RC Mwanri acharuka baada ya kunusa harufu ya ubadhirifu wa mamilioni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameongoza jopo la kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa huo kufanya ukaguzi wa mradi wa majengo ya vituo vya afya Kipili na Kitunda wilayani Sikonge ambapo wamebaini harufu ya ubadhirifu mkubwa wa fedha za Serikali uliosababisha kushindwa kukamilisha ujenzi wa vituo hivyo viwili vilivyogharimu zaidi ya shilingi milioni mia nane.
    Kufuatia hatua hiyo Mkuu wa mkoa wa Tabora akaamuru Jeshi la Polisi kumkamata Afisa Manunuzi wilaya ya Sikonge Silvanus Ndilabika na kutaka uchunguzi wa kina ufanyike.

Комментарии • 87

  • @haitumikitena4978
    @haitumikitena4978 5 лет назад +14

    Yupo sawa kabisa fanya kazi mkuu

  • @winifridamasele6963
    @winifridamasele6963 5 лет назад +2

    kazi kazi mkuu wa mkoa, Mungu akupiganie ktk kazi zako.

  • @michaelmuriithi6808
    @michaelmuriithi6808 5 лет назад +1

    RC, mambo ni mawili...ama zangu ama zao...TZ hapa kazi tu..I wish we had such leaders in Kenya.

  • @eliazaripro5532
    @eliazaripro5532 5 лет назад +1

    Shikeni adabu maana ofisi zenu tukija hamsikilizi watu vizuri mna dharau sana kwa wananchi .
    Fanya kazi mkuu watoe wote

  • @mwanahawabakari718
    @mwanahawabakari718 2 года назад +1

    Yes yes lakini Kuna mijitu et insmchukia na ukiona mtu snamchukia mchapakazi Kama huyu ni mwizi

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 лет назад +2

    asante J.P.M kwa kutuletea mkuu wa mkoa kifaa cha nguvu.anayejua kutekeleza majukumu yake.
    wananchi na watendaji wa serikali mkoani Tabora amkeni kuunga juhudi hizi za mkuu wa mkoa.
    Tabora tulibaki nyuma sana.
    sasa muda umefika na kiongozi tumepata.

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 5 лет назад +1

    Duh ndo mana kila sector kuna boss 💪💪💪

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 5 лет назад +2

    Bila kupepesa macho!

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 лет назад +8

    Penda sana mzee huyu mimi JAMANI

  • @magdalenajoachim6966
    @magdalenajoachim6966 5 лет назад +1

    sukuma ndani tu wote hao... 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MohammedAli-mf3ln
    @MohammedAli-mf3ln 5 лет назад +1

    Hapo kazi tuu magufuli the second

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela7936 5 лет назад +1

    Sasa kazi..

  • @iddyhamis5330
    @iddyhamis5330 5 лет назад +1

    Jembe hilo

  • @glesiersfrancry1261
    @glesiersfrancry1261 5 лет назад +1

    Safi mheshimiwa

  • @lutherking3666
    @lutherking3666 5 лет назад +8

    Angetufaa kwa mkoa wetu wa dar es salaam uyu cyo kma uyu anaeanzisha mbio zen awez kumaliza

  • @ramadhankibwana6425
    @ramadhankibwana6425 5 лет назад +1

    Mzee yupo makini sana anachapa kazi.

  • @papafikiri
    @papafikiri 5 лет назад +5

    Kuna wakati ukali ni muhimu sana

  • @aloycayubu24
    @aloycayubu24 5 лет назад +1

    Huy mzee ni 🔥🔥🔥

  • @rashidyhassan4679
    @rashidyhassan4679 5 лет назад +4

    kiukweli ujanjaujanja TBR umezidi mm nafikir Aongezee fire watumishi wa uma wasio werevu, wazembe, sukuma ndani

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 лет назад +1

    Huyo kajifanya anajikuna mbele ya mkuu wa mkoa sukuma ndani.

