MBELE ya AGGREY MWANRI, Dkt MAGUFULI afunguka - ''NILIKATA JINA LAKE, NITAMPA KAZI NYINGINE''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • MBELE ya AGGREY MWANRI, Dkt MAGUFULI afunguka - ''NILIKATA JINA LAKE, NITAMPA KAZI NYINGINE''
    MGOMBEA Urais (CCM) Dkt John Magufuli, amefanya mkutano wa kampeni katika mkoani Kilimanjaro, kuomba kura kwa wananchi ili waweze kumpa tena miaka mitano ya kuwa Rais wa Tanzania...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 58

  • @sayyid8291
    @sayyid8291 3 года назад +23

    Rais John Pombe Magufuli yani vile ulivo ipeleka Tanzania juu yani inafa ww uwe Rais wa Africa,❤From St Gallen Switzerland

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 3 года назад

      Na wewe uje kuwa rais wa dunia...pendekeza jambo lililo salama hata kuungwa mkono

    • @felixmhando7071
      @felixmhando7071 3 года назад

      Wahenga walisema "Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza". # Ijue nchi yako vzr.

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 3 года назад

      Kabisaaa kabisaaa

  • @subirapaul8127
    @subirapaul8127 3 года назад +15

    Nakubali JPM

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 года назад +11

    Msema kweliiiiiiii....
    Mpenzi wa Munguuuu....

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 3 года назад +1

      Hakika huyo Mbingu anayo kaitumikia nchi kwa ukweli na haki wachache hawatambui

  • @jokeableking7039
    @jokeableking7039 3 года назад +26

    Wangapi tunamkubali Jpm kwa kazi yake ya hapa kazi tu ...je anaitendea haki sera yake au la
    Comments plz
    👇👇

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 3 года назад +10

    Nakubaliii mkuu

  • @issayamwingila2236
    @issayamwingila2236 3 года назад +22

    Jpm mludishe mwanli wetu tabora jamaa anapiga kazi uyo

    • @issayamshana3750
      @issayamshana3750 3 года назад +1

      Mnataka aje apite na ninyi jumla Jumla sio.....??

    • @selector728
      @selector728 3 года назад

      siyo mludishe sema mrudishe,alafu pia siyo mwanli sema mwanri

    • @radhiambwana8787
      @radhiambwana8787 3 года назад

      Mwanir apewe kazi kwakwel watz tunamkubal sana

    • @mr.kamtoi5817
      @mr.kamtoi5817 3 года назад

      Sio tabora ni Toronto

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +10

    Nakupa kura yangu na familia yangu kura zote ni zako

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +10

    NAKUPENDA SANA RAIS WANGU MCHAPA KAZI WALA HAUJAWAHI KUNIANGUSHA TOKA NAKUJUA UKIWA WAZIRI...SISAHAU YALE MABOT ULIYOYARUSHA MBELE YANGU ILI YAFUNGULIWE YASIJE KUHARIBU BALABALA

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 года назад +19

    HUYU NDO RAIS,HANA HAJA YA KUFICHA FICHA..

  • @eutropiamachera1602
    @eutropiamachera1602 3 года назад +7

    Raisi Raisi Raisi... Magu Raisi wa Tz.. mitano tena

  • @mbecheterombeche3375
    @mbecheterombeche3375 3 года назад +16

    Tukiacha ushabiki huyu jamaa anapiga kazi....

    • @stevehiraly9127
      @stevehiraly9127 3 года назад

      Kazi gan kapiga??????????

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 3 года назад

      Saana tunaona ila wavivu hawataki lakini ameshapita anahangaikia Wabunge tuu

    • @mbecheterombeche3375
      @mbecheterombeche3375 3 года назад

      @@stevehiraly9127 kama kweli umetembea Tz ndy utafahamu nin kagany

    • @goodlucky8532
      @goodlucky8532 3 года назад

      @@stevehiraly9127 ttzo we mama ako kakufcha baba ako mzaz humjui so uwez jua kaz anazopiga JPM

    • @stevehiraly9127
      @stevehiraly9127 3 года назад

      @@goodlucky8532 So matus ya nn brother.. mie nmekutukana??

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад +13

    Mpe kazi mwanri hajazeeka bado

  • @mariusmuthiani7455
    @mariusmuthiani7455 3 года назад +1

    From Kenya I support the appointment of RC Mwanri to any administrative post ...ni mchapa kazi Yule wa kweli

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад +10

    Mwanri anafaa ukuu wa mkoa. Apelekwe Arusha akamalize bangi

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 года назад +2

    Rais wetu wa Tanzania yetu ni Yeye John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye Rais wetu wa Tanzania

  • @godsonlaizer1988
    @godsonlaizer1988 3 года назад +3

    Mpeleke awe mkuu wa mkoa wa dsm au waziri msaidizi wa jafo

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 3 года назад +7

    Magufuli jembe

  • @salimalaquimane2640
    @salimalaquimane2640 3 года назад +5

    Baba mrudishe na makonda

  • @monicadaniel9418
    @monicadaniel9418 3 года назад

    Mg

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +2

    Hahaha bao la kisigino

  • @nestor384
    @nestor384 3 года назад

    Bonge la kiongozi Mwanri

  • @trophainamagogwa9991
    @trophainamagogwa9991 3 года назад

    Mwanri subiri tuu inakuja kazi yako ya kufanya woow mpigie kampeni. Saasaa

  • @catherinemraishe3264
    @catherinemraishe3264 3 года назад +1

    Hili ni jembe la ratwo
    Hana mpinzani
    Mungu Yehova atamlinda kwa kila hatua apitayo
    Mimi namwita Daud mchunga kondoo
    Aliyeteuliwa na Mungu Yehova
    JPM juuuuuuuuuuuu
    Usisahau Makonda baba
    Mtoto akinyea mkono huukati
    Kuna mazuri aliyofanya

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 3 года назад

    Nilikata jina mimi

  • @beduelmaldy4449
    @beduelmaldy4449 3 года назад

    kwani ye ndiye hukata?

  • @makusanyanungnungu1123
    @makusanyanungnungu1123 3 года назад

    Nimekupata Mkuu

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 3 года назад

    Miaka mitano ilopit vp

  • @paschalkassonta9737
    @paschalkassonta9737 3 года назад

    Tunamuomba huyo Mzee Tabora

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 года назад +2

    Hhhhhhhhh kama mlishindwa kuleta maendeleo miaka mitano iliyopita na ilikuwa ni ccm maneno tu

    • @khatibkhatib2249
      @khatibkhatib2249 3 года назад +1

      Koma weww

    • @jacklinegeorge5220
      @jacklinegeorge5220 3 года назад

      Chz kweli ww

    • @nicethamanonga5855
      @nicethamanonga5855 3 года назад

      Manyumby wamefanya nn.

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 3 года назад

      Ngoja utaletewa sufuria na unga ndo ujue ni maendeleo.

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 3 года назад +1

      @@joramkimario2666 unajua ni kama unashindwa kufikiria nini ujibu simaanishi kuwa unaletewa maendeleo nyumbani APN pili simlaum magu Bali wabunge na madiwani ndiy hawajui nini wanatakiwa kufanya

  • @makusanyanungnungu1123
    @makusanyanungnungu1123 3 года назад

    Tuletee Mwanri kwetu Tabora

  • @eutropiamachera1602
    @eutropiamachera1602 3 года назад +6

    Raisi Raisi Raisi... Magu Raisi wa Tz.. mitano tena