

    • @abwaookomo466
      @abwaookomo466 4 года назад

      Niuongo wawanasayansi walitoweka kwagalika nasiokingine

  • @bongowoodtv7327
    @bongowoodtv7327 4 года назад +3

    Jaribuni kurekebisha sauti .,...ondoeni mwangwi ....but kipind ni kizr aiseeeeee...WCB for life

  • @josephferdinandy9823
    @josephferdinandy9823 4 года назад +6

    Yaani hii story nimeipenda kwakweli, napendaga sana kujifunza na kujua matukio yaliyotokea miaka mingi iliyopita, Asante sana Jamal Professor

  • @deusdeodavid5360
    @deusdeodavid5360 4 года назад +41

    Jamal April nakumbuka siku ya mwanzo Diamond Platinum alikutamkia kitu kizuri baada yaka kuanza kutoa story mwenyewe na mashabiki wa The story book wakaanza kukuponda, SIMBA nakumbuka alisema watakukubali tu na saiv naona ulivyo wakamata watu, kaza boot na muheshimu sna SIMBA utafika mbali sn kwa aina ya utunzi wako na ubunifu wako.

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius 4 года назад

    Dah nataman hata kulia ..achen mungu aitwe Mungu ..watu walimkataa jamal leo wote wanampongeza...#nimejifunza kitu kupitia hiki..Usikate tamaa na unachokifanya hata kwa hali yeyote

  • @godytv2407
    @godytv2407 4 года назад +8

    Kaka nasoma origin of tetrapod course hap UDOM kaka unajua umetisha,, gonga like

    • @mpendwamillanzi7166
      @mpendwamillanzi7166 3 года назад

      Hiyo asteroid iliyo anguka ilisababishwa na cosmic collision. I did it at Mwenge university college too 2010

  • @Paplick9
    @Paplick9 4 года назад +5

    Bro unaandika story mzee indeep San kwny huu ukanda wa story your the best

  • @MasoudNyoni-g8o
    @MasoudNyoni-g8o Год назад

    Ahsante Kwa ujumbe mzuri kuhusu hao wanyama wa kale jamii ya mijusi, dinosaur's,

  • @guccij3549
    @guccij3549 4 года назад +348

    Kama ume gundua ichi kipindi kina ongeza uelewa na kukuza akili nikujue japo kwa like

  • @innomchaga
    @innomchaga 4 года назад +18

    Sijaona comment ata moja ya kukupinga kama awali hakika wewe ni professor 🙌🙌🙌🙌

  • @expert5898
    @expert5898 4 года назад +1

    Mpo smart saaaaana....halafu mwalimu mwenyewe yupo fit vibaya sana

  • @yusufsamwellugendo9757
    @yusufsamwellugendo9757 4 года назад +12

    Hyu jamaa namkubali sana na n tunu ya TANZANIA...... Hakika ww n professional professor

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 3 года назад +1

    Mmmh!! Mungu ni mwema alijua Wa2 wake hatutaishi kwa Amani akaamua Kuwatowesha

  • @hildamasonda3243
    @hildamasonda3243 4 года назад +1

    Jamal umetisha aseeee nkiwa mkubwa ntaka nkuwe kama ww nkuwe msomaji vitabu mzuri sana🤗 i appreciate you Jamal🔥🔥🔥

