Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

RC MWANRI AWAIBUKIA WALIOFUNGA NDOA NA MWANAFUNZI "MNOKO CHIKICHII NIMEWASUKUMIA NDANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 янв 2019

Комментарии • 169

  • @mjingakaelewa102
    @mjingakaelewa102 5 лет назад +41

    Panki kama sufuria panki kama mkate kama umeskia ivi kama mim like tuendelee kuwasukuma ndan wanaosinzia

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 5 лет назад +37

    🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️nani huyo anapiga usingizi jamani naona huruma anaweza kusukumwa ndani hasikii hotuba .👏👏👏mkuu ubarikiwe sana katika kazi zako Mungu anakutumia katika kuwatumikia wananchi

    • @rosenamilia4140
      @rosenamilia4140 5 лет назад +1

      Naona mwalimu alizidiwa na kazi ya kusahihisha madaftari usiku kucha bila ya kutambua alihitajika kwenye kikao cha Mkuu wa mkoa. NOMAAA!! hiyo mwalimu.

    • @husseinkazungu5101
      @husseinkazungu5101 5 лет назад

      Fyekelia mbali huyo 😎

    • @dismasmaige6680
      @dismasmaige6680 5 лет назад

      Sakuuma ndaniii

    • @lucasmkui3160
      @lucasmkui3160 4 года назад

      An example of African leader , strong,active, full confidence i believe you're a generous, Mkuu wamkoa uposafisanaa ongeza songambele Munguakusaidie.

  • @Soly201
    @Soly201 5 лет назад +81

    Kama unamkubal huyu mkuu wa mkoa wetu gonga like kama %

  • @maranzanomimmo2543
    @maranzanomimmo2543 5 лет назад +4

    Tanzania ina watu kumbe,he's the nice man jamn let us be blessed

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 лет назад +4

    Mzee nimecheka sana ila watu humo wamenuna kweli kweli, fanya kazi mzee.

  • @abednego3876
    @abednego3876 5 лет назад +6

    MWANRI haigizi maisha aiseee.. he is very real.

  • @aboudboff44
    @aboudboff44 5 лет назад +8

    2:41 kuna mmama kalala pale kama umemuona gonga like😂

  • @anithermsigwa
    @anithermsigwa 5 лет назад +9

    Mungu akupe uzima na azidi kukupa hekima na maarifa uwe raisi siku moja ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏

    • @maryamhusain3627
      @maryamhusain3627 5 лет назад +1

      Mzee gombea uraisi baba

    • @anithermsigwa
      @anithermsigwa 5 лет назад

      @@maryamhusain3627 akigombea kura yangu anayo kwakweli

    • @maryamhusain3627
      @maryamhusain3627 5 лет назад +1

      Anither msingwa me pia atapata kula yangu bila kikwanzo yaan kwa moyo barid kabisa yaan hyu atakuwepo tu kwenye list ya wagombea inshallah kwa mwaka huo

    • @hussnabakary3507
      @hussnabakary3507 3 года назад

      Mafisad majambaz na watu wasiojulikana ote watasukumwa ndani 😁😁😁nchi itabak na amn

  • @barakambisa96
    @barakambisa96 5 лет назад +29

    Nani kamwoma mtu anasinzia...,anyoshe mkono ajifanye kama anajikunaaaa

  • @jamesomungo
    @jamesomungo 5 лет назад +13

    Mie nasikiliza anayoyasema ni kiongozi mwenye uchungu na mkoa wake watu wabadilike hicho ndicho napenda kwake RC Mwanri

  • @peteremmanuel3427
    @peteremmanuel3427 5 лет назад +3

    RC ....hyu nampendaga conference zake sana daaa .....hiv baba ...umesomea wap uongozi sababu daa..sio poa

  • @ramadhanimohamedi2414
    @ramadhanimohamedi2414 5 лет назад +23

    Huyu mh.alipaswa kuwa ni miongoni nwa mawaziri karika serikali hii ya awamu ya tano kwa kweli ni kiongozi wa pekee sana ktk nyadhifa aliopewa
    Binafc namkubali mno!!!

