RC MWANRI "USIMWAMBIE DC AKUSIKILIZE KIBAO KITAGEUKA, MNATEMBEZA UBABE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 156

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent8948 5 лет назад +35

    kudadeki, hawa sindio viongozi bhan aseee mungu atawapigania
    sana ktk uongoz wenu

  • @damianoadam1041
    @damianoadam1041 4 года назад +3

    Hii ndio Serikali tunayohitaji watanzania.Hakuna manyanyaso,mwenye haki anatendewa haki.Asante Rais Dr JPM kwa kuonyesha dira kwa watendaji wa Serikali.Mungu akubariki Rais wetu,awabariki DC na RC kwa kutenda haki.

  • @mwamvuaulled7755
    @mwamvuaulled7755 5 лет назад +124

    kama unamkubali mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa gonga like hapa

  • @leahkparsino481
    @leahkparsino481 5 лет назад +20

    upo vizur rc mungu akubakuki coz unawatetea wanyonge

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 5 лет назад +147

    Kama umemuona mwenyekiti anashushia maji gonga like.

    • @laipazergy7938
      @laipazergy7938 5 лет назад +1

      🤣🤣🤣🤣

    • @ansyfalesy1457
      @ansyfalesy1457 5 лет назад +2

      😀😀

    • @robertmussa1056
      @robertmussa1056 5 лет назад +1

      boniphace tabu hahahah we noma

    • @imanuelysangas8977
      @imanuelysangas8977 5 лет назад

      😂😂😂

    • @raziambwana2145
      @raziambwana2145 5 лет назад +2

      boniphace tabu anatakiwa awekwe ndani huyu mwenyekit mpumbav kabsa eti walichukuwa viwanja kumi kwajili yamaendeleo mama akabaki naviwili hahahaa

  • @claudraphael1527
    @claudraphael1527 5 лет назад +8

    maamuz mazur sanaa rc tbr nakukubali sana mzee wangu...

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine444 5 лет назад +9

    Hakika huyu jamaa anajua uongozi mungu amuongoze

  • @mafurudonald4217
    @mafurudonald4217 4 года назад +2

    Kama unamkubali rc mwaniri gonga like

  • @davidgithiomi4071
    @davidgithiomi4071 2 года назад +1

    Im not from Tanzania but this is why i love Tanzania with a passion

  • @bhtmtk3313
    @bhtmtk3313 4 года назад +2

    Ilitakiwa uwe naibu wazr TAMISEMI hakika Mwanir🌹🌹🌹🌹🌺💐🌷

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 лет назад +36

    Huyo mama anaesinzia Sukuma ndani mkuu hayuko makini na kikao

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 5 лет назад +19

    Alie mwona mama kachapa usingizi 😂 😂 😂 😂 like hapa

  • @laurentsunta5169
    @laurentsunta5169 5 лет назад +3

    huyu mkuu wa mkoa Mungu ampe maisha marefu

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 5 лет назад +15

    Sitaki kusikia viwanja 10 vyote virudishwe mnasema aaaaaaaah kabsa tuelewane hapa cyo kufanya vtukibabe vngnevyo sukuma ndani

  • @happynesselisha2048
    @happynesselisha2048 5 лет назад +17

    Looh viwanja kumi 🤔🤔🤔mwenyekiti hata kama ni ww ungetoa

  • @francismatuta1984
    @francismatuta1984 5 лет назад +6

    Haswaaa mkuu wa mkoa uko sahihi sana inakuaje uchukue viwanja kumi vyote halafu unatumia ubabe???

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 5 лет назад +3

    Mko vizuri Sana wakuu

  • @lugendopius1231
    @lugendopius1231 4 года назад +2

    Jamani wakuu wa mikoa wengine jifunzeni kazi kutoka kwa huyu mzee,tunataka inchi nzima iwe hivi hapa kazi tu.

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 лет назад +11

    AMA ZAKO AMA ZANGU SUKUMA NDANI.

  • @kimmauston1059
    @kimmauston1059 5 лет назад +12

    Haya ndio maamuzi ya kiongozi mwenye kujali maslahi ya jamii yake

  • @josephsimiyu5211
    @josephsimiyu5211 4 года назад +1

    Ubarikiwe ndugu Mwanri

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 5 лет назад +1

    Kama umesikia mwambie hajiandae mwenye kiti akapatwa na kiu akashushia na maji like

  • @josephjila957
    @josephjila957 5 лет назад +4

    Kazi kweli kweli!!!!!

