@@ericjames7050 too general maybe if u talked about biogeography However this is purely BIOLOGY even if there is more of Paleontological facts but it mainly talks of ancient REPTILES, which are grouped to class REPTILIA👌🙏 BUT UR RIGHT MY DEAR 😘
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI _______________________ [+255 757 945 601] _______________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Toshekeni na jinsi Mungu alivyo tuumba na kutujulisha, Shetani kazi yake ni kuteka watu wa Mungu kwa adithi za Uongo je chombo kinacho tengenezwa na wanadamu wenyewe alafu wanategemea iwape majibu
Kiukweli kipindi ulikuwa unaanza mimi nilikuwa sikupenda kutokana na tulikuwa tumemzoea yule mwingine ila Kadri naendelea kukufatilia nimejua wewe ni zaidi ya professional unatisha Sana Hongera kaka kwa kutuaminisha uwezo wako
Jamal April nakumbuka siku ya mwanzo Diamond Platinum alikutamkia kitu kizuri baada yaka kuanza kutoa story mwenyewe na mashabiki wa The story book wakaanza kukuponda, SIMBA nakumbuka alisema watakukubali tu na saiv naona ulivyo wakamata watu, kaza boot na muheshimu sna SIMBA utafika mbali sn kwa aina ya utunzi wako na ubunifu wako.
Dah nataman hata kulia ..achen mungu aitwe Mungu ..watu walimkataa jamal leo wote wanampongeza...#nimejifunza kitu kupitia hiki..Usikate tamaa na unachokifanya hata kwa hali yeyote
Maisha kabla ya kuumbwa binaadamu yanaeleza kwa ufupi ktk Quran هَلْ أَتَى عَلَى الإِنسَـنِ حِينٌ مّنَ الدَّهْرِ لَمْ يَكُن شَيْئاً مَّذْكُوراً Hakikupita zama (zisizo na idadi) binadamu hakikuwa ni kitu chenye kutajwa au kufikirika? 👉 Hapa Al Ulamaa wanasema kusudio la aya hii Allah anatuambia baada ya kuumba kila kitu ilipita miaka mingi kabla ya kuumbwa binaadamu. Maisha yalikuwa yaki endelea kama kawaida. Wanyama na majini na Monster's wa ajabu ndo walikua wakiishi humu duniani mfano Dinosaur & Dragons 🐲 & Nyoka wakubwa mfano wa *TITANOBOA* Hivyo life iliendelea Ila baada ya miaka mingi kupita Ndipo Allah akataka kuumba binadamu rejea 2:30 Quran وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَـئِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِى الأَرْضِ خَلِيفَةً قَالُواْ أَتَجْعَلُ فِيهَا مَن يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَآءَ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لاَ تَعْلَمُونَ 👉 Anasema na ukumbuke Mola wako alipo waambia malaika wake mimi nataka kumuweka Khalifa (kiongozi) duniani atae ongoza kila kilichomo Wakasema (Malaika) Umetakasika ww Mwenyezi Mungu. Hao watafanya uharibifu kama walio pita kabla yao wakati sisi tunaku takasa . Allah akawajibu mimi najua msiyo yajua 👉 Hapa tunaambiwa vile viumbe kabla ya binadamu walikua waharibifu na waovu 👉 Wakati Adam akiumbwa Allah akafanya kitu kinachoitwa GLOBAL EART RESERT yaani gharika linalo tokea na kupoteza baadhi ya viumbe na hili scientists husema hutokea kila baada ya miaka 4000+. Inapo tokea bas viumbe hutoweka kidogo kidogo. Hebu fikiria inge kuwaje dinosaur na dragons wawepo hadi leo? Si wange tuua sisi. Hivyo Allah akawa akiwapoteza na baadhi akiwa punguza maumbo Mohammèd
Hichi kitu mm mwnyewe nimekuwa nikikifanyia tafiti za kina na mengi kati ya uliyyazngumza fundi Jamal nmevgundua,bless up bro kwa kulta vtu vnavyotakiwa kueleweka na watanzania
Jamal huwa nakufuatilia sana. Hii simulizi ni nzuri sana. Nilisoma juu ya hawa mijusi wakubwa na kuna mengi haujayamalizia hapa labda kwa sababu ya muda. Ukiacha hao wanasanyansi walifanya utafiti kubaini kupotea kwa hawa dinosaria. Kuna wanasayansi wengine waliokuja na majibu yao kuhusu mabadiriko na wanapinga hilo tufe kubwa lilioloigonga dunia na kuteketeza hawa viumbe. Wakiamini kuwa kipindi hicho hawakuwepo dinosaria pekee yake. Dinosaria au mijusi wakubwa masalia yake pia yaligundulika hapa Tanzania na mjusi mkubwa mwenye mabaki yake inasemekana kuwa alibainika Tanzania, sorry ni Tanganyika hiyo ilikuwa miaka kabla ya Tanzania kuzaliwa. na juzi kumekuwa na mazungumzo juu ya wakoloni kuja kuchukua vitu vingi hapa Afrika na kwenda kuweka kwao. Mjusi huyu mkubwa masalia yake yapo Ujerumani kuna wanaharakati wanadai sasa mjusi huyu arudishwe.
