RC Mwanri aanzisha vita na Walevi "Pombe ina darubini, ulevi ulipojenga nchi!"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 янв 2019

Комментарии • 525

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 5 лет назад +9

    Jamani huyu mkuu wa mkoa tusipo mpa like zake tutakuwa hatumtendei haki tuanze mimi

  • @aliarkam1413
    @aliarkam1413 5 лет назад +92

    Huyu ndio kiongoz ambaye mfano kwa wengine , Hongera sana

  • @gelsonyusto7772
    @gelsonyusto7772 5 лет назад +5

    Appreciate saana kiongozi mkuu wa mkoa tabora na pia heshima kwako Millard ayo kwa habari zako naelimika kuptia katka vipind vyako pia na burudika salute saana Millard ayo

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour9459 5 лет назад +57

    YAAN HUYU MKUU UTADHANI NDO MKUU WA MIKOA YOTE. Jamaa anatema facts

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 лет назад +14

    Huyu ndo kiongozi bora mungu akulinde

  • @aginiweyessayakyando9855
    @aginiweyessayakyando9855 5 лет назад +2

    Mzee nampenda sana, hlf huyu mzee anaupendo wa ukweli juu ya watu anaowaongoza. Mungu akubariki sana.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад +44

    Kabla cjafunga hii taarifa nikiangalia kichwa cha habar tu Nacheka, uyu Baba ni jembe 😂😂😂😂
    *Hiyo pombe ina darubini??*

  • @anithermsigwa
    @anithermsigwa 5 лет назад +4

    Kaongea point sana watoto ndo hazina ya muhimu ni wa Jamhuri kweli ayseee👏👏👏👏👏

  • @joelsule4111
    @joelsule4111 5 лет назад +1

    Nadhani tunaweza kumchukulia kama comedian flani hivi! Yuko siriaz na kazi na anamaanisha anachokifanya tena kwa ujumbe wa kirafiki, lkn ni ujumbe unaowalenga wanyonge ambao hawajitambui! Hii kazi hata ustawi wa jamii baadhi yao hawazi kutupatia japo ndo wajibu wao. Hongera sana Mh. Rc Tabora. Kwa maoni yangu wewe ni kiongozi unajitambua na kujua mahitaji ya jamii unayoisimamia. Mungu akulinde wakati unatimiza majukumu yako!

  • @naipendaamaniniliyonayodai6399
    @naipendaamaniniliyonayodai6399 5 лет назад +1

    Nakukubali sana Mzee Mwanri,,endelea kupiga kazi mkuu we admire you sir!!

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 5 лет назад +7

    Safi sana mkuu wa mkoa nakuunga mkono chukua hatua wanaume na wanawake pia hawatunzi watoto ni kweri kabisa

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 5 лет назад +90

    😂😂😂wakenya tunakupendanga sana tu una chekesha but ni kweli

    • @franklusangulo4156
      @franklusangulo4156 5 лет назад +3

      yuko poa and real

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 5 лет назад +3

      @@franklusangulo4156 like you see😂

    • @hassanisadiki824
      @hassanisadiki824 5 лет назад +2

      Bx tutaandaa shooo huko Kenya ili mumuone vzr lkn kiingilio ni 2000ksh

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 5 лет назад +2

      @@hassanisadiki824 vile tuna mpenda tutaingia hata na zaidi ya izo mahana hakika hatufunza mengi kwanza ukiwa kiongozi unatakiwa uwe mtu tu wakawaida unongea kulingana na hasa matokeo halisi hanamengi mazuri ya kua kiongozi na kuingwa upenda kuva usika wake akiwa kazini kama mwanainji ujisusa thamni na kukaha kama wanaiji wake hakika kukiwa kama hawa kumi tazania itakua ulaya

    • @kilangodole4425
      @kilangodole4425 5 лет назад +1

      oi natafuta mke mkenya hasa kutoka mombasa nimekuchek upo poa sana

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu4561 5 лет назад +5

    Hiki kipande cha mama unafungua au ni ingie nao nan anipe jamani😂😂😂😂😂😂

  • @dellasimulizi
    @dellasimulizi 5 лет назад +49

    Mkuu wa Mkoa kiboko kabisa.

