INASIKITISHA! KIJANA MTANZANIA ASIMULIA JINSI ALIVYOAMBUKIZWA UKIMWI GEREZANI/NDUGU WAMEFARIKI/UGUMU
HTML-код
- Опубликовано: 22 янв 2021
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz Развлечения
Pole sana broo
Jamani mungu amfanyie wepesi ndugu yetu ni huruma sana.
Ukiona kaamua kulieka wazi na wengi uwaga wanaficha duhh mungu atakufanyia wepesi insha'Allah Khair 🤲
Daa pole mpendwa yote maisha ucijali
Pole sana mungu akufanyie wepesi
Daah.nimeumia sana
Mungu atakufunika katika mbawa zake takatifu
Mbona ya miaka mingi sana iyo watangazaji bwana
Pole sana kaka angu 😢😢
Allah akupe busara na kubwa zingatia dawa ivo ni mipango ya mungu na nimitihani km ilivo mitihani mingine
Kupata ukimwi sio mwisho wa maisha kikubwa ishi kwa matumaini
Pole Sana bro mungu atakusaidia
😭😭imeniuma ana Allah akufanyie wepesi inshallah
Pole mdogo wangu daa
Pole saana brother
Wew mtangazaji ujui kaz unaoyo fany mulize alipataje hv
Walichangia viwembe alishaga ongea kipindi cha nyuma mwaka jana
Kaka usikate tamaa Mungu ni mwema.Nakuomba sana ukimaliza hizo dawa uende ulkachukue dawa nyingine.Namuomba Alla aniwezeshe pesa nikuwezeshe mtaji
Frank alitangazwa na maximum tv natulimchangia mshukuru Sana Zahir alikutoa pabaya mpk kufika hapo ulipo usiseme uliishia godoro na kitanda we omba tu msaada Frank uwe mwingi wa kushukuru🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Pole sn kaka nakukumbuka zamani ulikua unafanya intaview za kujitangaza kua umeathirika.. Lakini ulikua unamaisha ya unafuu kwa mujibu wa kauli zako. Mackini saiv hali imekubadilikia umekua na hali ngumu ulikua kila ukiongea unaongea na tabasam kila mda unacheka tu lakini leo. Dah! 🤔 Unasikitika na sura yako Imejaa huzuni... 😞Inshaallah mwenyezimungu atakukhifadhi atakufanyia wepec na utafanikiwa mungu akuondoshee mazito ucdhalilike. Mungu akutie nguvu na imani. Mungu akuoe ustahmilivu na subra.
Napenda tu alivyo na furaha
Kaka amini na uta pona kwa jina la yesu naomba wende mwenge mpakani kwa kuhani musa richard mwacha uta pona kwa jina la yesu
Masikini polee myHeee polee sana handsome boy jamani mzuri jamani eeeh
umeonaee
Dahhh,,, nahuzunika
Wapendwa tumsadie japo mia mia tukichanga tunaweza kumuinua ili nae aweze kujikimu
Umeongea Pont true
Daaaa hatari sana
Hiki kichwa cha habari mmm. Sema anashi na virusi vya ukimwi kusema kaambukizwa gerezani je alishiriki mpenzi na nani.
Hasemi aliupataje ?
Salam alekum pole sana naombo no yako
0747142486
Pole sana
@@frankfrancis2195 mungu bado ni mwema kwako
Maskini jamaniii inasikitisha Dunia hiii 🤦♀️
Tusaidie number nina dada pia ni ugonjwa muasirika waowane jamani dozzi ale
Alipataje maradhi
Atoe no asaidiwe. Mtangazaji nia yako umsaidie au
KAKA HUNA AKILI KWANZA WEWE UMESHAKUWA MUHUNI ALAFU UNACHUKULIA UGONJWA KAMA KITEGA UCHUMI
SASA TUMEKUTUMIA PESA NYINGI SANA UNGEKUWA TAYARI UMESHAPATA MTAJI
NIKUULIZE HIVI UNAJUA WATU WENGI TUU WANA UKIMWI WAKISEMA WAACHE KUJITUMA WAANZE KUOMBA OMBA ITAKUAJE
Kwani mlishawahi kumtumia?
Fata dawa kaka usiache dawa ni hatar hiyo
Muuuuuu
Mh masikin
Ulipataje ukimwi gerezani?
Alielezea kipindi cha nyuma alipata kwa njia ya viwembe kuchangia
Alishahojiwagwa na kituon kingine akasema alipata virus kwa njia ya kuchangia wembe
Alifanya interview na midia gani nione?
@@brianmuchiri1098 millard ayo
Angalia alifanya huko
Wewe Frank wewe Aya bhana
Mbona kwani unamfahamu
Brother kuwa na ukumwi si mwicho wa maicha kaka yangu kuna watu wana roho mbaya tu!!
Muongo huyo tunamjua wa kiwalani huyo alikua anachukua wanawake Kama mvua na Alikuwa bajaji binge la bwana wenyewe wanamuita anataka tu hela huyo jina lingine wanamuita kafyome
Una ongea kweli mana hawa waandishi wakisema hiviulivyoandika watakutafuta wakuulize vizuri. Alikuwa kiwalani ipi mana mimi mwenyewe wa kiwalani midizini nyuma ya karakana
Usinambie duu 🙄🙄
Maadamu amekir mbele ya watu kwa yey n muathieik tayal ananutakaso wa mungu angeamua kunyamaza hakuna ambae angewez kujua na angeondok na Weng sisi ni nan hata tutoe hukumu ikiwa kwa kukir kwake tayar anamsamaha namkibali toka kwa mungu Sisi n binadam tu ujafa ujaumbika Kesho lawez kuku pat hat wewe pia wapo watakao sema ni muongo pia jamani ni wakat wa kumsaidia n si kumpa lawama
Kwahiyo sio mgonjwa ni tapeli?
@@lilyrose7983 sana
Nyie huku kaka haja zoea kufanya kazi kwani ukimwi ndio sababu mbona sisi hatujitangazi yani anaomba omba bila kufanya kazi
kwani we unayo
Pole sana
Enyewe nisha ona interview zake karibu nne toka mwaka juzi sijui kma ni mwaka jana mwanzoni