Kaka uko juu sana siwezi amini mwanzo watu walikudharau sana matusi kumbe usiyoyajua umenifanya niwe jasiri kwa kile ninachoamini nakiweza mtu hawezi nikatisha tamaa
Waaah kwahili limeniacha kinywa waza jamal hupenda kukuskiza sana huaga najifunzaga mengi juu yako na akili yangu hukuwa zaidi juu yakutafakari unayo yaongelea kutokana na the story book God bless you
Nimeangalia filamu nyingi zinazohusu uwepo wa hawa dinosaria kama GODZILLA, JURASIC PARK lakini hazikushibisha fikra zangu kwajinsi walivyoondoka duniani yan waliishije wote duniani kwa kati mmoja?...lakin professor wewe nizaidi ya professor daah asante kwa hili kaka nimeelewa vizuri sana
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI _______________________ [+255 757 945 601] _______________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE __________________________ [1] KITUNGUU MAJI [2] TANGAWIZI [3] VIAZI MVIRINGO [4] OLIVE OIL [5] MAFUTA YA NAZI _______________________ [+255 757 945 601] _______________________ BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️ ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Professor, tungependa kujua kuhusu dragons . Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Profesa mi ni Martin K. Musita,mwanafunzi chuo cha utangazaji na umekua nguzo ya kunipa motisha wa upekuzi!!I salute you Professor Jamal April
I have always been waiting for the story about prehistoric animals, especially the dinosaurs, World's largest reptiles👌
Love you Prof Jamal🔥😍🙏
That's geoscience
@@ericjames7050 too general maybe if u talked about biogeography
However this is purely BIOLOGY even if there is more of Paleontological facts but it mainly talks of ancient REPTILES, which are grouped to class REPTILIA👌🙏
BUT UR RIGHT MY DEAR 😘
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
_______________________
[+255 757 945 601]
_______________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
hiki kipindi Huwa na mambo mazito sana...... Jamal, Mungu akuzidishie neema, uzidi kutujuza mambo kama hayo ambayo kamwe hatungeweza kupata kujua
💥💥 moja yakipindi cha wasafi tv kinacho stahili tuzo 🙌
hakika
mwinjuma Hamadi huwa ni lini na saa ngapi
@@glorygunda8887 ijumaa saa3
You are more than a Professor, thanks for educating us. Big up bro Jamal.
Jamal umekuwa shujaa wetu gonga ,lake hata 20
Nakukubar sana jamaly ww ni mkali sana mtu mbaya sana mtiga umempoteza Kwenye Ramani ..
⚡️⚡️⚡️ KAZI NZURI PROFFESSOR
Boss kakoment
Xhoo
Poa kaka tupo pamoja
Kwl kbs
Nakubar
Toshekeni na jinsi Mungu alivyo tuumba na kutujulisha,
Shetani kazi yake ni kuteka watu wa Mungu kwa adithi za Uongo je chombo kinacho tengenezwa na wanadamu wenyewe alafu wanategemea iwape majibu
Jamanii tunaompenda jamali like please at least 100
Oyoo
Kiukweli mm nafrahishwa saaaa na stor zako we mungu kakupa hakili kwel
@@shamsirashidikassim6696 kweli
Weka hata like 20 kwa ajili ya jamal
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Inaonekana jamal mnyamaaa sanaaa na unamkubali sanaaaaa mwambaaa che Guevara namuonaa hapooo kwa mbaliii mtawala wa dunia
I love this man,,Jamal
Dah mnyonge mnyongen haki yake mpen huyu jamaa ananikosh San .sio mm tu hata ww
Mi hanikoshi ndugu
Saaana asipokuepo jamal story chungu anahadithia kwa utaratibu kwa makini hatua kwa hatua nampendaa story inashibaaaa
@@joharimadua8342 nakubal San tuzid kuburudika
@@modricrushdiy2089 namkubl hy jamaah htr
@@modricrushdiy2089 Hain nowmer kaka
Kiukweli kipindi ulikuwa unaanza mimi nilikuwa sikupenda kutokana na tulikuwa tumemzoea yule mwingine ila Kadri naendelea kukufatilia nimejua wewe ni zaidi ya professional unatisha Sana
Hongera kaka kwa kutuaminisha uwezo wako
Niuongo wawanasayansi walitoweka kwagalika nasiokingine
Jaribuni kurekebisha sauti .,...ondoeni mwangwi ....but kipind ni kizr aiseeeeee...WCB for life
Yaani hii story nimeipenda kwakweli, napendaga sana kujifunza na kujua matukio yaliyotokea miaka mingi iliyopita, Asante sana Jamal Professor
Jamal April nakumbuka siku ya mwanzo Diamond Platinum alikutamkia kitu kizuri baada yaka kuanza kutoa story mwenyewe na mashabiki wa The story book wakaanza kukuponda, SIMBA nakumbuka alisema watakukubali tu na saiv naona ulivyo wakamata watu, kaza boot na muheshimu sna SIMBA utafika mbali sn kwa aina ya utunzi wako na ubunifu wako.
