RC MWANRI AMVUNJA MBAVU RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO, AMUELEZEA TORONTO YA TABORA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2019

Комментарии • 121

  • @farajamugisho8794
    @farajamugisho8794 4 года назад +60

    Kama na wewe umeona gisi Mwanri amepiga salute gonna like hapa tujuane

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 4 года назад +101

    Kama unatamani huyu mzee wa Toronto awe mkuu wa mkoa Dar gonga like

    • @samjcb7896
      @samjcb7896 4 года назад +2

      mshindweeeee kabisaaaa abakiiii taboraaaaa tuuuuu aendeeeee wapi

    • @samjcb7896
      @samjcb7896 4 года назад

      wanataboraaaa badoooo tunamuhitaji mkuuuu huyuuuu wa mkoaaaaa

    • @husseinibnuhassan1272
      @husseinibnuhassan1272 4 года назад

      Tumemchoka makonda huyu dingi c ameifanya Toronto tbr tiyari

    • @marthakambona4809
      @marthakambona4809 4 года назад +3

      Ila mkoa Wa dar ni mgumu sana dar ndo tz hivyo

    • @hemedimussa2383
      @hemedimussa2383 4 года назад +1

      Huyu awe waziri wa ujenzi ndo wakandarasi watakoma maana watasukumwa ndani

  • @fabiankyando1189
    @fabiankyando1189 4 года назад +5

    Nakubali sana kazi za mh Mwanri ktk mkoa wa Tabora mungu akuongoze wewe na Rais mfike Tanzania mpya salama

  • @manning979
    @manning979 4 года назад +6

    Kama umekubali na unaendelea kukubali kazi za mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri gonga like za kutosha 👇👇

  • @ramadhanimwanyumba2955
    @ramadhanimwanyumba2955 4 года назад +6

    Kama HUJAMUONA mh. Rais anavunja mbavu kwa kucheka na MBs zako zimekwenda gonga like hapa tujuane🤣🤣

  • @alexmwalingo5120
    @alexmwalingo5120 4 года назад +10

    Mkuu wa mkoa wa Tabora uko vzr sana baba Mungu akupe uzima uendelee kuchapa kazi

  • @joromimwanga3274
    @joromimwanga3274 4 года назад +42

    Aisee mwanri wa Tabora ni comedian tosha kabisa amenifurahisha sana.

    • @wematesha9436
      @wematesha9436 4 года назад +1

      aisee Leo uyu baba kajua kunifurahishaa sipati picha mh rais i akipata ziara ya kwanza tabora

    • @wematesha9436
      @wematesha9436 4 года назад +1

      Ya kwenda tabora

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 4 года назад +8

    Sio easy kumuona mwanaume akimusifu mwenzake hivo ni ukweli kuna kazi kubwa sana kwa kipindi cha myaka 4 hongera sana JPM the Man ❤

  • @innocentfocus9217
    @innocentfocus9217 4 года назад +53

    wengine wakiongea mbele ya raisi wanatetemeka lakin huyu hajabadilika hadi kwenye vtuko vyake😂😂🙌🏾

    • @shorewanda5635
      @shorewanda5635 4 года назад +2

      Umeona eee? Atetemeke na nini? Kazi anazopiga zinampa uhuru wa kujidai, au unasemaje dogo?

    • @maulidamour40
      @maulidamour40 4 года назад

      @@shorewanda5635 kweli kabisa

    • @melkiluhwago2487
      @melkiluhwago2487 4 года назад +2

      Kweli..nilitaka nije nimuone mbele ya Rais anakuwaje kumbe nimeamin anayafanyaga yote kwa mapenzi na Tabora hajateteleka hata chembe ani ameongea kama mbele yake yupo swahiba tuu,safi sana #Agrey!!👏👏

    • @rajabually2121
      @rajabually2121 4 года назад

      Kweli

  • @40kstore
    @40kstore 4 года назад +27

    sema huyu jamaa anaiwakilisha sana Tabora,kuna watu walikua hata hawaifikirii Tabora kwenye vichwa vyao

  • @georgekimboka6218
    @georgekimboka6218 4 года назад +22

    Mzee wa Toronto safi sana
    mimi na wewe ndio wachagga wajanja sana katika nchi hii
    Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 4 года назад +19

    Ardhi ya tabora inafukuliwa mpk inalia, na wakandarasi wa kichina wako pale😂😂😂😂😄😄😄😄,

  • @yohanasimon5190
    @yohanasimon5190 4 года назад +24

    Hahah daah uyu jamaa amenifanya nipende kuishi tabora🤣

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 4 года назад +33

    Kwel TBR km toronto lami kila sehemu tunashukuru kwa hilo

  • @pigapesa2366
    @pigapesa2366 4 года назад +5

    RC bora Tanzania 🇹🇿

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 года назад +11

    Mi mda wote nlikuwa namwangalia Lugola anavyomwangalia Mwanri😆😊

  • @lamecksmernest9651
    @lamecksmernest9651 4 года назад +17

    Tabora oyeeeee

  • @briannyiti8234
    @briannyiti8234 4 года назад +34

    🤣🤣kama umesikia huwa nawasukuma ndani gonga like

  • @yohanasimon5190
    @yohanasimon5190 4 года назад +17

    Mtu kama uyu anaanzaje kutumbuliwa kwa mfano🤣🤣

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 4 года назад +1

      Sio easy maana ana confidence sana na sio mwizi wala mzembe ata akikosea ni kama sisi ote binadamu ila ni mzee wa busala sana

