RC MWANRI TENA - "Fukuza kazi wote, Weka Kwenye Lori Sukuma Ndani"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 янв 2019
  • RC MWANRI Aaagiza Kumsimamisha Kazi Afisa Ushirika
    Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza Mamlaka za kinidhamu kuwasimamisha kazi baadhi ya watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Uyui wanaosimamia Sekta ya Kilimo na ushirika kwa kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu yao ikiwemo kuwaacha wakulima waendeshe kilimo cha Pamba pasipo kufuata kanuni za kilimo cha zao hilo.
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Комментарии • 147

  • @superherotv1750
    @superherotv1750 5 лет назад +44

    Kama umesikia ama zang ama zake gonga like apaa

  • @vennancekalinga5076
    @vennancekalinga5076 5 лет назад +8

    Tunaenda na sela za mbanano pita na like hapo

  • @ramadhanisururamadhanisuru3215
    @ramadhanisururamadhanisuru3215 5 лет назад +9

    Dah!! Kuachishwa kazi cyo mchezo ila nanyie wafanyakazi mnajisahau sana

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 5 лет назад +31

    KIONGOZI MPENDA NCHI YAKE, MPENDA MAENDELEO, TUKO NYUMA YAKO

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +15

    Mkuu wa wilaya vimba nao shuka nao jumla jumla!!!! Habari imekwiahaaaa!!!!!😁😁😁😁😁😁

  • @emanueldagharo919
    @emanueldagharo919 5 лет назад +17

    hbr imekwisha anayesema mkuu wa wa mkoa anachozungumza ni cha kijingajinga sana anyooshe mkono au ajikune hapa.sukuma ndani. tunataka majembe kama haya ndani ya chama cha mapinduzi. keep it up baba yetu.

    • @makupejafari9339
      @makupejafari9339 5 лет назад

      Mzee karibu tunduru tunakukumbuka ivi anapakumbuka mkwanda

    • @makupejafari9339
      @makupejafari9339 5 лет назад

      Mzee karibu tunduru tunakukumbuka ivi anapakumbuka mkwanda

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +5

    Hivi Baba wa Taifa akipewa punzi na mwenyezi Mungu akakuta nchi iko hivi unafikiri inaweza ikawaje

  • @saidyusuph4129
    @saidyusuph4129 5 лет назад +12

    Wangekuweko kumi kama hawa! Tanzania bwana

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 5 лет назад +3

    Love. Mkuu ❤️❤️❤️

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 5 лет назад +20

    Rudi nyumbani Tabora kumenoga!

  • @africanvillageslife
    @africanvillageslife 5 лет назад +4

    Sukuma ndani mheshimiwa , kaa nyuma ya mkuu wa wilaya

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 5 лет назад +8

    Je kuna anae bisha nyoosha mkono tukuone ? Hahaha hahaha

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman7216 5 лет назад +5

    Pandisha kwenye roli sukuma ndani

  • @FrancisAMligo
    @FrancisAMligo 5 лет назад

    Safi sana Mkuu wa Mkoa. Tanzania itaendelea sana, jaribu kufikiria wimbo wa Mheshimiwa sana Rais, njoo kwa Mwanri huyu hapa tena ongeza wakuu wa Mikoa yote nchini wafuate wimbo wa Rais na Mwanri. Nchi itakuwa n.a. nafasi kubwa sana kuendelea. Iweni wazalendo Viongozi kama huyu Mwanri wanatupatia mifano kemkem za maendeleo jamani.

  • @michaelmuriithi6808
    @michaelmuriithi6808 5 лет назад

    "..Mkuu wa mkoa shuka nao jumla jumla.. " he he..nafurahishwa na Kiswahili TZ..Mkuu wa mkoa..safi sana..hakuna kama wewe hapa Kenya.

  • @MrNorthshoremc
    @MrNorthshoremc 3 года назад

    Vimba nao shuka nao jumla jumla😂😂😂😂😂😂aaah kali Sana Rc Mwanri.

  • @mmasipeter4157
    @mmasipeter4157 5 лет назад +6

    Haha haha has a as has aise mzee anivunja mbavu Sana Kama vle mwigizaji

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 5 лет назад +3

    Mwalimu mkuu na wanafunzi wakorofi kazi ipo

  • @pishonpetro3198
    @pishonpetro3198 5 лет назад +5

    Ulikolala tunaamkia ulikofua tunaanika 😂😂😂😂😁😁

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +9

    Habari imekwishaaaaa anayebisha nyoosha mkono ujifanye tu unajikuna😁😁😁😁😁😁😁

  • @neliimringi1024
    @neliimringi1024 5 лет назад +9

    Jifany unajikuna.,!!!!!!! Soma iyo. Hatar

  • @husseinjimia1063
    @husseinjimia1063 5 лет назад

    safi sana

  • @hamisidogo1698
    @hamisidogo1698 5 лет назад

    Hivi kumbe ushirika ni lazima!. Basi sawa

  • @mwajumafundi6234
    @mwajumafundi6234 5 лет назад +4

    sukumia ndani hukooo

  • @makangeomary8052
    @makangeomary8052 5 лет назад +7

    Kweli leo baba kachukia.....