Good job jamal
Nafulahia Sana kaka kwa story book
Dah nataman hata kulia ..achen mungu aitwe Mungu ..watu walimkataa jamal leo wote wanampongeza...#nimejifunza kitu kupitia hiki..Usikate tamaa na unachokifanya hata kwa hali yeyote
Kaka nasoma origin of tetrapod course hap UDOM kaka unajua umetisha,, gonga like
Hiyo asteroid iliyo anguka ilisababishwa na cosmic collision. I did it at Mwenge university college too 2010
Bro unaandika story mzee indeep San kwny huu ukanda wa story your the best
Ahsante Kwa ujumbe mzuri kuhusu hao wanyama wa kale jamii ya mijusi, dinosaur's,
Kama ume gundua ichi kipindi kina ongeza uelewa na kukuza akili nikujue japo kwa like
Like
H by hujbh j by huh mmonbl
At the win
kwel mwamba
hv , 6
.. XXcyyoiuuu
Sijaona comment ata moja ya kukupinga kama awali hakika wewe ni professor 🙌🙌🙌🙌
Mpo smart saaaaana....halafu mwalimu mwenyewe yupo fit vibaya sana
Hyu jamaa namkubali sana na n tunu ya TANZANIA...... Hakika ww n professional professor
Mmmh!! Mungu ni mwema alijua Wa2 wake hatutaishi kwa Amani akaamua Kuwatowesha
Jamal umetisha aseeee nkiwa mkubwa ntaka nkuwe kama ww nkuwe msomaji vitabu mzuri sana🤗 i appreciate you Jamal🔥🔥🔥
Shikamoo #JamalMustapha wewe ni hatari sanaaaaaaaaa
Maisha kabla ya kuumbwa binaadamu yanaeleza kwa ufupi ktk Quran
هَلْ أَتَى عَلَى الإِنسَـنِ حِينٌ مّنَ الدَّهْرِ لَمْ يَكُن شَيْئاً مَّذْكُوراً
Hakikupita zama (zisizo na idadi) binadamu hakikuwa ni kitu chenye kutajwa au kufikirika?
👉 Hapa Al Ulamaa wanasema kusudio la aya hii Allah anatuambia baada ya kuumba kila kitu ilipita miaka mingi kabla ya kuumbwa binaadamu. Maisha yalikuwa yaki endelea kama kawaida. Wanyama na majini na Monster's wa ajabu ndo walikua wakiishi humu duniani mfano Dinosaur & Dragons 🐲 & Nyoka wakubwa mfano wa *TITANOBOA*
Hivyo life iliendelea
Ila baada ya miaka mingi kupita Ndipo Allah akataka kuumba binadamu rejea 2:30 Quran وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَـئِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِى الأَرْضِ خَلِيفَةً قَالُواْ أَتَجْعَلُ فِيهَا مَن يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَآءَ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لاَ تَعْلَمُونَ
👉 Anasema na ukumbuke Mola wako alipo waambia malaika wake mimi nataka kumuweka Khalifa (kiongozi) duniani atae ongoza kila kilichomo
Wakasema (Malaika) Umetakasika ww Mwenyezi Mungu. Hao watafanya uharibifu kama walio pita kabla yao wakati sisi tunaku takasa . Allah akawajibu mimi najua msiyo yajua
👉 Hapa tunaambiwa vile viumbe kabla ya binadamu walikua waharibifu na waovu
👉 Wakati Adam akiumbwa Allah akafanya kitu kinachoitwa GLOBAL EART RESERT yaani gharika linalo tokea na kupoteza baadhi ya viumbe na hili scientists husema hutokea kila baada ya miaka 4000+. Inapo tokea bas viumbe hutoweka kidogo kidogo. Hebu fikiria inge kuwaje dinosaur na dragons wawepo hadi leo? Si wange tuua sisi. Hivyo Allah akawa akiwapoteza na baadhi akiwa punguza maumbo
Mohammèd
Upo sahihi kabisaa 🙏🙏🙏
Mashallaah
Asante brother but dragon is an imaginary animal, so it never existed but always remains in fantasy
So kumbe hii story nikweli na imeelezwa hadi kwenye Quran nasio porojo tu
👍🏿
Nakupenda saaaaaana profesa.Huwa ninaiga mengi saana toka kwako.Wewe ni maktaba Wewe ni mtu muhimu saaaaaana kwa ulimwengu wote.Mungu akubariki saana.
