Wanaotufanya tuishi kwa amani .tunaishi na familia zetu kwa amani .ni kulipa kodi stahiki na tuwe makomando sisi vilevile. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa
Mbona Urusi wanasajari malaki ya wapiganaji kwenda Ukraine? Mbona Ukraine wanafanya mobilazation ya wanajeshi laki 5 wote hawa wa kazi gani? Kwanini wasitumie tech? Mbona Israel imeingiza maelfu ya wanajeshi Gaza? Kwanini wasikae nyumbani tu wakstumia tech ?
Mh raisi ongera kwa kazi lakin ushauri dunia imekwenda mbali sana nunua missile za kutosha za kijesh ,ndege za kisasa Kama f16 zile na mifumo ya kujilinda ya anga Kama ile ya iron dome itasaidia sana Sana #viva tanzania
Hatununui silaha KUTOKA marekani hasa hizo kubwa mifumo ya ulinzi wa anga ipo na ni Moja ya mifumo ya kisasa ya Russia, sisi tunanunua silaha kubwa KUTOKA Russia na labda china, Russia ndio ana silaha bora zaidi za kijeshi kuliko, marekani na hata Ulaya fwatilia ujifunze
@@LORDRICKNKYA Ni mfumo upi wa anga wa kisasa wa Urusi ambao Tanzania tunautumia? Hayo yote yaliooneshwa ni masilaha ya zamani ambayo yamepitwa na wakati. Hizo silaha ziliooneshwa ni mchanganyiko wa silaha kutoka nchi mbalimbali.
Hamna comando ikiwa unarinda ufisadi na uonevu wa raia wako huku ni kututisha hawa makomando wawe kama Ibrahim traole.ndipo nita waelewa mipaka yetu haina jam ndio maana tuna waona ni wakakamaaavu ira naamini tanzania bado sana tena sana
Hata wewe hatukuelewi Kama ambavyo wewe umeshindwa kumuelewa Patrick Julius Baki na neno Ibrahim traole mzalendo was kweli sio hapa bongo wengi wachumia matumbo
Mbona maasikar wetu hawana kaz tofauti nakujionyesha Kwa rais hii inatuonyesha Tz hatuna jeshi la wananchi Bali ni jeshi la rais maana halifany wajibu wake
Shida sio kubeba magogo na kuning'inia kwenye magali na helkopta. Swali ni je jeshi letu mmelianda kupambana kisasa zaidi na majeshi mbalimbali duniani kwa njia ya kiteknolojia.!?na je. Wanavifaa vya kisasa.!?Na je wananidhamu ya kutosha kwa ajili ya kupambania maslahi mapana ya nchi.!? Au ndo mnaandaa vijana kwa ajili ya kubaka na kulawiti na kuwanyima maji mabinti zetu.
Tunasema tuna jeshi na wanalipwa Kodi zetu lakini hawafany wajibu wao Kila Kona wananchi wanalia na rais anavuruga jeshi lipo linaendelea kumsifia rais Kwa ajili ya tumbo Tz tungekuwa na maamuzi tungebadili mtazamo wote tumtazamie MUNGU pekee ndiye mtetez wetu siyo rais Wala jeshi hao tunaowategemea wanaenda choo kama sis hivyo hatana utofaut nao
Nikiangalia majeshi ya inchi zengine nahisi bdo tizama jeshi la Senegal 🇸🇳 au Cameroon makomandoo wao wamepanda hewani yaani magiant wanabeba silaha nzito za Urusi namarekani sio sisi tunanua kwa mchina
Wanajiandaa na mazoezi ya kwenda kuiba kura na kusafirisha masanduku ya kura mwakani. Tupo nyuma huo ndio ukweli Sasa watu wanaenda na tekinoligia tu. Vita za kina Rambo na Arnold hakuna tena.
Acha uongo. Hebu nenda kwenye Ukraine ukaone kama wanatumia AI Vyote unavyovifahamu vinatumika so usibeze. Halafu unaushahidi wanajeshi wetu huwa wanaiba kula?? Ukiombwa uzibitishe? unaweza?
