Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

TANZIA| SELEMANI AFARIKI DUNIA KWAKUPIGWA MAPANGA NA WATU WASIO JULIKANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 авг 2024

Комментарии • 597

  • @maximumtvonline
    @maximumtvonline  2 года назад +1

    *MWILI WA SELEMAN MFUNGWA WA MIAKA 30 JELA KWA SASA UMEHARIBIKA SANA..AMEPASULIWA KICHWA VIBAYA SANA MPAKA UBONGO WOTE UMEMWAGIKA..MWENZAKE BODA BODA AMESHAZIKWA MAANA WALIUWAWA YEYE NA BODABODA WAKE..SASA MWILI UPO VILE VILE KAMA WALIVOUKUTA BARABARANI PIA HAUJAOSHWA WALA KUCHOMWA SINDANO YA KUZUIA KUHARIBIKA..TUNAOMBA RAMBI RAMBI HARAKA TUKAUCHUKUE KIBAHA TUJE KUUSITIRI HARAKA IWEZEKANAVYO..*
    *TUMA MCHANGO WAKO HAPA TUWAHI KUMSITIRI*
    0769364674
    *HUSSEIN NKANA*
    *VODACOM MPESA*

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 2 года назад +20

    Mwenyezi Mungu amrehemu na amuongoze kwenye safari ambayo ameinza ya maisha mapya mbele yake nyuma yetu 😭😭😭

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf3535 2 года назад +26

    Masikini Selemani jamoni wetu😭😭😭😭 Mungu amlaze mahala pema peponi. Ila jamani inauma Hawa watu wasijulikana watajulikana lini hasa??

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 2 года назад +6

      yaan saiv tanzania inatisha jaman 😭😭😭

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 2 года назад

      Amiin 🤲 ya Allah

    • @monicaalfredpetro3811
      @monicaalfredpetro3811 2 года назад

      @@sifatiiman kweli binadamu.tumegeuka.wanyama.kwanini????? Eeee mola tusaidie

    • @maryamabdullah9169
      @maryamabdullah9169 2 года назад

      Wanajulikana Basi tuu Imani zimetoweka watu wamekua kama Majangili hawana huruma Unamkatili mwenzako bila sababu Allah Atamuhukumia

    • @maryamabdullah9169
      @maryamabdullah9169 2 года назад

      Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun Allah Amsamehe makosa yake Suleiman wetu Wamemdhulumu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +11

    Subhana Allah. Mwenyezi Mungu amsamehe kila alipokosea. Innalillah, wainnaillaihi Rajjiun😭

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g 2 года назад +24

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 eeh jamani hizi NI dalili zote za nyakati za MWISHO 😰😭kila MTU Kwa nafasi yake tuombe mwisho mwema hatujui siku ,mwaka ,DK,wala mwezi.HADI NAIGOPA WALLAH 😰☹️😔

    • @user-jz8sj5us1h
      @user-jz8sj5us1h 2 года назад +2

      Kabisa ya acha ty dunia imeisha yarab tujalie mwisho mwema 😭😭😭

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 2 года назад +1

      Amin😭😭

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 года назад +25

    Jamaniii Tanzania yetu kila siku sisi tumuombe Mungu jamanii😭atupe mwisho mwema sisi😭.. Watanzania🙏

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 2 года назад +5

      Kwa kweli watu mpaka tunaogopa kuja kusalimia 🤲🤲🤲

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 2 года назад

      Mm tokea niishi oman najiskia raha wallah nalala kwa amani yote lkn nilipokua znz nyumbani loh tunaingiliwa na wizi kila siku mpk mtu unalala kwa wahka uck mzima unakesha apa nalala hata mlango sifungi hakuna anaekuuliza lkn Tanzania yetu inatisha wallah na kwasababu haichukui hukumu mbona uku watu wanaishi kwa heshima zote uku itokee mara 1 kwa mwaka na itokezee maana ukiua kusudi unauliwa umegonga mtu unalipia pesa sio ndogo mirathi inagaiwa kwa haki.

