MWAMPOSA ATOA NENO KWA MARA YA KWANZA BAADA YA VIFO VYA WATU 20 MOSHI | WALIOKANYAGA MAFUTA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 авг 2024
  • Mtumishi wa Mungu Boniface Mwamposa amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kutokea kwa viifo vya watu 20 waliokanganya mafuta kwenye ibaada yake Moshi.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 917

  • @elisantemsuya1399
    @elisantemsuya1399 4 года назад +11

    Mungu ni Neema na Rehema, Mungu akuinue zaidi mt mwamposa

  • @merysamwel3100
    @merysamwel3100 4 года назад +4

    Mungu azidi kukuinua MTUME NA NABII WA MUNGU. Usijali maneno yao. Mungu yupo pamoja na wewe. We love you dady

  • @davidwatson4294
    @davidwatson4294 Месяц назад

    Mwamposa number one Mungu amlinde mtume wetu Aleruhja Aleruhja Aleruhja 🙏🏽

  • @winifridasylivestermachila9490
    @winifridasylivestermachila9490 4 года назад

    Ameni Mwamposa hata Yesu alifanya mengi mazuri lakin bado majaribu yaliibuka na hata kuuwawa kama ilivyo kawaida uongo na ukweli Ni vitu ambavyo havishabiiani kwa hiyo Kwakuwa Mungu hana chakufananishwa nacho wala wakufanana nae basi Ukweli utabainika na usisahau kuwa Kuna maadui wasiofurahia kabisa hata uwepo wako Ila Mungu akutie nguvu katika hili Mungu ajidhirishe pia katika hili inauma kwa ndugu waliopoteza ndugu zao Ila Mungu awatie nguvu katika Dunia kunaimani nyingi sana na kila mwanadamu ana Imani yake ambayo ana Amini Ni msaada kwenye maisha yao kwahiyo tusihukumiane kwa Ajili ya imani ya mtu Mwingine prngine wewe ukajiona Bora lakini kwake Mwenyezi Mungu so bora Tumuombe Mungu atujaalie Mwisho ulio Mwema na Tukaijue kweli na Kuifuta kweli hiyo 🙏

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 4 года назад +15

    Jim uko vizuri sana mungu akubatiki na nakutakia Sunday njema

  • @fraycokahise7932
    @fraycokahise7932 4 года назад +21

    Mengi yatazungumzwa ila ukweli hautakuja kueleweka kwamba ni mafuta ya kweli au la,la msingi ni watu kumwamini Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yao na kuishi maisha ya utakatifu tu ndio dawa pekee.
    Mtu mwenye uwezo wa kujua imani ya uongo ni ipi ni yule ambae ana ukaribu wa hali ya juu sana na Mungu katika Kristo Yesu.
    Wengi wanaotoa hukumu katika hili hata wao maisha yao ni machafu kwa hiyo hawawezi kutoa tafsiri sahihi.
    Dunia inapita pamoja na mambo yake,la msingi ni kuikwepa dhambi kwa nguvu zote na kumchukia Shetani na kazi zake kwa nguvu zote,tofauti na hapo ukweli hautajulikana na Mungu atanyamaza kimya maana wote ni wachafu hakuna wa kumkosoa mwenzake tunaishia kutapatapa tu.
    Nichukue nafasi hii kuwapa pole wafiwa,wanapitia vipindi vigumu tusivyovijua.Wapo ambao huenda wanefariki wakiwa wamemwamini KRISTO na huenda wamerudi kwake.
    Tusitukane wala kubishana,dawa ya kuushinda ubaya ni kwa kutenda mema,ukitaka kuujua uongo ni lazima uujue ukweli kwanza, na ukitaka kumkosoa mkosaji jitakase wewe na uwe na ushuhuda mwema moyoni mwako kwanza.
    MUNGU AWABARIKI.

    • @simonmtuka8473
      @simonmtuka8473 4 года назад

      Amen

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 4 года назад

      Kweli tupu

    • @salumhemed2437
      @salumhemed2437 4 года назад

      Apo umeenena

    • @jofreysanga9520
      @jofreysanga9520 4 года назад

      Umeongea kitu sawa kabisa. Ubarikiwe sana

    • @jenngenes2364
      @jenngenes2364 4 года назад

      Tuamini mafuta au tumwamini yesu nakama tuna mwamini yesu mafuta yana faida gani katika ibada kumekuwa na ukristo maigizo sana na ndio unatumaliza sisi wakristo

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 4 года назад +1

    Safi sana, Mungu ni Mtenda Miujiza,.... Nilisema kama ni Mungu huyu Atakuokoa ila Kama sio yeye unayemtumikia usingekuwa huru kwa Dhamana, Mungu awe pamoja nawe Siku zote.

