The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @snake_eyes3756
    @snake_eyes3756 3 года назад +235

    Nitokea Kenya napenda sana hizi sitoria zak kaka like hapa Kama unapenda story za proffesa

  • @tinakaitsa7334
    @tinakaitsa7334 3 года назад +147

    Kama unamkubali jamal professor nipeni likes👏👏

  • @eunicemugazia2963
    @eunicemugazia2963 2 года назад +12

    Mimi ni Victor Baraka kutoka Kenya naipenda kazi yako niko katika kidato cha pili katika shule ya kitaifa ya Maseno na naomba nijiunge na wewe naomba jibu lako ukipata ujumbe huu

  • @uzungupoint
    @uzungupoint 3 года назад +179

    MUNGU APEWE SIFA DAIMA🙏

  • @youngforex8664
    @youngforex8664 3 года назад +16

    pia sifa nyingi sana ziende kwa Mungu wangu,mwema muumba kila kitu. Ameeen

  • @gigiogglamourmjg5902
    @gigiogglamourmjg5902 3 года назад +48

    Allah Akbar🙏🙏😭😭Mungu nimkubwa sana jamani njo maana hata vitu vyake nivikubwa sana zaidi ya hakiri zetu

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 3 года назад +118

    My like Leo Mimi wakwanza professor 😌🤯

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 3 года назад +62

    Utukufu wa Mungu ni mkubwa mno na siri yake ni kubwa mno !! Atukuzwe Mungu 🙌

  • @agaikilembemwamafupa1671
    @agaikilembemwamafupa1671 3 года назад +60

    Asante baba yetu jamal kwa kutufungua akiri zetu na upeo wa akili asante diamond kwa kumleta huyu profesa

  • @naimabdul1231
    @naimabdul1231 Год назад +5

    Huyu jamaa kiboko sana ana kipaji sana anaongea lkn kama anakujengea picha flani hivi ni kipaji pekee kwa watu maalum, mashallah mr.jamal kazi nzuri sana ndugu yangu

  • @edwardngamba6078
    @edwardngamba6078 3 года назад +31

    Professor aise hii story uje utupe muendelezo wake ninzuri sana naimani vipi vingi sana bado vinavyo husu kuhusu jua 🔥🤝🏼📌

  • @JosephKimaro-u7d
    @JosephKimaro-u7d 4 месяца назад +3

    Ndugu Mungu kakupa kipaji Cha kipekee hongeraa huyu ndo msimuliaj Bora Tanzania 🌟👏

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 3 года назад +161

    Top 10 naomba like hata 10 jamani………ngoja kwanza nipotezee mawazo ya makato mapya,yaani siku hizi hakuna kuomba kutuma na ya kutoleaaaaaa

  • @ashirievara8542
    @ashirievara8542 3 года назад +19

    King of the story all time

  • @wanzagiapolinary1900
    @wanzagiapolinary1900 3 года назад +13

    Kama unamkubar jamaa huyu tupia apa like

  • @EdsonChalo
    @EdsonChalo 24 дня назад +2

    Nakukubali sana kaka❤❤❤❤❤❤

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 3 года назад +13

    Which kind of person are you man. U are blessing to us wanaopenda kukufatilia

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 3 года назад +2

    Nakukubali sana unafanya watu sasa tumjue mungu na tusiishi kama tulijiumba hongera sana na asante sana kutupa elimu

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 3 года назад +11

    Unafundisha vizuri sana.
    You deserve the name of PROFESSOR

  • @salimgamal
    @salimgamal 3 года назад +16

    Nice 1 #professor🙌👌💯🔥🔥
    Hakika umenifunza mengi ambayo ilikua siyajui👌💯. Mungu Akuzidishie Elimu ili uzidi kutuelimisha. AMIIN

  • @annmbai1477
    @annmbai1477 3 года назад +6

    Subhan Allah,Allah Akhbah🤲🏾

  • @meshackhaule
    @meshackhaule 3 года назад +25

    Hii ndio yenyewe sasa #the_storybook
    Sio ile ya kila story uchawi uchawi tuuuuuuu na ushirikina 🤩🤩🤩🤩🤩🤩

    • @seiphsamgonja5713
      @seiphsamgonja5713 3 года назад +1

      Hapo umedanganya aiseeee Mimi namfuatiliaga xana huyu jamaa

    • @meshackhaule
      @meshackhaule 3 года назад

      We nawe unakurupuka sasa ..... namzungumzia yule jamaa wa upande wa pili sio huyu .... na huyu akisimulia mtu mbaka unapata hamu ya kuludia mara ya pili story zake ila yule mwngine amna kitu yule kazi kutisha tsha tu watu

    • @patricialpatrick9927
      @patricialpatrick9927 3 года назад

      ulitumwa umsiklize?

