The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nitokea Kenya napenda sana hizi sitoria zak kaka like hapa Kama unapenda story za proffesa
Tuko pamoja
❤😂
😢😢
Tuko
Kama unamkubali jamal professor nipeni likes👏👏
Mi ndo wa salasa
Hakuna chombo cha kufika kwenye ☀️
Tukupe like we kama nan mada faka
Mimi ni Victor Baraka kutoka Kenya naipenda kazi yako niko katika kidato cha pili katika shule ya kitaifa ya Maseno na naomba nijiunge na wewe naomba jibu lako ukipata ujumbe huu
Ok
Tukolimoya
MUNGU APEWE SIFA DAIMA🙏
Amina
Amen...praise the king of kings🙏
Ni mkubwa mno tena anatishaa🙏
Amina
Amen
pia sifa nyingi sana ziende kwa Mungu wangu,mwema muumba kila kitu. Ameeen
Allah Akbar🙏🙏😭😭Mungu nimkubwa sana jamani njo maana hata vitu vyake nivikubwa sana zaidi ya hakiri zetu
Amen
Amen
My like Leo Mimi wakwanza professor 😌🤯
Utukufu wa Mungu ni mkubwa mno na siri yake ni kubwa mno !! Atukuzwe Mungu 🙌
Amina🙏
Amen
Amina
Amen
hivi jua linafika kwenye sayari zingine??? kama mars na jupita??
Asante baba yetu jamal kwa kutufungua akiri zetu na upeo wa akili asante diamond kwa kumleta huyu profesa
Amen
Huyu jamaa kiboko sana ana kipaji sana anaongea lkn kama anakujengea picha flani hivi ni kipaji pekee kwa watu maalum, mashallah mr.jamal kazi nzuri sana ndugu yangu
Professor aise hii story uje utupe muendelezo wake ninzuri sana naimani vipi vingi sana bado vinavyo husu kuhusu jua 🔥🤝🏼📌
Ndugu Mungu kakupa kipaji Cha kipekee hongeraa huyu ndo msimuliaj Bora Tanzania 🌟👏
Top 10 naomba like hata 10 jamani………ngoja kwanza nipotezee mawazo ya makato mapya,yaani siku hizi hakuna kuomba kutuma na ya kutoleaaaaaa
Pp
ppppp
Waaah
sanaa
King of the story all time
Kama unamkubar jamaa huyu tupia apa like
Nakukubali sana kaka❤❤❤❤❤❤
Which kind of person are you man. U are blessing to us wanaopenda kukufatilia
Nakukubali sana unafanya watu sasa tumjue mungu na tusiishi kama tulijiumba hongera sana na asante sana kutupa elimu
Unafundisha vizuri sana.
You deserve the name of PROFESSOR
Nice 1 #professor🙌👌💯🔥🔥
Hakika umenifunza mengi ambayo ilikua siyajui👌💯. Mungu Akuzidishie Elimu ili uzidi kutuelimisha. AMIIN
Subhan Allah,Allah Akhbah🤲🏾
Hii ndio yenyewe sasa #the_storybook
Sio ile ya kila story uchawi uchawi tuuuuuuu na ushirikina 🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Hapo umedanganya aiseeee Mimi namfuatiliaga xana huyu jamaa
We nawe unakurupuka sasa ..... namzungumzia yule jamaa wa upande wa pili sio huyu .... na huyu akisimulia mtu mbaka unapata hamu ya kuludia mara ya pili story zake ila yule mwngine amna kitu yule kazi kutisha tsha tu watu
ulitumwa umsiklize?
🤣😅🤣😅
Jaman like za wasafi jaman 2juane apa WCB4life
Jamal wewe ni mentor wangu ....very organised programme.....wewe mwenyewe umetulia na unaelewesha....hadi ajuza Mungu akujaalie....pamoja na wewe....
SERIKALI YA TANZANIA, kupitia jamal april mnatakiwa kuwekeza sana kipaji chake tusing'ang'anie mpira tuu, hata jamal april ni uwekezaji mkubwa wa kuweza kujivunia kama nchi
Real kbs
Maan wanaushawish mzur kw story kuadsia n kujfunz
jamaa ana akil sana
@@mwanahawa6362 ni wewe
Hii.ni masomo tu ya kawaida nothing new,,,
This is not just a story but a definition of truth
Aisee huy kaka noma
Wanasayans kuna siku mtaleta matatizo mkubwa duniani juu ya kihelehele chenu cha kutaka kuchunguza kila kitu cha Mwenyezi Mungu.
Subhanllah
Huyu jamaa angezaliwa zamani angewazidi akili akina Socrates,Kama unakubali gonga like
Unawajua hao watu ndugu uyu analudia tu mambo ya awo watu waliya fanya ata wakati tachi amna.
