MWAMPOSA ATOA NENO KWA MARA YA KWANZA BAADA YA VIFO VYA WATU 20 MOSHI | WALIOKANYAGA MAFUTA.
HTML-код
- Опубликовано: 14 авг 2024
- Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kutokea kwa viifo vya watu 20 waliokanganya mafuta kwenye ibaada yake Moshi.
Развлечения
Mungu ni Neema na Rehema, Mungu akuinue zaidi mt mwamposa
Hakuna uponyaji kwenye mafuta someni maandiko
Mungu azidi kukuinua MTUME NA NABII WA MUNGU. Usijali maneno yao. Mungu yupo pamoja na wewe. We love you dady
Mwamposa number one Mungu amlinde mtume wetu Aleruhja Aleruhja Aleruhja 🙏🏽
Ameni Mwamposa hata Yesu alifanya mengi mazuri lakin bado majaribu yaliibuka na hata kuuwawa kama ilivyo kawaida uongo na ukweli Ni vitu ambavyo havishabiiani kwa hiyo Kwakuwa Mungu hana chakufananishwa nacho wala wakufanana nae basi Ukweli utabainika na usisahau kuwa Kuna maadui wasiofurahia kabisa hata uwepo wako Ila Mungu akutie nguvu katika hili Mungu ajidhirishe pia katika hili inauma kwa ndugu waliopoteza ndugu zao Ila Mungu awatie nguvu katika Dunia kunaimani nyingi sana na kila mwanadamu ana Imani yake ambayo ana Amini Ni msaada kwenye maisha yao kwahiyo tusihukumiane kwa Ajili ya imani ya mtu Mwingine prngine wewe ukajiona Bora lakini kwake Mwenyezi Mungu so bora Tumuombe Mungu atujaalie Mwisho ulio Mwema na Tukaijue kweli na Kuifuta kweli hiyo 🙏
Jim uko vizuri sana mungu akubatiki na nakutakia Sunday njema
Mengi yatazungumzwa ila ukweli hautakuja kueleweka kwamba ni mafuta ya kweli au la,la msingi ni watu kumwamini Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yao na kuishi maisha ya utakatifu tu ndio dawa pekee.
Mtu mwenye uwezo wa kujua imani ya uongo ni ipi ni yule ambae ana ukaribu wa hali ya juu sana na Mungu katika Kristo Yesu.
Wengi wanaotoa hukumu katika hili hata wao maisha yao ni machafu kwa hiyo hawawezi kutoa tafsiri sahihi.
Dunia inapita pamoja na mambo yake,la msingi ni kuikwepa dhambi kwa nguvu zote na kumchukia Shetani na kazi zake kwa nguvu zote,tofauti na hapo ukweli hautajulikana na Mungu atanyamaza kimya maana wote ni wachafu hakuna wa kumkosoa mwenzake tunaishia kutapatapa tu.
Nichukue nafasi hii kuwapa pole wafiwa,wanapitia vipindi vigumu tusivyovijua.Wapo ambao huenda wanefariki wakiwa wamemwamini KRISTO na huenda wamerudi kwake.
Tusitukane wala kubishana,dawa ya kuushinda ubaya ni kwa kutenda mema,ukitaka kuujua uongo ni lazima uujue ukweli kwanza, na ukitaka kumkosoa mkosaji jitakase wewe na uwe na ushuhuda mwema moyoni mwako kwanza.
MUNGU AWABARIKI.
Amen
Kweli tupu
Apo umeenena
Umeongea kitu sawa kabisa. Ubarikiwe sana
Tuamini mafuta au tumwamini yesu nakama tuna mwamini yesu mafuta yana faida gani katika ibada kumekuwa na ukristo maigizo sana na ndio unatumaliza sisi wakristo
Safi sana, Mungu ni Mtenda Miujiza,.... Nilisema kama ni Mungu huyu Atakuokoa ila Kama sio yeye unayemtumikia usingekuwa huru kwa Dhamana, Mungu awe pamoja nawe Siku zote.