    • @traveler.360
      @traveler.360 3 года назад

      🤣😅🤣😅

  • @omarihamisi1427
    @omarihamisi1427 3 года назад +9

    Jaman like za wasafi jaman 2juane apa WCB4life

  • @PaulAroko-c6e
    @PaulAroko-c6e 18 дней назад

    Jamal wewe ni mentor wangu ....very organised programme.....wewe mwenyewe umetulia na unaelewesha....hadi ajuza Mungu akujaalie....pamoja na wewe....

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza2148 3 года назад +144

    SERIKALI YA TANZANIA, kupitia jamal april mnatakiwa kuwekeza sana kipaji chake tusing'ang'anie mpira tuu, hata jamal april ni uwekezaji mkubwa wa kuweza kujivunia kama nchi

  • @kangoabdhallah333
    @kangoabdhallah333 3 года назад +86

    This is not just a story but a definition of truth

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 3 года назад +5

    Wanasayans kuna siku mtaleta matatizo mkubwa duniani juu ya kihelehele chenu cha kutaka kuchunguza kila kitu cha Mwenyezi Mungu.

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 2 года назад +2

    Subhanllah

  • @learnenglishwithcharles4361
    @learnenglishwithcharles4361 3 года назад +63

    Huyu jamaa angezaliwa zamani angewazidi akili akina Socrates,Kama unakubali gonga like

    • @elijahjacob7724
      @elijahjacob7724 3 года назад +3

      Unawajua hao watu ndugu uyu analudia tu mambo ya awo watu waliya fanya ata wakati tachi amna.

    • @ndasimedia5771
      @ndasimedia5771 3 года назад

      Wewe jamaa wewe acha kufananisha pombe na mapenzi Socrates kabisa na jamali bwana wewe hao unaowasema ndio great thinker walioacha Aya anayoyasema leo jamali kupitia tafiti zao uyu anasoma Sana journals, researches, books na different sources ya kitu anachotaka kukijua Basi.

    • @muharamally9915
      @muharamally9915 3 года назад +1

      @@elijahjacob7724 hata hivyo lazima tukubali uyu jamaa ana uelewa mkubwa🙌🏽🙌🏽🙌🏽

    • @estonsanga9355
      @estonsanga9355 3 года назад

      😅😅😅utani huo,mbona nikusoma tu,

    • @ndasimedia5771
      @ndasimedia5771 3 года назад

      @@muharamally9915 uelewa gani Sasa icho alichokifundisha si Geografia kabisa ya kusoma tu nakupata maarifa ata we unaweza kufanya hvyo labda hutaweza endapo utakosa vyanzo vya maarifa Basi...uyo Ni mwalimu tu Kama alivyo Mgote 🤔😅

  • @cameback4778
    @cameback4778 3 года назад +1

    jamali NUMBER ONE Jamani mi nataka Like 70

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah9421 3 года назад +384

    Tunaomkubali Professor JAMAL Tujuane Hapa👇🏻

  • @solomonkuyi1384
    @solomonkuyi1384 3 года назад +2

    Bila elimu ya Mungu mwanadsmu hupotea kabisa akijidanganya kuwa anajua juu ya uumbaji wa Mungu.

