Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

SIMULIZI MPYA: DEREVA TAXI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2023
  • Dereva Taxi ( Othumani ) ambae kazi yake ya usafirishaji wa abiria kutoka sehemu moja kwenye sehemu nyingine, anajikuta katika wakati mgumu na hii ni baada ya kuzungukwa na Boss wake

Комментарии • 124

  • @user-ip6hb1nq2u
    @user-ip6hb1nq2u 4 месяца назад +6

    Jamani wanaume wetu Wana pitiya maajabu umasikini huu mama Anataka dede❤❤😂😂

  • @user-cl9dz6kk7u
    @user-cl9dz6kk7u 5 месяцев назад +7

    Kama ww mwana familia wa anko jay weka like na comment hapo chini mamjo🔥🔥🔥🔥ukisikia Anko jay anacheka TU kwenye simulizi ujiw nitamu hatariii 🤣🤣🇴🇲🇴🇲

    • @user-ui6rf8yx7s
      @user-ui6rf8yx7s 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Год назад +5

    Ahsante uncle j simulizi nzuri sana

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад +6

    🥰😍 anko jay mapesa ndani ya burudani ya simulizi tamu

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Год назад +9

    Kitu cha dereva tax tena hicho tunakupenda sana anko Jay ❤❤❤❤

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Год назад +6

    Sijachelewa sanaa tukopamoja mr anko jay

  • @maryammaryam5503
    @maryammaryam5503 Год назад +10

    Mashallaaa ❤❤❤😢 lakini huyu mwanamke jamani

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад

      Mwache kama hajafunzwa jinsi ya kumcate mume wake walimwengu watamfundisha ndio akili zitamkaa

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +3

    Pole sana dereva taxi Mungu akupe subra na uyo mwanamke nakumbuke malpo n apa dunian

  • @anastaziasanga
    @anastaziasanga Год назад +7

    Asante Anko jay lakini nimechelewa wa12 utumalizie Neria wetu 🤣🤣

  • @hassinafati3512
    @hassinafati3512 Год назад +3

    Hatimae nimekuwa wa 8 jmn, ankoo jay shukrani ubarikiwe 🤲😍

  • @salmasulleykrl71
    @salmasulleykrl71 Год назад +4

    Asante sana ankojay kwa simulizi nzur pamoja na mtunzi nawapenda Sanaa ❤❤❤

  • @Salalymjeshi
    @Salalymjeshi Год назад +38

    Wakwanza from 🇧🇮 nipeni like zangu Anza wewe ankojay wengine watafuata

  • @polinlizzlizz
    @polinlizzlizz Год назад +10

    Waiting for Neria please Ankojay 😢😢

  • @user-sy9mz6gy2b
    @user-sy9mz6gy2b 5 месяцев назад +1

    Asante sana kutuletea hio habari nzuri,ongeza zingine.

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +7

    Nimechelewa duuh maana ata simulizi ya TOM sijamaliza tunainjoi tuu 🥰🥰🥰

    • @mwanajumamohammed4356
      @mwanajumamohammed4356 Год назад

      Simulizi ya tom imerudiwa dear anko jey alisimulia simulizi mix kwa jina mchezo mchezoni

    • @shadyasalum192
      @shadyasalum192 Год назад

      @@mwanajumamohammed4356 kumbee lakini ndefuu miee hadi leo sijaimaliza 🤣🤣🤣

    • @mercymusundi8779
      @mercymusundi8779 Год назад

      Pia mm ya Tom sijamaliza ni ndefu

    • @rachypsalms2869
      @rachypsalms2869 Год назад

      Nimemaliza mmi simulizi tamu sana hebu jaribu

  • @bem-vindofernandoassane7919
    @bem-vindofernandoassane7919 7 дней назад

    Naomba Sin 10

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад +2

    Doctor umetupandisha presha sana,jirani yangu saa hiz kalazwa hosptal

  • @user-zk7qh2tx7p
    @user-zk7qh2tx7p Год назад +1

    Kali sanaaaa iyooo japo inaanogaaaaaa jmniiii

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Год назад +3

    Waoooh tuletee mwisho

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 4 месяца назад

    Asent Ankojay ubarikiwa kwa simulizi zuri san ❤❤🎉🎉🎉

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +3

    Woyoooo nikuwa wa kwanza leo ,,shukran sana Anko jay kwa kibao kipya 😊😊😊😊wacha nienjoy mie