  • @Chiwaligo
    @Chiwaligo 5 лет назад +6

    Mwenyekiti zarau zimemjaa sana hata sura yake inaonyesha
    Vinginevyo sukuma ndani

  • @aliarkam1413
    @aliarkam1413 5 лет назад +1

    Ahsante sana mkuu

  • @Petro_classic1
    @Petro_classic1 5 лет назад +5

    Hii ndiyo haki MUNGU AWABARIKI viongozi waadirifu Kama ninyi

  • @pappaambise8391
    @pappaambise8391 5 лет назад +4

    Naomba mwendelezo jmn maana hii Habari ni nzuri Sana kuisikiliza

  • @kikochetz6739
    @kikochetz6739 5 лет назад +2

    Agrey mwari🔥🔥

  • @erickchristopher7143
    @erickchristopher7143 5 лет назад +2

    Kama umesikia duh vyote ivyo gonga like

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 5 лет назад +4

    Sukuma ndan hao matapeli

  • @abuumussa2390
    @abuumussa2390 5 лет назад +4

    nimekuelewa mzee baba

  • @mamadanhelena8190
    @mamadanhelena8190 5 лет назад +1

    Safi sana RC

  • @godyndosajr
    @godyndosajr 5 лет назад +16

    Nksimama itakua shughuli hapa😂😂

  • @danymsinga7048
    @danymsinga7048 5 лет назад +4

    Kibaoo kitageuka hapaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @efelimwambije708
    @efelimwambije708 5 лет назад +3

    Njooo mbeyaa mkuu

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila4382 5 лет назад +2

    Kamata Sukuma ndani #aggreyvoice

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 5 лет назад

    I wish ungekuwa RC wa Mbeya

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 5 лет назад +17

    viongozi kama mwari ndio tunao wataka

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад +2

    Uyu mwenyekiti alisikia katajwa jina kwanza kanywa maji hahah kaona hii ya moto leo😂😂

  • @mr.chocolate265
    @mr.chocolate265 4 года назад +1

    Eeh bana eeh

  • @karimubakari8813
    @karimubakari8813 5 лет назад +1

    Hiyo Kali sna

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel 5 лет назад +5

    Jamani sukuma ndani no no no ubabe by low tengua kila kitu 🙏🙏🙏

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 5 лет назад +3

    Mh, maguful tupe huyu MWANRI SINGIDA, kwa MAENDELEO zaid, hongera yako, TABORA TORONTO

  • @jimisonpius8100
    @jimisonpius8100 5 лет назад

    We baba unatisha sana nakukubali sana dha

  • @wangwemrongoti3
    @wangwemrongoti3 5 лет назад +2

    Kama umesikia ama zangu ama zao gongs like👌

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi3655 5 лет назад +2

    Huyu Mwanri angelepekw Dar il akasukume maendeleo ya Jiji mbele,Bashite kapwaya

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад

    Kwanza usimwambie mkuu wa wilaya akusikiliza kibao kitageuka hapa😁😁🔩2022

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 лет назад +22

    Tuko pamoja mkuu wa mkoa nakukubali sana natamani unge kuwa tanga

  • @chrismeshack8111
    @chrismeshack8111 5 лет назад +2

    apo sawa nakubal mkuuuuuuu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад +1

    Ama zangu ama zao ee bwana ee aseee napenda sana kukusikiluza baba

  • @joesphjustine8094
    @joesphjustine8094 5 лет назад +2

    Baada ya magufuli ni huyu mwanri no discussion.god saidia hili litokee.

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 лет назад +2

    Huyo mwenykit wa chama gan mbona anadharau sana unapewa maagizo afu anatabasamu viatu havimtoshi hata kdg .

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed694 5 лет назад +2

    uyu ndio kiongozi bora anatetea haki ya mnyonge

  • @jonasmziba3081
    @jonasmziba3081 5 лет назад +3

    HUYU JAMAA NAMTANI SANA WAMLETE SHINYANGA ETY

  • @tonymlatino4810
    @tonymlatino4810 5 лет назад +7

    Huyu RC tunamuitaji MARA

  • @alexjeremia7686
    @alexjeremia7686 5 лет назад +6

    😂😂😂😂Mwenyekiti wa kijiji anakunywa maji ili kulainisha koo, anaujua mziki wa RC mwanri si wakitoto kwenye kuuliza maswali hasa pale unapokuwa ushavulunda 😊

  • @diamondplatnum8375
    @diamondplatnum8375 5 лет назад

    Millad umeanza kumfatilia uy mda sana nakubal

  • @manwoka4078
    @manwoka4078 5 лет назад +6

    Hicho kijiji kinaitwa cha kupokonya?

