RC MWANRI ALIVYOMBANA INJINIA MPAKA KAMKATAA BOSI WAKE "

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 129

  • @steveagustino9368
    @steveagustino9368 5 лет назад +214

    Anaye mkubali MWANRI Like hapa

  • @Rogasiandesmond6
    @Rogasiandesmond6 5 лет назад +43

    Tabora imekuwa nzuri sana, kuanzia barabara kui, za mitaa safi sanaaa. Piga kazi mzee wa sukuma ndani

  • @shorewanda5635
    @shorewanda5635 5 лет назад +62

    Huyu mtu anajifanyaga kazi zake toka moyoni kabisa. Hana unafiki, wala hamtajitaji raisi. Anajua wajibu wake na unatoka ndani kabisa.

    • @fredrickbilaury7466
      @fredrickbilaury7466 5 лет назад +1

      Kati ya watu wa CCM ninao wakubali ni huyu jamaaa Ubunge haumfai kabisaaa apa ndk mahali pake namkubali kwa kweli hana time na wapinzani yeye na maendeleo tu kama kuna mtu ana simamia kweli maendeleo ni huyu

    • @godlistenmaridadi754
      @godlistenmaridadi754 5 лет назад

      Kiukweli agrey mwanri hatumii Kiki au jina la magufuli anafanya kazi yake kwa maslahi ya mkoa wake

  • @jimmiejr11
    @jimmiejr11 5 лет назад +19

    tumei mislead.... mmei misplace bhana. KU MISLEAD maana yake nini
    🤣🤣🤣🤣 ???

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 лет назад +9

    FUKUA MAKABURI Mzee Tumpe LIKE RC Mkombozi i;i twende Kazi

  • @calowamaye4009
    @calowamaye4009 5 лет назад +10

    Poa ☝🏾poa 👋🏽👂🏾👏🏽🙏🏽 good job that who Africans country should work had wavivu wasipewe nafasi ya kuhalimbu country to jenge inchii zote kwa bindii

  • @stephanomchenya6344
    @stephanomchenya6344 5 лет назад +25

    Tukipata watu kumi kama huyu tutaisandia serkari ya mangufuli

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +16

    Mkuu wa mkoa uko vzr nyoosha tabora yote wajomba zangu wajanja sana

  • @imrankombe1816
    @imrankombe1816 5 лет назад +17

    Aliesikia daraja litabaki kama stuli hapa katkat gonga like kw huyu baba

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 4 года назад

    Tulikuwatunawachukiya wa china sasa j’ai ni watanzania wa nafanya kazi hiyo wanakula pesa wa kandalasi na injiniya ni wa Tanzania kazi wanafanya mbovu ila wa kule pesa.... bwana RC mwanri watanzania wa nakupenda sana kazi nzuri

  • @mwinyimtengwa5515
    @mwinyimtengwa5515 5 лет назад +2

    Unafaa kuwa upcoming president wa tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 5 лет назад +15

    Kwangu mm huyu ndiye Raisi wangu au aje kuwa hata mkuu wa mkoa hapa Dar es Salaam

    • @hjhj6230
      @hjhj6230 5 лет назад

      Hakika dar ingenyooka zaid

  • @korogwetanga810
    @korogwetanga810 5 лет назад +21

    Kwanini wanakuchezea mzee wa Toronto hawachukulii mfano kwa wenzao waliokwisha nyooka

  • @emanuelmselle637
    @emanuelmselle637 5 лет назад +6

    Safi sana mkuu

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 5 лет назад +10

    Saf saana mzeee wa Tabora mpyaa London

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 5 лет назад +13

    Helmet ya mzee wa Toronto ni more funny!

  • @frankmgendi8751
    @frankmgendi8751 5 лет назад +5

    Ndioo mana watz tunakosa ajira maan tunashindwa kua wazalendo kwakweli tubadilike ili tulijenge taifa tutaishia kulalamika kua wanapewa tenda wagen uku sumu ni cc wenyewe

  • @israelimjema5001
    @israelimjema5001 5 лет назад +2

    Safi xana Mangi waonyeshee kuwa uongozi ndivyo unavyotakiwa uwe chapa kazi raisi

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo2356 5 лет назад +1

    Kusimamiankazi vizuri ndiko kumuwakilisha Rais kwenyewe. Sio kumtaja taja unaishia Ofisini kunywa chai. Yule kamaa wa Arusha sijui bado yupo au yu wapi jamani

  • @aginiweyessayakyando9855
    @aginiweyessayakyando9855 5 лет назад +2

    Watanzania wengi hatuko serious na kazi, ubabaishaji mwingi mno jmn hebu tubadilike ndg zangu. Tunafurahia mambo mazuri wanayofanya wengine lkn mbona wengi wetu bado tuko zama za zamani🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @hashimusaid7695
    @hashimusaid7695 5 лет назад +26

