Hongera snaRc ninauhakika jembe letu Rais hakukosea nakuombea kwa miaka ya baadaye Rais akuachie ikulu ninauhakika utaienfesha nchi yetu vizur wallah nakuombea dua
Shikamoo muheshimiwa hahahahaha et weeeeeee....! Nisubirin mm niondoke ndio mkajifungie humo ndan umande kurumbana nas mbele yangu 😂😂😂😂😂wallah inauzi hatar pesa iko kaz haiend yote hiyo wanataka kujibabaisha waibe ama wagawane gawane mambo yaishe zamu hii mtachemka aisee
Yes. Uongozi ndo huu. Sauti ya zege, hukomesha wezi. Rais hakukosea hapa, namba ya kazi. Mzee wa Toronto, "keep it up".Unanikoshaga saaana. Hadi rahaaa.
Katoa majibu mazuri huyu mzee kuhusu vifaa vilivyobaki peleka kwenye miradi mingine si almashauri hiyo hiyo nataka kazi iishe hapa angekuwa mwingine angehamisha mjadala kwenda kwenye kwanini vilibaki na hapo mnunuzi hawezi kuitwa mzembe sio sahihi, yeye ananunua kufuatana na mahitaji ya mtumiaji mwenyewe hatakiwi kuongeza wala hapunguzi ni jukumu la mtumiaji kuagiza kufuatana na mahitaji yake
Huyu mzee sijawah kusikia kakosolew na rais
Baada ya magu hiki chuma cha pua kizame ikulu...
Aliye mwona jamaaa anashangaa wakati mama anaongea kuhusu vifaa kukaa stoo gonga like twende sawa.
Hawa ndiyo viongozi walikuwa wanatakiwa awamu ya sita, mama wanatuiibia sana hawa ulio wachagua
Safiiiiiiiiiiiii sanaaaaa😎😎😎😎😎sura yambuzi tabasam lakenge
Sukuma ndanii ..... Mzee nakukubali snaa
Huyu jamaa ,ni mchapa kazi sana ,mungu ampe maisha marefu .
😀😀😀😀
Mzee wa Toronto full respect
Hehehe!!.. nikikuta mlango haupo na wew haupo!!..
Nakupenda sana RC MWENRI WE NI JEMBE HAKIKA MH RAIS HAJAKOSOSEA KUTEUWA
ROLE MODE YA UONGOZI UNAOTAKIWA KWA HUDUMA YA WANANCHI
Safi sana
Kuna huyu na makonda na ally happi haaa jamaa ni kiboko 👍👍
Kibooo baba mkali mnoo nakupa urais akii vilee hahahaah mtazabwa vibao😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera snaRc ninauhakika jembe letu Rais hakukosea nakuombea kwa miaka ya baadaye Rais akuachie ikulu ninauhakika utaienfesha nchi yetu vizur wallah nakuombea dua
Mama mwenyewe mawani uko vizur
Kabisaa. Anaweza uyo
Hawa ndy akina ally hapi wazalendo
Huu ndio uongozi wa magufuli ni mzuri,Sana tunatakiwa kuongozwa hivii
Agrey Mwanri
Hapendi mizaha kwenye mambo ya kijamii
Kuna mtu ana sema no
ivi uyu mzee anakula kadansee?? Lkn ii gvt inatak watu ka hawa
Anakula ulaka huyu mzee mwenzangu
Shikamoo muheshimiwa hahahahaha et weeeeeee....! Nisubirin mm niondoke ndio mkajifungie humo ndan umande kurumbana nas mbele yangu 😂😂😂😂😂wallah inauzi hatar pesa iko kaz haiend yote hiyo wanataka kujibabaisha waibe ama wagawane gawane mambo yaishe zamu hii mtachemka aisee
Njoo Moro kunavlaza wengi
No comment aisee njoo Kilimanjaro aisee na kuelewa sana mzee wa hapa tutafika tuu
Kaka gombea ata uraisi
Yes. Uongozi ndo huu. Sauti ya zege, hukomesha wezi. Rais hakukosea hapa, namba ya kazi. Mzee wa Toronto, "keep it up".Unanikoshaga saaana. Hadi rahaaa.
Hahahahahahah. ....hayo yote ni ili maendeleo yapatikane
Hahahahahaha miye hoooooiii
Katoa majibu mazuri huyu mzee kuhusu vifaa vilivyobaki peleka kwenye miradi mingine si almashauri hiyo hiyo nataka kazi iishe hapa angekuwa mwingine angehamisha mjadala kwenda kwenye kwanini vilibaki na hapo mnunuzi hawezi kuitwa mzembe sio sahihi, yeye ananunua kufuatana na mahitaji ya mtumiaji mwenyewe hatakiwi kuongeza wala hapunguzi ni jukumu la mtumiaji kuagiza kufuatana na mahitaji yake
Kama naicheki muvi ya idiamini vile ivi mzee ambaye anaambiwa aache ngonjela na kufokewa kwenye camera anaitwa umri gani vile?
Uyu mama wa miwani ana mume kweli? Anaongea sana sijui kama anamsikiza mumewe
Mzee wa sukuma ndani fanya kazi
Njoo dar tukupokee kwa mikono miwiliiiii!!;;
Heeee... against what AM say. .full stop. Nitakugongaa 😂😂😂😂
JPM effect, Mungu ibariki Tanzania
Kamata sukuma ndani
Tuletee Dar
Mkuu wa mkoa huyu kiboko yako well come to njombe
😂😂😂😂😂
4:52 😮😮😮
Huyu afaa aje kua mkuu wa mkoa hapa dar
Nzuri
Mambo ni 🔥 🔥
Nikija jikikuta mlango haipo na wewe haopo!!!
Daaah viongoz km hawa Adim sanaa
wanawake wanajifanya namidomo domo bhana
Nimekukubali mkuu
Toronto...
Mzee wa kuwasukuma ndani
Mh
Safisana kazituu fukuza....watu wengimtaani wanataka kazi
Huyu mzee namuona 2025 mwezi wa 12 IKULU akilihutubia Bunge la tanzania 🇹🇿
😁😁😁😁 unachekesha wewee
Watanzania ili waende ndio wanahitaji mwendo Kama huu🤣🤣🤣
Kabisa
Magufuli ukimaliza mda wako mwajie ichii huyu mweshimiwa
true
We need leaders like this mzee baba chapa kazii
Nakukubali weee wacha iyo
Full stop😁😁
Nikija nikikuta mlango haupo na we haupo..😂😂😂😂
Nakukubali sana mwanli
Wewe nikiboko yao babora
...LEO MMEIKANYAGA....KAZI MNAYO....!
nc
Huyu Baba hatari
Daaah huyu mwamba hajawai kosea
Unampa urahisi Rais ubalikiwe Sana kamata sukuma ndani
Nani Amemuona Mpiga picha Anaogopa halafu Anajikakmua Kuendelea kupiga Picha😂😂
Sw mkuuu
Noma sanaaaaaaa💪💪💪
Jeeeeembeeee.....
Sukuma ndani
Asee we baba mapeleke Hao wajue kazi zao
Kiongozi wa ukweli namkubali sana.
😂😂😂😂😍
Eeeeeeee!! Wacha iyooooo?!!!!?
Vvp
Hahahahaaa DMO You come to the world
Mtaelewa tu awamu,ya jp
We kiongozi mzee kelele za nini? Hujuamini au? Very strange!
huyu anatakiwa awe waziri wa ujenzi! au aje Dar apanyooshe. mitaro yote itapigwa deki