Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji hahahhaha role model wangu huyu kabisa
Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora
Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu
Dah huyu mwamba hachoshi kumtazama 😛😛😁😁 saivi 2024 mwezi wa 4
Huyu jamaa mchekeshaji mnzuri sna kama umegundua hilo gonga like
Huyu jamaa ni hatari
Nimepend anapo zungumzie kweny ukweli akun masiala
Kama unaamini mwanri ni zaidi ya Bashite sema fire🔥🔥🔥🔥
Salehe Innocent fire
Salehe Innocent amnaa
Usimfananishe Mwanri na vitu vya ajabu jamani
Fire
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama unaweka mb kwa ajili ya kuangalia videoclip za huyu mzee tujuane hapa.
Tupo
Pamoja mzeiya
Tupooooo
Natamani wamlete Dar hahahahaha
@@janethjustin5256 mambo
Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji
hahahhaha role model wangu huyu kabisa
sure ananitoa stress saana mheshimiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan stress zote zinaisha
Umesahau machooo yko wapi
Dutch tz
😂😁😀😁😂embu eleza ulivyomgombeza.... Kama hujacheka unayako😁😀😁😂😂
Kwakweli nimecheka mno😀😀😀😁😁😁
Yani nimecheka kuliko kawaida
Kabla ya kueleza lazima ucheke kwanza
😁🤗
NJUGO MCHUNJUGO nimekusoma sana
Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like
kabisa
Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of
dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI
Umeonaee kila mtumishi anasimamia kaz yake
Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu
I always sweat when I listen to this guy mwanri
Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry
Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora
Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like
😂😂😂
msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!
GOD BLESS U RC
Mungu akutunzeee Baba....
Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂
hahahahahaah ilbid nirudie nmckie vizur
😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Rido
Hahahahaha nimecheka mpaka hoi
Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!
Mtungi France
Hahaha hahaha hahaha
Aaaah kabisa mzazi..
atariiii😀😀😀
Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu
Nice
Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote
Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.
Asante mkuu wa mkowa nimecheka sana 😥😥😥😥😥
Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama
Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie
Lipieni tu tutawapa
brian lawrence ,Andikeni barua ya maombi tutawapa!!huyu hata uraisi anafaa sana!!
Mchukuen tu hamna shida
"Ulimgombeza!,ulimgombeza?eleza ulivyomgombeza..."
mzee mtata huyu!!
Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani
Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako!
Ni ushauri tu!
Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet
@@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu
Anhaaa we jamaaaa
Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu
Hahahahahah
Jamani Uyu MZEEE Namkubari Sana
Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas
Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana
😂😂❤❤ Kiongozi bora matendo, mungu, akupe maisha malefu,
Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali
Nimependa namna engineer anavyo gombeza nataman aje anigombeze na mm!!
😂😂😂 shenzi sana mtoto ww,ety aje akugombeze
😃😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣we nyau kweli🤣
Hahahaaaaaa unatamani kugombezwa na wewe 😂😂😂😂
Renatus Misigaro nice
Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂
Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani
Eleza ulivyo mgombeza
Nimecheka kwa sauti aisee.
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 dah sio mchezo n hatar.
Nakupenda baba humuonei mtu natamani uwe wazir mkuu
Na mkae chonjo, mimi sioni choo hapa, hebu nisomee huko ngapi .huyu mzee ni noma
Huu ndio utawala tulioutaka.Sio huu wa kurembuliana macho
Eleza ulivyomgombeza 😁😁😁😁nimecheka jaman
Kama mimi
mambooo
Nampenda sn huyu mkuu, lazima nimalize mb zangu nikiona post zake.
Elelezea ulivyomgombeza
umeona eeeh
Rc umetisha wote sukuma ndani
Tufanye vipimo
Utasomeshwa hapo, huyo alikua anachukua matofali achana nae huyoo. #SUKUMA #NDANI, #WOTE
Kama Wakenya WANGEKUA Na RC kama hawa kumi, sai tungekua mbali sana.
Nchi yenu ya Kenya ni tajiri sana ila wizi ndo mwingi yaani pesa inaingia mifuko ya watu wachache najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Watu wa Wilaya na Halmashauri na Injinia kaeni pembeni mtatusomesha nyie,
Tunataka watu wa Mkoa
Sukuma ndani hakuna kuangaliana kwahuruma.
