Aggrey Mwanri atakumbukwa kwa haya…
HTML-код
- Опубликовано: 2 июл 2020
- Mmoja wa wastaafu ambao wameorodheshwa katika taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, ambaye kwa kiwango kikubwa pamoja na utendaji wake watu wengi watamkumbuka kwa haya.
#AzamTVUpdates #AggreyMwanri
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Kuna hii" Engineer soma hio" kama unaukubali msemo huu gonga like hapa tujuane
Namkubari sana uyu pia namkumbuka sana
Saaaana
Mimi mkenya na hufatafata saana tenda kazi ya hawa majamaa wakuu wa mikoa TZ. Napenda sana jinsi wanavyo tatua migogoro ya wananchi. Wapi Happi wa iringa?
kama yule wa mombasa?
Tabitha ilipata mkuubwa Mia anauestahili kabisa, kama siyo umri na kustaafu Mzee mwanri alikuwa anapiga kazi vzr sana. Nina Imani Insha'Allah muheshimiwa Raisi anaweza akampa kazi nyingne kwa utendaji wake mzuri japokuwa amestaafu ili kuleta maendeleo zaidi.
Come on meeeeeen...kweli hujapwaya rc..umestaafu tu
Soma hiyoooooooooo
Huyu anafaa kuwa hata waziri mkuu au hata kuwa Rais wa nchi kabisa.
Noma xanh
Aaahhaah
Mzee wa Toronto tutakumbuka
Nimeumia sana kuona huyu mzee kastaafu. 😭😭😭😭 sema ndoivo. Umri ndo kigezo
Nazani anarudi tena kwenye ulingo wa siasa
@@mzeewajambo8293 nitafurai akirudi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Daaaaaa my president plz mpe wizara nyingine plz for 2 years more??
Kweli ampe wizara
Bila shaka anarudi kwenye ulingo wa siasa
mimi ningekuwa rais ningeteua wengi sanaaa wenyemsimamo wa, mwanuri wangesukuma sana maendeleo,
Hv mzee huyu yuko wapi
😂😂😂😂😂😂😂😎😂😂soma iyo👏👏👏👏👏👏👏👏
Inginiya soma iyo
😁😁😁 mnanichukuliaje nimepwayapwaya San'a
htr sana ani!
Wapi
Mh
L
SsLelm