RC WA "FYEKELEA MBALI: "NYOOSHA MKONO JIFANYE UNAJIKUNA"
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri leo alitembelea upanuzi wa kituo cha afya cha Igurubi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Igunga anakotoka Msanii Shilole kuangalia umefikia wapi ujenzi huo na fedha zilizotolewa na Serikali zinatumikaje.
RC Mwanri alianza kwa kukagua matofali yaliyotumika kujengea kama ni imara lakini pia aliingia mwenyewe kuwa injinia kwa muda kupima kama vipimo vilivyotumika kujengea majengo hayo manne ni vyenyewe au wamebadilisha vipimo vilivyotolewa na TAMISEMI.
AyoTV imekuletea tukio zima lilivyokuwa wakati anakagua majengo hayo lakini hajaanza kuleta msemo mpya ukiacha ule wa fyekelea mbalii na mengine mpya karibu kutazama
Kuna sisi mpka 2024 tunaangaliaga tuu nipe like zangu
Km unaangalia had leo 2022 gonga like za kufa mtu kwa mwamba Agrey Mwanri
Kwani huyo mzee amefaki
Mzee anapiga kazi so mchezo kwa kweli ,gonga like kama unaona kazi anayoifanya Mkuu huyu.
Wenye akili timamu hatugongi like kwenye utumbo kama huu na ndiyo maana COVID ikawa inauwa watu halafu hawahawa wanasema haipo hadi ikawatoa duniani waajiri wa hawa wapuuzi sijui siku hizi wanafokea nani na unampongeza nani maana Mungu aliona wangendelea kuwepo kazi zote wangeribu na maendeleo sawia
Kama unaangalia Hadi Leo date 2021 gonga like yako hapa
Wanangalia Tena 2022 ogonge hapa
@@hamisizahoro5479 2023 Raha sana huyu Mzee
2023 naangaalia
2024
kama unaangalia mpaka saiz like hyooooooooo
Kila siku naangalia hii clip, we miss you our dad
Kama unamuona huruma engineer .like hap
Habari za mawio Updated engineer yupo vizuri yupo mobile
😂😂😂
Ahahahahaaa ni shida
Habari za mawio Updated engineer elimu ya vyeti tuuh application very poor
Hahaha
Huyu mtu msimcheke anafaa kuwa RAIS ajae kama unamkubali kuwa rais gonga like za kutosha
RAJ MKONJE Lohh Ukimpa Urahisi Tutalala Saa 11 Jioni Kama Kuku
Chombo Tv hahaaaa! 😂😂
Kazi nzur sana
Yuko vzr
Kwakuwa mmezoea marais komediani kweli huyo anafaa aibuuuuuu.
NANI YUPO HAPA BAADA YA KUMPOTEZA RAIS WETU MPENDWA.NA UNGETAMANI AWE MAKAMU WA RAIS
Kama huyu RC unamuelewa gonga like twende sawa, hahaha
Namkubali sana MTU huyu.
Chekibob Rc noma
Tabora Toronto itawezekana bila huyu
Kama unapenda kuangalia hii Mara nying like hapo chini
Emmanuel hamis ba
Komaa nao Mkuu mkoa wezi sana
hi ni mar ya nne
Iko powah
Emmanuel hamis nomaa
This is the type of leadership.... Hands on leadership! We need in Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi and SouthSudan (E. A. C) otherwise such absent engineers will see us driven into death trap buildings. Huyo Mheshimiwa aungwe mkono kwa dhati, I SALUTE HIM!!
Leadership like him we need in Burundi 🇧🇮
I wish Kenya could have leaders like this mweshimiwa he is my roll model
Narudia mara ya3 leo kumuangalia huyu mzee soma iyooo 2020
Anybody listening to this video in 2050...This Man was a Legend
Jamani hawa viongozi walikuwaga WAP?tungekuwa mbali sana.hongera Mh Magufuli.asante Mungu kutupatia viongozi wazuri.Mungu ibariki Tanzania
2021 still love uncle Mwandri
Dah huyu anafaa kuongoza tanzania nzima km umeona anaweza kuwa rais wa Tz nipe like yako hapa
Raha sana kufanya kazi na mtu kama huyu...So charming!!!