    • @momobakari9680
      @momobakari9680 2 года назад

      @@aminakawawa5800 aki this is too much now kila siku matukio tu ya vifo, subhana ALLAH

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 2 года назад +9

    SubhAllah Innallah wainailah rajoon ewe mwenyeezi tunakuomba umuepushe na moto wajehanam umuondolee adhabu ya kabur na uilaze roho yake mahala pema peponi🤲🤲🤲

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 2 года назад +11

    Innalilah 😭 😭 😭 😭 😭 jmn mbona nimeshtuka hivi

  • @zainabucharles6841
    @zainabucharles6841 2 года назад +3

    Jamani watz tumekuwa na roho ya kihutu khaaa poleni mungu apumzishe peponi

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 2 года назад +7

    Subhanallah,Inna lillah wa Inna ilaihi rajiun,Allahumma msamehe umrehemu kw rehma yako,

  • @rehemalontinaremysaleh7807
    @rehemalontinaremysaleh7807 2 года назад +20

    R.I.P MAGUFULI Tanzania imerudi tena ile ali yake ya zamani Mungu akulaze mahali pema Sele

    • @happinessmwenda2773
      @happinessmwenda2773 2 года назад +1

      weeee muogope MUNGU kwani watu wasiojulikana wamerudi????

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 года назад

      @@happinessmwenda2773 weee huon matukio

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 2 года назад

      yenyewe inashangaza yaani tanzania watu kuuana kila siku kunani jamani ama mnatolewa kafara😳😳

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 года назад +1

      Rest in happy daddy JPM tz imerudi misri tena bado HAIJULIKANI itafika wapi tukitoka misri

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 2 года назад

      @@jenyyusuph4973 kuelekea kanaan😂😂😂

  • @ForYou-df8pi
    @ForYou-df8pi 2 года назад +7

    Mungu ailaze roho yake pema peponi inshallah 🤲

  • @saumuabdallah6494
    @saumuabdallah6494 2 года назад +13

    😭😭 inna lillah wainna lillah rajiun Allah ampe kauli thabit mbele yake nyuma yetu

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 года назад +4

    Msiba umeniuma kupta yote inaletwa umu huu wa uyu kaka ..wanaotangazwa wot wanaugua wanakuf lkn seleman wet uliletwa hapa tukahuzunika na tukalia kwa maisha yako na umeniliza na kifo chako ila kaz ya mung hanamakosa niseme Alhamdulillah kwa ili bikhosn lkhatma ya Allah😭😭😭

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 2 года назад +4

    Khee subhanallah jmn uuwii kaka wa watu jmn daah innalillah wainna ilayhi rajioun

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +5

    Juzi nimemkumbuka sana

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 2 года назад +8

    Innaa lillahi wainna ilayhiraajiuun,Allah ampokee hali ya kuwa amemridhiya,aamiin

  • @Zahra1-wf4kj
    @Zahra1-wf4kj 2 месяца назад

    Mungu akulaze mahali pema

  • @shekhas581
    @shekhas581 2 года назад +7

    Innalillah wainna ilayh rajiun Allah amraham na ampe kauli thabit na atujaalie mwisho mwema 🙏

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 2 года назад +2

    Innalillahi Wainnah Illahi Rajiuun,Allah amrehemu ampe kauli thabiti,poleni sana Timu Maximum TV,masikini hana bahati na Dunia😥😥kasota jela miaka,katoka hata muda wa ku'enjoy maisha yake bado kauwawa!inauma kweli masikini binti yake alifurahi kuungana na babake,lkn baba kaondoka machoni pake muda mfupi tu'Allah amrehemu,watu wabaya!bora ukutane na mnyama hatokudhuru' kuliko kukutana na binadamu

  • @asiacruiz5165
    @asiacruiz5165 2 года назад +1

    Allah amsamehe dhambi zake za Siri na dhahiri,poleni familia kwa msiba huu mzito

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah3733 2 года назад +2

    innalillah waina lillah rajiun zake mbele zetu nyuma Allah ampe kauli thabit

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 года назад +10

    Innalillah wainnah illah lajoun
    ALLAHUMMA GHUFIRLLAHA WARHAMHA WASKINAHA FILJANAT

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx 2 года назад

    Poleni sana maximum TV kwakweli inaumiza allah amjaalie nuru kwenye kabri yke amiin.

