MWANRI AVUNJA WATU MBAVU AMWAMBIA MAJALIWA "SAUTI HII NI MSISITIZO TU MKUU, MI SIWEZI KUKUGOMBEZA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri akiongea mbele ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Tabora kwenye jukwaa la kufungua fursa za kibiashara kwa Tabora.

Комментарии • 118

  • @charlesudoya9396
    @charlesudoya9396 5 лет назад +73

    Wanaotamani kuwa wanyamwezi kisa mkuu wa mkoa huyu hebu nipeni like zangu tafadhali.

    • @sarahjohn6896
      @sarahjohn6896 5 лет назад +1

      wanyamwezi wanatamani kuwa wachaga...😊😊😊MWANRI HATARI SANA

  • @funneybozzendaddy7631
    @funneybozzendaddy7631 5 лет назад +43

    😂😂 acha inchii hii ikamatwe na wanaume alafu inyooke kama cremp kah!!!! Halafu tueshimiane humu ndani😂😂😂😂

    • @mamahustru
      @mamahustru 5 лет назад +1

      😂😂😂😂😂 Huyu mzee huwa ananipa raha sana. Walahi hiki kibarua kikifika ukomo, awe mchekeshaji jukwaani. Ni ajira tosha, binafsi nitalipa kiingilio.

    • @mobaisa9475
      @mobaisa9475 5 лет назад +1

      funney bozzen Daddy muheshimiane wanawake pind wanaume tuko vitan

    • @winiemmary968
      @winiemmary968 5 лет назад

      😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 5 лет назад +1

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri tunaomba HOTUBA ZAKO ZICHAPISHWE KWENYE VITABU MUNGU AKULINDE DAIMA

  • @dr.johnsonnyamohanga585
    @dr.johnsonnyamohanga585 5 лет назад +25

    Huyu mkuu wakoa anauwezo mkubwa sana wa kufikiria na kuongea naona hata ukuu wa mkoa Haumtoshi Apewe Uwaziri wa TAMISEMI ndio atapata muda wa kuisaidia Tanzania kwa kila mkoa jamani,Hii akili sio ya kawaida😂😂😂😂😂😂😂 Acha nchi hii ikamatwa na wanaume inyooke kama Cremp ili watu tuheshimiane Humu ndani,kama unabisha nyoosha🕺🕺🕺🕺 mkono ujifanye kama unajikuna uone.🏃🏃🏃🏃

  • @bellomusictanga6647
    @bellomusictanga6647 5 лет назад +58

    Mrithi wa mzee majuto😂😂 kama unabisha nyoosha mkono juu, jifanye kama unajikuna

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 5 лет назад +3

    Tunakupongeza Muheshimiwa Mwanri kwa kazi safi inayoleta maendeleo Tabora na Tanzania.

  • @winjanuary7632
    @winjanuary7632 5 лет назад +35

    Sauti hii ni msisitizo tu mkuu wangu 😂😂😂

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 5 лет назад +20

    yaan nampenda bure anaongea Kwa msisitizo

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo5780 5 лет назад +16

    Roho mtakatifu taala mbavu zangu maana, nimechekaaaaa xna

  • @AKO_FURNITURE
    @AKO_FURNITURE 5 лет назад +11

    Acha inchi ikamatwe na wanaume afu tuheshimiane humu ndani

  • @saidhamad2888
    @saidhamad2888 5 лет назад +9

    Mh.Aggrey Mwanri hahika unajielewa na sisi tuko bega kwa bega kukuunga mkono.

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 5 лет назад +10

    Jifanye unajikuna🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour9459 5 лет назад +7

    KWA MARA YA KWANZA NIMEONA ANACHEKA.

