MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 662

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Год назад +149

    Jamn wanaotamn arudi Kazin Rc Agrey plz like hapa😂😂😂

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 4 месяца назад +1

      Mimi😂😂

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 3 месяца назад

      Ndio unaposhangaa hii nchi yetu,mtu kama mwanri eti yupo nje ya mfumo

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 3 месяца назад

      Alistafu mdatu​@@hassanhancha1413

    • @AmonJames-o3y
      @AmonJames-o3y 3 месяца назад

      Baada ya magufuri kufa huyu jamaa alikataa mambo ya siasa sasa hivi ni mtu wa kanisan

    • @conradjunior5940
      @conradjunior5940 Месяц назад

      Amestafu hakutolewa kwenye nafasi​@@hassanhancha1413

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 7 месяцев назад +109

    Kama umerud tena kuangalia gonga like hapa!!!!

  • @abelfidel4568
    @abelfidel4568 5 лет назад +50

    jamaa ni kichwa sana japo unaweza dhania kuwa ni comedian but lina akili nyingi sana na liko very brilliant kwenye kaz

  • @WivianRich
    @WivianRich 5 лет назад +97

    Mimi namkubali sana Mzee wa Toronto, mchapakazi mwanzo mwisho alafu yupo makini, kumuongopea ni ngumu mno

    • @lotimwansule5017
      @lotimwansule5017 4 года назад +2

      Rais John magufulini ebu mlete huyo mkuu wa mkoa Rukwa ,mkoa huu umezubaa sana ,auchangamshe huyo mzee wa Toronto Ni kiboko

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 5 лет назад +37

    Duuu mkuu wangu huyu huwa ananibariki sana. yaani hata kama amekasirika utacheka tu. Barikiwa mzee wa Toronto.

  • @eduardomiheso8888
    @eduardomiheso8888 2 года назад +23

    Good intelligence of a such leader💪

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 4 года назад +5

    Agrey Mwaniri kagombeee tunatamani kukuona Bungeni kwa Mara nyingine bado unafaa kuisaidia nchi Nadhani kusitafishwa kwako kuna maana plz do it Dad I love so much natamani kuwa kama wewe

  • @businessngoni5334
    @businessngoni5334 Месяц назад +1

    Miamba kweli kweli, nchi ilikua na watu hii bwana, ila huyu mwanri inafaa arudi kazini kabisa, nmependa hapo alivyoongea kwa msisitizo "nawasukuma ndani" 🔥🔥🔥

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama5828 11 месяцев назад +1

    One of the best orator very smart

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Год назад +4

    Itifaki imezingatiwa. Protocols observed 🇰🇪

  • @emmanuelbembe6202
    @emmanuelbembe6202 5 лет назад +8

    Katika wakuu wa mikoa ambao huwa na furahishwa na kazi zake ni huyu wa tabora kiukweli anapiga kazi vizuri sana

  • @amosmwita4111
    @amosmwita4111 4 года назад +3

    Namupendaaaa Sana ningependaaa au mkuu wangu wa mkowaa wangu yuko vizurii Sana duuhuu h

  • @johnmanda3210
    @johnmanda3210 5 лет назад +86

    huyu jamaa atahusika kwenye kampeini kumsaidia mkuu... yuko vizur xn wana tbr tusiame

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 5 лет назад +1

      nahamia Toronto...lol

    • @mussabuhe1832
      @mussabuhe1832 5 лет назад

      Jamani morogoro lini mamikoa yote naona kama mamizigotu sijuikunaninitu jamani

    • @alexngao4605
      @alexngao4605 5 лет назад

      Nkbl

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 5 лет назад

    Anaesema ni comed apite kulr anatiririka vzr mnoo hongera mzee

  • @shabanijulius8345
    @shabanijulius8345 5 лет назад +12

    Motherland ❤

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 2 месяца назад

    Enzi hizo kulikuwa na mbwembwe na vicheko kwenye uongozi Mungu awabariki

  • @costantui9169
    @costantui9169 4 года назад +4

    Hamna mkuu wa mkoa ninayempenda kama huyo Tanzania nzima

  • @nascomtz1189
    @nascomtz1189 2 месяца назад

    Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @obamachamwino7670
    @obamachamwino7670 5 лет назад +12

