RC MWANRI AMVAA MHINDI KISA WAFANYAKAZI "WHERE IS MIKATABA NOW, BISHA UONE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 256

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +27

    Kuna mtu anabisha? Hakuna! Habari imekwisha!!!! Labda ufafanuzi.......😁😁😁😁😁😁😁 I love so much Mkuu wa mkoa wa Tabora!
    Hana masifa unaona kabisa kuwa anafanya kitu kilicho-ndani ya damu yake sio maigizo wala nini! Ni maisha yake halisi yaani ["nashauri tu"] ni bora kila kiongozi aishi kama huyu mzee maana haigizi bali ni hivyo ndivyo alivyo!!!!!
    1.NI MAGUFULI
    2.NI HUYU MKUU WA MKOA
    Yaani hawana hata chembe ya maigizo duh!

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 5 лет назад +26

    I did not not know that we have such heroes who can defend fellow Tanzanians. Amazingly sweet.

  • @bukuruhamissan6595
    @bukuruhamissan6595 5 лет назад +9

    Safi sana Mzee wetu washenzi hao wamezoea kudhulumu sana haki zetu na kuona sisi ni watumwa na hatuna haki shukrani sana kwa kuelimisha wanyonge juu ya haki zao tumenyaswa kiasi cha kutosha.

  • @tonytouch3016
    @tonytouch3016 5 лет назад +58

    Niliwahi kucoment katika moja ya clip zilizopita za huyu Mzee Mwanri na leo narudia tena yale maneno yangu, watu huwa wanamchukulia poa huyu mzee na kumwona kama mchekeshaji kutokana na misemo yake lakini ukifuatilia vizuri Mzee anafanya kazi adimu sana za kusaidia jamii. Kwangu mimi kwa sasa ndiye mkuu wa mkoa bora hapa Tanzania.

    • @dorissharon1455
      @dorissharon1455 5 лет назад +3

      Huyu ndo kiongoz bora c bora kingoz kma unabisha inamana unapingana na mm

    • @hamzarumela1784
      @hamzarumela1784 5 лет назад +1

      Upo sahihi aise, huyu mzee ni Moto

    • @tonytouch3016
      @tonytouch3016 5 лет назад +1

      @@hamzarumela1784 👍

    • @siwemamussa5670
      @siwemamussa5670 5 лет назад +2

      kwer njoo na mahoterin

    • @allyenock7602
      @allyenock7602 5 лет назад +1

      Uko sawa kabisa Tony touch. Uko right maana msema ukweli ni mpenz wa mungu huyu mzee sio mchekeshaji wanaosema anachekesha watafakari vizuri ili waweze kuchukua hatua. Mwanry ni zawadi ya Rais kwa wanatabora pia kumjua mungu peke yake ni HEKMA isiyomfano.

  • @leviathaleopord9134
    @leviathaleopord9134 5 лет назад +16

    😂😂huyu baba kwa kweli ni moto salute 🙌🙌 mroto wa watapata tabu sana siku hizi asikiki 😂

  • @msafitvmsafitv3506
    @msafitvmsafitv3506 5 лет назад +63

    😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥habari imekwishA "say yes""twende sawa like kama zote ..

  • @OneBrotherMwendi
    @OneBrotherMwendi 5 лет назад +24

    RC: Mkandarasi you understand a bit of kiswahili say yes
    Mkandarasi: Yes
    Lakin nasema where is mkataba now 😂🙌

  • @jameshaule5460
    @jameshaule5460 5 лет назад +14

    Best Regional comissioner i have ever seen. period

  • @joerosay
    @joerosay 5 лет назад +1

    This fella RC is soo patriotic. .this is what our leaders should do always i mean to defend the interests of our fellow Tanzanians...shout out to you big fella RC Mwanri

  • @saidhamisi3550
    @saidhamisi3550 5 лет назад +34

    Uyu anafaa kuwa basata mbona diamond na kiba Wangefanya kolabo bila kupenda😀😀😀

  • @athamsonmkoma6374
    @athamsonmkoma6374 5 лет назад +8

    Hiiii nimeipendaaa aiseeeee where is mkataba

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 5 лет назад +2

    Huyu RC anakingereza kizuri sana, he is smart

  • @ramadhanially8249
    @ramadhanially8249 5 лет назад +7

    hakuna mjadala labda Maelezo 😂😂 na kuniuliza ni sawa unapingana na Mimi say yes 😂😂

  • @ernestkaria5938
    @ernestkaria5938 5 лет назад +2

    You're so patriot man.
    I like the way you work to save Tanzanians especially people from tabora. I think the rest of RC should imitate him

