Appreciate saana kiongozi mkuu wa mkoa tabora na pia heshima kwako Millard ayo kwa habari zako naelimika kuptia katka vipind vyako pia na burudika salute saana Millard ayo
Nadhani tunaweza kumchukulia kama comedian flani hivi! Yuko siriaz na kazi na anamaanisha anachokifanya tena kwa ujumbe wa kirafiki, lkn ni ujumbe unaowalenga wanyonge ambao hawajitambui! Hii kazi hata ustawi wa jamii baadhi yao hawazi kutupatia japo ndo wajibu wao. Hongera sana Mh. Rc Tabora. Kwa maoni yangu wewe ni kiongozi unajitambua na kujua mahitaji ya jamii unayoisimamia. Mungu akulinde wakati unatimiza majukumu yako!
@@hassanisadiki824 vile tuna mpenda tutaingia hata na zaidi ya izo mahana hakika hatufunza mengi kwanza ukiwa kiongozi unatakiwa uwe mtu tu wakawaida unongea kulingana na hasa matokeo halisi hanamengi mazuri ya kua kiongozi na kuingwa upenda kuva usika wake akiwa kazini kama mwanainji ujisusa thamni na kukaha kama wanaiji wake hakika kukiwa kama hawa kumi tazania itakua ulaya
Half Dada Adela hv zile simuliz zako ulizokuwa hukzsimulia enz zile za mwaka 2009 in passion fm kila weekend...nmezmis sana hem fanya huz upload in you tube ili tupate mafunzo maana dah nlikuwa nakufatilia sana...
@@godlistenswai8955 yaani huyu Mwanri angekuwa mwalimu wanafunzi wangefaulu sana maana anambinu za hali ya juu kwa kufikisha ujumbe yaani ni kiongozi bora nampa 100 %
Huyu ni Mwalimu wa maisha zaidi ya kuwa mkuu wa mkoa.anachoongea ni zaidi ya elimu kwa familia zetu.ni wengi tunakosea! binafsi nashukuru kwa elimu hii uliyonipa mheshimiwa Mwanri.
Njeery Salum aliwahi kuwa DC hapo arusha 1995 na baadae alienda kuwa mbunge wa hai ndipo alifanya juhudi za kupata wilaya ya siha akawa wa siha mungu amjalie akaifufue tabora iliokuwa imeanza kufa
Jamani huyu mkuu wa mkoa tusipo mpa like zake tutakuwa hatumtendei haki tuanze mimi
Huyu ndio kiongoz ambaye mfano kwa wengine , Hongera sana
Shikaa mooo baba
Ali Arkam mambo bambamb
Appreciate saana kiongozi mkuu wa mkoa tabora na pia heshima kwako Millard ayo kwa habari zako naelimika kuptia katka vipind vyako pia na burudika salute saana Millard ayo
YAAN HUYU MKUU UTADHANI NDO MKUU WA MIKOA YOTE. Jamaa anatema facts
Huyu ndo kiongozi bora mungu akulinde
Mzee nampenda sana, hlf huyu mzee anaupendo wa ukweli juu ya watu anaowaongoza. Mungu akubariki sana.
Kabla cjafunga hii taarifa nikiangalia kichwa cha habar tu Nacheka, uyu Baba ni jembe 😂😂😂😂
*Hiyo pombe ina darubini??*
Saumu Hassan anaigiza au anachekesha
Bam bam tutoo tunatembe tutako
jembe kama ww huyo
Kaongea point sana watoto ndo hazina ya muhimu ni wa Jamhuri kweli ayseee👏👏👏👏👏
Nadhani tunaweza kumchukulia kama comedian flani hivi! Yuko siriaz na kazi na anamaanisha anachokifanya tena kwa ujumbe wa kirafiki, lkn ni ujumbe unaowalenga wanyonge ambao hawajitambui! Hii kazi hata ustawi wa jamii baadhi yao hawazi kutupatia japo ndo wajibu wao. Hongera sana Mh. Rc Tabora. Kwa maoni yangu wewe ni kiongozi unajitambua na kujua mahitaji ya jamii unayoisimamia. Mungu akulinde wakati unatimiza majukumu yako!
Nakukubali sana Mzee Mwanri,,endelea kupiga kazi mkuu we admire you sir!!
Safi sana mkuu wa mkoa nakuunga mkono chukua hatua wanaume na wanawake pia hawatunzi watoto ni kweri kabisa
huwa nakukubar sana
😂😂😂wakenya tunakupendanga sana tu una chekesha but ni kweli
yuko poa and real
@@franklusangulo4156 like you see😂
Bx tutaandaa shooo huko Kenya ili mumuone vzr lkn kiingilio ni 2000ksh
@@hassanisadiki824 vile tuna mpenda tutaingia hata na zaidi ya izo mahana hakika hatufunza mengi kwanza ukiwa kiongozi unatakiwa uwe mtu tu wakawaida unongea kulingana na hasa matokeo halisi hanamengi mazuri ya kua kiongozi na kuingwa upenda kuva usika wake akiwa kazini kama mwanainji ujisusa thamni na kukaha kama wanaiji wake hakika kukiwa kama hawa kumi tazania itakua ulaya
oi natafuta mke mkenya hasa kutoka mombasa nimekuchek upo poa sana
Hiki kipande cha mama unafungua au ni ingie nao nan anipe jamani😂😂😂😂😂😂
Mkuu wa Mkoa kiboko kabisa.