    • @anithermsigwa
      @anithermsigwa 5 лет назад

      Tuombe awe rais siku moja

    • @ramadhanimohamedi2414
      @ramadhanimohamedi2414 5 лет назад +1

      @@anithermsigwa Inshaallah

    • @Swalahudintv
      @Swalahudintv 5 лет назад +2

      Ashawahi kuwa kuwa Naibu waziri TAMISEMI wakati wa JK

    • @ramadhanimohamedi2414
      @ramadhanimohamedi2414 5 лет назад

      @@Swalahudintv Alistahl hata sasa kupewa moja ya nafac za juu kiongz mwenye upeo na upendo mkubwa kwa anaowaongoza!!!

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 5 лет назад +1

      Mimi bado sijaona mchapa kazi anae ifeel kazi yake kama huyu.yaani ni kiongozi bora sipendwi kupitwa na chochote anachoongea yaani nikama kiongozi alie star katika nchi yetu lazima uvutie wengi

  • @jumangondi3295
    @jumangondi3295 11 месяцев назад

    Mungu akuweke

  • @philoteokayaula6052
    @philoteokayaula6052 5 лет назад

    Noumaaaaa mh hongera upo good

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 5 лет назад +1

    Dah uishi miaka mingi mzee Mwanri wallah

  • @anko_luufocus7454
    @anko_luufocus7454 5 лет назад +4

    Mmemuona Mama Jane anasinzia mbele ya Mkuu

  • @augustinokileo7076
    @augustinokileo7076 5 лет назад

    Mzeee baba me salute kwako sanaaa Mr mwandy asant sana

  • @geraldbitungwa4752
    @geraldbitungwa4752 4 года назад +1

    Mh .Rais Magufuli kwa Mkuu huyo wamkoa kweli ulipatia sana.Lakini ungemhamishia Morogoro nafikili angefanya mabadiliko sana.Nakuomba umlete Morogoro.

  • @noahmathew2256
    @noahmathew2256 5 лет назад +14

    katika viongozi wooote nakupendaga wewe tuu

  • @dtalentboy813
    @dtalentboy813 5 лет назад +3

    Alielal usimwamshe akiamka utalal wew ok !!

  • @raphaelluiso9163
    @raphaelluiso9163 5 лет назад +10

    Wewe mama unaesinzia utasukumwa ndani shauri yako😂😂

  • @gastonkaiza3758
    @gastonkaiza3758 5 лет назад

    Mungu akutie nguvu mtumishi

  • @romanoedgar7428
    @romanoedgar7428 5 лет назад

    Mh. Uko vizuri

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 5 лет назад +4

    Mh. Kuna moja hp analala wakt ukihutubia sukuma ndani huyooo😅😅😅

  • @bahi_bay24
    @bahi_bay24 5 лет назад +5

    hahahhahahaha!! we mchokozi, umeamua mkumchukua akiwa anasinzia, Da!! kazi nayo!

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 лет назад +1

    😂😂😂😂😂 Rc bora kabisa

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 5 лет назад

    Mzee baba nakukubali sanaa

  • @consolatamedard9039
    @consolatamedard9039 5 лет назад +2

    Haahahahahaha uyu mama anaesinzia apo amaham ya kusukumwa ndan

  • @eliayeremia9218
    @eliayeremia9218 5 лет назад

    safii sana mzee

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 5 лет назад

    Safi mh mwandri

  • @henrypaul6375
    @henrypaul6375 5 лет назад

    Good RC Mwanri. Ingekuwa uamzi wangu ndani ya mwaka ningekuwa nakuhamisha zaidi ya mikoa mitano tofauti kwani unajua kuelekeza na kuongoza

  • @godfreymhochi6206
    @godfreymhochi6206 4 года назад

    kama kuna mtu ksmuona mama anasinzia hapo gonga likeeee

  • @charityoluoch94
    @charityoluoch94 3 года назад

    Second Magufuli in Tanzania

  • @user-dg8qe9rf9h
    @user-dg8qe9rf9h 5 лет назад +1

    Mpigapicha nae 😀😀😀hadi kampiga picha anaesinzia

  • @sospeterbukindu2361
    @sospeterbukindu2361 5 лет назад

    Uko sawa kiongozi.

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 5 лет назад +1

    Kuna mama anagawa viwanja hapo 😂😂😂

  • @robertjeremiah326
    @robertjeremiah326 5 лет назад +2

    Alafu RC kamuona.sema kakaushia

  • @ngusarobert4751
    @ngusarobert4751 5 лет назад

    nakupenda bule mweshimiwa

  • @mbondokambi8053
    @mbondokambi8053 5 лет назад +3

    Daaah unasinzia mbele ya mkuu...!

