"SOMBA WOTE WANAOFANANIA NA WIZI WEKA NDANI" - RC MWANRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 504

  • @edwardmachumu2440
    @edwardmachumu2440 6 месяцев назад +7

    Dah huyu mwamba hachoshi kumtazama 😛😛😁😁 saivi 2024 mwezi wa 4

  • @chambotz9352
    @chambotz9352 5 лет назад +78

    Huyu jamaa mchekeshaji mnzuri sna kama umegundua hilo gonga like

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 5 лет назад +69

    Kama unaamini mwanri ni zaidi ya Bashite sema fire🔥🔥🔥🔥

  • @Danisijo
    @Danisijo 5 лет назад +615

    Kama unaweka mb kwa ajili ya kuangalia videoclip za huyu mzee tujuane hapa.

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 5 лет назад +90

    Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji
    hahahhaha role model wangu huyu kabisa

  • @mr.salmini3384
    @mr.salmini3384 5 лет назад +191

    😂😁😀😁😂embu eleza ulivyomgombeza.... Kama hujacheka unayako😁😀😁😂😂

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 5 лет назад +8

    Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 5 лет назад +26

    Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like

    • @husseinzaidi788
      @husseinzaidi788 5 лет назад

      kabisa

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 5 лет назад

      Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of

  • @allenmrema2919
    @allenmrema2919 5 лет назад +24

    dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI

  • @efelimwambije708
    @efelimwambije708 5 лет назад +13

    Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu

  • @big-h-official
    @big-h-official 4 года назад +4

    I always sweat when I listen to this guy mwanri

  • @bilaliadam6015
    @bilaliadam6015 11 месяцев назад +4

    Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry

  • @emmanuelmganga6248
    @emmanuelmganga6248 3 года назад +3

    Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora

  • @abumusabmusab3771
    @abumusabmusab3771 4 года назад +6

    Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 5 лет назад +22

    msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 5 лет назад +5

    GOD BLESS U RC

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu5623 5 лет назад +1

    Mungu akutunzeee Baba....

  • @amarido12
    @amarido12 5 лет назад +27

    Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂

  • @mtungifrance4228
    @mtungifrance4228 5 лет назад +25

    Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 5 лет назад +19

    Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu

  • @peterkingili5305
    @peterkingili5305 5 лет назад +11

    Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 5 лет назад +14

    Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.

  • @dainesigebo7019
    @dainesigebo7019 5 лет назад +2

    Asante mkuu wa mkowa nimecheka sana 😥😥😥😥😥

  • @charlesryoba7499
    @charlesryoba7499 5 лет назад +6

    Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama

  • @brayo001
    @brayo001 5 лет назад +46

    Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 лет назад +19

    "Ulimgombeza!,ulimgombeza?eleza ulivyomgombeza..."
    mzee mtata huyu!!

  • @reganngoo8571
    @reganngoo8571 5 лет назад +10

    Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani

  • @fidelistitus5775
    @fidelistitus5775 5 лет назад +46

    Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako!
    Ni ushauri tu!

    • @charlesboniphace2343
      @charlesboniphace2343 5 лет назад

      Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet

    • @fidelistitus5775
      @fidelistitus5775 5 лет назад +1

      @@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu

    • @yusuphsimon8151
      @yusuphsimon8151 5 лет назад

      Anhaaa we jamaaaa

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 5 лет назад +1

      Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu

    • @poulsaid3915
      @poulsaid3915 5 лет назад

      Hahahahahah

  • @noahmwakatoga3711
    @noahmwakatoga3711 Год назад +2

    Jamani Uyu MZEEE Namkubari Sana

  • @evaristerelias7373
    @evaristerelias7373 5 лет назад +18

    Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas

  • @omarymamaa7595
    @omarymamaa7595 4 года назад +2

    Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana

  • @HamisZuber-n5z
    @HamisZuber-n5z 2 месяца назад

    😂😂❤❤ Kiongozi bora matendo, mungu, akupe maisha malefu,

  • @simbavevo7318
    @simbavevo7318 5 лет назад +8

    Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro6332 5 лет назад +56

    Nimependa namna engineer anavyo gombeza nataman aje anigombeze na mm!!

  • @charlesmushi2305
    @charlesmushi2305 5 лет назад +15

    Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba3470 5 лет назад +3

    Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +62

    Eleza ulivyo mgombeza

  • @sadockalfred6750
    @sadockalfred6750 4 года назад +1

    Nakupenda baba humuonei mtu natamani uwe wazir mkuu

  • @uswegemwapongo
    @uswegemwapongo 5 лет назад +5

    Na mkae chonjo, mimi sioni choo hapa, hebu nisomee huko ngapi .huyu mzee ni noma

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Год назад +1

    Huu ndio utawala tulioutaka.Sio huu wa kurembuliana macho

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 лет назад +9

    Eleza ulivyomgombeza 😁😁😁😁nimecheka jaman

  • @mwakaproductionbombardier4203
    @mwakaproductionbombardier4203 5 лет назад +32

    Nampenda sn huyu mkuu, lazima nimalize mb zangu nikiona post zake.