  • @kajinjirashid5590
    @kajinjirashid5590 10 месяцев назад

    𝗠𝗪𝗔𝗡𝗥𝗜...𝗜𝗦𝗔𝗟𝗨𝗧𝗘 𝗬𝗢𝗨 𝗙𝗥𝗢𝗠 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔😂😂😂😂😂

  • @jumarajabu4230
    @jumarajabu4230 5 лет назад +2

    Huyu ndo raisi wetu mtarajiwa anae kubaliana na me dondosha like

  • @ernestsinje9532
    @ernestsinje9532 5 лет назад +1

    mnafunguwa viwanda vingi lakini hamjali hali za wafanyakazi watu wanaonewa ,wananyanyaswa,wanaunderpaid halafu kiongozi mkubwa anakuja as if he doenst care !sifa ni kufunguwa viwanda lakini viwanda ni vya wageni ambao wanapata faida kweli wanavuna lakini mfanyakazi anaonewa wala hana haki ni kama UKOLONI wala hizo ajira za laki mbili kwa mwezi ndio zitaikombowa tanzania katika umasikini kweli?Wizara ya kazi wanapokea bahasha ,viongozi wanapokea bahasha tu uwekezaji ni wa kumfaidisha mgeni tu ah!

  • @tonymnyamatv8483
    @tonymnyamatv8483 5 лет назад +12

    Mmh Mi hata sielewi maana sijui kama sanaa yangu nitafika mbali maana Viongozi wa nchi hii wanaongoza huku ni wasanii tena Wana kila aina ya Burudani sasa sisi up coming tutatokea njia gani wakati nchi nzima inaongozwa na wasanii😀😀😀🙌🙌🙏

    • @jackrinaman7521
      @jackrinaman7521 5 лет назад +1

      Haaaaaa

    • @yahayakisuda7916
      @yahayakisuda7916 5 лет назад

      Tony mnyama acha ku judge kupitia clips fuatilia mazungumzo kuanzia mwanzo hadi mwisho....unafeli broo sasa unajiita upcoming politician then unafatilia tu clips hujui clips zinatengenezwa kwa maana ipi?????

    • @sehemunzuri
      @sehemunzuri 5 лет назад +1

      @@yahayakisuda7916 uwage unaelewa na wewe

    • @jamesedson1543
      @jamesedson1543 5 лет назад

      duuhhhh pole sana

    • @Poltechie
      @Poltechie 5 лет назад

      Akili yako ni ndogo sana plus wivu

  • @emmanuelgabagendi4515
    @emmanuelgabagendi4515 5 лет назад +7

    Umesema kweli rc kbc

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад +1

    Jamani watoto wake huyu natamani kujua wanaishi vipi😂😂😂😂 sio kwa userious huu aiseee. Hongera Sana mkuu

  • @acreymwanisenga9549
    @acreymwanisenga9549 5 лет назад +1

    Piga kazi RC wajina wangu,anaebisha anyooshe kidole juu walau ajifanye Kama anajikuna

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 5 лет назад +1

    Acha nchii hii ikamatwe na wanaumeeee!!!! Nimecheka sansasa

  • @paulmbeza5254
    @paulmbeza5254 5 лет назад +1

    Piga kazi mkuu!

  • @davidisack1643
    @davidisack1643 5 лет назад +1

    huyu mkuu wa namkubali sana, anafaa aje ainyooshe geita

  • @japhetdaud3889
    @japhetdaud3889 5 лет назад +1

    Hahaha ha haa eti anayebisha anyoshe mkono au awe kama anajikuna atachomwa ndani 😆😅😂😤😷🙌💪👍

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim415 5 лет назад +3

    😅😅😅😅😀😀😀😀 Nyooosha mkono jifanye kama unajikuna uone....

