Kuna mtu anabisha? Hakuna! Habari imekwisha!!!! Labda ufafanuzi.......😁😁😁😁😁😁😁 I love so much Mkuu wa mkoa wa Tabora! Hana masifa unaona kabisa kuwa anafanya kitu kilicho-ndani ya damu yake sio maigizo wala nini! Ni maisha yake halisi yaani ["nashauri tu"] ni bora kila kiongozi aishi kama huyu mzee maana haigizi bali ni hivyo ndivyo alivyo!!!!! 1.NI MAGUFULI 2.NI HUYU MKUU WA MKOA Yaani hawana hata chembe ya maigizo duh!
Safi sana Mzee wetu washenzi hao wamezoea kudhulumu sana haki zetu na kuona sisi ni watumwa na hatuna haki shukrani sana kwa kuelimisha wanyonge juu ya haki zao tumenyaswa kiasi cha kutosha.
Niliwahi kucoment katika moja ya clip zilizopita za huyu Mzee Mwanri na leo narudia tena yale maneno yangu, watu huwa wanamchukulia poa huyu mzee na kumwona kama mchekeshaji kutokana na misemo yake lakini ukifuatilia vizuri Mzee anafanya kazi adimu sana za kusaidia jamii. Kwangu mimi kwa sasa ndiye mkuu wa mkoa bora hapa Tanzania.
Uko sawa kabisa Tony touch. Uko right maana msema ukweli ni mpenz wa mungu huyu mzee sio mchekeshaji wanaosema anachekesha watafakari vizuri ili waweze kuchukua hatua. Mwanry ni zawadi ya Rais kwa wanatabora pia kumjua mungu peke yake ni HEKMA isiyomfano.
This fella RC is soo patriotic. .this is what our leaders should do always i mean to defend the interests of our fellow Tanzanians...shout out to you big fella RC Mwanri
My dear people watu ni watu tu usiseme wakomeshwe wahindi hao that itakua like ubaguzi what the RC done is better but it’s not easy even kwa Tanzanian investors wakenda some around of the word juror that mkatba do don’t say wakomeshwe is not good
I dont understand any single word of swahili ila hata mimi huyu RC namuelewa mno. Kuna mtu ananibishia kuwa cjui kiswahili? Kuna mtu anabisha? Kama yupo ajifanye kama anajikuna tu. IMEKWISHA HIYO.
Hawa mabozo wematuzoea, kutufanya watumwa mpaka nchini kwetu.Mbona wakuu wengine wa serikali humu Africa hawawambii ukweli wao vile anavofanya huyu Mheshimiwa. Hapa kwetu Kenya ma contractor wanatuletea mpaka watu wa kazi ya mkono ambao sio mafundi chochote.Wanatupokonya ajira..PONGEZI SANA MKUU WA MKOA TABORA.
Mzee huyu Ana uchungu na watanzania kwa anayajua maisha halisi ya mtanzania na shida umaskini zinazotuandama. Hayo ndio madhara ya ufisadi uliofanywa na hao viongozi waliopita. Tumshukuru mungu kwa kutupa neema ya viongozi kama Magufuli, Agrey, Majaliwa, DOTTO BITEKO na WENGINE walio wema wapendao haki
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 English on point RC nimekukubali sana ktk swala zima la CONTRACT big up RC . TZ lets wokeup tushikane mkono tuelimishane watz kwa watz mostly investors wanawanyonya wazawa kwa sababu wengi kwanza hawa elimuu jamii ukiacha ya taaluma . Let’s be one tuisongeze nchi
HILI JEMBE LINGINE LA TANZANIA,TUWE PROUD NALO, HAKIKA ANAJUA MACHUNGU NA ANAIFANYIA KAZI NCHI YAKE,TUNASHUKURU SANA MKUU WA MKOA, TANZANIA MOJA INAWEZEKANA!