  • @ismailhassanyanihuyukichec6942
    @ismailhassanyanihuyukichec6942 5 лет назад

    Rc umetisha wote sukuma ndani

  • @abdallasabour5034
    @abdallasabour5034 5 лет назад +6

    Tufanye vipimo
    Utasomeshwa hapo, huyo alikua anachukua matofali achana nae huyoo. #SUKUMA #NDANI, #WOTE

  • @Nesphore1
    @Nesphore1 5 лет назад +3

    Kama Wakenya WANGEKUA Na RC kama hawa kumi, sai tungekua mbali sana.

    • @JophasJohn-oh8zu
      @JophasJohn-oh8zu 6 месяцев назад

      Nchi yenu ya Kenya ni tajiri sana ila wizi ndo mwingi yaani pesa inaingia mifuko ya watu wachache najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @abdallasabour5034
    @abdallasabour5034 5 лет назад +10

    Watu wa Wilaya na Halmashauri na Injinia kaeni pembeni mtatusomesha nyie,
    Tunataka watu wa Mkoa

  • @awadhially1384
    @awadhially1384 5 лет назад +2

    Sukuma ndani hakuna kuangaliana kwahuruma.

  • @samwelimashaka8997
    @samwelimashaka8997 5 лет назад +14

    A huyu father noma, eleza jinsi ulivyo mgombeza

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 лет назад +1

    Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora

  • @sadiqnasir9278
    @sadiqnasir9278 4 года назад +1

    raisi mtarajiwa kaza sn baba hayo ndo maendeleo bless

  • @wachugypsumtz5089
    @wachugypsumtz5089 5 лет назад

    Kama na wewe upenda utendaji kazi wa RC huyu kama mimi gonga like tujuane😀😀😀😀Ulimgombeza .. 😀😀😀

  • @eliudemmanuel4450
    @eliudemmanuel4450 5 лет назад +8

    Wanakuangalia kwa hurumaaaw😃😃😃
    Mkuu hao hawajaolewa,,!

  • @rhodamaganga8308
    @rhodamaganga8308 5 лет назад +4

    Daaah hapo sasa ndo unaanza kujinyea msomaji hoi engineer hoi duu! Baba punguza hasira duuuu utatuua sikonge (wangaluka

  • @hafidhyakoub5350
    @hafidhyakoub5350 5 лет назад +4

    Dah noma yaniii huyo jamaa hadi raha

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 5 лет назад +11

    😂😂😂😂 Eti eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂😂

    • @hesaujames589
      @hesaujames589 5 лет назад +1

      Huyu mzee sometime anamaswali yakisenge kisenge

  • @syekiwaryoba3211
    @syekiwaryoba3211 5 лет назад +2

    Noma sana RC babora

  • @munezeroroger6526
    @munezeroroger6526 3 года назад +2

    Wote ndani baba,hakuna mchezo

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 5 лет назад +5

    Martha mbn waitikia kinyonge

  • @TheBroskis662
    @TheBroskis662 5 лет назад +24

    JPM muongez mshahara huyu mkuu wa mkoa

  • @chrisally9600
    @chrisally9600 5 лет назад +1

    Kazi nzuri sana huyu mzee anayoifanya .

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 5 лет назад +3

    Jamaa kafiti kwenye hii nafac,Magu aliona mbali kumteua

  • @mussandaki7227
    @mussandaki7227 5 лет назад +4

    kamata,weka ndan nataman sana nione mtu ananyoosha mkono du mzee

  • @mudimawe8861
    @mudimawe8861 5 лет назад

    yani mzee magu sijui hawa watumishi kaoteswa na mungu

  • @jamalajamala2336
    @jamalajamala2336 4 года назад +1

    Dah miongoni mwa viongozi wanaonifurahisha sana, jamaa ni mchapa kazi sana

  • @barakanyambele4673
    @barakanyambele4673 5 лет назад +2

    Shikamoooo RC

  • @binfarouq733
    @binfarouq733 5 лет назад +3

    Kata hela, rejesha nondo, Weka ndani

  • @kevinjackson6884
    @kevinjackson6884 5 лет назад

    Nakukubali mkuu upo vizuri

  • @chirrakibona4962
    @chirrakibona4962 5 лет назад +2

    uyu mzee konkii sarutii mzee baba

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 5 лет назад +1

    Awalipe mzee watiye ndani piga bakola africa nilazima tu change vinginevyo tatizo zitatndeleya

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 5 лет назад +6

    😀😀😀 huyu mkuu wa mkoa mtata sana eti eleza ulivyowagombeza 😀😀

  • @mwamvuajumanne6090
    @mwamvuajumanne6090 4 года назад

    hahaha kata hela zao kama mmemwelewa Mwanri gonga like.

