MGOMBEA USPIKA ALIVYOWAKOSHA WABUNGE, ATUNZWA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 407

  • @Iamraychris
    @Iamraychris 2 года назад +29

    Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾

    • @maryberege3093
      @maryberege3093 2 года назад +2

      Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli

  • @paulinepeter412
    @paulinepeter412 2 года назад +19

    He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.

  • @abdullahipharah3677
    @abdullahipharah3677 2 года назад +2

    Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!

  • @rosemarymshana3939
    @rosemarymshana3939 2 года назад +6

    He's the greatest confidence man✊❣️🙏

  • @schosay_
    @schosay_ 2 года назад +1

    I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,

  • @angeljustine2493
    @angeljustine2493 2 года назад +3

    Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.

  • @believeboy2150
    @believeboy2150 2 года назад +12

    Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗

  • @makameali136
    @makameali136 2 года назад +24

    NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu

  • @sharcksharckhassan5786
    @sharcksharckhassan5786 2 года назад +4

    Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 2 года назад +2

    Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako

  • @samwelkimario8126
    @samwelkimario8126 Месяц назад

    Tanzania ❤❤❤❤

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane 2 года назад +12

    Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo

  • @jacquelinesemu1347
    @jacquelinesemu1347 2 года назад +5

    Nimefurahi kumsikiliza

  • @justinemaganga7734
    @justinemaganga7734 2 года назад +11

    Huyu anafaa sana

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 2 года назад

    Wabunge wa ccm Mungu anawaona, mnawapa wagombea nafasi za kujiekeza wakati m ajua hawashindi😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣

  • @honorinaverani1057
    @honorinaverani1057 2 года назад

    hadi raha

  • @edokachira5975
    @edokachira5975 2 года назад +1

    huyu jamaa anafaa kuwa kiongozi kwa nyazifa nyingine yoyote,kwanza ana ujasiri pia ana uwezo wa kujieleza atafutiwe nafasi yoyote pia c mnafiki penye ukweli anaongea wazi

  • @rajabulipongo4135
    @rajabulipongo4135 2 года назад

    yuko vizuri sana

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 2 года назад

    Jamaa yupo vizuri sanaa

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 года назад +1

    Dah jamaa anakitu ndaniyake amini kwamba

  • @asiamussa3143
    @asiamussa3143 2 года назад

    Angalau chenji imerudi toka ile milioni yake aliolipia fomu. Wajumbe Co watu.

  • @m9khan11
    @m9khan11 2 года назад

    Ety mama kaupigwa mwingi

  • @adammwita3150
    @adammwita3150 2 года назад

    Uko vzr broo, jipange 2025

  • @sospider2005
    @sospider2005 2 года назад

    Huyu jamaa yupo vizuri sana.

  • @himnasalum2424
    @himnasalum2424 2 года назад

    Hahaha apa kweli mchague uone shuhuli yake.

  • @nuhumoses6192
    @nuhumoses6192 2 года назад

    Aiseee jamaaa yuko vizuri

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 2 года назад

    Hahshaaaa raha sana

  • @papilumona1896
    @papilumona1896 2 года назад

    Wewe nichaguwe kwanza kisha utaona shuguli haaaaa # Ndoge s Ndogo

  • @olexanderj.6969
    @olexanderj.6969 2 года назад

    Mchagueni muone shughuli! 😆😌😁

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 2 года назад +1

    Wivu ni mbaya sana kupewa kitu mtu una hoji

  • @amosaruta22
    @amosaruta22 2 года назад +3

    Tanzania kuna mifumo mingi sana

  • @radiammchecheto9938
    @radiammchecheto9938 2 года назад

    naona muheshiwa ndoge anakusanya mirabaha

  • @barnabasomondi9477
    @barnabasomondi9477 2 года назад

    Ako na number ya mpesa kweli

  • @Ezekiamtafya1119
    @Ezekiamtafya1119 2 года назад

    Ila hiki kichwa

  • @daktariwamauzo
    @daktariwamauzo 2 года назад

    Dah huyu jamaa anajua alifuata nini bungeni

  • @fadhilmgahi1334
    @fadhilmgahi1334 2 года назад

    Daah jamaa akili mingi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад

    Lukuvi anaanza kumsifia mama ili amsamehe

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад

    Huyu jamaa anakitu mama mwangalie

  • @jumaseph6884
    @jumaseph6884 2 года назад +1

    Huyu jamaa anafaa kua naibu spika wa jamhuli ya muungano wa Tanzania

  • @kamanyile
    @kamanyile 2 года назад

    huyu jmaaaa anaijua siasa ipasavyo

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 года назад

    Ndonge ameua

  • @simonmisri7824
    @simonmisri7824 2 года назад

    Wewe kwanza nichague halafu uone shughuli

  • @djurio
    @djurio 2 года назад +99

    Mama nakusii ikikupendeza mtafutie pakutumika katika nchi yetu....Hii akili haijatumiwa bado....Wenye nafasi ya kusema hawana ya kusema na wenye ya kusema hawana pakusemea....