Mzee Mwanry anaelewa matatizo tunayokumbana nayo sehemu za kazi pia kajua MTUMISHI anashindwa kusema mengi machafu. Watu weupe wanatubagua sana yaani wanatufanya kana kwamba sisi ni watumwa na hatujui lolote pia wanashirkiana na vibaraka wachache weusi.
Nani kasema wanakufa njaa..?? Cha msingi wafuate sheria.. Mfanyakazi akifanya kazi zaid ya miaka mitatu aandikiwe mkataba.. Alafu hawa watu wanaroho mbaya sana huwa wanawalipa wafanyakazi wao hela ndogo sana nina rafiki yangu anafanyakaz kwa muhindi analipwa 7k per day na kazini anaingia saa moja na nusu asubuhi na kumaliza saa... 12 kamili jioni.. Ukiwa absent zaid ya 2 days anakufukuza.. Kuhusu kuendelea kwao.. Ndio wameendelea zaidi yetu .. Lkn ni miongoni mwa nchi ambazo zina maskini wengi zaidi duniani..
@@younginspired3899 kwa taarifa yako hebu Fanya tafiti Waajiri weusi wanawalipa kiasa gani cha fedha waajiriwa ambao Ni weusi wenzao. Utabaini wanawalipa robo tatu ya hiyo fedha ambayo mhindi anamlipa mfanyakazi wake tena mweusi. Mfano mzuri Ni mahouse tuliyowaajiri fuatilia Ni kiasi gani sisi weusi tunawalipa . Tatizo sisi hatujiangalii tunabaki kuwasimanga watu basi tu kwasababu tuna Ngozi tofauti na wao. Huyu rafiki yako analipwa hela nzuri tu tena sana. Kuna watu wanahangiaka toka asubuhi hadi giza linaingia unakuta hata buku hana mfukoni.
Rafik yangu anafanya kaz garrage analipwa hicho kiasi.. Na isitoshe bado kula ni juu yake na nauli yakwenda na kurudi.. Sasa nakushangaa unavyosema habari za ubaguzi wa rangi.. Unaona kunarelation hapo.... Kaz za ndani na hiyo ya garrage.. As a mattet of fact.. Mfanyakaz wa ndani halipi.. Nauli.. Kula anakula free.. Na akiugua anatibiwa na mwajiri wake.. Wanapokosea waambiwe.. Hakuna ubaguzi wa rangi hapa wala nn juz juz rafiki yangu alipata ajali kwenye hiyo kampuni fedha za matibabu ni juu yake kwa shilingi elfu saba unadhani kuna haki hapo kwelii.. Bado niko kwenye point yangu wahindi waache roho mbaya.. Na wanapokesea lazima waambiwe regardless to the colour of their skin let us not worship them.
@@younginspired3899 gereji zote zinazomilikiwa na watu weusi wanalipa kiasi cha 4k kwa siku. Hapo ukute Ndiyo kafanya nzito kweli. Siku zingine wanatoka bilabila Kama Hakuna Kazi. Ndiyo maana nasema Kabla ya kuwanyooshea kidole watu wengine angalia vidole vingapi tena Vya kwako we mwenyewe vinakuelekea. Kama huyu mwenzako anaona pale maslahi hakuna si akatafute Kazi Pahala pengine? For what reason unaumiza Kichwa.
Tz nzima wahindi huwa hawatowi mikataba ya kazi wanaogopa sababu wanazuruma saana uksema wanakufukuza Kali, wao wanalpana vzuri namshukuru mkuu kwa kuliona hli
Yaani huyu kiongoz yuko sawa.. Wakuu wa mikoa wengine wajifunze piaa kupitia huyu na Makonda Kwa kweli sisi waafrica tunabaguliwa sana. Ipo siku tutajua ukweli who are we?
Mimi sijawahi kusikia Mkuu wa Mkoa anaenda kwenye makampuni na kuongelea maswala ya mikataba huyu wa kwanza anafaa kuonwa kwa jicho la pili ni mzalendo wa Kweli, Kama unabisha jikune!! Habari imekwisha.