  • @patricjunior3134
    @patricjunior3134 5 лет назад

    Watakao kula migebuka kama m mm ganga like

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 5 лет назад

    very good

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 5 лет назад +11

    uyo anayesinzia shukuru umezaliwa Tanzania ungezaliwa Korea wewe saizi umepeperuka na upepo

    • @bintiiddy7043
      @bintiiddy7043 5 лет назад +1

      Haaahaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃😂😂😂😂

  • @khantv6949
    @khantv6949 5 лет назад +5

    Panki kama mkate hahaha

  • @nehemiamatabalo9232
    @nehemiamatabalo9232 5 лет назад

    Big up sanaaaaaa

  • @tumainisabuni5630
    @tumainisabuni5630 5 лет назад

    Saw

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 5 лет назад +2

    Mkuu, huyo mama anayesinzia mbele yako kwa nini usimsukume ndani? Anatutilia aibu.

  • @dicksonrichard4707
    @dicksonrichard4707 5 лет назад

    Uyu RC ninoma sana makonda chamtoto,

  • @endrewjonathan6039
    @endrewjonathan6039 2 года назад

    Kuna b mkubwa Apo usingizi unamzingua kinoma ,ata hajui RC anazungumza kitu gani , kwakweli!!

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад

    Nimecheka ghafla nimemuona mama flani anasinzia😁😁😁🔩 tayari maji ataita muma

  • @user-vv5xd3ye4i
    @user-vv5xd3ye4i 5 лет назад +7

    HUYU JAMAA AKIKAAA MKOA MMOJA NA RPC MROTO ,SIJUI ITAKUWAJE

  • @marcossilas6705
    @marcossilas6705 5 лет назад

    Hafai kua rais atatukondesha hyu

  • @francisrogears7073
    @francisrogears7073 5 лет назад

    Kazi kweli kweli

  • @omaryswalehe2863
    @omaryswalehe2863 3 года назад

    Utajir wa Tanzania ina watu aisee

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 5 лет назад

    Nakuelewa boss

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +1

    Uishi miaka mingi

  • @henrymasomi831
    @henrymasomi831 5 лет назад +1

    Rais ajaye......

  • @johnboscko8290
    @johnboscko8290 5 лет назад

    tunahitaji kiongoz kama huyu wawe 10 tu nchiyetu itanyooka nakuunga mkono ktk utendajiwako mungu akuongoze

  • @elisanteshedrack2018
    @elisanteshedrack2018 5 лет назад +1

    Mkuu wa mikoa yote tanzania

  • @boniphectoboniphace7187
    @boniphectoboniphace7187 5 лет назад +1

    Chikichi chikichi chikichi eeeeeee

  • @luisshayo1235
    @luisshayo1235 4 года назад

    Mtu akibeza tutamtazama kwa jicho la dharau na bila ya heshma 😂😂

  • @kani1870
    @kani1870 5 лет назад +3

    Huyo mama anaesinzia wamfukuze kazi

    • @streetview3045
      @streetview3045 5 лет назад

      mtu nzima kachoka huyo na kusiniza nu ubinadamu tu

    • @bakarihamisi6982
      @bakarihamisi6982 5 лет назад

      Huwa nafarijika sana kukuona Mzee WA sukuma ndani huyo mama anae sinzia hebu muonee huruma

  • @tichamj3863
    @tichamj3863 5 лет назад

    Huyu mheshimiwa yuko vizuri, ana style ya kipekee ya capture audience

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 5 лет назад +4

    usingiz siyo kitu kizur

  • @haikamremi4865
    @haikamremi4865 5 лет назад

    Wewe baki Huku wewe toka.
    Wananchi wa Tabora tupeni huyu Mkuu wenu bana.Aje Dar es salaam.

  • @chiefkimata9731
    @chiefkimata9731 4 года назад

    Sorry bosses Miss under stand.

  • @chiefkimata9731
    @chiefkimata9731 4 года назад

    Wakielimika watakula wapi watamnyonya nani!?