Kila bays na zuri in kutoka kwake Mungu. Tuseme alihamdulillah jina LA Bwana lihimidiwe. Pole bonifas mtumishi Wa Mungu pole wafiwa wore Mungu awatie nguvu
Mwamposa ni mstarabu sana. .Jamaa wala hafanyi act nimeshawai kukutana nae sura kwa sura. . Anabusara sana. Mungu anasimamia. . Na wafiwa mungu awape nguvu
Duu wee na yeye ni mashetani ya kihindi
Tatizo unahukumu bila kujua uwezo wa Mungu. ... Mungu anajua yupi yupo sahihi. .. Sisi ni wanadam tutarudi udongoni wala hatutakiwi kuukumu
@@justinejulius3544 kaka siyo kosa lao ni kosa la wale wanaopandikiza mbegu za chuki ktk mioyo yao badala ya upendo
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, maarifa ni neno la mungu yesu alisema hao manabii wa uongo mtawatambua kwa matunda yao mti mzuri huzaa tunda zuri mti mbaya huzaa tunda baya matunda ni matokeo ya kazi zao ,,uliskia wapi watu walikufa katika huduma ya mtumishi wa kweli wa mungu,,, watakufa sana maana walipuuzia neno
MKUTANO WA Yesu watu wanakufa vp Kwa KUKANYAGANA? Hio damu iliomwagika hapo inaenda wp?
MUNGU msaidie Baba Yetu aendelee kuombea watu kwa Iman iliyo yakwer nawatu wazidi kumwamin MUNGU AMINA
Hakuna hioo ata kamana mtamlilia mara ngapi Mungu hawezi saidia mtu wa shetani kama alivyo mwamposa wenu
Mungu Azidi kuwa pamoja nawe achana na wanaokutukana Mungu atawabananisha kisawasawa, na watakuja kukuomba msamaha na Watafunguliwa, Na nguvu ya Mungu itendayo miujiza, waache wengine watapigwa na Ukoma hivi hivi wanajiona na lengo ni kufunzwa,.. Maandiko yanasema Usiwaguse wapakwa mafuta wa Bwana, sasa wewe endelea utakiona unachokitafuta. Mimi sio muumini wa dhehebu la Mwamposa ila ninaheshimu Mafuta aliyopakwa, nina amini Huduma zote Tano za Mitume na Manabii, Wainjilisti Wachungaji na walimu. 🔥 🙏 🔥
Pole
wewe unafikiri mungu Ni wa kijinga kijinga tu anatumia Kira fara tafuta roho mtakatifu acha ushabiki maana Kira mmoja atasimama mbere za mungu kutoa hesabu
Mbona hukuwafufua hao uliowauwa moshi..wew baba wew mwogope mungu kuna kufa...
TUNAKUOMBA WW S UNAWEZO WA KUWAFUFUA WAFUUE BAS PUMBAV KABISA WW NILOGE BAS NA MM FALA WW
Sio kila mtu ana karama hiyo, kama hujui biblia kaa kimya
Hata Bwana Yesu alidhihakiwa kwa kuambiawa km wewe ni mwana wa Mungu jiokoe
Nyoooo
Nakuombea sana uishi miaka miamoja kaka Yangu mwamposa umenionyesha njia yakupita ili nisimchukize mungu wangu ubarikiwe sana
Herena soma maandiko utaujua ukweli,hakuna mungu kwenye mafuta,chumvi,kitambaa,sabuni nk
Ni nabii wa wongo anaongozwa na freemason
@@alvaamisse7510 Jesus Kristo ni bwana na mwokozi wa dunia
@@shukhuranpetro5796
Yesu Kristo anaweza yote
Piga injili baba...injili lazima isonge mbele...majaribu ni mtaji..siyo lazima Kila mtu akuelewe...hata Yesu hakueleweka kwa Kila mtu Na hakulazimisha mtu kumwamini Na kumfata....Roho za marehemu zipumzike kwa amani...Wafiwa roho mtakatifu awape faraja yake... Amina
Nakupend sana mtumishi wa mungu mwamposa
Mtangazaji yuko smart sana kwenye kuuliza na kuhoji
Nyota izidi kungaa kwa kafara yako mzee uko vzr Siri ya maisha yako naijua mwenyewe mzee cwz kukuhukum mm Bali ni Mung pekee
Ote mko chama kimoja kumbe
Umuhukumu mara ngap hapo tayari ushamuhukumu na pia hongera kwa kushirikiana nae kwa maana hakuna hajuwae mchawi kama na yeye siyo mchawi
🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu naomba ukaangalie biashara yangu mungu naomba ukaniongezee wateja pia Hela ikawe na mafanikio kwangu
Mungu mwema akutie nguvu na akupe miaka mingi yenye baraka🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ndo wa kuabudiwa ty sio Binadam mwenzako
Kweli kabisaa
Nakuunga Mkono Brother
Kwani hapo we unaona anaabudiwa nani?