    daaah.. uyu jamaa n atareeeee sana.. aya toronto tujuane apo wazee

  • @adolpheaoci5706
    @adolpheaoci5706 11 месяцев назад

    Watanzania kama mulikuwa katika kifo cha Rais Magufuli kama tunavyo sikia kwenye mitandao yaki jamii, mulifanya kosa mbaya sanaaaaaaaaa

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 5 лет назад +12

    mzee wa vimbwanga.

  • @turkeyphone9629
    @turkeyphone9629 2 года назад

    Angekuwa huyu ni next president

  • @DanielleMendel-tt2ik
    @DanielleMendel-tt2ik 3 месяца назад

    2024 magufulification of Tanzania

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 5 лет назад +15

    Toronto
    😂😂😂😂

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 5 лет назад +2

    Nimewasukuma ndani

  • @kiginga
    @kiginga 2 года назад

    Hongera saa

  • @jumakapesa726
    @jumakapesa726 4 года назад +1

    Kampeni manager wa JPM 2020. Unafaa baba nakukubali Mzee wa Toronto

  • @fanuelsulle9577
    @fanuelsulle9577 2 года назад

    Njaa mbaya sana

  • @kelvinjonathan4772
    @kelvinjonathan4772 5 лет назад +2

    😁😀😀😂😂😂😁😁 daaah..!! We Mzee kiboko

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 2 года назад

    Safi sana

  • @joehenry2085
    @joehenry2085 3 года назад

    He John Pombe Magufuli rip. The best president Africa ever had

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 5 лет назад +3

    Mm ningekua magu ningempa uwaziri

  • @mahewasamwel398
    @mahewasamwel398 2 года назад +1

    TORONTO

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 6 месяцев назад

    Yaan huyu mzee Agrey na Mzee Makongoro Nyerere ni balaa ase wanachekesha na wanapiga kazi

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 5 лет назад

    Safi sana kijana

  • @husseinkhamis3475
    @husseinkhamis3475 6 месяцев назад

    Seeikali hawa watu hamuwaoni
    Baada ya kuondoka Tabora imesimama alipoiacha hakuna tena maendeleo

  • @hemedsuleiman9034
    @hemedsuleiman9034 Год назад

    Jpm bado upo moyoni lkn Mungu alikuhitaj ama kweli chema hakidumu

  • @michaelmakonda984
    @michaelmakonda984 2 месяца назад

    Hotuba ya maguful ya balozi kijaz

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj 6 месяцев назад +48

    Huyu mzeee ni mashine ya kazi.. kama umeangalia hapa 2024. Baada ya kum miss magufuli wetu.. 🤝

  • @israelsiame4403
    @israelsiame4403 3 года назад +570

    Nani ameangalia hii baada ya Dr Magufuli kutangulia mbele za haki, like tujuane.

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on 5 лет назад +153

    Nisije nikakukosea adabu mkuu! Hebu nipeni like jamani maana nimecheka sana!

  • @barakaoriginal4044
    @barakaoriginal4044 3 года назад +86

    Naitazama paka keleo 28/3/2021 Niachie like yako

  • @lazaromasimami9094
    @lazaromasimami9094 3 года назад +24

    Wangap wanangalia had sasa video hii tujuane

  • @johntogoro6191
    @johntogoro6191 3 года назад +46

    Tulifurahi sana enzi zenu jamani, ila ndo mapenzi ya Mungu

    • @suzansuzanei1143
      @suzansuzanei1143 2 года назад

      Amefariki kwani huyu mkuu wa mkoa

    • @quanthug9517
      @quanthug9517 Год назад

      @@suzansuzanei1143 hapana yupo Ila kwa Sasa sio mkuu wa mkoa ,alitaka kugombea ubunge akashindwa kwa kura Moja.Kwahiyo Kwa Sasa ni barozii wa zao la pamba na Mwinjilist Kanisa Fran hivi la tabora