  • @ssentongoally6335
    @ssentongoally6335 5 лет назад +20

    Kuna mtu anabisha...? Hakuna habari imeixha😂😂

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 5 лет назад +26

    Wakomeshe wahindi hao ndio tabia ya RC hahahahahaha😂🤣

    • @lucasywami7712
      @lucasywami7712 5 лет назад +1

      Mtapata tabu sanaaa

    • @sahiyaalliy5598
      @sahiyaalliy5598 5 лет назад

      My dear people watu ni watu tu usiseme wakomeshwe wahindi hao that itakua like ubaguzi what the RC done is better but it’s not easy even kwa Tanzanian investors wakenda some around of the word juror that mkatba do don’t say wakomeshwe is not good

  • @sheddyalson7144
    @sheddyalson7144 5 лет назад +7

    aliyeskia nyimbo ya #mesen #selekta____#kinanda like hapa twend sawa!!!😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂

  • @rashidharid6896
    @rashidharid6896 5 лет назад +11

    Weka like apa "say yes"

  • @KingHenry88
    @KingHenry88 5 лет назад +1

    I like the way he speaks with conviction I think more politicians should speak English hawajui tu jinsi watakavyo chukuliwa serious

  • @j-lisheonline
    @j-lisheonline 5 лет назад +5

    Daah! I want to be this type of a leader!

  • @sayeednamaryam7677
    @sayeednamaryam7677 5 лет назад +2

    I don't understand swahili language but this man nimempenda buree uko sawa baba wanyooshe

    • @dgt6303
      @dgt6303 4 года назад

      I dont understand any single word of swahili ila hata mimi huyu RC namuelewa mno. Kuna mtu ananibishia kuwa cjui kiswahili? Kuna mtu anabisha? Kama yupo ajifanye kama anajikuna tu. IMEKWISHA HIYO.

  • @petersakariwakube8215
    @petersakariwakube8215 5 лет назад +10

    Hawa mabozo wematuzoea, kutufanya watumwa mpaka nchini kwetu.Mbona wakuu wengine wa serikali humu Africa hawawambii ukweli wao vile anavofanya huyu Mheshimiwa. Hapa kwetu Kenya ma contractor wanatuletea mpaka watu wa kazi ya mkono ambao sio mafundi chochote.Wanatupokonya ajira..PONGEZI SANA MKUU WA MKOA TABORA.

  • @chrisdonline6748
    @chrisdonline6748 5 лет назад +53

    Where is mkataba now

  • @meronstudioz
    @meronstudioz 5 лет назад +2

    Wahindi ndo walivyo, ukifnya kazi nao hawakupi mkataba, wanapenda kutunyanyasa sana wapuumbavu.. Safi sana

  • @allyenock7602
    @allyenock7602 5 лет назад +1

    Mzee huyu Ana uchungu na watanzania kwa anayajua maisha halisi ya mtanzania na shida umaskini zinazotuandama. Hayo ndio madhara ya ufisadi uliofanywa na hao viongozi waliopita. Tumshukuru mungu kwa kutupa neema ya viongozi kama Magufuli, Agrey, Majaliwa, DOTTO BITEKO na WENGINE walio wema wapendao haki

  • @asegelilemwambapa5976
    @asegelilemwambapa5976 5 лет назад +2

    Hahaha say yes. Where is mkataba now😁😁👏👏👏👏

  • @ssentongoally6335
    @ssentongoally6335 5 лет назад +13

    where is mkataba now ...?? utawanyoosha mzee 😂😂

  • @kamboarheritage461
    @kamboarheritage461 5 лет назад

    We ndo mkuu wa. Mkoa, wala bashite hakusogelei hata kwa mbali. We ni mtu adimu sana, kazi na mfumo wako wa kazi ni adimu sana.
    Big up.

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 5 лет назад +1

    😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 English on point RC nimekukubali sana ktk swala zima la CONTRACT big up RC . TZ lets wokeup tushikane mkono tuelimishane watz kwa watz mostly investors wanawanyonya wazawa kwa sababu wengi kwanza hawa elimuu jamii ukiacha ya taaluma . Let’s be one tuisongeze nchi

  • @godotaru7088
    @godotaru7088 5 лет назад +2

    ukiuliza swali unapingana na mweshimiwa .noma sanaa

  • @anyitikemwakasege8840
    @anyitikemwakasege8840 5 лет назад

    safi mkuu. kazi nzuri

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 5 лет назад

    Heheheheh kuna mtu anabisha heheheh safi sana mzee kazi nzuri ..heheheheh say yes heheh yes....nice job JPM rooting kazi nzuri

  • @joanithamwaudama9928
    @joanithamwaudama9928 5 лет назад

    Hongera RC Mwanri!!!

