Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
RC MWANRI AWAIBUKIA WALIOFUNGA NDOA NA MWANAFUNZI "MNOKO CHIKICHII NIMEWASUKUMIA NDANI"
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 11 янв 2019
Комментарии • 169
Следующие
Автовоспроизведение
JIPYA LA RC MWANRI "UNAPATA MSHAWASHA, MTEKENYO ANAKIMBIA KAMA JOGOO"Millard Ayo
Просмотров 251 тыс.
RC MWANRI "NAWAAMBIA WOTE KAA CHONJO, NAONGOZA VICHAA, MATAIRA"Millard Ayo
Просмотров 128 тыс.
MKUU WA MKOA TABORA, AGGREY MWANRI, ALIVYOONGEA KIINGEREZA.TimesFMTZ
Просмотров 215 тыс.
Rachel Dratch Interrupts Jimmy's Monologue as Australian Olympic Breakdancer Raygun | Tonight ShowThe Tonight Show Starring Jimmy Fallon
Просмотров 1,8 млн
[Paris Olympics] Performance by Australia's Olympic Break-dancer Rachael Gunn breaks the internetArirang News
Просмотров 1,1 млн
【MV】Breaking Dimensions【hololive English Original Song】hololive English
Просмотров 344 тыс.
we broke up…Evelyn Ortiz
Просмотров 314 тыс.
MWANRI NA UBALOZI, AMVUNJA MBAVU RC KISA POMBE YA MBEGE "UKIONA VIKUU VYA WILAYA VINAIBUKA ZIBA"Millard Ayo
Просмотров 113 тыс.
MWANRI AWABANA TARURA "MSINIINGIZE MKENGE, TUTANYOOSHANA MAUNGO HAPA"Millard Ayo
Просмотров 327 тыс.
VARANGATI BUNGENI: MBUNGE APIGA SARAKASI KWA HASIRA - "NIMEKASIRIKA"Wasafi Media
Просмотров 441 тыс.
CHECHE NYINGINE ZA RC WA "FYEKELEA MBALI" KWA DC WA IGUNGA NA INJINIAMillard Ayo
Просмотров 670 тыс.
MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"Mtanzania Digital
Просмотров 1,8 млн
"MZEE WA SUKUMA NDANI" AJA NA MAPYA MBELE YA RAISKTV TZ ONLINE
Просмотров 45 тыс.
MWANRI AMUACHA HOI PINDA "TUNAZAMA WOTE, TUNAPIGA MIHAYO WANAOKATAA HABARI HII SUKUMA NDANI"Millard Ayo
Просмотров 158 тыс.
RC MWANRI Kasalimu AMRI kwa MAMA Huyu "Jifanye Unajukuna"Global TV Online
Просмотров 173 тыс.
RC MWANRI TENA - "Fukuza kazi wote, Weka Kwenye Lori Sukuma Ndani"Global TV Online
Просмотров 249 тыс.
«Кадыров боится позора»: что известно о захвате бойцов «Ахмат» в плен ВСУТелеканал Дождь
Просмотров 1,4 млн
ТАЙНЫ И ЗАГАДКИ ИНТЕРНЕТА 2TheBrianMaps
Просмотров 2,4 млн
Satisfying Phone Case with Drip Technique! 💖✨🎨 #artandcraftArtistomg
Просмотров 2,6 млн
НАША НАСЫЩЕННАЯ ПОЕЗДКА В КИТАЙYan Reyzen
Просмотров 719 тыс.
Переехал на танке дом 😱 #shorts #start #кино #фильм #сериал #противвсех #танкиSTART
Просмотров 14 тыс.
ТОП-6 САМЫХ БЕСЯЧИХ ЗОМБИ ДИКОГО ЗАПАДА! / PVZ 2IGRARIUM - Игровые обзоры
Просмотров 307 тыс.
تشيبس أهوي! 🗝️🍟 كشف رقائق البطاطس المخفية الخاصة بي! #snacksOne More Arabic
Просмотров 10 млн
ПРОЖАРКА ЛУЧШИХ КОМИКОВ #иванабрамов #прожарка #shortsИван Абрамов
Просмотров 193 тыс.
Panki kama sufuria panki kama mkate kama umeskia ivi kama mim like tuendelee kuwasukuma ndan wanaosinzia
🙆♀️🙆♀️🙆♀️nani huyo anapiga usingizi jamani naona huruma anaweza kusukumwa ndani hasikii hotuba .👏👏👏mkuu ubarikiwe sana katika kazi zako Mungu anakutumia katika kuwatumikia wananchi
Naona mwalimu alizidiwa na kazi ya kusahihisha madaftari usiku kucha bila ya kutambua alihitajika kwenye kikao cha Mkuu wa mkoa. NOMAAA!! hiyo mwalimu.