So it's very great for the store book from Professor Jamal Mustafa
Hichi kitu mm mwnyewe nimekuwa nikikifanyia tafiti za kina na mengi kati ya uliyyazngumza fundi Jamal nmevgundua,bless up bro kwa kulta vtu vnavyotakiwa kueleweka na watanzania
This Lad Jamal is champ.
@asu eddy he Aint a "lad"he is a gentleman
Hey @ Carol just Google the meaning of Lad.... I didn't write lady I wrote lad
@@asueddy1465i know "a boy or a young man"but this Dude is true gentleman..hr doesnt fit in the two prefix darling..
@@carolkangethe9544 now I understand what you mean love❤️❤️❤️❤️
@asu eddy aleast we've come into a conclusion.bravo!..
#JAMAL WEWE ZAID YA PROFESSA❤❤
Nakubari sana Profx kwa kutuletea madiniii ya kuukuzwa ubongo
Nakubali Kaka,sikupingi, upo vizur Sana ,,MUNGU akupe maisha marefu kwko
2024 Again......
the Best story Book
Aisee History hii inatisha,tukio baya Sana.Asante Sana Jamal
Jamal huwa nakufuatilia sana. Hii simulizi ni nzuri sana. Nilisoma juu ya hawa mijusi wakubwa na kuna mengi haujayamalizia hapa labda kwa sababu ya muda. Ukiacha hao wanasanyansi walifanya utafiti kubaini kupotea kwa hawa dinosaria. Kuna wanasayansi wengine waliokuja na majibu yao kuhusu mabadiriko na wanapinga hilo tufe kubwa lilioloigonga dunia na kuteketeza hawa viumbe. Wakiamini kuwa kipindi hicho hawakuwepo dinosaria pekee yake. Dinosaria au mijusi wakubwa masalia yake pia yaligundulika hapa Tanzania na mjusi mkubwa mwenye mabaki yake inasemekana kuwa alibainika Tanzania, sorry ni Tanganyika hiyo ilikuwa miaka kabla ya Tanzania kuzaliwa. na juzi kumekuwa na mazungumzo juu ya wakoloni kuja kuchukua vitu vingi hapa Afrika na kwenda kuweka kwao. Mjusi huyu mkubwa masalia yake yapo Ujerumani kuna wanaharakati wanadai sasa mjusi huyu arudishwe.
Kweli kabisa wee Jamaal ni noma unajuwa kufuatilia vitu
Huyu jamal inaomekena ni msomaji mzuri wa vitabu tena sana na inaonekana mi mtu wenye jambo lake kichwani mwake
Like kwa professor jamali💓💓💓💓
Kaka uko juu sana siwezi amini mwanzo watu walikudharau sana matusi kumbe usiyoyajua umenifanya niwe jasiri kwa kile ninachoamini nakiweza mtu hawezi nikatisha tamaa
Gonga Like Kama Unamkubal Jamal April...,✍📖👍
Waaah kwahili limeniacha kinywa waza jamal hupenda kukuskiza sana huaga najifunzaga mengi juu yako na akili yangu hukuwa zaidi juu yakutafakari unayo yaongelea kutokana na the story book God bless you
Kama unaikubali wasafi tv na wasafi media pamoja na Jamali April gonga like twende sawa na the story book
Jamaa ni msomi aisee, Jamal upo vizuri kaka
Kipindi bora duniani love from Mogadishu , Somalia
Profesa salut kanzi nzuri tumpe laik
Yaan unasikiliza story had unapenda jmn....prof.jamal🙏🙏
Asante nazidi kujifunza #wasafi muambieni jamali nampenda sana mie sauti yake tu
Nafatilia xana ,, nakubali hiki kipindi
Nimeangalia filamu nyingi zinazohusu uwepo wa hawa dinosaria kama GODZILLA, JURASIC PARK lakini hazikushibisha fikra zangu kwajinsi walivyoondoka duniani yan waliishije wote duniani kwa kati mmoja?...lakin professor wewe nizaidi ya professor daah asante kwa hili kaka nimeelewa vizuri sana
I really love your story.Wenever I watch your story I learned samething new.
