RC MWANRI akasirishwa, Nusu apige mtu vibao: Sitaki kusikia mtu akinipinga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 85

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +20

    Huyu mzee sijawah kusikia kakosolew na rais

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 года назад +5

    Baada ya magu hiki chuma cha pua kizame ikulu...

  • @jacobmbogella6630
    @jacobmbogella6630 4 года назад +8

    Aliye mwona jamaaa anashangaa wakati mama anaongea kuhusu vifaa kukaa stoo gonga like twende sawa.

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 8 месяцев назад +2

    Hawa ndiyo viongozi walikuwa wanatakiwa awamu ya sita, mama wanatuiibia sana hawa ulio wachagua

  • @mwanahawabakari718
    @mwanahawabakari718 2 года назад +2

    Safiiiiiiiiiiiii sanaaaaa😎😎😎😎😎sura yambuzi tabasam lakenge

  • @robertsangawe4607
    @robertsangawe4607 4 года назад +11

    Sukuma ndanii ..... Mzee nakukubali snaa

    • @shabanmohamed1545
      @shabanmohamed1545 4 года назад

      Huyu jamaa ,ni mchapa kazi sana ,mungu ampe maisha marefu .

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 года назад +1

    😀😀😀😀

  • @numbeshabani9981
    @numbeshabani9981 4 года назад +6

    Mzee wa Toronto full respect

  • @athanacnicholauc7613
    @athanacnicholauc7613 4 года назад +2

    Hehehe!!.. nikikuta mlango haupo na wew haupo!!..

  • @zakayokambainei5963
    @zakayokambainei5963 4 года назад +7

    Nakupenda sana RC MWENRI WE NI JEMBE HAKIKA MH RAIS HAJAKOSOSEA KUTEUWA
    ROLE MODE YA UONGOZI UNAOTAKIWA KWA HUDUMA YA WANANCHI

  • @AthanasGabriel-j9p
    @AthanasGabriel-j9p 3 месяца назад

    Kuna huyu na makonda na ally happi haaa jamaa ni kiboko 👍👍

  • @cecymaro1374
    @cecymaro1374 4 года назад +2

    Kibooo baba mkali mnoo nakupa urais akii vilee hahahaah mtazabwa vibao😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @womenmuungano881
    @womenmuungano881 4 года назад +2

    Hongera snaRc ninauhakika jembe letu Rais hakukosea nakuombea kwa miaka ya baadaye Rais akuachie ikulu ninauhakika utaienfesha nchi yetu vizur wallah nakuombea dua

  • @hemedimahenya693
    @hemedimahenya693 4 года назад +5

    Mama mwenyewe mawani uko vizur

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад

    Hawa ndy akina ally hapi wazalendo

  • @mwanahawabakari718
    @mwanahawabakari718 2 года назад +1

    Huu ndio uongozi wa magufuli ni mzuri,Sana tunatakiwa kuongozwa hivii

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад +3

    Agrey Mwanri
    Hapendi mizaha kwenye mambo ya kijamii

  • @tundalusamla
    @tundalusamla Год назад

    Kuna mtu ana sema no

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 4 года назад +5

    ivi uyu mzee anakula kadansee?? Lkn ii gvt inatak watu ka hawa

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 года назад +4

    Shikamoo muheshimiwa hahahahaha et weeeeeee....! Nisubirin mm niondoke ndio mkajifungie humo ndan umande kurumbana nas mbele yangu 😂😂😂😂😂wallah inauzi hatar pesa iko kaz haiend yote hiyo wanataka kujibabaisha waibe ama wagawane gawane mambo yaishe zamu hii mtachemka aisee

  • @nemecymsanya3191
    @nemecymsanya3191 4 года назад +1

    No comment aisee njoo Kilimanjaro aisee na kuelewa sana mzee wa hapa tutafika tuu

  • @EmmanuelTemba-c7q
    @EmmanuelTemba-c7q 2 месяца назад

    Kaka gombea ata uraisi

  • @fnnyanda5993
    @fnnyanda5993 4 года назад +1

    Yes. Uongozi ndo huu. Sauti ya zege, hukomesha wezi. Rais hakukosea hapa, namba ya kazi. Mzee wa Toronto, "keep it up".Unanikoshaga saaana. Hadi rahaaa.

  • @msirikalecharles8103
    @msirikalecharles8103 4 года назад +2

    Hahahahahahah. ....hayo yote ni ili maendeleo yapatikane

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 4 года назад +3

    Hahahahahaha miye hoooooiii

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 3 года назад

    Katoa majibu mazuri huyu mzee kuhusu vifaa vilivyobaki peleka kwenye miradi mingine si almashauri hiyo hiyo nataka kazi iishe hapa angekuwa mwingine angehamisha mjadala kwenda kwenye kwanini vilibaki na hapo mnunuzi hawezi kuitwa mzembe sio sahihi, yeye ananunua kufuatana na mahitaji ya mtumiaji mwenyewe hatakiwi kuongeza wala hapunguzi ni jukumu la mtumiaji kuagiza kufuatana na mahitaji yake

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 4 года назад

    Kama naicheki muvi ya idiamini vile ivi mzee ambaye anaambiwa aache ngonjela na kufokewa kwenye camera anaitwa umri gani vile?