Ukweli anajua Mungu moyo wa mwanadamu ni kichaka aonae ni Mungu tu
Amina sanaaaa shujaaaa mkuki wa sauli hautakupata kwa jina la yesu simama ewe shujaaaa
Biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa sio kosa lenu kosa ni kukosa maarifa na kuto kuijua biblia vizuri
Sikumoja mtajua mafuta nnn
Amina mtumishi mungu akutie nguvu kwa hili unalopitia
anapigiwa adi salute
Utaulizwa juu ya vifo hivyo ,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mafuta ni mafuta ila Mungu ni Mungu
Mungu ni mwema sanaa na akubarikii mwamposa
Sijamuelewa niliondoka kabla shida haijatokea kukimbilia kokangamano lingine..mara nilienda ili kule nako kusije kutokea shida nyingine. Mungu atafunua watu wake macho
Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa maarifa
Kati ya watu walio kanyaga mafuta wakapona ni mimi mmoja wapo barikiwa sana mwamposa
Waooo nice
Damu yako hawakuitaka freemason, hakuna ukweli wowote wa kukanyaga Mafuta katika biblia, masikini mnaangamia kwa kukosa maarifa kasome hayo maandiko
Siwema mitingi Mahenge
Uwezi kuamini lakini nimepona ugonjwa niliokuanao baada ya kukanyaga mafuta majira ya sa12.30
Pole sana kak kwahiyo umepona kabis?
Gharam yake ni nin?
YESU alisema mtaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapata Afya, yametoka wapi ya kukanyagishana mafuta? Waurimwengu mwogopeni MUNGU
Mungu azidi kukuinuwa mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi ,Jimmy upo vizuri na kazi yako barikiwa
Mungu akubarki mwamposa uko saw tuko pamoja bro
Imani ndio inaponya sio mafuta
Mungu akufanyie wepesi kwenye kila jambo na wanaokusema vibaya mungu hatawashuurikia.
razima Kira mjiga awe na mavipofu nyuma yake yamo tu yanayo sapoti ujinga wa mganga wa kienyeji mwamposa hayanaga roho mtakatifu matomaso yasiyo amini mpaga yesu atarudi haya amini tu
Mungu akulinde mtumishi, Ahsanye Yesu Christo kwa kutupenda
Ataendelea Kuwaua Hao Ndo Manabii Wa Uongo Kama Yy Ni Mtume Aende Mortuary Akawaamshe wote Think Big
Mungu atusaidie kuelewa kabisaa hapa ni upofu wa macho na fikraa na ndio maaana tunazidi kuangamia
Mafuta ya upako anatoa wapi,? Mbona yesu hajayatumia
Kwan ww kilakitu alichofanya yesu ndo unatakaafanye asa atakuwa mtume au yesu kaka mkubwa a have a strong mind
Dah kweli pesa kuipata akili za. watu ukizitia imani unatoboa
Acha🍁🍁🍁
kama umemuelewa Jamaa anajua Jim's ya kuuliza maswali
Pole mtume, ninavyokupenda nakuombea afya na uzima baba.
