INJINIA AINGIA KWENYE 18 ZA RC MWANRI/ ASOMESHWA NAMBA HADHARANI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 366

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 лет назад +134

    Kama mnaona uyu jamaa anafaa kuwa raisi agonge like apo chini

  • @asiasaidi6302
    @asiasaidi6302 2 года назад +5

    Mungu aendelee kukupumzisha kwa Aman hayati Dr John Joseph pombe magufuli

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed7110 3 года назад +82

    Wangapi tumepitia hapa mwaka huu nipeni like plz

  • @beatricshadrack321
    @beatricshadrack321 2 года назад +19

    Kwa upande wangu anafaa kua Rais wa Tanzania, haki ya MUNGU nasema!!!!!

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 3 года назад +41

    Anafaa sana kuwa makamu was raisi,gongs laiki kama umekubali

  • @slaustv6129
    @slaustv6129 5 лет назад +44

    Nataka watu wa mkoa tu wagonge like hapa

  • @yahayamkone4040
    @yahayamkone4040 5 лет назад +13

    Mzee wangu kweli unapiga kazi kisawasawa hongera muheshimiwa rais wetu kwa kumchangua mpiga kazi huyu

  • @andrewtamba6671
    @andrewtamba6671 5 лет назад +168

    😂😂😂 we Mwalimu Dotto soma uko! Kama umesikia hii gonga like!

  • @am_blessed.1
    @am_blessed.1 4 года назад +33

    Nataka watu wa mkoa tu GONGA LIKE hp 😁😁😁

  • @erickmassawe5107
    @erickmassawe5107 5 лет назад +12

    huyu mchaga ni noma xana nataman angerud awe mkuu wa mkoa wa kilmanjaro awaonyeshe kaz hapo wanyamwez wamekoma ubixhi

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 4 года назад +29

    Hivi Raisi anafuatilia clips za huyu bwana!,huyu ndo best kuliko wote

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 года назад +23

    KAMA NA WEWE UMEMMIC BINGILIII SUKUMA NDANI PITA NA LIKE👍

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 лет назад +83

    Mh. Rais wangu utakapomaliza mda wako mkabidhi huyu uraisi maana wazembe watanyooka2.

  • @isamazatv.115
    @isamazatv.115 5 лет назад +14

    Good leadership hongera sana from Canada

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi3655 5 лет назад +59

    Uzuri wa huyu Mkuu wa Mkoa,haingizi siasa kwenye kaz kama wengine

  • @farajakihembwe307
    @farajakihembwe307 4 года назад +3

    nakupenda,nakueshimu,huko ulipo kiongozi Bora RC agrey Mwanri

  • @davismremi8986
    @davismremi8986 2 года назад +20

    it is my tradition to come and watch this in a while.....

  • @mohamedkigwehe3479
    @mohamedkigwehe3479 5 лет назад +6

    Safi sana mkuu nimekukubali mzee upo vizuri kwenye kazi yako

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 4 года назад +12

    Msiniangalie Kwa Huruma😁😁😁

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 4 года назад +5

    Jamani mwenye namba ya injinia naomba anipe nimempenda sana vile alivyo cool kwenye makelele

  • @jafarymdollo4420
    @jafarymdollo4420 5 лет назад +6

    Napenda kufanya kazi na huyo mzee somaa hiyo

  • @alfredmsambaa1443
    @alfredmsambaa1443 4 года назад +7

    Shika hii kalamu ya kijani leo upate upako hahhahaaaa kama umeskia iyo mwishon apa gonga like...

  • @decruzz6792
    @decruzz6792 2 месяца назад +2

    27/4/2024 kama unaangalia Gonga Like

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 5 лет назад +8

    Dah yani huyu mkuu ni nomaaa,hataki utani na kazi angekua headquarter ingekua noma zaid

