'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Mwandishi wa BBC Leonard Mubali amefanya mahojiano na makamu mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kushikiliwa kwa viongozi wao kinyume cha sheria, matukio ya utekaji pa moja na uchunguzi dhidi ya tukio la kuupigwa risasi miaka michache iliyopita
#bbcswahili #tanzania #siasa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
HATA UKIMUANGALIA TU USONI ANAFAA KUWA RAIS ❤❤❤❤
😂😂😂
Rais halali wa mioyo ya watanzania mhe Tundu Antipas might Lissu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tundu Lisu MUNGU AWE Pamoja Nawe
Eti Mungu awe nae, huyo atawaletea sheria zakuhalalisha Ushoga sijui kama mnamfuatilia amaunga mko sana ushoga, muwe makini msipende maneno tu kumbuka siasa ni maneno matumu “UNAYOTAKA KUSIKIA”
Nakupata zivuri rais wetu ujae wasiokuelewa.sijui
P
😂😂😂 rais wenu na nani mkuu?
Huyu Tundu Lisu unaweza kumchukia shauri yako ila ana akili sana na ni mwalimu mzuri sana jaribu kumfuatilia na kumsikikiza kiila anapoongea
SAFI SANA BIG BOSS LISU POINTFULL NO CAP. UMEONGEYA MWANASHERYA WNG🎉.
CCM WASHENZITU NA POLISI WAO WAHALIFU NALIPO WAZI.
ALIUMIZWA VIBAYA KWA AJILI YAKUTETEA HAKI ZA WATANZANIA NA SASA ANATUTETEA🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu hakutaka afe
Mithali 29:2 wenye haki wakiwa kw mamlaka Watu hufuraiii zaidi bali Mtu muovu atawalapo watu wanahumia
16/09/2024
Hii ni dhahili watawala walihusika,hata samia alipomtembelea LISSU haikuwa mapenzi,kwani Nyalandu aliyeenda kwa mapenzi,alihitilafiana nao.
Samia siku zile alikuwa bado hajabadirika,
Sisi siyo watoto wadogo.tunajua sana watekaji na wauaji ni kina nani.tumechoka na hii serikali.
Yaani asiyemuelewa Lissu, arudi kwao Kongo! Maana anaelezea kwa lugha fasaha ya kiswahili A-Z na hoja yenye mashiko!
Vijana amkeni acheni ujinga CCM majambazi kabisa wauniiiiiii wakubwa
Chadema Oyeeeee😂❤
Tundu Lissu they shot you because they feared your intelligence. Mungu amekuepusha katika majanga kadhaa. Naamini moyoni wewe umetumwa na mwenyezi mungu kuwa mkombozi na sauti ya kukemea maovu wanao fanyiwa watanzania. I am here to support this movement. Mh Tundu Lissu utakapo kuwa Rais naomba kuwe na somo la katiba ya nchi tangu primary school. Hilo litawasaidia watanzania wote pamoja na kizazi kijacho, ili kuelewa ni nini kinatendeka katika nchi yao. Nimegundua kitu kuwa watu wengi haelewi siasa kwa sababu ya mifumo yetu ya elimu.
ALAFU KUNA MACHAWA WA CCM WANASEMA ETI CHADEMA WANAJITEKA WENYEWE HII NI AJABU SANA. NA NI MASIKITIKO MAKUBWA.
💯💯💯💯💯
Sasa km wenyewe CHADEMA ndiyo wanatekana na kuuwana si ndio vizuri kuleta walelezi wa kimataifa wafanye kazi Yao?
😢
Kbs😢
Yani tatizo husikilizi vizuri ila umejaa uchawa tu kama ungesikikiza vizuri kichwa Yako ingeelewa tatizo ushabiki wa mipira mnaingiza kwenye maisha yenu
@@mbwanahasan2971nadhani kuna kufanana kwa hoja na kupishana katika kuwasilisha. Kama wapo wanaosema hawa wanatendewa sivyo na kujiteka wangeletwa wachunguzi toka nje ya nchi .. serikali haitaki kuruhusu Scotland yard...
