AFISA ELIMU AZIMIA GHAFLA KISA KATUMBULIWA NA RC MWANRI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 65

  • @jaybinmwinyi5918
    @jaybinmwinyi5918 2 года назад +9

    Hongera sana mwanrri kwa kazi bora unayoichapa big up, , , , moto wa kuotea mbali..💥💥

  • @balakakalagho1388
    @balakakalagho1388 2 года назад +6

    Eti amekunywa dilisha😀

  • @jacksonjacksonjacksonjacks9879
    @jacksonjacksonjacksonjacks9879 2 года назад +1

    Mzee una tumia nguvu nyingi sana kuongea daha pole sana mzee wetu 2022

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 2 года назад +12

    Magufuli alikufa kwa sababu Kikwete hakupenda Uongozi wa ukweli na yeye atakufa tu Msoga muuaji na genge lake. Magufuli alikuwa anaweka watu wa kuongoza wachapa kazi siyo km huyo bibi Tozo anavyo tuburuza Watanzania anaweka washenzi wezi vibaka waliokuwa wamefukuzwa na Magufuli

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 лет назад +6

    🤣🤣🤣I loooove this guy,kweli simba huzaa simba magu hoyeeeeee

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 Год назад +2

    Nilikuwa nampenda mwanri

  • @aloycendalu6867
    @aloycendalu6867 2 года назад +1

    Hongera sana unanibaliki muno kamaumeokokavile

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 8 месяцев назад +1

    Mtu alikunywa drisha 😂

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Год назад +1

    Hio safi ujinga na uzembe hta Kama unacheo

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 5 лет назад +4

    Huyu Mzee ni Moto wa Tipa

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 2 года назад +3

    Mzee huyu namkubali mpaka naumwa

  • @shukuruezekiel1988
    @shukuruezekiel1988 2 года назад +4

    Duu kweli mwanile angekuwa raisi sijui tungekuwaje viboko vingeahusu wasio penda kazi

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 8 месяцев назад +1

    Awamu ya sita wakuu wa mikoa wakula bata tu, hakuna kazi wanayofanya,zaidi ya kucheza pull table,

  • @sebaskibiki4836
    @sebaskibiki4836 6 месяцев назад +1

    Mtu kazima! Suo mchezo

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 2 года назад +1

    Mzee mwanri😂😂👍

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 2 года назад +1

    Huyu apewe form ya urais 2025. Hata akisimama peke yake anachukua

  • @ancomagu3155
    @ancomagu3155 5 лет назад +2

    Huyu ndie RC MWANRI eti

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 2 года назад

    Nyieee😂😂😂😂mtakomaaa mbonaa

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Год назад

    Usiniangarie Kwa huruma sio mchezi majembe ya magu haikuwa kitoto kazkz

  • @oscarmachume8886
    @oscarmachume8886 2 года назад

    Dah kweli mzee

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 2 года назад +1

    RIP Magufuli

  • @amriharuna4236
    @amriharuna4236 4 года назад +3

    Usiniangalie kwa jicho la Huruma

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 2 года назад

    Amekunywa dilisha 🤣🤣🤣🤣injinia anatia huruma

  • @majaliwarobert7709
    @majaliwarobert7709 2 года назад

    Naomba es

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 9 месяцев назад

    Huyu mwar namuita BLACK MAMBA

  • @nestgrammyz5475
    @nestgrammyz5475 5 лет назад +2

    Eti Amekunywa hili 😂 😂

    • @robertj.4484
      @robertj.4484 2 года назад

      Amekuywa dirisha... 😂😂😂😂

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 лет назад

    Sweka ndani

  • @paulmuchu9095
    @paulmuchu9095 2 года назад +1

    Soma hiyo

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 2 года назад

    Songombingo na kitimutimu make, Mzee anachachafya vumbi kabisa huyu, daaah!!

