Mwanaume niwako ukiwa nae lakini usipokua nae si wako na rafki si wakuamini kivile pole Aisha wema umekuponza Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafundisho.
Kukatisha uhai wa mtu mwingine kwa ajil ya furaha yako ni furaha ambayo haidumu kamwe yan mambo haya yasikilize tu kwa simulizi ila ktk maisha halisi utajuta hadi utamani kufa. Well done mtunzi na msimuliaji 🙏🙏🙏
Thanks for part 2 malipo ya ubaya,,,this is a story about us humans who think that mungu wetu amelala usingizi,,,aisha shouldn't die like nobody, she's important, and God must avenge for her
Kweli Anko J zamani msemo ulisema rafiki ni bora kuliko ndugu lakini kwa dunia ya leo hakuna ubora lazima uishi na rafiki kwa Akili. Usaliti mwingiii asante kwa Simulizi!!!!
Simulizi Zuri Lakini Yenye Masikitiko Kama Kwakina Aisha Kungekuwa Ccc camera Na Iunganishe Na Simu Halima Angeonekana Na Baada Ya Kuonekana Aengezea Jela Kwa Hiyo Alifanya Makosa Na Huyu Bwana Asipojua Ukweli Atakuja Kumua Hiyo Bwana
Mwanaume niwako ukiwa nae lakini usipokua nae si wako na rafki si wakuamini kivile pole Aisha wema umekuponza Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafundisho.
Kukatisha uhai wa mtu mwingine kwa ajil ya furaha yako ni furaha ambayo haidumu kamwe yan mambo haya yasikilize tu kwa simulizi ila ktk maisha halisi utajuta hadi utamani kufa. Well done mtunzi na msimuliaji 🙏🙏🙏
IT'S BETTER TO HAVE AN ENEMY WHO SLAPS YOU ON THE FACE THAN A FRIEND WHO STABS YOU ON THE BACK 🔥🔥AMAZING STORY ANKO ANKO
Thanks for part 2 malipo ya ubaya,,,this is a story about us humans who think that mungu wetu amelala usingizi,,,aisha shouldn't die like nobody, she's important, and God must avenge for her
MashaAallah Anko saut umejaliwa🌹
Hongera amani story tamu ikirutubishwa na d oen
Kweli Anko J zamani msemo ulisema rafiki ni bora kuliko ndugu lakini kwa dunia ya leo hakuna ubora lazima uishi na rafiki kwa Akili. Usaliti mwingiii asante kwa Simulizi!!!!
Mmh ni shida mashoga awa Awana shukran kbs
Mashoga mnatufanya tushindwe kuwaamini na kuwasaidia kabisaa hili nimejifunza
Sikuzote kikulacho kinguoni mwako
Asante simulizi mix
Anko jei.sauti yakp.nzuri tongoza hutokaliwa usijilize
Mashoga sio watu mbona uwe pekeyako tuu maana siku hizi ushoga mboga bora nipo kepekeyangu🥺🥺🥺
Ndio maana mm hua sipendi mashoga kabisa pole Sana Aisha hivyo ndivyo dunia ilivyo Ila Dunia sio mbaya Sisi wanadamu ndio wabaya
Pamoja san Anko jj
Asante tumejifunza
Woooiye aki mungu the best friend 😭😭😳
Ndio maan kila siku namuomb mungu anipe marafk sahih na kama hatatokea ataa mmoja bhs nibk peke ang
🗣🗣🗣Nyie shoga zangu,mnitembelee sai kwa maana nikioleka ushoga tunauwacha kando ata salamu za shem staki😆😆
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli Vero
Vero
Uchoyo huu
Haha 😃😃
@@daddd3967 aah dada uchoyo tena🥺mm nimesema ukweli yaani hakuna haja ya nikupeleke songea wakati nimeoleka mbeya😁nitaķupoteza mwezio
@@joycekazungu4003 😁😁
Simulizi Zuri Lakini Yenye Masikitiko Kama Kwakina Aisha Kungekuwa Ccc camera Na Iunganishe Na Simu Halima Angeonekana Na Baada Ya Kuonekana Aengezea Jela Kwa Hiyo Alifanya Makosa Na Huyu Bwana Asipojua Ukweli Atakuja Kumua Hiyo Bwana
Duh pole aisha 😢😢😢😢
Huruma imemponza cku zote ucamni mtu hata ndugu yako wa damu yuwaweza kukufanyia matukio kwa sababu ya mapenzi iweje rafiki
Aisha umekosa kmwachia shoga ako nguo za shemu,Mungu atusaidie mabinti tuwaandalie vyema wenza wetu.
❤❤❤🎉🎉🎉
Kweli marafiki hawaaminiki
Bihalima, kiboko!!! Jaman mimi ndomaana nikiwa na mtuwangu sitaki mashoga
Speechless 🙆🏻♂️
story zako anko uwa zanifunza mengi sana alf sauti nayo inanipa moyo kweli sauti zuri kweli
Amakwel kikulacho kinguoni mwako.Halima kwel ni jambazi😭😭
Kikulachoo kinguoni mwako ila hiyoo ndoa haiwezi dumu mana hutakuwa huru damu Yake itakuwa inakufuataa
Aiseeeeeeeeee cna shogaaaa
Aisha tumefikiwa story inafundisha inaumiza pia 😥😥
Alima ni derilla
Nimekuwa wakwanza jamn
Watu tunajisahau sana kwamba hapa dunian si kwetu sote njia nimoja tu
Rafiki yako ni adui yako ndio maana cpendi sana marafiki
😂😂😂😂😂😂Make kwanza ncheke
To be continued
👌🥰💥🙏
Kwanini watanzania huaga mnatumia mate kwenye tendo lenu?
😏😏
Kwa vile wengi wetu hatujari kununua vilainishi tukidhani kilainishi ni kwa marinda
🤣🤣
To be continued