    Watanzania wakati umefika wakujitambua nakuacha kufanya kazi kimazoea, Watanzania wengi hawajatambua nini maaana ya uchumi wa kati, nchi yenye uchumi wa kati hatuna budi kuindaa sasa, mda tulio nao ili kufikia lengo ni mchache mno, ndio maana jpm kaja na slogan yake ya (hapa kazi tu ) ili nchi maskini kama Tanzania iweze kuufikia uchumi wa kati, inahitaji kua na kiongozi kama jpm, na wananchi wake kuiunga mkono serikari yao, watanzania hatuna budi kuiunga mkono serikari yetu, kwasababu rais John pombe magufuli yupo kwenye njia sahihi. JPM4LIFE

  • @barakambwilo4602
    @barakambwilo4602 5 лет назад +5

    safi sana mkuu

  • @emanuelcosmas395
    @emanuelcosmas395 5 лет назад +11

    Nimesikia daraja litabaki Kama stuli..

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 лет назад +8

    Eti usiitikie tu kwa kichwa!😥😥

  • @danielyared4880
    @danielyared4880 5 лет назад +4

    Hatari sana

  • @abdulinyanga6741
    @abdulinyanga6741 5 лет назад +3

    Anafaa kua waziri wa ujenzi na miundombinu Raisi amtazame uyu

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 5 лет назад +8

    Dalaja linabaki kama sturii 😁😁😁😁😁

  • @wilsonboniface6482
    @wilsonboniface6482 5 лет назад +1

    Huyu jamaa katika watu walioteuliwa na mh raisi Hapa mtu kapatikana haswa hana figisu figisu safi sana

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 лет назад +1

    Jamaa anazugazuga tu hapo chini kupimapima wakati hata kwa macho unaona tu kwamba hapo iko shida.

  • @johnlaoz1416
    @johnlaoz1416 5 лет назад +10

    Afu siyo program inayohitajika hapo ni drawing

    • @ludovickanizet9991
      @ludovickanizet9991 5 лет назад +1

      john laoz
      Drawing zinaendanda sambamba na program ya kazi/schedule of works.
      Lazima kila stage ya kazi itambulike itaanza lini na itaisha lini

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 5 лет назад +2

    Huyu mkandarasi akikuletea za kuleta fwekelea mbali.. hiki ni kishindo cha awamu ya tano. Hakuna mchezo ni hapa kazi tu.

  • @abdulinyanga6741
    @abdulinyanga6741 5 лет назад +4

    Tabora now is called London🔥🔥

  • @zamdaoman7782
    @zamdaoman7782 5 лет назад +5

    Nomaa sana

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 5 лет назад +1

    Mkuu wa mkoa unakazi ngumu sana kila sehemu matatizo duuuu

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 5 лет назад +5

    Daraja litabaki kama #stuli 😂😂😂😂😂😂😂😂,

  • @yashjuma9168
    @yashjuma9168 5 лет назад +16

    Helmet ya RC Mwanri 😂😂😂

    • @romeoromeo4125
      @romeoromeo4125 5 лет назад +2

      Yaan wewe mpekuzi sana ata ile alama ndogo umeiona😂😂😂😂😂

    • @abutalibomar6182
      @abutalibomar6182 5 лет назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dshynermcongo1564
    @dshynermcongo1564 5 лет назад +12

    Apewe uwaziri wa ujenzi na miundombinu huyu atatufaa sanaaa

  • @fredrickbilaury7466
    @fredrickbilaury7466 5 лет назад +2

    Huyu ndo mtu kwa kweli magufuli tafadhali tupelekee huyu mtu airekebishe Songwe yetu

  • @danieln.laurence1485
    @danieln.laurence1485 5 лет назад +1

    Hivi hawa wakandarasi makanjanha hua mnawapataga wapi jamani hasee....., kuna watu wako fit wako kitaaa makanjanja ndio wanapewa miradi 🙄

  • @rweyemamueustace1706
    @rweyemamueustace1706 5 лет назад +3

    Salute Ndio kila weekend

  • @ramadhankatozi9150
    @ramadhankatozi9150 5 лет назад +4

    Kweli Tabora itakuwa kama Toronto

  • @ibrahimrashid8676
    @ibrahimrashid8676 5 лет назад +5

    Uyu mzee akijichanganya akavuta bangi tu basi atapiga watu

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 5 лет назад +1

    Kuhusu kuleta mzigo wote nafikiri wanaepuka cement na nondo kuharibika ila mzee Baba libarikiwe Tumbo lililokubena unafanya kazi bila kuangalia nani anakutazama bali una uzalendo na kodi zetu...yapo madubwana yamekula hela mpaka yanawaza yafanye nini kutuumiza tusiosoma ....