    • @fadhilynolasco7339
      @fadhilynolasco7339 5 лет назад

      Kiboko huyu jamaa

    • @mohamedsaidmohamed8664
      @mohamedsaidmohamed8664 5 лет назад

      Huyu mulimtoa wapi??...tunataka watu kama huyu bwana kila mji

    • @ablysonco8850
      @ablysonco8850 5 лет назад

      Half Dada Adela hv zile simuliz zako ulizokuwa hukzsimulia enz zile za mwaka 2009 in passion fm kila weekend...nmezmis sana hem fanya huz upload in you tube ili tupate mafunzo maana dah nlikuwa nakufatilia sana...

    • @muhammedyusuph5105
      @muhammedyusuph5105 4 года назад

      Ntumie namba yako au ntafute 0654033141

  • @ernestkaria5938
    @ernestkaria5938 5 лет назад +17

    Mzee nakuelewaga sana....
    Mlevi n kama mshenzi flanii HV.

  • @habibalkindy2811
    @habibalkindy2811 5 лет назад +5

    nakukubali sana mkuu wangu was mkoa natamani uongoze tabora miaka 800000000000000

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 5 лет назад +15

    Safi sana Mwanri kwa kujali wananchi wako , hongera sana

    • @godlistenswai8955
      @godlistenswai8955 5 лет назад +1

      Anapiga nguchu hahaaa

    • @faridamkesso97
      @faridamkesso97 5 лет назад +1

      @@godlistenswai8955 yaani huyu Mwanri angekuwa mwalimu wanafunzi wangefaulu sana maana anambinu za hali ya juu kwa kufikisha ujumbe yaani ni kiongozi bora nampa 100 %

    • @godlistenswai8955
      @godlistenswai8955 5 лет назад +1

      @@faridamkesso97 namuelewaga sanaaa

  • @m.amanitv8534
    @m.amanitv8534 5 лет назад +14

    Duh Tabora mmepata kitu na Box Nawaonea wivu

  • @liobajoseph8255
    @liobajoseph8255 5 лет назад +11

    😂😂😂mwanri mbavu zangu, we ni kiongozi safi Sana, maendeleo ya taifa yanaanzia ngazi ya familia

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 4 года назад +5

    Mke wa mganga ni mnene utafikili behewa 😂😂😂😂😂😂

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 5 лет назад +4

    Pombe yenye darubini..walevi hawana maana kaabisa..nashangaa serikali zetu zimengangania bangi tu..Mwanri for president

  • @emmanuelmoses8340
    @emmanuelmoses8340 4 года назад +1

    Nampenda san,mkuu wa mkoa wa TABORA kwa sabau ana wafanya watu kuwa ACTIVE WAKATI WOTE
    Aa namkubal san piga kaz mzee

  • @faridahhamza8704
    @faridahhamza8704 5 лет назад +3

    Dahhh yaan mkuu itabidi nihame tanga nije tabora kuanzisha makazi kwa ajili ya kasi yko ya maendeleo nimeipenda sana

  • @izdoryb.barnabas1794
    @izdoryb.barnabas1794 5 лет назад +13

    Wewe ndo baba Wa mkoa kweli kweli!

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 лет назад +3

    Huyu ni Mwalimu wa maisha zaidi ya kuwa mkuu wa mkoa.anachoongea ni zaidi ya elimu kwa familia zetu.ni wengi tunakosea!
    binafsi nashukuru kwa elimu hii uliyonipa mheshimiwa Mwanri.

  • @maxmilianjoseph8065
    @maxmilianjoseph8065 5 лет назад +2

    Uteuzi wako umetukuka baba...Maneno yako ni hazina kubwa sana kwa atakayeyatafakari na kuyafanyia kazi...Mungu akubariki