Fyekelia mbali huyo 😎
Sakuuma ndaniii
An example of African leader , strong,active, full confidence i believe you're a generous, Mkuu wamkoa uposafisanaa ongeza songambele Munguakusaidie.
Kama unamkubal huyu mkuu wa mkoa wetu gonga like kama %
Tanzania ina watu kumbe,he's the nice man jamn let us be blessed
U
Mzee nimecheka sana ila watu humo wamenuna kweli kweli, fanya kazi mzee.
MWANRI haigizi maisha aiseee.. he is very real.
2:41 kuna mmama kalala pale kama umemuona gonga like😂
Mungu akupe uzima na azidi kukupa hekima na maarifa uwe raisi siku moja ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Mzee gombea uraisi baba
@@maryamhusain3627 akigombea kura yangu anayo kwakweli
Anither msingwa me pia atapata kula yangu bila kikwanzo yaan kwa moyo barid kabisa yaan hyu atakuwepo tu kwenye list ya wagombea inshallah kwa mwaka huo
Mafisad majambaz na watu wasiojulikana ote watasukumwa ndani 😁😁😁nchi itabak na amn
Nani kamwoma mtu anasinzia...,anyoshe mkono ajifanye kama anajikunaaaa
Rada imemnasa huyo
Ana bahati hajamona angemuona angemwambia sukuma ndaniiiii.
🤣🤣🤣🤣🤣
Mie nasikiliza anayoyasema ni kiongozi mwenye uchungu na mkoa wake watu wabadilike hicho ndicho napenda kwake RC Mwanri
RC ....hyu nampendaga conference zake sana daaa .....hiv baba ...umesomea wap uongozi sababu daa..sio poa
Huyu mh.alipaswa kuwa ni miongoni nwa mawaziri karika serikali hii ya awamu ya tano kwa kweli ni kiongozi wa pekee sana ktk nyadhifa aliopewa
Binafc namkubali mno!!!
Tuombe awe rais siku moja
@@anithermsigwa Inshaallah
Ashawahi kuwa kuwa Naibu waziri TAMISEMI wakati wa JK
@@Swalahudintv Alistahl hata sasa kupewa moja ya nafac za juu kiongz mwenye upeo na upendo mkubwa kwa anaowaongoza!!!
Mimi bado sijaona mchapa kazi anae ifeel kazi yake kama huyu.yaani ni kiongozi bora sipendwi kupitwa na chochote anachoongea yaani nikama kiongozi alie star katika nchi yetu lazima uvutie wengi
Mungu akuweke
Noumaaaaa mh hongera upo good
Dah uishi miaka mingi mzee Mwanri wallah
Mmemuona Mama Jane anasinzia mbele ya Mkuu
Mzeee baba me salute kwako sanaaa Mr mwandy asant sana
Mh .Rais Magufuli kwa Mkuu huyo wamkoa kweli ulipatia sana.Lakini ungemhamishia Morogoro nafikili angefanya mabadiliko sana.Nakuomba umlete Morogoro.
katika viongozi wooote nakupendaga wewe tuu
Alielal usimwamshe akiamka utalal wew ok !!
Wewe mama unaesinzia utasukumwa ndani shauri yako😂😂
teeeeh
🤣🤣🤣
Mungu akutie nguvu mtumishi
Mh. Uko vizuri
Mh. Kuna moja hp analala wakt ukihutubia sukuma ndani huyooo😅😅😅
hahahhahahaha!! we mchokozi, umeamua mkumchukua akiwa anasinzia, Da!! kazi nayo!
😂😂😂😂😂 Rc bora kabisa
Mzee baba nakukubali sanaa
Haahahahahaha uyu mama anaesinzia apo amaham ya kusukumwa ndan
safii sana mzee
Safi mh mwandri
Good RC Mwanri. Ingekuwa uamzi wangu ndani ya mwaka ningekuwa nakuhamisha zaidi ya mikoa mitano tofauti kwani unajua kuelekeza na kuongoza
Yaani huyu ni kiongozi
kama kuna mtu ksmuona mama anasinzia hapo gonga likeeee
Second Magufuli in Tanzania
Mpigapicha nae 😀😀😀hadi kampiga picha anaesinzia
Uko sawa kiongozi.
Kuna mama anagawa viwanja hapo 😂😂😂
Alafu RC kamuona.sema kakaushia
nakupenda bule mweshimiwa
Daaah unasinzia mbele ya mkuu...!