  • @ramaiddy2714
    @ramaiddy2714 5 лет назад

    Sawa mkuu simamia kazi yako fizur

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 5 лет назад +2

    Tutaenda na sera za mbanano🤣🤣🤣🤣 chigichi chigichi chigichi eeh, Sikuma ndani🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lugetv3597
    @lugetv3597 5 лет назад +3

    MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 8,1,2018

  • @johnsonmagambo4851
    @johnsonmagambo4851 5 лет назад +1

    Ulikofua tunaanika ulipo lala ndio tunaamka jmn unanipa raha babu😄😄😄

  • @maliganyakanuda
    @maliganyakanuda 5 лет назад +5

    Sukuma ndani

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 5 лет назад

    Duuu we nomaaa nakuelewa

  • @dennisdennis7559
    @dennisdennis7559 5 лет назад +12

    Ulikokua unafua tunaAnika
    Hahahahahahah baba ya Leo kal

  • @rajabrukonge580
    @rajabrukonge580 5 лет назад +6

    Namuomba Mh. Rais akuhamishie kigoma kuna watu wakuwanyoosha kule hasa hasa wilaya ya kigoma vijijini

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 лет назад

    Duuuh safi Sana rc unawanyoshaa😂😂😂😂😂

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 5 лет назад

    Kiongozi unaependwa Mungu akupe uhai yaani .

  • @matthewglory2877
    @matthewglory2877 5 лет назад

    Karibu huku

  • @njolejr3170
    @njolejr3170 5 лет назад +1

    tunaangalia na kusoma Comment 😂😂 Hapa lazima tushuke nao Jumla! Jumla! 😂

  • @emanuelsagenge9229
    @emanuelsagenge9229 5 лет назад +1

    Duh

  • @sudyboy4420
    @sudyboy4420 3 года назад +1

    Uyu mwambaaa

  • @elishamsuya1098
    @elishamsuya1098 5 лет назад +1

    Njooosha baba

  • @babaog9583
    @babaog9583 5 лет назад

    Sasa mkuu umeshamuagiza OCD inatosha, huyo mkuu wa kituo kidogo cha Polisi pamoja na Sungusungu watapata maelekezo kwake.

  • @kamgishaally8933
    @kamgishaally8933 5 лет назад

    Huyu mzee akigombea urais Tanzania itazidi kupendeza tunaitaji viongozi shupavu kama hawa JPM kaibua viongozi shupavu

  • @agreymsemwa8021
    @agreymsemwa8021 5 лет назад +1

    Habar imekwisha

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 лет назад

    Daaa ila Mwanri biti lake sio la nchi hiii

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 5 лет назад

    Nakupenda bila shiringi

  • @khamiskashinje3809
    @khamiskashinje3809 5 лет назад +5

    Eti najua unavyohangaika mm nipo nyuma yako

  • @thonnymasawe4493
    @thonnymasawe4493 5 лет назад +1

    kweli huyumzeee nishida

  • @milkajanuary9056
    @milkajanuary9056 5 лет назад

    Kwa kwel kwa hali hii mm nataka nihame huu mkoa wangu n RAIA tu wa kawaida

  • @mrsmesia8568
    @mrsmesia8568 5 лет назад +1

    😁😁😁kweri sukuma ndanii

  • @boniphectoboniphace7187
    @boniphectoboniphace7187 5 лет назад +1

    Wote kamata sukuma ndaniii

  • @selemanmaulid5223
    @selemanmaulid5223 5 лет назад +1

    Safisana mkuuwamkowa nashinyanga tutafutieni kamahuyu

  • @jaykinglazaro545
    @jaykinglazaro545 5 лет назад +1

    hahahaaaaa.... nyooxha mkono jifanye unajikuna .... hahahaaaaa.... Nouma xannaaa

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +1

    Ulikolala tumeamkia hapo unakofulia tumeanikia hapo!😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @florencegregory8932
    @florencegregory8932 5 лет назад

    Ana nipa raha sna huyu mzeee

  • @rashidyhassan4679
    @rashidyhassan4679 5 лет назад +9

    shughulika nao ubadhilif wa Mali ya uma wanawapa mbegu faki

  • @jumakapora6418
    @jumakapora6418 5 лет назад

    Hahahahahaha. upo. sawa. safi. sana. baba. makufuri. oye.eeeeeeeeee. majembe. ya. rais. wetu. makufuri. '''''''

  • @elizachota6361
    @elizachota6361 5 лет назад

    uyo babu alipomaliza ama zangu ama zake 😢

  • @graveengrave2936
    @graveengrave2936 5 лет назад

    Sukuma ndani wotee

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 года назад

    Deal nao mkuu.