    • @yosiamboya769
      @yosiamboya769 5 лет назад

      Hakuna mkuu mkoa anaefanya kazi bora bila visasi kama huyuuuuu adumu mi aka yote

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад +11

    😅😅😅😅duh lakini huyu baba ni mwema..tutako twa watt inje inje😭😭😭

    • @marystelaswai5174
      @marystelaswai5174 5 лет назад +1

      🤣🤣😂😂😂

    • @salomebenson4491
      @salomebenson4491 5 лет назад +1

      Hahahahaaa yan hapo nimeangua kicheko kam kichaa 😂😂😂😂😂😂

  • @filbertchulla9881
    @filbertchulla9881 5 лет назад +1

    safi Sana MKUU Mungu akubariki sanAaa

  • @ufc-ultimatefightingchampi8456
    @ufc-ultimatefightingchampi8456 5 лет назад +1

    God Bless you. you are hero

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 5 лет назад +1

    Kweli kiongozi.Okoa familia jameni.Asante .Mkenya from london.pongezi.

  • @luindamchwakanigee4811
    @luindamchwakanigee4811 5 лет назад +2

    Mkuu
    Saluti
    Kwako

  • @vitalesmgenge6984
    @vitalesmgenge6984 5 лет назад +25

    Mama Ana mlango unafungua au niingie nao? Pombe hio

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd 4 года назад

    Ww Mzee unayoongea yote mazima halafu ulivokiongozi mzuri 💯💯 huongelei siasa zile zakichama wewe unaonelea siasa ya kuielewesha jamii

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 5 лет назад +6

    sukuma ndani wooote

  • @popperkuch669
    @popperkuch669 5 лет назад +1

    Mh salute kwako

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 5 лет назад +2

    Nakufaaaaa, kufa.
    Wee, wee, wee, nyamaza kabisaaa usiniambie maneno hayo😂😂😂

  • @chibudangote4457
    @chibudangote4457 5 лет назад

    Asante sana Mkuu wa mkoa genious

  • @njeerysalum5862
    @njeerysalum5862 5 лет назад +20

    jamanii naomba awe mkuu wamkoa arusha

    • @emanuelf.mwakimbu3048
      @emanuelf.mwakimbu3048 5 лет назад +1

      Uyu anafaa mikowa yote

    • @asueddy1465
      @asueddy1465 5 лет назад

      Weeeeeee aje Mbeya huyu

    • @calvinmaimu2955
      @calvinmaimu2955 5 лет назад

      Njeery Salum
      aliwahi kuwa DC hapo arusha 1995 na baadae alienda kuwa mbunge wa hai ndipo alifanya juhudi za kupata wilaya ya siha akawa wa siha mungu amjalie akaifufue tabora iliokuwa imeanza kufa

    • @dorinmboya3770
      @dorinmboya3770 5 лет назад +1

      Me pia natamani ingependeza

    • @kakazikwe2271
      @kakazikwe2271 5 лет назад

      Njeery Salum we toka hapa, nyie c mnae mrixho gambo sjui?

  • @goodluckymanjala5062
    @goodluckymanjala5062 5 лет назад +20

    Mke wa mganga wa kienyeji ni mnene kama behewa kuku mchezo?

  • @Ba63828
    @Ba63828 5 лет назад

    UNAONGEA BUSARA SANA I LOVE YOUR INTERACTION WITH THE PEOPLE JAMII IKUZDISHIE

  • @drjoshuamadundo8953
    @drjoshuamadundo8953 5 лет назад +7

    Kiukwel huwa navutiwa sana na huyuu kiongoz

  • @emmanuelgabagendi4515
    @emmanuelgabagendi4515 5 лет назад +1

    Kikwel mm nakupenda sana mze safi sana kanzi njema

  • @deogratiusdominick3884
    @deogratiusdominick3884 5 лет назад

    Uyu mzeee namkubali sana like nying kwako

  • @michaelmuriithi6808
    @michaelmuriithi6808 5 лет назад +1

    Mheshimiwa RC..karibu Kiambu, Kenya...hapa wanatoa lock asubuhi..ndo aweze kuona ( sic!)..ulevi ni ushenzi.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 5 лет назад +9

    Somo linaingia! Mwanri kiongozi safii

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 5 лет назад

    Yaani sijui huyu baba alikuwa wapi!!!asante Mh raisi kumteua huyu !!!anasema u kweli japo anatuchekesha,Mungu akubariki sanaaaaaaa!!!