  • @nadiahassan1359
    @nadiahassan1359 2 года назад +2

    Uwiiii jamani Inallilah Wainna ilayhi rajiun M.Mungu afanyie wepesi safari yake very Sad poleni all members of Maximum Tv

  • @Mazoea
    @Mazoea 2 года назад +11

    Nimestushwa na habari ya uyu kaka jamani

  • @ashuraomary8859
    @ashuraomary8859 2 года назад +8

    😭😭😭😭imeniuma jamani watu tun roh gum

  • @vero57
    @vero57 2 года назад +1

    Jamani Jamani, poleni sana wafiwa

  • @ednambata9503
    @ednambata9503 2 года назад +2

    Mwee mungu ampe kauli thabiti! Na ampoungizie adhab ya kaburi

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 2 года назад +5

    Oh my God poleni sana kwa family yake very sad wallah Allah Allah amlase mahali pema peponi inshaallah 😭😭😭😭😭

  • @zainabnassoro1109
    @zainabnassoro1109 2 года назад +2

    Yani ukae jela miyaka yote salama uje nje ufe kirahisi tu pole Sana kwa family

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 2 года назад

      yaan daaaah 😔😔

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 2 года назад +2

    Inna Lilah wainna ilahy rajiun pole sana Allah ampe kauli thabiti allhhum ghafirhu warahamah wasikanatuh firijanna

  • @janetbabyboo2392
    @janetbabyboo2392 2 года назад +13

    Watu Wana wivu Sana...... inawezekana alichukiwa na watu kwa sababu alikua ameanza kujipanga kimaisha na alikuwa maarufu (star wa online tv) R.I.P

  • @leylarashid314
    @leylarashid314 2 года назад

    Inalilalah wainailah rajiun namuonea huruma sana mwanae ajapata malez ya baba

  • @ablatuny5406
    @ablatuny5406 2 года назад +2

    Innalillahi wainna ilayhi raajiu’n Allah amsamehe makosa yake ampe kauli thabit na sie atupe mwisho mwema yaarab

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 года назад +2

    M/mungu ilaze roho yamarehem mahali pema peponi pole kwa familia

  • @Awatee
    @Awatee 2 года назад +13

    Inna lilah waina ilaihi rajiuun ALLAH atujaalie mwisho mwema subhana ALLAH

  • @mohanndgames8316
    @mohanndgames8316 2 года назад

    Nawaomba sana serekali yenu iyongeze doriya au ulinzi kila sehemu za hatari na kuwe na check point kila siku na kila mahala panapo hisiya za mauwaji ya kikatili mungu atawapa hapa hapa duniyani malipo ya kumkatili suleiman watabainika tu damu nzito kuliko maji inshaala myeezi mungu karimu yupo peponi suleiman

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 2 года назад +3

    Daaahh mbona Tanzania sahv matukio ya kuuana yamekithri ndani ya week hii😭😭

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 2 года назад

      Kwa sababu bdo serekali haijakazania mambo hya ikikazania kweli yataondoka.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад +4

    Jamani jamani jamani kweli uyu ndugu yetu amefariki??😭😭😭😭 Kweli hii dunia sio yetu maskini.binadamu tubadilike tusiwalingie binadam wenzetu.uku sio kwetu🙏🙏🙏

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 2 года назад +4

    Innalillahi Wainnailaihi Raaji'un.Allah amsameh ampe kauli thabit.Matukio yamekuwa ni mengi Shetani ametawala nafsi za watu mpaka wamekuwa kama wanyama

  • @nonootnonot4516
    @nonootnonot4516 2 года назад +1

    Inallah wainallah rajiun allh akupe kauli thabity

  • @lylieouko9569
    @lylieouko9569 2 года назад +9

    This is so saddening and heartbreaking 😢may his soul rest in peace!

