HURUMA YANGU ILIVYO NIPONZA..Yalikua ni majira ya jioni, na kwa mbaali kamvua kalikua kananyu.....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 51

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 года назад

    Mwanaume niwako ukiwa nae lakini usipokua nae si wako na rafki si wakuamini kivile pole Aisha wema umekuponza Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafundisho.

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 2 года назад +4

    Kukatisha uhai wa mtu mwingine kwa ajil ya furaha yako ni furaha ambayo haidumu kamwe yan mambo haya yasikilize tu kwa simulizi ila ktk maisha halisi utajuta hadi utamani kufa. Well done mtunzi na msimuliaji 🙏🙏🙏

  • @Adonai810
    @Adonai810 2 года назад +4

    IT'S BETTER TO HAVE AN ENEMY WHO SLAPS YOU ON THE FACE THAN A FRIEND WHO STABS YOU ON THE BACK 🔥🔥AMAZING STORY ANKO ANKO

  • @evelynlyimo1557
    @evelynlyimo1557 2 года назад

    Thanks for part 2 malipo ya ubaya,,,this is a story about us humans who think that mungu wetu amelala usingizi,,,aisha shouldn't die like nobody, she's important, and God must avenge for her

  • @maryamibrahim2745
    @maryamibrahim2745 2 года назад +3

    MashaAallah Anko saut umejaliwa🌹

  • @wardawarda4903
    @wardawarda4903 2 года назад

    Hongera amani story tamu ikirutubishwa na d oen

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 2 года назад +2

    Kweli Anko J zamani msemo ulisema rafiki ni bora kuliko ndugu lakini kwa dunia ya leo hakuna ubora lazima uishi na rafiki kwa Akili. Usaliti mwingiii asante kwa Simulizi!!!!

  • @christinajohn181
    @christinajohn181 2 года назад

    Mmh ni shida mashoga awa Awana shukran kbs

  • @johamrishjohamrish6287
    @johamrishjohamrish6287 2 года назад +4

    Mashoga mnatufanya tushindwe kuwaamini na kuwasaidia kabisaa hili nimejifunza

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 2 года назад

    Sikuzote kikulacho kinguoni mwako
    Asante simulizi mix

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад

    Anko jei.sauti yakp.nzuri tongoza hutokaliwa usijilize

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 2 года назад +2

    Mashoga sio watu mbona uwe pekeyako tuu maana siku hizi ushoga mboga bora nipo kepekeyangu🥺🥺🥺

  • @joycekazungu4003
    @joycekazungu4003 2 года назад +2

    Ndio maana mm hua sipendi mashoga kabisa pole Sana Aisha hivyo ndivyo dunia ilivyo Ila Dunia sio mbaya Sisi wanadamu ndio wabaya

  • @bashirushaban5500
    @bashirushaban5500 2 года назад +1

    Pamoja san Anko jj

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 2 года назад

    Asante tumejifunza

  • @rosemuhazi9542
    @rosemuhazi9542 2 года назад

    Woooiye aki mungu the best friend 😭😭😳

  • @victoriajulius5072
    @victoriajulius5072 2 года назад

    Ndio maan kila siku namuomb mungu anipe marafk sahih na kama hatatokea ataa mmoja bhs nibk peke ang

  • @vero756
    @vero756 2 года назад +3

    🗣🗣🗣Nyie shoga zangu,mnitembelee sai kwa maana nikioleka ushoga tunauwacha kando ata salamu za shem staki😆😆

    • @joycekazungu4003
      @joycekazungu4003 2 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 2 года назад

      Kweli Vero

    • @daddd3967
      @daddd3967 2 года назад +1

      Vero
      Uchoyo huu
      Haha 😃😃

    • @vero756
      @vero756 2 года назад

      @@daddd3967 aah dada uchoyo tena🥺mm nimesema ukweli yaani hakuna haja ya nikupeleke songea wakati nimeoleka mbeya😁nitaķupoteza mwezio

    • @vero756
      @vero756 2 года назад

      @@joycekazungu4003 😁😁

  • @agnesnduku1193
    @agnesnduku1193 2 года назад

    Simulizi Zuri Lakini Yenye Masikitiko Kama Kwakina Aisha Kungekuwa Ccc camera Na Iunganishe Na Simu Halima Angeonekana Na Baada Ya Kuonekana Aengezea Jela Kwa Hiyo Alifanya Makosa Na Huyu Bwana Asipojua Ukweli Atakuja Kumua Hiyo Bwana

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 Год назад

    Duh pole aisha 😢😢😢😢

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 2 года назад +1

    Huruma imemponza cku zote ucamni mtu hata ndugu yako wa damu yuwaweza kukufanyia matukio kwa sababu ya mapenzi iweje rafiki

  • @ajuayemgaya9171
    @ajuayemgaya9171 2 года назад

    Aisha umekosa kmwachia shoga ako nguo za shemu,Mungu atusaidie mabinti tuwaandalie vyema wenza wetu.

  • @ElizaSada
    @ElizaSada 4 дня назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @hawamasaka9216
    @hawamasaka9216 2 года назад

    Kweli marafiki hawaaminiki

  • @mishymorgani5828
    @mishymorgani5828 Год назад

    Bihalima, kiboko!!! Jaman mimi ndomaana nikiwa na mtuwangu sitaki mashoga

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 2 года назад

    Speechless 🙆🏻‍♂️

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry947 2 года назад

    story zako anko uwa zanifunza mengi sana alf sauti nayo inanipa moyo kweli sauti zuri kweli

  • @termankalendo1439
    @termankalendo1439 2 года назад

    Amakwel kikulacho kinguoni mwako.Halima kwel ni jambazi😭😭

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 2 года назад

    Kikulachoo kinguoni mwako ila hiyoo ndoa haiwezi dumu mana hutakuwa huru damu Yake itakuwa inakufuataa

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 2 года назад

    Aiseeeeeeeeee cna shogaaaa

  • @aishashomali2716
    @aishashomali2716 2 года назад

    Aisha tumefikiwa story inafundisha inaumiza pia 😥😥

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 5 месяцев назад

    Alima ni derilla

  • @AdjaUwesu
    @AdjaUwesu Год назад

    Nimekuwa wakwanza jamn

  • @proviousnatukunda3892
    @proviousnatukunda3892 2 года назад

    Watu tunajisahau sana kwamba hapa dunian si kwetu sote njia nimoja tu

  • @fghetu1309
    @fghetu1309 2 года назад

    Rafiki yako ni adui yako ndio maana cpendi sana marafiki

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂Make kwanza ncheke

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 2 года назад

    To be continued

  • @MaryMary-kq3nh
    @MaryMary-kq3nh 2 года назад

    👌🥰💥🙏

  • @banajuliana758
    @banajuliana758 2 года назад +1

    Kwanini watanzania huaga mnatumia mate kwenye tendo lenu?

    • @shakilam6320
      @shakilam6320 2 года назад

      😏😏

    • @tunuyaomar5017
      @tunuyaomar5017 2 года назад

      Kwa vile wengi wetu hatujari kununua vilainishi tukidhani kilainishi ni kwa marinda

  • @bashirushaban5500
    @bashirushaban5500 2 года назад

    🤣🤣

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 2 года назад

    To be continued