Kiboko huyu jamaa
Huyu mulimtoa wapi??...tunataka watu kama huyu bwana kila mji
Half Dada Adela hv zile simuliz zako ulizokuwa hukzsimulia enz zile za mwaka 2009 in passion fm kila weekend...nmezmis sana hem fanya huz upload in you tube ili tupate mafunzo maana dah nlikuwa nakufatilia sana...
Ntumie namba yako au ntafute 0654033141
Mzee nakuelewaga sana....
Mlevi n kama mshenzi flanii HV.
Yup
zoo
hongera mkuu wa mkoa wa tabora
nakukubali sana mkuu wangu was mkoa natamani uongoze tabora miaka 800000000000000
Safi sana Mwanri kwa kujali wananchi wako , hongera sana
Anapiga nguchu hahaaa
@@godlistenswai8955 yaani huyu Mwanri angekuwa mwalimu wanafunzi wangefaulu sana maana anambinu za hali ya juu kwa kufikisha ujumbe yaani ni kiongozi bora nampa 100 %
@@faridamkesso97 namuelewaga sanaaa
Duh Tabora mmepata kitu na Box Nawaonea wivu
Hahahaba
😂😂😂mwanri mbavu zangu, we ni kiongozi safi Sana, maendeleo ya taifa yanaanzia ngazi ya familia
Lioba Joseph mungu amjalie maisha mazur
,
Mke wa mganga ni mnene utafikili behewa 😂😂😂😂😂😂
Pombe yenye darubini..walevi hawana maana kaabisa..nashangaa serikali zetu zimengangania bangi tu..Mwanri for president
Nampenda san,mkuu wa mkoa wa TABORA kwa sabau ana wafanya watu kuwa ACTIVE WAKATI WOTE
Aa namkubal san piga kaz mzee
Dahhh yaan mkuu itabidi nihame tanga nije tabora kuanzisha makazi kwa ajili ya kasi yko ya maendeleo nimeipenda sana
Wewe ndo baba Wa mkoa kweli kweli!
Huyu ni Mwalimu wa maisha zaidi ya kuwa mkuu wa mkoa.anachoongea ni zaidi ya elimu kwa familia zetu.ni wengi tunakosea!
binafsi nashukuru kwa elimu hii uliyonipa mheshimiwa Mwanri.
Uteuzi wako umetukuka baba...Maneno yako ni hazina kubwa sana kwa atakayeyatafakari na kuyafanyia kazi...Mungu akubariki
Hakuna mkuu mkoa anaefanya kazi bora bila visasi kama huyuuuuu adumu mi aka yote
😅😅😅😅duh lakini huyu baba ni mwema..tutako twa watt inje inje😭😭😭
🤣🤣😂😂😂
Hahahahaaa yan hapo nimeangua kicheko kam kichaa 😂😂😂😂😂😂
safi Sana MKUU Mungu akubariki sanAaa
God Bless you. you are hero
Kweli kiongozi.Okoa familia jameni.Asante .Mkenya from london.pongezi.
Hengera sana MKUU wetu from morogoro tz
kwel hawasikii wapashe
Mkuu
Saluti
Kwako
Mama Ana mlango unafungua au niingie nao? Pombe hio
😂😂
Vitales Mgenge hahahahah
Ww Mzee unayoongea yote mazima halafu ulivokiongozi mzuri 💯💯 huongelei siasa zile zakichama wewe unaonelea siasa ya kuielewesha jamii
sukuma ndani wooote
Mh salute kwako
Nakufaaaaa, kufa.
Wee, wee, wee, nyamaza kabisaaa usiniambie maneno hayo😂😂😂
Asante sana Mkuu wa mkoa genious
jamanii naomba awe mkuu wamkoa arusha
Uyu anafaa mikowa yote
Weeeeeee aje Mbeya huyu
Njeery Salum
aliwahi kuwa DC hapo arusha 1995 na baadae alienda kuwa mbunge wa hai ndipo alifanya juhudi za kupata wilaya ya siha akawa wa siha mungu amjalie akaifufue tabora iliokuwa imeanza kufa
Me pia natamani ingependeza
Njeery Salum we toka hapa, nyie c mnae mrixho gambo sjui?
Mke wa mganga wa kienyeji ni mnene kama behewa kuku mchezo?
Hah hah hah hah
Hongera sana RC tabora
UNAONGEA BUSARA SANA I LOVE YOUR INTERACTION WITH THE PEOPLE JAMII IKUZDISHIE
Kiukwel huwa navutiwa sana na huyuu kiongoz
Hongera Sana mkuuu
Kikwel mm nakupenda sana mze safi sana kanzi njema
Uyu mzeee namkubali sana like nying kwako
Mheshimiwa RC..karibu Kiambu, Kenya...hapa wanatoa lock asubuhi..ndo aweze kuona ( sic!)..ulevi ni ushenzi.