  • @kigomaujiji7568
    @kigomaujiji7568 4 года назад +24

    Shikamoo #JamalMustapha wewe ni hatari sanaaaaaaaaa

  • @mohamedfadhilisadick3912
    @mohamedfadhilisadick3912 4 года назад +47

    Maisha kabla ya kuumbwa binaadamu yanaeleza kwa ufupi ktk Quran
    هَلْ أَتَى عَلَى الإِنسَـنِ حِينٌ مّنَ الدَّهْرِ لَمْ يَكُن شَيْئاً مَّذْكُوراً
    Hakikupita zama (zisizo na idadi) binadamu hakikuwa ni kitu chenye kutajwa au kufikirika?
    👉 Hapa Al Ulamaa wanasema kusudio la aya hii Allah anatuambia baada ya kuumba kila kitu ilipita miaka mingi kabla ya kuumbwa binaadamu. Maisha yalikuwa yaki endelea kama kawaida. Wanyama na majini na Monster's wa ajabu ndo walikua wakiishi humu duniani mfano Dinosaur & Dragons 🐲 & Nyoka wakubwa mfano wa *TITANOBOA*
    Hivyo life iliendelea
    Ila baada ya miaka mingi kupita Ndipo Allah akataka kuumba binadamu rejea 2:30 Quran وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَـئِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِى الأَرْضِ خَلِيفَةً قَالُواْ أَتَجْعَلُ فِيهَا مَن يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَآءَ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لاَ تَعْلَمُونَ
    👉 Anasema na ukumbuke Mola wako alipo waambia malaika wake mimi nataka kumuweka Khalifa (kiongozi) duniani atae ongoza kila kilichomo
    Wakasema (Malaika) Umetakasika ww Mwenyezi Mungu. Hao watafanya uharibifu kama walio pita kabla yao wakati sisi tunaku takasa . Allah akawajibu mimi najua msiyo yajua
    👉 Hapa tunaambiwa vile viumbe kabla ya binadamu walikua waharibifu na waovu
    👉 Wakati Adam akiumbwa Allah akafanya kitu kinachoitwa GLOBAL EART RESERT yaani gharika linalo tokea na kupoteza baadhi ya viumbe na hili scientists husema hutokea kila baada ya miaka 4000+. Inapo tokea bas viumbe hutoweka kidogo kidogo. Hebu fikiria inge kuwaje dinosaur na dragons wawepo hadi leo? Si wange tuua sisi. Hivyo Allah akawa akiwapoteza na baadhi akiwa punguza maumbo
    Mohammèd

    • @wingimrisho4729
      @wingimrisho4729 4 года назад +2

      Upo sahihi kabisaa 🙏🙏🙏

    • @hashimhamis6603
      @hashimhamis6603 4 года назад +2

      Mashallaah

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 4 года назад +3

      Asante brother but dragon is an imaginary animal, so it never existed but always remains in fantasy

    • @hassan0256
      @hassan0256 4 года назад +1

      So kumbe hii story nikweli na imeelezwa hadi kwenye Quran nasio porojo tu

    • @eliuskamwelwe1018
      @eliuskamwelwe1018 4 года назад

      👍🏿

  • @matasamadulu2970
    @matasamadulu2970 4 года назад +1

    Nakupenda saaaaaana profesa.Huwa ninaiga mengi saana toka kwako.Wewe ni maktaba Wewe ni mtu muhimu saaaaaana kwa ulimwengu wote.Mungu akubariki saana.

  • @SuleimanAli-dq7ef
    @SuleimanAli-dq7ef Год назад

    So it's very great for the store book from Professor Jamal Mustafa

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare 4 года назад +4

    Hichi kitu mm mwnyewe nimekuwa nikikifanyia tafiti za kina na mengi kati ya uliyyazngumza fundi Jamal nmevgundua,bless up bro kwa kulta vtu vnavyotakiwa kueleweka na watanzania

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 4 года назад +79

    This Lad Jamal is champ.

    • @carolkangethe9544
      @carolkangethe9544 4 года назад

      @asu eddy he Aint a "lad"he is a gentleman

    • @asueddy1465
      @asueddy1465 4 года назад +1

      Hey @ Carol just Google the meaning of Lad.... I didn't write lady I wrote lad

    • @carolkangethe9544
      @carolkangethe9544 4 года назад +1

      @@asueddy1465i know "a boy or a young man"but this Dude is true gentleman..hr doesnt fit in the two prefix darling..

    • @asueddy1465
      @asueddy1465 4 года назад +2

      @@carolkangethe9544 now I understand what you mean love❤️❤️❤️❤️

    • @carolkangethe9544
      @carolkangethe9544 4 года назад +1

      @asu eddy aleast we've come into a conclusion.bravo!..

