KENYA KIMENUKA UPYA | RAIA WAINGIA BARABARANI | WATAKA RUTO AJIUZULU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 138

  • @TheophileMikekemo
    @TheophileMikekemo 4 дня назад +30

    Tunashukuru waandamanaji wa Nairobi Kenya. Ruto aliwaza anatawala mbuzi ao ngombe. Alisahau kama ni wanadamu. Yeye aache kiti cha uraisi kwa raia. Waandamanaji oye !!!

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 2 дня назад

      Sio kirahisi km unavyozidi!! Uchaguzi Mkuu ndio utakaoamua kwa mujibu wa Katiba.

  • @judithodwar7112
    @judithodwar7112 4 дня назад +18

    I have enjoyed this conversation

  • @allyzanzibar8983
    @allyzanzibar8983 4 дня назад +8

    Dah Raisi anatimuliwa na marungu dah he must go
    This love from Zanzibar keep doing it, stand up and don't give up

  • @jaizemanga4090
    @jaizemanga4090 4 дня назад +14

    Ruto must go

  • @SamAbdalah
    @SamAbdalah 4 дня назад +3

    Mimi nakuomba mheshimiwa RUTO, ww umepewa sifa ya kuwa, msomi zaidi katika maraisi chini ya Africa, tambua sisi waafrca ni dhaifu kuelewa. Kuwa mpole,

  • @chepindichepindi3328
    @chepindichepindi3328 4 дня назад +6

    Wakenya ni wasomi bwana.

  • @abdubakar5428
    @abdubakar5428 12 часов назад

    Umoja na tuache ukabila na udini katika Kenya mpya. Kenya spring...

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 4 дня назад +10

    Ruto must go ame tuma jeshi Congo kujiunga na waasi wa m23 ku mwanga damu ya wa Congo sababu haja tosheka na damu ya wa Kenya 🇰🇪 Vijana wa Kenya na Africa nzima msikubali hali hii ya viongozi kama ruto wa endelee kuwa pofusha macho ili wao wa endelee kujitajirisha na nyinyi mu baki maskini hata kama munazo diploma please stand up for your country and your freedoms you are the future of the country you have everything in your hands don’t let anyone else take advantage of your dignity

    • @SaintNjuguna
      @SaintNjuguna 3 дня назад

      Ruto ni kama zombie anamwaga damu kama Hitler

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 3 дня назад

      ​@@SaintNjugunasio kama ni zombie lenyewe hili ruto

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 4 дня назад +7

    Weldone

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh 4 дня назад +5

    Ruto alichuuzwa
    Amerika

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko 3 дня назад +6

    Wanaopenda aman karibuni taanzania

  • @DavidKioko-zc2si
    @DavidKioko-zc2si 4 дня назад +6

    Sisi kama GEN Z,ata tukiitwa hatuedi.uyu jamaa sio mzuri he just want tukutane just to identify us akiamungu ili atuuwe mmoja kwa mmoja

  • @renarenatah4198
    @renarenatah4198 2 дня назад

    Ruto and museveni must go

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 3 дня назад +3

    Ruto toka pole pole nimeota umekufa

  • @bettymariga
    @bettymariga 2 дня назад

    Tumechoka rutoooo aendeee tumsaidie kupark mizingo uko na tamaa sana

  • @mariepierre433
    @mariepierre433 4 дня назад +1

    Ruto must go 🇭🇹

  • @johnkipruto18
    @johnkipruto18 4 дня назад

    Congratulation,I like your conversation about the Gens Z revolution,it is positive and balance.

  • @josephatutana3076
    @josephatutana3076 День назад +1

    Huyo jamaa ni mchochezi kakita habari zake

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo День назад

    Nawashangaaa kenya

  • @SaumuChengo
    @SaumuChengo День назад

    Ruto must go 😢😢😢😢😢

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 3 дня назад +2

    Kenya is beautiful please don’t destroy it. Let president lead the country

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 День назад

    Hawana kiongozi kweli nishida

  • @priscillagacira8370
    @priscillagacira8370 3 дня назад

    Ruto must go 🇶🇦

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r 4 дня назад +5

    Mko vizuli Kwa msima, Kwan tz tnalilia chumban

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 4 дня назад

      Nenda Kenya ukawaunge mkono sio kushabikia mtandaoni choko wewe

    • @kiatu
      @kiatu 2 дня назад

      Tanzania Gen-Z baado hawajazaliwa 😂. Tusubiri 2040.