Ni CCM ndo watekaji na kuuwa
Yaani Chadema kila mtu anahusikaje tuu, Wangine Wanasema Jeshi la Polisi na Wengine wanasema ni CCM. Huku kutapataoa bila Ushahidi kutaja watu hovyo ni Dalili za Chama kufa
@tanzanite9944 Chadema hakifi labda utatangulia wewe!! Kumbuka ulikuwa mkakati wa Mwendazake na Waandamizi wake kama kina Dr Bashiru kuua vyama vya upinzani hasa CHADEMA. Leo hii Mwendazake hayupo; baadhi ya watu wake wa karibu ktk ofisi yake hawapo; CHADEMA na watu kama, Mh Lisu wanaendelea na harakati za kuleta mageuzi. Hivyo wewe sio Mungu na CCM sio Mungu wa kuamua hatima ya mtu au Chama chochote kile.
Acha kuongea utumbo.watu wanauwawa.hilo hilioni umazungumza upumbavu.tutusa kweli wewe.@@tanzanite9944
Hivi Samia watoto wake wangeshambuliwa angenyamaza? Nanyi fanyeni defence yaani mjilinde? Muanze na watoto wa Samia
Chunga mama usifuatwe make hao ni shida
Tundu 🎉
Ahsante Sana.
Kujua Sheria ni jambo jema sana sikia uchambuzi huo
Mtazangazi Leonard Mubali, sauti yako wewe haisikiki. Washa mic yako usikike vizuri
Their days are numbered.✌️
Mahakama hazisaidii maana zimejaa majaji na mahakimu machawa. Hawafanyi kazi kwa weledi bali kwa kuchumia matumbo yao
Na ni makada wa CCM na sio kwamba hawajui Sheria ila wanaelekezwa wafanye nini na hawana namna maana hawana pakushikiria zaidi ya CCM, uliona wapi kada wa CCM ndio msimamizi mkuu wa uchaguzi na wakati yeye ni mnufaika?
Brother intelligent very
Kwasasa Lisu ndio mwanasiasa Ambae ana tosha kwa Nafasi Ya Uraisi Wengine wote ni machawa lakini yeye bado ana moyo wa kuipigania Nchi yake Mungu amlinde our next President Ambae ana Maono Yakuitoa hii nchi kwenye Mkwamo wa kimfumo
All the way from Nairobi... I'm going to be there on 23rd
Siku moja itafika watawajibishwa tu hata kama watakuwa wamestaafu na kuwa wazee vibogoyo. Itabidi walipe kama wahalifu wengine wanavyolipa kwa uhalifu wao. Hakuna mwanzo usio na mwisho wala marefu yasiyo na ncha
True
My president 2025
Not only yours !! Its ours with effect from 2020.
Mama ABDUL mwenyewe ajui sisi wananchi tukiamua ubaya ata tunaweza kusema kwa pamoja kwamba yeye sio Rais tuliomchagua hivyo atuachie tu nchi yetu kabla hajaizamisha kusikojulikana
Lisu Kabali yao,nyeusi anasema nyeusi.
Luka 3:14,
Askari Nayo wakamhukiza sisi nasi tufanye Ninii Akawambia Msithulumu Mtu awe yeyotee wala kumshataki kw uwongoo na mutozelewe na msahara wenuuuuu
16/09/2024
Dr Tundu Antipas Mugwayi Lisu
Ilikuwaje makosa kuweka wagombea pamoja na mawakala wenu na nchi ni ya vyama vingi
Nchi imekua kama Korea kaskazin kwa kiduku
Free Tanzania
Ni hatari sana kwa nchi yetu tunakoelekea lakini kwa Hali hii Kuna siku maalumu kisiyo na jina itaisha tu kwa lipi kwa kisasi hiki na tunakoelekea one days
Waambie Rais wetu tuna kuku bali sana
Du ! Nakutegemea mwanamke kuwa na roho ya uuaji kama vile.mwanamke anayezaa kwa uchungu.
Na anayetoa mimba?
