Simulizi tamu n yenye mafuzo kweli,maisha n safari ambayo hatujui pa kushukia,tutende wema bila kungoja shukrani, Ankol Jay pmj n smix family hongera saaaaaaana
Daaa ama kweli Anko j ubarikiwe. Simulizi yenu wewe msimuliaji na mtayarishaji hakika imenjitoshereza huzuni furaha uvumilivu ujasiri utii upole busara maarifa ufahamu na mengine yakufanana na hayo yameguswa ni simulizi iliyoandaliwa kwa rika zote.
😅😅😅 Paul jinga sana lakini wewe ni mzuri ❤❤❤ very nice story
Safi mm John umchulua uamuzi wa busara!👍
🥰 jmn anko jay ujengewe sanamu lako posta ❤🥰 broh unajuaa sanaaaa congratulations 🎉💕🥰❤️😍😍😍💕💕
Wow wow wonderful story 💕💕💕 uncle J
Safi Adam uko vema hongera kwa kutangazia Dunia kwamba Tanzania tupo Vichwa vizima nasafi vya kutegemewa ha ha ha!👍🤣
Simulizi tamu n yenye mafuzo kweli,maisha n safari ambayo hatujui pa kushukia,tutende wema bila kungoja shukrani, Ankol Jay pmj n smix family hongera saaaaaaana
Dah hadi mwili unanisisimka jamani
Simulizi nzuri sana Anko hongera kwa sauti yk nzuri naya kusisimua!
Simlizi nzuri yenye mafunzo nmeipenda sana
Furaha yangu Yan saut tu jaman bro Kaz nzur
Thanks anko.!! Daaah!! Ni huzuni na furaha kwa kweli simulizi nzuri na sauti yk ni amazing.😊
Shukraan kwa simulizi tamuu na mafunzo pia anko jay
Thank you for the beautiful story uncle j
Wow 👌, amazing story indeed.
Ohhhh 😂 iyi simulizi ninzuri sana sita isaaau kamwe nimejifunza vingi kupitia iyi simulizi nzuri.
Asante kaka kwakweli simlizi zako ninzuri zina mafunzo mungu akubariki🙏🙏💞
Asante kwa simulizi nzuri Anko J
Beat ever
Safi sana smuliz inafundisha sanaa
Nzr sana Ina mafunzo makubwa hii cmulizi
Kapumzike mume gani mjinga huyo
Hata hana mapenzi
Na usimpende tena mjinga huyo🤪
Waja2mekua na roho mbaya hata kwa vzaz vya ndg ze2 MUNGU Upoze Moyo wangu.
Anko Jay thanks million hadithi zako zimenijenga zinanifundisha sana. Nimetengeneza confidence na utu katika maisha yangu. Big up simulizi Mix
Nimejifunza mengi jmn🥰😍🥰😍
Baba John alikuwa wp enzi za Maguful maana sipati picha kitu ambacho kingemtokea 😅😂😅
Nakukubal san broo
Mm Mama John ana moyo sio kwa kipigo hicho
Jamani!!!!!!! Yani hii story imeniliza sana nitamu!!! Kinoma😘😘😭😭
IT'S BETTER TO HAVE ONE LOYAL FRIEND THAN EVIL RELATIVES FOR THEY ARE THE MOST POISONOUS PEOPLE WHO COME DISGUISED AS FAMILY. 🔥🔥🔥👏👏ANKO JAY.
Wow
Nitakutafuta Adam unisimamie kesi yangu nataka kumshitaki mtu😅😂😅
Rodick waaacha we! Ukimuoa Rosse
Yatakuwa mahaba MUBASHARA ❤😅😂😅
story very nice.
Woooiye aki mungu ❤❤🙏🙏🙏
Asate sana simlizi fupi by ako j
Haki Anko Jay Na wahudumu Wa simulizi mix mtaniharibu masikio Na blue tooth Kwa kuwasikiliza sichoki haki nawapenda bure ♥️♥️
Anko Jay 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Nzur sana
Mashallah
Anko Jay mtetee basi mm John😢
Uko kimya kama huyaoni hayo ?
Duuuh Tamu kweli : Na yenye mafunzo
Thanks simulizi mix kwa kibao chengine 🙏🏻
Thanks kwa simuliz nzuri.imeniliza sana
Anko ulikuwa wapi sikuzote jmn nili miss saut yako
Oh poleni sana
Duniani pesa sio Kila kitu Ila pesa nikilakitu na matendo mena ni hazina njema na malipo yake MUNGU tuu ndie huwa nayenyewe
Nice simulizi
Betty ulaaniwe kabisa 😢😢😢😢
Adam tabia km zamarehemu babake 😔😔
Mpeleke akamuone dada
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏
Hadi nimelia wallah
wema hauozi ukitenda kwa ubaya utalipa kwa mabaya
Nzuri
jaman hadi huruma
Daaa ama kweli Anko j ubarikiwe. Simulizi yenu wewe msimuliaji na mtayarishaji hakika imenjitoshereza huzuni furaha uvumilivu ujasiri utii upole busara maarifa ufahamu na mengine yakufanana na hayo yameguswa ni simulizi iliyoandaliwa kwa rika zote.
jay not j
Simuliz tamuuu mungu type uzma
Simuliz nzuri mungu tupe uzima watoto wetu wakue maana ndugu duu
Tamu sana
Jesca ni mnyama soma warumi 6:23
Pongezi kwa mtungaji kwa cmulizi tamu yakuhuzunisha na kuccmua pia
Pamoja kaka
🇧🇮🇨🇨❤️👍
Mashallah simulili nzr nayenye mafunzo
Asnt sana Anko j
Ila sauti Mashallah
Please party 2😢😢
Kidume moyo smati
Feti rohombaya imemhukom
Duuh!!!
Really sad
Yani watoto wa ddko waweza wafanya hivyo kweli unyama gani huo yani inaniuma mpk nimelia
Tnkx
To be continued
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Z