Kuna mtu anabisha? Hakuna! Habari imekwisha!!!! Labda ufafanuzi.......😁😁😁😁😁😁😁 I love so much Mkuu wa mkoa wa Tabora!
Hana masifa unaona kabisa kuwa anafanya kitu kilicho-ndani ya damu yake sio maigizo wala nini! Ni maisha yake halisi yaani ["nashauri tu"] ni bora kila kiongozi aishi kama huyu mzee maana haigizi bali ni hivyo ndivyo alivyo!!!!!
1.NI MAGUFULI
2.NI HUYU MKUU WA MKOA
Yaani hawana hata chembe ya maigizo duh!
I did not not know that we have such heroes who can defend fellow Tanzanians. Amazingly sweet.
Hahahahahahaha, say yes!!!
Safi sana Mzee wetu washenzi hao wamezoea kudhulumu sana haki zetu na kuona sisi ni watumwa na hatuna haki shukrani sana kwa kuelimisha wanyonge juu ya haki zao tumenyaswa kiasi cha kutosha.
Niliwahi kucoment katika moja ya clip zilizopita za huyu Mzee Mwanri na leo narudia tena yale maneno yangu, watu huwa wanamchukulia poa huyu mzee na kumwona kama mchekeshaji kutokana na misemo yake lakini ukifuatilia vizuri Mzee anafanya kazi adimu sana za kusaidia jamii. Kwangu mimi kwa sasa ndiye mkuu wa mkoa bora hapa Tanzania.
Huyu ndo kiongoz bora c bora kingoz kma unabisha inamana unapingana na mm
Upo sahihi aise, huyu mzee ni Moto
@@hamzarumela1784 👍
kwer njoo na mahoterin
Uko sawa kabisa Tony touch. Uko right maana msema ukweli ni mpenz wa mungu huyu mzee sio mchekeshaji wanaosema anachekesha watafakari vizuri ili waweze kuchukua hatua. Mwanry ni zawadi ya Rais kwa wanatabora pia kumjua mungu peke yake ni HEKMA isiyomfano.
😂😂huyu baba kwa kweli ni moto salute 🙌🙌 mroto wa watapata tabu sana siku hizi asikiki 😂
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥habari imekwishA "say yes""twende sawa like kama zote ..
Kuna mtu anabisha, big up sana 💪💪
Mwendo wakijesh
RC: Mkandarasi you understand a bit of kiswahili say yes
Mkandarasi: Yes
Lakin nasema where is mkataba now 😂🙌
Uuuuwiii niachieni jamsni mbavu zangu
Boanerge 🤣🤣🤣🤣🤣huyu mzee anatupa sana raha
anajua sana mbona
Hahahaaaaa, Yaani
It's so funny, but he's really doing something good...
Best Regional comissioner i have ever seen. period
best ever
This fella RC is soo patriotic. .this is what our leaders should do always i mean to defend the interests of our fellow Tanzanians...shout out to you big fella RC Mwanri
Uyu anafaa kuwa basata mbona diamond na kiba Wangefanya kolabo bila kupenda😀😀😀
Said Hamisi 😁😁😁kmamae wewe
Mzee kichwa sanaaa
Hahahahaaa
Umetisha hahaha
yan sas wew ndo umenifanya nicheke zaid
Hiiii nimeipendaaa aiseeeee where is mkataba
Huyu RC anakingereza kizuri sana, he is smart
hakuna mjadala labda Maelezo 😂😂 na kuniuliza ni sawa unapingana na Mimi say yes 😂😂
You're so patriot man.