  • @elisonmalisa2169
    @elisonmalisa2169 5 лет назад +3

    Akitumbuliwa huyu nahama Tanzania! 😀

  • @magehkihwele8274
    @magehkihwele8274 5 лет назад +2

    Hahah kwenye kuingia na mlango hapo baba Anna acha t niamke nkufungulie😂😂😂😂

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 10 месяцев назад

    ❤❤watoto hawawezi kula kipolo😂😂 nakupenda san babaangu naangqlia 2023

  • @amosamos6078
    @amosamos6078 5 лет назад +1

    Salute kwako mkuuuuuuuu

  • @djamanitvonline3623
    @djamanitvonline3623 5 лет назад +9

    Ngapiiii ukooo 😂😂😂😂🙏

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 5 лет назад +2

    Walevi ni washenziii ( Hapa nakuunga mkono)..😂😂

  • @iddirashid8038
    @iddirashid8038 5 лет назад +11

    hahhahaha et mlango utafungua au niingie nao😃😃😃😃😃😃

  • @phoebemmanga299
    @phoebemmanga299 5 лет назад

    Mkuu una Kipaji cha UONGOZI. Hongera sana.

  • @erastojacob17
    @erastojacob17 4 года назад +1

    Wewe ni kiongozi wa kweli.

  • @emanuelmwakarata9721
    @emanuelmwakarata9721 5 лет назад

    Injinia soma iyo safi sana uko vizuri mzee

  • @annachristopherokeno9387
    @annachristopherokeno9387 5 лет назад

    Asante baba pigs kazi shuka nao Moja kwa moja

  • @joachimhancemwakoba8283
    @joachimhancemwakoba8283 5 лет назад +6

    😂😂😂😂😂oyee baba mkwe Mwanri

  • @asegelilemwambapa5976
    @asegelilemwambapa5976 5 лет назад

    Nakufaaa. Kufaa Hahahahaha tabora yetu ya Toronto. Big up

  • @silverjoseph4577
    @silverjoseph4577 5 лет назад

    Big up Sana unajua kunifanya nicheke niwapo na hasira

  • @bensonndendya9556
    @bensonndendya9556 5 лет назад +1

    Mama ana huu mlango unafungua au niingie nao

  • @Crownvalz
    @Crownvalz 5 лет назад +5

    Kama naiona nyimbo itakayotoka kwenye hii video...😂😂😂

  • @oscarleizer404
    @oscarleizer404 5 лет назад +2

    Nakubana kama clamp taaap 😂😂😂

  • @muammarghadaffi3554
    @muammarghadaffi3554 5 лет назад

    No.1 on trending RC.......

  • @frankfiretz
    @frankfiretz 5 лет назад

    Mzee wa sukuma ndaniiii,somaa hiyoooooooo Tisha Sana RC

  • @neema.shaoshao1361
    @neema.shaoshao1361 5 лет назад +8

    Unanifuraisha sana maana unaweka msisitizo asiye kuelewa sukuma ndani

  • @briannyiti208
    @briannyiti208 5 лет назад +4

    Hiyo pombe ina darubini😆😆😆😆

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 лет назад +1

    Your My Best RC for sure 😘😘😘

  • @rosekimario8259
    @rosekimario8259 5 лет назад

    Daaah kweli huongei uwongo ni kweli kabisa hasa rombo ulevi umekithiri na hakuna kinachoendelea

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 лет назад +9

    Hahaha huyu lazima alipitia matatizo sana zama zile, yaani anajua kila kitu.

    • @marystelaswai5174
      @marystelaswai5174 5 лет назад

      Hajapitia shida kabisa ndgu ni kiongozi bora tu,namjua tangu kale sanaaaaa

    • @lawmaina78
      @lawmaina78 5 лет назад

      @@marystelaswai5174 Lakini anaonekana kufahamu mambo mengi ya maisha ya kawaida.

