Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
Saw
Tumbuaaaa kabisaaa ao
Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!
Umeona eee
👍👍👍
Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali
Yes
Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako
Kwa sasa ZILIPENDWA
NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA
🤣🤣🤣🤣🤣
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
Hahahaha
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
Oyooo comedian also
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote
Nimecheka.yuko sirias
😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.
kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia
da!
Hapo umenena iliokweli
piga kazii
Good leadership hongera sana from Canada
Hello
🦓🇹🇿
Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine
Kweli kabisaa!.
Kweli kabisa..
Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi
Hataki utani
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
it is my tradition to come and watch this in a while.....
I thought i was alone, 😂
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
Chukua kalamu ya kijani upate upako
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
Kweli yeye bora asome
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
Soma iyoooh
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
Kiongoz bora kbsaa
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
Basaga hahahaha
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
This is genius leader
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
Sukuma dani mweshimi huyo
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
Zefa Mange hi
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
Amekunywa
Hongera sana mheshimiwa
Magu ampe uwaziri wa michezo
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
Hahaha
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
Mbona Makonda naye yupo Moto?
Mis you mwamri!!
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
You deserve to president in this country.
Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !
Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu
Daah i like this RC
Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh
Mwanri Big up Sana kiongozi
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
Value for Money
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ngapi ukoo
ataliiiiii
Viongozi kama hawa ndo wanatakiwa Tanzania...
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
vingozi.kama.hawa.ndio.wanatakiwa.sio.wanao.ofisini
Mwalimu DOTTOOO
Mkuu wa mkoa nyoosha tabora yote
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
Yaani nacheka sana lakini nimegundua kua katika wakuu wa Mikoa waliotrend kwa mitandao ya kijamii ni huyu Mzee
Ahmada Zubeir kwel
Hh
😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu
Hahahahah
Saf
😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃🏃🏃👌👌👌👌mambo ni fireeeee
Hahahah watabika sana😂😂😂
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania
Nyosha kidole
Mwl Dotto tunakuaminiaaaaaa
safisana tukipata viongozi kamahawa nchi itafika mbarisana rakini kwasasa wezi wanajitawara kirakona wenfine tayari wamegeuka madarari wawa china madarari wawazungu huku kwenye utawara uropita wamefanya mambo yakipuuzi kabisa watanzania tusikubari nchihii tunamasomi majizi mafisadi nahayafungwi yanarerewa kirasku nakuchekewa
Hongera
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
Mwalimu doto job is present
Nakupendaa
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee
Utawala huu mbon raha sana
Noma sana
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
Jaman huyu ndyo magufuli mwenyew sasa au mnasemaje
Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....
Uyu anafaa kuwa waziri wa ujenzi. Kama Mimi ndiye ningekuwa raisi huyu angekuwa ndiye
Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!
Zablab 😆😆😆😆😆😆
Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele
Kaz nzuriiiiii
Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini
Saw
Tumbuaaaa kabisaaa ao
Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz
Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!
Umeona eee
👍👍👍
Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali
Yes
Eliza kazana anafaa kwa kuwa ana akil za kipumbavu kama zako
Kwa sasa ZILIPENDWA
NAGUNDUA NDO MAANA WACHAGAA HATUPEW MADARAKA KWA KUWA TUNAONGEA KWA KUROPOKA
🤣🤣🤣🤣🤣
Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa
Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu
😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!
Hahahaha
Andrew Tamba 🔉ongeza saut
😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaha noma kweli mwalimu dotto
Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁
Oyooo comedian also
huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi
Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote
Nimecheka.yuko sirias
😂😂😂😂😂😂😂 moto wakuhoteambali
KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍
Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.
kwa watu wengine nisawa lakn kwako utalia
da!
Hapo umenena iliokweli
piga kazii
Good leadership hongera sana from Canada
Hello
🦓🇹🇿
Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine
Kweli kabisaa!.
Kweli kabisa..
Askar huyo ataingizaje siasa...yeye anafanya vitu kijeshi
Hataki utani
nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri
it is my tradition to come and watch this in a while.....
I thought i was alone, 😂
Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako
Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁
Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele
Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo
Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...
27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like
Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid
Chukua kalamu ya kijani upate upako
Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI
Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo
Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,
Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍
Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa
Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa
😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi
Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye
Kweli yeye bora asome
hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira
Sanaaa asikae.nwanzi wa tape
Soma iyoooh
Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo
Kiongoz bora kbsaa
Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy
😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅
Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli
Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako
Basaga hahahaha
Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee
This is genius leader
Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀
😂😂😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂 hatar
Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno
Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi
Sukuma dani mweshimi huyo
Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari
Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana
Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani
KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO
Zefa Mange hi
Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝
Amekunywa
Hongera sana mheshimiwa
Magu ampe uwaziri wa michezo
Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz
Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO
😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa
Hahaha
kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa
Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021
rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok
Mbona Makonda naye yupo Moto?
Mis you mwamri!!
🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc
Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.
Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please
Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa
You deserve to president in this country.
Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto
Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !
Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah
Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu
Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu
Daah i like this RC
Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh
Mwanri Big up Sana kiongozi
jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora
Value for Money
Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali
we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂
Ngapi ukoo
ataliiiiii
Viongozi kama hawa ndo wanatakiwa Tanzania...
Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣
vingozi.kama.hawa.ndio.wanatakiwa.sio.wanao.ofisini
Mwalimu DOTTOOO
Mkuu wa mkoa nyoosha tabora yote
Laaaaaaaaa aiseee noma sana
Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo
😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto
Yaani nacheka sana lakini nimegundua kua katika wakuu wa Mikoa waliotrend kwa mitandao ya kijamii ni huyu Mzee
Ahmada Zubeir kwel
Hh
😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu
Hahahahah
Saf
😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃🏃🏃👌👌👌👌mambo ni fireeeee
Hahahah watabika sana😂😂😂
Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri
Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania
Nyosha kidole
Mwl Dotto tunakuaminiaaaaaa
safisana tukipata viongozi kamahawa nchi itafika mbarisana rakini kwasasa wezi wanajitawara kirakona wenfine tayari wamegeuka madarari wawa china madarari wawazungu huku kwenye utawara uropita wamefanya mambo yakipuuzi kabisa watanzania tusikubari nchihii tunamasomi majizi mafisadi nahayafungwi yanarerewa kirasku nakuchekewa
Hongera
"msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂
Mwalimu doto job is present
Nakupendaa
Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee
Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee
Utawala huu mbon raha sana
Noma sana
🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂
Jaman huyu ndyo magufuli mwenyew sasa au mnasemaje
Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....
Uyu anafaa kuwa waziri wa ujenzi. Kama Mimi ndiye ningekuwa raisi huyu angekuwa ndiye
Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!
Zablab 😆😆😆😆😆😆
Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele
Kaz nzuriiiiii