  • @ilovecomputers1630
    @ilovecomputers1630 5 лет назад +4

    Veraaaaaaaaa 😄😄😄

  • @bodeamaimbo4180
    @bodeamaimbo4180 5 лет назад +3

    Kama umesikia kama mimi You Men 😂😂😂

  • @geofreykiller6792
    @geofreykiller6792 5 лет назад +12

    Daah mzee yuko serious hatak mchezo

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 5 лет назад +7

    Daraja litabaki km stuli🤣🤣🤣

  • @manttheboss7545
    @manttheboss7545 5 лет назад +2

    Kama una miss read gonga like..

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 5 лет назад +2

    Tumbua aoooooo

  • @febroniakimaro8119
    @febroniakimaro8119 4 года назад

    Hahaaa my favourite. Ur so smart honorable

  • @motoernest7890
    @motoernest7890 5 лет назад +6

    Ahaha program wameimislead

  • @emjay1016
    @emjay1016 5 лет назад +3

    mkuu wa mkoa wa mwanza iga utendaji wa mh.Mwanri

  • @jumajoseph9353
    @jumajoseph9353 5 лет назад +4

    Kamandaaa Tabora tunajivunia

  • @puttenyanthony9284
    @puttenyanthony9284 5 лет назад +5

    Jamaa namkubali mpaka kelooooo

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 5 лет назад +2

    shida tulonayo nchi hii ni kiwapa nafasi wasioweza kazi undugu tu ndo mwingi na kubebana

  • @davidojuok1608
    @davidojuok1608 8 месяцев назад

    RC MWANRI anafaa akuje uku kwetu Kenya atufanyie kazi kwa muda wa mwaka mmoja tu,hawa wazembe watoroke ata kabla wafukuzwe

  • @masoudmullah1329
    @masoudmullah1329 4 года назад

    Huyu jamaa angekua raisi, bac hii nchi ingekua ya maajabu, co kama ilivo shv

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 4 года назад

    Unaendeshaji mradi bila mpango kazi au program, ama kwa kweli hii ndio Afrika.

  • @zainabguya9257
    @zainabguya9257 5 лет назад +1

    Mislid maana Yake ndio nn mm sielewi

  • @rajabchumbi1491
    @rajabchumbi1491 5 лет назад +1

    Nikipata tenda mkoa wa tabora nagoma uyuu jamaa balaa mmmhh

  • @benedictodaniel323
    @benedictodaniel323 4 года назад

    Mh Rais Tunaomba wana mwanza Huyu kiongozi Aje mwanza Maana Uliahidi kuwa mwanza Utaifanya kama Giniva sasa huyu anaweza kusimamia yale unayota

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 5 лет назад +3

    hata mganga wa kienyeji ana program akishapata watu anaanza na lamli kisha unajua kesho nitafanya nini

  • @ramadhaninasaibu140
    @ramadhaninasaibu140 5 лет назад +1

    Mkuu afande bonge anasinzia huyo

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +1

    Unakula kw jasho lako rc

  • @rastaashiraph745
    @rastaashiraph745 5 лет назад +2

    Natamani uje kua raisi wa tz mzee

  • @mwitafrancins3998
    @mwitafrancins3998 5 лет назад +1

    Kama umemuona afande milaji anasinzia sukuma Nadani

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 5 лет назад +1

    Huyu Jamaa noma

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 5 лет назад +4

    Mzeeee kula kichwa cha mtu wasikuzoeeee kabisaaa wana leta longo longo hao watu.

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 5 лет назад +1

    "You meeen "hahaha fanya kazi baba

  • @issamohd2674
    @issamohd2674 5 лет назад +1

    Hawa wote wakusukuma ndani ndani

  • @nkubapaul8531
    @nkubapaul8531 5 лет назад +1

    Mto manonga kuingia shy

  • @hashimusaid7695
    @hashimusaid7695 5 лет назад +4

    Sukuma ndani fanya kama unajikuna hivi

  • @kalimyusuph6616
    @kalimyusuph6616 5 лет назад

    Hakika nashukuru mkoa wagu umepata kiongozi

  • @luganomwambulukutu5311
    @luganomwambulukutu5311 5 лет назад +2

    Nimesikia anakuja mbeya

  • @johnlaoz1416
    @johnlaoz1416 5 лет назад +7

    Kazi za kitalaam hizi hazihitaji siasa

    • @lucasheluman476
      @lucasheluman476 5 лет назад

      john laoz sahihi

    • @danielmgonja9906
      @danielmgonja9906 5 лет назад

      john laoz ukaguzi

    • @douglasjackson373
      @douglasjackson373 5 лет назад

      john laoz
      -Utaalamu huo ndo umetuchelewesha watu wanapiga hela kwa kisingizio cha utaalamu
      -Twende hivi hivi hata kwa miaka kumi tutakuwa mahali fulani