  • @melody_mike_mavoice
    @melody_mike_mavoice 3 года назад +18

    Asante kwa hekima among top 100

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад +6

    THANKS PROFESSOR DR. JAMAL! I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL N NOW STILL I LOVE IT! IM ALWAYS WATCH N LISTEN YR STORY BOOK N I LOVE IT! A MILLION THANKS! N GOD! BLESS U ALWAYS👌 AMEEN. TAKE CARE N BE SAFE ALWAYS👌🤝👏💙💜💚 👍🏽🙏👌

  • @shadasales9598
    @shadasales9598 3 года назад +14

    Perfection of geometry made possible for life on earth 🌍 thanks to light giving star that we call it our sun ☀️

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 3 года назад +19

    Professional Guy! Genius.......!! ✔✔....I appreciate your stories

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki6595 3 года назад +19

    My all time fevorite story to listen every Saturday night thank you professor jamal my God bless you and add your knowledge

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 10 месяцев назад +7

    Jamal acha uzushi, dunia haitamezwa na jua ila kama unaeleza kutoa hadithi kuwafurahisha watu hiyo ni fani yako, lkn usiseme uongo siri ya kuisha dunia ni ya Mwenyezi Mungu tu.

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 8 месяцев назад

      Huwez jua labda huo ndo utakuwa mwisho wa Dunia huo. Mwisho wa Dunia wa Mungu pia n nadharia pia ya din

    • @kilimaentertainment1687
      @kilimaentertainment1687 5 месяцев назад

      Ukweli ndio huo wakisema msome mnakumbia umande hata mtume aliambiwa asome ukisoma unaelewa maana Kila kitu kimeandikwa

    • @فايزه-س8د
      @فايزه-س8د 5 месяцев назад

      Nikweli.siri.yadunia.anaijuwa.ni.mungu.peke.yake.asateni

    • @BoazShalili
      @BoazShalili 15 дней назад

      Uko sahihi ndugu, huo ni uzushi kabisa, mwisho wa dunia hauwezi kuleta na kumezwa na jua, maana yake anataka kutumia kuwa mpaka sasa jua limeshapiga hatua kadhaa kuisogelea dunia, na kama ni hivyo, huo umbali lazima Uwe umeshapungua sana tu

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад +11

    Wewe ni zaidi ya teacher 🔥💪

  • @JibuHatangi
    @JibuHatangi Месяц назад +2

    Jibu toka congo na mukubali professor

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 2 года назад +10

    Thanks professor for your excellent narrations about various things in our planet

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 года назад

    Nilipokuwa darasa la sita, nilijua umbali wa hapa duniani hadi kwenye jua. Km mill149.5. Ahsante sana mkuu kwa kunikumbusha hilo. Bado mpaka leo hii jua lanishangaza sana. Kwanza ni kubwa sana afu ina joto kali mno na nguvu ya ajabu sana. Mungu ni mkubwa sanaa. Atukuzwe Bwana muumba wa Mbingu na nchi.

  • @noelnamlimuka9455
    @noelnamlimuka9455 3 года назад +19

    Like kwa mtaalam professor

  • @FavodaNizia
    @FavodaNizia 3 года назад +1

    Tpo 5 from Mozambique. U nr one

  • @mcbuty201
    @mcbuty201 3 года назад +10

    Oyaa iyooo kitu sio poa kabisa unitembea kwa jet unatumia miaka 19

  • @YohanaIbra
    @YohanaIbra 2 месяца назад

    Ase jamaa namkubali sana uyu mwamba kazi habahatishi kazi

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 3 года назад +8

    i enjoyed listening to story doctor Legend respect from Australia 2021 🙌

  • @khatijakhatija9518
    @khatijakhatija9518 2 года назад +1

    ALLAHU AKBAR SUBHANALLAH 🙏

  • @sadockkabuko8735
    @sadockkabuko8735 3 года назад +16

    Prof: Jamal salute brother

  • @ekalreuben
    @ekalreuben 2 месяца назад

    “The true beauty of music is that it connects people. It carries a message, and we, the musicians, are the messengers.”

  • @sirizamwili
    @sirizamwili 3 года назад +11

    Daaaaaah!
    Ngoja nisikitike kidogo.....
    🤔😢😭

  • @freddymukindikwa3644
    @freddymukindikwa3644 3 года назад +1

    Yani na kukubali sana wewe ni mkali kwenye sayansi you are member one be bless 🙏🙏

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum9006 3 года назад +4

    Ongera san.broo like kwako kwa wingi

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 3 года назад

    Subhanallah mola wetu mtukufu atatupa kher za dunia na akhera Mana duuh jua likishuka itakuaje

  • @obadiamwambonike4547
    @obadiamwambonike4547 3 года назад +86

    Unajua Sana kaka be blessed Sana professor!!!

