INASIKITISHA! KIJANA MTANZANIA ASIMULIA JINSI ALIVYOAMBUKIZWA UKIMWI GEREZANI/NDUGU WAMEFARIKI/UGUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 янв 2021
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 63

  • @samkandamasanula7548
    @samkandamasanula7548 3 года назад +1

    Pole sana broo

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +1

    Jamani mungu amfanyie wepesi ndugu yetu ni huruma sana.

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 года назад +1

    Ukiona kaamua kulieka wazi na wengi uwaga wanaficha duhh mungu atakufanyia wepesi insha'Allah Khair 🤲

  • @ayshabombasana7388
    @ayshabombasana7388 3 года назад +1

    Daa pole mpendwa yote maisha ucijali

  • @beatricemuya5768
    @beatricemuya5768 3 года назад

    Pole sana mungu akufanyie wepesi

  • @shuuabdallah7815
    @shuuabdallah7815 3 года назад +1

    Daah.nimeumia sana

  • @lyilyanmussa5433
    @lyilyanmussa5433 3 года назад +1

    Mungu atakufunika katika mbawa zake takatifu

  • @zainabukivale9571
    @zainabukivale9571 5 месяцев назад +1

    Mbona ya miaka mingi sana iyo watangazaji bwana

  • @user-bj2xp1zh1o
    @user-bj2xp1zh1o 3 месяца назад

    Pole sana kaka angu 😢😢

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 3 года назад

    Allah akupe busara na kubwa zingatia dawa ivo ni mipango ya mungu na nimitihani km ilivo mitihani mingine
    Kupata ukimwi sio mwisho wa maisha kikubwa ishi kwa matumaini

  • @kevomakundi61
    @kevomakundi61 3 года назад

    Pole Sana bro mungu atakusaidia

  • @tunusefu2018
    @tunusefu2018 3 года назад

    😭😭imeniuma ana Allah akufanyie wepesi inshallah

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 года назад

    Pole mdogo wangu daa

  • @ngassangwegwe1989
    @ngassangwegwe1989 3 года назад +1

    Pole saana brother

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 3 года назад +2

    Wew mtangazaji ujui kaz unaoyo fany mulize alipataje hv

    • @mariamselemani5208
      @mariamselemani5208 3 года назад

      Walichangia viwembe alishaga ongea kipindi cha nyuma mwaka jana

  • @mariumpeter6147
    @mariumpeter6147 3 года назад +1

    Kaka usikate tamaa Mungu ni mwema.Nakuomba sana ukimaliza hizo dawa uende ulkachukue dawa nyingine.Namuomba Alla aniwezeshe pesa nikuwezeshe mtaji

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 года назад

    Frank alitangazwa na maximum tv natulimchangia mshukuru Sana Zahir alikutoa pabaya mpk kufika hapo ulipo usiseme uliishia godoro na kitanda we omba tu msaada Frank uwe mwingi wa kushukuru🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 3 года назад

    Pole sn kaka nakukumbuka zamani ulikua unafanya intaview za kujitangaza kua umeathirika.. Lakini ulikua unamaisha ya unafuu kwa mujibu wa kauli zako. Mackini saiv hali imekubadilikia umekua na hali ngumu ulikua kila ukiongea unaongea na tabasam kila mda unacheka tu lakini leo. Dah! 🤔 Unasikitika na sura yako Imejaa huzuni... 😞Inshaallah mwenyezimungu atakukhifadhi atakufanyia wepec na utafanikiwa mungu akuondoshee mazito ucdhalilike. Mungu akutie nguvu na imani. Mungu akuoe ustahmilivu na subra.

  • @anifamickidard4555
    @anifamickidard4555 3 года назад +1

    Napenda tu alivyo na furaha

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад

    Kaka amini na uta pona kwa jina la yesu naomba wende mwenge mpakani kwa kuhani musa richard mwacha uta pona kwa jina la yesu

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 3 года назад

    Masikini polee myHeee polee sana handsome boy jamani mzuri jamani eeeh

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 3 года назад +1

    Dahhh,,, nahuzunika
    Wapendwa tumsadie japo mia mia tukichanga tunaweza kumuinua ili nae aweze kujikimu

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 года назад

    Daaaa hatari sana

  • @happymariki824
    @happymariki824 Год назад

    Hiki kichwa cha habari mmm. Sema anashi na virusi vya ukimwi kusema kaambukizwa gerezani je alishiriki mpenzi na nani.