aggrey mwanri namkubali gonga like kama unamkubali
Nakukubali mzee Mwanry tuko pamoja Mungu akulinde
Mahamoud Masoud yuko PW sana
japo spo mkoan kwangu Ila nakukubar vilivyo pambana tabora ipendeze
Mahamoud Masoud g
Kweli nimeipenda kazi ya uyu baba mwanri
Safi kbc baba
duuuuuu
Wananchi wa siha watajilaumu saana kwa kufanya makosa mhe mm namfahamu vizuri ni mtu wa mungu kila tukifika tabora lazima twende kwake kumpa heshim yake .hongereni tabora mmempata kiongozi mzuri kuliko
yusuph mohammad Hamna kitu ni muigizaji tu?anataka amuonyeshe bosi wake anafanya kazi, BILA KIKI U RC NA UWAZIRI HUKAI
Wazee Wa hivi public ally very cruel ila ukiwakuta nyumbani kwake politeness huwez Amin yuko kazini
@@mohammedsalim6398 ngoja niaambie huyu mzee yuko hivyo hivyo unavyomuona mmesahau aliibeba wizara ya tamiseMi enzi za mkwere
anastahili pongezi., Mwenyezi Mungu amlindee
yusuph mohammad mrudisheni ndugu yetu na kiongoz Wetu wa siha
Safi sana mkuu wa mkoa wa Tabora camooon!!!!!!!!! meeeeeen!!!!!!!!.Njombe nako uje Baba.
anafanya vizur xn awakomexh nawengine
huyuu jamaa anaeza akaipeleka nchi pazuri sana ...kama unasapoti emb like hapooo kwa chinii..
Mh magufuli akukosea kuchagua
Hakika nchi bora inajengwa na viongozi imara na wanaojituma. Mungu akutanguliye mkuu wa mkoa
Heeeeeee? Camoon meen 😁😁😁😁kama umemkubal gonga like twende sawa
Fyekelea mbali , wasilete mucheso awamu hii wakae macho wakishindwa wavue miwani
Mussh Onest haahaha
Mzee jua na huyo jamaa ana familia kalipia onya lakini pia uwe na huruma kama mzazi
😂😂😂
anatisga
Nimemuelewa mzee safi sana.. Mungu amlinde asimame kwa nia njema kwa taifa
Siku hizi hawana hata mbwa wa kufokea sijui wamepotelea wapl? 2025 hutawaona kabisa watakuwa wametokomea na matusi hakuna kwa watumshi
Mkuu anafanya kazi vizuri Sana nainapendeza angeletwa afanye kazi mkoa wa mara
I can't stop watching this video again and again
Mungu akupe umri uendelee kutumikia taifa lako nakupenda buree 😂😂😂😂😂😂
Mhe hongera sana kwa kufanya ukaguzi na kubaini madudu yanayofanywa na msimamizi wa ujenzi ENGINEER
Jembee
Mariamu Saidi
Jifanye kama unajikuna
Mariamu Saidi 😁😁😁😁
INJINIA NDIO TUNAEGOMBANA NAEE ANGALIA ATAKUINGIZA MKENGEEE HEEEEEE 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌fyekeleeaaaa ndaniiiiii
Braytin Tz
Injinia wa kuingiza watu mkenge watafute taaluma ingine mpya!! 😂😂😂😂
The Best Rc in Tz now, Hands down,, these are the People we need. hongera Sana Mkuu wa mkoa kwa kusimamia kazi Vizuri ,ukweli utabaki kua kwamba wewe ni bora! bless from everywhere!
I love this guy
The rightful procedure.... Likes ziingie
Aisee kwa style hii Tanzania itasongaaaa👏👏👏👏
nimekuelewa Sana kiongozi wangu wamkoa,asante Allah akuongoze.
Mh! Hakika unastahili pongezi unapiga kazi kisawasawa! Mungu akubariki Unafaa UPEWE mkoa zaidi ya mmoja una uwezo upo kikazi!
Eng .somaaaa hiyoooo
wee mwangalie huyo enginer ndio huyu tunagombana nae apa atakuingiza mkenge kama umecheka hapo gonga like 😂😂😂
hahaha!!
Usipo fanya kazi kama inavyo takiwa utafanyishwa kazi
Wenzetu wakienda tofauti wako tayari kujiuzulu
Sasa sisi mpaka tusimamiwe na wengine tunasema hoo kaaibishwa apana!sio kuaibishwa kazima lazima iendane na wakati na vigezo na masharti lazima vizingatiwe
🤣🤣🤣🤣
Ninamuomba rais amuamishie mbeya maana dah Yuko vzr mnoo,
😂😂😂😂 Kweli kabisa!!
Ngapi uko soma iyo wewe injinia km umesikia mkuu akisema nipe like 10 znatosha sjawai kupata like km zote iv
حميو رمضان
😂😂😂😂 nyoosha mkono jifanye unajikuna.
