RC WA "FYEKELEA MBALI: "NYOOSHA MKONO JIFANYE UNAJIKUNA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri leo alitembelea upanuzi wa kituo cha afya cha Igurubi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Igunga anakotoka Msanii Shilole kuangalia umefikia wapi ujenzi huo na fedha zilizotolewa na Serikali zinatumikaje.
    RC Mwanri alianza kwa kukagua matofali yaliyotumika kujengea kama ni imara lakini pia aliingia mwenyewe kuwa injinia kwa muda kupima kama vipimo vilivyotumika kujengea majengo hayo manne ni vyenyewe au wamebadilisha vipimo vilivyotolewa na TAMISEMI.
    AyoTV imekuletea tukio zima lilivyokuwa wakati anakagua majengo hayo lakini hajaanza kuleta msemo mpya ukiacha ule wa fyekelea mbalii na mengine mpya karibu kutazama

Комментарии • 2 тыс.

  • @cevo9920
    @cevo9920 6 месяцев назад +67

    Kuna sisi mpka 2024 tunaangaliaga tuu nipe like zangu

  • @SIRNDIZO
    @SIRNDIZO 2 года назад +108

    Km unaangalia had leo 2022 gonga like za kufa mtu kwa mwamba Agrey Mwanri

  • @mkula2023
    @mkula2023 5 лет назад +68

    Mzee anapiga kazi so mchezo kwa kweli ,gonga like kama unaona kazi anayoifanya Mkuu huyu.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Год назад

      Wenye akili timamu hatugongi like kwenye utumbo kama huu na ndiyo maana COVID ikawa inauwa watu halafu hawahawa wanasema haipo hadi ikawatoa duniani waajiri wa hawa wapuuzi sijui siku hizi wanafokea nani na unampongeza nani maana Mungu aliona wangendelea kuwepo kazi zote wangeribu na maendeleo sawia

  • @mohamedykabwanga1647
    @mohamedykabwanga1647 3 года назад +160

    Kama unaangalia Hadi Leo date 2021 gonga like yako hapa

  • @abasmwakifwamba6776
    @abasmwakifwamba6776 5 лет назад +96

    kama unaangalia mpaka saiz like hyooooooooo

  • @yohanakananika3586
    @yohanakananika3586 3 года назад +46

    Kila siku naangalia hii clip, we miss you our dad

  • @Specialonejr
    @Specialonejr 5 лет назад +701

    Kama unamuona huruma engineer .like hap

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 5 лет назад +1240

    Huyu mtu msimcheke anafaa kuwa RAIS ajae kama unamkubali kuwa rais gonga like za kutosha

  • @mwinjilistiboniphacealfred6035
    @mwinjilistiboniphacealfred6035 3 года назад +85

    NANI YUPO HAPA BAADA YA KUMPOTEZA RAIS WETU MPENDWA.NA UNGETAMANI AWE MAKAMU WA RAIS

  • @Chekibob
    @Chekibob 5 лет назад +233

    Kama huyu RC unamuelewa gonga like twende sawa, hahaha

  • @emmanuelhamis8853
    @emmanuelhamis8853 5 лет назад +589

    Kama unapenda kuangalia hii Mara nying like hapo chini

  • @vincentm.1960
    @vincentm.1960 5 лет назад +40

    This is the type of leadership.... Hands on leadership! We need in Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi and SouthSudan (E. A. C) otherwise such absent engineers will see us driven into death trap buildings. Huyo Mheshimiwa aungwe mkono kwa dhati, I SALUTE HIM!!

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu Год назад +10

    Leadership like him we need in Burundi 🇧🇮

  • @emmanuelkiptoo3567
    @emmanuelkiptoo3567 2 года назад +18

    I wish Kenya could have leaders like this mweshimiwa he is my roll model

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile6021 4 года назад +36

    Narudia mara ya3 leo kumuangalia huyu mzee soma iyooo 2020

  • @venancemangale2860
    @venancemangale2860 Год назад +5

    Anybody listening to this video in 2050...This Man was a Legend

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 5 лет назад +33

    Jamani hawa viongozi walikuwaga WAP?tungekuwa mbali sana.hongera Mh Magufuli.asante Mungu kutupatia viongozi wazuri.Mungu ibariki Tanzania

  • @newyambazi4653
    @newyambazi4653 3 года назад +27

    2021 still love uncle Mwandri

  • @haithamrubeabuhet2637
    @haithamrubeabuhet2637 5 лет назад +5

    Dah huyu anafaa kuongoza tanzania nzima km umeona anaweza kuwa rais wa Tz nipe like yako hapa

  • @johndavid8303
    @johndavid8303 5 лет назад +12

    Raha sana kufanya kazi na mtu kama huyu...So charming!!!