  • @shukujaibu7143
    @shukujaibu7143 Год назад

    Kila bays na zuri in kutoka kwake Mungu. Tuseme alihamdulillah jina LA Bwana lihimidiwe. Pole bonifas mtumishi Wa Mungu pole wafiwa wore Mungu awatie nguvu

  • @justinejulius3544
    @justinejulius3544 4 года назад +4

    Mwamposa ni mstarabu sana. .Jamaa wala hafanyi act nimeshawai kukutana nae sura kwa sura. . Anabusara sana. Mungu anasimamia. . Na wafiwa mungu awape nguvu

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 4 года назад

      Duu wee na yeye ni mashetani ya kihindi

    • @justinejulius3544
      @justinejulius3544 4 года назад

      Tatizo unahukumu bila kujua uwezo wa Mungu. ... Mungu anajua yupi yupo sahihi. .. Sisi ni wanadam tutarudi udongoni wala hatutakiwi kuukumu

    • @simonmtuka8473
      @simonmtuka8473 4 года назад +1

      @@justinejulius3544 kaka siyo kosa lao ni kosa la wale wanaopandikiza mbegu za chuki ktk mioyo yao badala ya upendo

  • @enockchaula6292
    @enockchaula6292 4 года назад +3

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, maarifa ni neno la mungu yesu alisema hao manabii wa uongo mtawatambua kwa matunda yao mti mzuri huzaa tunda zuri mti mbaya huzaa tunda baya matunda ni matokeo ya kazi zao ,,uliskia wapi watu walikufa katika huduma ya mtumishi wa kweli wa mungu,,, watakufa sana maana walipuuzia neno

    • @tiagomilanzi3290
      @tiagomilanzi3290 2 года назад

      MKUTANO WA Yesu watu wanakufa vp Kwa KUKANYAGANA? Hio damu iliomwagika hapo inaenda wp?

  • @reyjohnson624
    @reyjohnson624 2 года назад

    MUNGU msaidie Baba Yetu aendelee kuombea watu kwa Iman iliyo yakwer nawatu wazidi kumwamin MUNGU AMINA

    • @alvaamisse7510
      @alvaamisse7510 Год назад

      Hakuna hioo ata kamana mtamlilia mara ngapi Mungu hawezi saidia mtu wa shetani kama alivyo mwamposa wenu

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 4 года назад +2

    Mungu Azidi kuwa pamoja nawe achana na wanaokutukana Mungu atawabananisha kisawasawa, na watakuja kukuomba msamaha na Watafunguliwa, Na nguvu ya Mungu itendayo miujiza, waache wengine watapigwa na Ukoma hivi hivi wanajiona na lengo ni kufunzwa,.. Maandiko yanasema Usiwaguse wapakwa mafuta wa Bwana, sasa wewe endelea utakiona unachokitafuta. Mimi sio muumini wa dhehebu la Mwamposa ila ninaheshimu Mafuta aliyopakwa, nina amini Huduma zote Tano za Mitume na Manabii, Wainjilisti Wachungaji na walimu. 🔥 🙏 🔥

    • @boniphacemvungi9317
      @boniphacemvungi9317 2 года назад

      Pole

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      wewe unafikiri mungu Ni wa kijinga kijinga tu anatumia Kira fara tafuta roho mtakatifu acha ushabiki maana Kira mmoja atasimama mbere za mungu kutoa hesabu

  • @leylahley3542
    @leylahley3542 4 года назад +6

    Mbona hukuwafufua hao uliowauwa moshi..wew baba wew mwogope mungu kuna kufa...