  • @adijajuma4978
    @adijajuma4978 5 лет назад +3

    Sukumaa ndani hao

  • @ericktweve5477
    @ericktweve5477 5 лет назад +2

    Fyekelea mbalii

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 2 года назад +1

    NANI AMEKUNYWA DILISHA🤪😀

  • @PrissilaHussein-og3cg
    @PrissilaHussein-og3cg Год назад

    Eti amekunywa dirisha haha

  • @vitusgeraldo2282
    @vitusgeraldo2282 5 лет назад

    Fyekelea mbalii hao

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 года назад

    Kioja😁😁

  • @keffajacob8952
    @keffajacob8952 2 года назад

    Hivi kuna mtu anaitwa bibi tozo🤣🤣🤣🤣

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 2 года назад

      @Mtanzania Halisi ndio walewale mn unamvaa Kila anaeuliza swali hovyoo👌👌👌👌

  • @josephatjohn2390
    @josephatjohn2390 5 лет назад +2

    Utakuja kuua Babuu

    • @omaryshafii50
      @omaryshafii50 5 лет назад

      Alafu yule mama hana utaalam wowote

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 5 лет назад

    Safi kabisa walizoea

  • @amranisongoro3497
    @amranisongoro3497 2 года назад

    Amekunywa hili

  • @mubarakahamis2259
    @mubarakahamis2259 5 лет назад

    Nomasan

  • @ramadhanjuma1184
    @ramadhanjuma1184 2 года назад

    Daniel mgogo

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 лет назад

    Nishidaa

  • @hamadyussuf5307
    @hamadyussuf5307 4 года назад +1

    Mzee unawazalilisha wenzio

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 лет назад

    Safi uzembe umezidi Tanzania wakomeshe wote wajue nafasi zao

  • @salmaiddy6059
    @salmaiddy6059 5 лет назад

    Hahahaha kazimia hahahahhaaaa

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +1

    Utaratibu WA kumsimamisha mtumishi haupo hivo...mwanasiasa hata mandatory power ya kumsimamisha mtumishi.. na ni udhakilishaji ambao ni kosa kisheria kufanya huo upuuzi

    • @josephatmassae7316
      @josephatmassae7316 2 года назад +2

      Ulitaka ufwate utaratibu wa nini wakati umeharibu kazi kwa uzembe wako!!
      Labda kwa tamaa zako binafsi sasa unataka awabembeleze!!
      Ndo maana akasema wasimame kazi uchunguzi ufanyike wakikutwa hawana hatia watarudi kwenye shughuli zao!!

    • @thomasmartinez786
      @thomasmartinez786 2 года назад +3

      Wee nae mjinga kweli hujui kitu

    • @flova7022
      @flova7022 2 года назад

      @@thomasmartinez786 wewe ndio mjinga na hujuii... Pengine hujui sheriaa za utumishi na mipaka ya wanasiasa nenda ofisi ya utumishi kajifunze. Shida za watu msio jua sheria za utumishi omba ufundishwe ndugu yangu.usikae kusema mjinga...kumsimamisha mtumishi hadharani hiyo haipo kwenye ofisi zetu za utumishi na ni kosa la udhalilishaji..nukuu speech ya mama. Ummy avokuaa tamisemi utajuaa nachosema hususan juu ya Madiwani...pia unapaswa kujuaa mipaka na kazi ya Kila kiongozi ndio utaelewa hili

    • @hindisaidi5097
      @hindisaidi5097 2 года назад

      Jifunze kuelewa maudhui kwanza...hapa hajafukuzwa mtu kazi , wanachunguzwa tu.bado waajiriwa lakini kasoro ziliopo "dhaahiri" ni kubwa!

    • @flova7022
      @flova7022 2 года назад

      @@hindisaidi5097 weww ndio hujanielewa sijaandika kufukunzwa hapo.. nimesema Hana mandat ya kumsimamisha hadharani hivyo ni kosa kisheria. Kuna taratibu zake usitumie mihemko kujibu

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