Watakao kula migebuka kama m mm ganga like
very good
uyo anayesinzia shukuru umezaliwa Tanzania ungezaliwa Korea wewe saizi umepeperuka na upepo
Haaahaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃😂😂😂😂
Panki kama mkate hahaha
Big up sanaaaaaa
Saw
Mkuu, huyo mama anayesinzia mbele yako kwa nini usimsukume ndani? Anatutilia aibu.
Uyu RC ninoma sana makonda chamtoto,
Kuna b mkubwa Apo usingizi unamzingua kinoma ,ata hajui RC anazungumza kitu gani , kwakweli!!
Nimecheka ghafla nimemuona mama flani anasinzia😁😁😁🔩 tayari maji ataita muma
HUYU JAMAA AKIKAAA MKOA MMOJA NA RPC MROTO ,SIJUI ITAKUWAJE
Safi tutafurah sana namkoa wetu utaendelea
Hafai kua rais atatukondesha hyu
Kazi kweli kweli
Utajir wa Tanzania ina watu aisee
Nakuelewa boss
Uishi miaka mingi
Rais ajaye......
tunahitaji kiongoz kama huyu wawe 10 tu nchiyetu itanyooka nakuunga mkono ktk utendajiwako mungu akuongoze
Mkuu wa mikoa yote tanzania
Chikichi chikichi chikichi eeeeeee
Mtu akibeza tutamtazama kwa jicho la dharau na bila ya heshma 😂😂
Huyo mama anaesinzia wamfukuze kazi
mtu nzima kachoka huyo na kusiniza nu ubinadamu tu
Huwa nafarijika sana kukuona Mzee WA sukuma ndani huyo mama anae sinzia hebu muonee huruma
Huyu mheshimiwa yuko vizuri, ana style ya kipekee ya capture audience
Kweli Kabisa..Wengi hawamuelewi Ila ndio anafikisha ujumbe hivyoo na Yuko Serious..
Teacher Mj hi
usingiz siyo kitu kizur
Wewe baki Huku wewe toka.
Wananchi wa Tabora tupeni huyu Mkuu wenu bana.Aje Dar es salaam.
Sorry bosses Miss under stand.
Wakielimika watakula wapi watamnyonya nani!?
Panki kama sufuria panki kama mkate 😅😅😅
Natamani hata ungekuwa baba yangu? Duh
Ukimletea jeur t anakusukuma ndan😁😁
Huyu mzee ni kichwa sana.
natamani kamaa ungekuwa mku wa mkoa wa dodoma
Pasta
Kama sufuria
Watu wanapiga mzigo
Mh rais kwa heshma na taadhima naomba umlete huyu mkuu wa mkoa Jijini Dodoma.
Anakuja Dar.hahahaha
mwalimu waku sinzia ame kiki kwenye comment 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Emu nikumbushe aina ya panki alizozitaja😂😂😂😂😁😁
😂😂😂😂😂😂
Napenda kumsikiliza mkuu wa mkoa
huyo mama anasinzia hatar, loooh
Magufuli jembe hilo linafaa sanaa
Lazima tumrudishe Bungeni 2020
Discipline. ..........
ukiamka mwalim upewe posho
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
nimemeuona mama yangu anasinzia snzia paleee
😂😂😂 Kuku 11,000
sura kavu kama general wa dunia
huyo anaye sinzia sukuma ndani maaaaana hakuelewi chikichiki
😀😀😀😀
.. mimi sili kwako bwana mkuu wa mkoa usinibabaishe.. dah wabongo kwa majibu 😂😂😂😂
Najivunia kuwa mtanzania
Nitakuja Tabora kunyoa hiyo panki kama mkate...
Hahahahaha
semsi samwel haha haha hahaha
we ndomkuu unaejuwa kuitumia nafas yako
sukuma ndan baba
Huyo anayepiga usingizi naona hanauchungu hata na muda wake, kama namuona atakavyosukumwaa ndani
😀😀😀😀😀😀😀
@@merryn4891 tisha sanaa hahahahaa
Alfu Nyie mnaochukuaga Video Muwe angalau na Staha Sio Lazima Mungemuonyesha huyo Mama wawatu akisinzi utadhani nyie Hamjawahi kukaa Sehemu Kausingizi kakakupiti..Jifikirieni Ingekuwa wewe au ingekuwa Mzazi Wako sidhani Kama ungemwonyeshaa..
Porus
Uyo anayesinzia asukumiwe ndani
7
Naomben like zenu🙏🙏🙏
safiii
Je waswahili niambieni,halmashauri ni nini kwa kiingereza?
Geoff mn COUNCIL
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Anaesinzia "Sukuma ndani 👆👆
Ni RC anaepigania na kuhubiri maendeleo ndani ya mkoa wake,,hana kiki za kutafuta umaarufu wa kisiasa usio na tija kwa taifa na mkoa wake,,,