    • @allyfaniture404
      @allyfaniture404 4 года назад +2

      TUNAKUOMBA WW S UNAWEZO WA KUWAFUFUA WAFUUE BAS PUMBAV KABISA WW NILOGE BAS NA MM FALA WW

    • @praisekavy
      @praisekavy 4 года назад

      Sio kila mtu ana karama hiyo, kama hujui biblia kaa kimya

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 4 года назад

      Hata Bwana Yesu alidhihakiwa kwa kuambiawa km wewe ni mwana wa Mungu jiokoe

    • @moreenmichael7482
      @moreenmichael7482 4 года назад

      Nyoooo

  • @helencharles2363
    @helencharles2363 4 года назад +17

    Nakuombea sana uishi miaka miamoja kaka Yangu mwamposa umenionyesha njia yakupita ili nisimchukize mungu wangu ubarikiwe sana

    • @shukhuranpetro5796
      @shukhuranpetro5796 3 года назад +1

      Herena soma maandiko utaujua ukweli,hakuna mungu kwenye mafuta,chumvi,kitambaa,sabuni nk

    • @alvaamisse7510
      @alvaamisse7510 Год назад

      Ni nabii wa wongo anaongozwa na freemason

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 7 месяцев назад

      ​@@alvaamisse7510 Jesus Kristo ni bwana na mwokozi wa dunia

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 7 месяцев назад

      ​@@shukhuranpetro5796
      Yesu Kristo anaweza yote

  • @alicexavery1147
    @alicexavery1147 4 года назад

    Piga injili baba...injili lazima isonge mbele...majaribu ni mtaji..siyo lazima Kila mtu akuelewe...hata Yesu hakueleweka kwa Kila mtu Na hakulazimisha mtu kumwamini Na kumfata....Roho za marehemu zipumzike kwa amani...Wafiwa roho mtakatifu awape faraja yake... Amina

  • @user-nm1re5kp7m
    @user-nm1re5kp7m 2 месяца назад

    Nakupend sana mtumishi wa mungu mwamposa

  • @engineertarimo7345
    @engineertarimo7345 4 года назад +8

    Mtangazaji yuko smart sana kwenye kuuliza na kuhoji

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 4 года назад +8

    Nyota izidi kungaa kwa kafara yako mzee uko vzr Siri ya maisha yako naijua mwenyewe mzee cwz kukuhukum mm Bali ni Mung pekee

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 4 года назад

      Ote mko chama kimoja kumbe

    • @neyjoseph813
      @neyjoseph813 4 года назад

      Umuhukumu mara ngap hapo tayari ushamuhukumu na pia hongera kwa kushirikiana nae kwa maana hakuna hajuwae mchawi kama na yeye siyo mchawi

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @GetrudaRomanus-nt3em
    @GetrudaRomanus-nt3em 10 месяцев назад

    Mungu naomba ukaangalie biashara yangu mungu naomba ukaniongezee wateja pia Hela ikawe na mafanikio kwangu

  • @JacklineKoko-em9xb
    @JacklineKoko-em9xb 2 месяца назад

    Mungu mwema akutie nguvu na akupe miaka mingi yenye baraka🙏🙏🙏🙏🙏

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 4 года назад +18

    Mungu ndo wa kuabudiwa ty sio Binadam mwenzako

  • @godlivingjacobissangya8530
    @godlivingjacobissangya8530 4 года назад +5

    Ukweli anajua Mungu moyo wa mwanadamu ni kichaka aonae ni Mungu tu

  • @kitasyajohn6033
    @kitasyajohn6033 4 года назад +1

    Amina sanaaaa shujaaaa mkuki wa sauli hautakupata kwa jina la yesu simama ewe shujaaaa

    • @FrankM384
      @FrankM384 4 года назад

      Biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa sio kosa lenu kosa ni kukosa maarifa na kuto kuijua biblia vizuri

    • @shukhuranpetro5796
      @shukhuranpetro5796 3 года назад

      Sikumoja mtajua mafuta nnn

  • @jenalamwanjala6729
    @jenalamwanjala6729 4 года назад

    Amina mtumishi mungu akutie nguvu kwa hili unalopitia

  • @jumamlanzi8200
    @jumamlanzi8200 4 года назад +9

    anapigiwa adi salute

  • @georgebushmissg2830
    @georgebushmissg2830 4 года назад +3

    Utaulizwa juu ya vifo hivyo ,watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa mafuta ni mafuta ila Mungu ni Mungu

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 Год назад

    Mungu ni mwema sanaa na akubarikii mwamposa

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 4 года назад +1

    Sijamuelewa niliondoka kabla shida haijatokea kukimbilia kokangamano lingine..mara nilienda ili kule nako kusije kutokea shida nyingine. Mungu atafunua watu wake macho
    Watu wangu wanaaangamia kwa kukosa maarifa

