BALAAH LA MWANRI "NITAKUGONGA, NASIMAMISHA KAZI WOTE, SHUT YOUR MOUTH" AFANDE KAMATA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @abdulkadirgafla3889
    @abdulkadirgafla3889 4 года назад +170

    Eeeeeeeeeeiii!!! This is my business baasi.., gonga like kama unampongeza muheshimiwa kwa kazi nzuri anayoifanya👍👍💪👊🇹🇿 currently 🇧🇭

  • @chrissjmunga8465
    @chrissjmunga8465 4 года назад +506

    Anaependa uyu jamaa ajekuwa rais agonge like tujuane

    • @wilsonsumari2143
      @wilsonsumari2143 4 года назад +5

      Chriss Jmunga 😂😂😂😂😂 yani apa kazi tu

    • @ndoomapaulo6189
      @ndoomapaulo6189 4 года назад +1

      Chriss Jmunga daah uyu noma sana hahahahahahaha

    • @msowanelson5452
      @msowanelson5452 4 года назад +1

      Tatizo mchaga atarudisha ndugu zake kwa system

    • @rasuliawadhi8586
      @rasuliawadhi8586 4 года назад +1

      nimekupenda bure muheshimiwa...

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 4 года назад +1

      @@msowanelson5452 huo Sasa ukabila unaleta

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 4 года назад +5

    Kweli kabisa Mkuu kazi ya Doctor ni kutibu watu siyo kujenga kisima.
    Malipo hewa tumbua hao watu. Km unamkubali Mkuu wa Mkoa gonga like

  • @debbymwaka4048
    @debbymwaka4048 4 года назад +44

    Napenda saana Viongoz wa tanzania wanavo simamia kazi Zao from 🇨🇩🇨🇩

  • @oliverwabwire2836
    @oliverwabwire2836 4 года назад +27

    I can only imagine this guy as president of Kenya for a year.....for nothing but restoration of discipline and accountability in the civil service! Big up RC Mwanri for your exemplary service to the people of Tabora, awesome servant people of Tz.

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 4 года назад +9

    Wanaomkubali Rc Mwanri Like Twende Sawa.

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 4 года назад +22

    Bravo Mh Rc, " nimepita kwenye Kamati ya siasa nimepitia a substantive report, sitaki conspiracy, mnazunguka zunguka ku-Conspire". Very suggestive reasons hii ndio aina ya viongozi tunaowataka hamuonei mtu.

  • @mohamedmnjeja4733
    @mohamedmnjeja4733 2 года назад +20

    Huyu ni mzee wa SITE he is good leader 👏✍️

  • @sajogamba1316
    @sajogamba1316 4 года назад +9

    Heey This is my business you listen what am saying, waache wizi polojo nyingi watu mnakula hela za wananchi. Asante sana kwa kazi nzuri

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa1428 4 года назад +263

    😹😹😹😹😹😹😹😹anaecheka kama mimi huko alipo aje hapa nimwone🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mkwanja3
    @mkwanja3 4 года назад +6

    Tz people n passionate manze!!!! Napenda this guy, hakuna mchezo kwa kazi

  • @neemashija180
    @neemashija180 4 года назад +83

    Kama unampenda na umeelewa gonga like

  • @musagodfrey5729
    @musagodfrey5729 3 года назад +35

    R I P Magu ulituletea majembe pumzika mzee wetu

  • @rastokapunji7191
    @rastokapunji7191 4 года назад +2

    Nakukubali Mheshimiwa na kazi iendelee.hakuna kubembelezana wakati hela inapotea kila kukicha 👍👍👍

  • @vincentkiprotich7959
    @vincentkiprotich7959 4 года назад +43

    Fyekelea mbali sukuma ndani👏👏👏👏👏

  • @shabanimdagano3414
    @shabanimdagano3414 4 года назад +103

    Aliesikia Mkuu wa Wilaya akiambiwa eeee this is my business gonga like

  • @rukiamike4440
    @rukiamike4440 4 года назад +11

    Kama umesikia nitabadilika sura ya sura hap gonga like!😜😜😜

    • @samwelngassa4941
      @samwelngassa4941 4 года назад

      Anasema abadilishe sura wakat sura ishabadilika tayarii jamani

  • @deusmallya6664
    @deusmallya6664 4 года назад +2

    Safi sana arusha tunakukumbuka kwa kazi nzuri rc mwari karibu arusha mkuu

  • @herob7987
    @herob7987 4 года назад +20

    Eeeeh this is my business you listen to what I’m saying 😂
    Kama umeskia hiyo gonga like twende sawa vijana 😂😂

  • @akibamajaliwa2193
    @akibamajaliwa2193 4 года назад +16

    "Anafanya kazi nzuri sana uyu AGRREY MWANIRI"

  • @shabankapona2015
    @shabankapona2015 4 года назад +244

    Kama umesikia Namgongaa gonga like

  • @bernardchibwana9411
    @bernardchibwana9411 4 года назад +12

    Mungu akupe maisha marefu mzeeeee

  • @je7919
    @je7919 4 года назад +56

    Muze asante Sana , that’s what should be done in every single African country
    So we can move forward.

