RC MWANRI Kasalimu AMRI kwa MAMA Huyu "Jifanye Unajukuna"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • RC MWANRI Kasalimu AMRI kwa MAMA Huyu "Jifanye Unajukuna"
    MKUU wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, amefanya mkutano na wananchi wa kata ya Ipuli na kusikiliza kero zao.
    Katika mkutano huo akajitokeza mama mmoja na kuelezea kero zake ambapo anadai wanajitahidi kupanda miti lakini baadhi ya wafugaji wa kisukuma wanalisha mifugo yao katika miti hiyo wanayoipanda hali inayowakera sana.
    #RCMWANRI #JifanyeUnajikuna
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More
    Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter
    GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....
    Jiunge na Familia ya Global TV Upande Mtandao wa Mafanikio
    Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club
    goo.gl/mkvuoB

Комментарии • 169

  • @romwaldoamsi2783
    @romwaldoamsi2783 5 лет назад +49

    Nimechek kinyama,kama umefurh kama mm gonga like hap

    • @KaguttaEdson
      @KaguttaEdson 5 лет назад +1

      Mimi nimecheka kidogo nianguke

  • @adenihalisi4218
    @adenihalisi4218 5 лет назад +13

    Kwa jina la baba na la roho mtakatifu ee mungu baba na kristo mwenye neema zake utuokoe😁😁😁😁😁😁 mama amechafukwa na roho hadharani

  • @irenemacha449
    @irenemacha449 5 лет назад +9

    Mama nmekupenda bure.bangi uliyovuta cyo ya Tz

  • @salummtizi1043
    @salummtizi1043 5 лет назад +21

    huyu jamaa bana anajua kuish na watu wake aisee

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego3778 5 лет назад +7

    Dah...😂😂😂😂😂😂,,,nikionaga tu picha ya Mzee huyuuu lazima nifungueeeee...😂😂😂😂

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 5 лет назад +14

    kweli mkuu wa mkoa komedian,na wananchiwake full komedian safi magufuli kutuchagulia waivizaji wa serikali

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 5 лет назад +12

    Konyagi cyo chai

  • @julytito3891
    @julytito3891 4 года назад

    😅😅😅😅😅huyu mama kama vile dadaake nn maan comedia kweli kama Dc mwari ,,,vile amesali chapchp ili awahi kwenye kero yake😅😅😅

  • @lucassalvatory7251
    @lucassalvatory7251 5 лет назад +20

    Rambo kakutana na Mr bean

  • @mutalemwagabriel2277
    @mutalemwagabriel2277 5 лет назад +3

    Nimesikia Wana vijambo😂 au ni masikio yangu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @benjaminduway225
    @benjaminduway225 5 лет назад +3

    Utendaji kazi makiniiii,,,, endelea kufyekelea mbali Mzee wetu MWANRI,,,,,, YOU ARE FOR CHANGE

  • @sethkavenuke123
    @sethkavenuke123 4 года назад

    Kweli ukijifanya kujua wapo wajuaji zaidi yako,ila hy mama chenga

  • @julytito3891
    @julytito3891 4 года назад

    Hapa si unajisahau kabisa hata matatizo yako yaliyokuleta unaanza tu kucheka

  • @manchestercitybettartv5922
    @manchestercitybettartv5922 4 года назад

    Mama nashapata moja balidi moja moto aa mkuu wa mkoa hasante ukuonesha ubaguzi

  • @josetarimo1888
    @josetarimo1888 5 лет назад +2

    Kweli huyu mkuu wa mkoa ni mwalimu na nimchungaji anayechunga kondoo wake kando kando ya maji pasipo kuzama huu ndio uongozi bora