  • @lameckysulumbi4727
    @lameckysulumbi4727 4 года назад +13

    Kati ya watu walio kanyaga mafuta wakapona ni mimi mmoja wapo barikiwa sana mwamposa

    • @paulinamwenisongole8804
      @paulinamwenisongole8804 4 года назад +1

      Waooo nice

    • @siwemamitingimahenge5270
      @siwemamitingimahenge5270 4 года назад +2

      Damu yako hawakuitaka freemason, hakuna ukweli wowote wa kukanyaga Mafuta katika biblia, masikini mnaangamia kwa kukosa maarifa kasome hayo maandiko

    • @lameckysulumbi4727
      @lameckysulumbi4727 4 года назад +1

      Siwema mitingi Mahenge
      Uwezi kuamini lakini nimepona ugonjwa niliokuanao baada ya kukanyaga mafuta majira ya sa12.30

    • @jacksontulito38
      @jacksontulito38 4 года назад +1

      Pole sana kak kwahiyo umepona kabis?

    • @jacksontulito38
      @jacksontulito38 4 года назад +1

      Gharam yake ni nin?

  • @deuslwanga1426
    @deuslwanga1426 4 года назад +12

    YESU alisema mtaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapata Afya, yametoka wapi ya kukanyagishana mafuta? Waurimwengu mwogopeni MUNGU

  • @faineschisunga7421
    @faineschisunga7421 4 года назад +1

    Mungu azidi kukuinuwa mtumishi

  • @devybernardlaizer7713
    @devybernardlaizer7713 4 года назад

    Mungu akubariki sana mtumishi ,Jimmy upo vizuri na kazi yako barikiwa

  • @stuartkamba1598
    @stuartkamba1598 4 года назад +3

    Mungu akubarki mwamposa uko saw tuko pamoja bro

  • @tarsilakimaro7006
    @tarsilakimaro7006 4 года назад +13

    Imani ndio inaponya sio mafuta

    • @dainesmateru2121
      @dainesmateru2121 Год назад

      Mungu akufanyie wepesi kwenye kila jambo na wanaokusema vibaya mungu hatawashuurikia.

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      razima Kira mjiga awe na mavipofu nyuma yake yamo tu yanayo sapoti ujinga wa mganga wa kienyeji mwamposa hayanaga roho mtakatifu matomaso yasiyo amini mpaga yesu atarudi haya amini tu

  • @charlesedson5538
    @charlesedson5538 4 года назад

    Mungu akulinde mtumishi, Ahsanye Yesu Christo kwa kutupenda

    • @lunyabamapesa5575
      @lunyabamapesa5575 4 года назад

      Ataendelea Kuwaua Hao Ndo Manabii Wa Uongo Kama Yy Ni Mtume Aende Mortuary Akawaamshe wote Think Big

  • @lidyabukhay1624
    @lidyabukhay1624 4 года назад +1

    Mungu atusaidie kuelewa kabisaa hapa ni upofu wa macho na fikraa na ndio maaana tunazidi kuangamia

  • @ibrahimujumanne5555
    @ibrahimujumanne5555 4 года назад +17

    Mafuta ya upako anatoa wapi,? Mbona yesu hajayatumia

    • @gracedaffa1606
      @gracedaffa1606 4 года назад

      Kwan ww kilakitu alichofanya yesu ndo unatakaafanye asa atakuwa mtume au yesu kaka mkubwa a have a strong mind

    • @allyhassan537
      @allyhassan537 4 года назад +1

      Dah kweli pesa kuipata akili za. watu ukizitia imani unatoboa

    • @bonifacejuma8248
      @bonifacejuma8248 4 года назад

      Acha🍁🍁🍁

  • @sebastianhaward2617
    @sebastianhaward2617 4 года назад +51

    kama umemuelewa Jamaa anajua Jim's ya kuuliza maswali

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty Год назад

    Pole mtume, ninavyokupenda nakuombea afya na uzima baba.

