Aggrey Mwanri atakumbukwa kwa haya…

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июл 2020
  • Mmoja wa wastaafu ambao wameorodheshwa katika taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri, ambaye kwa kiwango kikubwa pamoja na utendaji wake watu wengi watamkumbuka kwa haya.
    #AzamTVUpdates #AggreyMwanri
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Комментарии • 31

  • @adamabdallah6021
    @adamabdallah6021 4 года назад +12

    Kuna hii" Engineer soma hio" kama unaukubali msemo huu gonga like hapa tujuane

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc 4 месяца назад

    Namkubari sana uyu pia namkumbuka sana

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 4 года назад +3

    Saaaana

  • @stevek8318
    @stevek8318 4 года назад +1

    Mimi mkenya na hufatafata saana tenda kazi ya hawa majamaa wakuu wa mikoa TZ. Napenda sana jinsi wanavyo tatua migogoro ya wananchi. Wapi Happi wa iringa?

  • @adammusa6739
    @adammusa6739 4 года назад

    Tabitha ilipata mkuubwa Mia anauestahili kabisa, kama siyo umri na kustaafu Mzee mwanri alikuwa anapiga kazi vzr sana. Nina Imani Insha'Allah muheshimiwa Raisi anaweza akampa kazi nyingne kwa utendaji wake mzuri japokuwa amestaafu ili kuleta maendeleo zaidi.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад

    Come on meeeeeen...kweli hujapwaya rc..umestaafu tu

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 4 года назад +1

    Soma hiyoooooooooo

  • @mwidinijuma8214
    @mwidinijuma8214 2 года назад

    Huyu anafaa kuwa hata waziri mkuu au hata kuwa Rais wa nchi kabisa.

  • @tumsiphkweka2028
    @tumsiphkweka2028 4 года назад

    Noma xanh

  • @abasisaadivevo4688
    @abasisaadivevo4688 4 года назад +2

    Aaahhaah

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 4 года назад

    Nimeumia sana kuona huyu mzee kastaafu. 😭😭😭😭 sema ndoivo. Umri ndo kigezo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @theosaimon6933
    @theosaimon6933 4 года назад

    Daaaaaa my president plz mpe wizara nyingine plz for 2 years more??

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 4 года назад

    Bila shaka anarudi kwenye ulingo wa siasa

  • @gervaswmigayo386
    @gervaswmigayo386 2 года назад

    mimi ningekuwa rais ningeteua wengi sanaaa wenyemsimamo wa, mwanuri wangesukuma sana maendeleo,

  • @fikiriniramadhani78
    @fikiriniramadhani78 2 года назад

    Hv mzee huyu yuko wapi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😎😂😂soma iyo👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 года назад

    Inginiya soma iyo

  • @fancebtz1071
    @fancebtz1071 4 года назад +1

    😁😁😁 mnanichukuliaje nimepwayapwaya San'a

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад

    Wapi

  • @aishaharuna4118
    @aishaharuna4118 3 года назад

    Mh

  • @enockkaswaga6460
    @enockkaswaga6460 2 года назад

    L

  • @enerybenedkt1119
    @enerybenedkt1119 3 года назад

    SsLelm