  • @elibarikimiage6204
    @elibarikimiage6204 2 года назад +9

    Enzi wa magufuli kazi ilikua inaenda kwa uhakika R.I.P MAGUFULI

    • @msafiriduwiya953
      @msafiriduwiya953 Год назад

      Juyu ndivyo alivyo toka alivyokuwa tamisemi naibu waziri Kwa kikwete Hana mchezo

  • @papaampondele1750
    @papaampondele1750 5 лет назад +13

    Taifa tunajivunia watu kama hawa! mungu wapemaisha malefu,

  • @ramsoramaa6798
    @ramsoramaa6798 4 года назад +3

    Mwalimu Dotto pole kwa kusoma 👍👍

  • @husseinsalimhemed7169
    @husseinsalimhemed7169 5 лет назад +13

    Mimi ni mkenya,,nafuraia uwongozi wako tabora,Wewe ni Mzee wa maendelo kabisa

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 лет назад +6

    Ukimuangalia huyu mzee unajikuta unachekacheka kwaraha Kama unatekenywa

  • @junioramos2997
    @junioramos2997 5 лет назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂 daaaaa cjawai kuona uyu jamaaa Hana mambo ya siasa kwenye kazi

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 5 лет назад +32

    Nakushauri next time RC tape measure kule kunapo anzia mpe mtu akushikie wewe uwe unaziona redings wasikudanganye

    • @abrahamdaniel7564
      @abrahamdaniel7564 4 года назад

      Kweli yeye bora asome

    • @mrs2918
      @mrs2918 4 года назад +1

      hawezi kudanganya sababu wanajua ni dakika 3 mbele, hakawii kurudia kusoma apoteze ajira

    • @mohamedkichendo7720
      @mohamedkichendo7720 4 года назад

      Sanaaa asikae.nwanzi wa tape

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 3 года назад +1

      Soma iyoooh

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 5 лет назад +5

    Inamaana wakuu wa mikoa wa sehemu nyingine kwao hawajengi hata vyoo mbona sioni wakisimamia ujenzi ipasavyo

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 5 лет назад +15

    Kiongoz bora kbsaa

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 2 года назад +3

    Utawala wa hawa viongozi wazalendo wananchi tulikua so happy

  • @ahmadymuhina6546
    @ahmadymuhina6546 2 года назад +1

    😅😅😅😅🙌kama kuna mtu anabisha hapa anyooshe mkono hapa hapa halafu OCD jiandae😅😅

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 Год назад +2

    Nimewakumbuka sana makamanda wa kweli

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 5 лет назад +12

    Chukua hii kalamu ya Kijani Leo upate upako

  • @alikhamisame9636
    @alikhamisame9636 5 лет назад +8

    Huyu mzee namkubali Sana hebu angeletwa huku Zanzibar kuna mainjinia wa kichina wanatengeza mitaro ya ya maji taka hadi leo hawajamaliza huu sijui mwaka wa ngapi yani kila zikija mvua lazima mafuriko yatokeee

  • @ramsokhamis9262
    @ramsokhamis9262 5 лет назад +16

    Nadhan siku iyoo mwalim dotto alilalaa na dicropa kwa kwelii... 😀

  • @odilinadonald261
    @odilinadonald261 5 лет назад +12

    Kwa nini wakuuu wa mkoa wengi wasiige kazi za huyo yuko vizuriii mno

    • @beckasalum2620
      @beckasalum2620 2 года назад

      Ishu inakuja uyo ni injinia tofau na wengine kwayo umdanganyi

  • @barakaalmas3399
    @barakaalmas3399 5 лет назад +5

    Sukuma dani mweshimi huyo

  • @tsagytz6755
    @tsagytz6755 3 года назад +4

    Yaan nataman huyu mbogo apewe cheo cha juu serikalini mbna watajamba ubwabwa 😂😂😂😂 hawa akina bashiru na wakurugenz wa bandari

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 лет назад +11

    Yani huyu muheshmiwa ana akili cjapata ona humuibii bwana

  • @ayubuwilliam130
    @ayubuwilliam130 4 года назад +1

    Ongera kwa kazi nzuri kustaafu kwako kuwe kwa amani

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 5 лет назад +17

    KWELI AWAMU YA JPM NI YA MOTO

  • @veronicasamson7121
    @veronicasamson7121 Год назад

    Mwanry anatakiwa kua Naibu Waziri UJENZI. Ndo wajanja WATAKOMA!!!!😀😀. HONGERA SANA MH MWANRY. Kiongozi Bora na mcheshi..😍🤝🤝🤝

