SURA ZA KUTISHA, MAKOMANDOO, SNIPER WAKIINGIA MBELE YA RAIS SAMIA WENGINE WAKINING'INIA JUU YA GARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 144

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 14 дней назад +24

    Wanaotufanya tuishi kwa amani .tunaishi na familia zetu kwa amani .ni kulipa kodi stahiki na tuwe makomando sisi vilevile.
    Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa

  • @masensethethird
    @masensethethird 14 дней назад +16

    NANI KAKUDANGANYA KUBEBA MAGOGO NDO UIMARA WA JESHI

    • @J4UPro
      @J4UPro 14 дней назад +4

      Watu huwa hamuachi kupinga kwani ukipitatu unashida.

    • @ashamkesa979
      @ashamkesa979 14 дней назад

      Watu kama hawa hawapendi tuna Amani

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 14 дней назад +1

      Kaka amna kitu wanajeshi wapo 🇨🇩

    • @alphoncewilliam4325
      @alphoncewilliam4325 14 дней назад

      Pole

    • @ellyjeremia9401
      @ellyjeremia9401 14 дней назад

      @@ashamkesa979 ukibeba magogo ndio unaleta amani

  • @adnanrashid9326
    @adnanrashid9326 14 дней назад +7

    Wamba wameona sasa wasionyeshe sura zao isije yakawakuta yale ya sinema za muuza madagu😂

  • @ellyjeremia9401
    @ellyjeremia9401 14 дней назад +7

    Tanzania bwana Dunia ya leo unabeba magogo na mask usoni eti komando wakati wenzenu wanapigana kwa technology. 😂😂😂😂😂 Hii kali

    • @MusaMkembela-ex6ev
      @MusaMkembela-ex6ev 14 дней назад +3

      Sasa hapo kka Kwan wanapigana na Nan?

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 14 дней назад +2

      Wamevaa mask wamechoka kufananishwa na wauza madafu wa ikulu.😂😂😂😂

    • @husseinmramba
      @husseinmramba 14 дней назад

      Acha mihemko na kutaka attention kama demu, vitu vyengine ukae kimya...

    • @emtonboyofficial1134
      @emtonboyofficial1134 14 дней назад

      😂😂😂😂​@@aishafrancis7714

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 14 дней назад +1

      Mbona Urusi wanasajari malaki ya wapiganaji kwenda Ukraine? Mbona Ukraine wanafanya mobilazation ya wanajeshi laki 5 wote hawa wa kazi gani? Kwanini wasitumie tech? Mbona Israel imeingiza maelfu ya wanajeshi Gaza? Kwanini wasikae nyumbani tu wakstumia tech ?

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein 13 дней назад +1

    Safi sana! Ila Jeshi lazma lijiimarishe kiteknolojia.
    sio vibaya tungeona hata Drones zikiruka kuzunguka uwanja.
    Big up sana makamanda.

  • @computerjoshua96
    @computerjoshua96 14 дней назад +4

    Mh raisi ongera kwa kazi lakin ushauri dunia imekwenda mbali sana nunua missile za kutosha za kijesh ,ndege za kisasa Kama f16 zile na mifumo ya kujilinda ya anga Kama ile ya iron dome itasaidia sana Sana #viva tanzania

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 14 дней назад

      Nchi haina hela ya kununua hizo silaha

    • @user-sm3rv6xz5w
      @user-sm3rv6xz5w 14 дней назад +1

      Mgeni akija nyumbani kwako huwa unamuonyesha kila kitu ulichonacho? Au unamuonyesha hadi mahali unapolala?Kama unafanya hivyo acha!

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 14 дней назад +1

      Hatununui silaha KUTOKA marekani hasa hizo kubwa mifumo ya ulinzi wa anga ipo na ni Moja ya mifumo ya kisasa ya Russia, sisi tunanunua silaha kubwa KUTOKA Russia na labda china, Russia ndio ana silaha bora zaidi za kijeshi kuliko, marekani na hata Ulaya fwatilia ujifunze

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 14 дней назад

      @@LORDRICKNKYA Ni mfumo upi wa anga wa kisasa wa Urusi ambao Tanzania tunautumia? Hayo yote yaliooneshwa ni masilaha ya zamani ambayo yamepitwa na wakati. Hizo silaha ziliooneshwa ni mchanganyiko wa silaha kutoka nchi mbalimbali.