Kitu mnakosea ni kutokujali raia na haki zao ayoyote nisawa na bule kama bado mnatenda maasi utekaji na ubakaji wa raia hv Mungu anaweza kuluhusu na mkapigwa na nchi isiyo na sirahaa yoyote😂😂
@@MichaelMayemba-pc5cp Kenya is currently a major non NATO ally, so it will start receiving some serious toys soon.. also it has one of the best special forces in Africa
@kevinrugenza1769 usiwe mvivu wa habari, sasa hivi wamerudi wakiwa na nguvu baada ya Miaka! Kazi hiyo ilifanyika na wakarudi . Mission ya Congo ina vitu vingi sana na kila Taifa lina kazi yake. Hata US wameteketeza Alqaeda baada ya Miaka mingi wamejiunga tena na uongozi mpya wanasumbua
Wanaotufanya tuishi kwa amani .tunaishi na familia zetu kwa amani .ni kulipa kodi stahiki na tuwe makomando sisi vilevile.
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa
NANI KAKUDANGANYA KUBEBA MAGOGO NDO UIMARA WA JESHI
Watu huwa hamuachi kupinga kwani ukipitatu unashida.
Watu kama hawa hawapendi tuna Amani
Kaka amna kitu wanajeshi wapo 🇨🇩
Pole
@@ashamkesa979 ukibeba magogo ndio unaleta amani
Wamba wameona sasa wasionyeshe sura zao isije yakawakuta yale ya sinema za muuza madagu😂
Tanzania bwana Dunia ya leo unabeba magogo na mask usoni eti komando wakati wenzenu wanapigana kwa technology. 😂😂😂😂😂 Hii kali
Sasa hapo kka Kwan wanapigana na Nan?
Wamevaa mask wamechoka kufananishwa na wauza madafu wa ikulu.😂😂😂😂
Acha mihemko na kutaka attention kama demu, vitu vyengine ukae kimya...
😂😂😂😂@@aishafrancis7714
Mbona Urusi wanasajari malaki ya wapiganaji kwenda Ukraine? Mbona Ukraine wanafanya mobilazation ya wanajeshi laki 5 wote hawa wa kazi gani? Kwanini wasitumie tech? Mbona Israel imeingiza maelfu ya wanajeshi Gaza? Kwanini wasikae nyumbani tu wakstumia tech ?
Safi sana! Ila Jeshi lazma lijiimarishe kiteknolojia.
sio vibaya tungeona hata Drones zikiruka kuzunguka uwanja.
Big up sana makamanda.
Mh raisi ongera kwa kazi lakin ushauri dunia imekwenda mbali sana nunua missile za kutosha za kijesh ,ndege za kisasa Kama f16 zile na mifumo ya kujilinda ya anga Kama ile ya iron dome itasaidia sana Sana #viva tanzania
Nchi haina hela ya kununua hizo silaha
Mgeni akija nyumbani kwako huwa unamuonyesha kila kitu ulichonacho? Au unamuonyesha hadi mahali unapolala?Kama unafanya hivyo acha!
Hatununui silaha KUTOKA marekani hasa hizo kubwa mifumo ya ulinzi wa anga ipo na ni Moja ya mifumo ya kisasa ya Russia, sisi tunanunua silaha kubwa KUTOKA Russia na labda china, Russia ndio ana silaha bora zaidi za kijeshi kuliko, marekani na hata Ulaya fwatilia ujifunze
@@LORDRICKNKYA Ni mfumo upi wa anga wa kisasa wa Urusi ambao Tanzania tunautumia? Hayo yote yaliooneshwa ni masilaha ya zamani ambayo yamepitwa na wakati. Hizo silaha ziliooneshwa ni mchanganyiko wa silaha kutoka nchi mbalimbali.
Arafu tupigane na nani
Hamna comando ikiwa unarinda ufisadi na uonevu wa raia wako huku ni kututisha hawa makomando wawe kama Ibrahim traole.ndipo nita waelewa mipaka yetu haina jam ndio maana tuna waona ni wakakamaaavu ira naamini tanzania bado sana tena sana
Sio lazima uwaelewe wewe ndo wengine wawaelewe
Hata wewe hatukuelewi Kama ambavyo wewe umeshindwa kumuelewa Patrick Julius Baki na neno Ibrahim traole mzalendo was kweli sio hapa bongo wengi wachumia matumbo
eeh mungu baba ibaliki Tanzania 👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦👨👩👧👦
Mbona maasikar wetu hawana kaz tofauti nakujionyesha Kwa rais hii inatuonyesha Tz hatuna jeshi la wananchi Bali ni jeshi la rais maana halifany wajibu wake
Shida sio kubeba magogo na kuning'inia kwenye magali na helkopta. Swali ni je jeshi letu mmelianda kupambana kisasa zaidi na majeshi mbalimbali duniani kwa njia ya kiteknolojia.!?na je. Wanavifaa vya kisasa.!?Na je wananidhamu ya kutosha kwa ajili ya kupambania maslahi mapana ya nchi.!? Au ndo mnaandaa vijana kwa ajili ya kubaka na kulawiti na kuwanyima maji mabinti zetu.
