Aggrey mwanri nakuelewa vzr sana unatenda haki kwa wananchi urais unakufaa ikiwezekana 2025 chukua fomu ya kugombea urais kabsa nakukubali naiman utashinda tena kwa sana
magufuli hembu muangalie huyu jamaa kwa makini umpe uwaziri mana ndio mkuu wa koa mwenye mamuzi ya fasta hataki ujinga nakazi zinaenda mkoani kwake sio wakina makonda maneno mengi tuu
asantee baba kamata wote sukuma ndani ....
laza kitongoji ndani ...
.............watasomeka tu
Ngumu kumuelewa lkn ni kiongozi mzuri sana anaehakikisha hachezewi kiholela. Bing up Mkuu wa Mkoa Mungu akulinde miaka yote.
Kkpklp0limii..llilil
Safi Sana mkuu wetu wa mkoa tabora, hakika tumekumic sana
😂
😂😂😂 Mzee wa sukuma ndani tumekumiss sana
Saaafi sn! Haiwezekan kusumbua watoto afu wengne wanaharibu
no way nisijie nikasukumwa ndani bure😂😂😂😂😂
Gud
Haha jmn sukuma wote kitongoji kizima gonga like kam umeckia hiyo
Sunday Mjeda
Kakombeeeee kitongoji chote 😂😂😂😂
Nakukubali sana mweshimiwa
Huyu jamaa kazi kazi
Aggrey mwanri nakuelewa vzr sana unatenda haki kwa wananchi urais unakufaa ikiwezekana 2025 chukua fomu ya kugombea urais kabsa nakukubali naiman utashinda tena kwa sana
God bless you father siku moja urithi alichofanya magu
😂😂😂😂😂😂 taboraa wanakumic Sana baba yaaan nimetoka uko juz wamekumc baba
penda sana mwanri unamaamuzi ya haraka na busara kweli wanafunzi wanateseka sana afu watu wazma wanaharibu weka ndani atapatika alie choma
Hongeraaa kwa kuona ukweli wa mzee.
Ukikaa kwenye mkoa wa huyu jamaa kamilisha adi mambo yte ya uhamiaji uyuu jamaa noomaa😀😀
Hahahaaaa wacha izoo utasikia
Aggrey Mwanri akiwa raisi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania- wote tutakuwa Torontoooo ila Vipra paraaaaaa
Kitongoji chote sukuma ndani
Dahaa huyu Mzee noma kawanunisha watu wotee
sukuma ndani dadeq
Nakukubali Sana mkuu
Hapa kazi tu....sukuma ndani
Komba kitongoji chote sukuma ndan ahahaha baba ulifaa kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Good job baba
The next TANZANIA president.
Akiwa raisi uyu tutajinyea lazima
Yuko vizuri
pamoja sana mkuu wa mkoa
Huyu mkuu wa mkoa ni 🔥🔥🔥🔥
Aggrey mwanri
Kama umeckia kiparapara gonga like
iloo... wa2 hawalyk
mzee wa soma hiyooooo
Sukumaaa ndaniiiii??
😂😂😂😂 kidogo kidogo wale mbuzi na kondoo wanaokula ubwabwa wameanza kurudi
hahaaahaaa mh very guuud
Huyu mkuu ni nomaaaaaaaaa!!
Mbuzi wanakula ubwabwa. 2021
Semeni No way,nyie ambo ham like ndio nyie au 😂😂
Nakuba riananawewe mkku
NOAH KIPALAPALA KIPALAPALA
Bangi mbaya sana
Kuzaa watoto wazuriii
😂😂😂😂😂daaaaah nmecheka sana semeni no way ambao hamsemi ndo nyinyi nn
komba kitongoji chote sukuma ndani😁😁
kipalapalaaa 😁😁😁😂😂😂
Wengine kina kitimoto kipalapalaaa😁😀😀😀😀😀
Mama
We ndo father wa uongozi big up sana.msema kweli
Nice opinion
sukuma ndani
We mzee ninoma ntutengenezee tabora yetu wazawa tulio totoka
Mama samia akuone jaman
njia rahisi ya kuniamisha TZ ni kumpa nchi huyu jamaa aiongoze,,, mmmh
Hahahaa utasikia weweeee wachaa izoooo wacha izooo 🙂
Kitongoji kizma sukumia ndan
Hi nomaaa
Dah natamani hata uje kuwa mkuu wa mkoa wa morogoro aseee... SUKUMA NDANIIII
Kwel anafaa sana
Wanakula ubwabwa😁😁😁😁
Daaaaaah 🤔
magufuli hembu muangalie huyu jamaa kwa makini umpe uwaziri mana ndio mkuu wa koa mwenye mamuzi ya fasta hataki ujinga nakazi zinaenda mkoani kwake sio wakina makonda maneno mengi tuu
Daaaaa kwa nn ukastaafu kwa nn Serkali isiendelee kukutumia
Sukuma ndani wote
Kipala pala 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
daah sukuma ndan umetxha
mi nakukubali ,kuu ila kuna watu hawana hatia wanaishi tu hapo mkuu wata lala ndani kubaya kule
huyu jamaaa! namkubalisana
Sukuma ndani hao
Sukuma ndani mkuu
Bushoke ft juliana
Magufuli amefundisha chuo kikuu waliofuzu niwengi sio kuchezea chezea simamia tukuone
2
Ahaaa mkoa umepata mkuu kamata wote sukuma ndani
Sukuma wote ndani 😃😃😃😃
Hyu mzee anafaa uwaziri
Kitongoji chote sukuma ndan
Kavuta bangi uyuuuu
Sukuma ndani
Bangi bwana
Mhuuu
Kaz mnayo
Mzee WA Toronto nkichukia tu lazma nije you tube
Kipara para mnada😁😁😁
Safisha JJ mweshimiwa
Kipalapalaaaaaaaaaa
Kipara para kiparapara
No way
Kipalaa palaaaaaaaaaa
Laki 4 Mara ya kwanza laki 4 Mara ya pili hahahaaaaa
Kiparaaaaa paraaa
Jamani
Utaniuwaaaaaaaaaaa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Ati niniiiii?????kipara paraaaaaa
Sukuma ndani wote.
We kmanda
No waaaaaay
Kiparapara
Tia ndani mkoa mzima kitongoji ni kidogo
know way..mbona hamsemi ndio nyny mnaotufanyizia.😂😂😂😂
Noel lwena
Kipala pala!!!!, hahahahaha
Kipala pala kkkkkkk nakufa na kicheko
yaaani mwandri mambo ya sukuma ndani upangiwe na moshi
Sukuma ndani wotee
😂😂😂👏👏👏👏
Ata naao ng'ombe kipala pala
ningefurahi sana kama angekiwa na kwetu kama huyu