  • @frankfiyao464
    @frankfiyao464 2 года назад

    Hongeraaa sana profs jamali unanifanya nielewe mambo mengi sana

  • @omondidenish7822
    @omondidenish7822 3 года назад +40

    Great narration I must say. Though my Swahili prowess isn't that up notch; but I do enjoy your shows or rather stories. Keep up the good work Mr professor, you're an inspiration to many me not left out💪🙏

  • @deodanford_20
    @deodanford_20 3 года назад +10

    Alaf nmeongeza concept zingine yan nakubali

  • @suleimankaafimuhammad8909
    @suleimankaafimuhammad8909 3 года назад +26

    i always mind whatever you say and i always learn each and evryday i watch your new video you are an inspiration i believe in you thank you so much for whatever you do

  • @RaseduOfficial
    @RaseduOfficial 4 месяца назад +1

    Story ni tamu sana ya juwa ya mungu mimi ni mwana mziki ras edu 📡📺🇰🇪🇰🇪🇺🇲🇺🇲🇹🇿🇹🇿

  • @stivinsichinga4417
    @stivinsichinga4417 3 года назад +10

    Perfect jamal

  • @mariomashakq3476
    @mariomashakq3476 3 года назад +1

    Duuuuuh brother #jamal juwa kubwa kuliko dunia duuuuuh hapo umeupiga mwingiii punguza

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад +80

    MUACHE MUNGU AITWE MUNGU

  • @geoffreywambululi644
    @geoffreywambululi644 2 года назад

    I like you, am learning more about the world, continue taking me around the world ,you are my Teacher

  • @mankaanakaana6715
    @mankaanakaana6715 3 года назад +6

    Proffesa unavyosimulia stori zako ndivyo unavyoweza kututeka sisi watazamaji kiuweli unakipawa cha kusimulia stori,napenda stori zako

  • @godlovegembe7590
    @godlovegembe7590 3 года назад +2

    Hakika bado kuna mengi sisi binadamu hatuyafahamu🙌🏽 .Mungu atuongezee maarifa hongera sana Professor hata kwa hiyo hatua ya uelezeaji🔥👽

  • @tijomrisho49
    @tijomrisho49 3 года назад +33

    Much respect ,more bless

  • @josphinedarani6203
    @josphinedarani6203 3 года назад +2

    Jamal your very very briliant

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 3 года назад +11

    Duh kama wanaodhani jua ni Mungu kaka wapo sawa hivi😜

  • @lailatlasway7107
    @lailatlasway7107 3 года назад

    Alhamdulilah mungu mkubwa mashaalah yy peke yake ndo anaujuwa umbaaj wake

  • @swadakta1218
    @swadakta1218 3 года назад +10

    JUA linaatari🙌🏼🙌🏼

  • @innocentpeter2546
    @innocentpeter2546 3 года назад +2

    Nakupata professor

  • @abduldandy3077
    @abduldandy3077 3 года назад +9

    Bro intro zako nazielwega kichiz
    Big heart ❤️

  • @poncan1133
    @poncan1133 3 года назад +1

    Uko vizuri braz big up👍

  • @piuspuka6760
    @piuspuka6760 2 года назад +6

    Good lecture with good research

  • @rachelmselingwa6184
    @rachelmselingwa6184 3 года назад

    wewe ni zaidi ya msomi na mfundshaji💪 am ur no 1 fan

  • @mcmifukotz7267
    @mcmifukotz7267 3 года назад +3

    Njoo na mwezi pia

  • @salmansimba
    @salmansimba 2 месяца назад

    sir asant san unatisha sana allah akuwek tupate material mengine mashallah

  • @mugisaelie9856
    @mugisaelie9856 3 года назад +5

    Respect Jamal from Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @belvinbelvin6622
    @belvinbelvin6622 3 года назад +1

    Duu noma sana jamali

  • @estalinhachisina9656
    @estalinhachisina9656 3 года назад +6

    We are so proud of you Jamal

  • @YassinYassin-b6s
    @YassinYassin-b6s 2 месяца назад +2

    Tunaomkubali jamal april tujuane kwenye likes

  • @bas2823
    @bas2823 3 года назад +4

    Great superiors Professor keep it up. GOD! Bless u Always. Ameen i love science very much! Since i was small n upto now.👍🏽🤝👏👌💙👑💜💜💎💖👍🏽🤝👏👌bless yr Heart, yr Soul, n yr Brain, long life to live with good healthy strong n happy n long life with yr family n all of the Creations of GOD! In the World. Amee. Amiin.💙💜💚🙏👍🏽🤝👏👌

