MWANRI AWABANA TARURA "MSINIINGIZE MKENGE, TUTANYOOSHANA MAUNGO HAPA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 299

  • @zulfahamza7082
    @zulfahamza7082 5 лет назад +97

    Like tele kwa super mkuu wa mkoa wa Tabora

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 5 лет назад +18

    Huyu mkuu namkubali kinomaa please hata like kumi tu kwake tupia hapa

  • @samweljasson4029
    @samweljasson4029 5 лет назад +5

    Mkuu wa mkoa wa Dar mtarajiwa kazi nzur Baba...Tunakukubar Sanaa.

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 5 лет назад +15

    The best Regional commisiner in Tanzania from united states

  • @nkungujackson7092
    @nkungujackson7092 4 месяца назад +2

    Nimetoka chuo Mimi nimetoka isevya😂😂😂😂😂 chemistry pia najua

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 4 года назад +4

    Nakupenda sana Mzee wangu kazi yako ni zr sana

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 5 лет назад +10

    Kwa kweli "MWANRI" Upo FITI...👍👍.Na wakuelewe...👏👏

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao 5 лет назад +7

    Hongera mkuu wa mkoa.
    Kama kila mmoja wetu akijituma kufanya kazi kwa uzalendo taifa letu tungekuwa mbali Sana.

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 5 лет назад +86

    Kama na wewe ni wale wale hata kabla hujafungua video kumwangilia Huyu Mkuu unacheka twende Pamoja..Haahaaa

  • @nelsonrogers8532
    @nelsonrogers8532 5 лет назад +116

    Huyu ndiye angetakiwa awe Mkuu Mkoa Dar es salaam

  • @justineulimule6530
    @justineulimule6530 5 лет назад +11

    Awamu hii n mchakamchaka kama China, mcomnist yupo kazini, viva John Pombe Joseph Magufuli , viva Tanzania.

  • @danieljoseph6309
    @danieljoseph6309 5 лет назад +25

    Unaenda kuangalia watu wanacukua makoleo wanarusha mchanga 😂😂😂😂

  • @yahayamkone4040
    @yahayamkone4040 5 лет назад +9

    Safii Sana babangu fanya kazi

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 5 лет назад +16

    Project meneja umeniskia jasho linakutokaeee

  • @oscarmtavangu3053
    @oscarmtavangu3053 4 года назад +1

    Uko vizuri mkuu, soil analysis hapo muhimu, pi yawezezekana ipo above specifications......

  • @nimujocentre2173
    @nimujocentre2173 5 лет назад +34

    Unaniona mm ni Penguin😂😂😂

  • @meshackmaswaliyakizushimsi9188
    @meshackmaswaliyakizushimsi9188 4 года назад +9

    Kama umesikia unajifanya huelewi nipe like zangu

  • @jameskatumba2646
    @jameskatumba2646 3 года назад +6

    Why is this gentleman not in government? The country needs experience.

  • @andreadelao500
    @andreadelao500 5 лет назад +4

    *È muito bom* 🍀🌼🍀

  • @thomasntungwanayo9239
    @thomasntungwanayo9239 5 лет назад +2

    Hongera mkuu wa mkoa Mwanri

  • @mwanisaidi4761
    @mwanisaidi4761 5 лет назад +12

    Jasho linakutoka eeeh😂😂😂😂

  • @petermwangi9533
    @petermwangi9533 4 года назад +1

    Hapa TZ Kuna viongozi kweli.. wachapa kazi!! Kenya viongozi wanauliza wananchi at wafanye aje dhidi ya ufisadi and utenda kazi mbovu

  • @abdulmtitu7478
    @abdulmtitu7478 5 лет назад +5

    Naenjoy xn kl nkkuona,nataman ck 1 nkakuona kwny filam ya komed

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 5 лет назад +5

    Project manager jasho linakutoka eeh!!!!😂😂😂;wasomi wa chuo kikuu ni wababaishaji sana.

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 года назад +1

    Hahahaaaaa, tutakuja kunyosheana maungo hapa,😂😂😂🙈🙈🙈

  • @rizikipaul8051
    @rizikipaul8051 5 лет назад +7

    Na mimi mkuu nimesoma chemistry..

  • @jerrybengesi4217
    @jerrybengesi4217 5 лет назад +5

    Using one mimi ni pinguwin hapa!!!!...😄😅😅

  • @cosmasabukuse
    @cosmasabukuse 3 года назад

    Vera andika hukooo!

  • @ramarite4841
    @ramarite4841 5 лет назад +7

    Tabora mungu amewapa mchapakazi

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 5 лет назад +26

    Leo wameingia choo cha kike kweli kweli ....awamu hiii ni bamba tu bamba....hakuna kucheka na nyani

  • @sammysamwel9720
    @sammysamwel9720 5 лет назад +16

    Nmeanza kucheka hta kbl sjaangalia video 😂😂😂

  • @ashamohamedi2688
    @ashamohamedi2688 5 лет назад +3

    safi sana hapa kazi tu

  • @youngmadibajr.7292
    @youngmadibajr.7292 4 года назад +1

    Kazi kazi nakubari❤❤❤

  • @joycemalongo9050
    @joycemalongo9050 5 лет назад +32

    Ukitoa Mkuu wa Mkoa Wa Simiyu, huyu ndiye Mkuu wa Mkoa Wa Pili naye Mkubali kutoka Moyoni.