  • @emmanueldundo6046
    @emmanueldundo6046 5 лет назад

    Hapo ndio utajua madhara ya bangi mbichi

  • @haldinkiope4095
    @haldinkiope4095 4 года назад +1

    Kwann wasukuma wanakula mifugo gonga like

  • @jelliusigimbile8976
    @jelliusigimbile8976 Год назад

    Wasukuma wanakula mifugo 😔😔😔

  • @leonardmahunyo5929
    @leonardmahunyo5929 5 лет назад +1

    Daaaah huyu mama kanichekesha sana aseee, aliamua kupita sheli kwanza na akaamua kama mbwai na iwe mbwai😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @selestinmussa5202
    @selestinmussa5202 5 лет назад +11

    apo ndipo utakapo jua kuwa mkuu wa mkoa wa TABORA anaaminika na raia wote wa TANZANIA ususani TABORA
    MH: AGREY MWANRI KOMAA NA TABORA ILI IKAE SAWA
    lakin uyu mama wa ipuli kaniacha hoi🚶🚶🚶

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 5 лет назад +1

    Mama kapiga kamogoli,usukumani kanywa mbetezi,kwawahaya kanywa lubisi

  • @happymoshajustine6908
    @happymoshajustine6908 4 года назад

    Unaongea baba haki konyagi si chai

  • @richardmwalwiba2993
    @richardmwalwiba2993 5 лет назад +1

    haahahhahahahaha kwel tz ya majanga daah

  • @dottomsham9884
    @dottomsham9884 5 лет назад +5

    mmsai ndan ya disko mamamaeeee

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 5 лет назад +1

    Kitu cha mchuzi wa mende kisha vuruga mtu hapo.

  • @amanimusenyi8217
    @amanimusenyi8217 4 года назад

    Huyo mama kajikuna hahaha

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +1

    Umenielewa mkuu wa mkoa 🤣😂😂

  • @hosseamelikioli9410
    @hosseamelikioli9410 5 лет назад

    uyo mama mbona kama kalewa

  • @bahatilaizer8895
    @bahatilaizer8895 4 года назад

    Leo Ndo naiona hii 😆😆😃

  • @josephmayunga7861
    @josephmayunga7861 5 лет назад +2

    Mama mwarabu kawa mbogo kes mwanri yaan wababe wawili wamekutana yaani sukuma ndani

  • @wemapingu8937
    @wemapingu8937 5 лет назад +20

    Huyu mama atakua amepasha kidogo. Sijui ameshtua na Kinywaji gani maana yuko vizuri

  • @boywiz1242
    @boywiz1242 5 лет назад +2

    mitambo imekutan

  • @MwitaGibagiri
    @MwitaGibagiri Месяц назад

    Chuma kwa Chuma😂😅😊

  • @leonardmahunyo5929
    @leonardmahunyo5929 5 лет назад +1

    Na mkuu wa mkoa hapo kwenye asanteee, asanteeee, asanteeee, asanteee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gemkachar
    @gemkachar 5 лет назад +1

    " Naomba unisikilize mkuu wa mkoa" Mkuu wa mkoa kapata saizi yake.

  • @ipyanangajilo226
    @ipyanangajilo226 3 года назад

    Wamekutana

  • @josekamana6322
    @josekamana6322 5 лет назад

    mama umetisha wee ni noma

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 5 лет назад +14

    huyo mama ni ndugu yake ya shilole

    • @KaguttaEdson
      @KaguttaEdson 5 лет назад

      Hahahaha ShishiMagu ndani ya Tabora

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 лет назад +1

    Kaazi kwelikweli!! Mama kaamua apige mambo yake kwanza ndio aje kwenye mkutano, kwetu tunawaita mama la mama.

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 2 года назад

    Uyu mama noma

  • @houseofjudah7470
    @houseofjudah7470 5 лет назад

    SAFI SANA ...NIMEACHA KUANGALIA MOVIE ZA WAZUNGU. .MAANA HII MOVIE TOSHA.MA-STARRING TUNAO KIBAO.

  • @minzaikekashololo5862
    @minzaikekashololo5862 5 лет назад

    Eeee mwenyezi mungu bariki kikao chetu hichi kiwe na baraka na neema TUPU😁😁😁😁

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 5 лет назад +1

    Hakya Mungu,ukistaajabu ya mussa utakutana na ya omari

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni6878 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @agnessjames6533
    @agnessjames6533 3 года назад

    Mh

  • @adamally8791
    @adamally8791 5 лет назад +2

    Mama kalewa huyo, au cjui kavulugwa 😂😂😂😂😂😂

    • @KaguttaEdson
      @KaguttaEdson 5 лет назад

      Kachoka na maisha, kaamua kujitoa ufahamu.