I like the way you work to save Tanzanians especially people from tabora. I think the rest of RC should imitate him
Kuna mtu anabisha...? Hakuna habari imeixha😂😂
Wakomeshe wahindi hao ndio tabia ya RC hahahahahaha😂🤣
Mtapata tabu sanaaa
My dear people watu ni watu tu usiseme wakomeshwe wahindi hao that itakua like ubaguzi what the RC done is better but it’s not easy even kwa Tanzanian investors wakenda some around of the word juror that mkatba do don’t say wakomeshwe is not good
aliyeskia nyimbo ya #mesen #selekta____#kinanda like hapa twend sawa!!!😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂
Weka like apa "say yes"
I like the way he speaks with conviction I think more politicians should speak English hawajui tu jinsi watakavyo chukuliwa serious
Daah! I want to be this type of a leader!
I don't understand swahili language but this man nimempenda buree uko sawa baba wanyooshe
I dont understand any single word of swahili ila hata mimi huyu RC namuelewa mno. Kuna mtu ananibishia kuwa cjui kiswahili? Kuna mtu anabisha? Kama yupo ajifanye kama anajikuna tu. IMEKWISHA HIYO.
Hawa mabozo wematuzoea, kutufanya watumwa mpaka nchini kwetu.Mbona wakuu wengine wa serikali humu Africa hawawambii ukweli wao vile anavofanya huyu Mheshimiwa. Hapa kwetu Kenya ma contractor wanatuletea mpaka watu wa kazi ya mkono ambao sio mafundi chochote.Wanatupokonya ajira..PONGEZI SANA MKUU WA MKOA TABORA.
Hatar sana huyo mkuu
Where is mkataba now
What's wrong with that?
CHRIS D online 😎
Ni nouma
Wahindi ndo walivyo, ukifnya kazi nao hawakupi mkataba, wanapenda kutunyanyasa sana wapuumbavu.. Safi sana
Mzee huyu Ana uchungu na watanzania kwa anayajua maisha halisi ya mtanzania na shida umaskini zinazotuandama. Hayo ndio madhara ya ufisadi uliofanywa na hao viongozi waliopita. Tumshukuru mungu kwa kutupa neema ya viongozi kama Magufuli, Agrey, Majaliwa, DOTTO BITEKO na WENGINE walio wema wapendao haki
Hahaha say yes. Where is mkataba now😁😁👏👏👏👏
where is mkataba now ...?? utawanyoosha mzee 😂😂
We ndo mkuu wa. Mkoa, wala bashite hakusogelei hata kwa mbali. We ni mtu adimu sana, kazi na mfumo wako wa kazi ni adimu sana.
Big up.
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 English on point RC nimekukubali sana ktk swala zima la CONTRACT big up RC . TZ lets wokeup tushikane mkono tuelimishane watz kwa watz mostly investors wanawanyonya wazawa kwa sababu wengi kwanza hawa elimuu jamii ukiacha ya taaluma . Let’s be one tuisongeze nchi
ukiuliza swali unapingana na mweshimiwa .noma sanaa
safi mkuu. kazi nzuri
Heheheheh kuna mtu anabisha heheheh safi sana mzee kazi nzuri ..heheheheh say yes heheh yes....nice job JPM rooting kazi nzuri
Hongera RC Mwanri!!!
Safi sana mzeee watu kama hawa ni wakorof nchi yetu watutawale wao
Engineer somaa hiyoooo, kama unabisha nyoosha mkono,jifanye kama unajikuna uone kitakachotokea
rc tabora umefanya kitu cha maaana kweli hapo maaana hao wahindi wanazarau kweli mungu akusaidie sana
Sawa kabisa mzee Mwanri
Hhhhhhhh habari imekwisha... jifanye kama unajikuna uone
Habari imekwisha.ha ha ha ha ha,safi sana. Ukiniuliza swali maana yake unapingana na mimi.
The best Regional Commissional
Mungu akuweke baba, habar imekwisha nani anabisha
Hyu mzee n mzalendo ukweli,
Ukiuliza swali umepingana na mm habar imekwisha 😂😂
Habari Imemwisha Anaebisha afany anajikuna
HILI JEMBE LINGINE LA TANZANIA,TUWE PROUD NALO, HAKIKA ANAJUA MACHUNGU NA ANAIFANYIA KAZI NCHI YAKE,TUNASHUKURU SANA MKUU WA MKOA, TANZANIA MOJA INAWEZEKANA!
