Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
huyu jamaa anafaa kuwa kiongozi kwa nyazifa nyingine yoyote,kwanza ana ujasiri pia ana uwezo wa kujieleza atafutiwe nafasi yoyote pia c mnafiki penye ukweli anaongea wazi
Mama nakusii ikikupendeza mtafutie pakutumika katika nchi yetu....Hii akili haijatumiwa bado....Wenye nafasi ya kusema hawana ya kusema na wenye ya kusema hawana pakusemea....
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Watanzania tuna tatizo. Tunashangilia nini hapo, mtu anaongea pumba tunacheka. " This guy is talking nonsense in my view". Aombe kuwa mwenyekiti wa wasanii.
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
Very true imendeze mama tu
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi sijaona cha maana hapo kwani kabda ya corona watanzania walikua hawasomi? Sikatai madarasa ndo ya mkopo wa miaka 20 bila riba umeshaona wapi biashara ya hivyo toka kuzaliwa kwako
Tanzania ❤❤❤❤
Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo
Nimefurahi kumsikiliza
Huyu anafaa sana
Wabunge wa ccm Mungu anawaona, mnawapa wagombea nafasi za kujiekeza wakati m ajua hawashindi😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣🤣
hadi raha
huyu jamaa anafaa kuwa kiongozi kwa nyazifa nyingine yoyote,kwanza ana ujasiri pia ana uwezo wa kujieleza atafutiwe nafasi yoyote pia c mnafiki penye ukweli anaongea wazi
yuko vizuri sana
Jamaa yupo vizuri sanaa
Dah jamaa anakitu ndaniyake amini kwamba
Angalau chenji imerudi toka ile milioni yake aliolipia fomu. Wajumbe Co watu.
Ety mama kaupigwa mwingi
Uko vzr broo, jipange 2025
Huyu jamaa yupo vizuri sana.
Hahaha apa kweli mchague uone shuhuli yake.
Aiseee jamaaa yuko vizuri
Hahshaaaa raha sana
Wewe nichaguwe kwanza kisha utaona shuguli haaaaa # Ndoge s Ndogo
Mchagueni muone shughuli! 😆😌😁
Wivu ni mbaya sana kupewa kitu mtu una hoji
Tanzania kuna mifumo mingi sana
naona muheshiwa ndoge anakusanya mirabaha
Ako na number ya mpesa kweli
Ila hiki kichwa
Dah huyu jamaa anajua alifuata nini bungeni
Daah jamaa akili mingi
Lukuvi anaanza kumsifia mama ili amsamehe
Huyu jamaa anakitu mama mwangalie
Huyu jamaa anafaa kua naibu spika wa jamhuli ya muungano wa Tanzania
huyu jmaaaa anaijua siasa ipasavyo
Ndonge ameua
Wewe kwanza nichague halafu uone shughuli
Mama nakusii ikikupendeza mtafutie pakutumika katika nchi yetu....Hii akili haijatumiwa bado....Wenye nafasi ya kusema hawana ya kusema na wenye ya kusema hawana pakusemea....
Dar
Duhh
❤
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
Amina
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
Jitu la MBINGUNI
Mm pia
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
I'm Thrilled, This Is Love.
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
Ameen
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
Very true
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
Nice
Watanzania tuna tatizo. Tunashangilia nini hapo, mtu anaongea pumba tunacheka.
" This guy is talking nonsense in my view". Aombe kuwa mwenyekiti wa wasanii.
Nashangaa
Sema tu una roho ya korosho...😂😂
@@raphaellighongo6076 Shida ndiyo hiyo, hoja hujibiwa kwa hoja.Mtima nyongo unaanzia wapi kwa mfano? Hii inadhihilisha nilicho kisema
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
Nchi ya kishamba sana
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
Hahaaa
Karudisha milioni yake ya fomu
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
Nimefurahia confidence yake🤣
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
Charisma of this man will make parliament active.
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
Allahumma Amiin
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
Hongera sana kiongozi unaweza
Ila hata komedy anaweza sana
Anauwezo wa kushawishi.
Safi sana.
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
Mashalah anafaa sana ana confidence
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
icho kiti cha uspika anagombea yeyote
ata huyu japo sio mmbunge
Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
Wee kwanza nichague halafu uone shughuli 🤣🤣Ndonge kiswahili kingi amekaa sana vibaraza vya karata na kahawa 🤣🤣
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
Jamani nasemaje nenda ukasubscribe JUNIOR MSONGO alafu uone shughuli
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
Aliupiga mwingi sana
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