    • @nelsonkibona8156
      @nelsonkibona8156 5 лет назад

      kama uabisha kuwa uyu mkuuwamkoa cy kiboko jifanye kama unajikuna

  • @saidkulwa1251
    @saidkulwa1251 5 лет назад +1

    hahahahah wewe kama una bisha nyosha mkono juu nifanye kama unajikuna hahahahha Heshima yako Mzeee baba

  • @meggyshukia8715
    @meggyshukia8715 5 лет назад +1

    Hii sauti nita msisitizo tuu mkuu siwezi kukufokea 😄😄😄😄😄

  • @danielulomi8994
    @danielulomi8994 5 лет назад +3

    jifanye kama unajikuna haha hahaaa

  • @rdj_mayunga2295
    @rdj_mayunga2295 5 лет назад +1

    Bonyeza link Hapo Chini Uone Maisha Ya Rose Mhando Yalivyo Magumu Mpaka Uruma Duuu ruclips.net/video/FNRmIksRQNI/видео.html

  • @teamotz5493
    @teamotz5493 5 лет назад +4

    Naomba ukasubscribe youtube chann yangu na endelea kusapot mziki mzuri🙏🔥💜😃

  • @marymelamed9033
    @marymelamed9033 5 лет назад +1

    Another matiang'i

  • @mnadhiriwamungualiyetengwa5802
    @mnadhiriwamungualiyetengwa5802 5 лет назад +1

    Roho Mtakatifu atawale moyo wangu

  • @karnerashid9504
    @karnerashid9504 5 лет назад +1

    Anaebisha aseme au anyooshe mkono au ajifanye anajikuna kichwa

  • @mwitajamhuri6474
    @mwitajamhuri6474 5 лет назад +3

    Jifanye kama unajikina t

  • @chugahome2591
    @chugahome2591 5 лет назад +1

    nataman uyu mzee acheke

  • @zondomartine
    @zondomartine 5 лет назад

    Je unahitaji kutengenezewa matangazo ya biashara katika mfumo wa redio?. Nicheki watsaap Kwa 0752454400.

  • @balakakalagho1388
    @balakakalagho1388 2 года назад

    Asilimia zote zake

  • @rdj_mayunga2295
    @rdj_mayunga2295 5 лет назад +1

    Bonyeza link Hapo Chini Uone Maisha Ya Rose Mhando Yalivyo Magumu Mpaka Uruma Duuu ruclips.net/video/FNRmIksRQNI/видео.html

  • @ShaibuMwikambi
    @ShaibuMwikambi 2 месяца назад

    Kiboko Mwamba

  • @saididalu2330
    @saididalu2330 5 лет назад +14

    Ivi wangapi wanamfananisha na jengua

  • @rosekimario8259
    @rosekimario8259 5 лет назад

    Jamani Mimi natokea Kilimanjaro lkn natamani apewe ukuu Wa mkoa Wa Kilimanjaro au awe warizi Wa tamisemi

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 5 лет назад +1

    Kweli hapa Ni Kazi tu .kufagia na kupanda miti tu

  • @shabanabdallah2213
    @shabanabdallah2213 5 лет назад +1

    😝😝😝😝 ninachosema ee mungu nisaidie 😆😆😆😆

  • @lewiskinoni1507
    @lewiskinoni1507 5 лет назад +4

    Ndioo ndio mkuu

  • @kassimhashi4092
    @kassimhashi4092 5 лет назад

    Naomba serikali ya Tanzania mpeni huyu mzee uwaziri.please your Excellency

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 5 лет назад

    safii sanaa MUNGU awalindi viongozi waawamu yatano wote aijawaitokea duniani

  • @vediantazvedastus6107
    @vediantazvedastus6107 5 лет назад +1

    Tuheshimiane humu ndani

  • @sandramtumwa2218
    @sandramtumwa2218 5 лет назад +1

    Salute mkuu wa mkoa wangu.