  • @mahamoudmasoud3924
    @mahamoudmasoud3924 5 лет назад +202

    aggrey mwanri namkubali gonga like kama unamkubali

  • @richardsonmanjira7315
    @richardsonmanjira7315 5 лет назад +78

    Kweli nimeipenda kazi ya uyu baba mwanri

  • @yusuphmohammad1385
    @yusuphmohammad1385 5 лет назад +190

    Wananchi wa siha watajilaumu saana kwa kufanya makosa mhe mm namfahamu vizuri ni mtu wa mungu kila tukifika tabora lazima twende kwake kumpa heshim yake .hongereni tabora mmempata kiongozi mzuri kuliko

    • @mohammedsalim6398
      @mohammedsalim6398 5 лет назад +1

      yusuph mohammad Hamna kitu ni muigizaji tu?anataka amuonyeshe bosi wake anafanya kazi, BILA KIKI U RC NA UWAZIRI HUKAI

    • @barakamwangama3453
      @barakamwangama3453 5 лет назад +1

      Wazee Wa hivi public ally very cruel ila ukiwakuta nyumbani kwake politeness huwez Amin yuko kazini

    • @yusuphmohammad1385
      @yusuphmohammad1385 5 лет назад +1

      @@mohammedsalim6398 ngoja niaambie huyu mzee yuko hivyo hivyo unavyomuona mmesahau aliibeba wizara ya tamiseMi enzi za mkwere

    • @nicholeonard1001
      @nicholeonard1001 5 лет назад

      anastahili pongezi., Mwenyezi Mungu amlindee

    • @timothyibrahim7825
      @timothyibrahim7825 5 лет назад

      yusuph mohammad mrudisheni ndugu yetu na kiongoz Wetu wa siha

  • @selestinemnegelwa2572
    @selestinemnegelwa2572 5 лет назад +3

    Safi sana mkuu wa mkoa wa Tabora camooon!!!!!!!!! meeeeeen!!!!!!!!.Njombe nako uje Baba.

  • @kidishithegreat8144
    @kidishithegreat8144 5 лет назад +58

    huyuu jamaa anaeza akaipeleka nchi pazuri sana ...kama unasapoti emb like hapooo kwa chinii..

  • @gaspermlay6963
    @gaspermlay6963 5 лет назад +11

    Hakika nchi bora inajengwa na viongozi imara na wanaojituma. Mungu akutanguliye mkuu wa mkoa

  • @musshonest1378
    @musshonest1378 5 лет назад +509

    Heeeeeee? Camoon meen 😁😁😁😁kama umemkubal gonga like twende sawa

  • @barakamangia2209
    @barakamangia2209 5 лет назад +12

    Nimemuelewa mzee safi sana.. Mungu amlinde asimame kwa nia njema kwa taifa

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 года назад

      Siku hizi hawana hata mbwa wa kufokea sijui wamepotelea wapl? 2025 hutawaona kabisa watakuwa wametokomea na matusi hakuna kwa watumshi

  • @dogod673
    @dogod673 4 года назад +7

    Mkuu anafanya kazi vizuri Sana nainapendeza angeletwa afanye kazi mkoa wa mara

  • @brytondaniel4900
    @brytondaniel4900 3 года назад +13

    I can't stop watching this video again and again

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 5 лет назад +163

    Mungu akupe umri uendelee kutumikia taifa lako nakupenda buree 😂😂😂😂😂😂

  • @braytintz3563
    @braytintz3563 5 лет назад +68

    INJINIA NDIO TUNAEGOMBANA NAEE ANGALIA ATAKUINGIZA MKENGEEE HEEEEEE 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌fyekeleeaaaa ndaniiiiii