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m 2 дня назад +1

    BADO TANZANIA CCM AND SSH MUST GO. WASOME ALAMA .JUSTICE IS COMING GOD FORBID !

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 4 дня назад +1

    wakenya porenisana ,🇹🇿

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 День назад

    Kenya nyie mko vizuri mnabaki sion inchi nyingine Ivo wanauwa raiya wanapo andamana

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 3 дня назад

    The Bible Say's ukishupaza shingo itavunjika.Msg sent in Africa.

  • @roolvensromain2320
    @roolvensromain2320 4 дня назад +1

    Ruto must gop

  • @godsson5954
    @godsson5954 3 дня назад +1

    Kenya is more wise

  • @Ambwene
    @Ambwene 3 дня назад +2

    Viongozi wa Africa wapumbavu sana tatizo kubwa wanawasikiliza saaana AMERICA 🇺🇸 😢 🙏

  • @gilbertowuor6071
    @gilbertowuor6071 2 дня назад

    Ni kweli kabisa, nia ni kuichafulia jenziis jina, ni hivo hivo walifanya kwa maandamano ya chama cha Azimio hapo mbeleni.

  • @user-xy5nc7hp7j
    @user-xy5nc7hp7j 4 дня назад +1

    Very true

  • @user-dt4ml4lu9w
    @user-dt4ml4lu9w 3 дня назад

    May the Lord protect our president and give him wisdom so that he may get away forward.

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 дня назад +8

    WE Ruto ??kwa Nini hutaki kuacha kiti ?? wa Kenya hawakutali sasa hivi ondoka acha mamlaka

    • @susymasibo
      @susymasibo 4 дня назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Ila Hawa ni wezi

  • @Nairobianleo
    @Nairobianleo 3 дня назад

    Who else the dude Need to b prezo

  • @FredyMolley-zq3em
    @FredyMolley-zq3em День назад

    ihi mandaman Nia lini

  • @danmelis1392
    @danmelis1392 2 дня назад

    Ruto must Go

  • @AboabdulhakimAlfaleh-in7jo
    @AboabdulhakimAlfaleh-in7jo 4 дня назад +4

    umeongea vixuri sana

  • @walterurassa
    @walterurassa 4 дня назад

    Poleni wakenya

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 3 дня назад

    Yesu wasaidiye ingiliya kati maana imekuwa shida Kwa wamama na watoto

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA 3 дня назад

    Ruto jiuzulu madaraka ni amali ya Dunia mrudieye Mungu Tafuta Ahkera achana na utawala wa kuua vijana TAIFA la kesho

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 3 дня назад

      Hawezi jiuzulu kwa sababu anaongozwa na shetani huyu, ss ye aoni asara kuona damu yy ndo rahaa yake ss kuachia hiki kiti ni ngumu sana mana akikubali tu anapokonywa kila kitu 😢

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 2 дня назад

    Kuna watoto wadogo sana jamn Ola polisi wanepooza sana

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Wametumwa hao wakuharibie

  • @Joyyoy877
    @Joyyoy877 4 дня назад +1

    Na wakipata ruto watoe kichwa pia watupie ndege wale vile Daudi alitupia ndege Goliata😅😅😅😅

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Ila ruto kazaaa hao wasenge hao wanakujaribu utapita tu broo

  • @georgemuthokasyala8026
    @georgemuthokasyala8026 4 дня назад +2

    Huyu ni mwanahabari wa wapi huyu mwenye anasema vitu ambavyo havina uhakika

  • @user-mw9zn8hg7y
    @user-mw9zn8hg7y 4 дня назад +1

    Mungu alinde Vijana na Neema na nguvu

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 3 дня назад +1

    Hiii ni kazi ya raila na hatawai kua raisi ya kenya

    • @arcsys
      @arcsys 3 дня назад

      una shida nyingi dada. shida tupu wewe.