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 года назад +1

      @@alexkabeho5609 watu wengi wanafikiri ni wa vituko tu! he is very very intelligent..anatumia style yake ya ucheshi ili ujumbe ufike ki urahisi..ni mcha Mungu sana pia generous.TBR watu tulikua hatuifatilia sana,kaitangaza vibaya mno,kuna clip niliona,alionekana kabisa anaumwa,lkn bado alikua kazini akiwabana watu..Tbora wana bahati.

  • @ruthleonard2958
    @ruthleonard2958 4 года назад +14

    Jaman nacheka hadi machozii, uuuuw mbavu zangu....😂😂😂😂

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 4 года назад

    Baba mzee wa Toronto huu, hesabu imekaa vizuli kichwani hahitaji vi notes 📝🇹🇿💪💪💪💪💪

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 4 года назад +8

    Duh...! Toronto mambo Ni Bam Bam.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +6

    Toronto 😀😀😀

  • @aishamnyeke1163
    @aishamnyeke1163 4 года назад +1

    Nimekubali atar na nusu aisee gonga like twende sawa

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 4 года назад +5

    Ila Mwanri na ka dharau kadogo analogue , eti ardhi inafukuliwa mpaka inalia😀😀😀😀

  • @alikhamisame9636
    @alikhamisame9636 4 года назад +1

    Nipo Zanzibar ila huyu mzee namfuatilia Sana yani hata nikikerwa na mama chanja bas nikisema namuangalia tu huyu basi narejesha furaha Sana Mungu akupe afya njema na maisha marefu yenye heri na ww

  • @romeoromeo4125
    @romeoromeo4125 4 года назад +4

    Oyoo oyoo oyooooo!!!😂😂

  • @philomenasjohn9083
    @philomenasjohn9083 4 года назад +3

    Toronto mambo ni Bambam, piga kazi Mzee wetu Pombe J

  • @alexmwalingo5120
    @alexmwalingo5120 4 года назад +5

    Mkuu wa mkoa wa Tabora uko vzr sana baba

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 4 года назад +10

    eeh mungu eeh 😂😂

  • @sundayandrew1787
    @sundayandrew1787 3 года назад

    Saa hv Tabora haisikiki bora mwanry arudishwe

  • @yonalaizer581
    @yonalaizer581 4 года назад +6

    Mkuu rudi Siha tunakuhitaji

  • @halimamgora5752
    @halimamgora5752 4 года назад +8

    Mambo ni bambam

  • @mgangasaid7990
    @mgangasaid7990 2 года назад

    Hongera baba

  • @erastoselemani5443
    @erastoselemani5443 4 года назад +7

    Sukuma ndani

  • @dominicomakungwa729
    @dominicomakungwa729 4 года назад +4

    Ha ha ha magufuli oyeeeee

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 4 года назад +9

    Hahahaaaa mbavu cna

  • @mellopowz
    @mellopowz 4 года назад +7

    Weka subscribe yako hapa kwa udaku wote

  • @jamesisdore7409
    @jamesisdore7409 4 года назад +3

    Oyoooo oyooooo ooyoooo sukuma ndaniiii

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 года назад +2

    Hée
    Maajabu

  • @officialmkerewe
    @officialmkerewe 4 года назад +2

    Huyu mzee mi namkubali sana na nimiongoni mwa wakuu wa mikoa ambao sina shida nao

    • @kiperatv2990
      @kiperatv2990 4 года назад

      Ingekua hiari yangu uyu mzee wa Toronto ningependa awe mkuu wa mkoa wa songea, xjui mkoa huu wa songea atatokea mkuu gan wa mkoa aje atukomboe maana umelala xana huu mkoa

  • @rabrojita1552
    @rabrojita1552 4 года назад +4

    Toronto 😁😁😁🏇

  • @gwajiboiboi8664
    @gwajiboiboi8664 4 года назад +4

    Hahahaaaah tusha san Mwanli

  • @thebios2553
    @thebios2553 4 года назад +3

    😀😁😂anakwambia mkuu nisije kukuvunjia adabu anajijua dakika mbili mbele anapiga maneno yake

  • @bernardchibwana9411
    @bernardchibwana9411 4 года назад

    Huyu mzee nampenda sanaa

  • @fadhilijoseph6365
    @fadhilijoseph6365 4 года назад +3

    mwanriiiii akili mingi

  • @evarestjoseph8755
    @evarestjoseph8755 4 года назад

    Nzuri sana agrrey

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 4 года назад +5

    Woyo woyo woyooooooo 😂😂😂

  • @jonathantz8540
    @jonathantz8540 4 года назад +7

    Kwa masimulizi ya sauti tembelea RUclips channel yangu kama STORI SAUTI TANZANIA usisahau ku subscribe ili usipitwe 🙏