  • @mfamba2926
    @mfamba2926 2 года назад

    Mungu baba azidi kukutetea mtumishi Boniface Godwin Mwamposa Bulldozer na watumishi wote Kwa kuendeleza neno lake

  • @abuumaryam185
    @abuumaryam185 4 года назад +9

    KAMA UMEONA JAMAA ANAPIGIWA SARUTI KAMA MKUU WA JESHI GONGA LIKE

  • @browntiger4849
    @browntiger4849 4 года назад +36

    Unaaambiwa bunduki haiui watu ila watu ndio wanaua watu mtumishi hana makosa watu ndio hawana subra wangefuata utaratibu hapangekufa mtu

    • @lastymushi4584
      @lastymushi4584 4 года назад +1

      Kabisa

    • @salimdiabyonlinetv4873
      @salimdiabyonlinetv4873 4 года назад +3

      Watu ndo wanaua watu, Nae ndo hao amewaua, usiusingizie utaratibu na Mafuta.

    • @anthonynyange5930
      @anthonynyange5930 4 года назад

      Kwahyo yeye malaika au?

    • @happymeshackmas6923
      @happymeshackmas6923 4 года назад +1

      Brown uko sawa ma dear ,ila unajua nn ktk mambo Kama hya ya kidn mungu atuongoze kwa kweli mungu ndo anapasw kuhukumu na c ss bnadam

    • @erickjeremiah6406
      @erickjeremiah6406 4 года назад

      ruclips.net/video/TB_hSc7MkGA/видео.html

  • @ndetaulwapallangyo8408
    @ndetaulwapallangyo8408 Год назад

    Uwezi lipa dam za watu walio poteza maisha yao kwa utapeli wako zidi ya taamaa za kujipatia Mali kwa njia za Udanganyifu!

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard6701 4 года назад +2

    Kama umeoyona iyo gari ambayo kashuka gonga like

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 4 года назад +50

    Hapa ningesababisha mimi vifo vya watu wawili msingeniona hata kwa vyombo vya habari

  • @jumamwengwa4682
    @jumamwengwa4682 4 года назад +7

    Hv kiongoz wa kiroho anapigiwa saruti😇

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 4 года назад

    kwa allah kuna kazi sana sema kila mtu na njia yake akuna kucheleweshana .piga pesa wacristo si wamilala bwana.afu jama ni fremasson kama nihona bendera ya mericani na msumbji inakuaje kafala imikubalika.im musilim kudadeki

    • @alphoncegambuna440
      @alphoncegambuna440 4 года назад

      Wivu tu unakusumbua we jahidina mambo ya wakristo yanakuhusu nini?

  • @neyleepallangyo8436
    @neyleepallangyo8436 4 года назад +1

    Pole sana mtumishi wa Mungu

  • @irenemwanaa8160
    @irenemwanaa8160 4 года назад +9

    Waoooo! Nimefurahi kukuonatena

    • @ibrahimmaganga3429
      @ibrahimmaganga3429 4 года назад

      Irene Mwanaa hay

    • @irenemwanaa8160
      @irenemwanaa8160 4 года назад

      Hi

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 4 года назад

      Umefurahi kumuona yeye vipi wale waliopoteza Baba, mama, watoto, na ndugu zao? Ama kweli binaadam mins ubinafsi Sana. Mungu anawaona lakini na atawahukumu tu.

  • @agneslimbe578
    @agneslimbe578 4 года назад +4

    Unaambia watu wamuamini mungu mbona we unatembea na walinzi kibao inamaana weww uamini Mungu ,jamani binadam

    • @florakabado3543
      @florakabado3543 4 года назад

      Angines omba Mungu akupe hekima sana usiwe na mihemuko ya kutukana mtumishi.

    • @erickjeremiah6406
      @erickjeremiah6406 4 года назад

      ruclips.net/video/TB_hSc7MkGA/видео.html
      Duuh mwamposa

  • @evaaron3078
    @evaaron3078 2 года назад

    Mungu Akulinde mtumishi wa Mungu Amina

  • @abellawilson3372
    @abellawilson3372 4 года назад

    Mungu akutie nguvu mtumishi ktk kipindi hiki kigumu

  • @officialruqaiyah2881
    @officialruqaiyah2881 4 года назад +3

    Amen I love you so much mwamposa

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 4 года назад +3

    Baba nakuombea Yesu akutie nguvu

  • @rechoraymond3396
    @rechoraymond3396 3 года назад

    Mungu azidi kukuinua baba katika kipindi ichi kigumu

  • @mariamhamisi7519
    @mariamhamisi7519 4 года назад

    Arise and shine👍❤❤❤❤❤❤❤sana !Bro Mwamposa endelea kutangaza injili , kila jaribu lina mlango wakutokea ndomana Mungu amekupa jaribu hili!! Hakuna wakukubadili kamwe ❤

  • @minzagabriel6150
    @minzagabriel6150 4 года назад +8

    🙏Amen

  • @youngmasta5444
    @youngmasta5444 4 года назад +18

    Iv kuna mtu alishawahi kufunguliwa nakua tajiri au mtumishi ndio anazid tu kua tajiri?