KWA JINSI HIYO KAMA NI CHADEMA WANAUA AU POLISI BASI SCOTLAND YARD NDIO MUARUBAINI
Umeelewekaaaaaaaa
Na viongozi wa dini ya Kiislamu je? Msiwe na ubinafsi, jumuisheni na wale wa kidini
Dar mpaka mwandishi mwenyewe amemkubali lisu ni mwamba
Mungu akulinde sana ila damu Yako na ya watanzania wingine zitawaumbua sana na zitawatesa sana wanaojifanya miungu watu
My presdent 2025
Good point, Hakuna Sheria inayo sema Chadema wauwane,na wakiuana wasifanyiwe uchunguzi,hii ni kuwapakazia na kuwa hadaa wananchi tu
Kama Uhasama, sorry, usalama wa taifa wana mamlaka ya kukamata, kwa mujibu wa sheria mpya, lazima waue. Ni kama magaidi. Hawana mahabusu wala magereza. Hivyo, suluhu ni kuua. Mchezo huu unaanzia kwenye uislam ambapo kuna baadhi waliaruhusiwa kuua bila kuwa na dola kwa sababu, logically, hawakuwa na mahali pa kuwatunza watuhumiwa. Lissu umenikumbusha John Troon wa Scotland Yard alivyombaini Moi akaamua kumfukuza na kuua ripoti ya tume ya uchunguzi aliyoiita mwenyewe. Kwa kukumbushia, hata uchunguzi wa vifo vya Edward Sokoine, Horace Kolimba, na Daudi Balaa sorry Balali haujawahi kukamilika. This is Tanzania or TIT.
Duuh hatari aisee, sema ile sheria mpya ya mwaka Jana ni kiama aisee Idara ya usalama wa taifa haiwajibiki mahala popote pale na Wala ukikamatwa huna mahala popote kwa kwenda kuishitaki....Nadhani ni Tanzania, Korea kaskazini, Russia, China,Cuba,Venezuela ndo Zina sheria mbovu Kama hii ya kwetu kuhusu usalama wa taifa(So sad aisee, yote ni sababu ya wanasiasa kujiimarisha kiutawala).
Hivi watu wabaya hawawezi kutumia gari la polisi,? Kwakuwa tuna nchi jirani zetu katika uchunguzi,hivi ni kweli kuna kitabu alichoandika katibu mkuu wa chama cha chadema, wa zamani mwenendo wa chama na uongozi wake,tundu Lissu kitabu hicho umekisoma?kama umekisoma unasemaje kwa kuwa imeeleza km chadema wanayekana wao wenye kwa wenye,ili kuwashawishi wananchi wawe na kutokuwa na nidhamu kwa Serikali inakuwa Madarrakani,?
Yani watu wabaya wanatumia magari ya polisi na silaha kubaka wapinzani wa chama cha udikteta na ujamaa nchini tanzania? Kwelin unaamini hivyo?? Umaskini nchini tanzania hautotatuliwa kwa kukkalia mikono na kuzima akilli yako.
Khalfan,haya maovu hayakuanza Leo au jana,toka uchaguzi wa awali wa vyama vingi,wengi mno wa wafuasi wa Upinzani wamepigwa,wameibiwa,wamenyanyaswa na hata KUUWAWA.Lisu yuko sahihi
Uns akili kweli we?
Hali inatisha sana 😂😂😂
Mubar mtu makini sana mm nimekozoea kwenye simulizi za rk
Mwandishi, maikrofoni yako betri low imeisha charge eehhee!
Siku nyingine mjiandae vema.
Maikrofoni test 1...2..3 fuu, fuu, fyuuu! Pia mmeshindwa!
Take care!
