RC MWANRI TENA - "Fukuza kazi wote, Weka Kwenye Lori Sukuma Ndani"
HTML-код
- Опубликовано: 4 янв 2019
- RC MWANRI Aaagiza Kumsimamisha Kazi Afisa Ushirika
Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza Mamlaka za kinidhamu kuwasimamisha kazi baadhi ya watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Uyui wanaosimamia Sekta ya Kilimo na ushirika kwa kushindwa kutekeleza baadhi ya majukumu yao ikiwemo kuwaacha wakulima waendeshe kilimo cha Pamba pasipo kufuata kanuni za kilimo cha zao hilo.
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
Kama umesikia ama zang ama zake gonga like apaa
Super Hero Tv hi..
Tunaenda na sela za mbanano pita na like hapo
Dah!! Kuachishwa kazi cyo mchezo ila nanyie wafanyakazi mnajisahau sana
KIONGOZI MPENDA NCHI YAKE, MPENDA MAENDELEO, TUKO NYUMA YAKO
instablaster...
Mkuu wa wilaya vimba nao shuka nao jumla jumla!!!! Habari imekwiahaaaa!!!!!😁😁😁😁😁😁
hbr imekwisha anayesema mkuu wa wa mkoa anachozungumza ni cha kijingajinga sana anyooshe mkono au ajikune hapa.sukuma ndani. tunataka majembe kama haya ndani ya chama cha mapinduzi. keep it up baba yetu.
Mzee karibu tunduru tunakukumbuka ivi anapakumbuka mkwanda
Mzee karibu tunduru tunakukumbuka ivi anapakumbuka mkwanda
Hivi Baba wa Taifa akipewa punzi na mwenyezi Mungu akakuta nchi iko hivi unafikiri inaweza ikawaje
Safi Sana Mwamli
Wangekuweko kumi kama hawa! Tanzania bwana
Love. Mkuu ❤️❤️❤️
Rudi nyumbani Tabora kumenoga!
Sukuma ndani mheshimiwa , kaa nyuma ya mkuu wa wilaya
Je kuna anae bisha nyoosha mkono tukuone ? Hahaha hahaha
Pandisha kwenye roli sukuma ndani
Safi sana Mkuu wa Mkoa. Tanzania itaendelea sana, jaribu kufikiria wimbo wa Mheshimiwa sana Rais, njoo kwa Mwanri huyu hapa tena ongeza wakuu wa Mikoa yote nchini wafuate wimbo wa Rais na Mwanri. Nchi itakuwa n.a. nafasi kubwa sana kuendelea. Iweni wazalendo Viongozi kama huyu Mwanri wanatupatia mifano kemkem za maendeleo jamani.
"..Mkuu wa mkoa shuka nao jumla jumla.. " he he..nafurahishwa na Kiswahili TZ..Mkuu wa mkoa..safi sana..hakuna kama wewe hapa Kenya.
Vimba nao shuka nao jumla jumla😂😂😂😂😂😂aaah kali Sana Rc Mwanri.
Haha haha has a as has aise mzee anivunja mbavu Sana Kama vle mwigizaji
Mwalimu mkuu na wanafunzi wakorofi kazi ipo
Ulikolala tunaamkia ulikofua tunaanika 😂😂😂😂😁😁
Habari imekwishaaaaa anayebisha nyoosha mkono ujifanye tu unajikuna😁😁😁😁😁😁😁
adeni Halisi
Hahahaa
Jifany unajikuna.,!!!!!!! Soma iyo. Hatar
safi sana
Hivi kumbe ushirika ni lazima!. Basi sawa
sukumia ndani hukooo
Kweli leo baba kachukia.....
Gd
Sawa mkuu simamia kazi yako fizur
Tutaenda na sera za mbanano🤣🤣🤣🤣 chigichi chigichi chigichi eeh, Sikuma ndani🤣🤣🤣🤣🤣
MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 8,1,2018
Ulikofua tunaanika ulipo lala ndio tunaamka jmn unanipa raha babu😄😄😄
Sukuma ndani
Duuu we nomaaa nakuelewa
Ulikokua unafua tunaAnika
Hahahahahahah baba ya Leo kal
Acha tu,,,ngoja niibe haka kamsemo
Namuomba Mh. Rais akuhamishie kigoma kuna watu wakuwanyoosha kule hasa hasa wilaya ya kigoma vijijini
Rajab Rukonge kweli anapga kazi
hiii tabora tunampenda bado jaman
Duuuh safi Sana rc unawanyoshaa😂😂😂😂😂
Kiongozi unaependwa Mungu akupe uhai yaani .