    • @allyfaniture404
      @allyfaniture404 4 года назад

      Bibilia ndo nini nikae kimya ndo nini kwann ww hukuenda kufa na wale Moshi kama unaipenda Bibilia Acha ushamba ww nenda naww kafe bas

    • @bukobatalentsnanimkali9423
      @bukobatalentsnanimkali9423 4 года назад

      @@allyfaniture404 wewe tayari unaitwa Ally na babaako ni faniture so huwezi jua chochote kuhusu bible

    • @allyfaniture404
      @allyfaniture404 4 года назад

      Hahaha haya bhana amiin ivyo ivyo

    • @issaahmady9644
      @issaahmady9644 4 года назад +1

      Wanaomtetea hao ndio wasaidiziwake hata baiskeli hawana

  • @marympemba8843
    @marympemba8843 4 года назад

    Mungu akupiganie mtumishi wa mungu

  • @samoramkama967
    @samoramkama967 2 года назад

    Mtume mungu akutie nguvu ukatende kazi ya bwana

  • @tabumussa9406
    @tabumussa9406 4 года назад +26

    jikisanyie mapesa ya mazumbukuku hao si wanaleta wenyewe bwana

    • @praisekavy
      @praisekavy 4 года назад

      Biblia hujui kaa kimya

    • @agneslimbe578
      @agneslimbe578 4 года назад

      Na kweli awajielwi kabisa hao

    • @chrismassawe326
      @chrismassawe326 4 года назад

      Nabii alietoa wengine sadaka

    • @stanleyrububura4000
      @stanleyrububura4000 4 года назад

      Acha dharau na kumwita mwanadamu mwenzako zumbukuku, jiheshimu au unadhani ww ni wa thamani au wa maana sana kuliko wengine?

    • @stanleyrububura4000
      @stanleyrububura4000 4 года назад

      @@agneslimbe578 Muwe mnaweka akiba ya maneno.

  • @omaryshabani7221
    @omaryshabani7221 4 года назад +4

    Msachi seneta kiraka RUclips msanii wa singeri

  • @hellenmasasi3850
    @hellenmasasi3850 4 года назад

    Mungu mwema amtetee mtumishi wa Mungu

  • @magdalenadeusi760
    @magdalenadeusi760 9 месяцев назад

    Poresana. Mungu. Atasaidia. Tuuu. Yeye nimwema

  • @iflamusa7645
    @iflamusa7645 4 года назад +3

    Jaman nimefurah kumuona mtumishi wangu hadi raha jaman mpak amepungua

    • @barakajoseph202
      @barakajoseph202 4 года назад

      Mwuuuu

    • @FrankM384
      @FrankM384 4 года назад +1

      Sawa na raha lkn huwezi jua maumivu tulio jisikia wengine kwa mungu wote tupo kwenye foren na huyo mwamposa wenu sie atakae wapeleka mbinguni ila na yeye yupo kwenye foleni muabuduni tu

  • @nibomadavid1129
    @nibomadavid1129 4 года назад +10

    Kweli watu wamepigwa upofu

  • @GetrudaRomanus-nt3em
    @GetrudaRomanus-nt3em 10 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu mwamposa

  • @maryangela107
    @maryangela107 4 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa hekima ya mungu iliyoko ndani yako

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 4 года назад +9

    Kesho kwa Allah kuna kqz kubwa san

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 4 года назад +3

    Nimekuhurumia baba,Yesu akutie nguvu tena

  • @meryimanuel7238
    @meryimanuel7238 4 года назад

    Hivi Haya mafuta. Justis wap maan papa mtume Paulo mwenyew hana Mmmmmh hii Kali yao wakomexhe Mzee baba

