MWANRI NA UBALOZI, AMVUNJA MBAVU RC KISA POMBE YA MBEGE "UKIONA VIKUU VYA WILAYA VINAIBUKA ZIBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Aliyewahi kuwa RC wa Tabora na Balozi wa zao la pamba kwa sasa Aggrey Mwanri ametoa semina kuhusu usimamizi wa zao la pamba kwa Viongozi wakuu wa Mkoa wa Tabora.
    Akiwasilisha somo la kanuni 10 za kilimo cha pamba Mwanri amewaomba Viongozi hao kuitumia vizuri dhamana waliyopewa kwa kuhakikisha kilimo cha pamba kinalimwa kwa tija.

Комментарии • 102

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 3 года назад +25

    Nampenda sana Huyu kiongozi! Ktk viongozi Bora kuwahi kutokea

  • @alinanuswe1704
    @alinanuswe1704 3 года назад +19

    This man deserves a ministerial post! He loves his country and he is very serious when it comes to work.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 3 года назад +9

    Mimi pamoja na watu weeengi tunakupenda sana Bw.Mwanri. Naomba Mh. Rais akupatie cheo kikubwa
    zaidi Serikalini. You are serious and frank

  • @rashidibwire429
    @rashidibwire429 3 года назад +9

    WE LOVE YOU SO MUCH MWANDRI

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 3 года назад +5

    Mwanri unaimani sana Wulaya ya siha tunakukumbuka sana ulivyokuwa Mbunge wetu, pia unautuu Mkubwa, nilifiwa na mama angu mzazi mwezi uliyepita na ulitupa mchango Mkubwa sana, mungu akupe maisha marefu mkuu

  • @knyndsknyds8687
    @knyndsknyds8687 3 года назад +7

    Mungu wa tawala na falme zote ampe maisha marefu huyu baba

  • @patrickutouh6307
    @patrickutouh6307 3 года назад +3

    Uyu mzeee nampenda sana tunamuomba mama samia amrudishe ampe mkuu wa mkoa jaman dah! Uyu father ana vitu adimu sana sana sichoki kumsikiliza dah! Kiongozi mchapa kazi alafu anafundisha piah👏👏

    • @patrickpeter1800
      @patrickpeter1800 3 года назад

      Hyu tyl ashasitafu ko kaz kashafanya huu mdawake kpmzuka

  • @papycatalog6578
    @papycatalog6578 3 года назад +16

    Mimi nazani walipo mtoa na walipo muweka rc mstafu wa tabora , Mimi nazani alitakiwa apewe uwaziri flani au apewe mkoa mwingine Ni kiongozi mzuri mwenye ueledi mkubwa kwenye uongozi

    • @rambostalon2888
      @rambostalon2888 Год назад

      Kweli ndugu wangempa uwazili sema nchi hii ya wapigaji sana

  • @zebedayomyengi2312
    @zebedayomyengi2312 3 года назад +17

    Mimi nikimuona Aggrey Mwanri natamani kusikia atakachosema ni anatema madini kabisaaa 🙏🙏🙏

  • @tonykiwelu6792
    @tonykiwelu6792 3 года назад +2

    Mungu amwinue zaidi Mh Mwanri! Chapa kazi Baba

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 3 года назад +4

    Dah Mwanry bado anatufaa sana ktk uongozi.
    Baba yetu Mwanry, Kuanzia leo nakuita Balozi Wa Zao La Pamba

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 3 года назад +2

    ooh my god mungu umbarik uyu mzee anajua kuishi na watu ,nampenda sana sana sana.

  • @robertkayombo1483
    @robertkayombo1483 3 года назад +9

    Daaaaa agrey mwanri kutoka kwenye siasa ni great loss

  • @taifakubwa4299
    @taifakubwa4299 3 года назад +7

    Ngoma ya DAKU, DAKU KULA.... kama umeskia iyo gonga like 😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kimweritz6364
    @kimweritz6364 3 года назад +2

    Nakubari sana Mh. Aggrey Mwanri

  • @jacksonjanet9846
    @jacksonjanet9846 3 года назад +6

    This guy should be President of Tanzania.Rip JPM

  • @samwelmasunga9632
    @samwelmasunga9632 3 года назад +11

    Ni mtu sahihi kwa Uhamasishaji huyu mheshimiwa.