Ningekuwa mshauri wa rais ningemshauri amteue awe waziri kitengo fulani hivi dah maana kazi anaweza
Mh nakuaminiya sana africa is that way ukiongeya what’s right unafukuziwa job
yeye ajifanye tu anajikuna aone mbilinge mbilinge zako baba
Kandarasi you understand Swahili, say yes. Hahahaaaaa,, mzee Mwanri wewe ni kiongozi kwakweli dah
This is my Government, viva Magufuli
Mzee Mwanry anaelewa matatizo tunayokumbana nayo sehemu za kazi pia kajua MTUMISHI anashindwa kusema mengi machafu. Watu weupe wanatubagua sana yaani wanatufanya kana kwamba sisi ni watumwa na hatujui lolote pia wanashirkiana na vibaraka wachache weusi.
Safi Sana naelewa unachofanya
Wahindi kaz mnayo mwaka huu.. Habari imekwisha..😂😂😂
Usifikiri wahindi wanakufa njaa Kama sisi. Nenda India uone jinsi Wenzetu walivyoendelea.
Nani kasema wanakufa njaa..?? Cha msingi wafuate sheria.. Mfanyakazi akifanya kazi zaid ya miaka mitatu aandikiwe mkataba..
Alafu hawa watu wanaroho mbaya sana huwa wanawalipa wafanyakazi wao hela ndogo sana nina rafiki yangu anafanyakaz kwa muhindi analipwa 7k per day na kazini anaingia saa moja na nusu asubuhi na kumaliza saa... 12 kamili jioni.. Ukiwa absent zaid ya 2 days anakufukuza..
Kuhusu kuendelea kwao.. Ndio wameendelea zaidi yetu .. Lkn ni miongoni mwa nchi ambazo zina maskini wengi zaidi duniani..
@@younginspired3899 kwa taarifa yako hebu Fanya tafiti Waajiri weusi wanawalipa kiasa gani cha fedha waajiriwa ambao Ni weusi wenzao. Utabaini wanawalipa robo tatu ya hiyo fedha ambayo mhindi anamlipa mfanyakazi wake tena mweusi. Mfano mzuri Ni mahouse tuliyowaajiri fuatilia Ni kiasi gani sisi weusi tunawalipa . Tatizo sisi hatujiangalii tunabaki kuwasimanga watu basi tu kwasababu tuna Ngozi tofauti na wao. Huyu rafiki yako analipwa hela nzuri tu tena sana. Kuna watu wanahangiaka toka asubuhi hadi giza linaingia unakuta hata buku hana mfukoni.
Rafik yangu anafanya kaz garrage analipwa hicho kiasi.. Na isitoshe bado kula ni juu yake na nauli yakwenda na kurudi..
Sasa nakushangaa unavyosema habari za ubaguzi wa rangi.. Unaona kunarelation hapo.... Kaz za ndani na hiyo ya garrage.. As a mattet of fact.. Mfanyakaz wa ndani halipi.. Nauli.. Kula anakula free.. Na akiugua anatibiwa na mwajiri wake..
Wanapokosea waambiwe.. Hakuna ubaguzi wa rangi hapa wala nn juz juz rafiki yangu alipata ajali kwenye hiyo kampuni fedha za matibabu ni juu yake kwa shilingi elfu saba unadhani kuna haki hapo kwelii..
Bado niko kwenye point yangu wahindi waache roho mbaya.. Na wanapokesea lazima waambiwe regardless to the colour of their skin let us not worship them.