    • @PatrickJulius-uy3yb
      @PatrickJulius-uy3yb 14 дней назад

      Arafu tupigane na nani

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb 14 дней назад +2

    Hamna comando ikiwa unarinda ufisadi na uonevu wa raia wako huku ni kututisha hawa makomando wawe kama Ibrahim traole.ndipo nita waelewa mipaka yetu haina jam ndio maana tuna waona ni wakakamaaavu ira naamini tanzania bado sana tena sana

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 13 дней назад

      Sio lazima uwaelewe wewe ndo wengine wawaelewe

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 12 дней назад +1

      Hata wewe hatukuelewi Kama ambavyo wewe umeshindwa kumuelewa Patrick Julius Baki na neno Ibrahim traole mzalendo was kweli sio hapa bongo wengi wachumia matumbo

  • @abhayluyindura3703
    @abhayluyindura3703 14 дней назад +1

    eeh mungu baba ibaliki Tanzania 👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦

  • @YohanaAmani-o7n
    @YohanaAmani-o7n 3 дня назад

    Mbona maasikar wetu hawana kaz tofauti nakujionyesha Kwa rais hii inatuonyesha Tz hatuna jeshi la wananchi Bali ni jeshi la rais maana halifany wajibu wake

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 14 дней назад +2

    Shida sio kubeba magogo na kuning'inia kwenye magali na helkopta. Swali ni je jeshi letu mmelianda kupambana kisasa zaidi na majeshi mbalimbali duniani kwa njia ya kiteknolojia.!?na je. Wanavifaa vya kisasa.!?Na je wananidhamu ya kutosha kwa ajili ya kupambania maslahi mapana ya nchi.!? Au ndo mnaandaa vijana kwa ajili ya kubaka na kulawiti na kuwanyima maji mabinti zetu.

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 14 дней назад

      Umefwatilia misheni za Siri zilizofanywa na jeshi letu hasa kikosi Cha makomando nje ya nchi mataifa mbalimbali???

  • @piniellaizer-t7b
    @piniellaizer-t7b 9 дней назад

    I love my country

  • @YohanaAmani-o7n
    @YohanaAmani-o7n 3 дня назад

    Tunasema tuna jeshi na wanalipwa Kodi zetu lakini hawafany wajibu wao Kila Kona wananchi wanalia na rais anavuruga jeshi lipo linaendelea kumsifia rais Kwa ajili ya tumbo Tz tungekuwa na maamuzi tungebadili mtazamo wote tumtazamie MUNGU pekee ndiye mtetez wetu siyo rais Wala jeshi hao tunaowategemea wanaenda choo kama sis hivyo hatana utofaut nao

  • @LeahMsyani
    @LeahMsyani 13 дней назад

    Safi sana Mungu awalinde walinzi wetu

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o 14 дней назад +2

    Nikiangalia majeshi ya inchi zengine nahisi bdo tizama jeshi la Senegal 🇸🇳 au Cameroon makomandoo wao wamepanda hewani yaani magiant wanabeba silaha nzito za Urusi namarekani sio sisi tunanua kwa mchina

  • @mercykaluki1969
    @mercykaluki1969 10 дней назад

    Free fall parachuting should be demonstrated by jumping not walking

  • @alicebanele1196
    @alicebanele1196 11 дней назад

    Uwiiii Mungu awatunze
    Na kuwalinda jaman

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 14 дней назад +1

    Huyu milad ayo sikuiz alishanunuliwa n serikali mana habari zake zote zimeshakuwa zakuipamba serikali

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 14 дней назад

      Anzisha tv yako, uwe unampamba baba ako. Mwambie baba ako aanzishe serikali yake.