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 10 месяцев назад

      Yupo hai

    • @mwinyikadhi2870
      @mwinyikadhi2870 10 месяцев назад

      Yupo hai

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 6 месяцев назад +1

      Yaani saa hizi tungekuwa kama Ulaya😢

  • @jamessilwamba4259
    @jamessilwamba4259 3 года назад +3

    mwanri kuna kipindi alikuwaga waziri wakati wa maswali bungeni mbunge akimpiga swali kabla hajajibu kwanza anamsimfia mbunge muulza swali kwa swali lake zuri na anavyowatetea watu wake baada ya hapo ndio anamjibu swali lake ana mbinu sana za uongozi

  • @dioskorimtalo2348
    @dioskorimtalo2348 4 года назад +19

    Kiukweli katika speech zilizobamba na zitabamba miaka nenda rudi ni hii.. Mwanri ana uwezo mkubwa mno Tena sana wa ku capture mindset & attention za watu. Magu mwenyewe hapo anasaluti 😆

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 5 лет назад +171

    Wangp Wana Amin manwali ndo kiboko ya maguful

  • @majosamalundi3687
    @majosamalundi3687 4 года назад +32

    Huyu mzee nampenda kwa sababu hana shida nawanasiasa anachapa kazi mungu amubaliki

  • @rehmadamian8020
    @rehmadamian8020 5 лет назад +10

    Dah kama unastres zinaisha zote hongera baba unakipaji cha kufurahisha na kuongea 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mereyamhomesmariamhomes3464
    @mereyamhomesmariamhomes3464 3 года назад +29

    Sijui kwa nn walimpa uaraisi Samia SULUHU sibora wangempa Huyu mzee wa Toronto yupo vizur Mashallah

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 5 лет назад +55

    Huwezi choka kumsikiliza Rc Agrey Mwanri. Nimesha sikiliza hii clip zaidi ya mara 5. Na sitachoka kurudia kusikiliza. Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa

  • @awenanassor3169
    @awenanassor3169 5 лет назад +77

    Hiyo speed ya kuongea utafkiri umesetiwaa au ulipita studio nini? Endeleaaa kusuquma ndani wahalifu

  • @tuonhfhgf1605
    @tuonhfhgf1605 5 лет назад +46

    Yaan Mzee Unaongea Kama Unatafuna Halua Tamu Isiyokwisha utamu

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 4 года назад +11

    😂Nampenda sana huyu Mzee wa Toronto huwaga ananifuraisha mpaka natokwa na machozi ya furaha, Good job Mzee Mwanri

  • @silamwamlima2758
    @silamwamlima2758 5 лет назад +102

    Mwanri anaongea balaaaaaaaa duuuuu full comedy

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 3 года назад +1

      Comedy lakini kwa vitendo ni balaaa

  • @annamsemwa1946
    @annamsemwa1946 5 лет назад +87

    Nataman tu skku moja nikutane na Mh. Magufuli walau nimshike mkono wa kumpongeza. Mungu akulinde Rais wangu na vibaraka wrote na wasokupenda wote no wachawi

  • @samsonsamson1152
    @samsonsamson1152 5 лет назад +174

    upele umempata mkunaji....nahamia torontooo

  • @gitegagitega6543
    @gitegagitega6543 4 года назад +8

    Sukuma ndani natamani nahuku🇧🇮🇧🇮nione mvi Kama yamzee wa Toronto tabora magufuri wewe nijembe dunia nzima Mimi Ni MURUNDi nikionana nawee face to face nakupa Laki mbili atakama wewe nimweshimiwa kwasababu wewe nijembe dunia nzima 🙏🙏🙏ww Ni number ☝️✔️✔️✔️✔️✔️✔️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊👊💪👊🏋️🏋️🏆🏆🏆 wabongo mungu awape Nini? 👊👊

  • @williamkwigema4169
    @williamkwigema4169 5 лет назад +148

    Toronto ya Tanzania. Big up Mh Rais kwakumteua huyu mzee. Tuletee huyu mzee hapa Manyara.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 года назад +9

    Rais Mama Samia mpe huyu jamaa Mkoa mmoja tufurahi.