    • @jacksonsaini2230
      @jacksonsaini2230 5 лет назад

      Braytin Tz

    • @kiptookomen4127
      @kiptookomen4127 5 лет назад

      Injinia wa kuingiza watu mkenge watafute taaluma ingine mpya!! 😂😂😂😂

  • @leolaswai5784
    @leolaswai5784 5 лет назад +13

    The Best Rc in Tz now, Hands down,, these are the People we need. hongera Sana Mkuu wa mkoa kwa kusimamia kazi Vizuri ,ukweli utabaki kua kwamba wewe ni bora! bless from everywhere!

  • @johnopondoh9092
    @johnopondoh9092 4 года назад +9

    I love this guy

  • @thardeusouko6017
    @thardeusouko6017 5 лет назад +3

    The rightful procedure.... Likes ziingie

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 5 лет назад +7

    Aisee kwa style hii Tanzania itasongaaaa👏👏👏👏

  • @chilingalasikalwanda7861
    @chilingalasikalwanda7861 5 лет назад +8

    nimekuelewa Sana kiongozi wangu wamkoa,asante Allah akuongoze.

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 5 лет назад +28

    Mh! Hakika unastahili pongezi unapiga kazi kisawasawa! Mungu akubariki Unafaa UPEWE mkoa zaidi ya mmoja una uwezo upo kikazi!

  • @brownjaffaly1172
    @brownjaffaly1172 5 лет назад +65

    wee mwangalie huyo enginer ndio huyu tunagombana nae apa atakuingiza mkenge kama umecheka hapo gonga like 😂😂😂

    • @ndebilemathias7115
      @ndebilemathias7115 5 лет назад +1

      hahaha!!

    • @ndumeabdallah5105
      @ndumeabdallah5105 5 лет назад +1

      Usipo fanya kazi kama inavyo takiwa utafanyishwa kazi
      Wenzetu wakienda tofauti wako tayari kujiuzulu
      Sasa sisi mpaka tusimamiwe na wengine tunasema hoo kaaibishwa apana!sio kuaibishwa kazima lazima iendane na wakati na vigezo na masharti lazima vizingatiwe

    • @amircatalog2082
      @amircatalog2082 5 лет назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @emmanuelpolisi1343
      @emmanuelpolisi1343 5 лет назад +2

      Ninamuomba rais amuamishie mbeya maana dah Yuko vzr mnoo,

    • @kiptookomen4127
      @kiptookomen4127 5 лет назад +1

      😂😂😂😂 Kweli kabisa!!

  • @user-nt9ex8tx2z
    @user-nt9ex8tx2z 5 лет назад +124

    Ngapi uko soma iyo wewe injinia km umesikia mkuu akisema nipe like 10 znatosha sjawai kupata like km zote iv

  • @suzanampanda9767
    @suzanampanda9767 5 лет назад +89

    😂😂😂😂 nyoosha mkono jifanye unajikuna.

  • @victormpandula3247
    @victormpandula3247 2 года назад +7

    Hakika ulikuwa uongozi wa kuigwa tangu na kabla ya kupata uhuru.Hongeta mzee wa Toronto,pumzikana furahia maisha huko ulipo

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 5 лет назад +300

    Kama kuna Siku ambayo Engineer Hata Isahau
    Ni Hii Ya Leo 😂😂
    Akatoe sadaka Kanisani kama Kabaki Salama 😂😂

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj 2 года назад +5

    Dah, huyu mzee kweli alikuwa kazini.!

  • @salvatoryjeremia3382
    @salvatoryjeremia3382 5 лет назад +21

    Co pw nchi kweli imepata wajibikaji wanaojitolea. Kama umeelewa piga like zako

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 8 месяцев назад +3

    2024 bado iko 🔥 fire ,,
    unamkumbuka?nini maoni yako kwa kiongozi kama huyu?