mimi ni mupenzi wa kipindi chako,jambo ndungu safari from drc congo
Namkubali sana uyu Jamaaa, From *Mozambique* Naomba like zenu, I love WCB and Tanzanian Peoples
Mliokuwa mnasema Jamal hajui mkowapi sasa anaporomosha mavitu mpaka unasikia raha
Tupooooo kamauna bisha. Andika Trop tv ujionee atariii
Jamal Allah.azidi kukufungulia nakuwapa watu utambuzi wamambo amabayo yamejificha zaidi.nakuwafumbua maskio
Professor kama professor... nakuona mbali sana kaka 👏👏👏👏
Proffesor Jamaal 🔥🔥
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯💯
You're greatest mostly talented man I preciate bro
Issue sio fact leta ladha ya story yenyewe always sikupingi professor 🙏🏼
PROFESSIONAL PROFESSOR
Jamal umenikumbusha physics leo 👍🏻Congratulations 🤝👏
You are the best bro
Your are the king
Kweli Mungu yupo ,nimeamini
Hongeraaa kaka ,,,UKO VZRII KIKUBWAAA ENDELEEEA KUKAZAA BUTI
WASAFI MEDIA
ruclips.net/video/NVJiDGtQfUQ/видео.html
Naomba utafiti kuhusu darwin theory of evulution . Is it true @jamal @wasafi media
Hello wana the story book 2mekutana tena all enx to our God🙏🙏🙏
Hello m0m
@@jaycodestz1304 hi
Magreth ni wewe?
@@faidamanoni2285 Hi
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
_______________________
[+255 757 945 601]
_______________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
Namkubali sana uyu jamaal kwa kaz zake
Jamal uko unatuongezea uelewa mkubwa Sana mungu akuongoze sikuzote
Umetisha brooo
Tuletee historia ya sobibo camp na camp zingine za Jews
Wazo zuri sana
Wonders of the world keep up Prof Jamal
Jamal!! Jamal!! Jamal!!! Nmekuitaa Mara tatu....! Mungu akulindee mpakaa wajukuu zangu wakukutee upoo unaporomoshaa madiniii wakati huoo kichwaaa cheupeeee mviii tupuuu zimekujaaa
TUMIA VITU HIVI KWA PAMOJA KUKUZA, KUREFUSHA NA KUJAZA NYWELE
__________________________
[1] KITUNGUU MAJI
[2] TANGAWIZI
[3] VIAZI MVIRINGO
[4] OLIVE OIL
[5] MAFUTA YA NAZI
_______________________
[+255 757 945 601]
_______________________
BOFYA LINK CHINI⬇️⬇️
ruclips.net/video/1ZmINvYjT4Q/видео.html
I like when you make nature story ❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Wiki hii mitambo kwa upande wa sauti haujakaa sawa kabsa
Noma saan bro unazid kutuaminisha kuwa unajua big up Jamal, gonga like twend saw
Kwenye stori book 📙 zooote hiii imenielimisha kitu.... Endelea kutupa data zaidi
Leo nmekuwa wa mwanzo naombeni likes zenu kama mnapenda story book
Jamali mungu aendelee kukufunulia .asante sana
Tunakuelewa sana hii ni kubwa kuliko
Mnyama Sana we jamaa
WAJUMBE MSINIANGUSHE NAOMBENI LIKE
NTAKIKISHA KILA MJUMBE ANA GB 1
😄😄😄😄😄
😁😁😁😁
Usitufokee😁😁
Nakubali jamal uko vizuri br
Asante sana kwa story nzuri 🙏
Bee keeping trainer and consultant.
Hadi laha mungu akupe akili na akupe nguvu imala bro asante sana
Tafiti zenye kukufanya ujifunze kwa namna ya kitafiti #jamal. Umetisha sana
Jamn leo sitaki coment nakula ed kwanza ila jamal anajuwa
Daaah ww ndug ni noma
You're the one and only
huyu jamaa hata kama huna interest na anachokiongelea utapenda tu...big up bro.
Mi naisi kulikua na maisha kabla yetu sis ni kizaz cha adam uwenda kuliwai kuwaga na vizazi vingine
Your the best