    • @user-qr7et3vl5z
      @user-qr7et3vl5z 14 дней назад

      Sasa wewe ulitakaje

  • @LAST-y1f
    @LAST-y1f 22 часа назад

    Jubeba vitu vizito sio dili saiv magago ya nini sasa

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed4299 14 дней назад +1

    Wanajiandaa na mazoezi ya kwenda kuiba kura na kusafirisha masanduku ya kura mwakani.
    Tupo nyuma huo ndio ukweli
    Sasa watu wanaenda na tekinoligia tu. Vita za kina Rambo na Arnold hakuna tena.

    • @J4UPro
      @J4UPro 14 дней назад

      Acha uongo.
      Hebu nenda kwenye Ukraine ukaone kama wanatumia AI
      Vyote unavyovifahamu vinatumika so usibeze.
      Halafu unaushahidi wanajeshi wetu huwa wanaiba kula??
      Ukiombwa uzibitishe? unaweza?

    • @hatimmohamed4299
      @hatimmohamed4299 14 дней назад

      @@J4UPro ushahidi mbona upo tu mwingi?
      Subiri mwakani uone, Wacha ushabiki la kweli lisemwe

  • @petronyereresaliboko4047
    @petronyereresaliboko4047 14 дней назад

    Kwa ufupi big up tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 14 дней назад

    Hawa ndo askari ❤

  • @kafulirahillaryhabel6728
    @kafulirahillaryhabel6728 14 дней назад +2

    Wewe unaebeza haya, vita ikiinuka utasimama mstari wa mbele kuipigania nchi?. Ninyi sio raia wa Tz, nendeni kwenu bwana

    • @eng.makolal1367
      @eng.makolal1367 14 дней назад

      Nawe nenda kwenu kenge wewe!

    • @J4UPro
      @J4UPro 14 дней назад

      Watu sijui uelewa mdogo!
      Yaani wao sijui wanataka waonyeshe kila kitu 😂😂😂😂

  • @estonhaule9253
    @estonhaule9253 13 дней назад

    Sehemu nyingine wanaonesha innovation of new weapons nk. Sisi 😢

  • @emilbocco5895
    @emilbocco5895 13 дней назад

    Watu wamesahahu kwamba wale magaidi wa kibiti wameikimbia tz na kuingia Mozambique na wanaendelea kuwapa tabu huko sasa kwanini walikimbia tz?

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 14 дней назад

    Kitu mnakosea ni kutokujali raia na haki zao ayoyote nisawa na bule kama bado mnatenda maasi utekaji na ubakaji wa raia hv Mungu anaweza kuluhusu na mkapigwa na nchi isiyo na sirahaa yoyote😂😂

  • @duzaPoupy
    @duzaPoupy 6 дней назад

    ❤❤

  • @CaliforniaU.S.A
    @CaliforniaU.S.A 14 дней назад

    Daaaaa hawa ndomana napita nao mbali sana

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 14 дней назад

    Safi sana jeshi letu

  • @Flekahckash2004
    @Flekahckash2004 13 дней назад +1

    Hawa ndo munaita commando 😂.. kenya tunawashinda by far

    • @MichaelMayemba-pc5cp
      @MichaelMayemba-pc5cp 13 дней назад

      Are you sure?

    • @Flekahckash2004
      @Flekahckash2004 13 дней назад +1

      @@MichaelMayemba-pc5cp Kenya is currently a major non NATO ally, so it will start receiving some serious toys soon.. also it has one of the best special forces in Africa

    • @0656033716
      @0656033716 12 дней назад

      Wasomali tu waliwatoa jasho

    • @0656033716
      @0656033716 12 дней назад

      Wasomali tu waliwatoa jasho

    • @0656033716
      @0656033716 12 дней назад

      Wasomali tu waliwatoa jasho

  • @stn4873
    @stn4873 14 дней назад

    Wapiganaji bora mmekula misunjo, maana raia wangeanza kufananisha baadhi ya askari ya waduanzi wengine.

  • @twahakumona7184
    @twahakumona7184 14 дней назад +1

    Jeshi letu lipo imara, hebu tuombe vita ya kirafiki

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 14 дней назад

      Hii nchi ina vijana wa hovyo sana😅😅😅

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 14 дней назад

      ​@@ziddyziddy2524Vijana wa hii nchi walaji chips vita ganiii wanaweza?