  • @sikudhanigivengilbreth9361
    @sikudhanigivengilbreth9361 4 года назад +2

    Mungu akutie nguvu mtumishi kwa kipindi hiki unajopitia

    • @stevensimtoe2989
      @stevensimtoe2989 4 года назад

      🤣🤣😂😂🤣Vipofu wasio ona mna macho lakini hamuoni

    • @sikudhanigivengilbreth9361
      @sikudhanigivengilbreth9361 4 года назад

      @@stevensimtoe2989 haya sawa mm sioni lakini usihukumu usichokijua wa kumhukumu ni mungu pekee

  • @paulkessy5267
    @paulkessy5267 4 года назад +79

    Watu nyomi kanisani aisee Kama kawaida ..mwamposa oyee

    • @mlembamo
      @mlembamo 4 года назад +4

      Sisi tunasema Yesu oyeee, wingi hau justify ukweli huu ni ushetani.

    • @siwemanyango7727
      @siwemanyango7727 4 года назад +2

      Leo lile cheni lake hajalivaa au mpaka apande kwenye madhabahu yake YESU tuokoe na uturehemu kwa damu yako ya thamani AMEEN

    • @dasilvajunior3016
      @dasilvajunior3016 4 года назад

      We fara nahisi ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa halafu wakafa...!!

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 4 года назад +5

      Paul kessy inaonekan ww humuabud Mungu unamuabudi mwanadam mwenzako huna hta aibuu eti mwamponsa oyee mxciuu 😏😏😏😏

    • @paulkessy5267
      @paulkessy5267 4 года назад

      adija adija naisi ujanielewa kabisa ...Sina Mana iyo

  • @melaniamosha9356
    @melaniamosha9356 4 года назад +1

    Mungu akupe nguvu,mtume wa Mungu

  • @chikumuya8063
    @chikumuya8063 4 года назад +2

    Amen baba, napokea kufunguliwa

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 4 года назад +16

    Ukiwa ndani ya hiyo v8 ...uko sawa na aliyepanda ndege🤣🤣🤣
    Mashimo unayasahau

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 4 года назад +9

    Hamna kitu apo utapeli tu,kaifanya dini kuw biashara tu hapo...waliemtuma wamefaulu sasa akili kwenu endeleen kumfwata...Akili kunkichwa apo

    • @maryangela107
      @maryangela107 4 года назад +2

      Tuliza kimdomo chako wewe dada Acha kuongelea uchawi kwenye mdomo wako Acha laana zako fanya yako

    • @chazijoji7183
      @chazijoji7183 4 года назад +1

      Hanna kitu hapo, wewe una nini? kama hamnakitu wewe ulika kuwe na nini, mbona maka watu wanakufa kwenye hija tena wengi lakini watu hawaachi kwenda kuhiji,

    • @neylatikilango401
      @neylatikilango401 4 года назад +1

      @@chazijoji7183 atapeli na yy kama rahisi

    • @bahatiagustino5047
      @bahatiagustino5047 4 года назад

      Naima pole kwa sababu hujui mafuta na hujawahi fika fika uone siyo unasema matapeli wew ndo tapeli

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 2 года назад

    Mwandishi big up unajua Kazi yako

  • @jeressjohn9105
    @jeressjohn9105 3 года назад +1

    Don't Give up dear Take heart mungu yupo

  • @eshialabonita7736
    @eshialabonita7736 4 года назад +3

    Mchungaji ana bonge la ndinga na bodyguards ama kweli uchungaji unalipa

    • @neemamsanga253
      @neemamsanga253 Год назад

      🤣🤣🤣🤣ngoja na me niwe mchungaj

  • @mosesngesi3333
    @mosesngesi3333 4 года назад +17

    Watu wapo nyomi kanisani utadhn hakukukuwa na shida tena shida ya vifooo

    • @chazijoji7183
      @chazijoji7183 4 года назад

      Mwamposa upon vizuri, hayo ni majaribu tu, na mungu atasimama, kwa kuwa unafanya Nazi bwana,👏👏

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 4 года назад +1

      Wakufe tu tena maan hawasikii

    • @chazijoji7183
      @chazijoji7183 4 года назад +1

      Wakufe tu, kama walivyo kufa kule maka wakati wakimpiga mawe shetani pale alkaba, usiombee binadamu wenzio vifo, tafakari juu ya maombi ya ubaya,

