Kati ya watu wa CCM ninao wakubali ni huyu jamaaa Ubunge haumfai kabisaaa apa ndk mahali pake namkubali kwa kweli hana time na wapinzani yeye na maendeleo tu kama kuna mtu ana simamia kweli maendeleo ni huyu
Tulikuwatunawachukiya wa china sasa j’ai ni watanzania wa nafanya kazi hiyo wanakula pesa wa kandalasi na injiniya ni wa Tanzania kazi wanafanya mbovu ila wa kule pesa.... bwana RC mwanri watanzania wa nakupenda sana kazi nzuri
Ndioo mana watz tunakosa ajira maan tunashindwa kua wazalendo kwakweli tubadilike ili tulijenge taifa tutaishia kulalamika kua wanapewa tenda wagen uku sumu ni cc wenyewe
Watanzania wengi hatuko serious na kazi, ubabaishaji mwingi mno jmn hebu tubadilike ndg zangu. Tunafurahia mambo mazuri wanayofanya wengine lkn mbona wengi wetu bado tuko zama za zamani🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Watanzania wakati umefika wakujitambua nakuacha kufanya kazi kimazoea, Watanzania wengi hawajatambua nini maaana ya uchumi wa kati, nchi yenye uchumi wa kati hatuna budi kuindaa sasa, mda tulio nao ili kufikia lengo ni mchache mno, ndio maana jpm kaja na slogan yake ya (hapa kazi tu ) ili nchi maskini kama Tanzania iweze kuufikia uchumi wa kati, inahitaji kua na kiongozi kama jpm, na wananchi wake kuiunga mkono serikari yao, watanzania hatuna budi kuiunga mkono serikari yetu, kwasababu rais John pombe magufuli yupo kwenye njia sahihi. JPM4LIFE
Kuhusu kuleta mzigo wote nafikiri wanaepuka cement na nondo kuharibika ila mzee Baba libarikiwe Tumbo lililokubena unafanya kazi bila kuangalia nani anakutazama bali una uzalendo na kodi zetu...yapo madubwana yamekula hela mpaka yanawaza yafanye nini kutuumiza tusiosoma ....
john laoz -Utaalamu huo ndo umetuchelewesha watu wanapiga hela kwa kisingizio cha utaalamu -Twende hivi hivi hata kwa miaka kumi tutakuwa mahali fulani
@@douglasjackson373 ss siasa iko WAP hapo wkt rc anaongea fact tupu za ki engineer hapo, wee c unaona hta hao wanaojiitaaa matechinician uchwara wanashindwa hta kuongea yaan kawagonga mambo yakitaalam wanayotakiw kufanya
Safisana Mh Mwananri ningependa uwe Waziri wa miundombinu yawn upon safiiii, uno full confidence nakukubali wewe ni kamanda unalifaataifa la Tanzania upopamoja na Mh Raisi wetu safiiii tenasaaana .
Hizi kampuni ni za akina nani?. Kuna moja inafanya matengenezo hapa MACHAVA bogus kabisa.Hamna kinachoendelea cha maana na mawaziri wawili na naibu moja wanaona jinsi kazi inavyochezewa lakini KIMYAAAAAA.
Yaani watu hawa walioaminiwa wanakuwa wajinga wajinga kila siku.Hivi tangu aanze kusema huyu mkuu wa mkoa hawajifunzi? Halafu ni mume au baba wa mtu huyu anayefanya kazi kwa mazoea na si kwa weledi.Shame on them stupid!
Anaye mkubali MWANRI Like hapa
Tukileta nondo na cement na mbao zote site zitaathirika kwa jua na baridi na mazingara mengine
Kibokoooooo
Tabora imekuwa nzuri sana, kuanzia barabara kui, za mitaa safi sanaaa. Piga kazi mzee wa sukuma ndani
Huyu mtu anajifanyaga kazi zake toka moyoni kabisa. Hana unafiki, wala hamtajitaji raisi. Anajua wajibu wake na unatoka ndani kabisa.
Kati ya watu wa CCM ninao wakubali ni huyu jamaaa Ubunge haumfai kabisaaa apa ndk mahali pake namkubali kwa kweli hana time na wapinzani yeye na maendeleo tu kama kuna mtu ana simamia kweli maendeleo ni huyu
Kiukweli agrey mwanri hatumii Kiki au jina la magufuli anafanya kazi yake kwa maslahi ya mkoa wake
tumei mislead.... mmei misplace bhana. KU MISLEAD maana yake nini
🤣🤣🤣🤣 ???