Umefwatilia misheni za Siri zilizofanywa na jeshi letu hasa kikosi Cha makomando nje ya nchi mataifa mbalimbali???
I love my country
Tunasema tuna jeshi na wanalipwa Kodi zetu lakini hawafany wajibu wao Kila Kona wananchi wanalia na rais anavuruga jeshi lipo linaendelea kumsifia rais Kwa ajili ya tumbo Tz tungekuwa na maamuzi tungebadili mtazamo wote tumtazamie MUNGU pekee ndiye mtetez wetu siyo rais Wala jeshi hao tunaowategemea wanaenda choo kama sis hivyo hatana utofaut nao
Safi sana Mungu awalinde walinzi wetu
Nikiangalia majeshi ya inchi zengine nahisi bdo tizama jeshi la Senegal 🇸🇳 au Cameroon makomandoo wao wamepanda hewani yaani magiant wanabeba silaha nzito za Urusi namarekani sio sisi tunanua kwa mchina
Kenya pia iko vizuri sanaa
Free fall parachuting should be demonstrated by jumping not walking
Uwiiii Mungu awatunze
Na kuwalinda jaman
Kwa lip
Huyu milad ayo sikuiz alishanunuliwa n serikali mana habari zake zote zimeshakuwa zakuipamba serikali
Anzisha tv yako, uwe unampamba baba ako. Mwambie baba ako aanzishe serikali yake.
Sasa wewe ulitakaje
Jubeba vitu vizito sio dili saiv magago ya nini sasa
Wanajiandaa na mazoezi ya kwenda kuiba kura na kusafirisha masanduku ya kura mwakani.
Tupo nyuma huo ndio ukweli
Sasa watu wanaenda na tekinoligia tu. Vita za kina Rambo na Arnold hakuna tena.
Acha uongo.
Hebu nenda kwenye Ukraine ukaone kama wanatumia AI
Vyote unavyovifahamu vinatumika so usibeze.
Halafu unaushahidi wanajeshi wetu huwa wanaiba kula??
Ukiombwa uzibitishe? unaweza?
@@J4UPro ushahidi mbona upo tu mwingi?
Subiri mwakani uone, Wacha ushabiki la kweli lisemwe
Kwa ufupi big up tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
Hawa ndo askari ❤
Wewe unaebeza haya, vita ikiinuka utasimama mstari wa mbele kuipigania nchi?. Ninyi sio raia wa Tz, nendeni kwenu bwana
Nawe nenda kwenu kenge wewe!
Watu sijui uelewa mdogo!
Yaani wao sijui wanataka waonyeshe kila kitu 😂😂😂😂
Sehemu nyingine wanaonesha innovation of new weapons nk. Sisi 😢
Watu wamesahahu kwamba wale magaidi wa kibiti wameikimbia tz na kuingia Mozambique na wanaendelea kuwapa tabu huko sasa kwanini walikimbia tz?
Kitu mnakosea ni kutokujali raia na haki zao ayoyote nisawa na bule kama bado mnatenda maasi utekaji na ubakaji wa raia hv Mungu anaweza kuluhusu na mkapigwa na nchi isiyo na sirahaa yoyote😂😂
❤❤
Daaaaa hawa ndomana napita nao mbali sana
Safi sana jeshi letu
Hawa ndo munaita commando 😂.. kenya tunawashinda by far
Are you sure?
@@MichaelMayemba-pc5cp Kenya is currently a major non NATO ally, so it will start receiving some serious toys soon.. also it has one of the best special forces in Africa
Wasomali tu waliwatoa jasho
Wasomali tu waliwatoa jasho
Wasomali tu waliwatoa jasho
Wapiganaji bora mmekula misunjo, maana raia wangeanza kufananisha baadhi ya askari ya waduanzi wengine.