Wewe jamaa wewe acha kufananisha pombe na mapenzi Socrates kabisa na jamali bwana wewe hao unaowasema ndio great thinker walioacha Aya anayoyasema leo jamali kupitia tafiti zao uyu anasoma Sana journals, researches, books na different sources ya kitu anachotaka kukijua Basi.
@@elijahjacob7724 hata hivyo lazima tukubali uyu jamaa ana uelewa mkubwa🙌🏽🙌🏽🙌🏽
😅😅😅utani huo,mbona nikusoma tu,
@@muharamally9915 uelewa gani Sasa icho alichokifundisha si Geografia kabisa ya kusoma tu nakupata maarifa ata we unaweza kufanya hvyo labda hutaweza endapo utakosa vyanzo vya maarifa Basi...uyo Ni mwalimu tu Kama alivyo Mgote 🤔😅
jamali NUMBER ONE Jamani mi nataka Like 70
Tunaomkubali Professor JAMAL Tujuane Hapa👇🏻
Mhh
Yaàå
Sawa
huyo sio jamal bhana jamal ameacha kazi wasafi sasa hv yupo Efm
doh abdallah mtga ndio yupo efm
Bila elimu ya Mungu mwanadsmu hupotea kabisa akijidanganya kuwa anajua juu ya uumbaji wa Mungu.
Asante kwa hekima among top 100
THANKS PROFESSOR DR. JAMAL! I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL N NOW STILL I LOVE IT! IM ALWAYS WATCH N LISTEN YR STORY BOOK N I LOVE IT! A MILLION THANKS! N GOD! BLESS U ALWAYS👌 AMEEN. TAKE CARE N BE SAFE ALWAYS👌🤝👏💙💜💚 👍🏽🙏👌
Perfection of geometry made possible for life on earth 🌍 thanks to light giving star that we call it our sun ☀️
Professional Guy! Genius.......!! ✔✔....I appreciate your stories
My all time fevorite story to listen every Saturday night thank you professor jamal my God bless you and add your knowledge
Jamal acha uzushi, dunia haitamezwa na jua ila kama unaeleza kutoa hadithi kuwafurahisha watu hiyo ni fani yako, lkn usiseme uongo siri ya kuisha dunia ni ya Mwenyezi Mungu tu.
Huwez jua labda huo ndo utakuwa mwisho wa Dunia huo. Mwisho wa Dunia wa Mungu pia n nadharia pia ya din
Ukweli ndio huo wakisema msome mnakumbia umande hata mtume aliambiwa asome ukisoma unaelewa maana Kila kitu kimeandikwa
Nikweli.siri.yadunia.anaijuwa.ni.mungu.peke.yake.asateni
Uko sahihi ndugu, huo ni uzushi kabisa, mwisho wa dunia hauwezi kuleta na kumezwa na jua, maana yake anataka kutumia kuwa mpaka sasa jua limeshapiga hatua kadhaa kuisogelea dunia, na kama ni hivyo, huo umbali lazima Uwe umeshapungua sana tu
Wewe ni zaidi ya teacher 🔥💪
Jibu toka congo na mukubali professor
Thanks professor for your excellent narrations about various things in our planet
Nilipokuwa darasa la sita, nilijua umbali wa hapa duniani hadi kwenye jua. Km mill149.5. Ahsante sana mkuu kwa kunikumbusha hilo. Bado mpaka leo hii jua lanishangaza sana. Kwanza ni kubwa sana afu ina joto kali mno na nguvu ya ajabu sana. Mungu ni mkubwa sanaa. Atukuzwe Bwana muumba wa Mbingu na nchi.
Like kwa mtaalam professor
Tpo 5 from Mozambique. U nr one
Oyaa iyooo kitu sio poa kabisa unitembea kwa jet unatumia miaka 19
Ase jamaa namkubali sana uyu mwamba kazi habahatishi kazi
i enjoyed listening to story doctor Legend respect from Australia 2021 🙌
ALLAHU AKBAR SUBHANALLAH 🙏
Prof: Jamal salute brother
“The true beauty of music is that it connects people. It carries a message, and we, the musicians, are the messengers.”
Daaaaaah!
Ngoja nisikitike kidogo.....
🤔😢😭
Yani na kukubali sana wewe ni mkali kwenye sayansi you are member one be bless 🙏🙏
Ongera san.broo like kwako kwa wingi
Subhanallah mola wetu mtukufu atatupa kher za dunia na akhera Mana duuh jua likishuka itakuaje
Unajua Sana kaka be blessed Sana professor!!!