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +1

    In Sha Allh Mungu atalipa mwanamke n mjinga ata afikirii kuusu nyumba kuwa c yke

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +1

    Hii nayo inakaa kukua tamu..bibi ashaanza mchezo mbaya..twende nalo❤❤❤❤❤

  • @user-yv2cg9rd4s
    @user-yv2cg9rd4s Год назад +3

    Waaah kweli maskini hudharauliwa na umaskini wake kutumika kama fimbo ya kumchapia ingawa MUNGU humnusuru kwa mabaya yote

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +1

    ❤🎉😊shukrani mai wetu kipenzi kwa kazi nzuri sana

  • @user-yk6dg4kl3s
    @user-yk6dg4kl3s 4 месяца назад

    K2cha dereva . Tax. Nipen like

  • @puritylobun5313
    @puritylobun5313 Год назад +1

    Ama kweli anko unatupenda, yaani mzigo baada ya mzigo ❤❤❤❤

  • @mayasamayasa1205
    @mayasamayasa1205 Год назад +1

    Ubarikiww ankooo❤❤

  • @user-br6en2pb8c
    @user-br6en2pb8c Год назад +2

    Asantii Anko J🎉🎉

  • @miskhankhan3898
    @miskhankhan3898 Год назад +2

    Wow amazing

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 4 месяца назад

    Makubwa kwa simulizi nzuri🎉

  • @user-vg5og7en8u
    @user-vg5og7en8u 5 месяцев назад +1

    Nimaaaa❤

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +3

    🪑🪑🎧🎧🇸🇦🇸🇦 mbele kuzuri

  • @RakaPk
    @RakaPk 4 месяца назад

    Asante sana anko jay wetu mungu akubaliki sana ❤🎉

  • @aminanuranassor660
    @aminanuranassor660 Год назад

    Very sort ❤❤ila utuendeleze tujuw mwisho kweli inauzunisha 😢😢

  • @MaryMary-kq3nh
    @MaryMary-kq3nh Год назад +2

    Asante sana Anko jay tuko pamoja nawe ❤❤❤❤

  • @Priscajuma-sv5ed
    @Priscajuma-sv5ed Год назад +1

    Wahooo iaonekana tamu

  • @frankpablo8256
    @frankpablo8256 Год назад +1

    Duuuuh noma saana 😍😍😍🇹🇿

  • @user-di5td5gt4u
    @user-di5td5gt4u 4 месяца назад

    Ubarikiwe ankojay❤❤❤🎉🎉

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f Год назад +2

    Mimi nimeshika mkia jarman ila anko j Allah akupe maisha malefu jaman

  • @phoebewakalo8410
    @phoebewakalo8410 Год назад +2

    Ankoljay asate sana kwa kutu burudisha ulizi wa mola ukawe pamaja nawe

  • @SullyBright174
    @SullyBright174 Год назад +1

    Anko jay mie ni mgeni lkn nimefurahia san hizi simulizi zako ni tamu san na zinanifanya nasahau shida kbsa.KEEP IT UP ANKOJAY❤❤

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      Karibu sana 😊🤍🙏

    • @esthernjoki9459
      @esthernjoki9459 Год назад

      @@ankojay_ we anko marizia. Taxi dereva jamani usituwache mukwamoni aki we patamu apo

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад

      ​@@ankojay_ongezeko la familia ya anko j,,,,karibu mgeni

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z 4 месяца назад

    Asante anko jy kwamzigo mzuvi ❤

  • @FatumaHamisi-sr6yj
    @FatumaHamisi-sr6yj 4 месяца назад

    Hongera anko J wetu😍😍😍😍🪑🎧

  • @bem-vindofernandoassane7919
    @bem-vindofernandoassane7919 7 дней назад

    Naichi moçambique

  • @ShasheOg-dz6db
    @ShasheOg-dz6db Год назад +1

    Leo sjachelewa sana

  • @user-td2se4tf8v
    @user-td2se4tf8v 4 месяца назад

    Hongera anko jay

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +2

    Haya tuko ss kwa kuzikiliza Dereva taxi anasemaje kwan Anko J ameanza na kicheko inaonekana n chombo kikal😍😍🙄

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 4 месяца назад

    Asante ❤️ 😊

  • @zenasalum3107
    @zenasalum3107 Год назад +3

    Hatupoiiiiiii wala hatuboiiiiii

  • @zaynabumfamao6792
    @zaynabumfamao6792 Год назад +4

    ❤❤

  • @Happy-gi9tq
    @Happy-gi9tq Год назад +1

    Sikuizi tuna injoi na ma simulizi

  • @nasmanyagali4938
    @nasmanyagali4938 Год назад +8

    Waiting to finish Neria for a new project 🙏

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +1

    Wa 9 leo❤❤

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 4 месяца назад

    Asante San Anko wetu ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +1

    Asate sana ako j

  • @esthermugoli4527
    @esthermugoli4527 Год назад +4

    Let us enjoy ❤❤❤❤

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +1

    Thanx anko Jay

  • @HappynessDamian-gl1iw
    @HappynessDamian-gl1iw Год назад +1

    Asant ankoj

  • @irflorienbigirmana1305
    @irflorienbigirmana1305 4 месяца назад +1

    Jamani kumbe kuna wanaume hawashawishiwi?

