Hii ndio Serikali tunayohitaji watanzania.Hakuna manyanyaso,mwenye haki anatendewa haki.Asante Rais Dr JPM kwa kuonyesha dira kwa watendaji wa Serikali.Mungu akubariki Rais wetu,awabariki DC na RC kwa kutenda haki.
😂😂😂😂Mwenyekiti wa kijiji anakunywa maji ili kulainisha koo, anaujua mziki wa RC mwanri si wakitoto kwenye kuuliza maswali hasa pale unapokuwa ushavulunda 😊
kudadeki, hawa sindio viongozi bhan aseee mungu atawapigania
sana ktk uongoz wenu
Hii ndio Serikali tunayohitaji watanzania.Hakuna manyanyaso,mwenye haki anatendewa haki.Asante Rais Dr JPM kwa kuonyesha dira kwa watendaji wa Serikali.Mungu akubariki Rais wetu,awabariki DC na RC kwa kutenda haki.
kama unamkubali mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa gonga like hapa
Huyu mzee ni mtetezi wa wanyonge na mfanya kazi bora. Ni mtendaji sn anamsaidia raisi ipasavyo.
Dah kwel nmemuona 🤣🤣😂😂🤣🤣🤣😂😂
Mwamvua Ulled sisoni
upo vizur rc mungu akubakuki coz unawatetea wanyonge
Kama umemuona mwenyekiti anashushia maji gonga like.
🤣🤣🤣🤣
😀😀
boniphace tabu hahahah we noma
😂😂😂
boniphace tabu anatakiwa awekwe ndani huyu mwenyekit mpumbav kabsa eti walichukuwa viwanja kumi kwajili yamaendeleo mama akabaki naviwili hahahaa
maamuz mazur sanaa rc tbr nakukubali sana mzee wangu...
Hakika huyu jamaa anajua uongozi mungu amuongoze
Kama unamkubali rc mwaniri gonga like
Im not from Tanzania but this is why i love Tanzania with a passion
Ilitakiwa uwe naibu wazr TAMISEMI hakika Mwanir🌹🌹🌹🌹🌺💐🌷
Huyo mama anaesinzia Sukuma ndani mkuu hayuko makini na kikao
Labda ajisikii vizuri
😁😁😁😁😁
😂😂
hahahaa hayuko makini kwel
Alie mwona mama kachapa usingizi 😂 😂 😂 😂 like hapa
huyu mkuu wa mkoa Mungu ampe maisha marefu
Sitaki kusikia viwanja 10 vyote virudishwe mnasema aaaaaaaah kabsa tuelewane hapa cyo kufanya vtukibabe vngnevyo sukuma ndani
Looh viwanja kumi 🤔🤔🤔mwenyekiti hata kama ni ww ungetoa
Haswaaa mkuu wa mkoa uko sahihi sana inakuaje uchukue viwanja kumi vyote halafu unatumia ubabe???
Mko vizuri Sana wakuu
Jamani wakuu wa mikoa wengine jifunzeni kazi kutoka kwa huyu mzee,tunataka inchi nzima iwe hivi hapa kazi tu.
AMA ZAKO AMA ZANGU SUKUMA NDANI.
Haya ndio maamuzi ya kiongozi mwenye kujali maslahi ya jamii yake
Ubarikiwe ndugu Mwanri
Kama umesikia mwambie hajiandae mwenye kiti akapatwa na kiu akashushia na maji like
Kazi kweli kweli!!!!!
Mwenyekiti zarau zimemjaa sana hata sura yake inaonyesha
Vinginevyo sukuma ndani
Ndio walivyo majeuli sana na majeuli hatari hawasamini laia wao
Sukuma ndani
Ahsante sana mkuu
Hii ndiyo haki MUNGU AWABARIKI viongozi waadirifu Kama ninyi
Naomba mwendelezo jmn maana hii Habari ni nzuri Sana kuisikiliza
Agrey mwari🔥🔥
Kama umesikia duh vyote ivyo gonga like
Sukuma ndan hao matapeli
nimekuelewa mzee baba
Safi sana RC
Nksimama itakua shughuli hapa😂😂
Kibaoo kitageuka hapaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Njooo mbeyaa mkuu
Kamata Sukuma ndani #aggreyvoice
I wish ungekuwa RC wa Mbeya
viongozi kama mwari ndio tunao wataka
Uyu mwenyekiti alisikia katajwa jina kwanza kanywa maji hahah kaona hii ya moto leo😂😂
Eeh bana eeh
Hiyo Kali sna
Jamani sukuma ndani no no no ubabe by low tengua kila kitu 🙏🙏🙏
Mh, maguful tupe huyu MWANRI SINGIDA, kwa MAENDELEO zaid, hongera yako, TABORA TORONTO
Big up mkuu wa mkoa natamani ungekuja songwe yangekiona cha moto
Aje Tanga kuna uhitaji wa huduma hii
We baba unatisha sana nakukubali sana dha
Kama umesikia ama zangu ama zao gongs like👌
Huyu Mwanri angelepekw Dar il akasukume maendeleo ya Jiji mbele,Bashite kapwaya
Kwanza usimwambie mkuu wa wilaya akusikiliza kibao kitageuka hapa😁😁🔩2022
Tuko pamoja mkuu wa mkoa nakukubali sana natamani unge kuwa tanga
yan nataman awe wa kwetu tanga anyooshe maana kumeoza tu sio maendereo mikoa mingine inamaendereo
Uko vizuri Mkuu was mkoa Tabora
apo sawa nakubal mkuuuuuuu
Ama zangu ama zao ee bwana ee aseee napenda sana kukusikiluza baba
Baada ya magufuli ni huyu mwanri no discussion.god saidia hili litokee.