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 2 года назад +2

    Inna lillahi wa inna ilahi rajiun😭 subhanallah😭😭😭 Jamani, jamani, walimwenguuu! Why? Naam, kila nafsi itaonja kifo! Mwenyenzi Mungu ampe kauli thabiti! Poleni sana!

  • @salomeherman303
    @salomeherman303 2 года назад

    Sio mbaya kidogo ni mbaya sna we vp

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 2 года назад +4

    innalillah wainnailah rajioun 😭 tumbo la uzazi limeniuma daah nimeumia Sana

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 года назад +4

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun. Allah ailaze roho yake mahala pema peponi, amiin.
    Maskini hata sijui kilimkuta nini, isijekua alikua akigombaniana yule m'ke alozaa nae nayule mumewe akaona amtumie watu? Au sijui utapeli wake wakuhadaa w'ke kila mmoja anamtaka yy nakuchukua vyao??? Mtihani!

  • @hamisihassan2620
    @hamisihassan2620 2 года назад +3

    Inna Lillah waina illakhi rajoon poleni sana ndugu wa Suleiman

  • @ishyjuma2246
    @ishyjuma2246 2 года назад +6

    Innalillahi wainnailahi raajiun, mbele yake nyuma yetu.. kenya

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 года назад +4

    Inallh wainailh rajiwuna nashindwa kuamini yarabii mpe kaulithabiti huko aendako yarabiiii😭😭😭😭selemani umejiondokea na ucheshi wako

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад

      Muislam ndugu unatakiwa uamini hakika mauti huja ghafla tujiandae na sie

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 года назад +2

    Mbele yake nyuma yetu, tulimpenda molla amempenda zaidi, muda wote wa maisha yake kapitia magumu, mpaka kifo, inahuzunisha kwakweli.

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 года назад +11

    Innalillah wainnaillah rajion 😭😭😭😭😭😭

  • @irenewile
    @irenewile 2 года назад +1

    Hata hajaenjoy masikini..

  • @aishadaba7045
    @aishadaba7045 2 года назад

    Innalillah wainna illahi rajioun,wana adam tunaelekea wapi instead turudi kwa MUNGU tunaandamana na sheitwan msiba mkuu yarabby tujaalie khusnul-khatimah ..

  • @khadijaabdullah6328
    @khadijaabdullah6328 2 года назад

    Pole kwa happy kumjua baba na kuondokewa mazima

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 2 года назад +1

    Innalillah wainnaillah raj'uun. Yaaarab atuswamehe na utujaalie mwisho mwema

  • @aby21111
    @aby21111 2 года назад +22

    He was jailed for no reason, Denied freedom for no reason. 😭💔 This is unfair.

    • @irenewile
      @irenewile 2 года назад +1

      Very sad...

    • @husna34562
      @husna34562 2 года назад

      😭😭inalilah waina ilah rajion Allah amrehemu

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 года назад +1

    Mpk naogop mm yarabiiii 😭😭😭maisha haya duuu....mung tupe mwisho mwema na umlipe kinachostahik😭😭😭

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 года назад

    Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 2 года назад +8

    Mungu wangu jomon.... Rest in paradise seleman

  • @zettyhassani2244
    @zettyhassani2244 2 года назад +1

    Yarabi astaguafilulah hata sikuwaza jmn huyu Kaka,mungu ampunguzie adhab yakabri

  • @yayeissa4128
    @yayeissa4128 2 года назад +1

    Inna lillah wa Inna ilahyi raji'un.Alla ampe kaul thabit na amsamehe dhambi zake .Ameen Allahuma Ameen.

