Kweli..nilitaka nije nimuone mbele ya Rais anakuwaje kumbe nimeamin anayafanyaga yote kwa mapenzi na Tabora hajateteleka hata chembe ani ameongea kama mbele yake yupo swahiba tuu,safi sana #Agrey!!👏👏
Mzee wa Toronto safi sana mimi na wewe ndio wachagga wajanja sana katika nchi hii Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana
@@alexkabeho5609 watu wengi wanafikiri ni wa vituko tu! he is very very intelligent..anatumia style yake ya ucheshi ili ujumbe ufike ki urahisi..ni mcha Mungu sana pia generous.TBR watu tulikua hatuifatilia sana,kaitangaza vibaya mno,kuna clip niliona,alionekana kabisa anaumwa,lkn bado alikua kazini akiwabana watu..Tbora wana bahati.
Nipo Zanzibar ila huyu mzee namfuatilia Sana yani hata nikikerwa na mama chanja bas nikisema namuangalia tu huyu basi narejesha furaha Sana Mungu akupe afya njema na maisha marefu yenye heri na ww
Ingekua hiari yangu uyu mzee wa Toronto ningependa awe mkuu wa mkoa wa songea, xjui mkoa huu wa songea atatokea mkuu gan wa mkoa aje atukomboe maana umelala xana huu mkoa
Kama na wewe umeona gisi Mwanri amepiga salute gonna like hapa tujuane
Kama unatamani huyu mzee wa Toronto awe mkuu wa mkoa Dar gonga like
mshindweeeee kabisaaaa abakiiii taboraaaaa tuuuuu aendeeeee wapi
wanataboraaaa badoooo tunamuhitaji mkuuuu huyuuuu wa mkoaaaaa
Tumemchoka makonda huyu dingi c ameifanya Toronto tbr tiyari
Ila mkoa Wa dar ni mgumu sana dar ndo tz hivyo
Huyu awe waziri wa ujenzi ndo wakandarasi watakoma maana watasukumwa ndani
Nakubali sana kazi za mh Mwanri ktk mkoa wa Tabora mungu akuongoze wewe na Rais mfike Tanzania mpya salama
Kama umekubali na unaendelea kukubali kazi za mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri gonga like za kutosha 👇👇
Kama HUJAMUONA mh. Rais anavunja mbavu kwa kucheka na MBs zako zimekwenda gonga like hapa tujuane🤣🤣
😆😆😆
Mkuu wa mkoa wa Tabora uko vzr sana baba Mungu akupe uzima uendelee kuchapa kazi
Aisee mwanri wa Tabora ni comedian tosha kabisa amenifurahisha sana.
aisee Leo uyu baba kajua kunifurahishaa sipati picha mh rais i akipata ziara ya kwanza tabora
Ya kwenda tabora
Sio easy kumuona mwanaume akimusifu mwenzake hivo ni ukweli kuna kazi kubwa sana kwa kipindi cha myaka 4 hongera sana JPM the Man ❤
wengine wakiongea mbele ya raisi wanatetemeka lakin huyu hajabadilika hadi kwenye vtuko vyake😂😂🙌🏾
Umeona eee? Atetemeke na nini? Kazi anazopiga zinampa uhuru wa kujidai, au unasemaje dogo?
@@shorewanda5635 kweli kabisa
Kweli..nilitaka nije nimuone mbele ya Rais anakuwaje kumbe nimeamin anayafanyaga yote kwa mapenzi na Tabora hajateteleka hata chembe ani ameongea kama mbele yake yupo swahiba tuu,safi sana #Agrey!!👏👏
Kweli
sema huyu jamaa anaiwakilisha sana Tabora,kuna watu walikua hata hawaifikirii Tabora kwenye vichwa vyao
Mzee wa Toronto safi sana
mimi na wewe ndio wachagga wajanja sana katika nchi hii
Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu akubariki sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana
Ardhi ya tabora inafukuliwa mpk inalia, na wakandarasi wa kichina wako pale😂😂😂😂😄😄😄😄,
Hahah daah uyu jamaa amenifanya nipende kuishi tabora🤣
Kwel TBR km toronto lami kila sehemu tunashukuru kwa hilo
RC bora Tanzania 🇹🇿
Hyo ndo Toronto sasa
Mi mda wote nlikuwa namwangalia Lugola anavyomwangalia Mwanri😆😊
Lugola hewa
w chizi kweli ... 🤣🤣🤣
Hahahaaaa ...sijui anamuwazia nini..ukute hata linamtukana kimoyo moyo 😂😂😂
Tabora oyeeeee
🤣🤣kama umesikia huwa nawasukuma ndani gonga like
good
Mtu kama uyu anaanzaje kutumbuliwa kwa mfano🤣🤣
Sio easy maana ana confidence sana na sio mwizi wala mzembe ata akikosea ni kama sisi ote binadamu ila ni mzee wa busala sana
@@alexkabeho5609 watu wengi wanafikiri ni wa vituko tu! he is very very intelligent..anatumia style yake ya ucheshi ili ujumbe ufike ki urahisi..ni mcha Mungu sana pia generous.TBR watu tulikua hatuifatilia sana,kaitangaza vibaya mno,kuna clip niliona,alionekana kabisa anaumwa,lkn bado alikua kazini akiwabana watu..Tbora wana bahati.