😁😁 nishida serekalin
Hahahshahah
masong
Mkuu nimekusoma sana, ila injinia anatamani akimbie maana hao wa mikoa
Hakika ulikuwa uongozi wa kuigwa tangu na kabla ya kupata uhuru.Hongeta mzee wa Toronto,pumzikana furahia maisha huko ulipo
Kama kuna Siku ambayo Engineer Hata Isahau
Ni Hii Ya Leo 😂😂
Akatoe sadaka Kanisani kama Kabaki Salama 😂😂
King Gideon upo ww
Kiboko
Hahahaa
hey came on men.....
jifanye2 unajikuna
Dah, huyu mzee kweli alikuwa kazini.!
Co pw nchi kweli imepata wajibikaji wanaojitolea. Kama umeelewa piga like zako
2024 bado iko 🔥 fire ,,
unamkumbuka?nini maoni yako kwa kiongozi kama huyu?
mh mwanri nakukubali sana,big up kiongoz wangu
Yaani one of my best clip in 2018 The Engineer and Magufuli Twin brother 😆
Kama bado unaangalia hii 2023 gonga like
Baada ya Magufuli kututoka nimerudia kuiangalia hii 😭😭
Kwa hiyo umetusaidiaje na hiyo nyampala wako?
Kama wanachama wote wangalikuwa hivi nadhan kusingalikuwa na haja ya upinzani@May God bless you Aggry Mwanryi
😈😈😈
Nimeipenda hii kazi safi sio kukaa ofisini tu na kunywa kahawa
😁😁😁
FREDY JOHN 😂😂😂
@@witnessstevensteven8678 ndyo hivyo
feji
Unaweza
we mzee ukistaafu anza Comedy wallah Utakimbizaaaaa 😂
Aki tuna mrithi wa king majutoh!
Duh! Angekua mwalim Wa shule ya msingi kikifika kipindi chake unahisi mkojo unagonga ukuta km unaamini jifanye km unanyosha mkono......gonga leyki
.
Napita tu
Kama unaangalia mpaka leo 2024 gonga like hapa
This should be Magufuli successer. Hongera mzee
The best Government in Africa I proud to be a Tanzania
Salute Mkuu.
Hahaaha asante mungu sijabatika kuwa mtumishi wa serikali kwaninavo jijua ninge sukumwa ndani mie
Ukizembea kazini ama huwe Injinia hewa, mla rushwa, Injinia wa makenge.
Mwanri yuaja, utasukumwa ndani!! 😂😂😂😂
@@kiptookomen4127 haaaa mzee wa wacha iyo habari
jamani nangaria marudio peke yangu au tupo weng kama mpo ebu gonga like kama zote
ujenzi uvu sawa sawa...wakandarasi wa china..awaibi ata mia hawali pesa jmn....mana pesa ni za wananchi nchi..mkuu wa mkoa endelea.kusaidia watu jaman..Mungu anakuona🙏
Duh magufuli umemuona mkuu wa mkoa wako. Moto unawaka tabora.
Mmmmh
Sudy Mgeni
U
Hatari
Haaaaa, kwa hali kama hii bora kujiajiri mmmmh
Umeona eheeeee
Hata ukijiajiri kama hutekelexi majukumu yako ipasavyo kazj bure
Mmmmh mbona kaz jaman
Kama uwezi kusimamia mambo yako ukiwa na usimamizi kamwe uwezi jisimamia, ina maana uyo angekuwa anajitegemea angekuwa saizi saiti kaitelekexa kabisa, kujiaajir aimanish kuwa na utendaji mbovu, tumia akil
Yaani serikalini miaka hii presha tupu
kamtafuta kwenye tofali kamkosa vipimo kamkosa kamdaka kwenye nondo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwenye nondo na kisanii kitabu😂😂😂
Ally Mohamed 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😃😃😃😃injinia atachomoka kweli???
Ally Mohamed ha ha ha ha nimeshafuka dar mm km engineer
Ally Mohamed hahahaha
Heeeeeeey come on meeen 😅😅😅😅ebana kazi nzuri RC mwari mpk leo hii 2023 bado nafatilia hiz clip
Whaoo am impressed, this are the leaders we want in Africa.He should be appointed as a minister
16.10.2019..naingalia tena an..kama naw umekuja chungulia tena..gonga like
Nafikiri baadhi ya watumishi wa uma hawajaelewa or wamechelewa kumuelewa ni nn mh rais JPM anataka,hawa ndo viongozi tunaowataka. safi xana RC wa Tabora Mungu akubaliki.
anayetaman mzee angurume bungen weka like
Huyu akiingia bungen mabundi hayaingii nakwambia mm napendelea huyu angekua makam wa rais jmn
Engi yuko sawa ila kelele nyingi vipimo vyote viko safi tofali nondo kasema bila kutumia makalatasi vipimo vya ukuta big up engi
Baba mzuri ,Mungu akubariki . Natamani ungekuwa waziri wa viwanda na ujenzi .