  • @mohamedharuna9050
    @mohamedharuna9050 5 лет назад +3

    Panki kama sufuria panki kama mkate 😅😅😅

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 5 лет назад +1

    Natamani hata ungekuwa baba yangu? Duh

  • @stevenpeter2260
    @stevenpeter2260 5 лет назад

    Huyu mzee ni kichwa sana.

  • @daudinhomdachi2217
    @daudinhomdachi2217 4 года назад

    natamani kamaa ungekuwa mku wa mkoa wa dodoma

  • @ugaboy4736
    @ugaboy4736 5 лет назад

    Pasta

  • @tonnsimbasportsclub7168
    @tonnsimbasportsclub7168 5 лет назад +1

    Kama sufuria

  • @isihakambalawa4164
    @isihakambalawa4164 4 года назад

    Watu wanapiga mzigo

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 5 лет назад +1

    Mh rais kwa heshma na taadhima naomba umlete huyu mkuu wa mkoa Jijini Dodoma.

  • @harunamroboto5858
    @harunamroboto5858 4 года назад

    mwalimu waku sinzia ame kiki kwenye comment 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rajabumapui5062
    @rajabumapui5062 5 лет назад

    Emu nikumbushe aina ya panki alizozitaja😂😂😂😂😁😁

  • @meronstudioz
    @meronstudioz 5 лет назад

    Napenda kumsikiliza mkuu wa mkoa

  • @obeidathuman7460
    @obeidathuman7460 5 лет назад

    huyo mama anasinzia hatar, loooh

  • @saidsaids147
    @saidsaids147 5 лет назад

    Magufuli jembe hilo linafaa sanaa

  • @kelemanii.m9834
    @kelemanii.m9834 5 лет назад

    Discipline. ..........

  • @kelvinelpidius4352
    @kelvinelpidius4352 5 лет назад

    ukiamka mwalim upewe posho

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 4 года назад

    nimemeuona mama yangu anasinzia snzia paleee

  • @yassirjuma5799
    @yassirjuma5799 5 лет назад

    😂😂😂 Kuku 11,000

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 5 лет назад

    sura kavu kama general wa dunia

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 5 лет назад

    huyo anaye sinzia sukuma ndani maaaaana hakuelewi chikichiki

  • @georgemollel1586
    @georgemollel1586 5 лет назад

    .. mimi sili kwako bwana mkuu wa mkoa usinibabaishe.. dah wabongo kwa majibu 😂😂😂😂

  • @haleematanzania866
    @haleematanzania866 5 лет назад

    Najivunia kuwa mtanzania

  • @semsisamwel8813
    @semsisamwel8813 5 лет назад +7

    Nitakuja Tabora kunyoa hiyo panki kama mkate...

  • @uncledavitv6481
    @uncledavitv6481 5 лет назад

    sukuma ndan baba

  • @nestorychacky3544
    @nestorychacky3544 5 лет назад

    Huyo anayepiga usingizi naona hanauchungu hata na muda wake, kama namuona atakavyosukumwaa ndani

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 5 лет назад +2

    Alfu Nyie mnaochukuaga Video Muwe angalau na Staha Sio Lazima Mungemuonyesha huyo Mama wawatu akisinzi utadhani nyie Hamjawahi kukaa Sehemu Kausingizi kakakupiti..Jifikirieni Ingekuwa wewe au ingekuwa Mzazi Wako sidhani Kama ungemwonyeshaa..

  • @madyebakassim5028
    @madyebakassim5028 5 лет назад

    Porus

  • @elishamsuya1098
    @elishamsuya1098 5 лет назад +1

    Uyo anayesinzia asukumiwe ndani

  • @offshow678
    @offshow678 5 лет назад +2

    Naomben like zenu🙏🙏🙏

  • @subiraegied5647
    @subiraegied5647 5 лет назад +1

    safiii

  • @gmchats5335
    @gmchats5335 5 лет назад

    Je waswahili niambieni,halmashauri ni nini kwa kiingereza?

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 5 лет назад

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @sylivinebahaty5449
    @sylivinebahaty5449 5 лет назад

    Anaesinzia "Sukuma ndani 👆👆

  • @kephakipindu9083
    @kephakipindu9083 5 лет назад

    Ni RC anaepigania na kuhubiri maendeleo ndani ya mkoa wake,,hana kiki za kutafuta umaarufu wa kisiasa usio na tija kwa taifa na mkoa wake,,,