  • @eliuskivuyo6521
    @eliuskivuyo6521 5 лет назад +12

    mh mwanri nakukubali sana,big up kiongoz wangu

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 5 лет назад +8

    Yaani one of my best clip in 2018 The Engineer and Magufuli Twin brother 😆

  • @paulwilliam6053
    @paulwilliam6053 11 месяцев назад +3

    Kama bado unaangalia hii 2023 gonga like

  • @cosmasmpwage2576
    @cosmasmpwage2576 3 года назад +23

    Baada ya Magufuli kututoka nimerudia kuiangalia hii 😭😭

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Год назад +1

      Kwa hiyo umetusaidiaje na hiyo nyampala wako?

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 5 лет назад +14

    Kama wanachama wote wangalikuwa hivi nadhan kusingalikuwa na haja ya upinzani@May God bless you Aggry Mwanryi

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 5 лет назад +66

    Nimeipenda hii kazi safi sio kukaa ofisini tu na kunywa kahawa

  • @BUFFALO-A
    @BUFFALO-A 5 лет назад +95

    we mzee ukistaafu anza Comedy wallah Utakimbizaaaaa 😂

    • @issaomary9494
      @issaomary9494 5 лет назад

      Aki tuna mrithi wa king majutoh!

    • @mariastivin3995
      @mariastivin3995 5 лет назад +1

      Duh! Angekua mwalim Wa shule ya msingi kikifika kipindi chake unahisi mkojo unagonga ukuta km unaamini jifanye km unanyosha mkono......gonga leyki

    • @sufianabdallah5764
      @sufianabdallah5764 5 лет назад

      .

    • @kingkachila2351
      @kingkachila2351 5 лет назад

      Napita tu

  • @LionOfWar
    @LionOfWar 2 месяца назад +1

    Kama unaangalia mpaka leo 2024 gonga like hapa

  • @kevinjammy3589
    @kevinjammy3589 3 года назад +4

    This should be Magufuli successer. Hongera mzee

  • @user-pn9ii9iz8f
    @user-pn9ii9iz8f 5 лет назад +16

    The best Government in Africa I proud to be a Tanzania

  • @stephenntinginya1062
    @stephenntinginya1062 5 лет назад +4

    Salute Mkuu.

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 5 лет назад +7

    Hahaaha asante mungu sijabatika kuwa mtumishi wa serikali kwaninavo jijua ninge sukumwa ndani mie

    • @kiptookomen4127
      @kiptookomen4127 5 лет назад +1

      Ukizembea kazini ama huwe Injinia hewa, mla rushwa, Injinia wa makenge.
      Mwanri yuaja, utasukumwa ndani!! 😂😂😂😂

    • @maxmaizer4631
      @maxmaizer4631 5 лет назад +1

      @@kiptookomen4127 haaaa mzee wa wacha iyo habari

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 2 года назад +2

    jamani nangaria marudio peke yangu au tupo weng kama mpo ebu gonga like kama zote

  • @senetornkwarz5714
    @senetornkwarz5714 5 лет назад +6

    ujenzi uvu sawa sawa...wakandarasi wa china..awaibi ata mia hawali pesa jmn....mana pesa ni za wananchi nchi..mkuu wa mkoa endelea.kusaidia watu jaman..Mungu anakuona🙏

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 5 лет назад +132

    Duh magufuli umemuona mkuu wa mkoa wako. Moto unawaka tabora.

  • @barackjonas4381
    @barackjonas4381 5 лет назад +96

    Haaaaa, kwa hali kama hii bora kujiajiri mmmmh

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 5 лет назад

      Umeona eheeeee

    • @manyotaskipper5765
      @manyotaskipper5765 5 лет назад +3

      Hata ukijiajiri kama hutekelexi majukumu yako ipasavyo kazj bure

    • @kingkiwango1435
      @kingkiwango1435 5 лет назад

      Mmmmh mbona kaz jaman

    • @powerofchoice3176
      @powerofchoice3176 5 лет назад +1

      Kama uwezi kusimamia mambo yako ukiwa na usimamizi kamwe uwezi jisimamia, ina maana uyo angekuwa anajitegemea angekuwa saizi saiti kaitelekexa kabisa, kujiaajir aimanish kuwa na utendaji mbovu, tumia akil

    • @latifawangu9172
      @latifawangu9172 5 лет назад

      Yaani serikalini miaka hii presha tupu

  • @allymohamed4764
    @allymohamed4764 5 лет назад +126

    kamtafuta kwenye tofali kamkosa vipimo kamkosa kamdaka kwenye nondo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rommydeevan8543
    @rommydeevan8543 Год назад +1