  • @fatmamsallam437
    @fatmamsallam437 11 месяцев назад

    Hasemi aliupataje ?

  • @aminasalamalekumamina6217
    @aminasalamalekumamina6217 3 года назад

    Salam alekum pole sana naombo no yako

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +1

    Maskini jamaniii inasikitisha Dunia hiii 🤦‍♀️

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 3 года назад

    Tusaidie number nina dada pia ni ugonjwa muasirika waowane jamani dozzi ale

  • @paulmkalawa496
    @paulmkalawa496 3 года назад

    Alipataje maradhi

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 3 года назад

    Atoe no asaidiwe. Mtangazaji nia yako umsaidie au

  • @RAFIKI_TANZANIA
    @RAFIKI_TANZANIA 3 года назад

    KAKA HUNA AKILI KWANZA WEWE UMESHAKUWA MUHUNI ALAFU UNACHUKULIA UGONJWA KAMA KITEGA UCHUMI
    SASA TUMEKUTUMIA PESA NYINGI SANA UNGEKUWA TAYARI UMESHAPATA MTAJI
    NIKUULIZE HIVI UNAJUA WATU WENGI TUU WANA UKIMWI WAKISEMA WAACHE KUJITUMA WAANZE KUOMBA OMBA ITAKUAJE

  • @halishmwarua2957
    @halishmwarua2957 3 года назад

    Fata dawa kaka usiache dawa ni hatar hiyo

  • @dullajuma5295
    @dullajuma5295 3 года назад

    Muuuuuu

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 3 года назад

    Ulipataje ukimwi gerezani?

    • @mariamselemani5208
      @mariamselemani5208 3 года назад

      Alielezea kipindi cha nyuma alipata kwa njia ya viwembe kuchangia

    • @ngolegracesimon
      @ngolegracesimon 3 года назад

      Alishahojiwagwa na kituon kingine akasema alipata virus kwa njia ya kuchangia wembe

    • @brianmuchiri1098
      @brianmuchiri1098 3 года назад

      Alifanya interview na midia gani nione?

    • @aganthujohn7883
      @aganthujohn7883 3 года назад

      @@brianmuchiri1098 millard ayo
      Angalia alifanya huko

  • @jackjoshua3666
    @jackjoshua3666 3 года назад

    Wewe Frank wewe Aya bhana

  • @thelionwomen4970
    @thelionwomen4970 3 года назад

    Brother kuwa na ukumwi si mwicho wa maicha kaka yangu kuna watu wana roho mbaya tu!!

  • @shangwekamando2599
    @shangwekamando2599 3 года назад +1

    Muongo huyo tunamjua wa kiwalani huyo alikua anachukua wanawake Kama mvua na Alikuwa bajaji binge la bwana wenyewe wanamuita anataka tu hela huyo jina lingine wanamuita kafyome

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j 3 года назад

      Una ongea kweli mana hawa waandishi wakisema hiviulivyoandika watakutafuta wakuulize vizuri. Alikuwa kiwalani ipi mana mimi mwenyewe wa kiwalani midizini nyuma ya karakana

    • @fesalchambuso8023
      @fesalchambuso8023 3 года назад

      Usinambie duu 🙄🙄

    • @lyilyanmussa5433
      @lyilyanmussa5433 3 года назад

      Maadamu amekir mbele ya watu kwa yey n muathieik tayal ananutakaso wa mungu angeamua kunyamaza hakuna ambae angewez kujua na angeondok na Weng sisi ni nan hata tutoe hukumu ikiwa kwa kukir kwake tayar anamsamaha namkibali toka kwa mungu Sisi n binadam tu ujafa ujaumbika Kesho lawez kuku pat hat wewe pia wapo watakao sema ni muongo pia jamani ni wakat wa kumsaidia n si kumpa lawama

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 3 года назад

      Kwahiyo sio mgonjwa ni tapeli?

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 3 года назад

      @@lilyrose7983 sana

  • @alittoalhabsi7507
    @alittoalhabsi7507 3 года назад +1

    Nyie huku kaka haja zoea kufanya kazi kwani ukimwi ndio sababu mbona sisi hatujitangazi yani anaomba omba bila kufanya kazi