  • @martinswai8031
    @martinswai8031 3 года назад +8

    😂😂😂😂 mwanri sijui anakuaga amepata mvinyo kidogo manake anafurahisha. R.I.P mkuu Magufuli

  • @zakariamkopi3353
    @zakariamkopi3353 2 года назад +3

    Kwanza anavyo ongea t ana jiamini na kile anacho kisema nikiongozi wa maana sana huyu mzee ni mchapa kazi hakika

  • @GLOBALFIREONLINE
    @GLOBALFIREONLINE 5 лет назад +1

    Safi Sana huwa nikusikiliza lazima nitabasam

  • @adrianmallyakibona.352
    @adrianmallyakibona.352 4 года назад +6

    Aggry Mwandry, ni mfano wa viongozi shupavu wanajua Kucheza na opportunities. Kiukweli raisi amefanya kazi kubwa na mkuu wa mkoa huyu ni mfano wa kuigwa Kwa kweli... Hongereni Sana viongozi wa nchi

  • @elijahgichumbi9971
    @elijahgichumbi9971 Год назад +21

    East Africa will never have a President like this. Whoever instigated Rais. John Pombe Magufuli's death, his or he's 10 generations will only see trouble. Rest well my hero

    • @MrHersun
      @MrHersun Год назад

      Covid killed him for his obtuseness

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 2 года назад +14

    Magufili he was my hero RIP

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +6

    Mzeeee was sukuma ndani😄😄😄😄😄😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💥💥💥kura yangu nakupa bure kabisa. Unapiga kazi sana.

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 4 года назад +4

    Nimerudi hapa baada ya mkuu huyu kustaafu.Jamani natamani awe mbunge wa ukonga Dar yani huku kumesahaulika.Huyu waitara hata hatujui anafanya nini.

  • @ismailmneka2967
    @ismailmneka2967 2 года назад +3

    Daaah hakika serikali ya magufuli ilichangamka sana

    • @saidantugwa7671
      @saidantugwa7671 2 года назад

      13hrs ulikuwepo mzee ....dah tunamis ving sana awamu ya 5

  • @jaxboytv7834
    @jaxboytv7834 5 лет назад +73

    TORONTO'S PEOPLE MPO...🔥🔥😂😂

  • @JoshuaMasunga
    @JoshuaMasunga 2 года назад +4

    Dah, Mambo yetu ni bambam🤣🤣 likes nyingi kwa Mzee wa Sukuma ndani tafadhari........

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 5 лет назад +28

    Heheheeee!! Kama umemwelewa mkuu wa mkoa wa taboraa kama mimi gonga like🤣🤣🤣

  • @paulnyobisontours3423
    @paulnyobisontours3423 5 лет назад +28

    Big up sana mwanri👏👏👏

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 4 года назад +20

    Briliant and exellent speech.

  • @tereseamasawe8111
    @tereseamasawe8111 5 лет назад +82

    MZEE WA SUKUMA NDANI OYEEEEEEE

  • @thomasmagoti1525
    @thomasmagoti1525 5 лет назад +23

    Mhhhh!!!! Hahaahasss sukuma ndaniiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 5 лет назад +12

    SuKuma ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...... I Love ToroNto💝💝🇹🇿💝💝

  • @williamramatinga3607
    @williamramatinga3607 5 лет назад +8

    Hongera sana mh. Mwanri kwa hotuba fupi na nzuri.