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @elizabethbarasa5832
    @elizabethbarasa5832 Год назад

    Lizza from Kenya

  • @sadikituji-rd5od
    @sadikituji-rd5od Год назад +1

    Nimewahi

  • @user-pt3oi4yo7o
    @user-pt3oi4yo7o Год назад +2

    Sijachelewa sana lakini kitu Cha moto uyo dereva kafanya nani sijui 🤔🤔🤔

  • @leahmajaliwa6575
    @leahmajaliwa6575 Год назад +1

    Mmmh🙏🇧🇮

  • @moajaki8566
    @moajaki8566 Год назад +1

    Mimi wa mwisho 😢

  • @aaq9812Bintksaim
    @aaq9812Bintksaim Год назад +2

    ❤❤❤❤❤🎉

  • @mishelnjiro5388
    @mishelnjiro5388 Год назад +2

    😍😍

    • @ziadamtebwa3712
      @ziadamtebwa3712 Год назад

      Asante anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo lla salha mungu anakuona.

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Год назад +2

    ❤❤❤

  • @salmahasani5169
    @salmahasani5169 Год назад +1

    Jmn ank j bando let wezako

  • @ghm1711
    @ghm1711 Год назад +2

    🥰🥰🥰👌

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +2

    Much love Jay keep it up 😘😘

  • @saidhassan8080
    @saidhassan8080 Год назад +5

    Wakwazaaa leo 😂😂

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 Год назад

    Hii simulizi imeniumiza

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 Год назад +2

    😍🇨🇩👌

  • @ayssabibi2235
    @ayssabibi2235 Год назад +2

    ❤❤🇦🇪👌

  • @user-om3pc5hi4k
    @user-om3pc5hi4k Год назад +1

    Mambo mbona ujatumalisiya sehemu ya tatu ya naira jamani anko

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +1

    ❤❤👌

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад

    Waiting for neria please anko jay

  • @SalekheMwamba-gj8xr
    @SalekheMwamba-gj8xr Год назад

    Uhhhhhh

  • @imanwalid6549
    @imanwalid6549 Год назад +2

    Nice ❤ but we are waiting Neria part 3 pls 🙏

  • @ZulekhaJumah
    @ZulekhaJumah Год назад +1

    Kama binti ambaye bd sijaolewa kuna kitu nimejifunza hapa😢kama kuna mme wang mtarajiwa hapa anitafute tuyajenge tuzae katoto ka rafiki yake😂😂

  • @MaliamAntony
    @MaliamAntony Месяц назад

    T

  • @mwapendosultan887
    @mwapendosultan887 Год назад

    😂😂nyumba kajenga mwenyewe na kafukuzwa kosa ni hati kaandika jina la mwanamke

  • @janethdaud201
    @janethdaud201 Год назад +1

    🚶‍♀️

  • @salmaedwin5641
    @salmaedwin5641 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @linetkhavugwi209
    @linetkhavugwi209 4 месяца назад

    Lisa😢

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +2

    Osthman wewe sio mbwa km wengine

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 Год назад +1

    ❤️😁😁😁

  • @joykatakana1099
    @joykatakana1099 Год назад

    Weeee nani vurungati kweli maana ishakua. Tabu bin shukhuli😅😅

  • @marynyamvula5896
    @marynyamvula5896 Год назад

    Nimechelewa lakini nkoohapo

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад

    Jameni jescah binti wa kimasai tunaomba mwendelezo

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      Sina hiyo simulizi, wasiliana na channel ambayo umesikiliza hiyo simulizi... Mimi siijui hiyo story hapa kwangu haipo

  • @speciozamikole2194
    @speciozamikole2194 Год назад

    Anko part 2 dereva tax mbona mimi sizioni Utube?

  • @KaliungaJohn
    @KaliungaJohn 4 месяца назад

    P

  • @SalekheMwamba-gj8xr
    @SalekheMwamba-gj8xr Год назад

    Hhhhhhhh

  • @carlossirya5016
    @carlossirya5016 Год назад +2

    Sijachelewa sanaa tukopamoja mr anko jay

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад

    ❤❤❤