  • @bennie7239
    @bennie7239 3 года назад +6

    This guy is smart & funny 😊

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 3 года назад +1

    Yuko vizuri

  • @zakstv7368
    @zakstv7368 3 года назад +6

    I miss daddy 😒I'm so happy to see you again nimependa hiyo dua😂😂😂😂

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 3 года назад +6

    Mwanri, Nenda Misri Ukaone vile pamba ya kiwango cha juu inayotegemewa duniani inavyolimwa then leta ujuzi huo Tanzania, utafanikiwa kuikomboa Pamba Tanzania.

    • @simonpure109
      @simonpure109 3 года назад

      Tena waweke kambi ya vijana Kama ile ya Israel wakati ule!!! Unisex camps, my people are sin sick seriously...hapa kazi tu🤣🤣🤣

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 года назад +3

    PERFECT!!

  • @mangeo2562
    @mangeo2562 3 года назад +4

    SACP KIONDO NA AGGREY MWANRI SAFI SANA MKO VIZURI

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 3 года назад +3

    Hv Mama hamuoni huyu jamaa hahahha nimeipenda hio dua mwishoni, this guy is super smart! Such an inspirational speaker!

  • @stephanoedimund7841
    @stephanoedimund7841 3 года назад +1

    Team inaelewana (Wanafanya Kazi Pamoja)

  • @jimmykimotuo8065
    @jimmykimotuo8065 3 года назад +2

    Kwann Mama asimpe Cheo jaman?

  • @gervaswmigayo386
    @gervaswmigayo386 3 года назад +4

    taifa letu,linahitaji watu,kama hawa akisema tunamwelewa sana kuliko,baadhi yawengine tena,wananyazifa za,juu,kabisa lakini hawajitambui,kwa nyazifa zao hawajui lolote hiz saut,tumezimis,sana jamani,mpeni uwazili hata wa,kilimo umwangalie,pia chalamila naye,nijembe,letu gwajimaboy na polepole inchi itakimbia kiuchumi sana,

  • @shafimuhsin7685
    @shafimuhsin7685 3 года назад +2

    Maneno mazima mh Mwanri nakukubali sana mzee wa somaaaa iyo🤣🤣🤣

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 3 года назад +2

    Yan ayo msiache habar za uyu azichoshi

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 3 года назад +2

    Mama sijui hamuoni huyu apewe wizara ya mambo ya ndani

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 3 года назад +1

    namtia konzi ndi ndi ndiii ntii ntiii ntiii kama ngoma ya daku...daku kulaaa daku kulaaa 😂😂😂 engineer soma hiyoooo hupo vzr father.

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +2

    Huyu baba ana sema kweli 😀😀

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 3 года назад +3

    Tlikupendaa

  • @allyabdallah3980
    @allyabdallah3980 3 года назад +6

    Salute kamanda

  • @alhajimaziku9399
    @alhajimaziku9399 3 года назад +2

    Nakagonga Kama Ngoma ya daku nan kainyaka Kama mm

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 3 года назад +3

    Tulimmiss mzee wetu la!

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад

    kwel

  • @chekanamrabraso7713
    @chekanamrabraso7713 3 года назад +2

    safisana tunataka viongozi kamaawa

  • @benitoilulatvpilla144
    @benitoilulatvpilla144 3 года назад +1

    Miss sana huyu mtu

  • @maikomwaryobawaryoba3804
    @maikomwaryobawaryoba3804 3 года назад +3

    Natamani huyu mzee aje awe rais wa Tanzania

  • @amashambowe1583
    @amashambowe1583 3 года назад +1

    Huyo mzee anafan ya ukomed

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 3 года назад

    Nafurahi kuiona Serikali ikimtumia Mh. Aggrey Mwandri...
    Ni kiongozi wa maono sana...

  • @mossesmuumba350
    @mossesmuumba350 3 года назад +2

    Hilo tangazo bwana mda mwingine lina kera braza kaka

    • @beatricelewanga1376
      @beatricelewanga1376 3 года назад +1

      Silipendi kabisa likianza tu nasogeza mbele Palm village....,...