Mungu baba azidi kukutetea mtumishi Boniface Godwin Mwamposa Bulldozer na watumishi wote Kwa kuendeleza neno lake
Amennnn🤣🤣🤣🤣
KAMA UMEONA JAMAA ANAPIGIWA SARUTI KAMA MKUU WA JESHI GONGA LIKE
abuu maryam hyo Kam Sheria
Unaaambiwa bunduki haiui watu ila watu ndio wanaua watu mtumishi hana makosa watu ndio hawana subra wangefuata utaratibu hapangekufa mtu
Kabisa
Watu ndo wanaua watu, Nae ndo hao amewaua, usiusingizie utaratibu na Mafuta.
Kwahyo yeye malaika au?
Brown uko sawa ma dear ,ila unajua nn ktk mambo Kama hya ya kidn mungu atuongoze kwa kweli mungu ndo anapasw kuhukumu na c ss bnadam
ruclips.net/video/TB_hSc7MkGA/видео.html
Uwezi lipa dam za watu walio poteza maisha yao kwa utapeli wako zidi ya taamaa za kujipatia Mali kwa njia za Udanganyifu!
Kama umeoyona iyo gari ambayo kashuka gonga like
Hapa ningesababisha mimi vifo vya watu wawili msingeniona hata kwa vyombo vya habari
ruclips.net/video/TB_hSc7MkGA/видео.html
Kweli hata mm naamin ila Mungu ndo anajua Siri zote
Kweli sbb wewe si Mwamposa. Watu hutofautiana
😆😆😆
@@elimikasasa643 kwa sababu mimi sio mwamposa sawa kabisa hata ww ni kama mimk kama unabisha sababisha
Hv kiongoz wa kiroho anapigiwa saruti😇
kwa allah kuna kazi sana sema kila mtu na njia yake akuna kucheleweshana .piga pesa wacristo si wamilala bwana.afu jama ni fremasson kama nihona bendera ya mericani na msumbji inakuaje kafala imikubalika.im musilim kudadeki
Wivu tu unakusumbua we jahidina mambo ya wakristo yanakuhusu nini?
Pole sana mtumishi wa Mungu
Waoooo! Nimefurahi kukuonatena
Irene Mwanaa hay
Hi
Umefurahi kumuona yeye vipi wale waliopoteza Baba, mama, watoto, na ndugu zao? Ama kweli binaadam mins ubinafsi Sana. Mungu anawaona lakini na atawahukumu tu.
Unaambia watu wamuamini mungu mbona we unatembea na walinzi kibao inamaana weww uamini Mungu ,jamani binadam
Angines omba Mungu akupe hekima sana usiwe na mihemuko ya kutukana mtumishi.
ruclips.net/video/TB_hSc7MkGA/видео.html
Duuh mwamposa
Mungu Akulinde mtumishi wa Mungu Amina
Mungu akutie nguvu mtumishi ktk kipindi hiki kigumu
Amen I love you so much mwamposa
Baba nakuombea Yesu akutie nguvu
Mungu azidi kukuinua baba katika kipindi ichi kigumu
Arise and shine👍❤❤❤❤❤❤❤sana !Bro Mwamposa endelea kutangaza injili , kila jaribu lina mlango wakutokea ndomana Mungu amekupa jaribu hili!! Hakuna wakukubadili kamwe ❤
🙏Amen
Iv kuna mtu alishawahi kufunguliwa nakua tajiri au mtumishi ndio anazid tu kua tajiri?