  • @juliuskatemi6816
    @juliuskatemi6816 5 лет назад

    bigup rs mwanir

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 5 лет назад +2

    ndio tatizo hawa viongozi wakijj kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusu masuala ya uongozi

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +2

    Ama zangu ama zao no nooo

  • @reganngoo8571
    @reganngoo8571 5 лет назад +3

    Nikisimama hap itakua balaaaaa

  • @adventureguidertanzania2331
    @adventureguidertanzania2331 5 лет назад +4

    Alieona mkuu wa wilaya ni mzuri nani

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад

    Mwenye kiti anashushia maji Mana kaz a ndogo

  • @petrosanga1366
    @petrosanga1366 5 лет назад

    Mwanri ybarikiwe

  • @xaverysunday1886
    @xaverysunday1886 5 лет назад +5

    TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN DAHAAA HESHIMA

  • @pekelemilele5331
    @pekelemilele5331 5 лет назад

    Sukuma ndani

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 5 лет назад

    Asant mkuu umeunguruma

  • @evamacha4599
    @evamacha4599 5 лет назад

    Mungu akubariki mkuu wa mkoa

  • @dullamkwinda7594
    @dullamkwinda7594 4 года назад +1

    wewee inatakiwa huyu jamaa baaada ya magu tumpe huyu jamaaa anafaa sana kuwa rais wa jamhuri

  • @ssafricancreator9151
    @ssafricancreator9151 5 лет назад +6

    Jamaa anapiga kazi

  • @safariadrien5348
    @safariadrien5348 5 лет назад

    Mwambie ajiandae kieeehhh

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel 5 лет назад

    Maji maji joto Tabora nime gonga like 👆🙏

  • @mgogobucha3315
    @mgogobucha3315 5 лет назад

    safi sana arudishe

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta1039 4 года назад

    Kibao kitageuka hapa halafu nikiamka itakuwa shughuli

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 5 лет назад +3

    hujawai kukosea baba tetea wanyonge

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +2

    Mwanri wanyooshe matapeli hao

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 5 лет назад +1

    Tanzanian inahitaji viongozi kama hawa, tumechoka na viongozi makanjanja.

  • @mabebyb6427
    @mabebyb6427 5 лет назад +13

    Nakuaminia mkuu maana uyo mwenye kiti njaa kalii......?

  • @mnazaretinemi4203
    @mnazaretinemi4203 5 лет назад +1

    Nimetenguaaaaaa...hahahaha ...aa ...hee

  • @ephraimkazonda8454
    @ephraimkazonda8454 5 лет назад +1

    Kama umemwona mama kasinzia
    Gonga5

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 4 года назад

    Hk ni Tabora njoo Morogoro viwanja vyangu nilipimiwa lilikuwa shamba hapo awali na nilipewa muongozo kuwa ni Mji na haitakuwa tena mshamba

  • @ayoayoo1222
    @ayoayoo1222 4 года назад

    Yani kati ya kumi na mbili wakachukua kumi Daaah?

  • @josephsala5415
    @josephsala5415 5 лет назад +1

    Haswa huyo alielala sukuma ndani mkuu hayuko makini

  • @danielmbao3520
    @danielmbao3520 2 года назад

    Wakuu kama Hawa wako wapi siku hizi.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @bernardchibwana1907
    @bernardchibwana1907 5 лет назад

    mwanriiiii kiboko yaoooo!!!!

  • @Subaruleone69
    @Subaruleone69 5 лет назад

    Skuma ndani huyo mbabeee

  • @muinjiristimgimbe6678
    @muinjiristimgimbe6678 5 лет назад +4

    ,😂😂mwanri

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 4 года назад

    Ikaja grader ikapitishwa barabara ndani ya baadhi ya viwanja na nimelipa tena hela nipimiwe eneo upya wakati nilishalipa awali hilo eneo na ramani ipo

  • @johnmwangove9928
    @johnmwangove9928 5 лет назад

    Mkuuu wa wilaya na mkuu wa mkoa chupa na kizibo hongereni saanaa kutetea wanyonge that's sprit of magufuri

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao15 5 лет назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👍

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 5 лет назад

    Kazi ipo

  • @omurwasolomon5131
    @omurwasolomon5131 4 года назад

    Nani ako na Number ya DC tafathari

  • @majaliwahassan8007
    @majaliwahassan8007 4 года назад

    Tusianze kuendesha halmashauri kibabe hapa😂😂

  • @jestymoresimon7576
    @jestymoresimon7576 5 лет назад

    iii ni comedy ama....

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta1039 5 лет назад

    "Kibao kitageuka hapa halafu nikisimama itakuwa shughuli..."

  • @nasmahatibu9584
    @nasmahatibu9584 5 лет назад +1

    Hahhahaha wanyonge awamu hii ya maguful tunapata hakizetu

  • @ishaq9925
    @ishaq9925 5 лет назад

    sukumsndaniiiii

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 лет назад

    Ama zangu ama zao😆😆😆