Joesph Justine kuna jembe Lukuvi umemsahau
Huyo mwenykit wa chama gan mbona anadharau sana unapewa maagizo afu anatabasamu viatu havimtoshi hata kdg .
uyu ndio kiongozi bora anatetea haki ya mnyonge
HUYU JAMAA NAMTANI SANA WAMLETE SHINYANGA ETY
Huyu RC tunamuitaji MARA
Mnamuhitaji na nani
Chacha Magoti hujaelewa au
Malima anawatosha acha aendelee kuwalima ni jembe
boniphace tabu duhhh
😂😂😂😂Mwenyekiti wa kijiji anakunywa maji ili kulainisha koo, anaujua mziki wa RC mwanri si wakitoto kwenye kuuliza maswali hasa pale unapokuwa ushavulunda 😊
Millad umeanza kumfatilia uy mda sana nakubal
Hicho kijiji kinaitwa cha kupokonya?
bigup rs mwanir
ndio tatizo hawa viongozi wakijj kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusu masuala ya uongozi
Ama zangu ama zao no nooo
Nikisimama hap itakua balaaaaa
😂😂
Alieona mkuu wa wilaya ni mzuri nani
Mwenye kiti anashushia maji Mana kaz a ndogo
Mwanri ybarikiwe
TOKA TEAM MEDIA MAKAMBAKO TOWN DAHAAA HESHIMA
Sukuma ndani
Asant mkuu umeunguruma
Mungu akubariki mkuu wa mkoa
wewee inatakiwa huyu jamaa baaada ya magu tumpe huyu jamaaa anafaa sana kuwa rais wa jamhuri
Jamaa anapiga kazi
baba njoo tanga were jembe
Mwambie ajiandae kieeehhh
Maji maji joto Tabora nime gonga like 👆🙏
safi sana arudishe
Kibao kitageuka hapa halafu nikiamka itakuwa shughuli
hujawai kukosea baba tetea wanyonge
Mwanri wanyooshe matapeli hao
Tanzanian inahitaji viongozi kama hawa, tumechoka na viongozi makanjanja.
Nakuaminia mkuu maana uyo mwenye kiti njaa kalii......?
HUYU JAMAA NAMTANI SANA WAMLETE SHINYANGA
Sukuma ndan
Nimetenguaaaaaa...hahahaha ...aa ...hee
Kama umemwona mama kasinzia
Gonga5
Hk ni Tabora njoo Morogoro viwanja vyangu nilipimiwa lilikuwa shamba hapo awali na nilipewa muongozo kuwa ni Mji na haitakuwa tena mshamba
Yani kati ya kumi na mbili wakachukua kumi Daaah?
Haswa huyo alielala sukuma ndani mkuu hayuko makini
Wakuu kama Hawa wako wapi siku hizi.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
mwanriiiii kiboko yaoooo!!!!
Skuma ndani huyo mbabeee
,😂😂mwanri
Ikaja grader ikapitishwa barabara ndani ya baadhi ya viwanja na nimelipa tena hela nipimiwe eneo upya wakati nilishalipa awali hilo eneo na ramani ipo
Mkuuu wa wilaya na mkuu wa mkoa chupa na kizibo hongereni saanaa kutetea wanyonge that's sprit of magufuri
👏👏👏👏👏👏👏👏👍
Kazi ipo
Nani ako na Number ya DC tafathari
Tusianze kuendesha halmashauri kibabe hapa😂😂
iii ni comedy ama....
"Kibao kitageuka hapa halafu nikisimama itakuwa shughuli..."
Wisdo Muta
Hahhahaha wanyonge awamu hii ya maguful tunapata hakizetu
Asaaa ww munyonge
sukumsndaniiiii
Ama zangu ama zao😆😆😆