Bibilia ndo nini nikae kimya ndo nini kwann ww hukuenda kufa na wale Moshi kama unaipenda Bibilia Acha ushamba ww nenda naww kafe bas
@@allyfaniture404 wewe tayari unaitwa Ally na babaako ni faniture so huwezi jua chochote kuhusu bible
Hahaha haya bhana amiin ivyo ivyo
Wanaomtetea hao ndio wasaidiziwake hata baiskeli hawana
Mungu akupiganie mtumishi wa mungu
Mtume mungu akutie nguvu ukatende kazi ya bwana
jikisanyie mapesa ya mazumbukuku hao si wanaleta wenyewe bwana
Biblia hujui kaa kimya
Na kweli awajielwi kabisa hao
Nabii alietoa wengine sadaka
Acha dharau na kumwita mwanadamu mwenzako zumbukuku, jiheshimu au unadhani ww ni wa thamani au wa maana sana kuliko wengine?
@@agneslimbe578 Muwe mnaweka akiba ya maneno.
Msachi seneta kiraka RUclips msanii wa singeri
Mungu mwema amtetee mtumishi wa Mungu
Poresana. Mungu. Atasaidia. Tuuu. Yeye nimwema
Jaman nimefurah kumuona mtumishi wangu hadi raha jaman mpak amepungua
Mwuuuu
Sawa na raha lkn huwezi jua maumivu tulio jisikia wengine kwa mungu wote tupo kwenye foren na huyo mwamposa wenu sie atakae wapeleka mbinguni ila na yeye yupo kwenye foleni muabuduni tu
Kweli watu wamepigwa upofu
Niboma David hamna kipofu wewe ndo kipofuu
Kinapalilia ujira wake
Mungu akutie nguvu mwamposa
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa hekima ya mungu iliyoko ndani yako
Kesho kwa Allah kuna kqz kubwa san
Kabisa,et mtume!
Amri Malumbo hahahhahah
Hakika kazi ipo
Sana wallah
Nimekuhurumia baba,Yesu akutie nguvu tena
Juhaa
Amen
Duuh
ruclips.net/video/TB_hSc7MkGA/видео.html
Hivi Haya mafuta. Justis wap maan papa mtume Paulo mwenyew hana Mmmmmh hii Kali yao wakomexhe Mzee baba
Kayatoa wap
Mungu akutie nguvu mtumishi kwa kipindi hiki unajopitia
🤣🤣😂😂🤣Vipofu wasio ona mna macho lakini hamuoni
@@stevensimtoe2989 haya sawa mm sioni lakini usihukumu usichokijua wa kumhukumu ni mungu pekee
Watu nyomi kanisani aisee Kama kawaida ..mwamposa oyee
Sisi tunasema Yesu oyeee, wingi hau justify ukweli huu ni ushetani.
Leo lile cheni lake hajalivaa au mpaka apande kwenye madhabahu yake YESU tuokoe na uturehemu kwa damu yako ya thamani AMEEN
We fara nahisi ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa halafu wakafa...!!
Paul kessy inaonekan ww humuabud Mungu unamuabudi mwanadam mwenzako huna hta aibuu eti mwamponsa oyee mxciuu 😏😏😏😏
adija adija naisi ujanielewa kabisa ...Sina Mana iyo
Mungu akupe nguvu,mtume wa Mungu
Acha wehu wewee mtume wa mungu ni Mohammad s.a.w huyo ni mpiga hela tuu
Someni kumbukumbu la tolati 33-24-25
@@jamalkimbililo9127 😂😂😂
Amen baba, napokea kufunguliwa
Chiku Muya hongera sana
Ukiwa ndani ya hiyo v8 ...uko sawa na aliyepanda ndege🤣🤣🤣
Mashimo unayasahau
😂😂😂😂😂
Nasibu Gunda 😂
😂😂😂😂😂kabisaaa
Hamna kitu apo utapeli tu,kaifanya dini kuw biashara tu hapo...waliemtuma wamefaulu sasa akili kwenu endeleen kumfwata...Akili kunkichwa apo
Tuliza kimdomo chako wewe dada Acha kuongelea uchawi kwenye mdomo wako Acha laana zako fanya yako