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed694 4 года назад +1

    Uyu mama wa miwani ana mume kweli? Anaongea sana sijui kama anamsikiza mumewe

  • @Splkevin8026
    @Splkevin8026 4 года назад +2

    Mzee wa sukuma ndani fanya kazi

  • @gabriel87567
    @gabriel87567 4 года назад +1

    Njoo dar tukupokee kwa mikono miwiliiiii!!;;

  • @harunilibangite7205
    @harunilibangite7205 4 года назад

    Heeee... against what AM say. .full stop. Nitakugongaa 😂😂😂😂

  • @felicianamutakyahwa1549
    @felicianamutakyahwa1549 4 года назад +1

    JPM effect, Mungu ibariki Tanzania

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 4 года назад +4

    Kamata sukuma ndani

  • @tuntulusekelo4191
    @tuntulusekelo4191 4 года назад +1

    Tuletee Dar

  • @israelmhada923
    @israelmhada923 3 года назад

    Mkuu wa mkoa huyu kiboko yako well come to njombe

  • @StanleySendalo
    @StanleySendalo 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @KamsiniAizack
    @KamsiniAizack 2 месяца назад

    4:52 😮😮😮

  • @masoudmullah1329
    @masoudmullah1329 4 года назад +1

    Huyu afaa aje kua mkuu wa mkoa hapa dar

  • @elisantemolly9365
    @elisantemolly9365 4 года назад +2

    Nzuri

  • @yonakisarangata7700
    @yonakisarangata7700 4 года назад +3

    Mambo ni 🔥 🔥

  • @majaaliwajuma5512
    @majaaliwajuma5512 4 года назад

    Nikija jikikuta mlango haipo na wewe haopo!!!

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад

    Daaah viongoz km hawa Adim sanaa

  • @fahimally3923
    @fahimally3923 3 года назад

    wanawake wanajifanya namidomo domo bhana

  • @zaitunimikidadi5328
    @zaitunimikidadi5328 2 года назад

    Nimekukubali mkuu

  • @babukongwee7186
    @babukongwee7186 3 года назад

    Toronto...

  • @isayakalafya5865
    @isayakalafya5865 3 года назад

    Mzee wa kuwasukuma ndani

  • @yohanamsabila4653
    @yohanamsabila4653 4 года назад

    Mh

  • @musaselemani6091
    @musaselemani6091 4 года назад

    Safisana kazituu fukuza....watu wengimtaani wanataka kazi

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 4 года назад +3

    Huyu mzee namuona 2025 mwezi wa 12 IKULU akilihutubia Bunge la tanzania 🇹🇿

    • @seifali4783
      @seifali4783 4 года назад

      😁😁😁😁 unachekesha wewee

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 3 года назад

    Watanzania ili waende ndio wanahitaji mwendo Kama huu🤣🤣🤣

  • @yudamarico5073
    @yudamarico5073 4 года назад +4

    Magufuli ukimaliza mda wako mwajie ichii huyu mweshimiwa

  • @michaelndahani1218
    @michaelndahani1218 4 года назад +5

    We need leaders like this mzee baba chapa kazii

  • @wistonmlomo631
    @wistonmlomo631 4 года назад +1

    Nakukubali weee wacha iyo

  • @brotherm8312
    @brotherm8312 3 года назад

    Full stop😁😁

  • @dianaamon9844
    @dianaamon9844 4 года назад +3

    Nikija nikikuta mlango haupo na we haupo..😂😂😂😂

  • @ambwenemwakaleli5980
    @ambwenemwakaleli5980 4 года назад

    Nakukubali sana mwanli

  • @hasanrobert6328
    @hasanrobert6328 4 года назад

    Wewe nikiboko yao babora

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 года назад

    ...LEO MMEIKANYAGA....KAZI MNAYO....!

  • @bashirymbisa5183
    @bashirymbisa5183 4 года назад

    nc

  • @johnjacob9587
    @johnjacob9587 4 года назад

    Huyu Baba hatari

  • @rayjay7017
    @rayjay7017 4 года назад

    Daaah huyu mwamba hajawai kosea

  • @rjkadelo6315
    @rjkadelo6315 4 года назад +7

    Unampa urahisi Rais ubalikiwe Sana kamata sukuma ndani

  • @alqaasim_a_tz2412
    @alqaasim_a_tz2412 4 года назад +1

    Nani Amemuona Mpiga picha Anaogopa halafu Anajikakmua Kuendelea kupiga Picha😂😂

  • @keiyalaitayo8326
    @keiyalaitayo8326 4 года назад

    Sw mkuuu

  • @jamesluciano5199
    @jamesluciano5199 3 года назад

    Noma sanaaaaaaa💪💪💪

  • @gabriel87567
    @gabriel87567 4 года назад

    Jeeeeembeeee.....

  • @blasiusmwanandenje9068
    @blasiusmwanandenje9068 4 года назад

    Sukuma ndani

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 4 года назад

    Asee we baba mapeleke Hao wajue kazi zao

  • @dicksonchambo1896
    @dicksonchambo1896 4 года назад +1

    Kiongozi wa ukweli namkubali sana.

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 4 года назад

    😂😂😂😂😍

  • @majaaliwajuma5512
    @majaaliwajuma5512 4 года назад

    Eeeeeeee!! Wacha iyooooo?!!!!?

  • @rutakihama3523
    @rutakihama3523 4 года назад +1

    Hahahahaaa DMO You come to the world

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 4 года назад +1

    We kiongozi mzee kelele za nini? Hujuamini au? Very strange!

    • @lemalisumuley864
      @lemalisumuley864 4 года назад

      huyu anatakiwa awe waziri wa ujenzi! au aje Dar apanyooshe. mitaro yote itapigwa deki