  • @fredyrobert8751
    @fredyrobert8751 4 года назад +6

    Watu kama hawa ndo tunataka, sio unakuwa Kiongozi halafu hufualitii mambo. Gonga like twende pamoja

  • @manning979
    @manning979 4 года назад +49

    Huyu ndie msaidizi nguli wa Mh Rais .... Safi sana Tabora juu👏👏👏👏

  • @ibrahimmwashighadi6626
    @ibrahimmwashighadi6626 3 года назад +3

    the spirit of the late pombe magufuli is on this guy....hongera

  • @isamazatv.115
    @isamazatv.115 4 года назад +24

    Big up brother , we need leaders like you

  • @georgemaji7915
    @georgemaji7915 2 года назад +16

    Huyu mzee, mimi ningekuwa Rais, huyu ningemfanya awe WAZIRI MKUU....
    Mwamri ni mzalendo kweliiii
    I love him very much!!

  • @amneidd1254
    @amneidd1254 4 года назад +61

    Kama unamkubal na kumuombea aje kua mrithi wa baba etu maguful like tujuaneee👊

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 4 года назад +18

    If the Kenyan leadership was all like this we would now be light years away from our messes!

    • @missangela6720
      @missangela6720 2 года назад

      Shouldn’t leadership be in the hands of the PEOPLE?

  • @khamisifadhili90
    @khamisifadhili90 4 года назад +143

    Jamani wasaidizi wengine wa muheshimiwa Rais mumuige huyu Rc ili tusongembele

  • @stevenpeter5513
    @stevenpeter5513 4 года назад +7

    Asante baba wewe ni chaguo sahii kwa baba magufuli

  • @numbeshabani9981
    @numbeshabani9981 4 года назад +6

    Full respect mzee was Toronto

  • @allykazoa7065
    @allykazoa7065 4 года назад +3

    Wanaomkubali Rc Mwanri Like Twende Sawa.

  • @zakstv7368
    @zakstv7368 4 года назад +35

    Hey!! this is my business😂😂😂hakuna kuongea mtu hapa I like it😂

  • @rashidimswagilo8292
    @rashidimswagilo8292 2 года назад +3

    I love this guy, huu ni wizii

  • @fatmashafi6355
    @fatmashafi6355 4 года назад +5

    Mungu akusimamie ktk kazi zako amin🙋‍♂️

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 4 года назад +2

    The best RC in tz akunaga mpeni ubunge tabora msituangushe 100%

  • @wahabmkazi7902
    @wahabmkazi7902 4 года назад +3

    Dah namkumkumbuka baba yangu Mr mkazi, mungu na amrehemu

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 4 года назад +126

    Huyu jamaa akiwa Rais naona atakuwa zaidi ya Jpm kwa huu moto sio wa kawaida🤣🤣😱😱😱

  • @annenduku5243
    @annenduku5243 2 года назад +3

    You are right,let them be attentive to the quetstions.they fear,thank you mzee.

    • @annenduku5243
      @annenduku5243 2 года назад

      I wish my president could be like this man,oh my God.

  • @charlesotwalo9335
    @charlesotwalo9335 4 года назад +1

    Mkuu uko vizuri sana Mungu akuongoze ktk harakati zako zote safi sana

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 4 года назад +154

    hataa kamaa nilikuwaa naangalia video nyinginee,nitaacha na kuplay video yakeeee comedy wangu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kasangamrisho3405
    @kasangamrisho3405 4 года назад +20

    Kama umecheka Kama mie gonga like

  • @abdulkassim976
    @abdulkassim976 4 года назад +179

    Hili dingi iposiku litachinja mtu wallahi😆😆

  • @fredrickmuia8855
    @fredrickmuia8855 2 года назад +4

    Huuuuui Tanzania 🇹🇿 mmebarikiwa kweli hawa viongozi wakifika tu wanainchi tumepona.