Mungu ni mwema ipo siku ataonyesha maajabu yake na utakuwa kiongozi wa Taifa letu. Amiiini🙏
kwakweli mhe tundu lissu mungu azidi kukutia nguvu. maana wananchi wakitanzania mpaka sasa hatuna imani na serikali ya sasa ya kitanzani.
waziri wa ccm hawezi kutunga kanuni Bora za uchaguzi Kwa vyama vya siasa
Hivi pamoja na matamko mbalimbali ya viongozi wa dini na wadau mbalimbali kutaka uwajibikaji ufanyike Bado tu wahusika wapo ofisini na hata aliyewajiri hasemi lolote nao sasa wanalalamika. Sasa tufanyaje? Haki tuidai Kwa Mungu Kwa kuwa ndo muweza wa yote "Amina".😅
Vitu kama hivi kuna WANANCHI hawawezi kuvisikia kamwe...Je tunaopata nafasi ya kuyasikia na kutambua yanayosemwa tunachukua hatua GANI
Kwa hiyo sheria inawalinda watu wa CCM tu. Wanauwa watu kuvuruga usalama sasa wanaitwaje watu wa usalama wakati wanajifanya wa usalama wa taifa. Wauwaji wanajificha katika vichaka vya usalama wa taifa na polisi. Vyote hivyo vyombo ni wauwaji wakubwa sana
Hatutaki majibu marahisi kwenye maswali magumu hakuna Sheria inayosema chadema wauwe sababu ya kijinga kabisa majibu kama hayo yanalidharaulisha jeshi letu
Huwa najiuliza kwanini MH TUNDU ASIWE RAIS WA TANZANIA KWASABABU ANA UJUZI NA ELIMU KUBWA ,HONGERA MH TUNDU KWA ELIMU YAKO WEWE NI MZALENDO NA MKOMBOZI WA TAIFA LETU
SABABU NI KIBARAKA LABDA DIWANI 😢
Katika jambo hili kama kweli tuna dhamira ya kweli na tunakerwa atufurahishwi tunataka kukomesha haya mambo tuonyeshe Kwa vitendo kama kweli sio mnajuana.
Free Zanzibar
Free tanganyika
HII HAINA KUPEPESA MACHO,CCM NA POLICE NDIO WAHUSIKA WENYEWE WA KUUA,HII DHAMBI NI YA RAIS MWENYEWE.
Polisi, Usalama Wa Taifa, Mahakama ni taasisi za serikali zilizo na watu wa ovyo mno. Soulless people. Devils and Monsters in human form
Yan staona sababu za kugombea au kushliki uchaguz kama katba ita endelea kua hii hii
Viongothi wa thithiemu, na wengine wa chatema kuna mambo mengine midogo hayahitaji chama au siasa ili kupambana nayo Mifano- usafi wa mazingira. Ukasanyaji wa taka.
Mbona inaonekana kama nchi nzima chama tawala ni wachache sana tofauti na zamani randomly research inaonyesha ni ndugu jamaa tu lakini majority siyo wengine ??? Aisee Sina chama lakini na hofu kubwa sana ya uwezekano wa tawala mpya
Rais wetu wapenda amani
Huyu shujaa anafaa kuwa rais na anautu wakibinadamu
Yan nyinyi mna shindwa kumhoji samia maswali mnawaswali watu ambao hawaja ishika dola skupoteza mda huko hamtaki kuhoji juu ya bandar na watuwanao tekwa hovyo mna kaa kutafuta tafta vya kuahoji upinZan.
MUNGU AKUPE AFYA LISSU HAKIKA TUNAIMANI NA WEWE TUVUSHE
Sio kila kifo ni kifo tu!
Hawa waandishi wetu wako shallow sana namna walivyo uliza maswali. They don't ask intelligent questions questions.
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Uchunguzi wako Tundu Lissu acha kudanganya watanzania Mleteni Driver wako aliyekuwa nawewe wkt unapigwa hizo Risasi Feki mmemficha wapi inasemekana yuko Nje ya nchi basi aje akamilishe ushahidi hamjamleta.Nna wasiwasi nae mmemuuwa pia ili asije akasema ukweli hayo mapmbo mnayoendelea kupanga.