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 2 года назад +27

    Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 2 года назад +16

    Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu

    • @rossmaryphases8509
      @rossmaryphases8509 2 года назад

      Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 года назад

      Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......

  • @revivalchoir1
    @revivalchoir1 2 года назад +40

    Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 2 года назад +31

    Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.

  • @salimkatana6721
    @salimkatana6721 2 года назад +5

    Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 2 года назад +40

    Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA

  • @ramadhanishaha6884
    @ramadhanishaha6884 2 года назад +12

    Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 года назад +28

    🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 2 года назад +24

    @MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +5

    Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?

  • @rubenijackisoni5679
    @rubenijackisoni5679 2 года назад +27

    Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад +17

    Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +6

    Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.

  • @onlythestrong8659
    @onlythestrong8659 2 года назад +27

    Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 года назад +2

    He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli 2 года назад +76

    Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 года назад +10

      Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??

    • @RamadhanAli
      @RamadhanAli 2 года назад +6

      @@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 года назад +2

      @@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 2 года назад +1

      Very true

    • @RamadhanAli
      @RamadhanAli 2 года назад +3

      @@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 2 года назад +23

    Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko2490 2 года назад +14

    Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 2 года назад +4

    Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina

  • @zolongOne
    @zolongOne 2 года назад +5

    Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣

  • @samweliandrea7802
    @samweliandrea7802 2 года назад +33

    Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo

  • @joelrugano6517
    @joelrugano6517 2 года назад +15

    Watanzania tuna tatizo. Tunashangilia nini hapo, mtu anaongea pumba tunacheka.
    " This guy is talking nonsense in my view". Aombe kuwa mwenyekiti wa wasanii.

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 2 года назад

      Nashangaa

    • @raphaellighongo6076
      @raphaellighongo6076 2 года назад +1

      Sema tu una roho ya korosho...😂😂

    • @joelrugano6517
      @joelrugano6517 2 года назад

      @@raphaellighongo6076 Shida ndiyo hiyo, hoja hujibiwa kwa hoja.Mtima nyongo unaanzia wapi kwa mfano? Hii inadhihilisha nilicho kisema

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 2 года назад +24

    Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.

    • @jaharaoman6478
      @jaharaoman6478 2 года назад +2

      Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 2 года назад +2

      Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.

    • @loishiyesamwel1374
      @loishiyesamwel1374 2 года назад +2

      Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 2 года назад +1

      @@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 2 года назад +4

      Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...

  • @to-chisesoboy7336
    @to-chisesoboy7336 2 года назад +4

    Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA

  • @JAYCLASSICMEDIA
    @JAYCLASSICMEDIA 2 года назад +3

    EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏

  • @arkamsaid7600
    @arkamsaid7600 2 года назад +12

    We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 2 года назад +6

    Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin

  • @bonawalewale9921
    @bonawalewale9921 2 года назад +8

    Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners4631 2 года назад +5

    Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo

  • @agripinaaudax168
    @agripinaaudax168 2 года назад +16

    Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu

    • @mpokimwakisimba692
      @mpokimwakisimba692 2 года назад +1

      Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 2 года назад +1

      Nchi ya kishamba sana

  • @dallorday
    @dallorday 2 года назад +20

    Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi

  • @lmashua
    @lmashua 2 года назад +11

    Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 2 года назад

    Karudisha milioni yake ya fomu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 года назад +12

    HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍

  • @mkato5831
    @mkato5831 2 года назад +20

    Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 2 года назад +20

    Nimefurahia confidence yake🤣

    • @mgasa_tz5527
      @mgasa_tz5527 2 года назад

      Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious

  • @cyprianoduor870
    @cyprianoduor870 2 года назад +13

    Charisma of this man will make parliament active.

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 2 года назад +13

    Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 года назад +17

    Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 2 года назад +17

    Umeongea kwa uwezo mkubwa sana

  • @bibilaginanani8259
    @bibilaginanani8259 2 года назад +16

    Hongera sana kiongozi unaweza

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 года назад

    Ila hata komedy anaweza sana

  • @johnrimoy1613
    @johnrimoy1613 2 года назад +11

    Anauwezo wa kushawishi.
    Safi sana.

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 2 года назад +5

    Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 2 года назад +8

    Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania4991 2 года назад +18

    Mashalah anafaa sana ana confidence

  • @samomnanka2779
    @samomnanka2779 2 года назад +8

    AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM

    • @umojamedia4167
      @umojamedia4167 2 года назад +1

      icho kiti cha uspika anagombea yeyote
      ata huyu japo sio mmbunge
      Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 года назад +11

    Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂

  • @maximusalnono6425
    @maximusalnono6425 2 года назад +1

    Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 года назад +3

    Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton1540 2 года назад +8

    Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi7585 2 года назад +4

    Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya

  • @gamamedia01
    @gamamedia01 2 года назад

    Jamani nasemaje nenda ukasubscribe JUNIOR MSONGO alafu uone shughuli

  • @arqammasoud6858
    @arqammasoud6858 2 года назад +11

    Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏

  • @Lova_artist
    @Lova_artist 2 года назад +1

    Aliupiga mwingi sana

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 2 года назад +5

    Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii

  • @ChiefMkwetu
    @ChiefMkwetu 2 года назад +3

    Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