Duh nomaaaaaaaa Moto huo Wa kuotea mbali cjui ingekuwaje angekuwa Presdent walakhiiiiii tungepangiwa kwa wiki kulala na mkeo mara mbili... ukizidi kazi unayo😂😂😂😂👆
Somaaaaa hioooooo
Daah,kwann mzee kastahafu bhana minaomba mweshimiwa president ampekazi ingine uyu mzee mina mkubari sana,mbona bado yuko fiti kbs,
😀😀😀😀😀 wana Tabora tunakupenda mpaka baasi,
Tabora oyeeeeèe!
Ilo jembe zaidi ya Jpm
Oyeeee
Et engineer somaaa hiyooooo 😂 😂 😂 .......
Soma kwenye karatasiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣 likes zangu jameniii
Hahaha
Father alikuwa serious aisee watu kama hawa ni wachache Tanzania Hii Mungu Ampe maisha Marefu❤🙏
mara yangu ya kumi leo tar.8/july/2021 namtazama mchapakazi Mh.Aggrey Mwanri ..natamani Mama Samia Amrudishe madarakani🙌..japokua kastaafu.
Huyu ndo kiongz bora bigapu mkuu
tabora tuko pwa sana tunaji vunia
Kama unatizamaa kila wakati gonga like hapa 🤣🤣❤❤
Tausi Yusuph
ok
Naiona roho ya magufuli ikiwa ndani ya mzee wetu huyu!
Kama unaangalia 2023 gonga like soma kwenye ramani😂😂
Salute to this man , god bless JPM
safi sana
Huyu ndiye kiongozi sio wapumbavu wanakataa maofisini na computer zao
Mzee magu alitumbua majipu na dawa ya jibu litumbuliwe
Tumbua mzee usipotee time
Ambae hataki kunipa like ajifanye anajikuna
Huyu jamaa ni mzuri sana
wamkuu wamikoa woote Tanzania mnafaa kuwa kama huyu kiongozi kwenye miradi inayoendelea vijijin safi sana mkuu gonga like kama umemkubali
Hakika watu kama were dinian niwachachesana mungu akubaliki sana akupe maisha malefu
RC Mwanry, God bless you for good job
nipeni like zenu kama mnamkubali mzee wa sukama ndani wote
Enginear kama mkeo anakuangalia baba leo huendi pewa mambo
😂😂😂😂
Duu Hatari bora kujiajiri
Ukijiajiri utapata tender ya halmashauri kujenga hii maabara unakutana tena na huyu Mkuu kazi inaanza upya 😂😂😂😂😂alafu unakufa 😀😀😀
Lazma uwe muwajbikaji ata ukijiajir brand yko
Hata uki jiajiri mwenyewe kama usimamii kazi yako vizuri ni sawa na bure watu pesa wana penda kazi hawawezi fyekelea mbali lazima tuelewane hakuna cha bure
Well said dear, ajira zimekuwa utumwa
Hata kujuajiri kunahitaji umakini vinginevyo hutoboi. Mzee yuko vzr tu
Atakuingiza mkenge aliye sikia hiyo fanya kama wagonga like twende sawa.
#Hapa kazi ipo engineer pole Baba.
hana anacho jua huyo ingenea
Kwa style hiii kutakuwa hakna majengo yanayodondoka goood job Mh Allah andelee kukusimamia
"ENGINEER SOMA HUKO!" hahahahaha
😂😂😂 Daaaah kwaujunguzi uhu watu wataisoma number ma engineer kazi ipo gonga like
Mkoa wa Kagera angepatikana RC kama huyu, nadhani hata mkoa ungekuwa na stand ya mabasi.
Big up Tabora aiseee.
Sijua nani aliroga mkoa wa Kagera jamaniiii?.
We love you from Kenya 🇰🇪 ❤
ata kuingiza mkenge like kama umeipenda hii kauli
😃😃😃 mtu wa mkoa anasumbua jmn duh big up dady kazi mzuri
Unafaa mzee wangu piga kaz mungu akulinde lakn chunga sana kufukuza watu kazn
2022 still watchin mzee kapata umaarufu sana ✊👊💪
Good job
Ukiwa kiongozi usiogope kuchukiwa kwa kinacholeta maslahi
ISSA IBRAHIM vp