  • @kindboywillsmis8152
    @kindboywillsmis8152 5 лет назад +9

    Amekunywa

  • @rashidsalim3801
    @rashidsalim3801 5 лет назад +5

    Hongera sana mheshimiwa

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +11

    Magu ampe uwaziri wa michezo

    • @beckasalum2620
      @beckasalum2620 2 года назад

      Kwenye michezo atafer uyo injinia awe wazili wa ujenz

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 лет назад +3

    Napenda anavyosema ATAKUSOMESHA UYO

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 5 лет назад +13

    😂😂😂😂😂😂😂😂 angekuwa rais huyu tungekomaaaaaa

  • @mwidiniharuna9618
    @mwidiniharuna9618 5 лет назад +9

    kwenye karam ya kijan gonga mezaaaaa

  • @jamesmodest3206
    @jamesmodest3206 3 года назад +2

    Wangapi tumepitia hapa mwaka huu2021

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 лет назад +5

    rais tupe n.a. cc japo miez6 daa Huyu mzee wa fyekereambali Jiji Liwe ok

  • @mwalaprosper2291
    @mwalaprosper2291 2 года назад +3

    Mis you mwamri!!

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 4 года назад +3

    🤣 Jamani muangaliage nahela zakupja nyingine hazipigiki Jamani kueni makani kazi 🤣🙏👍 Vema sana Mkuu wamkoa Nc

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 года назад +1

    Huu ndo ulikuwa uongozi kipindi hicho Agrey Mwanri, Makonda, Sabaya,Ally happy hawa jamaa walifanya kazi na wananchi wazalendo wakifurahia.

  • @shedrackboniphace7755
    @shedrackboniphace7755 5 лет назад +4

    Huyu anawafaa mkoa wa Lindi please

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 3 года назад +2

    Kama umesikia mbaka yesu atajua hamja maliza hapa

  • @lucasmanyama2892
    @lucasmanyama2892 Год назад

    You deserve to president in this country.

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 5 лет назад +5

    Awamu Hii Wapiga Dili Kazi wanayo Maana Ugali wa Moto Mboga Moto
    Ulle Umangi Meza haupo Watu Wanawajibika Mbaya !

  • @dennisdennis7559
    @dennisdennis7559 5 лет назад +5

    Chukua hii kalamu ya kijan Leo upate upako hahahah

  • @khanbaba8125
    @khanbaba8125 3 года назад +1

    Mh magufr pls Baba ukistafu mwachie uyuuu mh icho kity ni ombi tu kwa mtazamo wangu

  • @salehali9203
    @salehali9203 5 лет назад +3

    Mh,haingizi siasa ktk kazi zake,viongozi wengine waige mfano wa mh,mkuu wa mkoa huyu

  • @graysonnyamsogoro376
    @graysonnyamsogoro376 4 года назад +1

    Daah i like this RC

  • @hunchoonetz8747
    @hunchoonetz8747 3 года назад +2

    Uyu jamaa anafka mbali namuombea awe rais aseh

  • @amanimwaifunga6524
    @amanimwaifunga6524 5 лет назад +1

    Mwanri Big up Sana kiongozi

  • @kyambarungwe4453
    @kyambarungwe4453 5 лет назад +2

    jamani tungiwa na kiongozi kama huyu mbeya daaa yani mbeya ingiwa kama ulaya magu mlete mbeya huyu maana ni kiongozi bora

  • @mchaking6504
    @mchaking6504 5 лет назад +2

    Value for Money

  • @jamesmassy5022
    @jamesmassy5022 2 года назад

    Dhaaa uyuu mwwmba nomaaa sanaaa namkubali

  • @iddyshabani5942
    @iddyshabani5942 5 лет назад +16

    we mwalimu doto soma huko 😁😁😁😁😁😂😂😂

  • @mgenikilindo5793
    @mgenikilindo5793 4 года назад +2

    Viongozi kama hawa ndo wanatakiwa Tanzania...