  • @rehemamustafa8703
    @rehemamustafa8703 5 лет назад +8

    huyu ni zaid ya konk master

  • @ramadhanfarahani5275
    @ramadhanfarahani5275 5 лет назад +2

    sukuma ndaniii

  • @jumaathumani9732
    @jumaathumani9732 5 лет назад +1

    Anatakiwa kupunguza ghadhabu tu bas kwigine uko sawa ahsante bit nchimbi

  • @zunyagapeter4647
    @zunyagapeter4647 5 лет назад +14

    Watu walizoe kutafuna hela za wananchi kila marà

  • @frankchalimbaga6075
    @frankchalimbaga6075 5 лет назад +5

    Sukumia ndani

  • @titishara
    @titishara 5 лет назад +7

    Sukuma Ndaniii Hao Alafu Fyekelea mbaliiiii

    • @UbunifuTemple
      @UbunifuTemple 5 лет назад

      Naomba usubscribe channel naamin utaenjoy

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 5 лет назад +1

    Hyo afixa ugavi daaah cjui anajiamin nn no discipline

  • @winfredsamuel1220
    @winfredsamuel1220 5 лет назад

    Hatari sana

  • @hamisabdallah3244
    @hamisabdallah3244 5 лет назад +3

    Hawa ndo wenyewe sasa

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 5 лет назад +3

    mtanambia huyu ndo next presidaaa

  • @UbunifuTemple
    @UbunifuTemple 5 лет назад +1

    Fyekelea mbali

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 5 лет назад

    Huyu jamaa hawamu ya 6 nataman awe rais baada ya mjomba magu kumaliza muda wake

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi4157 5 лет назад

    hahahahaha duuuu mkuu wa mko ukimkalia karibu mara anakupiga kibao

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад

    mpela mpela had wanyooke

  • @publicadvisor6952
    @publicadvisor6952 5 лет назад

    Asili yetu tunahitaji watu wakali wakali kama huyu ndio mambo yataenda. Lasivyo duuh sijui!

  • @alicedusabe3988
    @alicedusabe3988 5 лет назад

    Hahhhh kbs unafaa kapewe nakazi rwanda 🇷🇼 maana kuana wanae jifanya kujikuna eti kasababu ni viongoozi

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 5 лет назад

    Juha...

  • @abdallahsaid4245
    @abdallahsaid4245 5 лет назад

    Uyu mwamba ng'ombe utamwambiaje CKILIZA MKUU,Mamae iyo ata ukiniambia mm unapgwa moja kali na co kof apo ni ngumi

  • @professor_mteknolojia3385
    @professor_mteknolojia3385 5 лет назад

    Sheria lazima ichukue nafasi kwa yeyote anayekwenda kinyume na ahukumiwe kulingana na makosa yake. Ni lazima Nchi yetu ya Tanzania isonge mbele

  • @josephpaul9696
    @josephpaul9696 5 лет назад

    Angekuwa raisi wetu huyu tungekoma

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 5 лет назад +1

    Sana

    • @UbunifuTemple
      @UbunifuTemple 5 лет назад

      Naomba usubscribe channel naamin utaenjoy

  • @mbegesdigita5182
    @mbegesdigita5182 5 лет назад

    Cheo ni dhamana" tusilimbukie

  • @gemkachar
    @gemkachar 5 лет назад

    dikteta. hatarisana.

  • @user-bu7fy6ew5w
    @user-bu7fy6ew5w 5 лет назад

    Ukali wake saaa

  • @mosesanosa9956
    @mosesanosa9956 5 лет назад

    Ukipangiwa Nazi tabora unaomba poooo

  • @amigosngarenaro6093
    @amigosngarenaro6093 5 лет назад

    Hahahahahahahahaha.....balaaaaah

  • @relaxmedia4934
    @relaxmedia4934 5 лет назад

    Mi hawez kunifokea hivi asee akafokee familia yake mambo huenda kisheria cjafuata sheria nihukumu kisheria ukinifoka nami nakufoka maisha yenyewe stress CPO tyr uniongezee stress mungu pekee ndo wakuogopa c binadam kama mm

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 5 лет назад

      Kula pesa za umma uoe kama hutokaa kimya kama wenzio hapo

    • @chugachugambuli8879
      @chugachugambuli8879 5 лет назад

      Ijumaa Bakari this is only way to deal with corrupt peson in africa , hutaki kufokewa na ww usitake kula mali ya umma

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 5 лет назад +7

    Bila ukali hawaëlewagi hao punda bila mjeledi..