    • @jovintosssi3287
      @jovintosssi3287 4 года назад

      @@khadijakhadija6212 😢😢😢😢

    • @kitasyajohn6033
      @kitasyajohn6033 4 года назад

      Weee ulitakaje

  • @aminaanord6740
    @aminaanord6740 2 года назад

    Mungu akutie nguvu

  • @saidathsalum9325
    @saidathsalum9325 4 года назад

    Mungu akutie moyo mtumish

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 года назад +5

    Watumishi inabidi kuwa makini sana’ na waumini pia inabidi kujiuliza sana Juu ya imani mbalimbali...!
    Mi najiuliza hivi UPAKO ni baraka na kitu kitakatifu mbele ya imani’ Sasa unaweza kweli kukanyaga kitu KITAKATIFU..?

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim3383 4 года назад +3

    Eeh anapigiwa na salute pia aysee 😲

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 4 года назад

    Islam is my religion

  • @philiposebastian6351
    @philiposebastian6351 2 года назад

    Amina

  • @christophermahawi4920
    @christophermahawi4920 4 года назад +4

    Siku za mwisho, kutakuwa na manabii wa uwongo.😂😂😂.

  • @rhodamalembo7873
    @rhodamalembo7873 4 года назад +15

    Had amepungua jmn kwel hil n jarib litapita

    • @lunyabamapesa5575
      @lunyabamapesa5575 4 года назад +1

      Kuua watu Ni Jaribio Ingekuwa Ww Umefiwa Ungesema Ni Jaribio Think Big

    • @issaahmady9644
      @issaahmady9644 4 года назад +1

      @@lunyabamapesa5575 wizitu kama kweli mtume mbona kashindwa kuwaombea watu wakafufuka na waliolemaa wakapona? Hapo ndio utajua huyo ni mpigaji tu

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 4 года назад

      Yeye kapungua vipi wale ishirini ambao hawapo kabisa duniani watu wamepoteza wazazi, watoto zao na ndugu zao eti unaongelea kupunguza kweli,?

  • @dainagano3656
    @dainagano3656 4 года назад +2

    Mchungaji wangu nakupenda, mungu akutie nguvu baba

  • @khamisally6743
    @khamisally6743 4 года назад

    nacheka sna . al hamdulillah kua muislamu.

  • @mpwapwamedia7279
    @mpwapwamedia7279 4 года назад +4

    Vijimama Ndo viko shapu kuchangamkia mafuta yani wanawake sijui watazinduka linii walianza kuzingua eden,hawajakoma aloo jamani jamani mbona mna macho na hamuoni roho inaniuma sana

  • @sekelamwangosi3289
    @sekelamwangosi3289 4 года назад +7

    😂😂😂Hiii sura siiamin kama kwel ina yesu ndani yake

    • @estermhindi7189
      @estermhindi7189 4 года назад

      🤣🤣🤣sura ya upako jamn ndio maan ina upole 😂😂😂

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 7 месяцев назад

      Ni sura imebarikiwa

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 4 года назад

    Mungu akutetee mtumish wa mungu

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 4 года назад +2

    Upumbavu wa mwanadam ni imani.
    wanaoenda kuhij maka wanakufa kila mwaka. tena wengi tu. hao wanasifiwa et wamefia maka. kuna wakat ukizitafakari hizi imani kuna vitu vingi anasingiziwa Mungu. lakn ipo siku tutajua ukweli tu.

  • @khadijakhadija6212
    @khadijakhadija6212 4 года назад +4

    Ww Una dawa sio bure khaa

  • @abufirdaus4254
    @abufirdaus4254 4 года назад +3

    V8 haipatikani bure....
    Sjui mmenielewa?
    Mafuta inazaa mafuta ya v8

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 4 года назад +2

    Mtumishi simama na neno wa kuhukumu ni Mungu si mwanadamu Isaya 41 10:_15

    • @devotamkwawi7145
      @devotamkwawi7145 4 года назад

      Mungu azidi kukuinua kwenye huduma yako. Nimefurahi kukuona tena unasimama na neno la mungu

  • @maryjoseph1949
    @maryjoseph1949 4 года назад +1

    Mungu unae muabudu akutie nguvu yakusonga mbele because dhahabu ili ingae nilazma ipitishwe kwenye moto.

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 4 года назад +18

    TOYOTA LAND CRUISER V8😂😂😂