  • @ztownofficially6397
    @ztownofficially6397 4 года назад +8

    #JAMAL WEWE ZAID YA PROFESSA❤❤

  • @alexanderjaphari4912
    @alexanderjaphari4912 4 года назад +9

    Nakubari sana Profx kwa kutuletea madiniii ya kuukuzwa ubongo

  • @hashimhashim6611
    @hashimhashim6611 4 года назад +19

    Nakubali Kaka,sikupingi, upo vizur Sana ,,MUNGU akupe maisha marefu kwko

  • @Bryyo121
    @Bryyo121 2 месяца назад

    2024 Again......
    the Best story Book

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 3 года назад +1

    Aisee History hii inatisha,tukio baya Sana.Asante Sana Jamal

  • @emmanuelnhumba2958
    @emmanuelnhumba2958 4 года назад

    Jamal huwa nakufuatilia sana. Hii simulizi ni nzuri sana. Nilisoma juu ya hawa mijusi wakubwa na kuna mengi haujayamalizia hapa labda kwa sababu ya muda. Ukiacha hao wanasanyansi walifanya utafiti kubaini kupotea kwa hawa dinosaria. Kuna wanasayansi wengine waliokuja na majibu yao kuhusu mabadiriko na wanapinga hilo tufe kubwa lilioloigonga dunia na kuteketeza hawa viumbe. Wakiamini kuwa kipindi hicho hawakuwepo dinosaria pekee yake. Dinosaria au mijusi wakubwa masalia yake pia yaligundulika hapa Tanzania na mjusi mkubwa mwenye mabaki yake inasemekana kuwa alibainika Tanzania, sorry ni Tanganyika hiyo ilikuwa miaka kabla ya Tanzania kuzaliwa. na juzi kumekuwa na mazungumzo juu ya wakoloni kuja kuchukua vitu vingi hapa Afrika na kwenda kuweka kwao. Mjusi huyu mkubwa masalia yake yapo Ujerumani kuna wanaharakati wanadai sasa mjusi huyu arudishwe.

  • @LapiyaDaleghi-zm6by
    @LapiyaDaleghi-zm6by Год назад

    Kweli kabisa wee Jamaal ni noma unajuwa kufuatilia vitu

  • @fadhilisanga3384
    @fadhilisanga3384 4 года назад +2

    Huyu jamal inaomekena ni msomaji mzuri wa vitabu tena sana na inaonekana mi mtu wenye jambo lake kichwani mwake

  • @princekimweri7532
    @princekimweri7532 4 года назад +12

    Like kwa professor jamali💓💓💓💓

  • @OmarAli-wr1ti
    @OmarAli-wr1ti 4 года назад

    Kaka uko juu sana siwezi amini mwanzo watu walikudharau sana matusi kumbe usiyoyajua umenifanya niwe jasiri kwa kile ninachoamini nakiweza mtu hawezi nikatisha tamaa

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah9421 4 года назад +71

    Gonga Like Kama Unamkubal Jamal April...,✍📖👍

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 2 года назад

    Waaah kwahili limeniacha kinywa waza jamal hupenda kukuskiza sana huaga najifunzaga mengi juu yako na akili yangu hukuwa zaidi juu yakutafakari unayo yaongelea kutokana na the story book God bless you

  • @hitstory7103
    @hitstory7103 4 года назад +16

    Kama unaikubali wasafi tv na wasafi media pamoja na Jamali April gonga like twende sawa na the story book

  • @heriholder1625
    @heriholder1625 4 года назад +3

    Jamaa ni msomi aisee, Jamal upo vizuri kaka

  • @chibunews5642
    @chibunews5642 4 года назад +16

    Kipindi bora duniani love from Mogadishu , Somalia

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 3 года назад +1

    Profesa salut kanzi nzuri tumpe laik

  • @nuruyahaya9649
    @nuruyahaya9649 4 года назад +1

    Yaan unasikiliza story had unapenda jmn....prof.jamal🙏🙏

  • @mwanamisiramadhan4773
    @mwanamisiramadhan4773 4 года назад

    Asante nazidi kujifunza #wasafi muambieni jamali nampenda sana mie sauti yake tu

  • @xharuphabian5844
    @xharuphabian5844 3 года назад +2

    Nafatilia xana ,, nakubali hiki kipindi

  • @omarymzome3472
    @omarymzome3472 4 года назад +1

    Nimeangalia filamu nyingi zinazohusu uwepo wa hawa dinosaria kama GODZILLA, JURASIC PARK lakini hazikushibisha fikra zangu kwajinsi walivyoondoka duniani yan waliishije wote duniani kwa kati mmoja?...lakin professor wewe nizaidi ya professor daah asante kwa hili kaka nimeelewa vizuri sana

  • @husseintokali292
    @husseintokali292 3 года назад +3

    I really love your story.Wenever I watch your story I learned samething new.