A huyu father noma, eleza jinsi ulivyo mgombeza
😂😂😂dada alimgombeza akitabasam
Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora
raisi mtarajiwa kaza sn baba hayo ndo maendeleo bless
Kama na wewe upenda utendaji kazi wa RC huyu kama mimi gonga like tujuane😀😀😀😀Ulimgombeza .. 😀😀😀
Wanakuangalia kwa hurumaaaw😃😃😃
Mkuu hao hawajaolewa,,!
Daaah hapo sasa ndo unaanza kujinyea msomaji hoi engineer hoi duu! Baba punguza hasira duuuu utatuua sikonge (wangaluka
Dah noma yaniii huyo jamaa hadi raha
😂😂😂😂 Eti eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂😂
Huyu mzee sometime anamaswali yakisenge kisenge
Noma sana RC babora
Wote ndani baba,hakuna mchezo
Martha mbn waitikia kinyonge
JPM muongez mshahara huyu mkuu wa mkoa
Kazi nzuri sana huyu mzee anayoifanya .
Jamaa kafiti kwenye hii nafac,Magu aliona mbali kumteua
kamata,weka ndan nataman sana nione mtu ananyoosha mkono du mzee
yani mzee magu sijui hawa watumishi kaoteswa na mungu
Dah miongoni mwa viongozi wanaonifurahisha sana, jamaa ni mchapa kazi sana
Shikamoooo RC
Kata hela, rejesha nondo, Weka ndani
Nakukubali mkuu upo vizuri
uyu mzee konkii sarutii mzee baba
Awalipe mzee watiye ndani piga bakola africa nilazima tu change vinginevyo tatizo zitatndeleya
😀😀😀 huyu mkuu wa mkoa mtata sana eti eleza ulivyowagombeza 😀😀
hahaha kata hela zao kama mmemwelewa Mwanri gonga like.
Kamata hao wote sukuma ndaan😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿
safi saana! kamata kamba mwenyewe!
Soma huko
Ulimgombezaa ulimgombezaa.. Em sema ulimgombezajee😀😀..
Huyu mzee anatakiwa apelekwe mikoa wanayojifanywa wao n korofii akanyooshe pipooo😅😅
Hahaaahahaa Eleza ulivomgombezaaaah
Tatizo tu sheria zinambana angekuwa anaenda sait na mapanga ukiwa hujielewi ana kucharanga tu hapendi tabu rc mwanri
Shikamo manri mwakani napendwkeza uletwe mwanza
Eleza ulivyo mgombeza
Dhuu kazi sana hiyo ata huyo mama yupo makoni ase kajitahidi
daaah mzee noma
acha like yako twende sawa
Iyo kweli mzee hayo ndo Mambo ya msingi
Daaah watu wana roho ngum hata hawacheki
jamaa ni mzalendo Mungu ambariki
Shikamo mwanri mwakani napendwkeza uletwe mwanza
Daa huyu baba,akiwa anakuja ofisiji kwako homa inakuanza chap
Sio homa tu mzee.. Unaweza kupata shinikizo la damu la fasta fasta
baraka Julius 😂😂😂😂
Lamviringo lete tofari niache nichukuwe mwenyewe liko vzr hahahaa
Idrissa Mohamed iug
Huyu dingi ni noma sana aisee
jaman mb zangu zinaenda kihalali.Mwanri unanifurahisha
Wa2 wa wilaya kas pembeni wa2 wa hslimashsur kaa pemben 😂😂
huyujamaa nampenda bure sukuma ndani mtajuanahuko
We angalia angalia fuatilia to ukiona anafanania Sukuma ndani😂😂😂😂😂
Huyu mzee dah eti eleza ulivomgombeza haaahaaahaa
Ulimgombeza? Ulimgombezaje elezea😂😂
Umetisha mkuu Saluty
Injinia mdogo!!!
nimekumiss mzee gombea aisee
Awamu ya tano ukimtoa rais huyu jamaa namuamini sana anautemi wakikweli wengine kiki tu
Sawaaa mzee waendeshe mbaka wanyeee kuma hao
Njoo morogoro mkuu utendaji wako mzuri
Safi sana. Tutaelewana tuu
Hatari