  • @tumaionlinetv8934
    @tumaionlinetv8934 4 года назад

    Safi sana mzeee watu kama hawa ni wakorof nchi yetu watutawale wao

  • @andrewizdory4486
    @andrewizdory4486 5 лет назад

    Engineer somaa hiyoooo, kama unabisha nyoosha mkono,jifanye kama unajikuna uone kitakachotokea

  • @ndebilemathias7115
    @ndebilemathias7115 5 лет назад

    rc tabora umefanya kitu cha maaana kweli hapo maaana hao wahindi wanazarau kweli mungu akusaidie sana

  • @mercykileo7987
    @mercykileo7987 3 года назад

    Sawa kabisa mzee Mwanri

  • @athumanially7823
    @athumanially7823 5 лет назад +7

    Hhhhhhhh habari imekwisha... jifanye kama unajikuna uone

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 5 лет назад

    Habari imekwisha.ha ha ha ha ha,safi sana. Ukiniuliza swali maana yake unapingana na mimi.

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 5 лет назад

    The best Regional Commissional

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu5623 5 лет назад

    Mungu akuweke baba, habar imekwisha nani anabisha

  • @ibnabou1886
    @ibnabou1886 5 лет назад +2

    Hyu mzee n mzalendo ukweli,
    Ukiuliza swali umepingana na mm habar imekwisha 😂😂

  • @ibratanzania1328
    @ibratanzania1328 5 лет назад

    Habari Imemwisha Anaebisha afany anajikuna

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 5 лет назад

    HILI JEMBE LINGINE LA TANZANIA,TUWE PROUD NALO, HAKIKA ANAJUA MACHUNGU NA ANAIFANYIA KAZI NCHI YAKE,TUNASHUKURU SANA MKUU WA MKOA, TANZANIA MOJA INAWEZEKANA!

  • @neemakawonga644
    @neemakawonga644 5 лет назад

    Ningekuwa mshauri wa rais ningemshauri amteue awe waziri kitengo fulani hivi dah maana kazi anaweza

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 5 лет назад

    Mh nakuaminiya sana africa is that way ukiongeya what’s right unafukuziwa job

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 5 лет назад +5

    yeye ajifanye tu anajikuna aone mbilinge mbilinge zako baba

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 5 лет назад +1

    Kandarasi you understand Swahili, say yes. Hahahaaaaa,, mzee Mwanri wewe ni kiongozi kwakweli dah

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 5 лет назад +1

    This is my Government, viva Magufuli

  • @allyenock7602
    @allyenock7602 5 лет назад

    Mzee Mwanry anaelewa matatizo tunayokumbana nayo sehemu za kazi pia kajua MTUMISHI anashindwa kusema mengi machafu. Watu weupe wanatubagua sana yaani wanatufanya kana kwamba sisi ni watumwa na hatujui lolote pia wanashirkiana na vibaraka wachache weusi.

  • @nuruhabdul5307
    @nuruhabdul5307 5 лет назад

    Safi Sana naelewa unachofanya

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 5 лет назад +11

    Wahindi kaz mnayo mwaka huu.. Habari imekwisha..😂😂😂

    • @AK-ho2lb
      @AK-ho2lb 5 лет назад

      Usifikiri wahindi wanakufa njaa Kama sisi. Nenda India uone jinsi Wenzetu walivyoendelea.

    • @younginspired3899
      @younginspired3899 5 лет назад +2

      Nani kasema wanakufa njaa..?? Cha msingi wafuate sheria.. Mfanyakazi akifanya kazi zaid ya miaka mitatu aandikiwe mkataba..
      Alafu hawa watu wanaroho mbaya sana huwa wanawalipa wafanyakazi wao hela ndogo sana nina rafiki yangu anafanyakaz kwa muhindi analipwa 7k per day na kazini anaingia saa moja na nusu asubuhi na kumaliza saa... 12 kamili jioni.. Ukiwa absent zaid ya 2 days anakufukuza..
      Kuhusu kuendelea kwao.. Ndio wameendelea zaidi yetu .. Lkn ni miongoni mwa nchi ambazo zina maskini wengi zaidi duniani..