TENA MSIBA MZITOO. MAANA NI KILA WAKATI
Tatizo mpaka mahakama nayo amna kitu ni muhimili unaojitegemea lakini kwa ualisia akuna lolote
CCM imechoka haifai kuongoza NCHI lisu ni rais ajae
Huyu lissu fala kwl,sasa kisa mtu anajitambulisha kuwa ni polisi ndo polisi au.. Acha ufala ww uraisi sahau mzee
Rais Samia anataka urais kwa DAMU za WATANGANYIKA? Mbona hatujasikia Wazanzibari wanatekana na kuuana? Kama uhai wa WATANGANYIKA hauna thamani basi NI Bora ajiuzulu madaraka yake ya urais na ikibidi arudi kwao Zanzibar akasaidiane kuwateka Wazanzibari wenzake.
hivi mke wa lissu yule wakili bado wapo nae ? Simuoni tena yule dada jaman mwenye kujua hili maana tulikua tunaona wako pamoja niliona wakasemaa lisu cjui kaoa mzungu nani mwenye kujua
Yuko nje ya nchi na watoto wao
Huko ni kujitia upofu. Hoja zilizopo hapa hazimhusu mke wa Lissu.!!
Umewahi kuhoji alipo mume wa Samia kwenye vikao vyake ?
Kwa nini una tumia umangi meza kutojali serikali iliyopo madarakani kisheria pia na chama talawa
Sijui unatazama wote ni matikiti kama wewe
🇹🇿🇹🇿✌️✌️
Ccm ni washenzi wasio staili kuishi Karne hiii
Kwanini watawala wanapenda utawala wa damu?
Wananchi inatakiwa tujilinde sisi mtu akitekwa tumtafute sisi tumalizane naye
HALI KISIASA NZURI ILA NYINYI MNACHAFUA KWA VITENDO VYENU VYA UTEKAJI LISU ACHA FUJO WW NI MKONGO UNALETA FUJO NCHI ZA WATU KWA UROHO WA MADARAKA . URAIS UPATI NA HAUPATIKANI KWA NJIA HIO
We need explanation through English and kiswahili language such explanation from BBC kiswahili on single language we tanzania we disagree why we use to see ather country use two languages local language and lntanationol language we have seen this for so long enough is enough let we tanzania creatisise BBC kiswahili use single language wich ather country no idea on kiswahili language this explanation from tundundulisu need lntanationol language because is the politician knowing by world that is the tanzania top opposition voice in our tanzania national
😂
Jaji anateuliwa na rais katibu wa bunge anateuliwa na rais haki inatoka wapii?
Sasa c mjichunguze wenyewe maana mlijishambulia wenyewe
Kichwa kimejaa mavi
Kopo
Imekuwa kama DrugCartel killings
Wapinzani si mtoke waendeshe nchi wenyew?
Watoke waende wapi?
Nchi ni yao au yetu sote ?
Unadhani kwa akili zako sambamba na mazingira hayo unayoyaona,hao "Scotland Yard"serikali hii itakubali na kuridhia gharama ya watu hao waje kufanya kazi humu nchini?
Sikutegemea kabisa mwanamke mh
Fakes jiurnalist doesn't know to ask a questions he scared interlocutor.... Where Salim Kikeke...
Which questions?
What were your expetations on the questions to Mr Lissu ?
Ccorrection unasababishwa tukiaminiana anayeteka,
Ccm Hawawezi Teka Mtu Wakijua Wao Ndio Wanaoshutumiwa So Chadema Umeona Inaemda Kwenye Uxhaguzi Na Wao Hawako Tayari Kiushindani Ndio Mana Wanaleta Tahalluki,Shida Kwa Sasa Japo Ccm Wana Mapungufu Lkn Upinzani Ndio Hauna Chochote Cha Maana Kimshawishi Mwananchi
Hii ni Hoja Dhaifu sana. inasikitisha mno kuona Kuna baadhi ya watanzania bado wana fikra hizi
Kama hujapata shida huwezi jua shida ya mwenzako.
Tanzania kuna nguruwe maji nyingi kama huna cha kuongea kaaa kimya
Kama wauaji wanafahamika si wakamatwe na kufikishwa mahali husika ? Polisi hawa ukizidisha muda tu mkutanoni wanakuvaa..
Ukitamka maneno makali unaitwa kituoni..
Ila CCM wao baridiii
Akili hauna