FUKUA MAKABURI Mzee Tumpe LIKE RC Mkombozi i;i twende Kazi
Poa ☝🏾poa 👋🏽👂🏾👏🏽🙏🏽 good job that who Africans country should work had wavivu wasipewe nafasi ya kuhalimbu country to jenge inchii zote kwa bindii
Tukipata watu kumi kama huyu tutaisandia serkari ya mangufuli
Mkuu wa mkoa uko vzr nyoosha tabora yote wajomba zangu wajanja sana
Aliesikia daraja litabaki kama stuli hapa katkat gonga like kw huyu baba
Tulikuwatunawachukiya wa china sasa j’ai ni watanzania wa nafanya kazi hiyo wanakula pesa wa kandalasi na injiniya ni wa Tanzania kazi wanafanya mbovu ila wa kule pesa.... bwana RC mwanri watanzania wa nakupenda sana kazi nzuri
Unafaa kuwa upcoming president wa tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwangu mm huyu ndiye Raisi wangu au aje kuwa hata mkuu wa mkoa hapa Dar es Salaam
Hakika dar ingenyooka zaid
Kwanini wanakuchezea mzee wa Toronto hawachukulii mfano kwa wenzao waliokwisha nyooka
Safi sana mkuu
Uko sawa mweshimiwa
Saf saana mzeee wa Tabora mpyaa London
Helmet ya mzee wa Toronto ni more funny!
Ndioo mana watz tunakosa ajira maan tunashindwa kua wazalendo kwakweli tubadilike ili tulijenge taifa tutaishia kulalamika kua wanapewa tenda wagen uku sumu ni cc wenyewe
Safi xana Mangi waonyeshee kuwa uongozi ndivyo unavyotakiwa uwe chapa kazi raisi
Kusimamiankazi vizuri ndiko kumuwakilisha Rais kwenyewe. Sio kumtaja taja unaishia Ofisini kunywa chai. Yule kamaa wa Arusha sijui bado yupo au yu wapi jamani
Watanzania wengi hatuko serious na kazi, ubabaishaji mwingi mno jmn hebu tubadilike ndg zangu. Tunafurahia mambo mazuri wanayofanya wengine lkn mbona wengi wetu bado tuko zama za zamani🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Watanzania wakati umefika wakujitambua nakuacha kufanya kazi kimazoea, Watanzania wengi hawajatambua nini maaana ya uchumi wa kati, nchi yenye uchumi wa kati hatuna budi kuindaa sasa, mda tulio nao ili kufikia lengo ni mchache mno, ndio maana jpm kaja na slogan yake ya (hapa kazi tu ) ili nchi maskini kama Tanzania iweze kuufikia uchumi wa kati, inahitaji kua na kiongozi kama jpm, na wananchi wake kuiunga mkono serikari yao, watanzania hatuna budi kuiunga mkono serikari yetu, kwasababu rais John pombe magufuli yupo kwenye njia sahihi. JPM4LIFE
safi sana mkuu
Nimesikia daraja litabaki Kama stuli..
Eti usiitikie tu kwa kichwa!😥😥
Hatari sana
Anafaa kua waziri wa ujenzi na miundombinu Raisi amtazame uyu
Tatizo co mbunge
Dalaja linabaki kama sturii 😁😁😁😁😁
Kizito Kasulamo hahahahah
Huyu jamaa katika watu walioteuliwa na mh raisi Hapa mtu kapatikana haswa hana figisu figisu safi sana
Jamaa anazugazuga tu hapo chini kupimapima wakati hata kwa macho unaona tu kwamba hapo iko shida.
Afu siyo program inayohitajika hapo ni drawing
john laoz
Drawing zinaendanda sambamba na program ya kazi/schedule of works.
Lazima kila stage ya kazi itambulike itaanza lini na itaisha lini
Huyu mkandarasi akikuletea za kuleta fwekelea mbali.. hiki ni kishindo cha awamu ya tano. Hakuna mchezo ni hapa kazi tu.
Tabora now is called London🔥🔥
Nomaa sana
Mkuu wa mkoa unakazi ngumu sana kila sehemu matatizo duuuu
Daraja litabaki kama #stuli 😂😂😂😂😂😂😂😂,
Helmet ya RC Mwanri 😂😂😂
Yaan wewe mpekuzi sana ata ile alama ndogo umeiona😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Apewe uwaziri wa ujenzi na miundombinu huyu atatufaa sanaaa
Huyu ndo mtu kwa kweli magufuli tafadhali tupelekee huyu mtu airekebishe Songwe yetu
Hivi hawa wakandarasi makanjanha hua mnawapataga wapi jamani hasee....., kuna watu wako fit wako kitaaa makanjanja ndio wanapewa miradi 🙄
Salute Ndio kila weekend
Kweli Tabora itakuwa kama Toronto
Uyu mzee akijichanganya akavuta bangi tu basi atapiga watu
Kuhusu kuleta mzigo wote nafikiri wanaepuka cement na nondo kuharibika ila mzee Baba libarikiwe Tumbo lililokubena unafanya kazi bila kuangalia nani anakutazama bali una uzalendo na kodi zetu...yapo madubwana yamekula hela mpaka yanawaza yafanye nini kutuumiza tusiosoma ....
Veraaaaaaaaa 😄😄😄
Kama umesikia kama mimi You Men 😂😂😂
Daah mzee yuko serious hatak mchezo
Sasa siasa iko wapi hapo?