  • @maulidubaya1642
    @maulidubaya1642 14 дней назад

    Sawa sawa hamna shido

  • @Bapfunya
    @Bapfunya 13 дней назад

    Sasa nyinyi watanzania mbona Congo hamufanye hivyo munatudanganya

  • @user-lr1sd3wq4d
    @user-lr1sd3wq4d 14 дней назад

    Mh. Napita tyu naona tunatishwa tusifanye maandamano😂😂

  • @eng.makolal1367
    @eng.makolal1367 14 дней назад +1

    Drama ni nyingi sana!

  • @AntonyMwongela-e3r
    @AntonyMwongela-e3r 2 дня назад

    Karate

  • @mwanatenah4676
    @mwanatenah4676 13 дней назад

    Haya sasa twendeni Mozambique tukamalize magaidi

  • @tipslepps7622
    @tipslepps7622 8 дней назад

    huu ni mzaha

  • @robertservas1953
    @robertservas1953 13 дней назад

    Watu wanakejel humu mnadhan hyo Amani imeshushwa tu mipakani hukk sio poa

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 14 дней назад

    Mbona wanacheza Amapiano😁😁😁???

  • @davidmazengo626
    @davidmazengo626 14 дней назад

    Awaaaaa watuuuu waoneniii tuuui ivyoo kwa tulio pita jeshini tunaelewa show zao

  • @AyubuPadiri
    @AyubuPadiri 11 дней назад

    Ajali mbalali 4/9/2024

  • @user-ep6eo5gd7e
    @user-ep6eo5gd7e 13 дней назад

    Hizi vitu hufanywa na NYS kenya

  • @MaulidLihendeko-zu4mv
    @MaulidLihendeko-zu4mv 14 дней назад

    Dunia inatumia drones na technology ya kisasa sio minguvu tena

  • @user-pe3qj2sn6n
    @user-pe3qj2sn6n 11 дней назад

    Wanakata maun

  • @Jastinejumachacha-b8r
    @Jastinejumachacha-b8r 11 дней назад

    like jeshi

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 14 дней назад

    Hakuna Lugha ya kitalam bali kwenye Lugha ya kingereza

  • @TimothyKanake-gb9ip
    @TimothyKanake-gb9ip 14 дней назад

    wengine wakionesha umbora wa silaha nyie mwaonesha utimamu wa miili!! bure kabsa

  • @BatuliGilo
    @BatuliGilo 14 дней назад

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 14 дней назад

    Badara ya kusema kua Lugha ya kwetu, utasikia kua combat boxing. Combat boxing haipo kwenye Lugha yetu ya kiswahili?

  • @mpegesaaswile6581
    @mpegesaaswile6581 14 дней назад

    Sijaona zoezi za kunishinda hapa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 14 дней назад +1

    Kubeba magogo ndo vita

    • @enocksilungwepondajr9707
      @enocksilungwepondajr9707 14 дней назад +1

      Hakuna. Unachikijua kuhusu military

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 14 дней назад

      @@enocksilungwepondajr9707 apo skuiz vita ni vya teknolojia sio ku komaa

    • @ShazilMohamedi
      @ShazilMohamedi 14 дней назад +1

      Hakuna vita unapigan ukiwa mdhaifu wa mwili lazima timamu mzee kila kitu kina faida yake na ndio unafundishwa

    • @J4UPro
      @J4UPro 14 дней назад

      Huelewi chochote juu ya jeshi

    • @CaliforniaU.S.A
      @CaliforniaU.S.A 14 дней назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @IssaAyubumzingura
    @IssaAyubumzingura 10 дней назад

    Simba

  • @ommylax7231
    @ommylax7231 14 дней назад

    Wananitamanisha tu 😅😅😅

  • @silverman6930
    @silverman6930 14 дней назад +1

    While people are using drones you guys are doing press ups 😂😂😂😂

    • @emilbocco5895
      @emilbocco5895 13 дней назад

      Drones cannot capture territory, infantry with gun will have to fight and die for territory, stop watching science fiction moves there is no easy war

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 14 дней назад

    Magogo😢😢

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 14 дней назад

    Sniper which 😬

  • @up2dateznzsecurity
    @up2dateznzsecurity 14 дней назад

    Watu wa kaziiiii

  • @DomisianPeter
    @DomisianPeter 14 дней назад +1

    Komando madafu hayupo?