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 5 лет назад +2

    Mama ana huu mlango utafungua au niingie nao

  • @catherineriwa6488
    @catherineriwa6488 5 лет назад +2

    hahahhahahahaha🤣🤣🤣🤣aiseenomna Sana mke WA mganga mnene Kama behewa

  • @SIDE10e
    @SIDE10e 2 года назад

    Nakufaa nasema kufa 2022

  • @hasnathassan1778
    @hasnathassan1778 5 лет назад

    Raha sana

  • @lekinyimboreti752
    @lekinyimboreti752 5 лет назад

    Gooder sana Mkuu

  • @nbfchisotta3749
    @nbfchisotta3749 5 лет назад +2

    Unafungua au niingie nao?!!😂😂

  • @sayimabulla9828
    @sayimabulla9828 5 лет назад

    Hongera sana kiongoz

  • @jumanguya9116
    @jumanguya9116 4 года назад +1

    Weee weeee Weee
    Nyamaza kabisa hahahahaaaaaaaa watoto wajamhur

  • @camelmsigara7477
    @camelmsigara7477 4 года назад

    Chapa kazi mzee baba

  • @diluxjulius3306
    @diluxjulius3306 5 лет назад +1

    Mmmh!!!! Respect 2u RC

  • @yosiamboya769
    @yosiamboya769 5 лет назад +3

    Huyundo Kiongozi wa nchi tunae mhitaji hataakiwa raisi nitampa kuraaaa

  • @banshbansh2329
    @banshbansh2329 5 лет назад +1

    kweli kabisa tabora na mwanza waongoza kwa ulevi hawajali familia zao alafu wakorofi sana

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 5 лет назад +5

    tabora oyeeeeee wakileta mchezo swekelea mbali

  • @adamalibhai4921
    @adamalibhai4921 5 лет назад +3

    Aggrey ameongea ukweli halisi kabisa wa tanzania

  • @Ambweneonlinetv
    @Ambweneonlinetv 5 лет назад +12

    *_somaaaaaaa hiyoooooo_* 😂😂😂😂😂

  • @bashiryusuph6750
    @bashiryusuph6750 4 года назад

    daaah mzee agree tutakuona wp tenaaa aaah sukumandani

  • @kimbokageorge2646
    @kimbokageorge2646 5 лет назад +1

    Wachagga wajanja Tanzania
    1.Rc Aggrey mwanri
    2.George mushi kimboka

  • @officialjclever9879
    @officialjclever9879 5 лет назад +2

    Kama umesikia bam bam gonga like

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад

    safi sana mkuu wa mkoa

  • @josephmakyao1095
    @josephmakyao1095 5 лет назад

    Mkuu unanipa matumaini ya uongozi bora ktk nchi hii mm naomba mkuu wa nchi akupeleke tamisemi ili hzo juhud uzifanye nchi nzima mungu akubariki sana

  • @ablysonco8850
    @ablysonco8850 5 лет назад

    Angekaa T.R.A...kma kiongoz Mkuu...Ingekuwa saf sana...hak ingeonekana...

    • @josephattesha2929
      @josephattesha2929 5 лет назад

      Tunapenda unavo ongea Mungu akubark katika uongoz wako mkuu wa mkoaa

  • @samsonjoseph7320
    @samsonjoseph7320 5 лет назад +1

    Tabia ya pombe ni kuahirisha matatizo yako Kwa muda. Mlevi ni mshenzi na mshenzi ni mtu yeyote ambae si msitaarabu.

  • @immapiusi3172
    @immapiusi3172 5 лет назад +2

    Mpeleken Rombo aicee

  • @amourjustine925
    @amourjustine925 5 лет назад +1

    Huyu ndio mwanry bhana na mpya ya 2019

  • @aloycayubu24
    @aloycayubu24 5 лет назад +1

    Namwelewa sana huyu dingideee ahahaah🤣🤣🤣🤣🤣

  • @teachingtruthmissionafrica9998
    @teachingtruthmissionafrica9998 5 лет назад

    Nampenda sana huyu baba

  • @oman3527
    @oman3527 5 лет назад +12

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂🏃‍♂️✌nimecheka mbayaaaa

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 4 года назад

    Njoo Kenya mzee tukupe urais.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 5 лет назад

    Ninakukubari sana mzee kwakweli Ongera ninatamani na mimi niwe kama Kiongozi kama wew aisee safi sana

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 5 лет назад +2

    Urevi ni adui wa maendeleo,jamani shenzi kabisa walevi