  • @raymondmakoy174
    @raymondmakoy174 4 года назад

    Aikataiii mzee wa. Kudilii na ma engineer

  • @boniphacemsagaa5180
    @boniphacemsagaa5180 4 года назад +8

    😂😂😂😂😂

  • @andyjk5974
    @andyjk5974 4 года назад

    mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. kwakweli kazi ya Magu kwa asieiona kweli ni kipofu. ninayo yaona sijawahi kuyaona toka miaka ya 80

  • @mwamengele
    @mwamengele 4 года назад +2

    Kitu cha Toronto

  • @shedyema2792
    @shedyema2792 4 года назад

    Good san

  • @neemahassan5591
    @neemahassan5591 4 года назад

    Nice

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 4 года назад

    Umeniamasisha kuhamia Tabora,

  • @jotijoti6089
    @jotijoti6089 4 года назад +1

    Aaaah

  • @josephmuna2963
    @josephmuna2963 4 года назад +2

    Mbona kama anachana mistari

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 4 года назад

    Mzee kichwa sana data zote zipo kichwani

  • @asiasalimkapalato7463
    @asiasalimkapalato7463 4 года назад +1

    Toronto 😂😂😂😂🤔💜💜💜💜

  • @godlovegeorge2334
    @godlovegeorge2334 4 года назад

    Ardhi inafukuliwa mpaka inaliaaa... Mambo ni BamBam 😂😂😂

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 4 года назад

    Wakubwa wengi wakiongea mbele ya Magufuli wanatetemeka.... Lkn huyu yuko Freshy

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 4 года назад +1

    Huyu jamaa ni zaid ya ringo

  • @jonathantz8540
    @jonathantz8540 4 года назад +5

    Tabora oyee

  • @obatv5366
    @obatv5366 4 года назад

    Safii

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @lucaskitego6311
    @lucaskitego6311 4 года назад

    sukuma ndani. Toronto. mpya....!!!

  • @husseinmakame8035
    @husseinmakame8035 4 года назад +1

    Mambo yetu ni bambam hahahahahaaha

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 4 года назад

    Huyu ndiyo mkuu wetu wa mkoa wa dodoma akiungana na mkulugenzi wetu kunambi huku mkuu wetu wa polisi mr mlotwa dodoma itapa kileleni kama vile tolonto

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 4 года назад

    Lugola ameipenda hotuba ya viwango ya mzee wa Toronto, imemuacha mdomo wazi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joeldhahabu2037
    @joeldhahabu2037 4 года назад

    Jembeeeeee

  • @wahidmussa1607
    @wahidmussa1607 4 года назад

    magufuli oyee

  • @hawaabdul8213
    @hawaabdul8213 4 года назад +1

    DUH Hatar Sana HII Sasa NI Over Confidence

  • @alphoncesamwel3380
    @alphoncesamwel3380 4 года назад

    Solar system🔥🔥🔥🤣🤣🤣

  • @samuelseverua
    @samuelseverua 4 года назад

    [3:42] MillardAyo unatoa material zako GlobalTVOnline...... hahaha

  • @Gamba177
    @Gamba177 4 года назад

    Hahahahaha Chizi Kapewa Rungu.

  • @deboracharles2433
    @deboracharles2433 4 года назад

    Nampenda huyu mkuu was mkoa

  • @nicholausjackson4410
    @nicholausjackson4410 4 года назад

    Daaaah mkuu tunamwomba makao makuu ya dodoma...

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 года назад

    Mkuu.

  • @neemahaule8407
    @neemahaule8407 4 года назад

    Hili nalo jembe lingine😀

  • @kiyabonjemu9885
    @kiyabonjemu9885 4 года назад +4

    Toronto inajengwa na wakalj

  • @uswegehamza8925
    @uswegehamza8925 4 года назад

    nan kaskia nawasu kumaaa ndan

  • @kamanmkina8561
    @kamanmkina8561 4 года назад

    Huyu mzee nooma

  • @godvoice1godvoice528
    @godvoice1godvoice528 4 года назад

    Nnzuri

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 4 года назад +1

    Torinto wanabomoa

  • @juliuskitao7839
    @juliuskitao7839 4 года назад

    Aridhi inafukuriwa mpaka inalia

  • @reubenpaschal78
    @reubenpaschal78 4 года назад

    Hahahaha bambam dadeq

  • @songorodohho3702
    @songorodohho3702 4 года назад

    hahaaaaaa

  • @cosmasbassam3670
    @cosmasbassam3670 4 года назад

    Kwa elimu ya afya ya mwanamke tembelea femaleafyaplus.blogspot.com

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 4 года назад

    Wewe siyo mkuu wa mkoa ila ni mkuu wa mikoa yote

  • @shadiluck9015
    @shadiluck9015 4 года назад

    Mh watu ...wanajua kutetea Ugali wao! 😂😂😂😂,,, sio kwa sifa izo