Jaman nacheka hadi machozii, uuuuw mbavu zangu....😂😂😂😂
hatariiii
Mimi nakusalimia kama una nafasi
Baba mzee wa Toronto huu, hesabu imekaa vizuli kichwani hahitaji vi notes 📝🇹🇿💪💪💪💪💪
Duh...! Toronto mambo Ni Bam Bam.
Toronto 😀😀😀
Nimekubali atar na nusu aisee gonga like twende sawa
Ila Mwanri na ka dharau kadogo analogue , eti ardhi inafukuliwa mpaka inalia😀😀😀😀
Nipo Zanzibar ila huyu mzee namfuatilia Sana yani hata nikikerwa na mama chanja bas nikisema namuangalia tu huyu basi narejesha furaha Sana Mungu akupe afya njema na maisha marefu yenye heri na ww
Oyoo oyoo oyooooo!!!😂😂
Toronto mambo ni Bambam, piga kazi Mzee wetu Pombe J
Mkuu wa mkoa wa Tabora uko vzr sana baba
eeh mungu eeh 😂😂
Saa hv Tabora haisikiki bora mwanry arudishwe
Mkuu rudi Siha tunakuhitaji
Mambo ni bambam
Hongera baba
Sukuma ndani
Ha ha ha magufuli oyeeeee
Hahahaaaa mbavu cna
Weka subscribe yako hapa kwa udaku wote
Oyoooo oyooooo ooyoooo sukuma ndaniiii
Hée
Maajabu
Huyu mzee mi namkubali sana na nimiongoni mwa wakuu wa mikoa ambao sina shida nao
Ingekua hiari yangu uyu mzee wa Toronto ningependa awe mkuu wa mkoa wa songea, xjui mkoa huu wa songea atatokea mkuu gan wa mkoa aje atukomboe maana umelala xana huu mkoa
Toronto 😁😁😁🏇
Rabro Jita
Hahahaaaah tusha san Mwanli
😀😁😂anakwambia mkuu nisije kukuvunjia adabu anajijua dakika mbili mbele anapiga maneno yake
Huyu mzee nampenda sanaa
mwanriiiii akili mingi
sana
Nzuri sana agrrey
Woyo woyo woyooooooo 😂😂😂
Kwa masimulizi ya sauti tembelea RUclips channel yangu kama STORI SAUTI TANZANIA usisahau ku subscribe ili usipitwe 🙏
Aikataiii mzee wa. Kudilii na ma engineer
😂😂😂😂😂
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. kwakweli kazi ya Magu kwa asieiona kweli ni kipofu. ninayo yaona sijawahi kuyaona toka miaka ya 80
Kitu cha Toronto
Good san
Nice
Umeniamasisha kuhamia Tabora,
Aaaah
Mbona kama anachana mistari
Mzee kichwa sana data zote zipo kichwani
Toronto 😂😂😂😂🤔💜💜💜💜
Ardhi inafukuliwa mpaka inaliaaa... Mambo ni BamBam 😂😂😂
Wakubwa wengi wakiongea mbele ya Magufuli wanatetemeka.... Lkn huyu yuko Freshy
Huyu jamaa ni zaid ya ringo
Tabora oyee
Safii
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
sukuma ndani. Toronto. mpya....!!!
Mambo yetu ni bambam hahahahahaaha
Huyu ndiyo mkuu wetu wa mkoa wa dodoma akiungana na mkulugenzi wetu kunambi huku mkuu wetu wa polisi mr mlotwa dodoma itapa kileleni kama vile tolonto
Lugola ameipenda hotuba ya viwango ya mzee wa Toronto, imemuacha mdomo wazi🤣🤣🤣🤣🤣
Jembeeeeee
magufuli oyee
DUH Hatar Sana HII Sasa NI Over Confidence
Solar system🔥🔥🔥🤣🤣🤣
[3:42] MillardAyo unatoa material zako GlobalTVOnline...... hahaha
Hahahahaha Chizi Kapewa Rungu.
Nampenda huyu mkuu was mkoa
Daaaah mkuu tunamwomba makao makuu ya dodoma...
Toronto safi sana
Mkuu.
Hili nalo jembe lingine😀
Toronto inajengwa na wakalj
nan kaskia nawasu kumaaa ndan
Huyu mzee nooma
Nnzuri
Torinto wanabomoa
Aridhi inafukuriwa mpaka inalia
Hahahaha bambam dadeq
hahaaaaaa
Kwa elimu ya afya ya mwanamke tembelea femaleafyaplus.blogspot.com
Wewe siyo mkuu wa mkoa ila ni mkuu wa mikoa yote
Mh watu ...wanajua kutetea Ugali wao! 😂😂😂😂,,, sio kwa sifa izo