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 2 года назад +4

    Jamani 😭😭 Mungu ampe pumziko la amani 😭

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад +1

    Inalilah wanaileh rajuuni subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi mungu ampe kelma thabiti yaarabi

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino4305 2 года назад

    Mungu Wangu . Mungu akupokee

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +1

    Innalillah waina lillah rajiuni...mbele yke nyuma yetyu...lala salama mola alifanye kabur lako lenye bustan na mwangaza wa nuru....

  • @asiashaban5809
    @asiashaban5809 2 года назад +1

    Mungu amuepushe na adhabu y kaburi Ameen🙁😟

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 2 года назад

      😣😔😔😔😔😢😥😥😢

  • @kakakakabeka624
    @kakakakabeka624 2 года назад

    Pole Sana.

  • @amina3925
    @amina3925 2 года назад

    Poleni.sana

  • @mamamama7352
    @mamamama7352 2 года назад

    Jamani tazania na eka eka zakuuwana poleni wafiwa mungu niepushe naaya majanga

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h 2 года назад +2

    Innalillahi waina illah rajiun jmn kifo kifo dah sasa ivi inabidi tuishi kwa upendo furaha amani mana maisha yetu yamekuwa mafupi sana mungu akupungizie azabu ya kabur😥😥😥😭😭😭😭😭😭

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 2 года назад

    Poleni sana jamani du!Tanzânia imefika huko!!!

  • @salhamohamed9240
    @salhamohamed9240 2 года назад

    Inna lillah wainna illaih rajiuun Allah ampe kauli thabit duuuh nimelia sn binadamu wabaya sn wallah yani unaua m2 kama kuku Allah atamlipia

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 2 года назад

    Jamani kakangu Zahir pole sana kwa kifo cha Seremani umetoka naye mbali.Uwiiiii.

  • @mozuusuleiman4702
    @mozuusuleiman4702 2 года назад

    INNALLILLAH WAINA ILAYHI RAJIUN. ALLAH AMSAMEH MAKOSA YAKE. NASI TULOBAKIA TUPEWE MWISHO MWEMA YARAB

  • @sanyajuutv2679
    @sanyajuutv2679 2 года назад

    Mungu amlaze mahali pema PEPONI

  • @theopistertheonest8238
    @theopistertheonest8238 2 года назад +7

    Dah😭😭😭rest easy bro jaman walimwengu tumebadirika sana

    • @paulokaozya9062
      @paulokaozya9062 2 года назад

      Inna lilahi wainna lilahi alajuun 😭😭😭🤲🤲🤲🤲

  • @hpmobilephone9951
    @hpmobilephone9951 2 года назад

    Wainalahi rajau mlaze mahali peama peponi amina amina rabiamina

  • @marthajohn9120
    @marthajohn9120 2 года назад

    Mwenyezi MUNGU apumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, mbele yake nyuma yetu

  • @queenjayztz8615
    @queenjayztz8615 2 года назад +2

    Innalilah walillah rajiuni Mungu ampe kauli thabit
    Jmn dah akiwa kosea nn😭😭😭😭😭

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 года назад +3

    inna lilah waina lilah rajung'un mungu amuondolee azabu yakabri

  • @vero57
    @vero57 2 года назад +1

    Poleni sana, family,zahir, fabiani, mtoto wa seleman, inasikitisha sana

  • @sophiagwazibaka663
    @sophiagwazibaka663 2 года назад

    M'mungu atalipa hili

  • @fauziaomary8903
    @fauziaomary8903 2 года назад

    Inna lillah wainnaillah rajiun Allah ampokee, ampe kauli thabity

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 года назад

    Yarab Allah atuepushie na shari naona mauwaji Tanzania yamezidi siku hizi

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 2 года назад

    Twaomba max mfwatilie kama nkweliaovp jaman mngu ailaze rohoyake mahali pema pepon polen wawiwa pamoja na max pamoja na timu yake🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍

  • @chimamyhamid229
    @chimamyhamid229 2 года назад +2

    Innalilah wainnailah rajion Allah hampe kauli thabiti huko aliko jaaman amekufa huyu kaka dah😭😭