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад

    Ujanja ujanja ckuizi hakuna 😂

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 лет назад

    angeluhusiwa kupiga huyu angeweza kumpiga kwakweli anahasira

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 5 лет назад +1

    Sukuma ndani😂😂😂😂😂

  • @mathiasbuyobe3512
    @mathiasbuyobe3512 5 лет назад

    Kama serikali hii inaliwa iliyopita ilikuwaje?

  • @feysalhemed5077
    @feysalhemed5077 5 лет назад

    kizee chapenda kugomba hiki duuh

  • @rashidkimwero6562
    @rashidkimwero6562 5 лет назад

    uongozi auendi ivo, unagombeza kam mwanao

  • @aminarashid6286
    @aminarashid6286 5 лет назад +2

    Amezid kuwaka bana haifai

  • @samchimomo968
    @samchimomo968 5 лет назад

    huyu misiri ya mbogo maana sio kwa ukali huu

  • @g.p.ubandusa7564
    @g.p.ubandusa7564 5 лет назад

    Huu ni copy ya rais makufuli

  • @africanasplumbing8780
    @africanasplumbing8780 5 лет назад +7

    Huyu ndio mkuu WA mkoa sema kwenye maamuzi anatakiwa kupunguza panick na kumwachia mtu ajitetee. By then naona comedy tuu. 😡😡😡

    • @antonyhope8031
      @antonyhope8031 5 лет назад +3

      Wala sio kupaniki Kama mtu wa manunuzi alikubali hela kutoka Kabla ya Kazi kuanza na ni kinyume na sheria anajitetea nini,na Afisa utumishi kakimbia msafara unategemea atumie busara ipi hapo.

    • @selemanimasatu2421
      @selemanimasatu2421 5 лет назад +1

      Kwenye msafara ww mamba na kenge wamo wananchi wanapigwa pesa zao harafu ww unasema apunguze jazina watu wanaumizwa ndo maana wanapatwa hasira.

    • @UbunifuTemple
      @UbunifuTemple 5 лет назад

      Naomba usubscribe channel naamin utaenjoy

    • @alistairelias536
      @alistairelias536 5 лет назад

      Shida sana viongozi wa awamu hii, hawampi mtu nafasi ya kujitetea kabisa... There's always two sides to a story.

    • @mjombamalaki2025
      @mjombamalaki2025 5 лет назад

      Afrcanas huyu mzee ni mzuri na mtendaji safi tatizo lake ana munkari na mihemko .hivyo basi anakosa mawazo mengi ya watendaji na kufikia kuwafukuza hovyo .au kuwapa lawama bila kuwasikiliza.

  • @mauwanaomi1153
    @mauwanaomi1153 5 лет назад

    Idi Amini wa pili katokea Tanzania poleni sana wana Tabora🤭😳

  • @joramnunu1449
    @joramnunu1449 5 лет назад +1

    😂😂😂😂

  • @abednego3876
    @abednego3876 5 лет назад

    HE IS ALPHA MALE

  • @omarihamisi2769
    @omarihamisi2769 5 лет назад +3

    Uongozi wa kiki

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 лет назад +2

      omari hamisi,hujitambui!!
      watu walizoea kufanya kazi kwa mazoea,kula pesa za miradi bila kuulizwa.
      kiki ndio kitu gani hapo?kuhoji pesa zilipoenda au kutufahamisha kwa uwazi utendaji wa serikali?

    • @saidnasir6293
      @saidnasir6293 5 лет назад +1

      Wewe unataka afanyeje? Anachukua hatua stahili kwa wabadhirifu wewe unaona ni kiki!!!!

    • @publicadvisor6952
      @publicadvisor6952 5 лет назад

      Uongozi wavitendo ndio kila kitu sasa hivi. Zama za akina nanihii zishapita.

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 лет назад +1

      omari hamisi,IQ yako ndogo

    • @niyonkujack7229
      @niyonkujack7229 5 лет назад +1

      mi naona huu jama omeri naye simwelevu kabisa pole na @@freddymello3227

  • @mwanahawabakari718
    @mwanahawabakari718 2 года назад

    Yes yes lakini Kuna mijitu et insmchukia na ukiona mtu snamchukia mchapakazi Kama huyu ni mwizi

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 5 лет назад +1

    huyu ndio anafaa kuwa wazir sio waitara

    • @UbunifuTemple
      @UbunifuTemple 5 лет назад

      Naomba usubscribe channel naamin utaenjoy