    • @AK-ho2lb
      @AK-ho2lb 5 лет назад

      @@younginspired3899 kwa taarifa yako hebu Fanya tafiti Waajiri weusi wanawalipa kiasa gani cha fedha waajiriwa ambao Ni weusi wenzao. Utabaini wanawalipa robo tatu ya hiyo fedha ambayo mhindi anamlipa mfanyakazi wake tena mweusi. Mfano mzuri Ni mahouse tuliyowaajiri fuatilia Ni kiasi gani sisi weusi tunawalipa . Tatizo sisi hatujiangalii tunabaki kuwasimanga watu basi tu kwasababu tuna Ngozi tofauti na wao. Huyu rafiki yako analipwa hela nzuri tu tena sana. Kuna watu wanahangiaka toka asubuhi hadi giza linaingia unakuta hata buku hana mfukoni.

    • @younginspired3899
      @younginspired3899 5 лет назад

      Rafik yangu anafanya kaz garrage analipwa hicho kiasi.. Na isitoshe bado kula ni juu yake na nauli yakwenda na kurudi..
      Sasa nakushangaa unavyosema habari za ubaguzi wa rangi.. Unaona kunarelation hapo.... Kaz za ndani na hiyo ya garrage.. As a mattet of fact.. Mfanyakaz wa ndani halipi.. Nauli.. Kula anakula free.. Na akiugua anatibiwa na mwajiri wake..
      Wanapokosea waambiwe.. Hakuna ubaguzi wa rangi hapa wala nn juz juz rafiki yangu alipata ajali kwenye hiyo kampuni fedha za matibabu ni juu yake kwa shilingi elfu saba unadhani kuna haki hapo kwelii..
      Bado niko kwenye point yangu wahindi waache roho mbaya.. Na wanapokesea lazima waambiwe regardless to the colour of their skin let us not worship them.

    • @AK-ho2lb
      @AK-ho2lb 5 лет назад

      @@younginspired3899 gereji zote zinazomilikiwa na watu weusi wanalipa kiasi cha 4k kwa siku. Hapo ukute Ndiyo kafanya nzito kweli. Siku zingine wanatoka bilabila Kama Hakuna Kazi. Ndiyo maana nasema Kabla ya kuwanyooshea kidole watu wengine angalia vidole vingapi tena Vya kwako we mwenyewe vinakuelekea. Kama huyu mwenzako anaona pale maslahi hakuna si akatafute Kazi Pahala pengine? For what reason unaumiza Kichwa.

  • @cameroonsekeye1013
    @cameroonsekeye1013 5 лет назад

    mungu akupe miaka mia mzee wetu

  • @hamzaseleman5604
    @hamzaseleman5604 5 лет назад

    Mzeeee nakuelewa sana nakuona mbali sana baadae it's so gud

  • @josephmmbando6220
    @josephmmbando6220 5 лет назад

    H ah ahahaha safi sana hon Mwandi Agrey.

  • @felistakalindima8239
    @felistakalindima8239 5 лет назад

    safi sana Mh.

  • @chandewaleo3853
    @chandewaleo3853 5 лет назад +8

    hahahaha habari ime kwisha ...twende

  • @wakushainwakingai5665
    @wakushainwakingai5665 5 лет назад

    where is mkatabaa...pita na like yk hap

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod9185 5 лет назад

    🤣🤣🤣🤣 namkubali sana sana huyu kiongozi 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @Millidady
    @Millidady 5 лет назад +7

    They dont have MKATABA😆😅😅

    • @aishasaid5702
      @aishasaid5702 5 лет назад +1

      Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 5 лет назад

    Say yes..#Tanzania is the best

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 5 лет назад +1

    Jamaa analazimishwa kusema yes. Na hajui ni ya nini 😂😂

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 5 лет назад

    Kwa kweli mzee japo tunafurahia lkn mzee unachapa kazi

  • @taxifytest8041
    @taxifytest8041 5 лет назад

    Huyu bwana Mungu amuinue! Anasalimia kila mtu!

  • @joycesichone6516
    @joycesichone6516 5 лет назад

    Haya sooooma hiyo.....big up

  • @innocentlomayani857
    @innocentlomayani857 5 лет назад +5

    saf sanaaa wako weng mkuu pita kweny makampun meng apo tabota wahind hawatoii mikatabaaa

    • @AK-ho2lb
      @AK-ho2lb 5 лет назад

      Na weusi Wenzetu. Hao mnawachuliaje?