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis4629 2 года назад +1

    Ina lilah waina ilaih rajiun ewee mola msamehe makosa yake yy nas pia 😭😭😭😭

  • @lobnalobna2393
    @lobnalobna2393 2 года назад +4

    Kila cku ni vilio na vilio vyenyewe ni vya matisho na vibwengu , rest in peace bro Andiko litatimia auwae kwa panga naye atauwawa kwa panga

  • @aminasalamalekumamina6217
    @aminasalamalekumamina6217 2 года назад +1

    Salam alekum poleni Sana

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 2 года назад +1

    alikuwa smart sana na alikuwa anajipenda Sana!
    hivyo itakuwa walidhan anapesa huruma jaman

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 2 года назад +2

    😭😭😭😭jamn Suleman dahh amekufa kweli

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 2 года назад +8

    Innalillah wainalillah rajuuni Allah ampe kauli sabinti mbele yake yuma yetu 😭😭😭😭😭😭😭

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 2 года назад

      Xiamin wajina wngu😭😭😭😭😭😭😭😭 n kwel😭😭

    • @hajrarenzaho391
      @hajrarenzaho391 2 года назад

      Alhamdulillah de 88

    • @hajrarenzaho391
      @hajrarenzaho391 2 года назад

      009

    • @hajrarenzaho391
      @hajrarenzaho391 2 года назад

      @@ayshamahariq6665 est du leaderleader 09en Europe 95ofgd jeuxgenre is en France sur la toile 0 des jeux en France

    • @hajrarenzaho391
      @hajrarenzaho391 2 года назад

      @@ayshamahariq6665 is 95ofgd and and I don't have 8089trang fo0 you can 90 the whole story 90 ad for the sake reason I was like this is because you have been the only person I knew who would ever be a great person and 9 of your time with the 09 in 9 9 that was a good company for the sake and 9 9 the same thing about it all and I am going back and it will take me to pay the rest for it as a new year for my 9 9 9 9 to the US Bank 9th and 10th to get my first check and the teacher is not going je me souviens de la date 90 qui était en fait une version en ligne sur 80 en fait à l'époque 89trang mais il est très difficile en terme d'écriture en français mais enà et la qualité du travail et des méthodes qui ne 90 plus le travail est un vrai succès dans 9 9 du Web pour le Web ou la musique pour la musique du film le premier jeu 09 qui a inspiré les musiques et 09 du 90 à partir d'un jeu flash gratuits à travers le cinéma américain 90 le site internet officiel des jeux et des jardins du monde du football et la musique contemporaine au cours du mois précédent sur la page précédente du film le film des arts 9 par la série et le théâtre et le film sur les entreprises du cinéma américain au cinéma dans la série documentaire graphiques 8 et des arts graphiques du allemand fait version papier pour les oreven don't want it for me as a whole and that it would make a

  • @ayshamohammed7106
    @ayshamohammed7106 2 года назад +2

    Innaaalillah wainnah irah rajjighun Allah Ampe kauli thabit in Shaa Allah 🤲🤲🤲😭😭😭😭😭

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 2 года назад

    Duuuuuh...Mungu ampumzishe mahala pema

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 2 года назад

    Wengine tuko mbali na familia zetu yaani nkiona vifo vifo naumwa balaa na ndoto chafu chafu ila yote mipango ya Mungu jamani shine on ur way 🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦

  • @habtyaminasadala1943
    @habtyaminasadala1943 2 года назад

    Innallilah wainnallillah rajrun pumzika kwq aman Allah ampe kauli thabit

  • @mwajumawadesisi2896
    @mwajumawadesisi2896 2 года назад

    Mungu weee poleni sana kweli

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 года назад +1

    Inalilah wainailah rajiun 😭selaman jmn daah mungu ampe kauli thabit kaburin mwake inshallah 😭😭

  • @fatumaali8341
    @fatumaali8341 2 года назад

    Mwenyezimungu amrehemu