Daraja litabaki km stuli🤣🤣🤣
Kama una miss read gonga like..
Tumbua aoooooo
Hahaaa my favourite. Ur so smart honorable
Ahaha program wameimislead
mkuu wa mkoa wa mwanza iga utendaji wa mh.Mwanri
Kamandaaa Tabora tunajivunia
Jamaa namkubali mpaka kelooooo
shida tulonayo nchi hii ni kiwapa nafasi wasioweza kazi undugu tu ndo mwingi na kubebana
RC MWANRI anafaa akuje uku kwetu Kenya atufanyie kazi kwa muda wa mwaka mmoja tu,hawa wazembe watoroke ata kabla wafukuzwe
Huyu jamaa angekua raisi, bac hii nchi ingekua ya maajabu, co kama ilivo shv
Unaendeshaji mradi bila mpango kazi au program, ama kwa kweli hii ndio Afrika.
Mislid maana Yake ndio nn mm sielewi
Nikipata tenda mkoa wa tabora nagoma uyuu jamaa balaa mmmhh
Mh Rais Tunaomba wana mwanza Huyu kiongozi Aje mwanza Maana Uliahidi kuwa mwanza Utaifanya kama Giniva sasa huyu anaweza kusimamia yale unayota
hata mganga wa kienyeji ana program akishapata watu anaanza na lamli kisha unajua kesho nitafanya nini
Mkuu afande bonge anasinzia huyo
Unakula kw jasho lako rc
Natamani uje kua raisi wa tz mzee
Kama umemuona afande milaji anasinzia sukuma Nadani
Huyu Jamaa noma
Mzeeee kula kichwa cha mtu wasikuzoeeee kabisaaa wana leta longo longo hao watu.
"You meeen "hahaha fanya kazi baba
Hawa wote wakusukuma ndani ndani
Mto manonga kuingia shy
Sukuma ndani fanya kama unajikuna hivi
Hakika nashukuru mkoa wagu umepata kiongozi
Nimesikia anakuja mbeya
Kazi za kitalaam hizi hazihitaji siasa
john laoz sahihi
john laoz ukaguzi
john laoz
-Utaalamu huo ndo umetuchelewesha watu wanapiga hela kwa kisingizio cha utaalamu
-Twende hivi hivi hata kwa miaka kumi tutakuwa mahali fulani
@@douglasjackson373 ss siasa iko WAP hapo wkt rc anaongea fact tupu za ki engineer hapo, wee c unaona hta hao wanaojiitaaa matechinician uchwara wanashindwa hta kuongea yaan kawagonga mambo yakitaalam wanayotakiw kufanya
Watu wanapoteana....hehehe
Mislidi ndio Nini Mimi sijaelewa hapo???
Hii jembe ya kazi aseee
Tungekuwa nao kama 10 Viongozi wa mikowa kama huyu Nchi ingesonga mbele
Watanyooka
Huyu anaeza akupige kofi
Tumeimis Lead??????🤣
4:30 kamanda kasinzia ile mbaya kieeehh
Safisana Mh Mwananri ningependa uwe Waziri wa miundombinu yawn upon safiiii, uno full confidence nakukubali wewe ni kamanda unalifaataifa la Tanzania upopamoja na Mh Raisi wetu safiiii tenasaaana .
Hizi kampuni ni za akina nani?. Kuna moja inafanya matengenezo hapa MACHAVA bogus kabisa.Hamna kinachoendelea cha maana na mawaziri wawili na naibu moja wanaona jinsi kazi inavyochezewa lakini KIMYAAAAAA.
Nima na nusu
Soma iyooo
Mislead tena hahaha
TABORA logo
instagram.com/siloamnetwok?igshid=181lx2rxhk116 subscribe yako ni muhimu sana kwetu na Mungu akubariki share zaidi amen.
Yaani watu hawa walioaminiwa wanakuwa wajinga wajinga kila siku.Hivi tangu aanze kusema huyu mkuu wa mkoa hawajifunzi? Halafu ni mume au baba wa mtu huyu anayefanya kazi kwa mazoea na si kwa weledi.Shame on them stupid!
jamaa mzalendo
You mannnnn !!!!!!!! Hahahaha
Aisee mainjinia wengi wazembe sna
Mnaona vipi baada ya Magu afate huyu
😂😂😂kazi kazi
Vp wakaz wa tabora kukoje uko ?
Mzee mwenge haupo tens!!covid-19!!!!
🤣😂😂😂😂😂🤣😂😂
Mislead maana yake nini he he
Tuelewane vzul apo
acha kuchachatika kwenye taaluma za watu mzee
Nakupa hai:
Hakuna taaluma hapo wezi wakubwa hao watumishi.
Said Dukani fresh tu Said
mwizi lazma amtete mwizi mwenzie
HAkuna cha taaluma hapo.Tulizoea vibaya.Twende hivi hivi at least kwa miaka 10