    • @fabiankasu8138
      @fabiankasu8138 5 лет назад +1

      Joyće Malongo mkuu wa mkoa wa simiyu simuonagi kwenye media lkn watu wanamkubal sana

    • @michaelbigvai1199
      @michaelbigvai1199 5 лет назад

      Joyće Malongo mkuu wa mkoa wa simiyu ni mzuri kwenye speech tu, kichwani hamna kitu mule hahaha hamna kitu kabisa yule

    • @abuuhudhaify5195
      @abuuhudhaify5195 4 года назад

      yy

    • @jeremymakokha4797
      @jeremymakokha4797 4 года назад +1

      Rc Hapi Iringa namkubali..mm mkenya hapa

    • @minjacsd1874
      @minjacsd1874 4 года назад

      Iringa mkuu wa mkoa na ndio anafatia wa simiyu

  • @nobertmushi1569
    @nobertmushi1569 4 года назад +1

    Hahahaha Uyu Mzee Angekuwa Wazir Wa Ujenzi

  • @anterianmuddy3354
    @anterianmuddy3354 5 лет назад +7

    Kwamba engineer usijifanye uelew chapa kazi baba

  • @publicadvisor6952
    @publicadvisor6952 5 лет назад +8

    Geita-Tabora- n.k ndio wakuu wamikoa wanaomwelewa Magufuli.

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 10 месяцев назад

    Veraaaaa wee andikaaa hukooo😂😂😂

  • @nebarthmoses6504
    @nebarthmoses6504 5 лет назад +9

    Hahahahahaha,,Mzee ananichekeshaga ingeneer soma hyo

  • @neemacharles32
    @neemacharles32 5 лет назад +15

    😂😂😂😂 Mkuu hajasoma chemistry

  • @fordbreezy5882
    @fordbreezy5882 5 лет назад +1

    Aliyesikia tarula kuja hapa mkono juu😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @simonkisumo6270
    @simonkisumo6270 4 года назад

    Vera limaaa andka

  • @mussaharoun5950
    @mussaharoun5950 5 лет назад +3

    Hahahahaha tutanyooshana maungo hapa.

  • @muhubiriproduction69
    @muhubiriproduction69 5 лет назад +2

    eti usifikiri mimi ni penguini, hahahahaa

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 4 года назад +1

    very good

  • @wileboy7811
    @wileboy7811 4 года назад

    It is right

  • @vincentvin211
    @vincentvin211 5 лет назад +20

    "Mi ni penguin"😂😂

  • @simonmkama4844
    @simonmkama4844 5 лет назад +2

    Hahahahahhahah,We TARURA KUJA HAAAPAAAA

    • @allymasakuu5
      @allymasakuu5 5 лет назад +1

      Mheshimiwa njoo daar uwanyooshe

  • @magotomarwa7816
    @magotomarwa7816 4 года назад

    Sukuma ndaniiiii

  • @nelsonimtaturu8115
    @nelsonimtaturu8115 5 лет назад +1

    anafanya kaz nzr sana big up

  • @AmCool_
    @AmCool_ 4 года назад +1

    "Hata mimi nimesoma Chemistry" 😃😃😅😅🤣🤣

  • @yohanamaugila743
    @yohanamaugila743 5 лет назад +1

    Safi sana Mkuu wa mkoa

  • @emmanuelsovellah5521
    @emmanuelsovellah5521 5 лет назад +2

    big up mkuu

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 5 лет назад +1

    Hahaha hahaha wanyooshe awooo sukuma ndani

  • @alfajahussein9074
    @alfajahussein9074 2 года назад

    Saf sana mkuu wa mkoa

  • @moudgojero4913
    @moudgojero4913 5 лет назад +2

    ww ndio kiongoz bora et anakutishia kusoma chemistry

  • @seifukinyogoli7380
    @seifukinyogoli7380 5 лет назад +3

    Jamaa huyu nampendaga sana

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 5 лет назад +1

    Nilimmic sana mwanri

  • @shipetv7952
    @shipetv7952 4 года назад +2

    Eng. usijifanye hunielewi😂😂😂😂😂😂

  • @godwinwilson3837
    @godwinwilson3837 3 года назад

    Soil analysis

  • @chidistar1944
    @chidistar1944 5 лет назад +9

    Huyu mwanaume namkubali sana

  • @princeluundo4094
    @princeluundo4094 4 года назад

    Asantee sana

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +6

    Piga kazi dady tunakuaminia🙌

    • @Mzalendo-
      @Mzalendo- 5 лет назад

      Mambo munira nicheki wasp no: 0672120467

    • @thabitnasher111
      @thabitnasher111 5 лет назад

      Hi Muny, how can we contact in email address

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 5 лет назад +4

    Awamu ya tano kitaeleweka chapa kazi mkuu

  • @juliusjulianho7254
    @juliusjulianho7254 5 лет назад +2

    Umetshaaaaa mzeeeee,,.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 5 лет назад +2