Jeshi letu lipo imara, hebu tuombe vita ya kirafiki
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana😅😅😅
@@ziddyziddy2524Vijana wa hii nchi walaji chips vita ganiii wanaweza?
Sawa sawa hamna shido
Sasa nyinyi watanzania mbona Congo hamufanye hivyo munatudanganya
Mh. Napita tyu naona tunatishwa tusifanye maandamano😂😂
Drama ni nyingi sana!
Karate
Haya sasa twendeni Mozambique tukamalize magaidi
huu ni mzaha
Watu wanakejel humu mnadhan hyo Amani imeshushwa tu mipakani hukk sio poa
Mbona wanacheza Amapiano😁😁😁???
Awaaaaa watuuuu waoneniii tuuui ivyoo kwa tulio pita jeshini tunaelewa show zao
Ajali mbalali 4/9/2024
Hizi vitu hufanywa na NYS kenya
Dunia inatumia drones na technology ya kisasa sio minguvu tena
Wanakata maun
like jeshi
Hakuna Lugha ya kitalam bali kwenye Lugha ya kingereza
wengine wakionesha umbora wa silaha nyie mwaonesha utimamu wa miili!! bure kabsa
❤
Badara ya kusema kua Lugha ya kwetu, utasikia kua combat boxing. Combat boxing haipo kwenye Lugha yetu ya kiswahili?
Inaitwaje kwa lugha ya kiswahili
Sijaona zoezi za kunishinda hapa
Kubeba magogo ndo vita
Hakuna. Unachikijua kuhusu military
@@enocksilungwepondajr9707 apo skuiz vita ni vya teknolojia sio ku komaa
Hakuna vita unapigan ukiwa mdhaifu wa mwili lazima timamu mzee kila kitu kina faida yake na ndio unafundishwa
Huelewi chochote juu ya jeshi
🤣🤣🤣🤣🤣
Simba
Wananitamanisha tu 😅😅😅
While people are using drones you guys are doing press ups 😂😂😂😂
Drones cannot capture territory, infantry with gun will have to fight and die for territory, stop watching science fiction moves there is no easy war
Magogo😢😢
Sniper which 😬
Watu wa kaziiiii
Komando madafu hayupo?
Huyo anayoongea
Nunuene magari ya kijeshi kutoka uturuki wame piga hatua hamuoni majeshi ya wenzenu
Mnaonyesha mbinu
Tunataka Vita ya kirafiki nakenya
Vita havina utani.
Kama sasa hivi ukiingia Tarakea tu ukiwa Mkenya unajawa na hofu Kwa vile "wanatupenda"
Mungu alaze roho yako pema peponi. Hata wakubwa wenu Uganda hawajawahifikiria kuijaribu kifo namna unaojaribu
Hii wap sasa!??
S
Hii sauti ndio ileee au basi maaana sina gadi
Dhaaninom
Haina kitu
Hizo drone zeshinda vita gani
Wajarb kupigana na M23 ili tukae utimamu wao
Sisi ndio tuliwateketeza kabla hao M23 kabla hatujaondoka Congo.
Kwahiyo m23 wameteketea?😂,JWTZ haina kitu hapa drc,wenyewe wanajua,we chunga magogo yako tu.
@kevinrugenza1769 usiwe mvivu wa habari, sasa hivi wamerudi wakiwa na nguvu baada ya Miaka! Kazi hiyo ilifanyika na wakarudi . Mission ya Congo ina vitu vingi sana na kila Taifa lina kazi yake. Hata US wameteketeza Alqaeda baada ya Miaka mingi wamejiunga tena na uongozi mpya wanasumbua
Tunajairibu tu
Waende kumsaidia putin sasa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🦾🦾🗿
Tuombe ata mechi na wakongo
😂😂😂😂 Hamna wanaume wa kupigania,masaa mawili Congo wamechukuwa
Tuombeni vita vya kirafiki na wakenya kupima haskari wetu
I like iweje sasa!!! 😂? Acha siasa
Kenya 🇰🇪 na Tz baba na mama ni mmoja,kupigana Tz na Somalia itaweza
Hiii yote ni joto la uchaguz
Njooo ujifunze Crypto tupige pesa chap chap
S
Hamna kitu