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 6 месяцев назад +1

    Angetufaa SANA huyu MWAMBA DUH 🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣

  • @chidijuma3925
    @chidijuma3925 5 лет назад +2

    vingozi.kama.hawa.ndio.wanatakiwa.sio.wanao.ofisini

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 5 лет назад +3

    Mwalimu DOTTOOO

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +4

    Mkuu wa mkoa nyoosha tabora yote

  • @paulkessy5267
    @paulkessy5267 5 лет назад +1

    Laaaaaaaaa aiseee noma sana

  • @mwengwamwengwa9678
    @mwengwamwengwa9678 2 года назад +1

    Tunakumbuka sana mzee wa soma hiyoooooo

  • @ezekielndaraba7221
    @ezekielndaraba7221 5 лет назад +3

    😀😀😀jamaa bwana we mwalimu Dotto

  • @ahmadazubeir5112
    @ahmadazubeir5112 5 лет назад +4

    Yaani nacheka sana lakini nimegundua kua katika wakuu wa Mikoa waliotrend kwa mitandao ya kijamii ni huyu Mzee

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 лет назад +17

    😂😂😂😂uku tabora balaa tupu uyu mzee watu wanalala na viatu

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 5 лет назад

    Naomba Baba JPM mpe Uwaziri mana kazi anaijua vzr piga kaz Mwanri

  • @salumally6614
    @salumally6614 Год назад

    Anafaa kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania

  • @AbdulRajabu-to3nb
    @AbdulRajabu-to3nb 25 дней назад

    Nyosha kidole

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 5 лет назад +3

    Mwl Dotto tunakuaminiaaaaaa

  • @kulwamussa2582
    @kulwamussa2582 3 года назад +1

    safisana tukipata viongozi kamahawa nchi itafika mbarisana rakini kwasasa wezi wanajitawara kirakona wenfine tayari wamegeuka madarari wawa china madarari wawazungu huku kwenye utawara uropita wamefanya mambo yakipuuzi kabisa watanzania tusikubari nchihii tunamasomi majizi mafisadi nahayafungwi yanarerewa kirasku nakuchekewa

  • @abdulkhamis815
    @abdulkhamis815 2 года назад

    Hongera

  • @abdullasuleiman
    @abdullasuleiman Месяц назад

    "msiniangalie kwa huruma, hakuna cha kiniangalia kwa huruma hapa, mimi nabeba zamanaaa😂

  • @MusaMasika-yx6ho
    @MusaMasika-yx6ho Год назад

    Mwalimu doto job is present

  • @bensonfrank4353
    @bensonfrank4353 Год назад

    Nakupendaa

  • @jamesmassy5022
    @jamesmassy5022 2 года назад

    Mama Samia kwanini tumia watu kama hawaaa hasaa apa kwetu mpunguzi dodoma ajeee

  • @JAY-YTZ
    @JAY-YTZ 6 месяцев назад

    Hatami napenda Sana awe raisi huyu mzee

  • @edwardmichael8074
    @edwardmichael8074 5 лет назад +3

    Utawala huu mbon raha sana

  • @davidmbwilo4954
    @davidmbwilo4954 2 года назад

    Noma sana

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 года назад +1

    🤣🤣🤣HUYU Mzee nikiboko arudi tena 😂

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад +1

    Jaman huyu ndyo magufuli mwenyew sasa au mnasemaje

  • @proffjay3882
    @proffjay3882 3 года назад

    Wapendao maendeleo na kuchukia ufisadi na watakao haki kwa wananchi bila mzaha, tafutieni uyu kiongozi kura za urais muhura ujao....

  • @kilingechasimulizi2072
    @kilingechasimulizi2072 2 года назад

    Uyu anafaa kuwa waziri wa ujenzi. Kama Mimi ndiye ningekuwa raisi huyu angekuwa ndiye

  • @zeddyshiznit
    @zeddyshiznit 5 лет назад +2

    Jamani kama Mkenya mungetupatia huyu Muchukue bunge yetu yote dah!

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 5 лет назад

      Zablab 😆😆😆😆😆😆

    • @allyomaly7795
      @allyomaly7795 3 года назад

      Aiwezekani izinizawadi kutoka kwamungu tunataka kusongambele

  • @ezekielngondya9590
    @ezekielngondya9590 3 года назад

    Kaz nzuriiiiii