    • @fabianmallya1446
      @fabianmallya1446 3 дня назад

      I can smell raila in this b’coz most of them ni wajaluo

    • @bettymariga
      @bettymariga 2 дня назад

      Fikiria b4 uongee hamuoni wakenya wanaumia

  • @MeshackMongeri-nu8yx
    @MeshackMongeri-nu8yx 4 дня назад

    City zen Tiv

  • @kiatu
    @kiatu 2 дня назад

    Wazazi wataingia mitaani kuwaokoa watoto wao. Na itakuwa ndio mwisho wa Ruto

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Ningelikuwa mm ndio presidar mngekunya walah

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 4 дня назад

    😮

  • @robertmatanokarisa7342
    @robertmatanokarisa7342 3 дня назад

    Riziki kaivufya vyalazima

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 3 дня назад

    Msizani km African tuko salama na mabeberu , lazima watatufanya tugombane wenyewe kwa wenyewe

  • @EstonKidaji
    @EstonKidaji 4 дня назад +3

    Kenya hii watu wakielezwa maneno hawasikii. kuna mzee kutoka Eldoret alieleza wazi huyu mtu alikua mwizi tokea zamani kwa primary school kuingia serekalini amezidisha wizi na mauaji ndio haya kenyans tuamke tuungane huyu mtu atuondokee mastaka yake yafunguliwe ICC.

    • @Ana-di6qg
      @Ana-di6qg 4 дня назад

      😂😂😂😂😂😂 kumbe toka kwa school alikuwa anaiba!!!!!. basi Tabia inakua kidogo kidogo

  • @shabanmuhoro3342
    @shabanmuhoro3342 4 дня назад

    Huyu jamaa ameongea facts Sana kama ni hivyo Mambo iko MBAYA Sana RUTO ameangukia pabaya

  • @rosembathe3666
    @rosembathe3666 4 дня назад +4

    Tumechoka na Ruto.are very arrogant.Enda kwenu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 День назад

    😢

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg
    @MohamedNoormohamed-lc4rg 4 дня назад

    Geenzii barakiwe power belongs to people arrogant who become opses with power

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko 3 дня назад

    Polen sana ila sababu ya haya yote ni wanasiasa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 2 дня назад

    Kenya Ruto hawezi kuendelea na Uraisi wake. Ni bora aachie ngazi ili kuepusha maafa.

  • @okindovictor586
    @okindovictor586 3 дня назад

    Hapo kw utaita nani kw maana hawana kiongozi utaita nani

  • @dalalimjinga.144
    @dalalimjinga.144 4 дня назад

    Ruto simuoni kuwa Rais tena mwezi 8

  • @user-lt2qh5dj1b
    @user-lt2qh5dj1b 4 дня назад

    Akuna atoke kashindwa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 4 дня назад +6

    Ruto.,Mungu.akusimamie

    • @BonfaceOgwe-wq9ny
      @BonfaceOgwe-wq9ny 4 дня назад

      Mfarisai mwenzake

    • @lucywambui6805
      @lucywambui6805 4 дня назад

      Just the same way he has treated Kenyans. GOD is able. Ruto must go for the peace of the country.

  • @user-df1fr1zg6v
    @user-df1fr1zg6v 4 дня назад +1

    Ivi uyo ruto yupo kweli Kenya au yuko nje ya apo😅😅

    • @cyantess8423
      @cyantess8423 4 дня назад +1

      yuko area acha mungu afanye kazi ruto na shetani ni kitu kimoja bure kabisa

  • @BernardUrassa-lq8so
    @BernardUrassa-lq8so 3 дня назад

    Akuna kulala

  • @josephsarai6493
    @josephsarai6493 3 дня назад

    It's that your vote Mr PRESIDENT 😅😅😅😅

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 3 дня назад

    Hasira nihasara

  • @lokedavid4949
    @lokedavid4949 4 дня назад

    Social media na uongo nayo mtachoma kenya

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 4 дня назад

    Alienda kwa mashoga acha akome

  • @PaulNganga-wi6lp
    @PaulNganga-wi6lp 2 дня назад

    It's very unfortunate that even now, Ruto planting goons.

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 4 дня назад +1

    Itanikera sana kama wanafanya yote hayo kwa fitna na ushawishi wa vibaraka wa nchi.

