MAKOMANDO WATUA KWA HELIKOPTA KWENDA KUMUOKOA MWENZAO ALIVYOTEKWA, SILAHA NZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 янв 2024

Комментарии • 411

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 4 месяца назад +14

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 месяца назад +5

    Hizi n comedy naona😂

  • @FrankChuma-ug4bj
    @FrankChuma-ug4bj 16 часов назад

    Kazi kaz❤

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 4 месяца назад +8

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana

  • @IsaacfilsUnefamille
    @IsaacfilsUnefamille 26 дней назад +1

    Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 месяца назад +2

    Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 4 месяца назад

    Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md 7 дней назад

    Mama ana upiga mwingi💪♥️🇹🇿

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 месяца назад +17

    Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 4 месяца назад

      Kwa Izo Comedy zao😂😂😂

    • @abdulmnondo76
      @abdulmnondo76 4 месяца назад +1

      @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy
      Acha dharau
      Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha

    • @Bmsecret
      @Bmsecret 4 месяца назад

      Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu

  • @user-vh2nk5gz5p
    @user-vh2nk5gz5p 4 месяца назад +6

    Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂
    Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake...
    Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen

  • @micheckwachira
    @micheckwachira 5 дней назад

    Hhhhaaaiiaa sijaona Kenya ikifanya hii waaa inapendeza

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 4 месяца назад +12

    Nendeni Gaza mkafanyie practical😂

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 Месяц назад

    Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima

  • @Pira-gm4gr
    @Pira-gm4gr 3 месяца назад

    Interesting. Love from Kenya

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz7071 4 месяца назад +3

    Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 2 месяца назад +1

    very nice

  • @user-mj3un2iv6v
    @user-mj3un2iv6v Месяц назад +2

    nataman kuwa mwanajeshi one day

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md 7 дней назад

    Cngilatueshen komamndo 🇹🇿♥️🌹

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 4 месяца назад

    Nawapenda Sana
    Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 месяца назад +1

    Vizuri sana makomando

  • @CarlosedwardMlaponi
    @CarlosedwardMlaponi Месяц назад

    😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp 4 месяца назад +1

    Mungu ibariki nchi yangu Tanzania

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 4 месяца назад +18

    😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui,
    Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti.
    Ila Bongo kuna vituko

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA 4 месяца назад +1

      Ukiwa hujui kitu usicoment

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 4 месяца назад +1

      Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 4 месяца назад

      Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂

    • @simonmoneni6768
      @simonmoneni6768 4 месяца назад

      😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 4 месяца назад

      ​@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya

  • @user-dj5fo9fk9l
    @user-dj5fo9fk9l 4 месяца назад

    Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.

  • @gilbertchebet7411
    @gilbertchebet7411 Месяц назад

    😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 4 месяца назад +10

    Kwa hii style ndege zitakuwa zishalipuliwa

    • @izzahboe1442
      @izzahboe1442 4 месяца назад +1

      Umeona wanazingua izo show za kuwaonyesha watoto

    • @siaelisteven6157
      @siaelisteven6157 4 месяца назад +2

      😂😂😂😂

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 4 месяца назад

      Nenda katufute mbinu ya tofauti izo au kuokolewa kupitia gari ulete hapa punguza ujuaji tu😂

    • @flavourboyke
      @flavourboyke 4 месяца назад +1

      Huo ndio ukweli , sai technology ziko very advanced, nani atangojea mfanye hizi vitu wanafanya ama wanadhani ni movie

    • @Users2523
      @Users2523 4 месяца назад

      Wakikutana NA RPG za hamas hawa wamekwisha 😂😂😂😂 hizo style za kwenye movies 😂😂😂

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 2 месяца назад +2

    ❤ vipi

  • @DicksonBanda-cq6wm
    @DicksonBanda-cq6wm 16 дней назад

    This is so special deal of our Military personnel

  • @BenMugo-tl9ef
    @BenMugo-tl9ef 20 дней назад

    Nice pitch here...