  • @iqramawadh80
    @iqramawadh80 4 года назад +6

    Huyu mzee nitamkumbuka sana Agrey Mwanri ningeshukuru kama Mtwara tungepata mtu kama huyu

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 года назад +1

    Ila mzee alkua sawa sana aisee nlitaman angeweza hamishiwa mikoa mingine aichangamshe iwe sawa

  • @johncavishe353
    @johncavishe353 4 года назад +16

    Mzee namuelewa yupo makin sana ad raha mwenyenz mungu amtye nguvu

  • @salimomary6279
    @salimomary6279 4 года назад +11

    Wagonge wote walokula pesa....mzee...unaspeed ya 4G mzee I like that

  • @mwinjilistiboniphacealfred6035
    @mwinjilistiboniphacealfred6035 4 года назад +33

    Nakukubali mkuu wa mkoa wa Tabora unajituma sana

  • @kizbeka369
    @kizbeka369 4 года назад +14

    Heeeeey this is my busness 😆 huyu mheshimiwa kiboko wllah

  • @MrSavage22
    @MrSavage22 4 года назад +70

    Huu mkutano wa kwangu hapa sitaki kuona mtu anazungukazunguka nyenyua cm uone😂😂😂😂😂😂

  • @abineralfayo2516
    @abineralfayo2516 4 года назад +33

    “Substantive report sitaki conspiracy hapa” aaaa RC umeuaaaa

  • @DOUBLE_G_DA_BST
    @DOUBLE_G_DA_BST 4 года назад +25

    That's good coz vitu vngne vnakera sn

  • @mdmachungu7424
    @mdmachungu7424 2 года назад

    DC Mungu akujalie

  • @ashirafujuma831
    @ashirafujuma831 4 года назад +12

    Umemlipa nani 🙏🙏🙏🙏
    Shkamoo mkuu wa mkoa

  • @glenjoewa1797
    @glenjoewa1797 4 года назад +2

    Tanzania leaders wako sawa, we support your work

  • @claudking1378
    @claudking1378 4 года назад +123

    Katika watumishi wote mkuu wa mkoa wa Tabora anafanya vzr aclimia 100

  • @alicegalo414
    @alicegalo414 Год назад +1

    Mungu tuletee kiongozi kama huyu huku Kenya.

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 года назад +77

    Wanamchokoza wenyewe😁😁😁😁

  • @mottofaya8951
    @mottofaya8951 2 года назад +1

    Nimemkubalii mwshimiwaaaaa💯💯💯💯💯🤸🤸🤸

  • @johnkea5906
    @johnkea5906 4 года назад +3

    He deserve to be a President 2025.

  • @lulually5209
    @lulually5209 3 года назад +2

    Sura ya kazi ndivyo inavyotakiwa hapa kazi tu twende babaaa

  • @estarjuma7983
    @estarjuma7983 4 года назад +3

    CCM hoyeeee I ❤️YOU Tanzania 🇹🇿

  • @mashmanase7530
    @mashmanase7530 3 года назад +1

    Mtetezi wa Wana nchii, This is serious progressive leader

  • @mwajejasson6995
    @mwajejasson6995 4 года назад +18

    Mh Henry tunaitaji uje dar es salaam tunaomba rais magufuli akulete dar

    • @pasquallungwa3517
      @pasquallungwa3517 4 года назад +1

      Na kweli maana Dar ujanja ujanja mwingi maneno mengi kazi hazifanyiki

    • @michaelsiweya6500
      @michaelsiweya6500 4 года назад

      Kabisa... Mawazo yenu ni mawazo yangu... Akija Dar huyu mzee watu wapenda vyepesi vyepesi watajinyea

    • @emanuelamos4039
      @emanuelamos4039 4 года назад

      Akija dar atapoa uyooo

    • @angelosteven607
      @angelosteven607 4 года назад

      Mm nataka awe waziri mkuu

  • @saidkaxximali7606
    @saidkaxximali7606 4 года назад +1

    Tupo zanzibar hongera sana rc mwanri tunakupat vyema

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 3 года назад +18

    Huyu mzee ni Raid wangu,ananikumbusha magufuli dah!namkubali sana!

  • @frenkfrancis4151
    @frenkfrancis4151 4 года назад +2

    Kazi nzuri Sana baba

  • @edyhasan9071
    @edyhasan9071 4 года назад +12

    Yaniii watu wiziii sanaa wallah milion.mo0

  • @hassanimapanga7024
    @hassanimapanga7024 4 года назад +1

    Huyu ndo mkuu wa mkoa wa toronto noma sana mboka #unyamwezini juu juu

  • @heremanhereman3033
    @heremanhereman3033 4 года назад +4

    Hela zimeibiwa hapa gonga like

  • @fredinandmusa9950
    @fredinandmusa9950 2 года назад +2

    We missed you so much

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 4 года назад +9

    Jamani eeh !! Kama huwezi kufanya kazi ya kutumwa tumwa, fanya kazi ya kujituma mwenyewe, hakuna atakayekubugudhi ukila mtaji atakaye adhirika ni wewe mwenyewe !! Kazi ya utumishi ni kujituma kweli na sio usubiri mpaka utumikishwe !