@@younginspired3899 gereji zote zinazomilikiwa na watu weusi wanalipa kiasi cha 4k kwa siku. Hapo ukute Ndiyo kafanya nzito kweli. Siku zingine wanatoka bilabila Kama Hakuna Kazi. Ndiyo maana nasema Kabla ya kuwanyooshea kidole watu wengine angalia vidole vingapi tena Vya kwako we mwenyewe vinakuelekea. Kama huyu mwenzako anaona pale maslahi hakuna si akatafute Kazi Pahala pengine? For what reason unaumiza Kichwa.
mungu akupe miaka mia mzee wetu
Mzeeee nakuelewa sana nakuona mbali sana baadae it's so gud
H ah ahahaha safi sana hon Mwandi Agrey.
safi sana Mh.
hahahaha habari ime kwisha ...twende
where is mkatabaa...pita na like yk hap
🤣🤣🤣🤣 namkubali sana sana huyu kiongozi 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
They dont have MKATABA😆😅😅
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Say yes..#Tanzania is the best
Jamaa analazimishwa kusema yes. Na hajui ni ya nini 😂😂
Kwa kweli mzee japo tunafurahia lkn mzee unachapa kazi
Huyu bwana Mungu amuinue! Anasalimia kila mtu!
Haya sooooma hiyo.....big up
saf sanaaa wako weng mkuu pita kweny makampun meng apo tabota wahind hawatoii mikatabaaa
Na weusi Wenzetu. Hao mnawachuliaje?
wap hao hat kam n weuc watanzaniaa wote watoee mikatabaaaaa
Ukiuliza swali ujue unapingana na mimi say yes😀😀😀
Habari imeisha, say yes, nani anabisha?
Mtanzaniahalisi 2910 hahahaha
@@johariramadhan2196 😂
Say yes! and you are going to deal with that..... Mwanri bhana ni shiida sana.
Asante mkuu
Tz nzima wahindi huwa hawatowi mikataba ya kazi wanaogopa sababu wanazuruma saana uksema wanakufukuza Kali, wao wanalpana vzuri namshukuru mkuu kwa kuliona hli
Waoooo kochambe
Mzee katoa point sana keep it up
Salut mkuu wa Tabora👏👏👏
Say yes
RC wangu ✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu jmaa uyu kiingereza chake banaa ..... 😃
Eddy Menas camoon u Tanzanian what's wrong with someone's English flow
Ushaangalia american movie nyie
Ubaguzi hauishii kwenye nyama tu🤣😂😂
Kuna mtu anabisha.
Big up mjomba...
mzee yuko vzur "" NANI ANABISHA?""HAKUNA!!!!
love this guy
Where is mkataba now 🤣🤣🤣🤣🤣
Well done
Namkubali
Hahaha sukuma ndani luga gongano ni noma kweli
Laiti ingekua wakuu wa mkoa wote wapo kama huyu mzee bac kila mtanzania angekua na maisha mazuri
Hahahaaaa Habari imekwisha ukiuliza swali unapingana na Mimi."Say yes"
Yaani huyu kiongoz yuko sawa.. Wakuu wa mikoa wengine wajifunze piaa kupitia huyu na Makonda
Kwa kweli sisi waafrica tunabaguliwa sana.
Ipo siku tutajua ukweli who are we?
Habari imekwisha hakuna mjadala labda maelezo, kama unaswali maana yake unapingana na mm!!!!!!,
Shikamo English 😁😁
Good
"I know you and me😂😂"
Safi sana
habar imekwisha hakuna mjadala ukiuliza swali unapingana na mm nakukubali sn mzee baba upo sawa sn
Hongerasana muheshimwa
say YES
Ila anaongea point sana
Saf sana mkuu wa mkoa
Habar imekwisha ukibisha maana yake unapingana na mm labda ufafanuzi hhhhh gonga like kwa mkuu wa mkoa Tabora
Mimi sijawahi kusikia Mkuu wa Mkoa anaenda kwenye makampuni na kuongelea maswala ya mikataba huyu wa kwanza anafaa kuonwa kwa jicho la pili ni mzalendo wa Kweli, Kama unabisha jikune!! Habari imekwisha.