  • @sonmsb1839
    @sonmsb1839 4 месяца назад

    Hongera sana JW

  • @Sifa_film_tv72
    @Sifa_film_tv72 4 месяца назад

    Wow Mungu IBARIKI Tanzania🙏

  • @JemsiMutukula
    @JemsiMutukula 2 месяца назад

    Sawa kabisa

  • @IssackMaingu-ng5lk
    @IssackMaingu-ng5lk 4 месяца назад +2

    Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)

  • @jamestatio-wo9nr
    @jamestatio-wo9nr Месяц назад

    Ee mungu saidia inchi yetu

  • @izzahboe1442
    @izzahboe1442 4 месяца назад +16

    Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅

    • @user-jo1zp7fj7r
      @user-jo1zp7fj7r 4 месяца назад

      Ahahahaha

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 4 месяца назад

      Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 4 месяца назад

      ​@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 4 месяца назад

      Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂

    • @user-di9tm7el2r
      @user-di9tm7el2r 4 месяца назад

      Awee watakufa saana tusiombee

  • @jafarymsangi387
    @jafarymsangi387 3 месяца назад

    Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢

  • @zaiduothmani5771
    @zaiduothmani5771 4 месяца назад +7

    Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 4 месяца назад

      Walansi za siri, ni very common

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 4 месяца назад

      Hapo sawa nakubaari wapo sahihi kabisa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 4 месяца назад +7

    Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 4 месяца назад +3

      Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂

    • @emnanuelimtui1805
      @emnanuelimtui1805 4 месяца назад +1

      Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji

    • @smarty1064
      @smarty1064 4 месяца назад

      @@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀

    • @smarty1064
      @smarty1064 4 месяца назад

      @@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini

    • @AlwanKombo-hd3dt
      @AlwanKombo-hd3dt 4 месяца назад

      Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 4 месяца назад +2

    Ila wabongo hawajawah kuwa seriously

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula 4 месяца назад

    😂😂😂 DRCongo 🇨🇩
    Iyi onyesho iliwashinda jm

  • @StephensinganoNdululu-pd2ty
    @StephensinganoNdululu-pd2ty 3 месяца назад

    Certified well improve d

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 4 месяца назад

    M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q Месяц назад

    Mimi ni mburundi ila naipenda Tanzania sn

  • @GadKasanga-je6mi
    @GadKasanga-je6mi 4 месяца назад

    Nakubali kazi ya jeshi

  • @franklevison9477
    @franklevison9477 4 месяца назад

    Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi

  • @ZulfaMalya
    @ZulfaMalya Месяц назад

    Kama movie za kituruki😂

  • @justincostantine9662
    @justincostantine9662 4 месяца назад

    Mungu ibariki tanzania

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 месяца назад +1

    Tanzania salama iko fulu kiulinzi

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад +1

    Matumizi mabaya ya fedha

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d 3 месяца назад

    Noma san

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 Месяц назад

    Mko na mchezo nyinyi, polepole namna hiyo

  • @user-wf5up8rl1x
    @user-wf5up8rl1x 4 месяца назад

    Safi sanaaa..namm ningekuwa ivo.

  • @YahyaOmary-yi5el
    @YahyaOmary-yi5el Месяц назад

    Ni hatari na nusu

  • @reginasyomiti7862
    @reginasyomiti7862 3 месяца назад

    Kazi zuri kweri

  • @user-ws6rw1fj3o
    @user-ws6rw1fj3o 2 месяца назад

    Njoeni Mozambique mule chuma😂😂

  • @issayacharles9402
    @issayacharles9402 4 месяца назад

    Nilikua sipo sikia bodoo BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO sanaaa😆😆😆😆 Yani BADOOOOO

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 4 месяца назад

    Safi kabisa Tanzania oyeeeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-di9tm7el2r
    @user-di9tm7el2r 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂kama wana bomu si wanawalipua

  • @shaksboy-fs1pv
    @shaksboy-fs1pv 2 месяца назад

    One day yes

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 4 месяца назад

    Wazee wa gaza wasinge waacha mnimginie hivyo

  • @Chapesatv
    @Chapesatv 4 месяца назад +17

    Bora msioneshe huu upuuzi maana watu wako kwenye ubabe wa nuclear nyinyi mnaleta movies scripts 😢

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA 4 месяца назад +4

      Kwahiyo mateka wako unaweza kumuokoa kwa nuclear?? 😂😂😂Punguzeninujuaji

    • @fredlugome7952
      @fredlugome7952 4 месяца назад

      😂😂😂kuji fanya unajua ndo madhara yakeeeee

    • @izzahboe1442
      @izzahboe1442 4 месяца назад +2

      Fact

    • @kabaranamaganga6646
      @kabaranamaganga6646 4 месяца назад +4

      Kuwa na heshima kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Cc km wazalendo tumeridhika na jeshi letu na tunalitakia kilalakheri ww endelea na Nyuklia

    • @Chapesatv
      @Chapesatv 4 месяца назад +1

      @@kabaranamaganga6646 Fala kweli elewa point ndio uwanze kutukana watu

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd1590 4 месяца назад

    Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q 4 месяца назад +1

    Hamna kitu humu

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 4 месяца назад

    Tuliinjoi saana 😊😊

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 4 месяца назад +3

    Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 4 месяца назад

      kweeli broo ni it's very easy

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 4 месяца назад

      Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m 4 месяца назад +1

    Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад

    Hatar juu yahatar

  • @SonkoMolle-if3tz
    @SonkoMolle-if3tz Месяц назад

    🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 месяца назад

    Wafanye mechi ya kirafiki😢na kenya 😂😂

  • @user-me2nk2me9d
    @user-me2nk2me9d 4 месяца назад

    Nhhh bado sana kwan maadui wamelala

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp 4 месяца назад

    God bless my country

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 4 месяца назад +1

    Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .

  • @edesjackson2183
    @edesjackson2183 4 месяца назад

    Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ

  • @user-or3gu4qc9v
    @user-or3gu4qc9v Месяц назад

    Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 4 месяца назад

    Napenda Sana👏🇹🇿

  • @ilmeldaliwanga-5772
    @ilmeldaliwanga-5772 Месяц назад

    Safi sana Tanzania

  • @vayeen
    @vayeen 4 месяца назад

    Ndo aseme kizimkazi jamani😂

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 4 месяца назад

    Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 4 месяца назад

    Mamaaaaaaa,maaajabu sijawi kuona

  • @user-re6bk6cd6o
    @user-re6bk6cd6o Месяц назад

    "Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 4 месяца назад

    Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka

  • @user-bv4gu5po4g
    @user-bv4gu5po4g 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂roh kazi kweli kweli

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 4 месяца назад

    Good job

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 4 месяца назад

    Nendeni somali mkakadwee😅😅😅

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 месяца назад +1

    Tuko pamoja kwayote

  • @user-bp6vn2wi7z
    @user-bp6vn2wi7z 4 месяца назад +1

    Jeshi hatari Africa

  • @user-ho8lh9ke2d
    @user-ho8lh9ke2d Месяц назад

    Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su 4 месяца назад

    Sasa hapo si adui anakumaliza

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 4 месяца назад

    Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂

  • @perisfranklin2918
    @perisfranklin2918 4 месяца назад +1

    Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd1590 4 месяца назад

    Maaskari wanaulizana eti nimekaa sawa😂😂😂😂😂😂😂the Hii nchi tunacheka siku ziongezeke😂😂😂😂

  • @KokoBidu-lu4qm
    @KokoBidu-lu4qm 4 месяца назад

    Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.

  • @twahaissack7887
    @twahaissack7887 4 месяца назад

    Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 4 месяца назад +1

    hiyo filam inatoka lin

  •  4 месяца назад +1

    Milele festival since #coming coming

  • @Kishilibenjamin
    @Kishilibenjamin 4 месяца назад

    Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu

  • @khansinterprisekhans3129
    @khansinterprisekhans3129 4 месяца назад

    Naipenda nchi yangu

  • @JocharlesJunior
    @JocharlesJunior Месяц назад

    its fine

  • @Billy-gz7sr
    @Billy-gz7sr 4 месяца назад

    Nimefikiria Ni mchezo wa watoto

  • @abumasoud1996
    @abumasoud1996 4 месяца назад +7

    Mfumo.wa.zamani huo.sasa hivindrone na satalite. Hayo maonyesho yashapitwa na wakati na wakati.dunia ya sasa hivi toknologie.watu hawatumii nguvu Bali utaalami wa nuclier

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA 4 месяца назад

      Mbna kaelezea kila kitu kwamba ulianza uchunguzi kisha wakatumwa waokozi,, Sasa hiyo drone inaweza kubeba mateka?? 😊😊Acheni ujuaji wa kishamba

    • @IssackMaingu-ng5lk
      @IssackMaingu-ng5lk 4 месяца назад

      Huwezi kuonyesha mafunzo yako yote kwa. sherehe kama hizi, yaliyobakia wanajua wao ila mm na ww hatujui

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 4 месяца назад +1

      Hayo ni maonyesho halafu drone ukatumie kuokoa mtu ? Eeh punguza ujuaji zile ni ndege ambazo hazina rubani lazma commando watumike kwenye uokoaji 😂

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 месяца назад

      Listen technology haiondoi basics za utendaji ...kinachopimwa ni utimamu na ubora wa utendaji wa jukumu ( efficiency and effectiveness ya utendaji)
      Silaha kubwa ya askari sio vifaa alivyonavyo bali ari na nia ya kupigana mpaka kufa.
      Taleban wamempiga america kule Afghanistan kwa sababu ya Nia ya kupigana mpaka kufa kwa nchi yao. Na sio silaha

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 4 месяца назад

      Drone ya kubeba wanajeshi ipoje hiyo