  • @Malata_francis
    @Malata_francis 3 года назад

    Hataree Sana RC

  • @teddclive1506
    @teddclive1506 2 года назад +4

    Mwanri, Sabay, na Hepi are the best RCs aki

  • @jumatarabeni9753
    @jumatarabeni9753 4 года назад +1

    Safi sanaaa mkuuu mm niko Pemba ila nakukubali sanaa tena sanaaa weww na mh Ayoub Mahmood mkuuu wa mkoa waa kusinii Unguja safi saaanaaa kmataaa haaaooo

  • @makusujunior7109
    @makusujunior7109 2 года назад +1

    Tabora sikonge Hiyo Njia yngu Kubwa San Hy Miss you Sana apo

  • @patricksamwel8834
    @patricksamwel8834 4 года назад +1

    Salute kwako mkuu wa mkoa wa Tabora

  • @danielmwakamisa1985
    @danielmwakamisa1985 4 года назад +22

    Ntamgonga mtu hapa 😳

  • @shaabanyahaya2890
    @shaabanyahaya2890 4 года назад +2

    Namgongaaaa,,,safi sana Mzee ,,,

  • @babuuwakitaa1285
    @babuuwakitaa1285 4 года назад +3

    RC Wengine watanzania nzima ebu fanyeni kama uyu Mzee alivyo kuwa anafanya namkubaliiii sana

  • @imaninjau9135
    @imaninjau9135 2 года назад

    Hongera mkuu wa mkoa tabora.

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 4 года назад +10

    Huyu baba huwa ananipa raha sanaaaaa😂😂

  • @seifmohammedy8791
    @seifmohammedy8791 4 года назад +1

    Hahaha safiiiiii watakuelewa ndugu 😀😀😀😀

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 года назад +7

    Mtagongwa Leo🔥🔥

  • @GoraniV1
    @GoraniV1 4 года назад

    Mzee umetishaaa

  • @lameckmichael2388
    @lameckmichael2388 4 года назад +70

    Akitoka magufuri tumuweke huyu jamaaaa🤣🤣🤣Yani naona anaweza kuiongoza nchi😂😂😂

    • @amneidd1254
      @amneidd1254 4 года назад +1

      Umeonaaa eeeh atatugonga hatari

    • @wilsonkimaro6375
      @wilsonkimaro6375 4 года назад

      Hayo nimawazo yako siyo yawa Tz akitoka Magufuli tutamuweka JOSHUA KIMARO wa morogoro

    • @lameckmichael2388
      @lameckmichael2388 4 года назад +5

      @@wilsonkimaro6375 Nimawazoyako nawewe siyo yawa tz

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 4 года назад +1

      @@wilsonkimaro6375 huyo mruguru wako lamda akuongoze wewe

    • @wilsonkimaro6375
      @wilsonkimaro6375 4 года назад

      @@amiriramadhan7753 hahahahahahaaa Hakunaga Mluguru anaitwa Kimaro

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 4 года назад +1

    strong leader ingawa huwaga anaonekana kama comedian. nahisi yeye anamuelewa vizuri muheshimiwa raisi si hao wengine wanaofanya maigizo kila kukicha

  • @mwinyimwinyi9171
    @mwinyimwinyi9171 3 года назад +16

    this guy needs to be the president of Tanzania

  • @bobwillz6651
    @bobwillz6651 3 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂hatare balaaa I salute u sir.nyanyua cmu kama wewe ni ndume

  • @djumaally9517
    @djumaally9517 4 года назад +4

    CONGRATULATIONS FATHER

  • @makalasaigoni2275
    @makalasaigoni2275 4 года назад +1

    😬😬😬😬🙏🙏❣️ mh. hongera kwa kaz nzuri

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 года назад +9

    Tatizo Mnamchanganya wenyewe’ Tumieni fedha vizuri ‘ atawazingua huyo mzee...!

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 4 года назад +2

    Daaah....sawa sawa. Wanamchokoza wenyewe.

  • @davisholy3839
    @davisholy3839 4 года назад +21

    🤣🤣😂😂huyu jamaa ipo siku atanyongaaa mtu nasemaaa 😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

    • @henrykinga9825
      @henrykinga9825 4 года назад

      Kweli kabisa, yupo seriously huyu mzee

  • @clementgerald2988
    @clementgerald2988 4 года назад

    Jamaa Nampenda Sana Yy Kazi Tu Haongelei Siasa hata kidogo

  • @ahmedsalim501
    @ahmedsalim501 4 года назад +3

    Nilimmiss sana mwanri 😅😅😅😅😃

  • @omarymamaa7595
    @omarymamaa7595 4 года назад +1

    Kongole kwa mkuu was mka mwandri ni kioo cha wakuu was mikoa yote kwa utendaji kazi wake big up sana huyu ni magufuli was tabora Hannibal