Hanna kitu hapo, wewe una nini? kama hamnakitu wewe ulika kuwe na nini, mbona maka watu wanakufa kwenye hija tena wengi lakini watu hawaachi kwenda kuhiji,
@@chazijoji7183 atapeli na yy kama rahisi
Naima pole kwa sababu hujui mafuta na hujawahi fika fika uone siyo unasema matapeli wew ndo tapeli
Mwandishi big up unajua Kazi yako
Don't Give up dear Take heart mungu yupo
Mchungaji ana bonge la ndinga na bodyguards ama kweli uchungaji unalipa
🤣🤣🤣🤣ngoja na me niwe mchungaj
Watu wapo nyomi kanisani utadhn hakukukuwa na shida tena shida ya vifooo
Mwamposa upon vizuri, hayo ni majaribu tu, na mungu atasimama, kwa kuwa unafanya Nazi bwana,👏👏
Wakufe tu tena maan hawasikii
Wakufe tu, kama walivyo kufa kule maka wakati wakimpiga mawe shetani pale alkaba, usiombee binadamu wenzio vifo, tafakari juu ya maombi ya ubaya,
@@khadijakhadija6212 😢😢😢😢
Weee ulitakaje
Mungu akutie nguvu
Mungu akutie moyo mtumish
Watumishi inabidi kuwa makini sana’ na waumini pia inabidi kujiuliza sana Juu ya imani mbalimbali...!
Mi najiuliza hivi UPAKO ni baraka na kitu kitakatifu mbele ya imani’ Sasa unaweza kweli kukanyaga kitu KITAKATIFU..?
Eeh anapigiwa na salute pia aysee 😲
Islam is my religion
Amina
Siku za mwisho, kutakuwa na manabii wa uwongo.😂😂😂.
Had amepungua jmn kwel hil n jarib litapita
Kuua watu Ni Jaribio Ingekuwa Ww Umefiwa Ungesema Ni Jaribio Think Big
@@lunyabamapesa5575 wizitu kama kweli mtume mbona kashindwa kuwaombea watu wakafufuka na waliolemaa wakapona? Hapo ndio utajua huyo ni mpigaji tu
Yeye kapungua vipi wale ishirini ambao hawapo kabisa duniani watu wamepoteza wazazi, watoto zao na ndugu zao eti unaongelea kupunguza kweli,?
Mchungaji wangu nakupenda, mungu akutie nguvu baba
nacheka sna . al hamdulillah kua muislamu.
Vijimama Ndo viko shapu kuchangamkia mafuta yani wanawake sijui watazinduka linii walianza kuzingua eden,hawajakoma aloo jamani jamani mbona mna macho na hamuoni roho inaniuma sana
😂😂😂Hiii sura siiamin kama kwel ina yesu ndani yake
🤣🤣🤣sura ya upako jamn ndio maan ina upole 😂😂😂
Ni sura imebarikiwa
Mungu akutetee mtumish wa mungu
Upumbavu wa mwanadam ni imani.
wanaoenda kuhij maka wanakufa kila mwaka. tena wengi tu. hao wanasifiwa et wamefia maka. kuna wakat ukizitafakari hizi imani kuna vitu vingi anasingiziwa Mungu. lakn ipo siku tutajua ukweli tu.
Ww Una dawa sio bure khaa
Kweli kabisa yani anavuta ulete
Dawa ziko maka mnakokanyagana Kila miaka
@@yohanamalakasuka5390 ukweli unauma
Naomba namba yako khadija
V8 haipatikani bure....
Sjui mmenielewa?
Mafuta inazaa mafuta ya v8
Esi
Mtumishi simama na neno wa kuhukumu ni Mungu si mwanadamu Isaya 41 10:_15
Mungu azidi kukuinua kwenye huduma yako. Nimefurahi kukuona tena unasimama na neno la mungu
Mungu unae muabudu akutie nguvu yakusonga mbele because dhahabu ili ingae nilazma ipitishwe kwenye moto.
TOYOTA LAND CRUISER V8😂😂😂
elius kamwelwe pesa za maskini michango yenu wenyewe
Mwamposa
Hatari sana V nane
We una gari gani elius kamwelwe