  • @brownjaffaly1172
    @brownjaffaly1172 5 лет назад

    kama unatamani huyu awe mkuu wa mkoa wako ulipo nyoosha kidole jifanye unajikuna 😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @elishamusa5193
    @elishamusa5193 5 лет назад +1

    Mh. Aggrey Mwanri ni so very creative and fast thinking person

  • @sarahwanjala6601
    @sarahwanjala6601 5 лет назад

    Eee mimi namkubali nikiwa +966 mbavu zangu jamanj

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 лет назад +2

    Huyu mzee balaa

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 5 лет назад +1

    Kazi kazi jifanye unajikunakuna

  • @onlinetzmedia
    @onlinetzmedia 5 лет назад +1

    He will become the next president. 👏👏👏👏

  • @glorymaimu5109
    @glorymaimu5109 5 лет назад +8

    agreyyyyyyyyy hahaaaaaa I love you,,,,, tembea na YESU amen

  • @kelvinbocko2063
    @kelvinbocko2063 5 лет назад

    nakukubal sana mkuuu piga mzg haaaaaaaaaaaa😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @rodgerskassiki1568
    @rodgerskassiki1568 5 лет назад +2

    kama comedy hivi !!

  • @sixtuskamir2542
    @sixtuskamir2542 5 лет назад

    huyu muheshmiw inabd awe na channel yake yutube..

  • @rosekimario8259
    @rosekimario8259 5 лет назад

    Nakuombea kwa mungu uwe rais

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 5 лет назад

    ibrahimu pasha pargal prime minstry

  • @yohanaeliah5605
    @yohanaeliah5605 5 лет назад

    safi Sana mkuu wa mkoa wa tanyooka tuuu

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 2 года назад

    Daa huwa nafurahi sana

  • @edmundmbunda2513
    @edmundmbunda2513 5 лет назад +1

    Nomasana

  • @bokemgaya7778
    @bokemgaya7778 5 лет назад +1

    Jembeee

  • @josejcb5984
    @josejcb5984 4 года назад

    ase ni noma xnaa

  • @nashontechnician2511
    @nashontechnician2511 5 лет назад +4

    Huyu bwana agombee urais baada ya magu😀😀😀😀

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 5 лет назад

    Natamani awe waziri mana anaweza sana.

  • @jamesmassy7637
    @jamesmassy7637 4 года назад

    Myuuuu weee mbab

  • @stellawaillu843
    @stellawaillu843 5 лет назад

    Big up mh Aggrey Mwanri

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 5 лет назад

    Huyu mzeeee ana vituko sanaaa

  • @yusufuomary4017
    @yusufuomary4017 5 лет назад

    sukuma ndani

  • @frankomart5801
    @frankomart5801 5 лет назад

    Uongozi = Leadership .

  • @adelynemizengo1514
    @adelynemizengo1514 5 лет назад

    Mheshimiwa😂😂😂

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay571 5 лет назад

    Hahhahahhahah roho mtakatifu tawala mbavu zangu

  • @furahahappe
    @furahahappe 5 лет назад

    Hahahahaha.

  • @prideofafrica_254
    @prideofafrica_254 5 лет назад

    Huyu n comedy♨♨♨

  • @hamixhamix4241
    @hamixhamix4241 5 лет назад

    Lazima watu wanyooke.

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 5 лет назад

    Siku hizi kila binadamu kawa kituko

  • @mwanaidhussen1325
    @mwanaidhussen1325 5 лет назад

    🤣🤣🤣

  • @johneliasvideos
    @johneliasvideos 5 лет назад

    "Kama ni noma na iwe noma"

  • @petermim
    @petermim 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @heaventomonja3576
    @heaventomonja3576 5 лет назад

    natamani awe lais

  • @adamngazira658
    @adamngazira658 5 лет назад +1

    Hahahahahahahahahah

  • @rojadetamwadri434
    @rojadetamwadri434 5 лет назад

    You are so funny..

  • @msafilisamsoni1560
    @msafilisamsoni1560 5 лет назад

    Serious Comedy

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад

    nice

  • @tibeitajoseph6646
    @tibeitajoseph6646 5 лет назад +2

    Haaaaa
    .

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 лет назад +1

    Huyu mzee ana vitisho vya kitoto sana....eti jikune kama unabisha? Jee huo si utoto?

  • @mussajabili6836
    @mussajabili6836 5 лет назад +1

    Huyu ndie rais mtarajiwa mrisi wa magu 2025 kama unakubar gonga like