Somo linaingia! Mwanri kiongozi safii
Natakapicha
Yaani sijui huyu baba alikuwa wapi!!!asante Mh raisi kumteua huyu !!!anasema u kweli japo anatuchekesha,Mungu akubariki sanaaaaaaa!!!
Akitumbuliwa huyu nahama Tanzania! 😀
Hahah kwenye kuingia na mlango hapo baba Anna acha t niamke nkufungulie😂😂😂😂
❤❤watoto hawawezi kula kipolo😂😂 nakupenda san babaangu naangqlia 2023
Salute kwako mkuuuuuuuu
Ngapiiii ukooo 😂😂😂😂🙏
Walevi ni washenziii ( Hapa nakuunga mkono)..😂😂
namkubar xn
hahhahaha et mlango utafungua au niingie nao😃😃😃😃😃😃
😂😂😂
Iddi Rashid napiga guchu
Mkuu una Kipaji cha UONGOZI. Hongera sana.
Wewe ni kiongozi wa kweli.
Injinia soma iyo safi sana uko vizuri mzee
Asante baba pigs kazi shuka nao Moja kwa moja
😂😂😂😂😂oyee baba mkwe Mwanri
Nakufaaa. Kufaa Hahahahaha tabora yetu ya Toronto. Big up
Big up Sana unajua kunifanya nicheke niwapo na hasira
Mama ana huu mlango unafungua au niingie nao
Kama naiona nyimbo itakayotoka kwenye hii video...😂😂😂
Nakubana kama clamp taaap 😂😂😂
No.1 on trending RC.......
Mzee wa sukuma ndaniiii,somaa hiyoooooooo Tisha Sana RC
Unanifuraisha sana maana unaweka msisitizo asiye kuelewa sukuma ndani
Hiyo pombe ina darubini😆😆😆😆
Your My Best RC for sure 😘😘😘
Mzee una point
Daaah kweli huongei uwongo ni kweli kabisa hasa rombo ulevi umekithiri na hakuna kinachoendelea
Hahaha huyu lazima alipitia matatizo sana zama zile, yaani anajua kila kitu.
Hajapitia shida kabisa ndgu ni kiongozi bora tu,namjua tangu kale sanaaaaa
@@marystelaswai5174 Lakini anaonekana kufahamu mambo mengi ya maisha ya kawaida.
Mama ana huu mlango utafungua au niingie nao
hahahhahahahaha🤣🤣🤣🤣aiseenomna Sana mke WA mganga mnene Kama behewa
Nakufaa nasema kufa 2022
Raha sana
Gooder sana Mkuu
Unafungua au niingie nao?!!😂😂
Hongera sana kiongoz
Weee weeee Weee
Nyamaza kabisa hahahahaaaaaaaa watoto wajamhur
Chapa kazi mzee baba
Mmmh!!!! Respect 2u RC
Huyundo Kiongozi wa nchi tunae mhitaji hataakiwa raisi nitampa kuraaaa
kweli kabisa tabora na mwanza waongoza kwa ulevi hawajali familia zao alafu wakorofi sana
tabora oyeeeeee wakileta mchezo swekelea mbali
Aggrey ameongea ukweli halisi kabisa wa tanzania
*_somaaaaaaa hiyoooooo_* 😂😂😂😂😂
*JIfanye kama unakuna kichwa* 😂😂😂
Saumu Hassan 😂😂😂😂😂😂😂
Pemba Tv injinia 😂😂😂😂
daaah mzee agree tutakuona wp tenaaa aaah sukumandani
Wachagga wajanja Tanzania
1.Rc Aggrey mwanri
2.George mushi kimboka
Kama umesikia bam bam gonga like
safi sana mkuu wa mkoa
Mkuu unanipa matumaini ya uongozi bora ktk nchi hii mm naomba mkuu wa nchi akupeleke tamisemi ili hzo juhud uzifanye nchi nzima mungu akubariki sana
Angekaa T.R.A...kma kiongoz Mkuu...Ingekuwa saf sana...hak ingeonekana...
Tunapenda unavo ongea Mungu akubark katika uongoz wako mkuu wa mkoaa
Tabia ya pombe ni kuahirisha matatizo yako Kwa muda. Mlevi ni mshenzi na mshenzi ni mtu yeyote ambae si msitaarabu.
Mpeleken Rombo aicee
Huyu ndio mwanry bhana na mpya ya 2019
Namwelewa sana huyu dingideee ahahaah🤣🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana huyu baba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🏃♂️✌nimecheka mbayaaaa
Njoo Kenya mzee tukupe urais.
Ninakukubari sana mzee kwakweli Ongera ninatamani na mimi niwe kama Kiongozi kama wew aisee safi sana
Urevi ni adui wa maendeleo,jamani shenzi kabisa walevi