    • @adamally8791
      @adamally8791 5 лет назад

      Umeona Eeeeeh! Watu washachoka na maisha haya

  • @ndihunzefx_tz1174
    @ndihunzefx_tz1174 5 лет назад

    kwa mwenye maradhi ya KISUKARI NA PRESHA, nitafute kupitia whatsapp namba 0765871955, kuna uwezekano wa kupona kabisa! kwa muda wa siku 14 tu! kwa uwezo wa M.Mungu,,wahi sasa nafasi za Ofa ni chachee..Ahsante.

  • @omaryashiraf1136
    @omaryashiraf1136 5 лет назад +4

    Daah hii kwel mwaka 2019 uyu mama dooh atar kwel

    • @KaguttaEdson
      @KaguttaEdson 5 лет назад

      Huu mwaka Wa porojo tu, kazi tushanya na tushachoka. 😀😀😀

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 5 лет назад

    Mkuu wa mkoa ametumia hekima kukichukua uchungu wa Moyo uyu mama kumwambia aombe kwanza.maana maisha.yameshamvuringa Ila ile kuomba ikampoza kidogo.

  • @tugesyegemwakatumbula8125
    @tugesyegemwakatumbula8125 5 лет назад +1

    viloba vimefungwa mama umekunywa nn

  • @paschalmashimba3584
    @paschalmashimba3584 4 года назад

    Mama huyu nae sukuma ndani

  • @magnussanga
    @magnussanga 5 лет назад

    RC,Ongera sana unaishi na wana Tabora like Family Godbless you.

  • @williamfavour2982
    @williamfavour2982 5 лет назад

    Mama umeniongezea siku za kuishi. Ila kiongozi mkuu wa mkoa mnae. Anakiki zaukweli zaupendo sio wale wengine kiki bwebweka

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 5 лет назад +2

    Mapenzi azarani hahahaaa.

  • @damianmhagama2792
    @damianmhagama2792 5 лет назад +1

    mama kagonga vyombo kama kitwanga

  • @happykumburu8222
    @happykumburu8222 5 лет назад

    Kalewa huyu

  • @rashidbusanya883
    @rashidbusanya883 5 лет назад

    Hatari sana utadhan wanaigiza kumbe nikitu halisi mama noma sana zaid ya mwehu

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 5 лет назад

    Nani anaamini kuwa huyu mzee ndie mkuu wa mkoa bora kuliko yote tz?

  • @publicfiguretv5422
    @publicfiguretv5422 5 лет назад +1

    Huyo mama kapiga vyombo sio ivi ivi!

  • @albinishirima6981
    @albinishirima6981 5 лет назад

    😅😅😅😅😅jamani kila nikiangalia vikao vya huyu mzee wetu siishiwi na furaha daar mambo ni fire

  • @dottomakanyanga5214
    @dottomakanyanga5214 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama ubarikiwe umeelemewa na mizigo siku nyingi naona leo umeona sehemu ya kuitua na unaitua kweli kweli😂😂😂😂

  • @richardsimon4863
    @richardsimon4863 5 лет назад

    😂😂😂yan nimejikuta nacheka peke angu

  • @michaelmatias8852
    @michaelmatias8852 5 лет назад +3

    Fyeka ndani

  • @valeryluoga5948
    @valeryluoga5948 4 года назад

    Nimefurahia asbuhi yanguuu 😂😂😂 kama ume enjoy km mimi gonga like hapaa

  • @dottomakanyanga5214
    @dottomakanyanga5214 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama ubarikiwe umeelemewa na mizigo siku nyingi naona leo umeona sehemu ya kuitua na unaitua kweli kweli😂😂😂😂

  • @mohammediallykaboza5862
    @mohammediallykaboza5862 5 лет назад

    du

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 5 лет назад +11

    Mbwa kala mbwa...amekutana na mbabe wake!Mama ni nomaa

  • @1gmakhala
    @1gmakhala 5 лет назад

    Huyu mama lazima kaanzia kupasha kinywaji moto kwanza kabla ya kuja mkutanoni.