    Heeeeeeey come on meeen 😅😅😅😅ebana kazi nzuri RC mwari mpk leo hii 2023 bado nafatilia hiz clip

  • @jacksonjanet9846
    @jacksonjanet9846 3 года назад +1

    Whaoo am impressed, this are the leaders we want in Africa.He should be appointed as a minister

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal6750 4 года назад +5

    16.10.2019..naingalia tena an..kama naw umekuja chungulia tena..gonga like

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 5 лет назад +6

    Nafikiri baadhi ya watumishi wa uma hawajaelewa or wamechelewa kumuelewa ni nn mh rais JPM anataka,hawa ndo viongozi tunaowataka. safi xana RC wa Tabora Mungu akubaliki.

  • @musalucas1192
    @musalucas1192 4 года назад +3

    anayetaman mzee angurume bungen weka like

    • @alibell5246
      @alibell5246 3 года назад

      Huyu akiingia bungen mabundi hayaingii nakwambia mm napendelea huyu angekua makam wa rais jmn

  • @rukiamohamed8028
    @rukiamohamed8028 4 года назад +1

    Engi yuko sawa ila kelele nyingi vipimo vyote viko safi tofali nondo kasema bila kutumia makalatasi vipimo vya ukuta big up engi

  • @aderickanatorypesha4004
    @aderickanatorypesha4004 Год назад +1

    Baba mzuri ,Mungu akubariki . Natamani ungekuwa waziri wa viwanda na ujenzi .

  • @kaaweemwenyewe2872
    @kaaweemwenyewe2872 5 лет назад +9

    Duh nomaaaaaaaa Moto huo Wa kuotea mbali cjui ingekuwaje angekuwa Presdent walakhiiiiii tungepangiwa kwa wiki kulala na mkeo mara mbili... ukizidi kazi unayo😂😂😂😂👆

    • @masanjapitta2573
      @masanjapitta2573 5 лет назад

      Somaaaaa hioooooo

    • @bakarichina4164
      @bakarichina4164 4 года назад +1

      Daah,kwann mzee kastahafu bhana minaomba mweshimiwa president ampekazi ingine uyu mzee mina mkubari sana,mbona bado yuko fiti kbs,

  • @silviapumzikenikwaamanidam8436
    @silviapumzikenikwaamanidam8436 5 лет назад +73

    😀😀😀😀😀 wana Tabora tunakupenda mpaka baasi,
    Tabora oyeeeeèe!

  • @myfelcomtv9687
    @myfelcomtv9687 4 года назад +8

    Et engineer somaaa hiyooooo 😂 😂 😂 .......
    Soma kwenye karatasiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣 likes zangu jameniii

  • @swalehmvuoni8863
    @swalehmvuoni8863 3 месяца назад

    Father alikuwa serious aisee watu kama hawa ni wachache Tanzania Hii Mungu Ampe maisha Marefu❤🙏

  • @ignasiissaya1718
    @ignasiissaya1718 3 года назад

    mara yangu ya kumi leo tar.8/july/2021 namtazama mchapakazi Mh.Aggrey Mwanri ..natamani Mama Samia Amrudishe madarakani🙌..japokua kastaafu.

  • @kituladigala4880
    @kituladigala4880 5 лет назад +64

    Huyu ndo kiongz bora bigapu mkuu

  • @tausiyusuph7282
    @tausiyusuph7282 5 лет назад +29

    Kama unatizamaa kila wakati gonga like hapa 🤣🤣❤❤

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 3 года назад +24

    Naiona roho ya magufuli ikiwa ndani ya mzee wetu huyu!