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Msimuonee rais Hana kosa mbona uhuru amewaua sana

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 4 дня назад

    Nchi imekufa tyr hiyo

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 3 дня назад

    Kumbukeni
    Libya ninyi mtakujakuikumbuka Kenya ya ruto

    • @mosesmuiru-qq9sx
      @mosesmuiru-qq9sx 2 дня назад

      Libya ni libya,na sisi ni wakenya,kwa hivo hata kama tutamkumbuka tutakumbuka yeye kwa mabaya.Especially kuuwa vijana wakitetea haki.Ametukumbusha vile aliamlisha watu wachomewe kwa kanisa 2007😭😭😭😭😭

  • @VeneroMaxvely
    @VeneroMaxvely 3 дня назад

    UKIONA MWENZAKO ANYOLEWA ZA KWAKO TIA MAJI

  • @user-we7uq1qh7p
    @user-we7uq1qh7p 4 дня назад

    Nikuwamaliza hao waze wanakula inchi peke yao vijana wanataka kazi tupeni kazi

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 2 дня назад

    WAKENYA MMESAHAU YA LIBYA IKO WAP

  • @georgeadimo4864
    @georgeadimo4864 2 дня назад

    Ruto
    Seems to knows everything
    That's
    Feeling stupid
    Ruto want Us to think stupid
    Marco manage all departments 😂😂😂😂

  • @khamisshehe9187
    @khamisshehe9187 3 дня назад

    Hii ndio vijana watajifunza kutokana na kukumbatia wanasiasa wa upinzanie ambao wanatoa ahadi nyingi sana kwamba wao wakiongoza in nchi wataleta mabadiliko lkn hatimae wanashindwa kufanya huyo kitu, Ila bi kujinufaisha wao na family zao tu. Hiyo vijana wajifunze hiyo kitu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @LeganNtambi
    @LeganNtambi 3 дня назад

    Wakenya wanajiamini Sana 💯

  • @SAMWELLOLMINGANI
    @SAMWELLOLMINGANI 4 дня назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 дня назад

    Ruto ninakuomba uvunje parliament na wote muondoke
    Usije ukawa ka m a raisi wa zamani wa Egypt aliyeaibishwa na kuishia gerezani.Ruto future generation no.longer want you in power.usione aibu kuacha urais.A game is over.Iam afraid that you might end up being aMkimbizi😢😢The earlier t h e better.Iam not Kenyan but I can far.Ondoka ndugu yangu😢😢

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 дня назад +1

    Jmni Kenya kusije kuchafuka ikawa kama Libya na kwengineko. Ila Ruto ametikiswa basi Kenya wampe nafasi atafanya maajabu

    • @dahbossqueentalkshow3778
      @dahbossqueentalkshow3778 4 дня назад

      Aende tu tumechoka

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 3 дня назад

      @@dahbossqueentalkshow3778 hapa ndugu yangu..you guys will be in a worse-off state then now. we are praying for Kenya. May God cover this gigantic Nation in Jesus precious Name!

  • @teresawanjiru686
    @teresawanjiru686 3 дня назад

    Pongezi

  • @fatimanour9793
    @fatimanour9793 3 дня назад

    I Wander Why The Kenyans Are So Poor And Somalians Hindi Are So Rich How Come Kenyans Are So Slomes But Now They Get Up EnoughEnsor is enough

  • @IbrahimuDickson
    @IbrahimuDickson 3 дня назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Makuma nyie yaan mnatia hasira nyie

  • @EdwinTaber
    @EdwinTaber 4 дня назад +2

    Mtachoka ruto tano tena na tax mtalipa

  • @WilliamOmondi-pp8nd
    @WilliamOmondi-pp8nd 4 дня назад

    xxx

  • @MmM-dl9yl
    @MmM-dl9yl 4 дня назад

    Ruto go home 2year achafanya anything in this country in Kenya amaleta azala Kenya .

  • @philipndiema2228
    @philipndiema2228 4 дня назад

    You have been fed with lies.

  • @user-mo2iv1xo1g
    @user-mo2iv1xo1g 2 дня назад

    punda akichoka jihadhari kwa mateke.

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 2 дня назад

    Usiongee na wasenge piga hao maumbwa

  • @sebagabotito7522
    @sebagabotito7522 3 дня назад

    Kenya mucyunguze vizuli musiingizwe shimo ya maksbila kama rwanda ao bujumbula