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 14 дней назад

    Nunuene magari ya kijeshi kutoka uturuki wame piga hatua hamuoni majeshi ya wenzenu

  • @AndrewmngokeMngoke
    @AndrewmngokeMngoke 14 дней назад

    Mnaonyesha mbinu

  • @SuzyJohn-rd8vz
    @SuzyJohn-rd8vz 10 дней назад

    Tunataka Vita ya kirafiki nakenya

    • @waichoyagichuki4711
      @waichoyagichuki4711 10 дней назад

      Vita havina utani.
      Kama sasa hivi ukiingia Tarakea tu ukiwa Mkenya unajawa na hofu Kwa vile "wanatupenda"

    • @user-sx2oy9fg3s
      @user-sx2oy9fg3s 5 дней назад

      Mungu alaze roho yako pema peponi. Hata wakubwa wenu Uganda hawajawahifikiria kuijaribu kifo namna unaojaribu

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 14 дней назад

    Hii wap sasa!??

  • @HappyLlama-yn3ej
    @HappyLlama-yn3ej 7 дней назад

    S

  • @issaadinaniissa6487
    @issaadinaniissa6487 14 дней назад

    Hii sauti ndio ileee au basi maaana sina gadi

  • @Sitaphordi
    @Sitaphordi 11 дней назад

    Dhaaninom

  • @maadinaaasthman3848
    @maadinaaasthman3848 14 дней назад

    Haina kitu

  • @eliasaNgahehwa-l2f
    @eliasaNgahehwa-l2f 14 дней назад

    Hizo drone zeshinda vita gani

  • @mtabevilaini6527
    @mtabevilaini6527 14 дней назад

    Wajarb kupigana na M23 ili tukae utimamu wao

    • @oscargilbert8612
      @oscargilbert8612 14 дней назад

      Sisi ndio tuliwateketeza kabla hao M23 kabla hatujaondoka Congo.

    • @kevinrugenza1769
      @kevinrugenza1769 13 дней назад

      Kwahiyo m23 wameteketea?😂,JWTZ haina kitu hapa drc,wenyewe wanajua,we chunga magogo yako tu.

    • @oscargilbert8612
      @oscargilbert8612 13 дней назад

      @kevinrugenza1769 usiwe mvivu wa habari, sasa hivi wamerudi wakiwa na nguvu baada ya Miaka! Kazi hiyo ilifanyika na wakarudi . Mission ya Congo ina vitu vingi sana na kila Taifa lina kazi yake. Hata US wameteketeza Alqaeda baada ya Miaka mingi wamejiunga tena na uongozi mpya wanasumbua

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 14 дней назад

    Tunajairibu tu

  • @Jay_2010.
    @Jay_2010. 14 дней назад

    Waende kumsaidia putin sasa

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 14 дней назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🦾🦾🗿

  • @DominikiChristian
    @DominikiChristian 14 дней назад

    Tuombe ata mechi na wakongo

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 14 дней назад

      😂😂😂😂 Hamna wanaume wa kupigania,masaa mawili Congo wamechukuwa

  • @saidimgina8299
    @saidimgina8299 14 дней назад

    Tuombeni vita vya kirafiki na wakenya kupima haskari wetu

    • @airforce3343
      @airforce3343 14 дней назад

      I like iweje sasa!!! 😂? Acha siasa

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys 14 дней назад

      Kenya 🇰🇪 na Tz baba na mama ni mmoja,kupigana Tz na Somalia itaweza

  • @jamesselemani4562
    @jamesselemani4562 14 дней назад

    Hiii yote ni joto la uchaguz

  • @Eacko87
    @Eacko87 13 дней назад

    Njooo ujifunze Crypto tupige pesa chap chap

  • @HappyLlama-yn3ej
    @HappyLlama-yn3ej 7 дней назад

    S

  • @LamsonMalenga
    @LamsonMalenga 14 дней назад

    Hamna kitu