  • @samweljohn8521
    @samweljohn8521 Год назад +2

    Kama unaangalia 2023 gonga like soma kwenye ramani😂😂

  • @irfanally7647
    @irfanally7647 4 года назад +5

    Salute to this man , god bless JPM

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 5 лет назад +6

    Ambae hataki kunipa like ajifanye anajikuna

  • @dasonsdachi3087
    @dasonsdachi3087 5 лет назад +22

    Huyu jamaa ni mzuri sana

  • @rajabulipongo4114
    @rajabulipongo4114 5 лет назад +4

    wamkuu wamikoa woote Tanzania mnafaa kuwa kama huyu kiongozi kwenye miradi inayoendelea vijijin safi sana mkuu gonga like kama umemkubali

  • @FredyMagali-pm2zx
    @FredyMagali-pm2zx Год назад +2

    Hakika watu kama were dinian niwachachesana mungu akubaliki sana akupe maisha malefu

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456
    @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 лет назад +3

    RC Mwanry, God bless you for good job

  • @paulumbu7236
    @paulumbu7236 5 лет назад +5

    nipeni like zenu kama mnamkubali mzee wa sukama ndani wote

  • @bakarimashi875
    @bakarimashi875 5 лет назад +23

    Enginear kama mkeo anakuangalia baba leo huendi pewa mambo

  • @jacklinekimaro302
    @jacklinekimaro302 5 лет назад +221

    Duu Hatari bora kujiajiri

    • @salimchitapa9450
      @salimchitapa9450 5 лет назад +17

      Ukijiajiri utapata tender ya halmashauri kujenga hii maabara unakutana tena na huyu Mkuu kazi inaanza upya 😂😂😂😂😂alafu unakufa 😀😀😀

    • @vedastussospeter4516
      @vedastussospeter4516 5 лет назад +7

      Lazma uwe muwajbikaji ata ukijiajir brand yko

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 5 лет назад +8

      Hata uki jiajiri mwenyewe kama usimamii kazi yako vizuri ni sawa na bure watu pesa wana penda kazi hawawezi fyekelea mbali lazima tuelewane hakuna cha bure

    • @asiatumbwambo133
      @asiatumbwambo133 5 лет назад +2

      Well said dear, ajira zimekuwa utumwa

    • @aginiweyessayakyando9855
      @aginiweyessayakyando9855 5 лет назад +5

      Hata kujuajiri kunahitaji umakini vinginevyo hutoboi. Mzee yuko vzr tu

  • @kimjey0012
    @kimjey0012 5 лет назад +1

    Atakuingiza mkenge aliye sikia hiyo fanya kama wagonga like twende sawa.
    #Hapa kazi ipo engineer pole Baba.

  • @officialchum7769
    @officialchum7769 5 лет назад +1

    Kwa style hiii kutakuwa hakna majengo yanayodondoka goood job Mh Allah andelee kukusimamia

  • @juvenalaraka6344
    @juvenalaraka6344 5 лет назад +26

    "ENGINEER SOMA HUKO!" hahahahaha

  • @Christianjack
    @Christianjack 5 лет назад +13

    😂😂😂 Daaaah kwaujunguzi uhu watu wataisoma number ma engineer kazi ipo gonga like

  • @dr.hamiduibrahim1307
    @dr.hamiduibrahim1307 5 лет назад +9

    Mkoa wa Kagera angepatikana RC kama huyu, nadhani hata mkoa ungekuwa na stand ya mabasi.
    Big up Tabora aiseee.
    Sijua nani aliroga mkoa wa Kagera jamaniiii?.

  • @raageabdi3123
    @raageabdi3123 Год назад +6

    We love you from Kenya 🇰🇪 ❤

  • @abdulkadirissamahmoud4236
    @abdulkadirissamahmoud4236 5 лет назад +13

    ata kuingiza mkenge like kama umeipenda hii kauli

  • @tausmohammed3531
    @tausmohammed3531 5 лет назад +3

    😃😃😃 mtu wa mkoa anasumbua jmn duh big up dady kazi mzuri

  • @georgemashiku6511
    @georgemashiku6511 5 лет назад +2

    Unafaa mzee wangu piga kaz mungu akulinde lakn chunga sana kufukuza watu kazn

  • @mastaplan
    @mastaplan 2 года назад +2

    2022 still watchin mzee kapata umaarufu sana ✊👊💪

  • @khallidally4389
    @khallidally4389 5 лет назад +6

    Good job

  • @Specialonejr
    @Specialonejr 5 лет назад +23

    Ukiwa kiongozi usiogope kuchukiwa kwa kinacholeta maslahi