    • @innocentlomayani857
      @innocentlomayani857 5 лет назад

      wap hao hat kam n weuc watanzaniaa wote watoee mikatabaaaaa

  • @castokasekenya467
    @castokasekenya467 5 лет назад

    Ukiuliza swali ujue unapingana na mimi say yes😀😀😀

  • @greensky9607
    @greensky9607 5 лет назад +7

    Habari imeisha, say yes, nani anabisha?

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 5 лет назад

    Say yes! and you are going to deal with that..... Mwanri bhana ni shiida sana.

  • @mwesigwajames9864
    @mwesigwajames9864 5 лет назад

    Asante mkuu

  • @mashimbazephania5775
    @mashimbazephania5775 5 лет назад

    Tz nzima wahindi huwa hawatowi mikataba ya kazi wanaogopa sababu wanazuruma saana uksema wanakufukuza Kali, wao wanalpana vzuri namshukuru mkuu kwa kuliona hli

  • @leahasengah4257
    @leahasengah4257 5 лет назад

    Waoooo kochambe

  • @jacksonanold4292
    @jacksonanold4292 5 лет назад

    Mzee katoa point sana keep it up

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 5 лет назад

    Salut mkuu wa Tabora👏👏👏

  • @aboubacarfitbae1661
    @aboubacarfitbae1661 5 лет назад +4

    Say yes

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu4561 5 лет назад

    RC wangu ✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eddymenas
    @eddymenas 5 лет назад +2

    Uyu jmaa uyu kiingereza chake banaa ..... 😃

    • @emmanueljohn5162
      @emmanueljohn5162 5 лет назад

      Eddy Menas camoon u Tanzanian what's wrong with someone's English flow
      Ushaangalia american movie nyie

  • @Chillaxingpics
    @Chillaxingpics 5 лет назад +4

    Ubaguzi hauishii kwenye nyama tu🤣😂😂

  • @magrethkawa4841
    @magrethkawa4841 5 лет назад

    Big up mjomba...

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад

    mzee yuko vzur "" NANI ANABISHA?""HAKUNA!!!!

  • @ndebilemathias7115
    @ndebilemathias7115 5 лет назад

    love this guy

  • @thadeoevod
    @thadeoevod 5 лет назад +2

    Where is mkataba now 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mkali4real112
    @mkali4real112 5 лет назад

    Well done

  • @alexjeremia7686
    @alexjeremia7686 5 лет назад

    Namkubali

  • @baparma3051
    @baparma3051 5 лет назад

    Hahaha sukuma ndani luga gongano ni noma kweli

  • @danielmelayeki6041
    @danielmelayeki6041 5 лет назад

    Laiti ingekua wakuu wa mkoa wote wapo kama huyu mzee bac kila mtanzania angekua na maisha mazuri

  • @masaluje9679
    @masaluje9679 5 лет назад

    Hahahaaaa Habari imekwisha ukiuliza swali unapingana na Mimi."Say yes"

  • @gitu4me
    @gitu4me 5 лет назад

    Yaani huyu kiongoz yuko sawa.. Wakuu wa mikoa wengine wajifunze piaa kupitia huyu na Makonda
    Kwa kweli sisi waafrica tunabaguliwa sana.
    Ipo siku tutajua ukweli who are we?

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 5 лет назад

    Habari imekwisha hakuna mjadala labda maelezo, kama unaswali maana yake unapingana na mm!!!!!!,

  • @luteking
    @luteking 5 лет назад +4

    Shikamo English 😁😁

  • @saralema9353
    @saralema9353 5 лет назад

    Good

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 5 лет назад +2

    "I know you and me😂😂"

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 5 лет назад +1

    Safi sana

  • @bacentb188
    @bacentb188 5 лет назад

    habar imekwisha hakuna mjadala ukiuliza swali unapingana na mm nakukubali sn mzee baba upo sawa sn

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 лет назад

    Hongerasana muheshimwa

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr5035 5 лет назад +1

    say YES

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 5 лет назад

    Ila anaongea point sana

  • @bashirkijoji3437
    @bashirkijoji3437 5 лет назад

    Saf sana mkuu wa mkoa

  • @abuumo9637
    @abuumo9637 5 лет назад

    Habar imekwisha ukibisha maana yake unapingana na mm labda ufafanuzi hhhhh gonga like kwa mkuu wa mkoa Tabora

  • @kennedymbani8885
    @kennedymbani8885 5 лет назад

    Mimi sijawahi kusikia Mkuu wa Mkoa anaenda kwenye makampuni na kuongelea maswala ya mikataba huyu wa kwanza anafaa kuonwa kwa jicho la pili ni mzalendo wa Kweli, Kama unabisha jikune!! Habari imekwisha.