    • @asphathbashiru2052
      @asphathbashiru2052 5 лет назад

      @@douglasjackson373 ss siasa iko WAP hapo wkt rc anaongea fact tupu za ki engineer hapo, wee c unaona hta hao wanaojiitaaa matechinician uchwara wanashindwa hta kuongea yaan kawagonga mambo yakitaalam wanayotakiw kufanya

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 лет назад +1

    Watu wanapoteana....hehehe

  • @majaaliwajuma5512
    @majaaliwajuma5512 4 года назад +1

    Mislidi ndio Nini Mimi sijaelewa hapo???

  • @dicksonjohn4477
    @dicksonjohn4477 4 года назад

    Hii jembe ya kazi aseee

  • @benedictodaniel323
    @benedictodaniel323 4 года назад

    Tungekuwa nao kama 10 Viongozi wa mikowa kama huyu Nchi ingesonga mbele

  • @ramsonlatino2008
    @ramsonlatino2008 5 лет назад +3

    Watanyooka

  • @snetiengineering_hub
    @snetiengineering_hub 5 лет назад +1

    Huyu anaeza akupige kofi

  • @RobbyRunnerON3
    @RobbyRunnerON3 5 лет назад +3

    Tumeimis Lead??????🤣

  • @safariadrien5493
    @safariadrien5493 5 лет назад +1

    4:30 kamanda kasinzia ile mbaya kieeehh

    • @lucasmkui3160
      @lucasmkui3160 5 лет назад

      Safisana Mh Mwananri ningependa uwe Waziri wa miundombinu yawn upon safiiii, uno full confidence nakukubali wewe ni kamanda unalifaataifa la Tanzania upopamoja na Mh Raisi wetu safiiii tenasaaana .

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 5 лет назад +1

    Hizi kampuni ni za akina nani?. Kuna moja inafanya matengenezo hapa MACHAVA bogus kabisa.Hamna kinachoendelea cha maana na mawaziri wawili na naibu moja wanaona jinsi kazi inavyochezewa lakini KIMYAAAAAA.

  • @luganojacob
    @luganojacob 5 лет назад +3

    Nima na nusu

  • @dickymediapro4179
    @dickymediapro4179 5 лет назад +1

    Soma iyooo

  • @willambimgalla5601
    @willambimgalla5601 5 лет назад +4

    Mislead tena hahaha

  • @suzanegabriel8232
    @suzanegabriel8232 5 лет назад +2

    instagram.com/siloamnetwok?igshid=181lx2rxhk116 subscribe yako ni muhimu sana kwetu na Mungu akubariki share zaidi amen.

  • @allyhassan7522
    @allyhassan7522 5 лет назад +3

    Yaani watu hawa walioaminiwa wanakuwa wajinga wajinga kila siku.Hivi tangu aanze kusema huyu mkuu wa mkoa hawajifunzi? Halafu ni mume au baba wa mtu huyu anayefanya kazi kwa mazoea na si kwa weledi.Shame on them stupid!

  • @chariuskiita8942
    @chariuskiita8942 5 лет назад +2

    jamaa mzalendo

  • @charzykibushi6133
    @charzykibushi6133 5 лет назад +3

    You mannnnn !!!!!!!! Hahahaha

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 2 года назад

    Aisee mainjinia wengi wazembe sna

  • @tadeustemba4549
    @tadeustemba4549 4 года назад

    Mnaona vipi baada ya Magu afate huyu

  • @SalmaSalma-qp3xf
    @SalmaSalma-qp3xf 4 года назад

    😂😂😂kazi kazi

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 4 года назад

    Vp wakaz wa tabora kukoje uko ?

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 4 года назад

    Mzee mwenge haupo tens!!covid-19!!!!

  • @dwiny7841
    @dwiny7841 5 лет назад +2

    🤣😂😂😂😂😂🤣😂😂

  • @brayo001
    @brayo001 4 года назад

    Mislead maana yake nini he he

  • @hassanmkungile6021
    @hassanmkungile6021 4 года назад

    Tuelewane vzul apo

  • @lucasheluman476
    @lucasheluman476 5 лет назад +5

    acha kuchachatika kwenye taaluma za watu mzee