  • @erickdeodati5770
    @erickdeodati5770 3 года назад +2

    Huyu mtangazaji anaboa sana yaani anaanza kutuadisia kitu ambacho kinasemwa tena na muusika punguzeni maelezo

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 3 года назад +3

    Sasa nishapata kiongoz wa kufuatilia habari zake maana tokea huyu jamaa atoke kwenye siasa nilishindwa kufuatilia habar za viongoz maana hua sielewi wanacho kiongea. Apa naona ni km man U ujio wa Ronald

  • @musaselemani6091
    @musaselemani6091 3 года назад

    Good person

  • @lidyamangowi1340
    @lidyamangowi1340 3 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda sana

  • @hamismabula5813
    @hamismabula5813 3 года назад +5

    Mwanri ww ni burudani tosha kbs!
    Una kipaji!

  • @lucasnkingwa9890
    @lucasnkingwa9890 3 года назад +1

    Haii

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 3 года назад +1

    kwanini huyu baba alitoka kune mkuu wa mkowa ???? jamani munao juwa mnifahamishe

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 3 года назад

    shemeji yangu Mungu azidi kukuinua unastahili

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Год назад

    😂😂😂😂😂😂I like him

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 3 года назад +5

    MWANRI UNGESTAHILI URAIS 2040🤣🤣

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 года назад +1

    Mwari huyooo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад +2

    Komoni, Dadi ,wanzuki mmmmmmm

  • @yussufmohd5281
    @yussufmohd5281 3 года назад +2

    Kama ngoma y Daku

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 3 года назад +3

    millard hili tangazo la palm, liweke mwishoni basi, najua ni sehemu ya kipato chako bt plzzz, liweke mwishoni

  • @hamisjuma7573
    @hamisjuma7573 3 года назад +2

    Njoo na mwakitolyo ww utoe elimu hiyo

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 года назад +1

    Raisi ajae

  • @allbrightsteven2764
    @allbrightsteven2764 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂 kila mtu atauchua mzigo wake mwenyeee

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 3 года назад

    👍🏽👍🏽👍🏽

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 3 года назад +1

    Kitambo sana ase sijamsikia

  • @pmall8867
    @pmall8867 3 года назад +1

    Unafikiri ngoma ya daku ndindindi 😂😂😂

  • @tsaonethapelo6373
    @tsaonethapelo6373 3 года назад +4

    Kipindi cha JPM maisha yalikuwa matamu sana

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 года назад

    👍

  • @julietmlaki2816
    @julietmlaki2816 2 года назад

    MILARD,TAFADHALI TUNAOMBA KUJUA HII SHIDA YA MANI WIKI SASA HUKU TEGETA.

  • @hezronmlwale7416
    @hezronmlwale7416 3 года назад

    Hahahahah!! Mr Full stop!

  • @djmatia2313
    @djmatia2313 3 года назад +1

    Wamuache apumzike ..atafanyaje kaz na corrupted government

  • @djurio
    @djurio 3 года назад +1

    Huyu mtu Bado watanzania tunamwitaji.....Mwamasishaji mzuri na anatia watu hasira wajitume...

  • @Jal210
    @Jal210 3 года назад

    Mama mpe uwaziri wa mambo ya ndani

  • @mwidinijuma8214
    @mwidinijuma8214 3 года назад

    Mama mpatie ukuu wa mkoa alijichanganya tu kwenda kugombea ubunge bado anastahili kwenye uongozi wako

  • @yoellucas2517
    @yoellucas2517 3 года назад +1

    Tangazo lenu linachosha

  • @agnesmajuramangombe986
    @agnesmajuramangombe986 3 года назад +4

    Tangazo liweke mwishoni mana linatukera

  • @modestmashalloh567
    @modestmashalloh567 3 года назад +1

    Mwamba

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 3 года назад

    😃🦓

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 3 года назад

    Na kweli MWANDISHI ni MBEHO WACHAGA MMENIELEWA🤣🤣

  • @victorylearningcentre3082
    @victorylearningcentre3082 3 года назад

    Natamani awe mkuu wa mkoa wa dar tunyooke

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @mohamedidrisa4192
    @mohamedidrisa4192 3 года назад +1

    Tangazo mnatakiwa mliweke katikati maana mwanzo inatia uvivu kusubiri mpaka liishe

  • @flova7022
    @flova7022 3 года назад

    Hahahaha kiapo a.k.a sala

  • @tabletennis6296
    @tabletennis6296 3 года назад

    Mkuu naomba unirithisishe hiyo koti😂

  • @faustinimichael5840
    @faustinimichael5840 3 года назад +1

    O0