  • @safaribuhendwa1387
    @safaribuhendwa1387 4 года назад +15

    mimi ni mupenzi wa kipindi chako,jambo ndungu safari from drc congo

  • @drraizkidume867
    @drraizkidume867 4 года назад +6

    Namkubali sana uyu Jamaaa, From *Mozambique* Naomba like zenu, I love WCB and Tanzanian Peoples

  • @mashabizzy9284
    @mashabizzy9284 4 года назад +32

    Mliokuwa mnasema Jamal hajui mkowapi sasa anaporomosha mavitu mpaka unasikia raha

    • @troptv8241
      @troptv8241 4 года назад +1

      Tupooooo kamauna bisha. Andika Trop tv ujionee atariii

  • @shaimamabrouk9937
    @shaimamabrouk9937 4 года назад

    Jamal Allah.azidi kukufungulia nakuwapa watu utambuzi wamambo amabayo yamejificha zaidi.nakuwafumbua maskio

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus3764 4 года назад +10

    Professor kama professor... nakuona mbali sana kaka 👏👏👏👏

  • @mavokogeofrey8904
    @mavokogeofrey8904 4 года назад +26

    Proffesor Jamaal 🔥🔥

  • @NiaKelly-sh4hj
    @NiaKelly-sh4hj 6 месяцев назад +1

    Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @anwaryshaame5217
    @anwaryshaame5217 4 года назад +32

    You're greatest mostly talented man I preciate bro

  • @FUNDIUMEME_
    @FUNDIUMEME_ 4 года назад +5

    Issue sio fact leta ladha ya story yenyewe always sikupingi professor 🙏🏼

  • @sadickbakunda6889
    @sadickbakunda6889 4 года назад +27

    PROFESSIONAL PROFESSOR

  • @fangfeirashid3051
    @fangfeirashid3051 4 года назад +7

    Jamal umenikumbusha physics leo 👍🏻Congratulations 🤝👏

  • @francwilyshimbala7594
    @francwilyshimbala7594 3 года назад +2

    You are the best bro

  • @briansaidi2208
    @briansaidi2208 3 года назад +1

    Your are the king

  • @Sadaamberlin8307
    @Sadaamberlin8307 4 года назад +2

    Kweli Mungu yupo ,nimeamini

  • @majaliwamnakaya9831
    @majaliwamnakaya9831 4 года назад +27

    Hongeraaa kaka ,,,UKO VZRII KIKUBWAAA ENDELEEEA KUKAZAA BUTI
    WASAFI MEDIA

  • @amalakh1990
    @amalakh1990 4 года назад +5

    Naomba utafiti kuhusu darwin theory of evulution . Is it true @jamal @wasafi media

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 4 года назад +46

    Hello wana the story book 2mekutana tena all enx to our God🙏🙏🙏

    • @jaycodestz1304
      @jaycodestz1304 4 года назад +1

      Hello m0m

    • @magrethjohn4929
      @magrethjohn4929 4 года назад +1

      @@jaycodestz1304 hi

    • @faidamanoni2285
      @faidamanoni2285 4 года назад

      Magreth ni wewe?