Karibu huku
tunaangalia na kusoma Comment 😂😂 Hapa lazima tushuke nao Jumla! Jumla! 😂
Duh
Uyu mwambaaa
Njooosha baba
Sasa mkuu umeshamuagiza OCD inatosha, huyo mkuu wa kituo kidogo cha Polisi pamoja na Sungusungu watapata maelekezo kwake.
Huyu mzee akigombea urais Tanzania itazidi kupendeza tunaitaji viongozi shupavu kama hawa JPM kaibua viongozi shupavu
Habar imekwisha
Daaa ila Mwanri biti lake sio la nchi hiii
Nakupenda bila shiringi
Asha Pea Rubart ok
Eti najua unavyohangaika mm nipo nyuma yako
Duhhhh....kweli anahangaika kama hvyo
kweli huyumzeee nishida
Kwa kwel kwa hali hii mm nataka nihame huu mkoa wangu n RAIA tu wa kawaida
😁😁😁kweri sukuma ndanii
Wote kamata sukuma ndaniii
Safisana mkuuwamkowa nashinyanga tutafutieni kamahuyu
hahahaaaaa.... nyooxha mkono jifanye unajikuna .... hahahaaaaa.... Nouma xannaaa
Ulikolala tumeamkia hapo unakofulia tumeanikia hapo!😁😁😁😁😁😁😁😁
😁😁😁😁😁😁
Ana nipa raha sna huyu mzeee
shughulika nao ubadhilif wa Mali ya uma wanawapa mbegu faki
Hahahahahaha. upo. sawa. safi. sana. baba. makufuri. oye.eeeeeeeeee. majembe. ya. rais. wetu. makufuri. '''''''
uyo babu alipomaliza ama zangu ama zake 😢
Sukuma ndani wotee
Deal nao mkuu.
naomba nifahamishwe hapa ..mbona usimamizi wa hv mpaka askari wanakagua mashamba kwani ni ya serikali au ya watu binafsi?
Mansuri anatafutwa😂
Mzee uyu kwao uko ana kaz kweli
Kama kuna mtu anabisha anyooshe mkono, ajifanye kama anajikuna.
Shuka nao baba wasitucheleweshe
Kama lupango kumejaa ika kwenye lory 😆😆
Rc nakuomba uwende na urambo, ushirka umekufa katumbue majipu huko
Bangi sio kitu kizuri
chota chota hao sukumia ndan
Shuka nao wazimawazima
Jpm tunamuomba kiongoz huyu apewe nchi.
Sas uko wap mzee ama ndio umeokoka na kua mkuu wa kanisa
Sera za mbanano 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mansur hana bahat 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa yuko confuse 😂
shuka nao jumla jumla huyu mzee comedian sana
Uyu mzee naona anafaa kuwa raisi
Fanya kama unajikuna😃😂😁😁
Hahaha haha uliko fua tumeanika
Sera za mbanano 😂😂
Shuka nao jumla jumla
Kama hufany kaz tunaweza kujikuta huna kazi
Piga hao sukuma ndani
Kaijage umesikia lkn
Nampenda uyu mkuu wa mkoa sijui kama kunawakuu wa mikoa wanaoonana na wananchi marakwamara
sukuma ndan wote
Matongo Lyangallah
Niko nyuma yako mama usipate shida najua unavo hangaika
😁😁😁😁😁
Akipewa urais tumeisha
Mkuuwawilaya vimbanao shukanao jumla jumla habar imekwisha kamanda nendazako. Ahahahahaha somahiyooo
Hivi kwanini hawakupi ubunge jamani
Unawawezesha au jamba jamba tu,wape uwezo ndo udili na mtu bhan
uya siha meku laawe
hahahahahaaaaa. mansurii
Vimba nao Haaaaaaaaaaaaa
Fyekelea mbal
Duuu
Mkuu nakukubal xn
Lamba Lolo naoo jumla jumla
Saf
Idiamin wa pili huyo
Mzee mwanri haukutakiw uondoke tabora