  • @nchambinzugwa3985
    @nchambinzugwa3985 5 лет назад

    Asante mama maana wagugaji wana kero sana, wanchungia kwenye makazi ya watu badala ya kuwaletea mifugo wao majani ndani hlf ukiwaambia full kiburi

  • @Diamondvideomix
    @Diamondvideomix 5 лет назад +1

    Mzee alipatikana 😂😂😂

  • @handrichtemu8000
    @handrichtemu8000 5 лет назад

    Wakuu wa mikoa mingine wasingemwelewa

  • @kelvinjonathan4772
    @kelvinjonathan4772 5 лет назад

    😀😁😁😁😁😁😁😁😂😁😁😁😀😀😀😁😁😁.
    huyu mama nilimuona wapi vile..!!???😐

  • @isaiahtzee975
    @isaiahtzee975 5 лет назад

    Hahaha,.Nimeipenda sala yake..ka-flow vizuri aise!

  • @dainesskisinda7531
    @dainesskisinda7531 5 лет назад

    shishi huyu cyo ant yako maana kavurugwa

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 5 лет назад

    Ama kweli Pombe sio chai😂😂😂

  • @renatusboniphace5812
    @renatusboniphace5812 5 лет назад

    Nimecheka hapo kwenye asante asante asante asanteeee😂😂😂

  • @mnasizuonlinetv1437
    @mnasizuonlinetv1437 5 лет назад +3

    Asante asantee asantee eee😂

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 лет назад

    Hii Tabora inaonekana inavipaji comedy za kufa mtu duuuh hahaha

  • @myahudi6951
    @myahudi6951 5 лет назад

    Hahahaaa duh hapa hata km umenuna utacheka tu

  • @yazidu_tz
    @yazidu_tz 5 лет назад

    Kakutana na kichaa mwenzie mamae nimecheka 😂😂😂😂

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад

    walinzi shilikushi wasikie hii kukaba watu😂😂😂

  • @alexjosephat9030
    @alexjosephat9030 5 лет назад

    Wetu wamevurugwa bhna

  • @richardmichael6168
    @richardmichael6168 5 лет назад +1

    Uyuu mother ana smart nia ajione mtandaoni😀😀

  • @julianlukindo4623
    @julianlukindo4623 5 лет назад

    Nikweli walinzi ndiyo wezi hahaha

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc 5 лет назад

    Jifanye km unajikuna eeee

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 года назад

    Mama yuko bomba kabisa

  • @iddishaban6546
    @iddishaban6546 5 лет назад

    ety tushavurugwaa na maisha yetu

  • @felixernesto1366
    @felixernesto1366 5 лет назад

    Maza kapitia kwanza sheli kujipea makilomita za confidence

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад

    nyoosha mkono juu jifanye unajikuna

  • @amanimnyanga2002
    @amanimnyanga2002 5 лет назад

    Kudadeki huyu mm mashine

  • @dj5_tz971
    @dj5_tz971 5 лет назад

    Sasa tabora kuna comedy😂

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa3466 5 лет назад

    Pombe siyo chai

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 лет назад

    Huyu mama kanywa pombe au ni mtazamo wangu tu

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 4 года назад

    Hatar sana uyu mama

  • @boniphectoboniphace7187
    @boniphectoboniphace7187 5 лет назад

    Jifanye unajikuna

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 лет назад

    yani leo nimecheka sana daaa mama uyu uhiiii😂

  • @mweucorg6910
    @mweucorg6910 5 лет назад

    kweli uongozi una changamoto sana

  • @mohdmjawiri4384
    @mohdmjawiri4384 5 лет назад

    Tutaona mege mwaka hu

  • @nickolausngalla1151
    @nickolausngalla1151 5 лет назад

    nimefurah sana

  • @Saintman1966
    @Saintman1966 5 лет назад

    Huyu mama katishaaa kam unamkubali gonga like