  • @twalhaadam952
    @twalhaadam952 3 года назад +1

    Allah ndio muumba wa kila kitu na ikiwa Allah ndio muumba wa viumbe kama hivi vikubwa vingine haviwezi kufkiriwa ukubwa wake na kuchanganya akili zetu wanadamu tambua kuwa Allah atawaonysha kila Alama Zake ili Mumuamini yeye pekee na msimshirikishe na chochote , lakini mwanadamu ni kiumbe kidogo lakini mwenye kiburi kuliko kila kitu SubhanAllah Turudini kumuomba Msamaha Allah ili tufaulu hapa duniani na kesho Akhera tufanikiwe kwa kuwa tutaonyeshwa kila Alama ili Mumuamini yeye pekee yake الله na mkimshirikisha basi umeumia braza Turudini kwa muumba aliyeumba hilo jua na tumuombe Msamaha kwa kuwa ni yeye 2 Allah Subhanahu wataalaلا اله إلا الله وحده لا شريك له له الملك وله الحمد وهو على كل شيء قدير ❤️🤲

  • @NaturalDreadLocsTV
    @NaturalDreadLocsTV 3 года назад +13

    We Appreciate you much More

  • @kakamkubwa3210
    @kakamkubwa3210 3 года назад +13

    Mh jamaa unajua Hadi unatisha na kunifanya niwaze kesho yangu mbele ya MUNGU

  • @nooraltaf4789
    @nooraltaf4789 Год назад +1

    His voice is really amazing

  • @erickkessy3861
    @erickkessy3861 3 года назад +11

    I admire you bro,much respect

  • @IsackKariuki-yz4lk
    @IsackKariuki-yz4lk Год назад

    I love this guy Alot

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 3 года назад +9

    Una kitu Cha ziada bado hujatoa hiki ni kidogo watu Kama nyinyi serikali ziwe zinawatumia ungekuwa ulaya ungekuwa mbali iko siku usikate tamaa mungu akutangulie kwenye kazi zako

    • @zundahbartazal4861
      @zundahbartazal4861 3 года назад

      ULAYA HUYU ANGEKUWA BEST ZAIDI YA HAPA COZ NI MDADISI ILA KWA HII CONTENT KUNA LOTS OF KAPUYANGA ...

  • @hirallychicco987
    @hirallychicco987 3 года назад +1

    MC katebe Mr Halotel naipenda sana kazi yako ya usimuliaji wa story book

  • @harunking5418
    @harunking5418 3 года назад +48

    mwalimu wangu mkubwa ni physc neil de gress tyson na prof. jamaal ni narrator wangu wa muda mwingi hadi sasa❤🤍

    • @kanandahamis6239
      @kanandahamis6239 3 года назад

      Source yako

    • @harunking5418
      @harunking5418 3 года назад

      @@kanandahamis6239 check youtube channel yake na ana master class zake pia utapata

  • @ghalibmohd1293
    @ghalibmohd1293 2 года назад +1

    Hongeraa kakaa kwa mafunzo yako

  • @thomasema3325
    @thomasema3325 3 года назад +7

    I was waiting for it... Thanks

  • @zaitunially1586
    @zaitunially1586 3 года назад

    Allah nimkubwa na anatisha

  • @amonamulondani9552
    @amonamulondani9552 3 года назад +3

    Kusema kweli, uyu Profesor Jamal anajuwa na ni mwenye elimu ya juu sana kuliko hata boss man wake ambaye ni mmiliki wa Wasafi TV.
    Big up sana kaka.

  • @EloyMwanjota-n6v
    @EloyMwanjota-n6v 3 месяца назад

    Mungu ni mkuu wa kila kitu anapaswa kuabudiwa

  • @ismailchidako7595
    @ismailchidako7595 3 года назад +13

    Professor 💥💥💥💥

  • @AbdulAbasi
    @AbdulAbasi 3 месяца назад

    Uyu mwamba ni hatar 🔥💪🙏

  • @nicksonraymond4410
    @nicksonraymond4410 3 года назад +11

    Mo blessing bro***Customize***