Mbona pakuwa na usiku na watu hatupotei
Hakuna kitu kama hio
3
@@simonjulius833 qqqqqqqq1qqq
Hongeraaa sana profs jamali unanifanya nielewe mambo mengi sana
Great narration I must say. Though my Swahili prowess isn't that up notch; but I do enjoy your shows or rather stories. Keep up the good work Mr professor, you're an inspiration to many me not left out💪🙏
Alaf nmeongeza concept zingine yan nakubali
i always mind whatever you say and i always learn each and evryday i watch your new video you are an inspiration i believe in you thank you so much for whatever you do
That was true
Story ni tamu sana ya juwa ya mungu mimi ni mwana mziki ras edu 📡📺🇰🇪🇰🇪🇺🇲🇺🇲🇹🇿🇹🇿
Perfect jamal
Duuuuuh brother #jamal juwa kubwa kuliko dunia duuuuuh hapo umeupiga mwingiii punguza
MUACHE MUNGU AITWE MUNGU
I like you, am learning more about the world, continue taking me around the world ,you are my Teacher
Proffesa unavyosimulia stori zako ndivyo unavyoweza kututeka sisi watazamaji kiuweli unakipawa cha kusimulia stori,napenda stori zako
Hakika bado kuna mengi sisi binadamu hatuyafahamu🙌🏽 .Mungu atuongezee maarifa hongera sana Professor hata kwa hiyo hatua ya uelezeaji🔥👽
Much respect ,more bless
Kali saaaana
Jamal your very very briliant
Duh kama wanaodhani jua ni Mungu kaka wapo sawa hivi😜
😂😂
Alhamdulilah mungu mkubwa mashaalah yy peke yake ndo anaujuwa umbaaj wake
JUA linaatari🙌🏼🙌🏼
Nakupata professor
Bro intro zako nazielwega kichiz
Big heart ❤️
Uko vizuri braz big up👍
Good lecture with good research
wewe ni zaidi ya msomi na mfundshaji💪 am ur no 1 fan
Njoo na mwezi pia
sir asant san unatisha sana allah akuwek tupate material mengine mashallah
Respect Jamal from Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Duu noma sana jamali
We are so proud of you Jamal
Tunaomkubali jamal april tujuane kwenye likes
Great superiors Professor keep it up. GOD! Bless u Always. Ameen i love science very much! Since i was small n upto now.👍🏽🤝👏👌💙👑💜💜💎💖👍🏽🤝👏👌bless yr Heart, yr Soul, n yr Brain, long life to live with good healthy strong n happy n long life with yr family n all of the Creations of GOD! In the World. Amee. Amiin.💙💜💚🙏👍🏽🤝👏👌
Allah ndio muumba wa kila kitu na ikiwa Allah ndio muumba wa viumbe kama hivi vikubwa vingine haviwezi kufkiriwa ukubwa wake na kuchanganya akili zetu wanadamu tambua kuwa Allah atawaonysha kila Alama Zake ili Mumuamini yeye pekee na msimshirikishe na chochote , lakini mwanadamu ni kiumbe kidogo lakini mwenye kiburi kuliko kila kitu SubhanAllah Turudini kumuomba Msamaha Allah ili tufaulu hapa duniani na kesho Akhera tufanikiwe kwa kuwa tutaonyeshwa kila Alama ili Mumuamini yeye pekee yake الله na mkimshirikisha basi umeumia braza Turudini kwa muumba aliyeumba hilo jua na tumuombe Msamaha kwa kuwa ni yeye 2 Allah Subhanahu wataalaلا اله إلا الله وحده لا شريك له له الملك وله الحمد وهو على كل شيء قدير ❤️🤲
We Appreciate you much More
Mh jamaa unajua Hadi unatisha na kunifanya niwaze kesho yangu mbele ya MUNGU
His voice is really amazing
I admire you bro,much respect
I love this guy Alot
Una kitu Cha ziada bado hujatoa hiki ni kidogo watu Kama nyinyi serikali ziwe zinawatumia ungekuwa ulaya ungekuwa mbali iko siku usikate tamaa mungu akutangulie kwenye kazi zako
ULAYA HUYU ANGEKUWA BEST ZAIDI YA HAPA COZ NI MDADISI ILA KWA HII CONTENT KUNA LOTS OF KAPUYANGA ...
MC katebe Mr Halotel naipenda sana kazi yako ya usimuliaji wa story book
mwalimu wangu mkubwa ni physc neil de gress tyson na prof. jamaal ni narrator wangu wa muda mwingi hadi sasa❤🤍
Source yako
@@kanandahamis6239 check youtube channel yake na ana master class zake pia utapata
Hongeraa kakaa kwa mafunzo yako
I was waiting for it... Thanks
Allah nimkubwa na anatisha
Kusema kweli, uyu Profesor Jamal anajuwa na ni mwenye elimu ya juu sana kuliko hata boss man wake ambaye ni mmiliki wa Wasafi TV.
Big up sana kaka.
Mungu ni mkuu wa kila kitu anapaswa kuabudiwa
Professor 💥💥💥💥
Uyu mwamba ni hatar 🔥💪🙏
Mo blessing bro***Customize***