    • @magrethjohn4929
      @magrethjohn4929 4 года назад

      @@faidamanoni2285 Hi

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      _______________________
      [+255 757 945 601]
      _______________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @erickmollel598
    @erickmollel598 4 года назад +1

    Namkubali sana uyu jamaal kwa kaz zake

  • @rakhmanasoor8667
    @rakhmanasoor8667 7 месяцев назад

    Jamal uko unatuongezea uelewa mkubwa Sana mungu akuongoze sikuzote

  • @abdalamwaliko9269
    @abdalamwaliko9269 4 года назад +3

    Umetisha brooo

  • @khasianussamson6227
    @khasianussamson6227 4 года назад +69

    Tuletee historia ya sobibo camp na camp zingine za Jews

  • @Sammy-pq2bj
    @Sammy-pq2bj Год назад +1

    Wonders of the world keep up Prof Jamal

  • @aloycefime6440
    @aloycefime6440 4 года назад

    Jamal!! Jamal!! Jamal!!! Nmekuitaa Mara tatu....! Mungu akulindee mpakaa wajukuu zangu wakukutee upoo unaporomoshaa madiniii wakati huoo kichwaaa cheupeeee mviii tupuuu zimekujaaa

    • @bongomix7566
      @bongomix7566 3 года назад

      TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
      __________________________
      [1] KITUNGUU MAJI
      [2] TANGAWIZI
      [3] VIAZI MVIRINGO
      [4] OLIVE OIL
      [5] MAFUTA YA NAZI
      _______________________
      [+255 757 945 601]
      _______________________
      BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
      ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html

  • @troy_micha
    @troy_micha 4 года назад +6

    I like when you make nature story ❤️❤️🇧🇮🇧🇮

  • @tajudtwahil7521
    @tajudtwahil7521 4 года назад +6

    Wiki hii mitambo kwa upande wa sauti haujakaa sawa kabsa

  • @moddlizersaidsalu2868
    @moddlizersaidsalu2868 4 года назад +1

    Noma saan bro unazid kutuaminisha kuwa unajua big up Jamal, gonga like twend saw

  • @chitwangaseif8162
    @chitwangaseif8162 4 года назад +4

    Kwenye stori book 📙 zooote hiii imenielimisha kitu.... Endelea kutupa data zaidi

  • @charlesmichael5921
    @charlesmichael5921 4 года назад +5

    Leo nmekuwa wa mwanzo naombeni likes zenu kama mnapenda story book

  • @nairobianinewsalearttv
    @nairobianinewsalearttv 3 года назад

    Jamali mungu aendelee kukufunulia .asante sana

  • @bahatymashaka9440
    @bahatymashaka9440 4 года назад +1

    Tunakuelewa sana hii ni kubwa kuliko

  • @wasasyjr4345
    @wasasyjr4345 4 года назад +2

    Mnyama Sana we jamaa

  • @mcmifukotz7267
    @mcmifukotz7267 4 года назад +86

    WAJUMBE MSINIANGUSHE NAOMBENI LIKE
    NTAKIKISHA KILA MJUMBE ANA GB 1

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 4 года назад +2

    Nakubali jamal uko vizuri br

  • @mc_mrope
    @mc_mrope 4 года назад +5

    Asante sana kwa story nzuri 🙏

  • @tiwa1653
    @tiwa1653 3 года назад

    Bee keeping trainer and consultant.

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 4 года назад +6

    Hadi laha mungu akupe akili na akupe nguvu imala bro asante sana

  • @veronicarmichael6690
    @veronicarmichael6690 4 года назад

    Tafiti zenye kukufanya ujifunze kwa namna ya kitafiti #jamal. Umetisha sana

  • @nomatter1239
    @nomatter1239 4 года назад +6

    Jamn leo sitaki coment nakula ed kwanza ila jamal anajuwa

  • @razackamon7079
    @razackamon7079 3 года назад +1

    Daaah ww ndug ni noma

  • @franckndayikeza991
    @franckndayikeza991 4 года назад +4

    You're the one and only

  • @michaelrupia7207
    @michaelrupia7207 3 года назад +1

    huyu jamaa hata kama huna interest na anachokiongelea utapenda tu...big up bro.

  • @ChegeboyChenni-n9u
    @ChegeboyChenni-n9u 9 месяцев назад +1

    Mi naisi kulikua na maisha kabla yetu sis ni kizaz cha adam uwenda kuliwai kuwaga na vizazi vingine

  • @gelardkaboyoka9521
    @gelardkaboyoka9521 4 года назад +1

    Your the best