Ndugu birthday sio mila wala desturi ya kiislamu ni mila iliyoletwa na watu wasio wa imani yetu mtume wetu rehma za Allah na amani zimshukie kasema atakae jifananisha na kundi la watu fulani basi ni miongoni mwao hata hivo kwenye sherehe ya birthday hakunaga la maana zaidi ya kupoteza muda, mziki unapigwa kuchezea neema za Allah vyakula vinapikwa mpak israfu inafanywa , mimi binafsi sioni faida ya birthday umri unasonga unasogelea kaburi yako kipi cha kusherekea hapo tuutumie umri wetu vizuri na Allah atuongoze
@@Samsumah Nini maana ya birthday? Tuanzie hapo kwanza pengine hufahamu maana yake. Mtume alikifanya birthday kila j3 kwa kufunga. Je birthday hiyo ni haramu?
Waalykumus salaam warahmatullaahi wabarakaatuh Moja: Haifai kufunga siku yako ya kuzaliwa iache ipite kama ilivyo siku zingine za kawaida,,, Pili:Mtume (swala na salamu ziwe juu yake) amekataza kufunga jumamosi pekee isipokuwa itakapokuwa funga ya faradhi kama Ramadhani ama ukitaka kufunga funga ya Sunnah basi ima ufunge siku moja kabla ya jumamosi(Ijumaa) kisha jumamosi yenyewe au jumamosi kwanza kisha siku moja baada ya jumamosi (jumapili)
allaah awahifadhi mzidi kutubainishia haki nawapenda kwa ajili ya allaah masheikh zangu
Ameen
Innaalillaah wainnaa ilayhi raajiuun ni kweli kabissaa mashekhe zetu Allah awabaarik
Mashallah
SIJAONA HATA DALILI YA KIELIMU ILIYOTUMIKA .
ME NLITEGEMEA ALETE DALILI YA KIELIM INAYOSEMA HAPPY BIRTHDAY HARAAM😮
Hakuna kheri isipokuwa Mtume amewajulisha umma wake.
@@twalibumsangule7385 Na hakuna shari isipokuwa mtume amewakataza umma wake.
Ndugu birthday sio mila wala desturi ya kiislamu ni mila iliyoletwa na watu wasio wa imani yetu mtume wetu rehma za Allah na amani zimshukie kasema atakae jifananisha na kundi la watu fulani basi ni miongoni mwao hata hivo kwenye sherehe ya birthday hakunaga la maana zaidi ya kupoteza muda, mziki unapigwa kuchezea neema za Allah vyakula vinapikwa mpak israfu inafanywa , mimi binafsi sioni faida ya birthday umri unasonga unasogelea kaburi yako kipi cha kusherekea hapo tuutumie umri wetu vizuri na Allah atuongoze
@@twalibumsangule7385 Na Hakuna shari isipokuwa mtume ametukataza
@@Samsumah Nini maana ya birthday? Tuanzie hapo kwanza pengine hufahamu maana yake.
Mtume alikifanya birthday kila j3 kwa kufunga.
Je birthday hiyo ni haramu?
Allah atusameh na atuongoze kwenye matendo yetu
الاهم احفظهم
Allah atuongoze
ALLAH AWAHIFADH WALIM WANG
Allah awahifadhi mashekh wetu
Allah awahifadhi
Allaah atuhifadhi ❤❤
Assalaam aleikum mm hufunga siku yangu ya kuzaliwa je ikiwa junamosi naeza kufunga jumamosi peke yake
Waalykumus salaam warahmatullaahi wabarakaatuh
Moja: Haifai kufunga siku yako ya kuzaliwa iache ipite kama ilivyo siku zingine za kawaida,,,
Pili:Mtume (swala na salamu ziwe juu yake) amekataza kufunga jumamosi pekee isipokuwa itakapokuwa funga ya faradhi kama Ramadhani ama ukitaka kufunga funga ya Sunnah basi ima ufunge siku moja kabla ya jumamosi(Ijumaa) kisha jumamosi yenyewe au jumamosi kwanza kisha siku moja baada ya jumamosi (jumapili)
@@subulus_salaam2023 shukran sanna Allah barik na awahifadhi masheikh wote wa salafi
Naam
Allah atuongoze
Aamiyn
Ameen
Amiin
Allah atuhifadhi