  • @Masco_Ke
    @Masco_Ke 4 года назад +39

    I am from kenya but yes he is doing great Tabora is growing

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 5 лет назад +11

    Hongera sana Mhe RC tabora uko vizuri wewe ni shujaaa hata prezident anakujua kuwa wewe ni shujaa tunaiombea kila raheli Toroto

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph2789 3 года назад +1

    Uyu jamaa bora ndio angekuwa makamo wa raisi, maana magufuli hatunaye huyu angefiti kidogo maana tumevutiwa kuwa na mtu mwenye msimamo kama jpm, kaaaa tz tunamajembe kusema ule ukweli pumzika baba uko ulipo

  • @arsenmakoye4650
    @arsenmakoye4650 5 лет назад +30

    mzee wa vituko Mungu ampe maisha marefu

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 лет назад +39

    JMP flesh air of Tanzanian politics....mpaka raha...

  • @martinfrancis3709
    @martinfrancis3709 5 лет назад +16

    Mimi nakuombea uwe mhubili wa injili safi sana

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 2 года назад +13

    Absolutely true,! He did a great job in Tabora .

    • @ambelejames1862
      @ambelejames1862 2 года назад

      RC huyu nilikuw namuelewaga sana hata cjui wamempeleka wap

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini6254 5 лет назад +11

    Upo vzr ktk kuwasilisha mzee

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 лет назад +67

    Hahahaaaaa mwanri km amemeza 8 GB asee

  • @oparanews5354
    @oparanews5354 5 лет назад +42

    natamani nikutane na magufuli nimuambie amhamishie mwanri hapa dar awe mkuu wa mkoa wa dar

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +42

    Aiseee ardhi inafukuliwa hadi inalia!

    • @nelsonjackson7332
      @nelsonjackson7332 5 лет назад +1

      Sisi wa Toronto tupo swafi. Maisha ni motooo

    • @atikombogolo2356
      @atikombogolo2356 5 лет назад +2

      Hapo imebidi magu acheke tuuu😂😂😂🤣🤣🤣

  • @babuuwakitaa1285
    @babuuwakitaa1285 4 года назад +6

    Safiiii Mzee Wang nakukubaliiii kinyamaaaa

  • @cruzzymsomalitm7676
    @cruzzymsomalitm7676 5 лет назад +8

    *dah uyu jamaa ni noma anaongea faster kama kameza wasafi studio*🔥🔥🔥🔥🔥

    • @vitalsymon454
      @vitalsymon454 5 лет назад +1

      Cruzzy MsomaliTM SIHA tunakusubiria mbuge wetu

  • @mohamedsigwa1712
    @mohamedsigwa1712 5 лет назад +6

    Mambo ni bambam mzee magu twende mbele watatukuta huko sha fika

  • @abdulrahmanmuhamad6927
    @abdulrahmanmuhamad6927 5 лет назад +25

    Nampenda sana huyu mzee

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 5 лет назад +9

    Kaka!! unakemea mapepo au unahutubia, mbn mpk kuhema unashindwa 😂😂😂😂

  • @Mazanhi-G
    @Mazanhi-G 3 года назад +5

    Hii ndio video ya kwanza kuangalia na kuvutiwa kwa huyu mkuu. Toka hio siku ilibidi nitafute kumjua zaidi. Mtu wa ajabu sana. Namfuatilia sana, watu wa tizedi nawaomba mpeni huyu kiti aongoze nchi.

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 5 лет назад +7

    Hahahaha umetisha mzee wa Toronto huwa nakukubali sana.

  • @francekolmban
    @francekolmban 4 месяца назад +1

    Natazama leo tareh 11/5/2024 ..... RIP magufuli

  • @amosmadaha6428
    @amosmadaha6428 5 лет назад +6

    Hahahahhahahahahahahhahahahaha Aridhi ya Tabora inalia hahahahahhaha kwa kufukuliwa

  • @issazakaria9704
    @issazakaria9704 5 лет назад +21

    Huyu jamaa ni shida anaongea fluently kama mchina

  • @dionizcyprian7045
    @dionizcyprian7045 3 года назад +31

    The best speech I never heard