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 5 лет назад

    naomba nifahamishwe hapa ..mbona usimamizi wa hv mpaka askari wanakagua mashamba kwani ni ya serikali au ya watu binafsi?

  • @10kshooter11
    @10kshooter11 5 лет назад +1

    Mansuri anatafutwa😂

  • @kalelaonlinetv
    @kalelaonlinetv 5 лет назад

    Mzee uyu kwao uko ana kaz kweli

  • @Thuon_
    @Thuon_ 3 года назад

    Kama kuna mtu anabisha anyooshe mkono, ajifanye kama anajikuna.

  • @annachristopherokeno9387
    @annachristopherokeno9387 5 лет назад

    Shuka nao baba wasitucheleweshe

  • @abdulrazakharuni5517
    @abdulrazakharuni5517 5 лет назад

    Kama lupango kumejaa ika kwenye lory 😆😆

  • @harunazuberi3939
    @harunazuberi3939 5 лет назад

    Rc nakuomba uwende na urambo, ushirka umekufa katumbue majipu huko

  • @aishaelias3867
    @aishaelias3867 5 лет назад

    Bangi sio kitu kizuri

  • @deustutu1162
    @deustutu1162 5 лет назад +7

    chota chota hao sukumia ndan

  • @vinydany1759
    @vinydany1759 5 лет назад +1

    Shuka nao wazimawazima

  • @danissilunde614
    @danissilunde614 4 года назад

    Jpm tunamuomba kiongoz huyu apewe nchi.

  • @mohammedmbarouk7711
    @mohammedmbarouk7711 3 года назад

    Sas uko wap mzee ama ndio umeokoka na kua mkuu wa kanisa

  • @francispetro1944
    @francispetro1944 5 лет назад +1

    Sera za mbanano 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ilhammshana9143
    @ilhammshana9143 5 лет назад

    mansur hana bahat 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Amuka_SaSA
    @Amuka_SaSA 5 лет назад

    Jamaa yuko confuse 😂

  • @emanhokilinda326
    @emanhokilinda326 5 лет назад

    shuka nao jumla jumla huyu mzee comedian sana

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 лет назад

    Uyu mzee naona anafaa kuwa raisi

  • @robertfabian3030
    @robertfabian3030 5 лет назад

    Fanya kama unajikuna😃😂😁😁

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 лет назад

    Hahaha haha uliko fua tumeanika

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 5 лет назад

    Sera za mbanano 😂😂

  • @brayo001
    @brayo001 5 лет назад +1

    Shuka nao jumla jumla

  • @robertlyimo4361
    @robertlyimo4361 5 лет назад +1

    Kama hufany kaz tunaweza kujikuta huna kazi

  • @noelkomba7876
    @noelkomba7876 5 лет назад

    Piga hao sukuma ndani

  • @estherjohn953
    @estherjohn953 4 года назад

    Kaijage umesikia lkn

  • @faridalundenga8696
    @faridalundenga8696 5 лет назад

    Nampenda uyu mkuu wa mkoa sijui kama kunawakuu wa mikoa wanaoonana na wananchi marakwamara

  • @matongolyangallah8417
    @matongolyangallah8417 5 лет назад

    sukuma ndan wote

  • @shabaniramadhani4109
    @shabaniramadhani4109 5 лет назад

    Niko nyuma yako mama usipate shida najua unavo hangaika

  • @mussahmanyehe267
    @mussahmanyehe267 5 лет назад

    Akipewa urais tumeisha

  • @genesassenga2247
    @genesassenga2247 5 лет назад

    Mkuuwawilaya vimbanao shukanao jumla jumla habar imekwisha kamanda nendazako. Ahahahahaha somahiyooo

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 5 лет назад

    Hivi kwanini hawakupi ubunge jamani

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад

    Unawawezesha au jamba jamba tu,wape uwezo ndo udili na mtu bhan

  • @emanuelymunuo8113
    @emanuelymunuo8113 5 лет назад

    uya siha meku laawe

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 5 лет назад

    hahahahahaaaaa. mansurii

  • @drtobias_
    @drtobias_ 5 лет назад

    Vimba nao Haaaaaaaaaaaaa

  • @stratonsharau1208
    @stratonsharau1208 5 лет назад

    Fyekelea mbal

  • @bushibushi831
    @bushibushi831 5 лет назад

    Duuu

  • @asengasefu2767
    @asengasefu2767 5 лет назад +2

    Mkuu nakukubal xn

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 5 лет назад

    Lamba Lolo naoo jumla jumla

  • @godfreymushi5125
    @godfreymushi5125 5 лет назад

    Saf

  • @athumanially7823
    @athumanially7823 5 лет назад

    Idiamin wa pili huyo

  • @markmillian4734
    @markmillian4734 4 года назад

    Mzee mwanri haukutakiw uondoke tabora