  • @akimudominik1582
    @akimudominik1582 3 года назад +2

    Kamata hao wote sukuma ndaan😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 5 лет назад +1

    safi saana! kamata kamba mwenyewe!

  • @joelmlavi400
    @joelmlavi400 5 лет назад +2

    Ulimgombezaa ulimgombezaa.. Em sema ulimgombezajee😀😀..
    Huyu mzee anatakiwa apelekwe mikoa wanayojifanywa wao n korofii akanyooshe pipooo😅😅

  • @amosmadaha6428
    @amosmadaha6428 5 лет назад +5

    Hahaaahahaa Eleza ulivomgombezaaaah

  • @joesphjustine8094
    @joesphjustine8094 5 лет назад +2

    Tatizo tu sheria zinambana angekuwa anaenda sait na mapanga ukiwa hujielewi ana kucharanga tu hapendi tabu rc mwanri

  • @sospetermathias4253
    @sospetermathias4253 5 лет назад +3

    Shikamo manri mwakani napendwkeza uletwe mwanza

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 5 лет назад +2

    Eleza ulivyo mgombeza
    Dhuu kazi sana hiyo ata huyo mama yupo makoni ase kajitahidi

  • @ayubusaiba7972
    @ayubusaiba7972 5 лет назад

    daaah mzee noma
    acha like yako twende sawa

  • @lamsonkaminyoge5720
    @lamsonkaminyoge5720 5 лет назад +1

    Iyo kweli mzee hayo ndo Mambo ya msingi

  • @evodykalala509
    @evodykalala509 5 лет назад +3

    Daaah watu wana roho ngum hata hawacheki

  • @chariuskiita8942
    @chariuskiita8942 5 лет назад

    jamaa ni mzalendo Mungu ambariki

  • @sospetermathias4253
    @sospetermathias4253 5 лет назад +4

    Shikamo mwanri mwakani napendwkeza uletwe mwanza

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 5 лет назад +14

    Daa huyu baba,akiwa anakuja ofisiji kwako homa inakuanza chap

    • @davidmkwizu25
      @davidmkwizu25 5 лет назад +1

      Sio homa tu mzee.. Unaweza kupata shinikizo la damu la fasta fasta

    • @gladyswai2687
      @gladyswai2687 5 лет назад

      baraka Julius 😂😂😂😂

  • @erlinghaaland9412
    @erlinghaaland9412 5 лет назад +4

    Lamviringo lete tofari niache nichukuwe mwenyewe liko vzr hahahaa

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter5135 4 года назад +1

    Huyu dingi ni noma sana aisee

  • @mwamvuajumanne6090
    @mwamvuajumanne6090 4 года назад

    jaman mb zangu zinaenda kihalali.Mwanri unanifurahisha

  • @martinemsoma7278
    @martinemsoma7278 5 лет назад +7

    Wa2 wa wilaya kas pembeni wa2 wa hslimashsur kaa pemben 😂😂

  • @sirilimichaelpamojasana2033
    @sirilimichaelpamojasana2033 5 лет назад +4

    huyujamaa nampenda bure sukuma ndani mtajuanahuko

  • @saidihermes3107
    @saidihermes3107 5 лет назад +2

    We angalia angalia fuatilia to ukiona anafanania Sukuma ndani😂😂😂😂😂

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 5 лет назад +6

    Huyu mzee dah eti eleza ulivomgombeza haaahaaahaa

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 5 лет назад +4

    Ulimgombeza? Ulimgombezaje elezea😂😂

  • @xaviermethewxaviermethew7727
    @xaviermethewxaviermethew7727 5 лет назад

    Umetisha mkuu Saluty

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 5 лет назад +2

    Injinia mdogo!!!

  • @jimisonpius8100
    @jimisonpius8100 5 месяцев назад

    nimekumiss mzee gombea aisee

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna405 5 лет назад +5

    Awamu ya tano ukimtoa rais huyu jamaa namuamini sana anautemi wakikweli wengine kiki tu

  • @nurdinnswebe1905
    @nurdinnswebe1905 5 лет назад

    Sawaaa mzee waendeshe mbaka wanyeee kuma hao

  • @franksaloon4231
    @franksaloon4231 5 лет назад +4

    Njoo morogoro mkuu utendaji wako mzuri

  • @mashalaelisha3430
    @mashalaelisha3430 5 лет назад

    Safi sana. Tutaelewana tuu

  • @godfreybasalenge3778
    @godfreybasalenge3778 5 лет назад +1

    Hatari