    Uyu mkuu wa mkoa safi sana

  • @allywaziri9838
    @allywaziri9838 4 года назад +2

    unajifanya huelewi 😁😁😁😁

  • @romanusfallo2192
    @romanusfallo2192 5 лет назад +1

    daaaaah baba uko sawa

  • @fikirinyangasi7973
    @fikirinyangasi7973 5 лет назад +4

    Engenear usijifanye huelewi

  • @meshackstev6709
    @meshackstev6709 5 лет назад

    Wabongo bhana et unajua hapa watu wa chemistry

  • @alexjeremiah8389
    @alexjeremiah8389 4 года назад

    Nakubali ilo mkuu

  • @yussufmohd5281
    @yussufmohd5281 4 года назад

    Jasholinamtoka hyooo

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn 5 месяцев назад

    Ktk mkoa ambao ulikuwa mgum bac tabora uliongoza lakin mbele ya huyu mzee mkoa ulikuwa mlain sana kwakwe

  • @alikorobert3572
    @alikorobert3572 5 лет назад +2

    Sukuma ndani hao wote

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 5 лет назад +3

    Nanyie mnajua kabisa kwamba nakuja kuuliza hayo maswali😂😂😂😂😂😂

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 лет назад +1

    Huyu Jamaa akiwa rais mtanyooka

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 4 года назад +1

    Mbn amuitiki!!!!!

  • @jumamagali5089
    @jumamagali5089 5 лет назад +8

    labda ndio expansion joints, si eti injinia eeeh

  • @safariadrien5493
    @safariadrien5493 4 года назад +2

    Kuja hapaaa 😂😂

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 5 лет назад +1

    Tunamtaka arusha

  • @pascalseleman7919
    @pascalseleman7919 11 месяцев назад

    Magufuli huyu angekuwa makamu wake sasa hivi tungebaki nae kama raisi tungeendelea vzr sana

  • @shabanwisandara9809
    @shabanwisandara9809 5 лет назад +9

    mzee shikamoo mafaili site
    huyu akihamishiwa dar itakua tolonto

  • @ismailyusuf2111
    @ismailyusuf2111 4 года назад

    Kumdhurumu huyu jamaaa
    inataka utumie akili mingi sana

  • @johnmatelephone8991
    @johnmatelephone8991 4 года назад

    Nice

  • @mussamaulidi3918
    @mussamaulidi3918 4 года назад +1

    Nataman siku moja uwe Rais wa Hii nchi

  • @josephmakonga3201
    @josephmakonga3201 5 лет назад +1

    hapa kazi tu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 4 года назад

    Hahaha jasho linakutoka ee😂😂😂😂. Yani baba uyu

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 5 лет назад +1

    iiih...kwa kweli kazi ipo.Lakini kwa RC Mwanri,mmefikwa.

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 4 года назад +1

    Gonga like km umeona fail za aina zote kwenye buti ya gariii
    Chezea RC Agrey wewe

  • @aloycemazikuoffocial4261
    @aloycemazikuoffocial4261 4 года назад

    Tabora oyeeee

  • @samsonsanja8670
    @samsonsanja8670 3 года назад

    Namkubar sana mzee

  • @samsondaniely5285
    @samsondaniely5285 4 года назад

    Unatoa jasho eeeh

  • @doreenpaulrugwaguza8307
    @doreenpaulrugwaguza8307 5 лет назад +1

    Anajua kubalance

  • @stanleyrububura4000
    @stanleyrububura4000 5 лет назад +6

    Engineer anataka kumuingiza mkenge mkuu, eti tulitegemea crack! Mbona haonyeshi hiyo crack iliyotegemewa waliandaa mechanism gani ya kui-handle ili uharibifu usitokee. Aache ujanja hapo walichemka.

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso2051 4 года назад

    Dah nimecheka sana hapa kuna expansion joint mkuu hahaha dah eti unafikiri mimi sijasoma chemistry au unanichukulia mii penguin haahhh tutakuja kunyooshana maungo hapa

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 5 лет назад +1

    Wanyoshe Mekuuuuuuu 😄🏃 🏃✍️

  • @amosseleman3562
    @amosseleman3562 Год назад

    Huy Mwanri ndio tumpe urais

  • @daudiyakobo7594
    @daudiyakobo7594 4 года назад +1

    Kama umeckia "umejifanya huelewi" gonga like

  • @rodgerzdangote8629
    @rodgerzdangote8629 4 года назад

    Injinia usijifanye huelew

  • @fordbreezy5882
    @fordbreezy5882 5 лет назад +2

    Penguin 🤭🤭🤭😂😂😂